No video

NYUMBANI KWA DIVA THE BAWSE AONYESHA MAWIGI YAKE/MIWANI ZAIDI YA MIA /BAFUNI KAMA CHUMBANI

  Рет қаралды 112,726

ZamaradiTV

ZamaradiTV

Күн бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 333
@marciawambui1965
@marciawambui1965 Ай бұрын
This girl is funny,she loves herself. But i can tell she has a good heart. you have a beautiful home diva
@sharaharith7953
@sharaharith7953 9 ай бұрын
Nahis Diva you are impressed with this man's confidence
@faidhacute
@faidhacute 9 ай бұрын
Nakupenda diva wangu❤❤❤❤ mdhungu yaan diva ni mimi kabsa i love it❤❤
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 9 ай бұрын
Mimi ata sioni kitu cha ajabu hapa😂😂😂ni kama tu nyumba ya mtu anaanza maisha,poor organization, sasa diva vile unajiweka iyo ndo bedroom yako😮😮mashuka ndo hayo😂😂iyo ndo dressing table 😂😂😂mi apa naona vituko tu,maneno tu ndo mengi but hana kitu cha maana apo😂😂😂😂pochi sasa😂😂😂😂viatu😂😂😂mi ni km sielewi kitu 😂😂😂 Eti njoo uone😂😂cha kuona sasa ni hereni 200 mchanganyiko za kariakoo 😂😂😂 Ivo vya UK&US anasema tu kila mara lakini ni vitu ata havina maana😂😂😂😂😂😂ila jamani mashauzi tupunguze
@immah_deo19
@immah_deo19 9 ай бұрын
Muache aishi maisha yake acha wivu aisee...wabongo tunasumbuliwa sana na CHUKI WIVU NA NYEGE.
@user-up1tb7sj2f
@user-up1tb7sj2f 9 ай бұрын
Mungu wangu kheeee sio kwa wivu huo punguza 👌👌👌👌👌👌
@latifaroro877
@latifaroro877 9 ай бұрын
Me mwenyee cjaona maajabu kwakwel ila kuna watu hawajui na hawaja tembea na hivo vtu hawana wanamuona tajir kwel😂😂😂
@SalhaFadhili-xr3ey
@SalhaFadhili-xr3ey 2 ай бұрын
Pakawaida sanaaaa mm mwenyew nimewazid nnaish pazur hatareee
@vero57
@vero57 9 ай бұрын
Miwani ya jua mpaka ndani ya nyumba khaaa!! We dada wee!!!😂😂
@estermahenge-ks3dr
@estermahenge-ks3dr 9 ай бұрын
ana haibu sana kwaiyo ana jifichia miwani😂
@mweshaosako2011
@mweshaosako2011 9 ай бұрын
The end of this interview is the best of the year. He summarized the whole relationship struggles, we are treating each other according to our past traumas, and fear which is not okay and uncontrollable. In fact everyone is playing defensive. Anaensikiliza anajifunza, anae ona anatamani” this Guy is a brain. Much love to you
@mkasihamad7225
@mkasihamad7225 9 ай бұрын
Yani comment nyingi ni za makasiriko 😂😂😂😂si mtafute pesa jamani kaah❤❤❤ati nyumba ya kawaida. Wee uko nayo😂😂😂😂😂😂
@colethamkasa5821
@colethamkasa5821 9 ай бұрын
diva kwako ni kuzuri bhana,kwa wanaoponda achen wivu,kupangilia pangilien nyie ukute wengine wapo room moja kila kitu kipo umo afu mko kuponda😀,iyo ni apartment bhana
@jasminshemsanga8727
@jasminshemsanga8727 9 ай бұрын
Tinted hd ndan kwan hy diva uwa kipofu au😮😮 miwan hd anaboah alf tabia ya kugombana kidogo na mumeo kututangazia mitandaon sio vzr unamdharirisha mwenzio alf bd mpo wote
@faidhacute
@faidhacute 9 ай бұрын
Kama una akili timamu huwezi kukoment ujinga but mutafute pesa tuache makasiriko ambayo hayatokusaidia chochote😂
@khadijaramadhani5562
@khadijaramadhani5562 9 ай бұрын
Umeona eeeh! Tutafute pesa aiseee
@zulekhasaud483
@zulekhasaud483 9 ай бұрын
Kweri kabisa
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 8 ай бұрын
😅😅😅Haswaa
@HusseinAhmada-ir6ne
@HusseinAhmada-ir6ne 8 ай бұрын
😅Vc. 😅😅'😅'c😅😊 be😅 by😊 na😊
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 9 ай бұрын
mume anajisikia vibaya kwa sifa za mkewe yaani anamshangaa anavojisifia
@yustamshana-sx8dy
@yustamshana-sx8dy 9 ай бұрын
Mhh hayo mawig sio classic 😊
@Neema92
@Neema92 9 ай бұрын
Watu acheni wivu jamani ndani kwake kuzuri kajitahidi na nyie weken magheto yenu hapa kama hatujakimbiana.
