Kwa mambo haya Yanayo onekana ktk macho Yetu watanzania inabidi Tumuombee tusichoke ktk Maombi yetu Dr Magufuli Vile vile Dr samia tusimsahau Kwa kazi alizo achiwa
@abelg24882 ай бұрын
All the best madereva. Uadilifu ubora na bidii viwe ngao na nguzo katika utendaji wenu
@modestwenceslaus92 ай бұрын
Mdogomdogo Tanzania inaanza kung'aa kwenye miundombinu🎉🎉🎉🎉
@ibraton40712 ай бұрын
Hvi Hakuna bajeti ya kusafisha hilo jengo la zaman la reli ya zaman maana jengo zuri hila hapo pembeni pachafu sana
@braystuskibassa38422 ай бұрын
Mko sawa maana President Magufuri alifanya kazi kubwa sana
@imanuelnguya927718 күн бұрын
Safi sana
@usamaahmed26242 ай бұрын
Hii ni sawa na ndege ni umakini wa hali ya juu unapaswa kuzingatiwa, safety first na kuondoa kabisa mazoea (complacent') ili hivi vyombo vidumu na kuepusha ajali zembe, report every unusual incident before, during and even after, and cleanness and inspection ya chombo ni muhimu sana.. All the best Driver.. VIVA TANZANIA VIVA!!!
@zawadix95742 ай бұрын
Tatizo hatu tunzi vitu angalia mgr hovyo,,, angalia mwendokasi bus,,,,hovyo,,,,, tuna weza tuza....bora Management iwe wa turkey aw wa Korea hatuwezi.....wata iba fencing wata iba chuma angalia miaka 2 from now
@usamaahmed26242 ай бұрын
@@zawadix9574very true..
@gervasally697910 сағат бұрын
Tena ikibidi Kila station kue na Ma ispector wa hivyo vyombo vya usafiri Ikifika tu waje wakague wamuhoji Captain hali ya chombo Yaani Sjui nsemeje
@jamesmwita2995Ай бұрын
Jamani huu mchongoko wetu mbona hapo mbele Pako wazi au ndo mchongoko wa kitanzania ulivyo, unakuwa wazi hapo mbele😂😂
@jelasnkoma4240Ай бұрын
Pako wazi sababu ya "Railway Coupling" Yaani kuunganisha Kuna kofia yake ipo ndani haijavishwa ila wakivisha inachongoka.
@zawadix95742 ай бұрын
Hongera trc hongera sana lakini MTA weza tunza hizo ..... Jamani tu maintenance vizuri sio tu furahi mpya miakia miwili Ina kuja hovya kama reli ya mgr ..... Na ma basi mwendokasi....... Maintenance jamani Ina tu shindwa
@Kabwela776Ай бұрын
Wabaguzi hao hawajawapa kazi wanawake ina maana Tanzania nzima hamna wanawake wangeweza kujifunza kuendesha treni mbona kuna marubani wanawake ATC ???? Hii ni bogus kabisa lazima ipigiwe kelele Na hata ajira zao Wale wahudumu wanawake inaonekana kama almost ni kabila moja au baadhi ya mikoa tu.
@miltonjohn9779Ай бұрын
Kichwa gani hicjo buana! Magufuli alichoagiza na kilichokuja no tofauti
@Optionxll_Playz12 ай бұрын
Hivi ,Hakuna mpango WA Hao Wakolea kufungua kiwanda cha kujenga na ubunifu WA Train? Sio bei sana kufungua kiwanda na Technology tunanuna kwao.wataraam wetu amukeni basi
@zawadix95742 ай бұрын
Kwanza kutunza hizi treni hatu wezi kabisa ata line ya sgr uta skia matatizo...
@herodiduma9906Ай бұрын
@@zawadix9574kwa hiyo kulikuwa hakuna haja ya kutengeneza
@omarybakunda25542 ай бұрын
Mwambieni mbarawa hiyo ndio Treni tunausubiri kwa hamu sana.
@inchallah6382Ай бұрын
Congrats TZ .. That's a big achievement and I wanna say Bravo.... But..but..but.. I'm more concerned about it's passengers capacity.. 450 to 500 passengers at 150KPH is relatively small compared to Kenyan Diesel power SGR with a passenger capacity of between 1678 to 2300 passengers one way, cruising at 120KM/Hour... "I think something is not adding up for TZ SGR" .It's inversely proportional to the hype created about it .... I think Kenyan SGR is making sense..
