Leonardo alivyotisha ktk fainali ya cheka tu

  Рет қаралды 1,210,037

Sky revolution

Sky revolution

2 жыл бұрын

Пікірлер: 340
@esaukalanje5378
@esaukalanje5378 Жыл бұрын
Zembwela anajiona yeye ni legendary kwamba Hakuna jipya kwake huu ni unafik wa Hali ya juu kifupi ni kwamba Dogo anajua zaid yake tena sana, kanuna Kama bundiii
@KhojaNasri
@KhojaNasri 7 ай бұрын
Roho Zaifu tuu na Hana Cha kuchekesha zembel
@supertal2943
@supertal2943 5 ай бұрын
Hata japo ange smile tu!
@emmanuelmasoko1013
@emmanuelmasoko1013 4 ай бұрын
Zembwela anachekea tumboni
@elmiaxmed6870
@elmiaxmed6870 3 ай бұрын
Msenge tu
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 3 ай бұрын
Mshamba tu
@CharlesRutandula
@CharlesRutandula 2 ай бұрын
Wangapiiiiiii tumemuona Tx dullah apo nyuma ya zembweee Wakati wa mungu ndo wakati sahihii😊
@willykikwete3176
@willykikwete3176 2 жыл бұрын
Dogo yupo vizuri kiukweli. Nakutakia kila lililo jema kwako!
@mackzedon6611
@mackzedon6611 2 жыл бұрын
Anaweza sana huyuu jamaa
@georgedamas7097
@georgedamas7097 2 жыл бұрын
Zembwela umeongeza mzuka kwa Dogo big up.
@YusuphMarcOgaga
@YusuphMarcOgaga 2 жыл бұрын
Zembwela anadhani u jaji ni kuwa kauzu......aangalie British Talent show ajifunze ujaji anamuondoa mtu kwenye reli anadhani anakosea
@georgesamwelchacha7680
@georgesamwelchacha7680 2 жыл бұрын
Zembela anazingua Mpelekeni kwenye bondi za korosho huyo make ni mgumu hachekagi huyo 😂😂
@emmanuelmasoko1013
@emmanuelmasoko1013 4 ай бұрын
Anachekea tumboni
@AsumanAbubakar
@AsumanAbubakar 14 күн бұрын
Atakuwa ana bandama 😂😂😂
@MagrethAlly-wd5sx
@MagrethAlly-wd5sx Жыл бұрын
I favorite the song ❤❤❤❤rose and fenny the qn of power
@jamesmachiwa3679
@jamesmachiwa3679 8 ай бұрын
Kiukweli Nashidwa Kujua Kwa nn Sijawahi Ona Comedian Anaeweza Nikuta kuchekesha. Naombeni Siku Moja Tanzania itakwe nda kunitambua na Mm nitaipeperusha Bendera kote mbali
@amimuabdul9023
@amimuabdul9023 2 жыл бұрын
Nataman saan kuona bato ya huyu mwamba pamoja na Mr. Romantic
@gladnessmrosso2990
@gladnessmrosso2990 2 жыл бұрын
Huyo jaji mwingine amekaa Kama bodyguard 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@kennyamen628
@kennyamen628 2 жыл бұрын
Zembwela uyo
@Lee-ng5wh
@Lee-ng5wh Жыл бұрын
Mpk anaboa
@michaelibrahim3746
@michaelibrahim3746 Жыл бұрын
Very nice
@OfficialKajenga
@OfficialKajenga Ай бұрын
Jaji ni atary huyo
@OfficialKajenga
@OfficialKajenga Ай бұрын
Jaji ni atary huyo
@3kings63
@3kings63 2 жыл бұрын
We need comedy like this one wengine wao wanajua wanawake tuu hakati tuna maisha ya zaman ambayo ni zaid ya kichekesho
@OrecyOwden
@OrecyOwden 2 жыл бұрын
Yah point
@newgeneration9524
@newgeneration9524 2 жыл бұрын
Wanaongelea kuhusu ngono tuu
@edwardjosephchacha7167
@edwardjosephchacha7167 Жыл бұрын
Yani watu wengine walikuwa wanacheka zembwera maana alikuwa amekaza sana
@josephkioko1809
@josephkioko1809 8 ай бұрын
That guy In suit Ako serious sana.