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 9 ай бұрын
Hana kitu hata kimoja cha kwake hapo parm village kila kitu unak8kuta humohumo ukishindwa kodi unabeba begi lako unasepa
@Neema92
@Neema92 9 ай бұрын
@@user-vv1te9fu8q Duhh! Hatari 😂😂🏃🏃
@user-xs6vo1ur7w
@user-xs6vo1ur7w 9 ай бұрын
Hongera kwa,saleh anaweza kukiendesha kipindi
@user-yq4sn6cq1l
@user-yq4sn6cq1l 9 ай бұрын
Mbona mnamukera jamani muwaceni Diva na mambo yake kwanini munaroho mbaya
@bintqassimidarous1636
@bintqassimidarous1636 9 ай бұрын
Ulivo huna adabu na ndoa ukigombana na mumeo unakimbilia mitandaoni kumchafua mumeo kwa sifa chafu hata kama anamakosa hupaswi kuja mitandaoni kumchafua wakati hujiwezi kwa uyo bwana huwezi kukaa nae mbali kwanini umchafue mumeo mpuuzi wee huna lolote kazi kujisifu tu maisha
@flackomasterbaddest4155
@flackomasterbaddest4155 9 ай бұрын
Olewa na ww
@sharifabahar9905
@sharifabahar9905 9 ай бұрын
​@@flackomasterbaddest4155😂😂😂😂😂😂 wabongo kwani majibu uwa mnakuwa nakitabu
@chany9950
@chany9950 9 ай бұрын
Safi👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾
@Daniella249
@Daniella249 9 ай бұрын
Mm mwnywe nashangaa kumbe wako pamoja xx mdomo ule wote ulikua wann Ila wanawake Sisi 😂😂
@sakinaomary7207
@sakinaomary7207 9 ай бұрын
ile ilikuwa kiki
@rukiayasuleyman2900
@rukiayasuleyman2900 4 ай бұрын
Diva Masha Allah! Allah akuhifadhi pamoja na mume wako! Nakupenda sana❤
@msafirlaizer2368
@msafirlaizer2368 9 ай бұрын
Huyu mzee Abdul ni Sheikh tu kwenye Camera, behind the scenes ni Mfirahuni.. Ooooh my goodness 😢 #FreeDivasMind 🌟
@user-up1tb7sj2f
@user-up1tb7sj2f 9 ай бұрын
Unamaanisha nn😮😮😮
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 8 ай бұрын
Umeshawahi kufiraini naeee au
@faridahalil4456
@faridahalil4456 6 ай бұрын
Naona uislam bado hajakuwa nao vizuri nashangaa mumewe hamkatazi asiwe akivaa mawigi 24-7, inambidi avae" hijab"
@sarahkeivaly3351
@sarahkeivaly3351 9 ай бұрын
Muacheni mdada wa watu aishi maisha yake
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 9 ай бұрын
Huyu ni too materialistic yan kila Saa when we moved out when we moved out vitu vingi vimearibika khaaa mfuniko an kisoda Mume na mke wote wehu
@AdoAshu80
@AdoAshu80 9 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@patriciapastory324
@patriciapastory324 9 ай бұрын
😂😂😂😂 this made me laugh so hard
@keyla3641
@keyla3641 9 ай бұрын
Diva sasa kila unakohamia unahojiwa kaa kimya ufanye mambo yako
@Official83640
@Official83640 9 ай бұрын
Huyu ana ubalozi wakutangaza apartment za watu eeh sijui yy atajenga lini ili azidi kuringa maana hajiamini ht uso wake kutwa miwani km mchomea mageti