@emilbocco5895Ай бұрын
What is the cost of electricity compared to diesel, and where do we pay the money for electricity and where do you pay for diesel, Tanzania sgr is something African countries need to learn
@alexissangali8650Ай бұрын
450 -500 passengers is EMU train, express short distance train,every hour they will be departing to and fro Morogoro or Dodoma,1600 -2000 passengers trains are long distance one,from Daresalaam to Tabora up to Mwanza and Kigoma,these are the ones the same like yours
@benjaminyohana5581Ай бұрын
kuna Marubani wa Ndege , Manahondha wa Meli Madereva wa Magari na Hao wa Treni wanaitwaje au ndio Madereva kama wa Magari ya kawaida, wataalam tafadhalini naomba mnijuze hili
@tanzcanmediatv447329 күн бұрын
Anaitwa loco pilot au train driver
@Kivuruge2552 ай бұрын
Station ni nzuri ila sas hiyo station ya mgr ndo kipenger mabati yamechakaa hakuna mandhali nzuri. Pafanyien maintenens bas nap papendeze
Zaid ya 150 ndo lugha gan si useme tu speed 160 basi
@user-dd3ek5fh5gАй бұрын
R.I.P JPM 😢
@Kabwela776Ай бұрын
Kwa hiyo hicho kichwa huko mbele kitakuwa wazi ?
@moawallashabbir1762Ай бұрын
LITAANZA LINI???
@Kabwela776Ай бұрын
Wabaguzi hao hawajawapa kazi wanawake ina maana Tanzania nzima hamna wanawake wangeweza kujifunza kuendesha treni mbona kuna marubani wanawake ATC ???? Hii ni bogus kabisa lazima ipigiwe kelele Na hata ajira zao Wale wahudumu wanawake inaonekana kama almost ni kabila moja au baadhi ya mikoa tu.
@Kabwela776Ай бұрын
Madereva mbona hamna wanawake???? 🙄🙄🙄🙄😳😳😳😕😕😕😕😡😡😡😡😡 hii sikuipenda kabisa ni mambo ya primitive Na kutoa ajira kwa kuangalia jinsia , waseme wanawake ni wangapi wamewaajili ambao ni madereva???? Tanzania haiwezekani hii we have to boycot kupanda hii treni ni ubaguzi wanawake wa Tanzania wametengwa kutoajiliwa wako wanawake mahiri
Jikaguwe kwanza, nahodha baharini huko! mitumbwi boti na meri. Kwa nchi kavu dereva, angani ni rubani. cheki kwanza
@tanzcanmediatv447329 күн бұрын
Ungeuliza mpendwa mbona unafanya kila siku tuendelee kuchekwa na majirani wanaitwa loco pilot au train driver
@modenasayi2 ай бұрын
Lini mnaanza test ???
@Kabwela776Ай бұрын
Wabaguzi hao hawajawapa kazi wanawake ina maana Tanzania nzima hamna wanawake wangeweza kujifunza kuendesha treni mbona kuna marubani wanawake ATC ???? Hii ni bogus kabisa lazima ipigiwe kelele Na hata ajira zao Wale wahudumu wanawake inaonekana kama almost ni kabila moja au baadhi ya mikoa tu.
@pascojm6816Ай бұрын
Sasa kama hao wanawake hawajitokezi au hawana sifa unawalaumu nini? @@Kabwela776
@Kabwela776Ай бұрын
Mbona asilimia kubwa hao madereva ni wazee ???? Kwanini msiajiri vijana wanaume Na wanawake , wazee baada ya muda afya ni mgogoro mara sight ya macho mbovu hivi hili shirika mbona kama halina vision nzuri hamna mshauri ???? Hii nchi ya ovyo sana yaani hamuwezi kuona siku za baadaye huwezi kuwapa mafunzo wazee ambao wengi wagumu hata kuadapt kwenye technologia mpya au mnataka kuua watu Na kwa Nini wanawake hamkuajiri this is very bias ????
@PeterkamgishaАй бұрын
Safi sana ila kadogosa atukumbuke sisi tuliojitolea kujenga sgr mpaka hapo tunaomba atupe ticket na sisi tunufaikw
@user-yr3yi2yr6i2 ай бұрын
Why madereva ni wazee Wapeni vijana bana wazee wa nn au ndo mjuano
@wilhardtarimo3862 ай бұрын
Vijana jau sana
@amosibilingi42992 ай бұрын
Vijana sio, utajikuta umefika mwanza bila taarifa, maana hiyo spidi sio ya kawaida
@issajuma73722 ай бұрын
Sio kweli, Vijana wapewe nafasi
@deven.oauditx75472 ай бұрын
Uzoefu na maadili ni muhimu kwa madereva wa reli.
@gideonmwanjila86162 ай бұрын
Wazee ndio hujua kuendesha treni vizuri. Kuondoa na kusimamisha sio kwa haraka kama vijana