Najibu swali la Aloyce Nyanda wa Star Tv leo Juni 24 2019 anayehoji kwanini nakosoa serikali ya Magufuli nikiwa ughaibuni
Пікірлер: 204
@arafatyhussein2 ай бұрын
Hongera sana, Kazi nzuri mzee wangu🙏
@asacconlinemedia53432 жыл бұрын
Hongera sana Ansbert ngurumo. Kukuelewa wewe kunahitaji mtu mwenye afya njema ya akili.
@malingazeboss93513 жыл бұрын
Kweli mkuu, serikari hii imejaa mavi kichwani.
@johakhimu.mgembe.32974 ай бұрын
❤Saluti kijana.ndio Wajibu wa Mwana habari.Shujaa.Tupe Uelimisho wa Taamuri..
@gervassikapundwa96324 жыл бұрын
Ongea baba
@akiliiddtuliza4185 жыл бұрын
Freedom of expression
@juliasmuyinga78655 жыл бұрын
Wewe nimpumbavu midevu yako kanyoe kwanza
@hkaluminium20074 жыл бұрын
Kaka nakuelewa sana ww ni mwandishi nguli sana
@LissaJonasАй бұрын
😂😂😂 Anacheza cheza na laptop 3:44
@winfredcanaan5824 жыл бұрын
Nimekuelewa sana baba
@hamisially-c4xКүн бұрын
Gd sana
@husseinshabani95224 жыл бұрын
Nimeishia kucheka tuuuuuuu!!!Wabongo wameelimika wanataka Maendeleo Awataki porojo.Ahahahahahahaha kazi ipo.
@joshuaswai8203 Жыл бұрын
Wewe ni kamanda Kama wengine na Hawa Akili ndogo hawajitambui br
@tinyaanosiatha11185 жыл бұрын
Mwehu tu Hao ndo viranza. Rudi bongo tukunase nyooo
@songombingo1088 ай бұрын
Wanaokushangaa ni wale walikuwa wadogo Sana wakati unaandika Makala zako. Hawajui ulikotoka. Sasa wamevunja ungo na akili imeanza kukua ndo wanajikuta wakikutilia mashaka.
@AnsbertNgurumo8 ай бұрын
Ni kweli.
@chrispinjoseph56525 жыл бұрын
Unazeeka vibaya mzee rudi nyumban uongelee huku kama kweli uko sahihi unachokifanya
@asherykambona91685 жыл бұрын
Mmuue! kazi yenu
@loner_wolf4 жыл бұрын
Msengerema anapojifanya mnyamongo .....hahahaaaaa
@salumjumaruhaga25135 жыл бұрын
Matusi sio dawa ,au kujua sana, teteeeni hoja,sio matus ,kwani sisi ni binadam kesho haupo au Leo haupo,je M,mungu ambae nyote mkipata matatizo mnamlilia atawapokea na matusi yenu?
@barikiwa225 жыл бұрын
Ndio ujue uwezo wa kufikiri kwa vijana wengi ni mdogo sana, low IQ, wanakurupuka hovyo!