@user-qs7lj7kj1k
@user-qs7lj7kj1k 9 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@husnarashid7849
@husnarashid7849 9 ай бұрын
Hakuna binadam aliyekamiloka kila mtu na madhaifu yake kuna watu humu wanatukana tu sababu hawampendi ila wanakoishi kama stool yaani 😂😂😂😂😂 mimi cpendi ila anakaa pazuri acheni unafiki
@safiyanirram-pf3sv
@safiyanirram-pf3sv 9 ай бұрын
Sema kwa kawaida sana tu sema anavyo jishauwa ss maana akustui na mumewe wa wote😂😂
@ramlaramadhan4206
@ramlaramadhan4206 9 ай бұрын
Mtangazaji hta hpti kzi kubwa yakuulza, diva ywajbu yote bila kuulzw... Its like she waited patiently for this interview au ye ndo altka awe interviewed?! 😊
@ZolufaMas-ie4un
@ZolufaMas-ie4un 6 ай бұрын
WOW pazur sana hongera diva 🎉🎉
@user-pg3pu4jk9f
@user-pg3pu4jk9f 9 ай бұрын
Abduli hajapenda hizo sifa jamani
@nuruosward8161
@nuruosward8161 9 ай бұрын
Ndiyo lkn yeye analelewa na diva hana ata chake kitu hapo zaid ya maneno ya janja janja sema diva hapo sipo kbsaaaaaa
@sophsoph4740
@sophsoph4740 9 ай бұрын
Kbs hapend
@hannansaidahmed1943
@hannansaidahmed1943 9 ай бұрын
Hujui kupangilia nyumba bado makorokoro yamejaa mezani pangilia vizur
@zabubamudy126
@zabubamudy126 9 ай бұрын
mhh kuwa mpole
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 9 ай бұрын
Umaskini ndio unao waua mapema.tafuteni pesa jamani mfano mimi hapa naangalia for fun siwezi ponda chochote nina kila kitu maishani watu maskini kazi sana
@AtufenaValentino
@AtufenaValentino Ай бұрын
kukwambia alikua n wageni
@queenandchill91
@queenandchill91 9 ай бұрын
Nyumba kama pamepigwa bomu 💣
@bintqassimidarous1636
@bintqassimidarous1636 9 ай бұрын
Vioo vya Balkon pia vichafuuuu sijui usafi gani unazungumzia unapenda uonekane unamaisha mazuri hunaga kazi kujikweza tu unapenda sifaaa
@user-ct3ty7xk5z
@user-ct3ty7xk5z 5 ай бұрын
Uwalete waingizaji hawa grace mapunda, (odama Jennifer kiyaka,welu sengo,Mimi mars,JB,getruda mwita,riyama ally,Irene paul,mayasa mrisho,ray kigosi,Stanley msungu,hemedy,Luka wa jua Kali, nitafurah sana nikiwaona hawa
@estermahenge-ks3dr
@estermahenge-ks3dr 9 ай бұрын
ila diva kiboko😂😂😂😂😂😂🙌🏻tambo nyingi
@RahmaAwadh-ul9yu
@RahmaAwadh-ul9yu 9 ай бұрын
Mradi wanapendana ,Wana enjoy maisha yao basi tuwaombee wakae pamoja wafike mbali,Nawapenda jamani
@user-qs7lj7kj1k
@user-qs7lj7kj1k 9 ай бұрын
Diva akigombana na muganga wake wanahama nyumba ingine🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@khamoshmikidadi618
@khamoshmikidadi618 9 ай бұрын
Icho kizungu mda wote cha nin 😏hatufaham😅 eti napenda kupika lkn kwny friza hamna kitu😅😅😅
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 9 ай бұрын
