Рет қаралды 13,992
Waziri wa Madini, Doto Biteko amewatembelea wachimbaji wadogo wa Nyarugusu wilayani Geita ambako pia linapatikana jimbo la Busanda ambalo pacha wake Kulwa Biteko alishinda kura za maoni ndani ya CCM ingawa jina lake halikurudi na badala yake likarudi jina la Tumaini Magesa ambaye alichaguliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo kwenye Uchaguzi Mkuu 2020.
Tovuti @BMG BLOG www.bmgblog.co.tz/
Facebook @BMG HABARI / bmghabari
Twitter @bmghabari / bmghabari
Instagram @bmghabari / bmghabari
#BMGTV #BMGBLOG #BMGHABARI #PamojaDaimaBMG