@langemwepesi
@langemwepesi Ай бұрын
Haawezi enjoy hii show anajifanya amevaa uhusika wa kijinga kweli,jiachie jienjoy😂😂😂
@peterkyebwe2089
@peterkyebwe2089 Күн бұрын
Dogo Leonard upo vzr mie kaka yko npo kama shabiki wko geita karibu my name peter or raster upo vzr nakufatilia toka final yko na eliud upo njema Sana..
@jomwenomkal
@jomwenomkal Жыл бұрын
Sky revolution tishaaa saaaanaaaa mwamba orecy in the beat
@user-cp9fb3hd6k
@user-cp9fb3hd6k 5 ай бұрын
Unaweza Sana
@user-nb1pn9qh4e
@user-nb1pn9qh4e 6 ай бұрын
Blo wewe ni fundi nakubali lakini Nina option Moja utunge Story "make msomi na Mme ambae hajasoma Kwamba sasa ikatakiwa wote wawepo kwenye mkutano make na Mme sa mkutano huo unfanyika Kwa kingereza mume hajasoma sasa itakuaje Ili wasiumbuke wakakubaliana Kwamba ikitokea habali yakucheka make atashika pua Ili mMewe nae acheke asije kuonekana tofauti sasa make kasahau Yale makubaliano kashikwa namafua kashika pua Mme kama sikacheka watu wakaandamana wakasema jamaa chi bonge lastory wewe fundiutajua unafanyaje
@davidjosehp6566
@davidjosehp6566 2 жыл бұрын
Good boy kazi nzuri
@robbysonpeter8575
@robbysonpeter8575 2 жыл бұрын
Niaje
@user-pt9wu7ff1p
@user-pt9wu7ff1p 3 ай бұрын
Leonaldo we hufai nakutakia matawi kaka fumba mbali mana huzuirik tu wewe Mungu awe nawe blood mmasai shabik yako apa,,❤
@oscarmarandu7621
@oscarmarandu7621 2 жыл бұрын
Alafu hatuna time na zebwela si tunacheka tuu.
@AbednegoMashukra-sm4uf
@AbednegoMashukra-sm4uf Жыл бұрын
Blessed kjana
@user-kw8bo1ut8s
@user-kw8bo1ut8s 5 ай бұрын
Ulistahili ushindi kaka angu love u
@ahmedmsangi1653
@ahmedmsangi1653 2 жыл бұрын
Kweli utabiri wangu ulitimia
@janesmbuzi3935
@janesmbuzi3935 Жыл бұрын
Kwani zembwela nini jamani 🤣🤣🤣🤣😂😂😂
@abidandastanmaliyatabu1373
@abidandastanmaliyatabu1373 Жыл бұрын
Zembwela hacheki kakunja kweli ,😂😂😂😂😂
@amantz6508
@amantz6508 Жыл бұрын
Mkali wa misimu yote ndaro OG🎉🎉🎉❤
@fadybeatz
@fadybeatz Жыл бұрын
😅😅😅mamae iyo ya daladala ilishanitokea
@pillyramadhani3726
@pillyramadhani3726 8 ай бұрын
Congratulations ♥️
@user-nj9wy5be2t
@user-nj9wy5be2t 9 ай бұрын
Noma sana Ila zembwela acha izo sapot vijana bsna
@user-fb2pi4kt7f
@user-fb2pi4kt7f 6 ай бұрын
Umeuwa mwanangu 👏👏
@chimdamianvi752
@chimdamianvi752 2 жыл бұрын
Dah yani mim sichoki kutazama hii
@user-gc8bx8zh3n
@user-gc8bx8zh3n 8 ай бұрын
Mmm hicho kibaba kipo Kama bodigadi sura ngum hatakiwi kabisa kuwa sehem hiyo
@rafaelymagehema3606
@rafaelymagehema3606 3 күн бұрын
Tx dullah alikuwepo hapoo
@user-rs4ft6ig7v
@user-rs4ft6ig7v 6 ай бұрын
Wew Ni Mwamba💪
@adammanyendi7577
@adammanyendi7577 Жыл бұрын
Uko sawa kaka
@kalistkalisa5825
@kalistkalisa5825 Жыл бұрын
Nakubar kaka
@joakimukenedy3582
@joakimukenedy3582 2 жыл бұрын
Zebwela mnamwejaga wa nini narisura lake kama tako
@victoriarichard8761
@victoriarichard8761 4 ай бұрын
😂😂😂😂
@AishaAthumanimohamedi
@AishaAthumanimohamedi 3 ай бұрын
😂😂😂😂wewe
@AishaAthumanimohamedi
@AishaAthumanimohamedi 3 ай бұрын
Yako Tena nimechoka Kwa saunti. Mnooo
@glifehack5997
@glifehack5997 15 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@mariamally8548
@mariamally8548 Ай бұрын
Hapo hapa mchekeshaji hata mmoja hao wote vicheko vyao vipo karibu
@Baba_Ben.
