Maajabu ya Daraja la Mungu na Simulizi ya Kusisimua ya Nyerere na Warusi

  Рет қаралды 227,092

Global TV  Online

Global TV Online

7 жыл бұрын

Daraja la Mungu ni miongoni mwa vivutio vya kipekee vya utalii mkoani Mbeya ambapo kila mwaka, maelfu ya watalii kutoka sehemu mbalimbali za dunia huenda kulitembelea na kushuhudia maajabu ya uumbaji wa Mungu.
Zipo simulizi za kusisimua kuhusu daraja hilo, nyingine zikidai kwamba kulikuwa na nyoka mkubwa aliyekuwa akiishi chini ya daraja hilo ambaye alikuwa akizuia rasilimali za nchi, yakiwemo madini yaliyokuwa yakipatikana eneo hilo, yasivushwe kupelekwa ng'ambo ya pili.
Zipo simulizi pia kwamba baba wa taifa, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alishindwa kuvuka kwenye daraja hilo kwa sababu ya uvutano mkubwa kati ya kifimbo chake na nguvu zilizokuwa kwenye daraja hilo.
Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpublishers

Пікірлер: 90
@athumaniomari2833
@athumaniomari2833 2 жыл бұрын
Ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU mkuu
@sylvestermpangala1491
@sylvestermpangala1491 2 жыл бұрын
Safi sana, historia nzuri. Hongera.
@fredyjohn8548
@fredyjohn8548 5 жыл бұрын
Duh nilikua sijui hili wala kusikia stor hii Adimu sana Asanten
@ezzytz6381
@ezzytz6381 6 жыл бұрын
Hii story nimeipenda sana kuliko post zenu zoteeeeeeeeeee.Endeleen kutuletea vitu vya maana kama hivi
@alfredkyebemwalubilo3688
@alfredkyebemwalubilo3688 Жыл бұрын
Mimi nimezaliwa na kukulia maeneo hayo,, habari ya madini ni ya hisia tu tena ni uongo. Ardhi ya madini kamwe haiwagi rutuba, Tukuyu /Rungwe na eneo lote hilo lina rutuba saba. Warusi walikuja hapo kwa ajili ya kujenga dydro power, na hilo daraja lilijengwa kwa ajili ya kupitishia mitambo, sasa kabla hawajaenda mbali kiujenzi ndipo ikatokea vita ya Tanzania dhidi ya uganda, na ktk vita hiyo urudi kama nchi ilikuwa inaisadia uganda, ndipo mwalim akaamua kuwatimua hao jamaa. Habari zingine ni MATANGOPORI tu
@fredericmbanga207
@fredericmbanga207 2 жыл бұрын
Huyu mwanahabari arudi shule akasome historia sahihi ya nchi hii.Asiwe mpotishaji.
@henryjoseph5703
@henryjoseph5703 5 жыл бұрын
Global mnajitahidii daaa mpaka kwetu hongeleni saan aiseee
@sifasanga7866
@sifasanga7866 7 жыл бұрын
Uko vizuri ova una miaka mia....hongera kumeza historical...
@michaelthoya3348
@michaelthoya3348 5 жыл бұрын
natamani twende wrote Glad acha tu aise
@michaelthoya3348
@michaelthoya3348 5 жыл бұрын
natamani twende wote Glad acha tu aise
@jensennashon6147
@jensennashon6147 7 жыл бұрын
Dogo uko vizuri sana ...yani kama una miaka 89 hivi
@barakaseme3482
@barakaseme3482 6 жыл бұрын
nimeipenda Sana ikumbukwe mkoa mzee mwenye umuri mkubwa akiongozwa na mwanae aricho Kuwa.anaongea.mzee.ambirikire %33tafusir hakuwiyana na uharisia WA swal+jibu-tafusiri.by.baraka.seme,wa kyela
@wazirmlogi7532
@wazirmlogi7532 3 жыл бұрын
Ni historia aliyoikutaka
@graceedson6753
@graceedson6753 6 жыл бұрын
jomon najivunia kwetu
@tendatanzania8358