@rajabkisebengo94063 жыл бұрын
@@barikiwa22 sawa kbs barikiwa mihemko inatuponza sana vijana
@rajabkisebengo94063 жыл бұрын
Alafu baada ya kumskiliza kwa utulivu ili kuchambua mambo wajue kwa kina wao kulupu matusi
@papayatnzania10055 жыл бұрын
Ukiona jitu lina mimvi kwenye ndevu basi pana mashaka kichwani
@alimsemakweli13763 жыл бұрын
NASAHA NZURI: TUACHE MATUSI KWA NJIA YEYOTE ILE,,, KAMA MTU HAPENDEZEWI NA CHOCHOTE KILE BASI ANYAMAZE... TUKIFANYA HIVYO TUTAKUWA WAVUMILIVU NA MASHUJAA KTK USTAWI WA JAMII ZETU,,,, AHSANTENI
@kaimuulongo95903 жыл бұрын
Nakubali
@AmosNicas10 ай бұрын
Bigup
@amenyekibona87305 жыл бұрын
vipi familiya yako umehama nayo ama umeitelekeza,,, brother kuwa na aibu ughaibuni siyo peponi. ulaya wamechoshwa na wakimbizi like You
@ashuramuhammed32572 ай бұрын
Akili Mali serekali inakosolea nyinyi wajinga njaa kali mnamtukana huyu jamaa dah nayeye ndo anaetutetea wanyonge
@tinyaanosiatha11185 жыл бұрын
Huyu ni zwazwa kipofu
@mathewilekwamack6778 Жыл бұрын
Kila ukitoa clp najitahidi kukufuatilia unaongea mambo mazuri na yenye kujenga nchi yetu sasa hawa wanatuongoza yani hata hawastuki bado wanakomaaa maisha yao bila kujali wananchi wao nasi wananchi hata hatujitambui ipasavyo tunawoga wa kutoshaaa
@anodmwambinga5074 жыл бұрын
Asimsifia mkuu basi huyo si mzalendo acheni uzwazwa
@hamismasoud83065 жыл бұрын
Wewe ni mtumwa mbwa wa wazungu huko 😎😎
@rosenamilia41405 жыл бұрын
Tunamshukuru Mungu kwa ukuu wake wa kutuonyesha Leo,Sasa na hata Jana. Kesho hatuijui. Nasikitika kukusikia kwa majidai eti umepata zawadi. Je unawasaidiaje wanyonge Watanzania?.Naona maneno maneno tuweke chini ya karpeti ibaki ,HAPA NI KAZI TU.
@asacconlinemedia53432 жыл бұрын
Hivi unyonge wa Watanzania upo wapi? Nani Mwasisi wa huo unyonge?
@gracemima52343 жыл бұрын
Bwana Ngurumo maana ya ushamba maana yake ni nini?
@philemonmwakipos48595 жыл бұрын
kama anachotenda magu ni chema, kwa nin mkasirike. alafu kuikosoa serikar sio uhain. wala kuichukia serkal sio uhain, uhain ni kuliftn taifa lako
@goodluckyaugustu.15835 жыл бұрын
Mkataa kwao ni utumwa...unaenda kujigamba ugenini duuuuhhh....mimi ni mwana technology njoo TZ weka rejeo tushiriki na kufahamiana kiujuzi...Acha acha kufurahia kudhalilika!!!!"Njoo tuandikie makala Coco beach acha uhewa ankali"
@sheryphamwenevalley61245 жыл бұрын
Pumbavu ss huku tuko busy na JPM , we endelea tu kutumika, bila tija na mabeberu
@charlesmpemba93875 жыл бұрын
We pia mshamba.
@bwerumaster66915 жыл бұрын
Huyu bwana hawezi kurudi kwani amejipa ukimbizi kwa visingizio vya kisiasa kwamba serikali itamuua. Kwa hiyo hii ndiyo biashara yake kutukana
@myself412810 ай бұрын
Sio kujipa ukimbizi mbuzi wewe,kwani hujui Watu wnaauwawa na wengine wanapotezwa kimya kimya kwa kuikosoa Serikali?Kuna Uhuru gani Tanzania au kuna Amani ipi zaidi ya utulivu wa kinafiki tu sababu ya uoga wetu na ndio maana Umasikini umeweka Kambi hapa Nchini,Acha watu wakatafute maisha sehemu binaadam anathaminika sio Hapa Tunaishi kama misukule,
@myself412810 ай бұрын
Kwa hiyo ulitaka Abakie Tanzania ili afe??Kuna Mitaahira kibao hii nchi
@salmaothuman47994 жыл бұрын
Senge hili zee mxuiiiiiiiii
@msongeomary61954 жыл бұрын
Huna lolote mpumbafu na ndevu zako njoo sasa fanya kazi acha mzee awanyoshe wanao mnyoshea kidole huna lolo Njoo nchi uongee hizo pumba zako mtuwa we
@georgemageta62775 жыл бұрын
Wewe jinga tu moja huna kazi za kufanya
@alexpeterkabululu4885 жыл бұрын
Matusi in kipimo cha kufirisika akiri kizazi hiki kinataka majibu na usuruhishi
@gataonyango9294 Жыл бұрын
Washamba na niwajinga wa karne ya kumi na nane
@eustacevenant45674 жыл бұрын
Wewe HUWA unapoongea huongo wakupasua NCHI kumbe ni Wewe Wala you don't hve points!