@Baba_Ben. Ай бұрын
Kwa kweli
@hasnajuma5567
@hasnajuma5567 2 жыл бұрын
Hapo kwakuludi kwa wenzako nimecheka mpaka bas🤣🤣😆
@husseinchiaseeds2653
@husseinchiaseeds2653 2 жыл бұрын
Huyo mwenye miwani sasa
@AsumanAbubakar
@AsumanAbubakar 14 күн бұрын
Daah uyu ndo no one comedy tanzania nanianabisha nihatali sana 😂
@bumbuli4170
@bumbuli4170 2 жыл бұрын
Zembwela mshamba sana
@user-vd8du8fo8r
@user-vd8du8fo8r Жыл бұрын
Zembwela jaman😂😂😂😂😂
@happynkya9770
@happynkya9770 10 ай бұрын
umetisha lakini naomba kuuliza huyo zembwela hapo amekuja kufanya nn
@OrecyOwden
@OrecyOwden 10 ай бұрын
Ahahahaa hahahaha
@adamrajabu231
@adamrajabu231 Ай бұрын
KAMA UMEMUONA TX DULLAH GONGA LIKE HAPA😂😂
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 3 ай бұрын
Huyu leonardo anajw mpk anakera😂😂😂
@jovinjames6130
@jovinjames6130 Жыл бұрын
Wanng kuna mjomb aliyevaa miwan achek cjuh ana bandama
@emmanuelmasoko1013
@emmanuelmasoko1013 4 ай бұрын
Anachekea tumboni
@kondoatown8765
@kondoatown8765 2 жыл бұрын
Majaji wamejaji kihalali kbsaa
@davianofficial6972
@davianofficial6972 2 жыл бұрын
Zembwela mjinga kwamba ndo kujitofautisha au nn ushamba tu
@emmanuelmasoko1013
@emmanuelmasoko1013 4 ай бұрын
Anachekea tumboni
@GivenMwatebela-hi3tr
@GivenMwatebela-hi3tr Ай бұрын
May God keep you longer
@NaphyMacmillan-jh3vc
@NaphyMacmillan-jh3vc Жыл бұрын
Tulia kwa kutulia msanii wngu apa Naphy sky sky revolution njoo dom tufanye kaz
@lamerckmsuya5513
@lamerckmsuya5513 2 жыл бұрын
Kaliiiiiii
@victorosong132
@victorosong132 Ай бұрын
Kiongozi awe na akili timamu😂😂😂
@lewismpangala927
@lewismpangala927 2 жыл бұрын
Zembwela Kama FBI agent
@ufugajiwetu7782
@ufugajiwetu7782 Жыл бұрын
Ana sifa tu
@user-qs7jb4fu4h
@user-qs7jb4fu4h 2 ай бұрын
Zembwela ana madeni vikoba adda yaan
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr Ай бұрын
This guy is talented surely.
@phillydepay2790
@phillydepay2790 2 жыл бұрын
So good
@user-ih7zp7kc2u
@user-ih7zp7kc2u 2 ай бұрын
Kazi ya bibi inaonekana Leonard
@jarukhan_tz1326
@jarukhan_tz1326 2 жыл бұрын
Bofya hapo juu usikie Diamond alichokisema juu ya huyu dogo, "Leonardo lazima nimtimue"
@HahaRichard
@HahaRichard Күн бұрын
😂😂😂😂😂 unaweza ukakaxlika alafu unacheka bila kutaka
@ahmadsayyeed7910
@ahmadsayyeed7910 22 күн бұрын
Nikuongezee nguvu Au inatosha dini yako 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@user-en6kd4yy6m
@user-en6kd4yy6m Жыл бұрын
Ametisha mwamba 😂😂😂😂,ila zembwela mb!!
