Mungu Baba asante kunipenda kunirehemu na kunisamehe. Roho Mtakatifu unisaidie nisifanye yanayomchukiza Mungu Baba katika jina la Yesu Kristo Amina.
@HappinessAhia-ey1lq24 күн бұрын
Kutoka USA hapa. Nakupata mbashara mtumishi wa Mungu Unanisaidia saaaana sana pastor
@jonaschediel1973 Жыл бұрын
SIJAWAH ONA PASTOR SMART KAMA HUYU, YUKO INFORMED SANA NA MAMBO YA KIROHO NA ULIMWENGU, MAHUBIRI YAKE YANANIBARIKI SANA.
@truth779610 ай бұрын
When you glorify God you add strength to angels and whe you murmur and complain you add strength to demons, This is a big revelation ❤
@HappinessAhia-ey1lq24 күн бұрын
Yes it's
@dorcusamisi292610 ай бұрын
Hallelujah Hallelujah Hallelujah AMEN Utukuvu kwa yesu maana nimesaindika sana mungu akubariki sana pastor
@janechilendu1438 Жыл бұрын
Aminà mchungaji.nashukuru sana unanitia moyo nina jeraha kubwa sana moyoni niko 🇴🇲 Oman nakupata vyema sana.natamani sana kuongea nawe binafsi kama nitapqta fursa hiyo.Mungu akubariki sana kwa kututuliza machungu ya dunia.Amina.
@glorymuro75518 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu ni mara yangu ya kwanza kukusikiliza umenifunza yaani siwezi elezea hakika wewe ni chombo cha Bwana Mungu akutunze uendelee kufanya kazi yake
@halimaramadhani7049 Жыл бұрын
Pr Mungu akubariki sana mapito tunayopitia Mungu anakutumia kuwa faraja kwetu...
@Thomasomahe6 ай бұрын
Amina pst ila naomba kumbuka ndoa yangu Kwa maombi Ina migogoro mingi TU Kisha hakuna mafanikio pia nikipata pesa hazifanyi chochote hakuna plan inaefanyika mia na mikaka Niko palepale magonjwa Kwa ndoa yangu ya ajabu kila mwaka afu sitaki niende kanisani naeza Vaa niende mke wangu anajitahidi kunitayarisha lakini nikifika karibu na kanisa na toka naenda Kwa mambo mengine nisaidieni tuchumuike na familia yangu tumwombe mungu Amina 🙏
@genevieveemmanuel18048 ай бұрын
Nashukuru kupitia mafundisho yako pastor nami nimeokolewa nilikua na pepo la madeni nakopa huku nalipa huku nadaiwa kila mahali ila nilisiliza moja ya hubiri lako na leo natoa ushuhuda hii hali imekoma kabisa hakika mimi ndio nakopesha sasa jina la Yesu litukuzwe.
@ghatichacha837 Жыл бұрын
Mungu Akubariki Sana. Najiona ndani Ya Mambo Saba. Asante Yesu kwa Ajili yako Pr.Mbaga David.
@mbajawagome93610 ай бұрын
❤Aaaaaaaaamen my Pr David Mmbaga au Daudi Mmbaga
@HappinessAhia-ey1lq24 күн бұрын
Asante Pastor umenifundisha kua positive ili nimfaidi Mungu.
@jakee20419 ай бұрын
Ameeen. Ameeen. Pastor hizo zote 6 tuko hapo ndani kabisaa. Mungu anisamehe. Congratulations pastor.
@kilungumsabaha3891 Жыл бұрын
Somo la leo limenigusa sana Mwenyezi Mungu aendelee kukutunza Mchungaji unatubariki mnoo
@mlishohadija69235 ай бұрын
Amen and Amen mungu akubariki ulipo mtumishi wa mungu kwa neno hili limenigusa sana naninaamini mungu ameyafuta makosa yangu in mighty name of Jesus christ 🙏🙏
@floragatwiri3063 Жыл бұрын
Jina la yesu lipewe sifa,pastor umenitoa mbali
@dorcasrhobi8211 Жыл бұрын
Mungu atusaidie somo la leo Nilikua kunihusu mimi , asante pst
@yobike96809 ай бұрын
Amina pastor.nyenye umeongea ni ya kwangu roho ya mandeni imeniandama nina watu karibu mimi wa kutuliza mandeni nisaindie kutuliza roho hii niko karibu kunyanganywa vitu za nyumbani
@lilianlima860910 ай бұрын
Halleluya to God be the glory that has given me the grace to hear these words, I have been blessed, blessings to you pastor, May our good Lord keep on using you for HIS ministry in Jesus name🙏🙏🙏
@johnmahu5060 Жыл бұрын
Mtumish hakika Kuna jambo nilihisi nimeshindwa asnt Leo nashinda Kwa jina la yesu
@florencenekesa8243 Жыл бұрын
Amen amen barikiwa sana mchungaji Kwa mafunzo mazuri sana nabarikiwa sana nikiwa huku Saudi Arabia 🙏🙏🙏
@user-xy6jr8ew5w7 ай бұрын
Huyu Mungu ni waajabu sana yani hili ni langu mimi leo nafunguliwa kwa jina Yesu.
