No video

Lugha ya Kiswahili yazidi kukua

  Рет қаралды 44,152

BBC News Swahili

BBC News Swahili

Күн бұрын

Ni dhahiri kuwa lugha ya kiswahili sasa inazidi kwenda kimataifa. katika taarifa hii mtangazaji Salim Kikeke ameangazia namna watu wa mataifa mbalimbali wanavyojifunza lugha na jinsi walivyomudu kuzungumza kiswahili
Vedeo: Salim Kikeke/Instagram
#bbcswahili #kiswahili #tanzania

Пікірлер: 72
@estherandherlittleworld7821
@estherandherlittleworld7821 2 жыл бұрын
Poaaaaa, mambo toka Brazil, ninapenda kiswahili sanaaa😍
@happysharma2510
@happysharma2510 2 жыл бұрын
Hongera sana karibu Zanzibar jamuhur ya muungano tanzania upate kujifunza zaidi
@staralive9260
@staralive9260 2 жыл бұрын
Magufuli alikuwa na maono sana. Wamemuondoa lkn kwa maslahi ya mtu mmoja mmoja na sio kwa maslahi ya Taifa zima. Lakini Mungu yupo, kila kitu kitajulikana na kufungua yote. Kiswahili Magufuli alihitaji kuwa lugha ambayo itazungumzwa kila kona ya dunia kwa kuanzia kwenye umoja wa nchi za Africa ambako aliongea vizuri na walimsikiliza na wengi walipenda hata mpaka South Africa wakapewa na vitabu vyenye muongozo wa kutengeneza silabasi katika masomo yao nchini humo. RIP MAGUFULI wewe utabaki kuwa ndiye jemedali wetu wa siku zote na ambaye kwa sasa hawakuinui wala kukusema wanachukulia kawaida lakini kuna siku Magufuli utainuliwa na jina lako litawaumiza wengi na kufungwa wengi.
@frankhoffa8356
@frankhoffa8356 2 жыл бұрын
Kwani hiyo issue ya kiswahili kidunia alianzisha huyo?
@yahomeshopllc5950
@yahomeshopllc5950 2 жыл бұрын
Kwa sasa kiswahili ki kasi balaaa, hapa USA 🇺🇸 heri ujuwe ki swahili kuliko kifaransa,kwa sasa hapa MAREKANI kifaransa kiko chini sana,Kiswahili njoo kiko juu kabisa.mimi ni mkongomani nina miaka 15 🇺🇸 🇺🇸hapa USA
@mudrickabdallah7251
@mudrickabdallah7251 2 жыл бұрын
Safi mwana
@vistowilla305
@vistowilla305 2 жыл бұрын
Nakupend sana kiswahili ntakitumia hikihiki hata nkiwa nnje ya nnchi yangu
@Saidi1581
@Saidi1581 Жыл бұрын
Kiswahili ni lugha nzuri sana napenda sana kuhongea kiswahili pia nime furahi sana tu
@afrakanaswahilitv5520
@afrakanaswahilitv5520 2 жыл бұрын
Kiswahili kitukuzwe. Papa hapa jijini New York, Marekani Kiswahili kimevuma sana. Ndio lugha kubwa ya kuzungumzwa kutoka barani Afrika. Waafrika wote mahali mlipo dumisheni na kuenzi lugha yetu adhimu na azizi ya Kiswahili. Tamaduni, kaida na turathi zetu za kiafrika zimegubikwa ndani ya lugha ya Kiswahili.
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 2 жыл бұрын
Wahoooo jamaniiiii am so proud to be Tanzanian lady
@nyalusofficial8673
@nyalusofficial8673 2 жыл бұрын
Ongera sana
@katotopesaofficial
@katotopesaofficial 2 жыл бұрын
Hatarani "Hatarini"
@mwanawamfalmetz
@mwanawamfalmetz 2 жыл бұрын
Kabisa kiswahili na kizidi kupaa mpanka siku Moja iwe lugha ya Dunia nzima
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Mashallah, nice 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@Saidi1581
@Saidi1581 Жыл бұрын
Kiswahili ni lugha nzuri sana tu
@annaanyosisye8682
@annaanyosisye8682 2 жыл бұрын
Naipenda lugha yangu
@estermgata9617
@estermgata9617 2 жыл бұрын
Safi Kabisa!! Kiswahili kidumu
@djwizztyga
@djwizztyga 2 жыл бұрын
Safi sana
@micamathew2595
@micamathew2595 2 жыл бұрын
Inakua kwa kasi sana
