Zembwela anajiona yeye ni legendary kwamba Hakuna jipya kwake huu ni unafik wa Hali ya juu kifupi ni kwamba Dogo anajua zaid yake tena sana, kanuna Kama bundiii
@KhojaNasri7 ай бұрын
Roho Zaifu tuu na Hana Cha kuchekesha zembel
@supertal29435 ай бұрын
Hata japo ange smile tu!
@emmanuelmasoko10134 ай бұрын
Zembwela anachekea tumboni
@elmiaxmed68703 ай бұрын
Msenge tu
@mohammedkidody56183 ай бұрын
Mshamba tu
@CharlesRutandula2 ай бұрын
Wangapiiiiiii tumemuona Tx dullah apo nyuma ya zembweee Wakati wa mungu ndo wakati sahihii😊
@willykikwete31762 жыл бұрын
Dogo yupo vizuri kiukweli. Nakutakia kila lililo jema kwako!
@mackzedon66112 жыл бұрын
Anaweza sana huyuu jamaa
@georgedamas70972 жыл бұрын
Zembwela umeongeza mzuka kwa Dogo big up.
@YusuphMarcOgaga2 жыл бұрын
Zembwela anadhani u jaji ni kuwa kauzu......aangalie British Talent show ajifunze ujaji anamuondoa mtu kwenye reli anadhani anakosea
@georgesamwelchacha76802 жыл бұрын
Zembela anazingua Mpelekeni kwenye bondi za korosho huyo make ni mgumu hachekagi huyo 😂😂
@emmanuelmasoko10134 ай бұрын
Anachekea tumboni
@AsumanAbubakar14 күн бұрын
Atakuwa ana bandama 😂😂😂
@MagrethAlly-wd5sx Жыл бұрын
I favorite the song ❤❤❤❤rose and fenny the qn of power
@jamesmachiwa36798 ай бұрын
Kiukweli Nashidwa Kujua Kwa nn Sijawahi Ona Comedian Anaeweza Nikuta kuchekesha. Naombeni Siku Moja Tanzania itakwe nda kunitambua na Mm nitaipeperusha Bendera kote mbali
@amimuabdul90232 жыл бұрын
Nataman saan kuona bato ya huyu mwamba pamoja na Mr. Romantic
@gladnessmrosso29902 жыл бұрын
Huyo jaji mwingine amekaa Kama bodyguard 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@kennyamen6282 жыл бұрын
Zembwela uyo
@Lee-ng5wh Жыл бұрын
Mpk anaboa
@michaelibrahim3746 Жыл бұрын
Very nice
@OfficialKajengaАй бұрын
Jaji ni atary huyo
@OfficialKajengaАй бұрын
Jaji ni atary huyo
@3kings632 жыл бұрын
We need comedy like this one wengine wao wanajua wanawake tuu hakati tuna maisha ya zaman ambayo ni zaid ya kichekesho
@OrecyOwden2 жыл бұрын
Yah point
@newgeneration95242 жыл бұрын
Wanaongelea kuhusu ngono tuu
@edwardjosephchacha7167 Жыл бұрын
Yani watu wengine walikuwa wanacheka zembwera maana alikuwa amekaza sana
@josephkioko18098 ай бұрын
That guy In suit Ako serious sana.
@langemwepesiАй бұрын
Haawezi enjoy hii show anajifanya amevaa uhusika wa kijinga kweli,jiachie jienjoy😂😂😂
@peterkyebwe2089Күн бұрын
Dogo Leonard upo vzr mie kaka yko npo kama shabiki wko geita karibu my name peter or raster upo vzr nakufatilia toka final yko na eliud upo njema Sana..
