🔴

  Рет қаралды 17,792

EastAfricaTV

EastAfricaTV

27 күн бұрын

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 29
@stefanomasolwa8979
@stefanomasolwa8979 24 күн бұрын
Dunia hii Usimwamini tena Hata Mtu labda Mamako Mzazi tu ndiye wakumwamini
@OmanOman-dd5qk
@OmanOman-dd5qk 25 күн бұрын
Kama halali haitoshi hata halamu haito faa poleni wafiwa
@RobartNgwembe-m3h
@RobartNgwembe-m3h 25 күн бұрын
Wakati mnatoa ruhusa ya hicho kikundi kufanya shughuli za kilimo mlikuwa hamjui kuwa hicho ni chanzo cha maji? Mbona mnakuwa wababaishaji, daa nchi hii ni ngum sana.
@emanweljohn1240
@emanweljohn1240 24 күн бұрын
Iyo ndio ccm bana
@MonayLai
@MonayLai 24 күн бұрын
Hii nchi imeshaharibika ukiona viongozi hawayakemei basi matukio kama haya na ya utekaji lazima yaendelee kuwepo, inasikitisha sana kwa kweli
@Namaize-lc8sh
@Namaize-lc8sh 24 күн бұрын
Shikamoo Tz
@MohamedIbrahim-bn1gz
@MohamedIbrahim-bn1gz 24 күн бұрын
TANZANIA MTU AKIIBA MKATE ANACHOMWA MOTO MTU ANAVUNJA NYUMBA ANACHIEA TU
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 25 күн бұрын
Mh!!
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 24 күн бұрын
JAAAAMAAANIIIII WAENDEEE WAPIII VIJANAAA HAOOO??? NII KUUUWANAAAA KABISAAA
@mrmtei9654
@mrmtei9654 25 күн бұрын
Kwanini kila kitu mnamtaja Rais,chapa kazi kwa kujiamini bro kila kitu rais,rais why?.
@AliJuma-go4rc
@AliJuma-go4rc 24 күн бұрын
Punguza wivu Kwa mambo yasiokusaidia chochote ndugu fanya kaz utafute hela wao hata waseme kwani wamezid au wamepungukiwa wap na ww umepata shida gn?
@MonayLai
@MonayLai 24 күн бұрын
Migogoro ya ardhi bado tatizo kubwa halaf huyu waziri asichague migogoro tuu ya kutrendi kwenye vyombo vya habari atatue migogoro kwa wananchi wa chini asitangulize siasa
@JohnMagudi
@JohnMagudi 21 күн бұрын
mpaka mipara chichi inakuwa hivi mlikuwa wapi ,ubaya ubwela kweli
@emanweljohn1240
@emanweljohn1240 24 күн бұрын
Nyuma zawadi zinabomolewa kweli ccm mkowapi😊
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 24 күн бұрын
NII MATESOOO SANAAA. KUUWANAAA TUUUI HAPO TUSIKUBALIII. UONEVUU SANA😭😭😭😭🤣🤣🤣🤣🤣😭😭😭😭
@user-qm7sv3gq4x
@user-qm7sv3gq4x 25 күн бұрын
AMA KWWLI UKISHANGAA YA MUSA ,UTAONA YA FILAUNI. DUH!
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 25 күн бұрын
mlikua wapi toka wanaanza miaka yote
@MonayLai
@MonayLai 24 күн бұрын
Alah hilo la kubaka jamani yule mkuu wa mkoa mbona hatusikii tena kesi yake au ndio kama kawaida imeshawekwa kapuni?
@RamadhaniMsagati
@RamadhaniMsagati 25 күн бұрын
Maigizo had lin
@tobiaskigodi3780
@tobiaskigodi3780 25 күн бұрын
Viongozi walikuwa wapi kuzuia mapema kabla watu kuotesha miti hiyo,nyakati nyingine viongozi wamechangia tatizo!
@AfricaQueen
@AfricaQueen 24 күн бұрын
Roho mbaya hiyo hamna lolote waachieni Vijana Watanzania Wapate Riziki Zao hawaibi Wala Sio Majambazi Hii inawasadia vijana wasifanye matendo Mabaya mbona mwanzo mlikubaliana nao wakapanda hii sio Sawa subiri maparachichi yakuwa kisha mtoe lakini tutafuatilia kuchunguza nani anachukua hii Biashara utakuta wao ndio wanakitaka kwa manufaa yao binafsi hayo twayajua sana.
@VenerandaKundi-ph4hg
@VenerandaKundi-ph4hg 24 күн бұрын
Jamani na nyie ni wauaji Sasa mpaka parachichi zimeanza kutoa matunda mnaleta Sheria zenu mwanzo mlikuwa wapi viongozi wote wachukuliwe hatua mojawapo wawalipe hao vijana pia viongozi hao wawajibishwe ina maana hawafanyi KAZI zao kiufadhaha je hao vijana wstaendelea kweli
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 24 күн бұрын
AJILA HAKUNA SASA NINI TENA???
@abdirizakibrahim1975
@abdirizakibrahim1975 24 күн бұрын
Viongozi hawa vijana kabisa nauhakika watafuatilia watoke maofisini na kwenda kwenye tukio na kufanya ufuatiliaji
@MohamedIbrahim-bn1gz
@MohamedIbrahim-bn1gz 24 күн бұрын
Majina sita nayajua yalikua hayamo kabisa kweny wafanya biashara kariakoo sijui yametoka wapi
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 24 күн бұрын
HAPANAAA KWANINII? VIONGOZII MNAFANYA NINIIIII?????? DAMU ITAMWAGIKAA
@chiefnumborecords4819
@chiefnumborecords4819 23 күн бұрын
Sasa mipalachichi ni miti na kwenye vyanzo vya maji panatakiwa kupandwa miti ivi KWELI hao viongozi wanazo akili tinamu au Kuna ajenda zao au visasi au wana wivu na hao vijana Sasa ole Wao hao wanao amuru miparachichi miparachichi ing'olewe wataisoma namba wapuuzi hao
@user-kj5jp2ii5n
@user-kj5jp2ii5n 24 күн бұрын
Wajinga hao maafisa, kwani maparacgichi yanaharibu je mazingira? Kwani ni majengo hayo? Maparacgichi ni miti ambayo nayo yanatunza mazingira, labda kuna sababu nyingine siyo mazingira!.
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 104 МЛН
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 60 МЛН
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 17 МЛН
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 50 МЛН
MAMA HUYU AWATOA WATU MACHOZI KWENYE IBADA: BISHOP ELIBARIKI SUMBE
15:54
Bishop Elibariki Sumbe
Рет қаралды 1,1 МЛН
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 104 МЛН