@zefamange72815 жыл бұрын
MPISHE JPM AFANYE KAZI YAKE, MPUMBAVU WEEE
@margaretwambete12285 жыл бұрын
Mjinga ni zefa 👹👺
@zefamange72815 жыл бұрын
@@margaretwambete1228 andika jina lako vizuri
@mtanzaniahuru62034 жыл бұрын
Nadhani kwa sasa wewe unaongoza kwenye upumbavu. Nilitegemea unashauri kumbe wewe unaharibu pole sana na utabaki kuishi utumwani miaka yako yote.
@stanslausangelus87145 жыл бұрын
Ningeshangaa kama WATU kama wewe wangekosekana katika jamii mpo lkn mwisho ubaya in AIBU tu!
@cosmaswilliam3805 Жыл бұрын
Waandishi asilimia kubwa nimapandikizi
@J4UPro5 жыл бұрын
Wewe Huna akiri kukosoa kila kitu.
@malingazeboss93513 жыл бұрын
Yupo sahihi but wewe kwakuwa unafirwa huwez kujua anachosema ngurumo
@salehestambul55355 жыл бұрын
Mbona yupo kama shoga fulani hivi.
@machaggechacha34225 жыл бұрын
Salehe Stambul Anaonekana kama mtu anayefirwa firwa na mabeberu.
@almasjuma41944 жыл бұрын
Wewe mjanja njoo tz uoupara utachemka
@saidipara4134 Жыл бұрын
Umesha sema upo nnje sasa ya ndani yanakuhusu nini?matako wewe nyie ndio munaetusabishia ss tuzidi kuminywa.
@dicksonmajaliwa32965 жыл бұрын
Good msema kweli hapendwi sema yaukweli usiweke yauongo mungu yu nyuma yako
@HASASON5 жыл бұрын
Hahaha Ona sasa unavyoishi maisha ya taabu na upweke, huna rafiki huna ndugu huko huna uhuru uliodai Tanzania haikupi, matokeo yake unaishi kama bundi mwenyewe huku ukifanya kazi ya kitumwa kuihujumu taifa lako, wewe, kibendera lissu, wale makatibu wa ccm na mahaini mengine mtakufa vifo vibaya sana sababu ya kuihujumu Tanzania na chaguo la Mungu JPM, na hiyo ni bado mtapitia wakati mgumu sana sababu uhaini hauna mafao bali aibu maisha yote
@michaelmasalago53974 жыл бұрын
WEWE MCHOZI LAKINI UZURI SASA HIVI SERIKALI YA MAGUFURI INACHAPA KAZI TU HAINA POROJOPOROJO MLIZOZIZOEA. Mshamba mwenyewe
Kama hakuna mtu wa kukuzuia, njoo useme huku,,,,,!!!!!
@malingazeboss93513 жыл бұрын
Unagongwa wewe
@jumakapilima56743 жыл бұрын
@@malingazeboss9351 wewe unafirwa!!
@emanuelgaddafi76515 жыл бұрын
Hovyooooooo kibaraka weye
@missmwayway47043 жыл бұрын
🤔🤔🤔kwani hili ndo nani tena Jamaniii mbona silijui
@ezekielmabwai4825 ай бұрын
Wewemissmwauluway kwamba huyu mwamba humjui, basi hata UCHI wako huuju Shenzi Pumbavu Kabisa!
@eligiuselias44695 жыл бұрын
Mtaongea itafika hatua mtanyamaza tu😯😯
@hassansamata96965 жыл бұрын
I love Tz..umekosa radhi yawazazi wako ndio maana umekua chizi
@almasjuma41944 жыл бұрын
Wewe nimpuuzi hufai
@petermwacha99095 жыл бұрын
Kwani ulizuiliwa kukosoa ukiwa huku we mpumbavu?
