Hbr kaka. Shukran sana. Mungu akujahalie Afya njema
@shukranjulius95266 күн бұрын
Sijawahi juta kukufatilia kaka Joel Mungu akuvariki sana
@user-vk5vi3es5g3 ай бұрын
Mw/mungu akubariki sana kaka Joel. Kiukweli ukiwa NA maono ata km unapitia nyakati ngumu kuna nguvu inakuja na imani kuwa ulivyo Leo sivyo utakavyo kuwa kesho,, nipo Oman huu mwaka wa 4 na napititia changamoto nyingi kuna wakati adi unakata tamaa lakin nguvu ya maono niliyonayo inanipa ujasili na kuzid kupambana ili kesho yangu isiwe km jana na yote ni kwa sababu ya maono niliyonayo juu ya maisha yangu japo cyo kazi rahisi kwa uku uwarabuni but Allhamdullah
@bina2557Ай бұрын
Aisee mimi kila siku napata elimu mpya kaka Joel Nanauka you are the best
@janetmbwana5534 ай бұрын
Ameen Ameen 🙏🙏 praise the Lord 🙏🙏 Asante sana kaka Joel nimepata nguvu mpya kabisa mana na mm nipo kwenye kipindi hiki cha mpito kiukweli ni kigumu sana Kuna muda naona kabisa nashindwa kuendelea mbele😢lkn nakumbuka hii sio final destination yangu ko nasimama tena na tena 🙏🙏🙏hakika leo umesema na moyo wangu Mungu akubariki na aendelee kukutunza kilaa iitwapo leo🙏🙏
@joelnanauka4 ай бұрын
Nakuombea Uvuke salama na uvuke kwa ushindi
@RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny4 ай бұрын
Shukrani sasa my brother Joel kwa mafunzo ya leo nimejifunza mengi sana ubalikiwe ❤❤❤
@RamadhanMtaki-sw1gx4 ай бұрын
Shukrani sana bro
@user-cd8rc5jp2i4 ай бұрын
Joel nanauka Joel nanauka Joel nanauka Joel nanauka Joel nanauka Joel nanauka Joel nanauka Joel nanauka Joel nanauka Joel nanauka Nimekuita mara kumi... nimegundua kitu kutoka kwako.. yaweza kuwa wazazi wako walikulea vyema ndo maana upo kama ulivyo au ulilelewa na kuzungukwa na watu sahihi au icone ya familia yako kuna mtu alikuwa au yuko kama wewe...Mungu kakuleta duniani ili uponye watu kwa namba yako ya kipekee... kuna wakati nawaza je ungekubali kwenda kusoma nje ya nchi wengine tungekuwa wapi? Ila ulikataa kwa sababu Mungu alishakuandaa kuokoa maisha ya watu wengi. Ur blessed and naamini kuna siku sanamu yako itajegwa mahali.🙏🏾
@LusajoMboli-ef2xx4 ай бұрын
Mungu amuweke huyu bwana uwezo alio nao sio mdogo watu wa hivi huzaliwa Mara chache Sana hapa duniani akiondoka huyu jamaa unaweza kuta baada ya miaka hata Mia ndio anatokea mtu wa dizaini yake
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameen Ndugu yangu, Ahsante kwa maneno yako ya baraka. Endelea kuniombea🙏
@user-cd8rc5jp2i4 ай бұрын
@@joelnanauka upo kweye maombi yangu kila siku kwani umekuwa mwanga ulio tumwa kutuongoza juani
@tinahosea40314 ай бұрын
Ameen 🙏🙏
@goldiegranted55014 ай бұрын
MWENYE MAONO ,HAKATI TAMAA MAPEMA ✅🏆✅
@joelnanauka4 ай бұрын
Ni kweli kabisaaa
@Johmery4 ай бұрын
Naisubiri hii mkuuu❤❤❤
@joelnanauka4 ай бұрын
Safiii, tukutane asubuhi saa 12 kamili tujifunze
@user-xv6lq2st1p4 ай бұрын
Asante sana kaka nakuelewa ipasavyo🙏
@goldiegranted55014 ай бұрын
Shukran Sana Kwa somo PROF✅,,,,Naishi nayo hii_AS LONG AS I CAN LOOK UP💯_I CAN STAND UP🏆
@joelnanauka4 ай бұрын
Kabisa, hakuna kurudi nyuma
@goldiegranted55014 ай бұрын
@@joelnanauka for real 💯✅🏆🔥
@mohamedmaokola77914 ай бұрын
Ahsante sana kaka tupo pamoja,,,nakufuatilia sana na sasa niko na mabadiliko chanya kupitia wewe,Mungu azidi kukubariki🙏🙏
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameen Ahsante sanaa
@user-zs8vc1xx4z4 ай бұрын
tuko kwenye zamu tukiingoja,ubarikiwe saaana kaka JOEL❤❤❤🤝
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameen tutakuwa pamoja saa 12 asbh
@emanuelchanya51824 ай бұрын
NITAENDA KWA KASI KWASABABU YA MAONO
@rollahngimbwa69784 ай бұрын
Shukran sana kk joel 🙏🏽. Kila siku naongeza maarifa mapya kupitia video zako. Nitaishi na maono daima🙏🏽
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameen nashukuru sanaa
@Eziron9Vyats4 ай бұрын
Ahsante sana kaka kwa malifaa ulisha wah nitoa hatua moja kwenda nyingne kupitia vitabu vyako see you at the top
@joelnanauka4 ай бұрын
Hongera sana sana🎉
@Eziron9Vyats4 ай бұрын
Ahsante sana pia
@user-jk3ex8ol2y4 ай бұрын
Ubarikiwe sana brother Joel 🙏
@hassanihassani71544 ай бұрын
Tuko pamoja kaka hatua kwa hatua
@user-uj3ld6ni1s4 ай бұрын
Asante sana Kaka ❤
@joelnanauka4 ай бұрын
Karibu sana
@user-rw3jx4bx4i4 ай бұрын
Ahsantè sana
@shijandobehe49534 ай бұрын
asante sana mwalim 🎉🎉🎉
@user-cd8rc5jp2i4 ай бұрын
🎉❤
@priscalongo60904 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki mtu wa Mungu
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameen nashukuru sanaa
@hajihemedi51894 ай бұрын
Asante Kaka
@faudhiasalum72794 ай бұрын
Upo kwa jili Yangu 😢 brother ❤
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameen Ahsante sana
@masudibaja4 ай бұрын
Kaka Joel,,siku zote nikitazama video zako zinatia moral katika maisha yangu.
