Asante sana mentor nanauka mbinguni taji yako itangaa kama theluji umegeuza maisha ya wengine kwa kuijua thamani yao halisi, hivyo miongoni mwa ulio walea nakuwajenga ni mimi mungu akupe hekima zaidi ya suleman nifuraha yangu kama mungu atakupa wito wa kuliongoza taifa letu watu watakuwa vile mungu amesema kwa maisha yao amen
@user-jt3yw1gz2jАй бұрын
Brother Joel unanigusa Sana sehemu nyeti kwenye Maisha yangu, unanifanya niendelee kuwa positive Mungu akubariki Sana uwezo wako ulionao unatusaidia Sana, wenda Mungu amekuoa hicho kipaji ili utusaidie na wengine...
@user-kr9xi9lo3z19 күн бұрын
SoMo zuri brother
@FurahaIddySeleman-xl2idАй бұрын
Ubarikiwe sana kaka
@PrinceMugashaАй бұрын
Aisee bro nakufatilia sana kuna vitu vinaenda afadhar baada ya kukufatilia wew naweza nikawasiliana na wew
@chegemazuku2623Ай бұрын
Hii speech ni mzuri sana na unanifanya kua active Kwa kila jambo...so nahitaji kujifunza kitu kipya.#Hongera sana Joel Nanauka.
@michaelsafariАй бұрын
Huu ujumbee ni mkubwaa sana juu unamaana kubwa Muhimu
@paschalmasanilo2617Ай бұрын
Amen 🎉
@devothabigawa1473Ай бұрын
Asante sana kaka
@navioma4882Ай бұрын
Ahsate kaka❤❤❤
@user-qv3eo5pb3gАй бұрын
Shukran joel❤❤❤
@NdalahwaJohn-lx9rqАй бұрын
Something great i got,,, be blessed 🎉
@MichaelErnest-do5ycАй бұрын
Ahsante Sana brother mungu akubariki nikuombe kitu naweza kuwasiliana na wewe