@peterjohn19695 жыл бұрын
Wewe ongea tuu mdomo siwakwako ataulipii kodi wala uweki luku
@evansmlalo40495 жыл бұрын
Kosoa sana unaruhusiwa. Mbona Musiba anatukana watu hovyo. Mimi nasema kesi za kuishitaki Serekali bado ndio zimeanza na bado kesi za kumshitaki Magufuli mwenyewe. Anamlipa Musiba mamilioni atukane watu na kuwachafua huku akimfanyia kampeni. Ndege zimenunuliwa kwa fedha za watu waliofilisiwa. Kila mmoja afungue kesi popote Duniani kudai fedha zake. Musiba ni mjinga fulani tu. Bila kuacha hiyo tabia yake kesi zitajaa kote kuidai Serekali ya anayejiita Magufuli.
@peterjohn19695 жыл бұрын
@@evansmlalo4049 una maana yoyote wewe katika nchi ii wewe umelaaniwa namimi sikuzote zamaisha yako apa nduniani utokuja kupata akili wewe na uzaowako milele mtakua watumwa atakizazi cha3 na cha4 kwakua unaadabu na watanzania.
mzee jibu swali kwa nini unakosoa serekali ukiwa mbali?
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
Hukusikia jibu? Sikiliza.
@Kwelihukuwekahuru8 ай бұрын
Kwani mataifa yanayokosoa serikali mbali mbalimbali na wakati mwingine kuwekea vikwazo wanakuaga ndani ya hizo nchi nafikiri tunaongea na wachanga sana wapiganaji wa uhuru walifanya hivo wakiwa nje ya nchi zao Samora ni mfano Mseveni pia nk nk walikuwa hapa Tanzania na kwingineko LAKINI waliweka pressure mpaka Mreno akaondoka shida ni kwamba hakuna somo la historia ya waliokomboa nchi zao ili kizazi hiki kijue tumetoka wapi tuko wapi na tunaelekea wapi ukikosolewa unajifunza unajitambua unakubali unabadilika unaleta mtazamo chanya wenye kuonyesha njia hongera kwa kuwa mvumilivu kwa kutojibu kwa matusi
@alihijiiddi89773 жыл бұрын
MAKUFULI HUYO NDIO ANAVYO FUNGA FUNGA
@morefireministrychurch1775 жыл бұрын
Pumbu mtu mzima ovyo ujinga na uzee ndio tatizo lako
@malingazeboss93513 жыл бұрын
Huyu yopo sahihi but wewe kwakuwa unafirwa ndomana huna uwezo wakufikiri
@marafundujenzi43154 жыл бұрын
Huna maneno kafiee mbele pumbavu
@kenedrocky59642 жыл бұрын
KWELI KABISA NDG YANGU.
@GozbertAliseni-vp6kj Жыл бұрын
Watu.wanapiga.kuranje.nimwandishi.gani.aibu
@edwinmathias1295 жыл бұрын
una ongea pumba tu brother
@AnsbertNgurumo5 жыл бұрын
Sawa tu. Hata pumba zina faida kwa wenye akili wanaojua jinsi ya kuzitumia.
@Kwelihukuwekahuru8 ай бұрын
@@AnsbertNgurumousibishane na watoa matusi jibu wanaokokosoa kwa hoja
@jumakapilima56745 жыл бұрын
Mshamba huyu!!!!
@malingazeboss93513 жыл бұрын
Huyu Yuko sahihi bahna but tunatakiwa kujua serikari ya tz niyakishamba haiwezekani ufanye unavyotaka wakati katiba ipo
@robisonikadogo7371 Жыл бұрын
Anae kuzomea uyo atazomewa na ulimwengu
@eaglecrown38725 жыл бұрын
rudi nyumbani kumenoga bro.
@deogratiashaule52245 жыл бұрын
the most hopeless creature.mnayoyakusudia hamtafanikiwa.mlikwishashindwa kabla hamjaanza.wakala wa wasioitakia mema Tanzania.aibuuuuu.
@johnmachota4286 Жыл бұрын
Safi Dana ngurumo
@bathromeobalisimula71665 жыл бұрын
Fala we. Miaka 20 Kama mtz ulikuwa wap? Ovyoooo....
