Ujumbe: Maombi ya kipindi kigumu kwako Andiko: Zaburi 13:1-6 Pastor: Innocent Mashauri SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI: M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Пікірлер: 33
@WinfridaMakina13 күн бұрын
Asante YESU nasubir naamni unaenda kufanya kwangu asante sana YESU Imani yangu nikubwa mno akina kinacho shindikana kwako kwangu Aminaaa
@dorahalfayo35514 күн бұрын
Amen, Asante kutufungua akili zetu, mtumishi wa Mungu.huwa tunapitia mambo magumu sana, Mungu nifunike na damu yako takatifu.
@oman587513 күн бұрын
Ee Mungu unisaidie sawasawa na mapenzi yako kwenye maisha yangu 🙏🏿
@RahabkRuth13 күн бұрын
Bwana Yesu nahitaji msaada wa uponyaji Kwa tumbo langu
@NeliaAmbele13 күн бұрын
Eee mwenyez mungu wajua ninacho pitia mda na wakat huu na majila haya. Baba nakukumbusha usiniacheee mim pamoja n familia yanguuu mungu nikumbuke na mimi
@user-vo9ck2vv2w14 күн бұрын
MUNGU nawakabidhi abel DEVOTHA DEBORAH MARTIN, MOURINE, LEE,NORLEE, IVA, NANGENOVIVI. NA WANA WA NDUGU ZANGU NAOMBA UWAPONYE NYAKATI NGUMU ZA DUNIA DAMU YA YESU IKAWE KILA KITU KWAO.
@WinfridaMakina13 күн бұрын
Asante YESU ASANTE YESU
@SaraMpozi-nf1yk14 күн бұрын
Amen
@WinfridaMakina13 күн бұрын
Naomba toba na REHEMA YESU ❤
@user-bs4jl5ou2y14 күн бұрын
Amen 🙏 🙏
@WinfridaMakina13 күн бұрын
Amina Amina Amina aminaaaaa
@collethageorge51213 күн бұрын
Baba nisaidie nijue kusudi langu kwako 🙏🙏🙏🙏
@SamsonHezron-cx8nt13 күн бұрын
Ee mungu naomba uiokoe familia yangu
@WinfridaMakina13 күн бұрын
Amina
@HeriethJoseph-cd8vk14 күн бұрын
Mkono wako usinipite Jehovah 🙏
@SYDEYLINET14 күн бұрын
HALLELUJAH BWANA usinipite kupitia NENO la Leo dhihirika kwangu,kwa huduma maitaji,watoto,mahusiano kwa kila jambo TENDA BABA asante mtumishi wa MUNGU kwa kutufungua macho AMEN 🙏
@MariaMlenda-mv1yh13 күн бұрын
Asante yesu❤
@JosepherHerman14 күн бұрын
Mungu wangu nione
@safialuhizo497911 күн бұрын
Hakika kupitia madhabahu hii nimekuona bwana pia ahsante Kwa kumtumia mtumishi wako innocent mashauri amefanyika chombo juu ya yote tunayopitia usituache bwana bariki watoto zangu na uzao wangu wote na mama yangu pia
@JosephineOkaya14 күн бұрын
AMEN AND AMEN 🙌🙏🙏
@user-xn3vq1gq3p13 күн бұрын
Ewe Baba nope majibu kuhusu kuondoka ktk maisha haya ambaho naenda nayo yasiyo na mafanikio, nijulishe kipi nifanye nikafanikiwe mm na familia yangu na uzao wangu Kwa baba na mama Amina, kwanini u Baba.
@MarieMakiwa14 күн бұрын
Mungu na kugabizi maisha yangu na family yangu utuhongoze utakavyo
@fatumakyese29014 күн бұрын
Roho ya hekima na Roho ya ufunuo
@JavanTresiah14 күн бұрын
Ameen 🙏🙏🙏
@WinfridaMakina13 күн бұрын
Aminaaa ❤
@user-vo9ck2vv2w14 күн бұрын
Amina amina washika na mtumishi unae tuongoza MUNGU hatakuacha.
@DelaneyWambui14 күн бұрын
Amen 🙏🙏
@florasylivand15214 күн бұрын
Mungu nipe macho ya rohoni,naomba usimame katika familia yangu Wadogo zangu nawaweka mikononi mwako❤
@WinfridaMakina13 күн бұрын
Tamalaki mwenyewe YESU katika ndoa yangu YESU naomba msaada wako kwangu akuna kinacho kushhinda YESU NAIMAN SITOAIBIA HUU MWEZ NTAKUSHUUDIA YESU ALLELUYA
@WinfridaMakina13 күн бұрын
Najua MUNGU UJANIACHA UPO NA MM KILA WAKAT NA UNASABBU NA MIMI