@josephiligo5855
@josephiligo5855 Жыл бұрын
Baba Levo kanunu Sana
@user-rr5wq6sg6c
@user-rr5wq6sg6c 2 ай бұрын
Sio baba levo ni zembwela
@medardboniphace2477
@medardboniphace2477 Жыл бұрын
Nakukubal bro 😂
@YahayaShabani-px1sh
@YahayaShabani-px1sh 7 ай бұрын
Zembela unanini umenuna mwanzo mwisho na tinted yako usoni🤣😂🤣😂🤣
@johnzakayo114
@johnzakayo114 3 ай бұрын
Ana masifa tu na yeye,au roho ya kukunja
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 3 ай бұрын
Kama jambazi
@MagdalenaHoja-jh9qg
@MagdalenaHoja-jh9qg 2 ай бұрын
Katajwa na dymondi kwenye nyimbo anavimbaaaa kashakua maarufu anajikuta
@user-nb1pn9qh4e
@user-nb1pn9qh4e 6 ай бұрын
Bana kunA story fulani hiv mke na mme mke msomi mme hajasoma sasa yule mke akawa nimwajiliwa kwenye kampuni ikatokea mkutano kila mtu aende namwenzake sasa mkutano unafanyika kwa kingereza mme hajasoma wakakubaliana ili wasiumbuke kwamba ikitokea story ya kuchekesha mke kwakua yeye atakua ameelewa atashika pua ili mmewe acheke wakaingia mkutanoni story ya kwanza ikawa inachekesha akshika pua wakacheka jamaa alikuwa makini ili asimuaibishe mkewe sas mke kashikwa namafua gafla sunajua chafya mala pu kasahau makubaliano akashika pua mume wacha aangushekicheko wakamtimua
@TwaibuSimba
@TwaibuSimba Ай бұрын
Namkubaliii sana❤❤❤
@rashidkipingu7358
@rashidkipingu7358 2 ай бұрын
Umetisha sana
@JonathanMakadi-td9jm
@JonathanMakadi-td9jm 21 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉 hahahahahaha 😅😅😅😅😂😂😂😂🎉 kaka Zang
@Harmocriss-xb5id
@Harmocriss-xb5id 8 ай бұрын
Ila kusema kweli wana komed bang lazima
@user-wb5nl9yt5n
@user-wb5nl9yt5n Жыл бұрын
Moumaa sana
@amooh_tz
@amooh_tz 2 жыл бұрын
Kaz nzur
@fatmakhamis9982
@fatmakhamis9982 2 жыл бұрын
Haishi hamu hii comed hasa yahuyu jamaa nampenda
@samwelcharles4450
@samwelcharles4450 2 жыл бұрын
Hahahaahah guyz hii ya dereva kusali ilintokea nilimuona dereva wa basi nililopanda kabla ya safari akapga njia ya msalaba hakiamungu niliwaza safari nzima afuu ilikua usiku
@strong8534
@strong8534 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@SamwelEmanuel-ib2yp
@SamwelEmanuel-ib2yp 25 күн бұрын
Kusema kweli nimecheka had nikahis utumbo umekatika
@shefaceboys2698
@shefaceboys2698 2 жыл бұрын
Noma huyu
@Edumastermind01
@Edumastermind01 Ай бұрын
I dont know what language he is speaking lakini jamaa anajua sana
@bonnysure8706
@bonnysure8706 2 жыл бұрын
Zembwela umeeenda kufanya Nini mbona hucheki
@maxmilianimwakaniki2671
@maxmilianimwakaniki2671 2 жыл бұрын
Nakukubali Sana leonaldo
@NurhathSalumu
@NurhathSalumu 11 ай бұрын
Kinacho mfanya baba level asicheke nn❓❓❓❓❓❓❓
@alfredbizimana7814
@alfredbizimana7814 Жыл бұрын
Hilo lijama jeusi limenuna kamamfuko wa mkaa uliyo loana kwenye maji, senge sana! Kwani limekuja ku judge Nini hapo, Bora walipeleke Sudan likakutane na wenzake🏃🏃🏃
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
