Рет қаралды 44,152
Ni dhahiri kuwa lugha ya kiswahili sasa inazidi kwenda kimataifa. katika taarifa hii mtangazaji Salim Kikeke ameangazia namna watu wa mataifa mbalimbali wanavyojifunza lugha na jinsi walivyomudu kuzungumza kiswahili
Vedeo: Salim Kikeke/Instagram
#bbcswahili #kiswahili #tanzania