Asante dr wangu kwa kushusha sukari kutoka 19 hadi 6 kwa kutumia kitumia kitabu cha sayansi ya mapishi
@hidayaswai311910 ай бұрын
Mungu akutunze kwa ajili ya watu. Hiyo ndio dua yangu kwako kila siku. Asante kwa ibada ya kusaidia jamii. Utalipwa rafiki na Mungu. Nataka mm niwe shuhuda wa kupunguza kilo na kufuata utaratibu kwa dada yangu mwenye sukari Nimeanza kukufuatilia mwanzo wa mwezi wa kumi 2023
@tunsumemwajumba714911 ай бұрын
Asante Dr wangu mungu akupe maisha malefu
@marysamuel59733 жыл бұрын
Doc Boaz,hongera Sana,you are saving lifes.
@mapendoumoja8007 ай бұрын
Shukrani dakitari ❤❤❤
@rochardlwena2977 Жыл бұрын
W we dokta mungu akupe maisha marefu sana unaelimisha safi sana tungeku tunakufatilia toka mwanzo akika tungeepuka magonjwa
@danielmwakatumaakimu1050 Жыл бұрын
Asante doctor
@user-qz1yr5ib7e7 ай бұрын
Habari doctor samahan naomba unifafanuzi wa vyakula mfano vya mafuta ni vipi na wangani vipi na protin ni zip samahani sana nakuomba unitumie
@DrboazMkumboMD7 ай бұрын
0787 999 994
@hamidafundi58903 жыл бұрын
Asante sana Doctor Mkumbo , nimejifunza 🙏
@yasminjuma6632 жыл бұрын
Ahsante doctor.Mungu akubariki amin
@hemedimandai3678 Жыл бұрын
Asante dct Mungu akubariki
@juliethmziray Жыл бұрын
Asante kwa soma je kinywaji gani kizuri cha chai
@blancaurassa53172 жыл бұрын
Nakushukuru kwa some zuri,inabidi nijitahidi sana kula vyakula hivyo kwa ajili ya kinga.
@devotastambuli8642 жыл бұрын
Asante Sana kwa mwongozo
@dianaaloycemakoi19856 ай бұрын
Nini kinasababisha ulimi kuwaka moto kwa mgonjwa wa kisukari
@edwardvelidiana18643 жыл бұрын
Asante drwangu
@user-fz2hb9bk8p2 ай бұрын
Je mgonjwa wa kisukari anawez kula nyama nyekundu?
@kadijahajali39183 жыл бұрын
Habari za huko
@jeniphermlay29462 жыл бұрын
doctor naomba uongelee bia ina wanga kiasi gani kwani wanatudhibitishia serenget haina sukar