@jamesrobare5225 жыл бұрын
Pumbavu zako mbwa Koko CCM jiwe kwani lazima awe kwenye praise and worship team ya jiwe!km umechukia it's simple meza tikiti maji.
@ummykapera46604 жыл бұрын
kweli mshamba ni wewe;njoo tukuchague wewe bac fara wewe;unasaidia nini?
@tatusaid12235 жыл бұрын
mkia hautikis ng'ombe
@gilberthndakidemi73585 жыл бұрын
Mshamba mwenyewe shoga wew hata ukirejea tz ufunuliwe uchunguzwe kijeshi
@sir.josephmbeya70175 жыл бұрын
Gilberth Ndakidemi .Wewe ni mkubwa wa hao Mashoga.
@suleimamhamad1165 жыл бұрын
Hata wewe Ni mshamba mkubwa zaidi na uso huruma Wala ubinaadamu, munataka kuiharibu Tanzania kuwa Ruanda . Mushindwe kabisa Mungu awalani ndio musiojulikana nyie sasa munajulikana mmoja mmoja.
@husseinmkanga77945 жыл бұрын
Wewe ni mnafiki na wazungu wameshachoka wakimbizi kwenye nchi zao ipo siku utarudishwa!
@HappnessYohanaRohongo Жыл бұрын
😏😏
@jeromeruhele30595 жыл бұрын
We ni kibaraka tu huna lolote
@godloveadamu43795 жыл бұрын
Ukisoma comments hizi,utajua Tanzania hii ya sasa co ya kale.wala hatukusikiiiiiiiii
@AnsbertNgurumo5 жыл бұрын
Nazipenda kama nini! Endeleni kushindilia. Ongezeni matusi. Nayo sehemu ya uhuru wa kujieleza tunayotetea, na kila mtu hufanana na kile kinachomtoka.
@Kwelihukuwekahuru8 ай бұрын
Sema humsikii usisemee mwingine
@anthonynsojo71695 жыл бұрын
Mimi nilikuwa nasoma saana makala zako tangu enzi hizo na nilizipenda kwa kudhani ulikuwa unaandika kwa kumaanisha. Nimepata mashaka kama kweli ulikuwa ukimaanisha uliyokuwa ukiyaandika baada ya ujio wa RAIS Magu. Rais JPM ameaddress mapungufu mengi saana ya serikali zilizomtangulia. Amehuisha matumaini ya wanyonge wengi saana ambao hapo awali walijua haki zinapatikana kwa wenye fedha na nafasi fulani kwenye serikali au chama tawala tu. Chini ya JPM hakuna mtu anaweza kumtishia mtanzania yeyote kwa sababu ya utajiri wake, cheo chake, au kujuana kwake na fulani. Na kiukweli waathirika wakubwa wamekuwa ni wanaCCM waliokuwa wakifaidika na mfumo uliokuwa unawapendelea na kuwapa fursa za kufisidi Nchi. Ni dhahiri kama binadamu anaweza kabisa akawa na mapungufu yake, lakini kwa mpinzani honest kabisa atakiri kuwa JPM anafanya kazi nzuri saaana kwa nchi yetu. Pengine utakaporudi utakuja kukiri utakapojionea kazi ya JPM.
@machaggechacha34225 жыл бұрын
Anthony Nsojo Huyo msaliti na mwizi hawezi akarudi TZ. Akithubutu kurudi tu atawekewa bangili mikononi na kusukumwa ndani. Usishangae!
@bonnyngowo75673 жыл бұрын
Demokrasia,mauaji ya kiholela,utawala bora n.k??????
