Sababu 10 kwanini ufuge mbuzi

  Рет қаралды 14,340

ShambaniFarm

ShambaniFarm

3 жыл бұрын

Katika video hii tunakupa sababu 10 kwanini uanze kufuga mbuzi. Tunaongelea masuala mbalimbali ya muhimu yanaofanya ufugaji wa mbuzi kuwa na tija na mvuto zaidi kuliko ufugaji wa ng'ombe, kondoo na hata nguruwe (kitimoto). Masuala kama yafuatayo:
1. Uhitaji wa nyama ya mbuzi (soko)
2. Uhitaji wa eneo kwa ufugaji wa mbuzi
3. Uhitaji wa chakula
4. Uzaaji na uongezekaji wa mbuzi
5. Urahisi wa kummudu mbuzi
6. Ubora wa nyama ya mbuzi
7. Maziwa ya Mbuzi
8. Mazao ya ziada - mbolea na ngozi
9. Athari ya mazingira
10. Kufurahisha kwa mbuzi
11. Ustahimilivu wa mbuzi - kwenye kiangazi kujali
12. Mtaji mdogo

Пікірлер: 38
@nicksonmadenge38
@nicksonmadenge38 9 ай бұрын
Hii imeendaa hii 😊
@mebumohammed6844
@mebumohammed6844 Ай бұрын
Nice topic all noted brother
@ShambaniFarm
@ShambaniFarm 25 күн бұрын
Thanks a ton
@twororeturimekijambere5491
@twororeturimekijambere5491 Жыл бұрын
Unadufundisha vizuri sana asanteni😍🙏🙏🇧🇮burundi
@philbertzacharia3087
@philbertzacharia3087 2 жыл бұрын
Tunamuomba sana Mungu atufikishe tunakopalenga kufika kiufugaji wa mbuzi na kiuchumi kiujumla. We need to be richer through goats 🐐 🙏
@ShambaniFarm
@ShambaniFarm 2 жыл бұрын
Kabisa. Na tutafika tu kwa uwezo wa Mungu na jitihada zetu zitazaa matunda.
@abrahamsingano5372
@abrahamsingano5372 3 жыл бұрын
Nahitaji mbuzi wadogo wa kufuga chini ya miezi 6
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Asante nitafuga mbuzi inshaallah
@alfoncemuteti6230
@alfoncemuteti6230 3 жыл бұрын
Hello sir.... Am from Kenya a beginner in goat farming and passionate about it.... Have been following you here on KZfaq and I would request to know whether I can get a young Boer male from your farm by January next year?
@brandusmunansangu9004
@brandusmunansangu9004 3 жыл бұрын
Hello Shambani farm. Great video. Kindly do an English version. The pictures explain it all but just to make sure
@ShambaniFarm
@ShambaniFarm 3 жыл бұрын
I did the English version first which can be foubd here kzfaq.info/get/bejne/i9F7g5iXvae3pZ8.html
@mayelabantuqueen832
@mayelabantuqueen832 3 жыл бұрын
I don't overstand swahili, but the pictures help me out a little bit ;) there is a great value chain in the goat business ! Thank you for sharing hope baby is doing well. i know one word in swahilie Asane sana.
@ShambaniFarm
@ShambaniFarm 3 жыл бұрын
Its basically the Swahili version of the previous English video titled "The 10 reasons to start goat farming". If you did not get a chance to look at it, here is the link kzfaq.info/get/bejne/i9F7g5iXvae3pZ8.html
@agapejosceline7683
@agapejosceline7683 3 жыл бұрын
@Queen M-YaH A I can teach you for free If you don't mind
@ShambaniFarm
@ShambaniFarm 3 жыл бұрын
@@agapejosceline7683 This is the kind of generosity I like! 🇹🇿😊
@hussenmilao5791
@hussenmilao5791 3 жыл бұрын
nice ones
@frankkabera3106
@frankkabera3106 2 жыл бұрын