@gaselochaula2692 Жыл бұрын
Amina, tunazidi kubarikiwa, ubarikiwe na Mungu aliye hai
@neemakidima26109 ай бұрын
Amina mpendwa Mungu ni mwema tudumu luutafuta uso wake
@johnmahu5060 Жыл бұрын
Hongera sana mtumish mungu akutumie unanibariki sana
@ChristinaSanga-pl5jm9 ай бұрын
Asante nimejifunza jambo kubwa kwa nimepigwa kwenye upande wa maombi
@Joycependopendo-dv2tb9 ай бұрын
Mungu akubariki pastor nimejifunza kitu
@frankkalamji27459 ай бұрын
Glory to God, Neem ya Mungu ktk Kristo Yesu Izidi kwako Izidi kufanya Mapezi yake Kwa Waaminio
@user-dq3sy7yb9m9 ай бұрын
Mungu akujarie maisha marefu pastor unazidi kuwa faida kwetu kila kukicha
@donaldchacha30599 ай бұрын
Naomba Mungu anisamehe makosa yangu niliyotenda kwa kujua au kwa kutokujua
@perisbosibori22498 ай бұрын
AWESOME! I've really learnt a lot from this wonderful teaching. GOD bless you abundantly Pastor, AMEN.
@marcelineshanga98119 ай бұрын
Ubarikiwe..muchungaji.mungu akubariki sana.sana
@lightsamweli82967 ай бұрын
Ubarikiw sana pastor David Mmbaga
@chugaboyfransis-qs8dj Жыл бұрын
ubarikiwe mtumishi mungu akupe maisha marefu
@TeresaAnyona10 ай бұрын
Barikiwa sana pastor kwa mahubiri yeye baraka Mungu
@mwambakibucheche11199 ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana kwa neno zuri la Mungu.
@choralenyotayamashariki7600 Жыл бұрын
Mupakwa mafuta wa Mungu, Bwana n'a kujazieni Baraka tele , asanteni kutubariki na somo
@VeronicaKerubo-jq6bj9 ай бұрын
Hi pastor ni Veronica kutoka Kenya. Naomba oniombee Imani yangu imeanza kurudi jini. Mume wangu yuko Canada amerudi nyuma pia yeye haendi kanisa tena Sabato kila Mara excuses. Uniombee nilejeree hari yangu ya zamani. Asante
@MahubiriPrMmbaga9 ай бұрын
Mungu akutendee muujiza wa kiroho
@user-wd3yo1wr4b11 ай бұрын
May God bless you abundantly pastor, l have seen God's blessings Amen
@tilaboymatata34118 ай бұрын
Usifiwe mungu wangu
@raelsarange638 Жыл бұрын
For sure pastor be blessed you have thought me a lot thank God for this connection yaani I used to ask alot of questions in my life since I met you mine ni kushukuru and have seen God upon my life glory be to our living God AMEN 🙏
@stephenmlelwa9210 Жыл бұрын
Hii
@NaomiStephano-sq7lu7 ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa mungu
@ericngugi603 Жыл бұрын
Indeed blessed 🙌 God 🙌 bless you 🙏 pastor
@elizabethbwire1480 Жыл бұрын
Mungu akubariki Sana mchungaji kweli hata Mimi hiyo roho ya madeni imenitesa Sana hata Sina amani katika moyo wangu nashindwa niyamalizaji lakini kwa SoMo la leo nimejifunza jinsi ya kuivunja hiyo roho ya madeni
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@lorainnelarryson3626 Жыл бұрын
Asante kwa somo zuri, ubarikiwe pastor 🙏🙏🙏
@danielkisavi700110 ай бұрын
Amen.Nabarikiwa sana Mchungaji
@edinahmasea160310 ай бұрын
Asante sana pastor Amen Amen
@rodahadhiambo3637 Жыл бұрын
Amina Kwa neno la Leo,mungu atukuzwe Kwa kukutumia kama chombo.