Kafumaniwa kakutwa na mivyombo kibao hata kusafisha meza kashindwa mtu kaondoka ana siku nne sijui tano mivyombo ipo juu ya meza ya kulia na uache uongo kupika hujui tena ulisema mwenyewe usijisahaulishe
@vinnahjasson5546
@vinnahjasson5546 9 ай бұрын
Kasema anapenda kupika
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 9 ай бұрын
Minywele mpaka ndani miwani mbona hauko comfotable na mijakert mwanamke ndani vaa dira mwili uwe mwepesi umejijaza mikorokoro kibao
@Zainab_salat
@Zainab_salat 7 ай бұрын
Hata mume akivunua dira mara moja😂😂😂😂😂anagusa
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 9 ай бұрын
Halafu diva wala haringi sana yupo kawaida tu me naona mchesh
@victoriarichard8761
@victoriarichard8761 6 ай бұрын
Haringi ila sema ana uhaya mwingi hata kama kitu hajaulizwa anajieleza sana kama kujihami vile
@ummySheikh72
@ummySheikh72 9 ай бұрын
Hana Raha. Mumewe unamuona anajilazimisha tu mambo ya ma show off
@Teddy_jones
@Teddy_jones 7 ай бұрын
Sjuw kwa nn wanampaka make up ya njano jmn make up zinaharibu sana şura see her face having rashes naturally is very cute tho
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂mbona mawigi😂😂😂sasa 2023 bado wamama watu wazima wanaringia mawigi😂😂😂😂😂
@shuwehaharuna6309
@shuwehaharuna6309 9 ай бұрын
Tuliozoea kuangalia majumba ya waarabu hapo kwa diva tunaona kama stoo, tunashangaa akijisifia halafu nyumba ya kupanga
@chaucassim4123
@chaucassim4123 9 ай бұрын
Yani. We acha. Yani Ana taka taka. Sisi. Tunaofanya. Kazi Oman. Tunaonana. Anatuchefua. Tu Bora ata angejenga
@venusbby
@venusbby 9 ай бұрын
Sasa majumba ya waarabu si yatuwashe’ni?
@FatmaMwinyi-jt2rr
@FatmaMwinyi-jt2rr 9 ай бұрын
Watanzania bhana kwakuwasifia mataifa mengine yetu yanatushinda muache amsifie achokuwa nacho unataka afake au
@shuwehaharuna6309
@shuwehaharuna6309 9 ай бұрын
@@FatmaMwinyi-jt2rr hatutaki majigambo
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 9 ай бұрын
Kiukweli pazuri atakama kapanga then mabye anajenga kidogo kidogo nyumba ya maana wengine hawawezi kukaa uswazi atakam wanajenga
@faridapandu7579
@faridapandu7579 7 ай бұрын
Sasa huyu salehe yeye Hana kwake😂😂😂 hatuoneshi kwake
@nasrinasra5472
@nasrinasra5472 6 ай бұрын
Tumewaza wotee😅😅
@user-hn8un5fz2n
@user-hn8un5fz2n Ай бұрын
Yeye zamu yake ifike
@latifahkarim9774
@latifahkarim9774 9 ай бұрын
Salehe kakuta wenyeji washakula
@AdoAshu80
@AdoAshu80 9 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@NanaNana-oe5ft
@NanaNana-oe5ft 9 ай бұрын
Sasa uyu diva nikipofu sijawahi kuona Hana miwani hata nyumban miwani
@fatumamohamed2229
@fatumamohamed2229 9 ай бұрын
😂😂😂😂 miwani ya jua ndani au mi sijaelewa?
