Allah akuhifadhi wewe ni shkh Nassor mwenyewe allah akupe afya njema na kukuthibitisha katika haki.
@yazu30078 ай бұрын
Asalam aleykum sheikh Mohammed bachu nakuomba sana uwakumbushe waislamu ( DHULMA na malipo yake ) mana wengi wetu tumekumbatia hili jambo .. mimi na mke wangu nimefanyiwa dhulma na waislamu wenzangu walio jipanga na kutuzia barabara badala ya kiwanja na mwisho wanadunda na wanajivuna wamekula na hakuna lolote.. sheikh inaniuma sn waislamu watendea waislamu wenzo dhulma
@musafirbaba21008 ай бұрын
Nilikuwa nashangaa kwann huzungumzii swala hili alhamdulillah
@NassirKhamis-yp1xk9 ай бұрын
Mashallah, hutba nzr sana Allah akubarik sana ❤ nakupnd kwa ajil ya Allah sheigh Wang Muhammad nassor bachu
@suleymansalim57329 ай бұрын
Ni mtihani. Kunamafungamano makubwa katika kusaidiana na imani
@yuzarsifibrahimfatuma97259 ай бұрын
True msaada unakuwabora na wenye faida kubwa ukianzia nyumbani
@rashidmohamed19499 ай бұрын
Asalam Alaykum. Maa Shaa Allahu. Ujumbe umefika. Waislam tuzinduke....
@user-dv9mx9oq1w9 ай бұрын
Asalam aleikum warahmatu llahi wabarakatu Maneno ya dhahabu na ndio ilivyo subhana allah. Jazaka allah khairan.
@mfalmenajjash21289 ай бұрын
Skuzote msaada huanza na nyumba yako jirani yako nk, jee ikiwa huna huruma na ndugu yako kidamu nakiimani jee utakuwa na huruma na ndugu zetu wanaouliwa huko Palestine, waislam tuko kwenye msiba mkubwa sana waislam tuamkeni tunusuru ndugu zetu ktk miji yetu tunusuru jirani zetu ktk mitaayetu tunusuru ndugu zetu wapalestine hata kwa duwa Allah ataona juhudu zetu insha Allah
@isarichard9 ай бұрын
In sha Allah
@abdulhalimomar53299 ай бұрын
Sawa , waislamu tuwaombe waislamu wezetu wanauliwa lile shehe kasem kuw n kubwa tuwaombe duwa palestina
@abdulkadirhaji39478 ай бұрын
Shk Mohammed bachu plz nitumie hadithi hiyo kwa kiyarabu tuadikiye hapa hadithi inaosema waumini ni kama mwili moja
@OmarAlly-iz8ot9 ай бұрын
Hakika kabisa bila shaka yeyote
@IbnuAlly-cg2gn9 ай бұрын
Kimantiki ni kuwa watu wazizungumzie wala kujadili kinachoendelea Palestina
@yasinitwaha31929 ай бұрын
Punguza jazba katika khutba unagomba au unakhutubu
@nurdiniuledi489 ай бұрын
Unamaanisha parestina wasisaidiwe? Saud wamekua vibaraka wa marekani na nyinyi wahabi mmekua hivyohivyo huku Tanzania.
@faizaa1559 ай бұрын
Kwanza jifundishe kuandika Kisha kmhunalakusema nyamaza wengine wapate faida
@AllyAhmad-zg2yp9 ай бұрын
Kwaiyo wanaopigwa nimasufi
@suleymansalim57329 ай бұрын
Sasa nyie mlio sahihi mmeshakusanya msaada gani maulidin mkapeleka palestina????
@husseingitonga89219 ай бұрын
Allah akupunguzie chuki inn sha Allah.
@twalibsaid26149 ай бұрын
Sasa watoa mfano palestine ndio nini msaada wadharura nikawaida palestine ni msada wa dharura , twajua mawahabi hawanaha ya palestine ni kama mabwana wao wa suudia , suudia ndio wanao lipa mawahabi nahawaruhusu kufanya hata maandamano kwa kadhia ya palestine