@tendatanzania8358 7 жыл бұрын
Story nzuri kweli kweli
@kirumbasokoni3047
@kirumbasokoni3047 7 жыл бұрын
Andrew John wimbowaabiudi
@thomaschambala6060
@thomaschambala6060 6 жыл бұрын
jamaaa muongo kwan wanyakyuxa tabia gan hyo?
@adiliwasanga4521
@adiliwasanga4521 6 жыл бұрын
Good nimewasoma
@mwasisobajohan7641
@mwasisobajohan7641 4 жыл бұрын
Asante kwa simulizi nzuri sana
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 2 жыл бұрын
Waambie waambie ni wamoja hao hao
@mcmchokozi_1770
@mcmchokozi_1770 7 жыл бұрын
maelezo mengiii mtangazaji
@stephanothomas5552
@stephanothomas5552 5 жыл бұрын
aisee story nimeipenda sana
@benjoseph6329
@benjoseph6329 5 жыл бұрын
Nimeipenda hiyo historya
@neemaemmanuel6850
@neemaemmanuel6850 5 жыл бұрын
kweli hilo daraja ni LA Mungu.
@heavenmrina5984
@heavenmrina5984 6 жыл бұрын
nina jirani yangu mwanga nampeleka vacay kwenye hilo daraja akakutane na nyifwira
@gladvictory3044
@gladvictory3044 7 жыл бұрын
inabidi nifike kwakweli sio kwa uhondo huo
@victormligo7372
@victormligo7372 7 жыл бұрын
safy kwa kutusanua
@hildamadafu-zn2zp
@hildamadafu-zn2zp Жыл бұрын
Duh
@philipomakanamabilikaathum6394
@philipomakanamabilikaathum6394 7 жыл бұрын
Daaah mungu yupo
@keiphilemon6941
@keiphilemon6941 4 жыл бұрын
Ni kweli?
@beautywithnay5974
@beautywithnay5974 5 жыл бұрын
Story nzuri sana tunashukuru kaka
@yellooh
@yellooh 5 жыл бұрын
Vituko viko
@googlesalimmygoogle9359
@googlesalimmygoogle9359 5 жыл бұрын
Hizi ni hadithi za alinacha so no seam sio poropagana Russ ni arising of Dubai, Byers akusomo .alia Audi WA Africa
@allykassim400
@allykassim400 7 жыл бұрын
pa1 sana
@husseinjuma4546
@husseinjuma4546 6 жыл бұрын
Clara
@najethemmanuel435
@najethemmanuel435 7 жыл бұрын
cjawah
@danieljoseph6309
@danieljoseph6309 7 жыл бұрын
fimbo ina mercury 😂😂😂
@amosbinmahona9947
@amosbinmahona9947 6 жыл бұрын
hatari
@zeanachande4982
@zeanachande4982 6 жыл бұрын
Ii ndio mbeya yetu
@privamariki2675
@privamariki2675 7 жыл бұрын
kweli hapo mumeninogesha kweli
@ermjukuuwameya4695
@ermjukuuwameya4695 7 жыл бұрын
priva Posts on a few of the most important thing,
@Masta313
@Masta313 7 жыл бұрын
Dalaja, taklibani, laisi, ulusi kiswahili kigumu Sana bro more practice needed mtangazaji
@makantaafrika
@makantaafrika 5 жыл бұрын
Wanyakyusa na wandali hatuna R kwenye msamiati wetu.
@graytonndamgoba4805
@graytonndamgoba4805 7 жыл бұрын
Nyoka alikuwa anakasirika sio😀😀😀
@Chrisblaze-beats
@Chrisblaze-beats 6 жыл бұрын
Grayton Ndamgoba 😂😂😂
@bernardbaha9079
@bernardbaha9079 7 жыл бұрын
Hahahahah, Chief, oral tradition hao warusi hawapo waulizwe ama official government document, wee mwandishi unapaswa kujiongeza ukishapata ubuyu kama huo sio unaishia hapo
@daimavlog
@daimavlog 7 жыл бұрын
Kale ka fimbo kalikuwa kiboko
@abdulrahmanpaskalina7627
@abdulrahmanpaskalina7627 3 жыл бұрын
Ila hapo kwenye fimbo mh🤔
@isackmwambande7981
@isackmwambande7981 7 жыл бұрын
ifika fya kumyituuuu, ndagha fijho kikoloooo
@mahadshekh398
@mahadshekh398 2 жыл бұрын