@aminakasim1198
@aminakasim1198 9 ай бұрын
Wiki vyombo vipome zani😢aibu
@HappyAlex-ei6vz
@HappyAlex-ei6vz 6 ай бұрын
Dada hongera umejipata😊😊🎉
@user-fy9pw2zr8l
@user-fy9pw2zr8l 9 ай бұрын
eti miwani jamani 😂😂😂😂 njo mali zake ama sijui wengine wanawake jamani
@maryandason1815
@maryandason1815 9 ай бұрын
Aisee at isha mashauz ajamfikiaa kwa mashauz hyoo mwingerezaa ingekuwa kwa mashauz hayo unaingia mbingun dada ungeshika no moja 😂😂😂punguza bas kujifnya muingereza
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 8 ай бұрын
Mashallah ila Sofa zijazipenda 😜😜😜😜kama. Magoxi 😅😅
@kautharsalat6449
@kautharsalat6449 9 ай бұрын
Huyu dada alisema mume wangu anapenda wanawake mbona leo yuko naye 😂😂😂😂
@user-ky9dp3hm6v
@user-ky9dp3hm6v 9 ай бұрын
Me nashangaa kwanza cwaliachanaga na mumewe anapenda majimama
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 8 ай бұрын
Chezeaa aya za Allah ww
@yustamshana-sx8dy
@yustamshana-sx8dy 9 ай бұрын
Miwani kama James Bond!
@lightnessabdallah2340
@lightnessabdallah2340 9 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-sv3jd8in7o
@user-sv3jd8in7o 9 ай бұрын
Miguuu jmn si nyweusi 😂 au
@aminakawawa5800
@aminakawawa5800 7 ай бұрын
Diva msafi mashallah
@victoriamuyanzi3862
@victoriamuyanzi3862 9 ай бұрын
Kila saa ooh vitu vilharbika wen we were moving out...nini bana ww😂😂
@aminamwinyi7927
@aminamwinyi7927 7 ай бұрын
😂😂😂
@mariamibrahim6738
@mariamibrahim6738 9 ай бұрын
Napenda mnavyo ishii ila diva uwe npikia mumeo dda
@husnamusa3178
@husnamusa3178 8 ай бұрын
Huyu nae anakera mamiwani hadi ndani ya nn sasa ndo mn mange anakuchamba sana hlf kingereza kiiiiingiii
@bennamush4616
@bennamush4616 8 ай бұрын
Hajiamini mamiwani mpaka nyumban masweta ya kofia na upo ndan way
@PriskilaMajengo
@PriskilaMajengo 9 ай бұрын
Anapenda miwani shida sijui ni Nini anafichaa
@cocorita8367
@cocorita8367 9 ай бұрын
Anashida ya macho
@user-up1tb7sj2f
@user-up1tb7sj2f 9 ай бұрын
Macho yamevimba😅😅
@FatumaSalimu-pn4vo
@FatumaSalimu-pn4vo 9 ай бұрын
Yani mm nikioana gana hivi nakuwa nahasla sana yakutafuta pesa napenda sana maisha haya jamani
@saidtembele3070
@saidtembele3070 8 ай бұрын
Allah akutilie wepesi na yawe ya kheri kwako wakati mwingine Allah hatupi tunachomuomba kwa kutuepusha na shari fulani
@cyahmkanile8587
@cyahmkanile8587 9 ай бұрын
For real can inspire sana❤
@chidymsaficlassic_tz2593
@chidymsaficlassic_tz2593 8 ай бұрын
Abdul kaongea point sana nimependa
@lulugora2712
@lulugora2712 9 ай бұрын
Allah akusaidie upone unachougua it's sad
@BerthaModest
@BerthaModest 9 ай бұрын
😅😅afya ya akil sio
@jesterfredrick9497
@jesterfredrick9497 9 ай бұрын
​@@BerthaModest😂😂😂😂😂😂😂😂
@yusraramadhan8203
@yusraramadhan8203 9 ай бұрын
Beautiful!😊
@GloriaMillinga
@GloriaMillinga 8 ай бұрын
Apartment hiyo kila kitu unakuta ndani😂😂 ukitaka kuhama unatoka na mabegi yako tu
@davinaheven4794
@davinaheven4794 9 ай бұрын
Yaani mashauzi yoote kaishia kwa Mganga.