@rubensaitoti6839
@rubensaitoti6839 2 жыл бұрын
Amakweli kila moja ana shida yake wengine wanataka kujua kiswahili mm nataka kujua ingilishi Mungu anisaidie
@hizzarashidi1118
@hizzarashidi1118 2 жыл бұрын
Hongereni.
@user-hb8vi9fx6g
@user-hb8vi9fx6g 2 жыл бұрын
KUTOKANA NA KASI KUBWA YA WATANZANIA WENGI KUJIFUNZA NA KUPENDA LUGHA ZA KIGENI KIKIWEMO KINGEREZA, ITAFIKA WAKATI WAZUNGU WATATUFUNDISHA KISWAHILI !
@lennartlennartson33
@lennartlennartson33 2 жыл бұрын
Jinsi roho ya ukoloni inavyoonekana kudumu baina ya ulaya, Marekani na Afrika huenda kwa kuhuzunisha ukawa sahihi
@onesettv8749
@onesettv8749 2 жыл бұрын
Swahili to the world
@adamiddi6402
@adamiddi6402 2 жыл бұрын
Big up
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 2 жыл бұрын
R,I,p JPM shujaa wa Africa
@ayububakari9942
@ayububakari9942 2 жыл бұрын
Alikuwa mswahili fasaha eeh ??!!
@bwiznation
@bwiznation 2 жыл бұрын
Nilikiskiza Kiswahili kwenye Tamthilia yo Boba Fett
@queentoto3878
@queentoto3878 2 жыл бұрын
Ma sha Allah beautiful vzur
@romanushyera3635
@romanushyera3635 2 жыл бұрын
Wahoooooo,
@alkhalilmussa5633
@alkhalilmussa5633 2 жыл бұрын
Safiiiiii sanaaa
@hizamwaimu3918
@hizamwaimu3918 2 жыл бұрын
Safiii ineka safi
@venancephilbert9397
@venancephilbert9397 2 жыл бұрын
Basi tuseme, "ni vyema"
@katemachanda7035
@katemachanda7035 2 жыл бұрын
Naskia Raha Sana lkn nammisi Sana Rais Magu...
@afrakanaswahilitv5520
@afrakanaswahilitv5520 2 жыл бұрын
Nammisi ni "Namhamu" hiyo ndo msamiati halisi kutumika kisarufi.
@ayububakari9942
@ayububakari9942 2 жыл бұрын
hapo enyewe hukuzungumza swahili
@enezermwafrica7443
@enezermwafrica7443 2 жыл бұрын
Binti wa kijapan ndio kanikosha xn, aje akae kwangu nitamfundisha zaidi
@ndingimwananzeki5776
@ndingimwananzeki5776 2 жыл бұрын
Hhhhhj kiswahili lugha ya africa nzima
@nyembomajidi3027
@nyembomajidi3027 2 жыл бұрын
wazungu wote wanajua africa ni wamoja umesikia wenyewe wanasema lugha la africa sio la inchi fulani, kuja sasa Africa lenyewe wabagunzi kupitilizia hatupendane hata kidogo
@devothasimbi1055
@devothasimbi1055 2 жыл бұрын
@@nyembomajidi3027 UKo sawa ninaishi Ufaransa nikiwa likizo nilikirudi kazini naulizwa ikiwa nilikuwa Africa wala Hawa mpango wa kujua africa nchi gani .
@modelka222
@modelka222 2 жыл бұрын
alafu pumbavu wa insta kutwa kujishaua kwa kuongea kama hawajui kiswahili vizuri..
@uwezowamunguutendaokazi3043
@uwezowamunguutendaokazi3043 2 жыл бұрын
Amani amani sana, Amen,
@kalengashoppingcenter1108
@kalengashoppingcenter1108 2 жыл бұрын
Hao wamarekani Ushuzi tuu walitukoloni na sasa wanajimilikisha na maneno yetu
@millicentayangokunting3728
@millicentayangokunting3728 2 жыл бұрын
😂😂😂
@zully756
@zully756 2 жыл бұрын
Kalaga baho
@Ndu-wa.uroony2
@Ndu-wa.uroony2 2 жыл бұрын
Huyo Jesika ameolewa? Nimempenda
@yusufulimo5737
@yusufulimo5737 2 жыл бұрын
🇹🇿🤝
@masterkey536
@masterkey536 2 жыл бұрын
Asante
@sophiezakaria
@sophiezakaria 2 жыл бұрын
Kiswahili kitukuzwe
@shabandamas1759
@shabandamas1759 2 жыл бұрын
Dah bora
@kefaopiyondede6459
@kefaopiyondede6459 2 жыл бұрын
Hi ni challenge kubwa kwa baadhi ya watanzania wajinga wanaoongea KISWA-ENGLISH wakifikiri huo ndio Usomi, kumbe Ujinga mkubwa....Tubadilike, tuipende lugha yetu adhimu, hata Vyuo vyetu vikuu kiswahili kiwekwe kuwa ndio lugha yetu ya Masomo yote.