@jomwenomkal Жыл бұрын
Sky revolution tishaaa saaaanaaaa mwamba orecy in the beat
@user-cp9fb3hd6k5 ай бұрын
Unaweza Sana
@user-nb1pn9qh4e6 ай бұрын
Blo wewe ni fundi nakubali lakini Nina option Moja utunge Story "make msomi na Mme ambae hajasoma Kwamba sasa ikatakiwa wote wawepo kwenye mkutano make na Mme sa mkutano huo unfanyika Kwa kingereza mume hajasoma sasa itakuaje Ili wasiumbuke wakakubaliana Kwamba ikitokea habali yakucheka make atashika pua Ili mMewe nae acheke asije kuonekana tofauti sasa make kasahau Yale makubaliano kashikwa namafua kashika pua Mme kama sikacheka watu wakaandamana wakasema jamaa chi bonge lastory wewe fundiutajua unafanyaje
@davidjosehp65662 жыл бұрын
Good boy kazi nzuri
@robbysonpeter85752 жыл бұрын
Niaje
@user-pt9wu7ff1p3 ай бұрын
Leonaldo we hufai nakutakia matawi kaka fumba mbali mana huzuirik tu wewe Mungu awe nawe blood mmasai shabik yako apa,,❤
@oscarmarandu76212 жыл бұрын
Alafu hatuna time na zebwela si tunacheka tuu.
@AbednegoMashukra-sm4uf Жыл бұрын
Blessed kjana
@user-kw8bo1ut8s5 ай бұрын
Ulistahili ushindi kaka angu love u
@ahmedmsangi16532 жыл бұрын
Kweli utabiri wangu ulitimia
@janesmbuzi3935 Жыл бұрын
Kwani zembwela nini jamani 🤣🤣🤣🤣😂😂😂
@abidandastanmaliyatabu1373 Жыл бұрын
Zembwela hacheki kakunja kweli ,😂😂😂😂😂
@amantz6508 Жыл бұрын
Mkali wa misimu yote ndaro OG🎉🎉🎉❤
@fadybeatz Жыл бұрын
😅😅😅mamae iyo ya daladala ilishanitokea
@pillyramadhani37268 ай бұрын
Congratulations ♥️
@user-nj9wy5be2t9 ай бұрын
Noma sana Ila zembwela acha izo sapot vijana bsna
@user-fb2pi4kt7f6 ай бұрын
Umeuwa mwanangu 👏👏
@chimdamianvi7522 жыл бұрын
Dah yani mim sichoki kutazama hii
@user-gc8bx8zh3n8 ай бұрын
Mmm hicho kibaba kipo Kama bodigadi sura ngum hatakiwi kabisa kuwa sehem hiyo
@rafaelymagehema36063 күн бұрын
Tx dullah alikuwepo hapoo
@user-rs4ft6ig7v6 ай бұрын
Wew Ni Mwamba💪
@adammanyendi7577 Жыл бұрын
Uko sawa kaka
@kalistkalisa5825 Жыл бұрын
Nakubar kaka
@joakimukenedy35822 жыл бұрын
Zebwela mnamwejaga wa nini narisura lake kama tako
@victoriarichard87614 ай бұрын
😂😂😂😂
@AishaAthumanimohamedi3 ай бұрын
😂😂😂😂wewe
@AishaAthumanimohamedi3 ай бұрын
Yako Tena nimechoka Kwa saunti. Mnooo
@glifehack599715 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@mariamally8548Ай бұрын
Hapo hapa mchekeshaji hata mmoja hao wote vicheko vyao vipo karibu
@Baba_Ben.Ай бұрын
Kwa kweli
@hasnajuma55672 жыл бұрын
Hapo kwakuludi kwa wenzako nimecheka mpaka bas🤣🤣😆
@husseinchiaseeds26532 жыл бұрын
Huyo mwenye miwani sasa
@AsumanAbubakar14 күн бұрын
Daah uyu ndo no one comedy tanzania nanianabisha nihatali sana 😂
@bumbuli41702 жыл бұрын
Zembwela mshamba sana
@user-vd8du8fo8r Жыл бұрын
Zembwela jaman😂😂😂😂😂
@happynkya977010 ай бұрын
umetisha lakini naomba kuuliza huyo zembwela hapo amekuja kufanya nn
