Je mama hana mchango kweli? Au mnasahau kwa makusudi?
@user-gv8yn9lg1i28 күн бұрын
Jp Makufuli 😅😅😅
@Aida-qh3jq28 күн бұрын
Tumuombe maisha bora akhera na huyu mama mwenyez mungu amsimamie kwa uwezo wake mungu maana bila mungu hatuwezi kitu jamani na kila hali mja njia ni moja tu
@zobakazizi763728 күн бұрын
Tanzania inanyanyuka..
@leokamil628428 күн бұрын
Mwendazake kweli ulibadilisha hii nchi kwa muda mfupi sana, sijui nisemeje umetuachia ukiwa nchi haieleweki kabisaa. Pumzika kwa Amani
@modestwenceslaus928 күн бұрын
Barabara unganishi za Daraja ziwe na urefu kilometa nyingi na upana wa kutosha ilikulipa thamani ya gharama iliyotumika kulijenga siyo mjenge vibarabara kama vya huku uswahilini kuliunganisha Daraja hilo.
@MashauriissaMohamedКүн бұрын
Tutakukumbika Kwa mazuri yako
@zachmaselle663519 сағат бұрын
Tatizo langu ni hayo magugu. Tangu yaanze kuonekana, huna hatua zozote zimechukuliwa na waziri wa mazingira yupo!
@Worldunite21 күн бұрын
Mbona mnaleta mfarakano? Hili jambo liko wazi kwamba hayati JPM aliona umuhimu wa kujenga hili daraja na akaanza kulijenga, halikuwa jambo rahisi, na baada ya kifo chake mama ndo analimalizia, sasa, tunachoshindania hapa ni lipi?
@sylvestercameo626328 күн бұрын
Huyu msimulizi ni mgeni kutoka nchi jirani? Pili, anapotosha kudai ya kwamba kuvuka kwa ferry kutoka Busisi hadi Kigongo ferry unatumia saa mbili. Hata kwa kupiga kasia huwezi kutumia zaidi ya saa moja!