Tulio kuja mbio 🏃🏃🏃🏃 baada ya kusikia jina la harmonize tujuane please 🥺
@nasmasalimu9508 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@arakali8735 Жыл бұрын
Tupo😂
@MkutiNandaja-rz3nk Жыл бұрын
😅😅🎉
@akimbashirwa9371 Жыл бұрын
😂😂❤
@eliaspatiu2472 Жыл бұрын
Tupo kabsa
@cathbertkendrick68606 ай бұрын
6month ago ila tunao angalia interview saiz kusikia anatoka na Harmonize 👍🏽
@AmCool_6 ай бұрын
Mzee wa STAFF LIKE THAT 😂😂
@sophiemaseno64366 ай бұрын
Here because of Harmonize. From🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@ivannoah Жыл бұрын
The king of interview @👊
@christophermhina6548 Жыл бұрын
Fire # The king of interview
@kikombeselemani62786 ай бұрын
Ukweli najuwa, mwanamke wowote anadamu ya kinyaru( Rwanda) kwanza hela. Yangine yote baadaye . Kwakusema umumiliki ni kumpa hela,
@sheilacruz64585 ай бұрын
Mbona usitulete harmonize sasa kwa hii podcast
@jforeign25411 ай бұрын
You got a new sub here 🎉 King
@itzsnazzyjazzy472 Жыл бұрын
Half man half amazing the Lil ommy himself big up ma brother ❤
@lusubilomwandambo57572 ай бұрын
Kumbe mnyakyuu
@JerinaNguto-vv1gt6 ай бұрын
Tunakupenda,sana
@wairimu9113 Жыл бұрын
Lil ommy my love,❤😊.. njoo nikudekeze😜
@user-qn1yq1pi7p5 ай бұрын
The lady is looking wow🤔
@davidibrahim91386 ай бұрын
Huyo ni mnyakyusa wala hana damu ya kinyarwanda, hata moja
@kendricgeorge6036 ай бұрын
Kwa akili ya kujiongeza huyu mwanamke for me hafai kuwa mke wangu kama mi ningekua harmonize, because mwanamke anayejisifia anatafutwa na wanaume wengi, anaona kwamba she is the only who deserves good treatment, yani sura nayoipata hapo ni kuwa she is selfish in love and also anahisi kudate na mtu ni kama anamsaidia tu since anatafutwa na watu wengi. For me personally she don't deserve to be a wife. Am sorry kama nakosea
@blackwarrior-animations5936 ай бұрын
Don't be sorry bro! Speak your Mind .......ni kweli kabisa ulichosema
@geomangi61236 ай бұрын
true huyu ni malaya ka malaya wengine
@Mina.155 ай бұрын
😂😂😂 na nimuongo
@The_Royaltourer20064 ай бұрын
Inatakiwa waanze na kulipa kodi
@ericasamwangwa66713 ай бұрын
Upo sahihi kabisa...Anaona kama ukiwa nae kama anakuhurumia
@alexboidy-or4ti6 ай бұрын
Really ideal bro ❤❤
@limbomambo97286 ай бұрын
Wapenda pesa kuliko maisha yako
@m___ck7996 ай бұрын
..and now their dating😊 Harmo&PoshQueen
@ShilalaShija5 ай бұрын
Posh queen, beautiful girl nakukubal san
@JojoMomo-et4zv6 ай бұрын
Ommy usijisafishe mzee… Mwanaume hajaumbiwa mwanammke mmoja Nevaaaaaa,kama yupo huyo hana pesa
@hassanbakari4525 Жыл бұрын
HELA NI NATURE KUIPENDA LAZIMA, AU YE ALIAMBIWA NA NANI, WENZIE HAWAPENDI HELA
@misalabandimanya2423 Жыл бұрын
The king of interview
@user-nb4gt2zf8d2 ай бұрын
Hatarii kabisa kazi ipo.
@FernandShabani-er1cw2 ай бұрын
Nawafyata toka Congo DRC
@user-mv5iy9ih3b5 ай бұрын
Omy, kitambo Sana nakubali kazi zako kila unako amia ila nikichukizwa Sana mambo ya makundi kushiliki uchochezi hii sio poa unauwezo mkubwa wa kufikili na kusikika wwe Kama wwe na sio mtu na mtu
@Chrisblaze-beats Жыл бұрын
HARMONIZE IS A BIG NAME.
@user-ok3dm2yh4j Жыл бұрын
Bring Anjella next.