@OrecyOwden10 ай бұрын
Ahahahaa hahahaha
@adamrajabu231Ай бұрын
KAMA UMEMUONA TX DULLAH GONGA LIKE HAPA😂😂
@mohammedkidody56183 ай бұрын
Huyu leonardo anajw mpk anakera😂😂😂
@jovinjames6130 Жыл бұрын
Wanng kuna mjomb aliyevaa miwan achek cjuh ana bandama
@emmanuelmasoko10134 ай бұрын
Anachekea tumboni
@kondoatown87652 жыл бұрын
Majaji wamejaji kihalali kbsaa
@davianofficial69722 жыл бұрын
Zembwela mjinga kwamba ndo kujitofautisha au nn ushamba tu
@emmanuelmasoko10134 ай бұрын
Anachekea tumboni
@GivenMwatebela-hi3trАй бұрын
May God keep you longer
@NaphyMacmillan-jh3vc Жыл бұрын
Tulia kwa kutulia msanii wngu apa Naphy sky sky revolution njoo dom tufanye kaz
@lamerckmsuya55132 жыл бұрын
Kaliiiiiii
@victorosong132Ай бұрын
Kiongozi awe na akili timamu😂😂😂
@lewismpangala9272 жыл бұрын
Zembwela Kama FBI agent
@ufugajiwetu7782 Жыл бұрын
Ana sifa tu
@user-qs7jb4fu4h2 ай бұрын
Zembwela ana madeni vikoba adda yaan
@ALIMOHD-bk9lrАй бұрын
This guy is talented surely.
@phillydepay27902 жыл бұрын
So good
@user-ih7zp7kc2u2 ай бұрын
Kazi ya bibi inaonekana Leonard
@jarukhan_tz13262 жыл бұрын
Bofya hapo juu usikie Diamond alichokisema juu ya huyu dogo, "Leonardo lazima nimtimue"
@HahaRichardКүн бұрын
😂😂😂😂😂 unaweza ukakaxlika alafu unacheka bila kutaka
@ahmadsayyeed791022 күн бұрын
Nikuongezee nguvu Au inatosha dini yako 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@user-en6kd4yy6m Жыл бұрын
Ametisha mwamba 😂😂😂😂,ila zembwela mb!!
@josephiligo5855 Жыл бұрын
Baba Levo kanunu Sana
@user-rr5wq6sg6c2 ай бұрын
Sio baba levo ni zembwela
@medardboniphace2477 Жыл бұрын
Nakukubal bro 😂
@YahayaShabani-px1sh7 ай бұрын
Zembela unanini umenuna mwanzo mwisho na tinted yako usoni🤣😂🤣😂🤣
@johnzakayo1143 ай бұрын
Ana masifa tu na yeye,au roho ya kukunja
@mohammedkidody56183 ай бұрын
Kama jambazi
@MagdalenaHoja-jh9qg2 ай бұрын
Katajwa na dymondi kwenye nyimbo anavimbaaaa kashakua maarufu anajikuta
@user-nb1pn9qh4e6 ай бұрын
Bana kunA story fulani hiv mke na mme mke msomi mme hajasoma sasa yule mke akawa nimwajiliwa kwenye kampuni ikatokea mkutano kila mtu aende namwenzake sasa mkutano unafanyika kwa kingereza mme hajasoma wakakubaliana ili wasiumbuke kwamba ikitokea story ya kuchekesha mke kwakua yeye atakua ameelewa atashika pua ili mmewe acheke wakaingia mkutanoni story ya kwanza ikawa inachekesha akshika pua wakacheka jamaa alikuwa makini ili asimuaibishe mkewe sas mke kashikwa namafua gafla sunajua chafya mala pu kasahau makubaliano akashika pua mume wacha aangushekicheko wakamtimua
@TwaibuSimbaАй бұрын
Namkubaliii sana❤❤❤
@rashidkipingu73582 ай бұрын
Umetisha sana
@JonathanMakadi-td9jm21 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉 hahahahahaha 😅😅😅😅😂😂😂😂🎉 kaka Zang
@Harmocriss-xb5id8 ай бұрын