@joelnanauka4 ай бұрын
Amen Ameen, Songa mbele
@user-tu1uh5sy8e4 ай бұрын
Kazi njema nanauka
@joelnanauka4 ай бұрын
Ahsante sana
@ashangonyani79894 ай бұрын
Mungu akupe umri mrefu sana. Asante kaka angu.🙏
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameen Ameen
@faudhiasalum72794 ай бұрын
Na kinanda kipo juuu sana brother siyo mara moja
@joelnanauka4 ай бұрын
Ahsante kwa maoni, tutaboresha
@JumanneNkina-rb2ys4 ай бұрын
Ahsante sana Kaka kwa Kuendelea kutufumbua vichwa vyetu muda so mrefu nitakuja kutoa ushuhuda wangu. MUNGU azidi Kukubariki
@joelnanauka4 ай бұрын
Mungu ni Mwema, ahsante sana sana
@will-cash46664 ай бұрын
🇧🇮🇧🇮🇧🇮💯💯✅✅🇧🇮
@akimustephano2864 ай бұрын
Nimeipenda mno ❤️❤️ ubarikiwe sana bro joel nanauka🙏
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameen Ameen
@user-iq7uq3qu9d4 ай бұрын
Safi
@alexandermajula72684 ай бұрын
Kila baada ya masaa 5 lazima nipitie page zako 🙏🙏🙏 Asante sana kiongoz
@isamosaidi86804 ай бұрын
Niko live kaka Joel
@joelnanauka4 ай бұрын
Safi sanaaaa🙏
@swachtech4 ай бұрын
begin before you are ready
@joelnanauka4 ай бұрын
Kabisaa
@joasitz95594 ай бұрын
You made my day, wish u more blessings 🙌
@joelnanauka4 ай бұрын
AMEEN
@WINNERBOYKE4 ай бұрын
❤❤
@user-jb5tb7qq5f4 ай бұрын
Uzidi kubarikiwa kaka tunakuombea
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameen Nashukuru sana sanaaa
@isamosaidi86804 ай бұрын
Niko live
@moseskenedy70424 ай бұрын
Naingoja kaka
@joelnanauka4 ай бұрын
Tukutane saa 12 kamili nitaanza kufundisha
@ViviKitchen234 ай бұрын
Amiina Kupitia mafunzo yako na vitabu vimenibadilisha sana,na mbinu ya kuandika kimenisaidia sana kila nilichoandika kweli kinatimia ❤❤❤❤❤ Ubarikiwe sana kaka
@joelnanauka4 ай бұрын
Ooh huu ni ushuhuda mkubwa sana, hongera sana
@veronicawangari80894 ай бұрын
Now I understand 👂
@joelnanauka4 ай бұрын
Ahsante kwa kuwa na mimi live leo
@joelnanauka4 ай бұрын
Safi safi, tuendelee kujifunza
@mahwabashiri54674 ай бұрын
Msukumo ndanii ya moyo wa kutimiza ndoto zangu ni kitu kinachonikosesha usingz
@joelnanauka4 ай бұрын
Safi Songa mbele hakuna kurudi nyuma
@jndema_4 ай бұрын
Mungu akubariki sana brother Joel
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameeen
@lucaspengo3104 ай бұрын
Vitabu vyako vinauzwag bei gni kk
@joelnanauka4 ай бұрын
zinatofautiana, tuwasiliane 0762 31 2171
@user-gz1cd6kn5j4 ай бұрын
Kweri kaka azina ya vijana Mimi apa ni meludi tena kwenye biashara ndogo zaidi kwani naitaji fedha kidogo tu
@EK-kp2np4 ай бұрын
Lugha sanifu: Kweli ( ❌Kweri) kaka, hazina (❌azina) ya vijana, mimi (❌Mimi,herufi kubwa hutumika mwanzo wa sentensi, au jina) hapa (❌apa) nimerudi (❌nimeludi) tena kwenye biashara ndogo zaidi kwani nahitaji (❌naitaji) fedha kidogo tu. Andika kwa usanifu ili wanaotaka kukusaidia waweze kukutathmini kwa kiwango bora
@paschalmasanilo26174 ай бұрын
Mie ninazidi kupata NGUVU ya kukamilisha dreams zangu nina imani nitakuwa leader mkubwa