@yousramutwale2463 Жыл бұрын
Nice interview 🥰🥰
@somaliandnorway Жыл бұрын
Always amazing lil omy
@andersonkipkemoi25276 ай бұрын
Dada anaota hela sana😅😂
@chainbre2756 ай бұрын
Sasa tuwache kusema o hamo kamuimba girlfriend wa dj wake kumbe poshy alisha mzimia harmonize kutambooo😂😂😂
@user-kt2bi4pn6t5 ай бұрын
yup weng san
@singanoabbas6696 ай бұрын
Siyo kweli mwanaume akipata hivo vyote utulivu lazima.... Me ni mwanaume nina ndoa zaid ya miaka 17.. Nimeona when niko form 6... Ila kuna jamaa yetu mmoja hivi ana respect ya kutosha kwa mkewe 7bu mkewe ana respect na yeye... Tulisha mtumia wasichana tofautitofauti wazuri,,hadi kumfungia ndani na mwanamke ila jamaa ni mstaarabu sn haja cheat... Kwa sababu hakosi chochote kwa mkewe... Hivo kifupi... Wapo wanaume wenzetu ambao wako SMATER THAN... Wewe unao cheatiwa ujue kuna tundu kwenye bati lako... 😂😂😂😂
@minzamariamcasmir1895 ай бұрын
A man doesn’t cheat akiwa na discipline tu. Hizo zingine zote ni excuses. Kuna alot of steps to take kama kuna kitu unakosa kwa mkeo mpaka kufikia cheating ila wanaume wasio kua na nidham ndo wanakurupuka na kucheat because hawawezi kucontrol tamaa zao afu wanasingizia flaws za wake zao. Mbona hata nyie wanaume mna flaws but wake zenu hawacheat because of mapungufu. Wakicheat because hawana nidhamu and it’s a choice too
@officialjorkeper5049 Жыл бұрын
Lil ommy kula chuma hyo 📌
@gwidjiqshabani2082 Жыл бұрын
HARMONIZE 🐘 NI KING OF BONGO FLEVA 🇹🇿 ATA BOSS WENU ANAJUWA. NDOMAANA HAMSHINDWI KUMTAJATAJAA👊👊 KONDE GANG HQ. TUPO NGANGARIII.🐘🐘
@subirajohn728 Жыл бұрын
King wa wapi tutolee Uchafu waki
@chrisk.efreestylerofficial149 Жыл бұрын
Tukulaumu wewe au bangi?
@zaidiissa3714 Жыл бұрын
Ache kujaza upepe mmakonde bado underground sana
@tabiangonyani35264 ай бұрын
😂😂😂😂watu waoga Sana nilichogundua mashabiki wa konde hamjiamini kabsa Nacc tunawaambia mtasubir Sana Namba moja wetu hapa tz atabaki kuwa mmoja2😅😅😅
@Bob-kz2ql Жыл бұрын
Mamae walah tutafute mzigo yani HELA😂😂😂😂😂
@adkajisi45366 ай бұрын
Umeongea kwa hisia mkuu
@ngayaimkwe5175 Жыл бұрын
Mdangaji kama wengine
@bestmilltz70714 ай бұрын
Wow, she has got an accent
@mashaurimasolwa26014 ай бұрын
staff like that
@subirajohn728 Жыл бұрын
Mond❤️❤️❤️
@stevkaliona41075 ай бұрын
Mademu wa bongo rahaaaa sana hawana ndoto wanapenda maisha ya shortcut halafu yanawagharimu sana😂😂😂
@user-tf9gh8iu5s4 ай бұрын
Sio wot
@user-he9wf2uf7y Жыл бұрын
sana🎉
@ndally7864 Жыл бұрын
Kuna siku nitasema 🙏
@rizoibrahimovich605 Жыл бұрын
Posh queen
@faustinhommedetatnifasha96696 ай бұрын
Jina la #harmonize limechangia veuws kuwznyiiiingi saaana Nando video imekuwa nawatazamaji wengi kazidi in#2023 #Harmonize💪
@user-rr6zh5uf9y5 ай бұрын
Ommy We miss @country WIZZY here
@user-wl4uy7qv7uАй бұрын
Huy dada mbaya jamn bora kajal
@successpatience7641 Жыл бұрын
Yaani utumwa wa lugha ni tatizo sana
@stamillusatila90845 ай бұрын
Kweli kabisa
@jaffjeff69123 ай бұрын
Na hautoisha
@DianaMatete3 ай бұрын
Kweli kaka, yaani watu wanalazimisha lugha bhana
@charlesmasele8454 Жыл бұрын
Hiyo "poa baby" isisafiri sana maana #TAMBWEE sio pigo sake hizo.