@Rashid-qb8ey4 ай бұрын
Namuomba m/mungu anionye
@joycerwabanu5961 Жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa MUNGU.
@ruthondieki856710 ай бұрын
Have been blessed alot
@thomasgervas5883 Жыл бұрын
Asante Amina
@dukesagana784810 ай бұрын
Wow... listening
@edwardjuma4727 Жыл бұрын
Amina mtumishi wa bwana tnazidi kubarikiwa
@sanifukamwela7509 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana pastor
@josephinesanita4904 Жыл бұрын
Mungu atukuzwe kwa makuu anayo tutendea SoMo la Leo limenigusa sana mutumishi mungu azidi kukubariki kwa kazi nzuri aliyo kupa
@joicechambua Жыл бұрын
Asante yesu kwakutusamehe pasta Mungu akubariki
@sophiaesmarcharo9775 Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💜💜💜💜💜💜🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@assumpterbaitu772 Жыл бұрын
Kwaiyo pastor mpaka umfate uyo mtu umuombe msamaha uwez kuomba kwa Mungu pekee na ukasamehewa
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Mathayo 18:15 Na ndugu yako akikukosa, enenda ukamwonye, wewe na yeye peke yenu; akikusikia, umempata nduguyo. Moreover if thy brother shall trespass against thee, go and tell him his fault between thee and him alone: if he shall hear thee, thou hast gained thy brother.
@assumpterbaitu772 Жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga ahsante pastor sasa km na uyo ndugu na yeye alikukosea na ajakuomba msamaha
@neemajohn61429 ай бұрын
Si jina mchungaji tu ww ni mwalimu mwema sna sna
@dianarobert7953 Жыл бұрын
Mungu akutunze pastor.
@baby16mariki48 Жыл бұрын
Amina mchungaji, karibu kwetu
@rahabmgess670011 ай бұрын
God bless you
@DIANAMAGEMBE-dy9um6 ай бұрын
🙏🙏 pastor
@julitharevelian-vc5rd Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe inanitia moyo sana
@upendoloondokalembekela7748 Жыл бұрын
Ubarikiwe na Bwana, kwa neno Hai kwetu
@ghatimunibi5958 Жыл бұрын
Barikiwa Pr kwa somo zuri
@lornakirui85449 ай бұрын
Mungu apewe sifa.
@dianamashauri3626 ай бұрын
Amina mtumishi
@frankoomyzomera9730 Жыл бұрын
Kwa Imani nimepona kupitia SoMo ili Mungu Akubaliki Sana.
@happynescostat74209 ай бұрын
AMINA ubarikiwe Sana,
@josephmwitinjuki6801 Жыл бұрын
Mungu akubarki sna mchungaji umesaidia Sana
@marymokaya20209 ай бұрын
Aminaa
@happinessmichael5429 Жыл бұрын
Amina ni kweli
@kilungumsabaha3891 Жыл бұрын
Ameeen Nabarikiwa sana kutoka Muscat
@christinamaseke18493 ай бұрын
Mchungaji ubarikiwe,kwa jinsi unavyohubiri nabarikiwa sana,sifa na utukufu kwa Mungu kwa kupitia wewe anqwatoa watu gizani
@omankadara641810 ай бұрын
Ubarikiwe pasita kwa mafunzo yako hakina nabalikiwa sana
@mshigilakarume4425 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana pasta
@rachelraphael13559 ай бұрын
AmeeenNabarikiwa sanaa Mahubiri haya
@naomingugi84519 ай бұрын
Amen and amen
@boscorwakatela3039 Жыл бұрын
Mungu apewe sifa, muchungaji nashindwa kuomba mpaka nakosa maneno usiache kuniombea
@HuldaMadulu2 ай бұрын
Napata badiliko kubwa sana la kiroho nafatilia mahubir yako najifunza vingi sana naomba Mungu anisaidie niwe tenashara bora wake mwaminifu.