umesahau kipato , pesa , thamani sokoni
@abubakarymzee2571
@abubakarymzee2571 3 жыл бұрын
Vipi kiongozi boar tiari twaweza pata mbegu mimi pia nimfugaji
@aloycesiame4280
@aloycesiame4280 2 жыл бұрын
Habari kiongozi. Hujatoa namba za mawasiliano kwa mfano mtu anahitaji. Mbengu
@ShambaniFarm
@ShambaniFarm 2 жыл бұрын
Zipo kwenye info page ya hii channel. Siwezi nikaweka kwenye kila video mkuu.
@tinashemawokomatanda
@tinashemawokomatanda 3 жыл бұрын
The english version
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Naomba namba yako ya simu.
@ShambaniFarm
@ShambaniFarm Жыл бұрын
0788 455 234, please text first.
@chonghoswe6255
@chonghoswe6255 Жыл бұрын
Mkoa gan hapa?
@ShambaniFarm
@ShambaniFarm Жыл бұрын
Pwani
@uzungupoint
@uzungupoint 2 жыл бұрын
Please msiwe mnaonyesha namna ya kuchinja, wengine tumejawa na woga na huruma please 😭😭😭
@ShambaniFarm
@ShambaniFarm 2 жыл бұрын
Pole Vedastus.
@uzungupoint
@uzungupoint 2 жыл бұрын
Ahsante
@chonghoswe6255
@chonghoswe6255 Жыл бұрын
@@uzungupoint sasa docta utaweza lau kumfunga majerui kidondaa
@uzungupoint
@uzungupoint Жыл бұрын
@@chonghoswe6255 Dokta ni jina tu, but Mimi ni jobless mmoja hatari😁
@chonghoswe6255
@chonghoswe6255 Жыл бұрын
@@uzungupoint hhhkh saw mzee
@alexmakunga4484
@alexmakunga4484 2 жыл бұрын
Unatoa sababu mbona usemi Kama Kama mbegu bei gani pia usemi tunapataje mbegu
@ShambaniFarm
@ShambaniFarm 2 жыл бұрын
Hiyo haihusiani na maudhui ya video hii. Video moja haiwezi ikaweka ndani yake kila kitu. Kuna mada zinahitaji sehemu yake maalum.
@rashadmohamed4357
@rashadmohamed4357 3 жыл бұрын
Upo mko gani na kama nina hitaji kwa kununua mbuzi wa mbegu nawapataje?
@ShambaniFarm
@ShambaniFarm 3 жыл бұрын
Tupo Dar. Ila kwa sasa hatuna wa kuuza kwenye hizi breeds za kigeni kama Boer na Kalahari Red.
@shuusalumu8618
@shuusalumu8618 2 жыл бұрын
Kaka naomba kujua kwasasa mbuzi wanapatikana au bado?
Upatikanaji wa mbuzi aina ya Boer Tanzania
13:39
ShambaniFarm
Рет қаралды 16 М.
1❤️
00:17
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 12 МЛН
OMG🤪 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:50
Potapova_blog
Рет қаралды 18 МЛН
Khó thế mà cũng làm được || How did the police do that? #shorts
01:00
JIFUNZE KUTENGENEZA KITOTOLESHI KINACHOTUMIA MAFUTA YA TAA   PART 2
17:38
Kenya resumes live animal exports to the Middle East
10:46
victor kenani
Рет қаралды 31 М.
JINSI YA KUANZA UFUGAJI WA MBUZI | #MAVUNOTIMES
10:15
MAVUNO TIME
Рет қаралды 55 М.
Alternative way to supplement your your  zero grazed goats
8:53
Lakeside Farm
Рет қаралды 9 М.
Wanyama Ep.3 Malisho ya ndama
27:42
Hope Channel Kenya
Рет қаралды 8 М.
Mabadiliko ya mwili wa mbuzi akikaribia kuzaa
10:47
ShambaniFarm
Рет қаралды 2,9 М.
#TBC1 - SHAMBANI : JIFUNZE UFUGAJI WA MBUZI
27:01
TBConline
Рет қаралды 43 М.
Гиены и их жесткий матриархат!
0:48
Fact Fusion
Рет қаралды 2,6 МЛН
Гиены и их жесткий матриархат!
0:48
Fact Fusion
Рет қаралды 2,6 МЛН