@georgemoshy2660
@georgemoshy2660 2 жыл бұрын
*HAWA MASETLA HAWAFANYAGI MAMBO KIHOVYO HOVYO, WAPO KWENYE MAANDALIZI YA FAIDA YA KUDUMU*
@davidelias3986
@davidelias3986 2 жыл бұрын
Wow!!!
@henrypambisa5483
@henrypambisa5483 2 жыл бұрын
Mzuka sana
@devihasani110
@devihasani110 2 жыл бұрын
Hao wazungu wana soma kiswahili na wana jifunza mbini mpya ya kuimba
@nurutv1322
@nurutv1322 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@viviansalem2611
@viviansalem2611 2 жыл бұрын
Mcheza kwao hutuzwa
@dylankanyubi3700
@dylankanyubi3700 Жыл бұрын
Wakenya tafadhali tujumuike kupambaja na lugha ya Kiswahili. Ni dhahiri kwamba ni kanzi au dafina yetu kutoka majaliwa ya Mungu. Tusiendelee kukibweza, tutukuze Kiswahili sasa na kesho.
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 2 жыл бұрын
sasa utashangaa mtu yuko Kenya tu hapo na hawezi kuzungumza kama hao jamaa alafu kiswahili ni lugha yao ya Taifa
@AT-wz8xx
@AT-wz8xx 2 жыл бұрын
kiswahili ni lugha ya Taifa nchini Tanzania sio Kenya
@husseinchea5524
@husseinchea5524 2 жыл бұрын
Kenya ni wabara ndo hawajui kuzungumza Kiswahili lkn mkoa wa pwani (Mombasa, Kilifi, Lamu, Malindi n.k)wanakijua vizuri sana maana huku ndiko makazi ya waswahili
@juma272
@juma272 2 жыл бұрын
Wacha kuwa mshenzi, ushawahi kuja Kenya ukaona watu hawajui Kiswahili
@juma272
@juma272 2 жыл бұрын
Blad fuckin, nyi wote
@dylankanyubi3700
@dylankanyubi3700 Жыл бұрын
Ubaya ya Wakenya kwa ujumla no kuitehemu lugha hii adhimu. Sikitiko kubwa.
@eliyanibitanga4770
@eliyanibitanga4770 2 жыл бұрын
Damn
@ikrissaidrissa8613
@ikrissaidrissa8613 2 жыл бұрын
Mbona kama mnailudia hii habari
@TheOtherMwalimu
@TheOtherMwalimu 2 жыл бұрын
wanajipendekeza 😂
@allansk1035
@allansk1035 2 жыл бұрын
Old video
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Ай бұрын
Hatuwezi sifia kiswahili kinapaa duniani hamna walimu kutoka tanzania wakifundisha kiswahili gramer akili za serekali yetu kutoa kingereza ktk shule za msingi na kukiua kingereza Sasa kutafsiri vipi umelemishe mgeni aekewe kifasa. Kiswahili badala yake wakenya ndio wanafundisha kiswahili lakini sio fasahaa ujinga wetu kuweke nafasi za watoto wa wakubwa badala yake tukaaua kingereza nchini
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Ай бұрын
Mkenya anasema Swahili hatuna neno Swahili tanzania tuna kiswahili hawajui maneno ya proposition za kiswahili alafu mnasema kiswahili kinapaa ulimwenguni hicho Cha Kenya tuache ujinga ktk taifa letu tufute masomo mengi ktk shule za msingi na kufundisha kingereza ili watanzania wengi wapate kazi ya kufundisha kiswahili fasahaa duniani
Vijana wa Kijerumani wakikicharaza Kiswahili
13:53
DW Kiswahili
Рет қаралды 3,1 М.
Can This Bubble Save My Life? 😱
00:55
Topper Guild
Рет қаралды 84 МЛН
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 16 МЛН
❌Разве такое возможно? #story
01:00
Кэри Найс
Рет қаралды 3,4 МЛН
Lugha ya Kiswahili:
31:02
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 4,8 М.
| LONGALONGA | Jifunze Kiswahili sanifu
9:32
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 29 М.
Kutana na Malenga mdogo wa Mombasa
4:25
DW Kiswahili
Рет қаралды 101 М.
Can This Bubble Save My Life? 😱
00:55
Topper Guild
Рет қаралды 84 МЛН