@maryandason1815
@maryandason1815 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@bennamush4616
@bennamush4616 8 ай бұрын
Jiamini dada miwani ya mpaka nyumban
@ukuvukiland2387
@ukuvukiland2387 9 ай бұрын
Mtoe sadaka jamani hata kama hamuamini mungu ...msiishie majivuno,ungekua na mtoto wewe demu sijui ingekuaje lakini Sisi wanaume wenye malezi ya kweli kwa watoto hatudekezi watoto,kwa sababu ya maisha ya baadaye tunapenda watoto wajue ups and down,hata ukiwaachia Mali watazitunza..
@sabihasalim942
@sabihasalim942 9 ай бұрын
Sio kupenda kwake kutokuwa na watoto it's Allah plan....shida iko wapi.
@saumbliz8983
@saumbliz8983 7 ай бұрын
Sasa Kuna binadamu asie amini mungu
@MalangaMartin
@MalangaMartin 28 күн бұрын
Good diva ♥️
@user-wh4xi2yi3w
@user-wh4xi2yi3w 8 ай бұрын
Mungu akutunze diva
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj 9 ай бұрын
Janaba halitoki mwilini ww mwehu unasuka Rasta Astaghafirullah mke WA Sheikh duh🤔mambo gani haya Allah awaongozee
@bu.hamad.aldarei7651
@bu.hamad.aldarei7651 7 ай бұрын
Diva nakupenda sana wanaokuzungumzia mabaya umewazidi ndio mana
@fatmasaid3536
@fatmasaid3536 9 ай бұрын
Sijategemea kwa diva pako hivo I was expecting more than that. Sijui kwa tanzania ila kwa uarabuni haya ni maisha ya kawaida sana tu kulingana na anavo jitapa diva.
@Jijuw
@Jijuw 9 ай бұрын
Ameendelea hapo sanaa tu hujaona interview yake ya mwisho alikuwa anaweka viatu jikoni
@user-hp3cu9ll5z
@user-hp3cu9ll5z 9 ай бұрын
Me mwenyewe sikutegemea kwakwel,,pakawaida sanaaaaaa
@user-qm9np2uf9m
@user-qm9np2uf9m 7 ай бұрын
Hasara kitanda chamumeo unawaeka watangazaji
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 8 ай бұрын
Miwani ya jua mpka ndani jamani.😂😂😂 Miwani yenyewe kama wachomelea mageti.
@Onlyserialsaga
@Onlyserialsaga 9 ай бұрын
😂😂😂😂ila diva Ila nampenda ivyoivyo😂😂😂😁
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 9 ай бұрын
Mumewe anaonekana hajapendezewa kabisaaa
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 9 ай бұрын
nimeonaaa mpaka anashangaa
@pascalinajames9117
@pascalinajames9117 9 ай бұрын
Uzuri wamajuana
@RayaAmeir
@RayaAmeir 7 ай бұрын
Diva anafunzwa mambo ya pwani na mumewe
@elizabethadolf7373
@elizabethadolf7373 9 ай бұрын
Miwani Hadi usiku jamni kaaaa
@user-sh9cw6mj1y
@user-sh9cw6mj1y 8 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 9 ай бұрын
Mwanamme hajapenda kabisa
@SarahKussa-rv5rc
@SarahKussa-rv5rc 9 ай бұрын
Kumbe hata ww umeona nikajua mimi tu
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 9 ай бұрын
@@SarahKussa-rv5rc ujue nini huyu mwanamme anaona vile vitu vyote anavyoongea mke wake pale ni vya uongo ndio mana anaona haya anatamani amwambie huyo muandishi aondoke lkn anashindwa
@SarahKussa-rv5rc
@SarahKussa-rv5rc 9 ай бұрын
Kweli kabisa
@SarahKussa-rv5rc