Ila kusema kweli wana komed bang lazima
@user-wb5nl9yt5n Жыл бұрын
Moumaa sana
@amooh_tz2 жыл бұрын
Kaz nzur
@fatmakhamis99822 жыл бұрын
Haishi hamu hii comed hasa yahuyu jamaa nampenda
@samwelcharles44502 жыл бұрын
Hahahaahah guyz hii ya dereva kusali ilintokea nilimuona dereva wa basi nililopanda kabla ya safari akapga njia ya msalaba hakiamungu niliwaza safari nzima afuu ilikua usiku
@strong8534 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@SamwelEmanuel-ib2yp25 күн бұрын
Kusema kweli nimecheka had nikahis utumbo umekatika
@shefaceboys26982 жыл бұрын
Noma huyu
@Edumastermind01Ай бұрын
I dont know what language he is speaking lakini jamaa anajua sana
@bonnysure87062 жыл бұрын
Zembwela umeeenda kufanya Nini mbona hucheki
@maxmilianimwakaniki26712 жыл бұрын
Nakukubali Sana leonaldo
@NurhathSalumu11 ай бұрын
Kinacho mfanya baba level asicheke nn❓❓❓❓❓❓❓
@alfredbizimana7814 Жыл бұрын
Hilo lijama jeusi limenuna kamamfuko wa mkaa uliyo loana kwenye maji, senge sana! Kwani limekuja ku judge Nini hapo, Bora walipeleke Sudan likakutane na wenzake🏃🏃🏃
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
😆😆😆😆😆
@gibsonjosephat63523 ай бұрын
Nilizembwela kuma
@deboraelias33333 ай бұрын
😂😂😂😂 kilichompeleka cheka tu ni kitu gani sijui
@Benkimelock10 ай бұрын
Uyo jamaa wa macho nne anajilazimisha asicheke kbx yaan😂😂😂
@emmanuelmasoko10134 ай бұрын
Anachekea tumboni
@davianofficial69722 жыл бұрын
So talented
@ArnoldJackson-zg6wzАй бұрын
Anaweza San huyu jam
@user-do5vd5uu2e9 ай бұрын
Achekeshi ndo mana zembwela kabinyau safi sana
@antazypoka3752Ай бұрын
Chekesha ww
@irenekaro284810 ай бұрын
Zembwela alishazoea kuchkesha kwa kutumia nguvu sasa vijana wa sikuizi wanatumia akili sana ndo maan acheki
@GoodluckMwakibuja23 күн бұрын
Kama unamkubali Tia like
@hukuUJERUMANI2 жыл бұрын
".. kata ushanga hamna namna"🤣🤣🤣
@rashidimakanjila11 ай бұрын
Tktk
@user-mt1dr8ph3pАй бұрын
Nimejikuta nacheka mpaka majirani wakajuwa leo nina mchepuko ndani 😂😂😂😂😂 wasoma comment msinikanyage please
@AchuzkixАй бұрын
Niko na wewe 😂
@officialtbrizzy86432 жыл бұрын
😅😅😅nampt huu mwamb
@jacksonmathayo7988 Жыл бұрын
Best one
@veryniceswai44692 жыл бұрын
Yuko good sanaaa
@yusuphmaginya5859Ай бұрын
Kwa kifupi huyu jamaa ana akili sana ktk ucheshi wake
@JoyceAdamukisagati-hy7gr21 күн бұрын
Jaman hapo nisehemu ya kucheka sasa mtu kama unajua hutaki kucheka sasa umeenda kufanyanini?? unatisha wenzako bana
@saidkanji98822 жыл бұрын
Zembwela unajifanya kauzu sna
@masatumalima536714 күн бұрын
Kuna jitu hapo lina roho mbaya limekunja sura tu
@joeljohn6351Ай бұрын
Zembwela kama senge vile lipo seriously wakat yeye mwenyew alikuwa hatuchekeshi kabisa
@ElkanaPetro Жыл бұрын
Noma
@yflon2 жыл бұрын
Hhhhhh nilikuaga sijui eti utaniua unachekesha sana