@lazarojohn6762 Жыл бұрын
Uhai wa mtu unadhamana kubwa sana kuliko mibarabara yenu na vidaraja vyenu
@FrankMwakatundu-cu6bd6 ай бұрын
MAGU ALIJUWA KULA NA VIPOFU (HAO WANAOMSIFU SIFU KAMA MAZUZU.) MNAIKUMBUKA HOTUBA YA MWAL. NYERERE YA MEI MOSI 1995 JIJINI MBEYA? KTK HOTUBA ILE ALITOA MFANO MMOJA WA TAPELI: ALISEMA ANAWEZA KUJA TAPELI, ANA ALMASI BANDIA IKO NDANI YA KICHUPA INANG'AA KAMA ALMASI HALISI NA WEWE UNAYO ALMASI HALISI LAKINI HAING'AI HALAFU TAPELI ANAKUAMBIA ALMASI YAKE NDIYO HALISI YA KWAKO NI BANDIA ANAKUAMBIA CHUKUWA YAKE UMPE YAKO NA WEWE UNAMPA YAKO HUKU UKISHANGILIA KAMA ZUZU!!! HAKIKA MFANO ULE AMBAO MIMI NAUITA UNABII WA MWAL. WA MEI MOSI 1995 ULITIMIA 2015 TUKAMPATA TAPELI!!!! NAJUWA ZUZU HAWEZI KUKUBALIANA NAMI, LAKINI NAKUHAKIKISHIA KUWA UKIFANYA JAMBO JEMA SANA LAKINI HUKU UKIKUSUDIA JAMBO OVU NDANI YAKE NI SIFURI!!! WAJINGA WENGI HUDHANI KUWA AKIDHILUMU(AKIIBA) HALAFU AKAJENGA NYUMBA YA IBADA MSIKITI AU KANISA ATAPATA DHAWABU, LAHASHA, ILA JEHANUM INAMSUBIRI KWA UWIZI WAKE!!! NI KWAMBA UKITENDA JEMA KIASI GANI KWA KUVUNJA SHERIA JAMBO HILO HUWA NI BATILI. HUYU MNAYEMSIFU KWA MAENDELEO NA KUPITIA MAENDELEO HAYO ALIJINUFAISHA BINAFSI KWA KUZITUPILIA MBALI KABISA SHERIA ZA MANUNUZI AMBAZO NI MAALUMU KUDHIBITI UBADHIRIFU!! KAMA SI ZUZU NAWEZAJE KUMSIFU MTU ANAYE JENGA DARAJA I KWA GHARAMA YA MADARAJA 2 KWA MFANO? HAPA KAZI HUYU ALISIMAMA JUKWANI NA KUTUAMBIA KUWA DUNIANI KOTE HAWANUNUI NDEGE KWA TASLIMU (CASH) YEYE ANANUNUA KWA TASLIM HOJA NI PESA IPO WAKATI HUKU MTU HUYU HUYU ANAKOPA FEDHA KWA SIRI NA HIYO ILIKUWA NDIYO SABABU YA KUTHIBITI VYOMBO VYA HABARI NCHINI ILI VISIANDIKE MAOVU YAKE KAMA HAYO!!! MSISAHAU ILI UPATE TENI PA SENTI LAZIMA UNUNUE CASH HAPA DHAHIRI KILICHOKUWA KINAKUSUDIWA NI KUJIPATIA TEN PER CENT HUKU AKIJUWA ANALIUMIZA TAIFA MASIKINI KWA MANUFAA YAKE BINAFSI LAKINI MAZUZU WALIKUWA WAMEKODOREA MACHO KASI YA MAENDELEO WAEREVU WAKISHUHUDIA KASI YA UBADHIRIFU WA KUTISHA PAMOJA NA MAISHA YA AKINA ANSIBERT NGURUMO KUWA HATARINI KWA SABABU YA KUUPIGIA KELELE UOVU WA MTU YULE TAPELI WA KUTISHA!!! OGOPA KUMPENDA MTU KULIKO MUNGU.
@dallas14135 жыл бұрын
Wee kichwa Aise rudi bongo basi uendeleze kukosoa. Tuna kutamani ile mbaya 💪
@maulidhijja89985 жыл бұрын
Bro ayo unayosema ni zilipendwa si zama hizi za mjomba Magu!!
@raphaelsamwel26405 жыл бұрын
Waekewa tunakuelewa sana!! Washamba na mafara ndo wanashangili upuuzi!! Hata nyerer angekuwepo asingechekelea ujinga ktk uongoz was nchi!!!