@SarahKussa-rv5rc 9 ай бұрын
@@user-vv1te9fu8q kweli kabisa ndio waache kuoa wanawake wa mitandaoni
@user-ky7mz7qh1o
@user-ky7mz7qh1o 6 ай бұрын
Jamaaa tapeli diva analipa kodi
@AmusedAstronomicalModel-lq3yu
@AmusedAstronomicalModel-lq3yu 7 ай бұрын
Kafanana na marehemu Defao
@lovenessoscar4102
@lovenessoscar4102 9 ай бұрын
Hamna wigi ya maana hapo hata moja😂😂😂😂😂😂
@perpetuamagesa2305
@perpetuamagesa2305 9 ай бұрын
wew shehe acha kulelew bwege wew auna ela ya kulipa kodi apo wew tafta ela kenge wew
@kingkendrickk
@kingkendrickk 3 ай бұрын
Aisee
@nancyg8664
@nancyg8664 9 ай бұрын
Ifike atua diva aache kuvaa izo miwani jaman kah anwkua kama j Martin jmn
@latifaroro877
@latifaroro877 9 ай бұрын
Wenye sura mbaya ndo walivo huoni na dida anavo penda miwani?
@nancyg8664
@nancyg8664 9 ай бұрын
@@latifaroro877 😆😆
@deboramakala3044
@deboramakala3044 9 ай бұрын
😂😂 hapo kwenye viatu Diva anamjuua Jimmy choo kweli''
@deboramakala3044
@deboramakala3044 9 ай бұрын
Eti expensive 😊
@thelyrics5165
@thelyrics5165 9 ай бұрын
achen wivu mbona kaongea vizur t
@omytifa6403
@omytifa6403 9 ай бұрын
Shekh Abdul kasinywaa
@HusnaMuhammed-yx8nl
@HusnaMuhammed-yx8nl 9 ай бұрын
Mwanaume Hataki kabisa
@jenestermerchades9111
@jenestermerchades9111 9 ай бұрын
Huku kwetu zara og elfu 40 mnapunjwaga kwa nini?😅
@lildraco_k8977
@lildraco_k8977 9 ай бұрын
Diva ni macho magenge
@maryandason1815
@maryandason1815 9 ай бұрын
Mm uwa nachukiaa mtu anahojiwa kiswahl n kujifanya muingerezaa mweus aliyejikoboaa😂😂
@nusrathmanyawa4501
@nusrathmanyawa4501 9 ай бұрын
Si juzi tu ulikuwa unasema anafiri na kulawiti vitoto vya kiume wewe leo upo nae? Diva upimwe akili kwakweli maana wewe sio kioo Cha jamii tena hovyooo kabisaa
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 6 ай бұрын
kitanda hata changu kizuri kitanda cha 4kwa 5 daa unabanjuka vip na bwana si utajikuta chini
@queendollie8792
@queendollie8792 9 ай бұрын
Kila kitu ni “wakati tunaMove out” 😂😂😂😂😂diva una mbwembwe🙌🏻
@iyabakar3612
@iyabakar3612 8 ай бұрын
Kwann shekheee abdul asimfundikisheee wifiii diniii km yeye
@rahmaomaryomary-md5ck
@rahmaomaryomary-md5ck 6 ай бұрын
Diva mama tulosomea magongomoka unatupoteza 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@SululuZungu-kx8ws
@SululuZungu-kx8ws 7 ай бұрын
Sasa kingeredha chann mawani za nn daa alf umeolew na mislmu hiv mpo serias au 🤔
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 9 ай бұрын
Kwa status yake wala sio mbaya anaendana na anapoishi wala sio mbaya kwake pazuri tu
@fatmarashid1843
@fatmarashid1843 9 ай бұрын
Ushamba huo diva
Harley Quinn's plan for revenge!!!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 32 МЛН
Lehanga 🤣 #comedy #funny
00:31
Micky Makeover
Рет қаралды 29 МЛН
Harley Quinn's plan for revenge!!!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 32 МЛН