Mbuzi mwenye mimba akiwa anakaribia kuzaa mwili wake huwa unabadilika kwa kiasi fulani. Katika makala hii tutaonyesha na kuyangelea mabadiliko hayo na sababu zake - yaani kwanini yanatokea.
Пікірлер: 11
@meleskanje78512 ай бұрын
Naomba nambayasim
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Asante
@petermtey55083 жыл бұрын
Bado tupo pamoja🏃🏃
@ramseysalim9435 Жыл бұрын
Nitapataje hao mbuzi
@lovenessbaynit10283 жыл бұрын
Asante Sana kwa elimu zako nzuri,hivi hayo mabanzi yanamwezesha kulala vzr kweli? Mana naona yangegeuzwa yangekaa powa zaidi
@ShambaniFarm3 жыл бұрын
Wanalala vizuri bila tatizo. Nimegundua ukiyageuza mkojo unaingia ndani ya mbao/banzi - yaani banzi linanyonya mkojo na hivyo mbao huoza haraka. Lakini nikiigeuza hizi naona mkojo au maji unateleza na kutiririka chini haraka zaidi na hivyo mbao haiozi mapema.