@hassanmirambo5645 жыл бұрын
RAPHAEL SAMWEL mwambie akutafutie basha huko alipo ili umfuate na wewe
@princebashaijarwazo6225 жыл бұрын
Nadhani ni vema kukosoa maoni kwa hoja badala ya matusi, tuepuke fallacy wapendwa, hoja ni je yanayosemwa na mhariri yapo na yanatokea au ameyatunga hayapo nchini hapa?!!!
@Kwelihukuwekahuru8 ай бұрын
Una akili hekima busara na ufahamu ukiona mtu anayetoa matusi tena machafu ujue kuanzia malezi yake ni ya kutukana vinginevyo unamjibu mtoa hoja kwa kutoa mwelekeo na kukanusha maelezo yako kwa hoja na mifano matusi hutolewa na wasioelimika
@bahishaalexander36415 жыл бұрын
Hivi Huyu mnamuelewa kweli? Eti anasema kazi yake ni kukosoa Maraisi, halafu Mbona Kama unaropoka vitu ambavyo vinatudhalilisha Kama taifa, halafu ukamwangalia kwa umakini anaonekana Kama mmbea mmbea tangu utotoni mwake, na hii itawezekana ikawa ni madhara ya mtoto kuwa karibu Sana na mama kuliko baba, mala nyingi wanakuwa na vitabia vya umbea umbea Kama Huyu mwandishi, maneno yake yanaonyesha ana tabia ya kebehi iliyopitiliza, unajua kukosoa siyo tatizo, tatizo ni namna unavyowasilisha ukosowaji katika mamlaka za juu. Ukosoaji ni lazima uendane na uungwana, staha, uzalendo na heshima Kama ilivyo desturi ya watanzania.
@alfredlimu3085 жыл бұрын
Huyu hafai kwa lolote kwa nchi kama Tanzania na huko alipo analipwa na waajiri wake
@josephdogani34194 жыл бұрын
ukosefu wa elimu ,uwezo mdogo wa kufikili na kupambanua mambo ,uduni wa akili na I q ndogo in chanzo kikubwa cha komenti nyingi za kumpinga na kumzodoa mwandishi anayezungumza.nasikitika sana kusema kuwa watu wenye ufahamu wa panzi na wasiojua tulipo na tunapoelekea hukosoa na kukashfu watu wenye busara.
@naimasuleiman53345 жыл бұрын
TUNAKUSHANGAA SAANA MJINGA MWENYEWE
@bahatidamiani85464 жыл бұрын
Kaombewe mwehu wewe , kakosoe mkeo , kwanza were si mzalendo, nyoaa midevuuu
@pgabbermusic54235 жыл бұрын
Hahaha njoo bongo wakuoneshe kua wewe ni mwanamke kamili kipara hicho kitaota nywele na hao walikupa tuzo hajui kukugeuza vizuri njoo bongo wapo wageuzaji
@ericrukamba68025 жыл бұрын
Wewe kaa huko huko usirudi tena Tz , hamna anayekuzuia kuongea pumba mdomo ni wakwako fanya unavyo tako lakini iko siku utapatikana usifikili huko uliko ni mbinguni hakufikiki mjinga mkubwa.
@bahishaalexander36415 жыл бұрын
Nice comments I liked it !Mr. Eric .
@papadimayo1chanel.7475 жыл бұрын
Hakuna swali la kijinga bali kuna majibu ya kijinga. Unapaswa kujibu Kwa hekima siyo kutukana.
@gerazijjemba11864 жыл бұрын
ill.litakua.shoga
@andrewmsungu25355 жыл бұрын
Kumbe kukosoa nako ni kazi? Duuuhhhh tafuta kazi nyingine kaka sisi tuache tuchape kazi uungwana ni vitendo
@raphaelphaustine94085 жыл бұрын
Nakuelewa sana Bro love you
@obedigubabwengebwenge2105 жыл бұрын
Raphael Phaustine
@mamamaria88405 жыл бұрын
Obedi Guba Bwenge Bwenge mpuuzi ni ww Huna lolote you are an imperialist stooge. Toka 1967 tulikuwa na watu kama ww sell outs!! Sishangai kusikia Huijui Tanzania ya sasa
@mtengulerashid78685 жыл бұрын
Kama kweli.wewe umekwenda jando na unajiamini rudi hapa tz tuone jeuri.yako