😆😆😆😆😆
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 3 ай бұрын
Nilizembwela kuma
@deboraelias3333
@deboraelias3333 3 ай бұрын
😂😂😂😂 kilichompeleka cheka tu ni kitu gani sijui
@Benkimelock
@Benkimelock 10 ай бұрын
Uyo jamaa wa macho nne anajilazimisha asicheke kbx yaan😂😂😂
@emmanuelmasoko1013
@emmanuelmasoko1013 4 ай бұрын
Anachekea tumboni
@davianofficial6972
@davianofficial6972 2 жыл бұрын
So talented
@ArnoldJackson-zg6wz
@ArnoldJackson-zg6wz Ай бұрын
Anaweza San huyu jam
@user-do5vd5uu2e
@user-do5vd5uu2e 9 ай бұрын
Achekeshi ndo mana zembwela kabinyau safi sana
@antazypoka3752
@antazypoka3752 Ай бұрын
Chekesha ww
@irenekaro2848
@irenekaro2848 10 ай бұрын
Zembwela alishazoea kuchkesha kwa kutumia nguvu sasa vijana wa sikuizi wanatumia akili sana ndo maan acheki
@GoodluckMwakibuja
@GoodluckMwakibuja 23 күн бұрын
Kama unamkubali Tia like
@hukuUJERUMANI
@hukuUJERUMANI 2 жыл бұрын
".. kata ushanga hamna namna"🤣🤣🤣
@rashidimakanjila
@rashidimakanjila 11 ай бұрын
Tktk
@user-mt1dr8ph3p
@user-mt1dr8ph3p Ай бұрын
Nimejikuta nacheka mpaka majirani wakajuwa leo nina mchepuko ndani 😂😂😂😂😂 wasoma comment msinikanyage please
@Achuzkix
@Achuzkix Ай бұрын
Niko na wewe 😂
@officialtbrizzy8643
@officialtbrizzy8643 2 жыл бұрын
😅😅😅nampt huu mwamb
@jacksonmathayo7988
@jacksonmathayo7988 Жыл бұрын
Best one
@veryniceswai4469
@veryniceswai4469 2 жыл бұрын
Yuko good sanaaa
@yusuphmaginya5859
@yusuphmaginya5859 Ай бұрын
Kwa kifupi huyu jamaa ana akili sana ktk ucheshi wake
@JoyceAdamukisagati-hy7gr
@JoyceAdamukisagati-hy7gr 21 күн бұрын
Jaman hapo nisehemu ya kucheka sasa mtu kama unajua hutaki kucheka sasa umeenda kufanyanini?? unatisha wenzako bana
@saidkanji9882
@saidkanji9882 2 жыл бұрын
Zembwela unajifanya kauzu sna
@masatumalima5367
@masatumalima5367 14 күн бұрын
Kuna jitu hapo lina roho mbaya limekunja sura tu
@joeljohn6351
@joeljohn6351 Ай бұрын
Zembwela kama senge vile lipo seriously wakat yeye mwenyew alikuwa hatuchekeshi kabisa
@ElkanaPetro
@ElkanaPetro Жыл бұрын
Noma
@yflon
@yflon 2 жыл бұрын
Hhhhhh nilikuaga sijui eti utaniua unachekesha sana
@kingkaka4592
@kingkaka4592 Жыл бұрын
Sawaa kiongozi
Ndaro na Leonardo Waoneshana Ubabe Jukwaani, Ona hapa nani mkali?
21:33
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 4,3 МЛН
Мы никогда не были так напуганы!
00:15
Аришнев
Рет қаралды 5 МЛН
MC Eliud Samwel akiwavunja watu mbavu kwenye mkesha wa THE ICON 2023 | CCC UPANGA
21:43
TxDullah alivyonogesha uzinduzi wa Cheka Plus TV
5:51
Azam TV
Рет қаралды 96 М.
LEONARDO ALIVYO CHUANA NA JOLMASTER
9:00
Cheka tu
Рет қаралды 608 М.
TAZAMA SHOW YA ELIUD MBEYA, (PART 2)
13:55
Eliud Samwel
Рет қаралды 76 М.
DAKIKA 7 ZA ELIUD MLIMANI CITY
7:16
Eliud Samwel
Рет қаралды 108 М.
ROASTING (NDARO VS LEONARDO)
15:34
Cheka tu
Рет қаралды 838 М.
LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!
17:39
Visit Tanzania
Рет қаралды 249 М.