@FernandShabani-er1cw2 ай бұрын
Nafurahiya sana interview zenu
@IssahYasini6 ай бұрын
Nah hatar sana mamb ya maokoto😂
@evansdecaprio81966 ай бұрын
We muuza k tu yani unaweka mambo hazarani kabisa
@user-oi3pf6dj8t5 ай бұрын
Namkubali kwel huyo jamaa
@Lanihsarumu3 ай бұрын
❤❤
@Mohaa4309 Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@SuphianiSemunyu5 ай бұрын
Hao wanaume wengine wanafata maji
@hajiali8820 Жыл бұрын
Nimeingiya baada yakumsikia conde
@Mina.155 ай бұрын
Kachaa ndio nini 😂
@ellgodfather2825 ай бұрын
Brother interview mmetuibia MB
@salomemlagila57572 ай бұрын
Mnyakyusa mwenzangu
@msafimedia Жыл бұрын
03:2
@lusseraymond5449 Жыл бұрын
Enheee
@alantonio855 Жыл бұрын
Kaka Ommy unaendaga mjini ukimzungumzia Kondeboy...watu wengi walikuja kukuskia baada ya kuandika jina la Harmonize
@odetharwaibale49635 ай бұрын
Brabraaaa and staff like that 😅😅😅😅😅😅 dah mwandishi kiboko
@badmanno.16506 ай бұрын
Kaa kaaida
@EmanuelNicholaus-vn9gl6 ай бұрын
King 👑 of interviews
@Official_craizejaw Жыл бұрын
Ashh
@harmonaize3.1m18 Жыл бұрын
☝️
@startz24 Жыл бұрын
Baby tena mzee kukwamuwe apo
@ashakijaji58693 ай бұрын
Yaani majanaume yanapenda kuheshimiwa,wakati hiyo heshima haiji bure
@majaissa Жыл бұрын
NATAKA KUMUOWA UYO DADA.SHIDA NI MUNYERWANDA
@user-pe8wh5bw2hАй бұрын
Umepend hel au jic alivyo
@Mondkingali Жыл бұрын
I’m here bcz of harmonize name
@estermahenge-ks3dr Жыл бұрын
wanaume bado mna kazi endeleni kutafuta pesa 😂
@adkajisi45366 ай бұрын
Kwa kweli
@shaanaseeb9423 Жыл бұрын
😍😍😍😍🔥
@jahhloveyou4462 Жыл бұрын
Mona Hawa madada wana Sauti sawa
@kelvinstewart659511 ай бұрын
so money is the thing she cares most........kazi ipo
@ahz69076 ай бұрын
Amekuwa mkweli..😂
@panzamarthinie99584 ай бұрын
😅😅😅😅😅 mimi apoo
@cassianmkeko1514 Жыл бұрын
Hiyo akili yenyewe ya kuajiliwa anayobasi ni kilaza no 1 show off tu Eti mdogo🔥 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@spreadlove5300 Жыл бұрын
Are you a genius one 😮😮😮 negative azz
@sakinaomary72074 ай бұрын
yeye namba mbili sanchi anaanza
@user-vi9bu7xv6h4 ай бұрын
Etianapenda hela hamo ajipange
@GivenTobago Жыл бұрын
lil ommy ka kaaida
@nyimbompya Жыл бұрын
INTRO NI KIPINDI KAMILI
@flinchclassic1531Ай бұрын
Kwaiyo harmo anapendwa juu ya pesa
@MarthaBura-or8feАй бұрын
Ila hamornaz anatakiwa kuwa makini sana na Hawa wanawake
@talents79346 ай бұрын
Hana ata kalio kama la Kajala😢😢😢😢ukimweka Pima Maji kuanzia Mgongoni hadi mguuni itasoma level
@annasolomon98555 ай бұрын
Unaota ndoto za mchana ukiwa umekaa kwenye Kochi.. huyu dada anashepu nzuri sana kajala haingii hata robo.. acha kimcompea na kajala. Kajala mashalla lakini poshy umeumbika vizuri kubali ukatae 😊😊
@homeandaway2811 Жыл бұрын
English sasa aaaam uuuuh ummm mhhh like like 😂😂😂😂 hapo anajiona mmarekani 😂
@user-ug3lu2km4c6 ай бұрын
😅😅😅😅nimecheka c waongee tu kiswahil tunajua wanajua
@user-xh7xf2ki3rАй бұрын
😂😂😂😂😂 kunogesha interview
@christainc.5217 Жыл бұрын
❤😂
@danieljoseph7120 Жыл бұрын
Uongo bwana
@umsulaiman7468 Жыл бұрын
Posh uraho amakuru uri mwiza koko urumunyarwanda mama wawe nu mutusti niyo mpamvu uri mwiza
@Mundi-oz7os6 ай бұрын
Nimewahi kuona watu wanajidhalilisha lakini huyu binti amevunja records zote. Lugha anayotumia ya kujifanya mzungu , kujishauwa, kisha philosofia yake ya maisha kama kupenda fedha sana. Ati pesa ndiyo itakayofanya asicheat. 🙄 Ni vigumu kuona umuhimu wa kumsikiliza mtu kama huyu ila tu kujifunza kuwa baadhi ya watu hawana thamani yoyote bali vyombo tu🤮
@ladislausngoyinde43844 ай бұрын
😂😂, kabisa na nyongeza ni kuwa watu wa aina hii hawana muono chanya wa mbele, ukiwa naye usitegemee atakushauri chochote cha maana zaid ya starehe tu
@shuckahboy4241 Жыл бұрын
Nime view hii interview after see the name of konde 4 real
@eddymudindi9166 Жыл бұрын
Same
@vanessastafford64265 ай бұрын
Tuna kuelewa hakuna asie penda pesa
@youngvalentin-ct6ck4 ай бұрын
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩❤️
@luisojr3480 Жыл бұрын
Mvp King himself
@salomemanga13236 ай бұрын
kondeee boyy
@user-fd4dt9zo2g Жыл бұрын
Huyu mrembo nimempenda bure, very smart
@JosephOsanya-ik7bk6 ай бұрын
Hiyo ni mali safi
@hajiali8820 Жыл бұрын
Kumbe bila kuandika jina la harmo interview zenu aziwezi kwenda