60 mpaka 70 Nyerere alikuwa Rais?
@Thaddeus_musembi
@Thaddeus_musembi 7 жыл бұрын
Dogo anawanyonga watu na Kamba za shingo huyo, walijuaje kama wenzao wa Rungwe wanavaa nguo kama hawakuwahi kufika Rungwe? na Kama waliwahi kufika Rungwe walifikaje huko bila kujua kuwa kuna mto unawatenganisha? Maana anadai walipotaka kuja na mifugo kwenda kubadirishana na nguo ndiyo wakagundua kuwa kuna mto. Kingine ni kwamba, wanyakyusa Morogoro walikua wanapita tu, wala hawakutokea Morogoro bali walitokea maeneo ya sudani huko na zaidi wamesambaa nchi mbalimbali kusini mwa afrika ambako wanatumia lugha hiyo hiyo lakini wanajulikana kwa majina tofauti. Halafu waandishi mmejaribu kufuatilia serikalini kuupata ukweli wa aina ya amdini yaliyogunduliwa hapo na kama kuna ukweli kuhusu makubaliano ya ujenzi mpaka kufikia kukwama kwa ujenzi wa chanzo hicho cha umeme? Kamba nyingine ni hapo kwenye vita ua Tanzania na Uganda
@henerikomico948
@henerikomico948 6 жыл бұрын
Kama hujamwelewa kaaa kimyaa
@ezzytz6381
@ezzytz6381 6 жыл бұрын
mzee hii ni historia so history it's all about past mzee so kunauongo ndani yake pia kunaukwel ndan yake
@PAULHAULE255
@PAULHAULE255 4 жыл бұрын
Mmmh
@alfredkyebemwalubilo3688
@alfredkyebemwalubilo3688 Жыл бұрын
Halafu kingine, eti walipiga kura , wengine wakawa wanasema ni mbali, sasa walijuaje kwamba ni mbali au ni karibu wakati walikuwa hawajawahi kufika?
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 2 ай бұрын
​@@alfredkyebemwalubilo3688kabla watu hawajasafiri kunakuwa na wasafisha njia au watafiti ko unadhani walikuwa wanapita poroni bila ramani
@alfredkyebemwalubilo3688
@alfredkyebemwalubilo3688 Жыл бұрын
Wa mchongo huyu
@zamizozamy5528
@zamizozamy5528 5 жыл бұрын
Kale kafimbo alizikwa nacho mwalimu?
@mariamfaki1166
@mariamfaki1166 7 жыл бұрын
sasa huyo nyoka bado yupo?
@ermjukuuwameya4695
@ermjukuuwameya4695 7 жыл бұрын
Mariam Faki the tg
@patricksaimon6131
@patricksaimon6131 4 жыл бұрын
Ipo
@jamesjahasa3348
@jamesjahasa3348 7 жыл бұрын
akili ya kuambiwa changaya na ya kwako
@abdallahsalum3692
@abdallahsalum3692 5 жыл бұрын
Ok
@suzanamaswatu2451
@suzanamaswatu2451 7 жыл бұрын
Huyo nyoka yuko wapi sasa hivi
@aswarmurishid6847
@aswarmurishid6847 7 жыл бұрын
Suzana Maswatu vp
@juliuskidoto791
@juliuskidoto791 Жыл бұрын
Ama kweli wewe ninyifira haswa acha uongo
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,9 МЛН
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 13 МЛН
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 36 МЛН
BABA YANGU KIPOFU Full episode /21/ #love
25:05
BabaJoan
Рет қаралды 248 М.
MAJI YA BAHARI NA IMANI ZA KUTOA NUKSI..
5:57
Global TV Online
Рет қаралды 6 М.
SIRI YA MAKONDA NA UONGOZI WAKE ARUSHA, SABABU YA WATU KUMTAKA
12:38
JINSI YA KUPIKA MIKATE LAINI NYUMBANI/HOW TO BAKE SOFT BREAD
13:11
Mziwanda Bakers
Рет қаралды 382 М.
ODM Leadership in Kenya Kwanza Government- Peter Kaluma, MP
43:38
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,9 МЛН