litazame bwawa la umeme la nyerere rufiji lilivyokamilika uzalishaji kuanza mwaka huu

  Рет қаралды 24,744

Jenafa TV

Jenafa TV

2 ай бұрын

Пікірлер: 32
@OS-pf6op
@OS-pf6op 2 ай бұрын
Magufuli, the brightest and hardworking President of our country in recent times!🇹🇿💯
@nkoydavid9658
@nkoydavid9658 2 ай бұрын
Mwasisi ni Nyerere ila mtekelezaji ni Magufuri..
@pandaboi8942
@pandaboi8942 2 ай бұрын
Bora hata ya wewe umemtaja Mhe hayati Magufuli 👏
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 2 ай бұрын
Magufuli alikuwa jembe sana
@jumahili8121
@jumahili8121 2 ай бұрын
Hongera sana mama Dr. Samia Suluhu Hasan
@malijawille452
@malijawille452 2 ай бұрын
Hongera kuanzisha nini hapo???
@user-ji7sy2wi7b
@user-ji7sy2wi7b Ай бұрын
​@@malijawille452mbona mnajaa chuki
@user-tg2jg7ul9n
@user-tg2jg7ul9n 2 ай бұрын
Mungu amuweke pema peponi magufuli na atupetena kiongoz kama baba magufuli ln shaa Allah ❤❤❤
@Mr_Ben255
@Mr_Ben255 2 ай бұрын
Ulivyo mtaja mh Magufuli mi na muita baba la baba umenifulaisha sana👍
@user-ji7sy2wi7b
@user-ji7sy2wi7b Ай бұрын
Mmejaa chuki na sio uzalendo
@kamilikapeta2574
@kamilikapeta2574 2 ай бұрын
Mahufuli magufuli kama ongekuwa siww ziwa kamahili fahali ya wa tz lisingeku wepoivi kuna wanyenyekeaa wazungu
@chrsmanmwaisango4902
@chrsmanmwaisango4902 2 ай бұрын
Umenifurahisha kwa kumuenzi father J.P.M
@mussamkalawa2101
@mussamkalawa2101 2 ай бұрын
JPM ndo alikua the best present Sio kama saiz
@JacksonFrances
@JacksonFrances 2 ай бұрын
STAY BLESSED MH JOHN POMBE MAGUFULI [JPM], DAIMA TUTAKUKUMBUKA "
@marianmartin7483
@marianmartin7483 2 ай бұрын
Bora umemkumbuka JPM baba. Huyo mwamba hapaswi kubezwa hata kidogo. Alitumia nafasi ya kazi yake kizalendo sana kuitendea kazi nchi hii.
@khamissaleh921
@khamissaleh921 7 күн бұрын
No muasisi ni JPM nyerere alikuwa MUOGA huyu JPM.alithubutu hongera kwake ..
@kidsontemba1641
@kidsontemba1641 2 ай бұрын
Kazi nzuri
@Rehemamakuka
@Rehemamakuka 17 күн бұрын
Mbona hamutengenezi Barbara ya uko rufiji Barbara mbovu
@anthonypatrice5247
@anthonypatrice5247 8 күн бұрын
RIP JPM, What you have done will speak for you salute JPM
@stewartmbeselambesela909
@stewartmbeselambesela909 2 ай бұрын
Watz mmekazan nakuwaz nani anapewa sifa ya mradi badala ya kuchanganua nini huu mradi utatusaidia mimi na wewe
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 ай бұрын
Sasa mbona kama linaelekea kujaa zaidi ya uwezo wake si likibomoka ni hasara. Wapunguze maji hayo
@jumafarid8861
@jumafarid8861 2 ай бұрын
Jamaa unasema wapunguze na unaona kabisa maji yanatoka upande wa pili kwer uwezi kuelewa hata picha 😂😂😂
@khamisihamadi629
@khamisihamadi629 2 ай бұрын
ASANTE kwa kumtaja magufuli😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu awalaani walio muuzi
@user-ds7ho1my4u
@user-ds7ho1my4u 2 ай бұрын
Ni kumshukuru MUNGU wetu, Kwa Kuwa Kila Awamu ya Uongozi, Kuna Jambo lililofanyika, Likiwa zuri, au baya, Lakini lilifanyika, Kuna Wakati wa Kuzaliwa na Wakati wa Kufa, Wakati wa Kuowa na Kuolewa, Kuna Wakati wa Kucheka na Kulia, Kuna Wakati wa Maombolezo, na Furaha, Kuna Wakati wa Kununa, Kuchukia, Kwa hiyo Kila zama na matukio yake.
@emmanuelkanyela275
@emmanuelkanyela275 2 ай бұрын
JPM alisema wati 2115 vipi hapo
@JohnTajewo
@JohnTajewo 2 ай бұрын
Hiyo nialama isiyofutika kwa jembe letu lakazi mwashimiwa JPM Mgufuli akika tutamkumbuka daima kwa kuuweka uzalendo mbele viongozi wanapaswa kuiga nyendo zake🎉🎉😢😢
@EmanuelyMbagalla-rt2vm
@EmanuelyMbagalla-rt2vm 2 ай бұрын
Kuna wapuuzi wanaogopa hata kutaja jina la Magufuli. Video nzuri sana! Wakati mwingine tutafutie aerial view ya bwawa zima ikiwezekana na eneo lote la mradi.
@ibrahimabdullah1887
@ibrahimabdullah1887 2 ай бұрын
Je samia yeye kuendeleza hana thamani
@EmanuelyMbagalla-rt2vm
@EmanuelyMbagalla-rt2vm 2 ай бұрын
@@ibrahimabdullah1887 Thamani yake ni kubwa sana pia. Ila thamani yake huingia doa anapoacha wapuuzi walio wengi wanaofanya majaribio ya kuficha jina la Magufuli. Rejea hotuba za viongozi katika sherehe za kuanza kujaza maji bwawa, alikuja kutamka yeye jina Magufuli, kiasi unaweza kufikiri hakupenda pia.
@user-ru6ct4rh3t
@user-ru6ct4rh3t 2 ай бұрын
R.I.P. JPM😭😭🙏🙏
HATIMAE ZEMBWELA AMEIFIKIA 'RULA YA MAJI' BWAWA LA KUZALISHIA UMEME
13:29
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
1 or 2?🐄
00:12
Kan Andrey
Рет қаралды 56 МЛН
ОСКАР vs БАДАБУМЧИК БОЙ!  УВЕЗЛИ на СКОРОЙ!
13:45
Бадабумчик
Рет қаралды 5 МЛН
THE POLICE TAKES ME! feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
PANDA BOI
Рет қаралды 25 МЛН
Electric Trains HERE WE GO!!! TANZANIA 🇹🇿
21:12
Malango Travels 🇹🇿
Рет қаралды 15 М.
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН