MBARAWA : ZAIDI YA ABIRIA 40 ELFU HADI SASA WAMETUMIA TRENI YA SGR

  Рет қаралды 16,772

TRC RELI TV

TRC RELI TV

21 күн бұрын

KARIBU TUKUHUDUMIE

Пікірлер: 30
@JombaTUncleT
@JombaTUncleT 4 күн бұрын
Fursa kubwa hii. Kuishi Moro kufanya kazi Dar. Hali ya Hewa Moro ni poa na hakuna foreni. Hongera TRC, #Jomba_T👍😎🇹🇿
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 19 күн бұрын
Kitu muhimu sanaa lazima ziwepo basi za mkoani kutoka Dodoma ziendane na ratiba ya SGR itakuwa babukubwa serikali itaona mabadiliko ya maendeleo makubwa
@kwisa4899
@kwisa4899 19 күн бұрын
Umewahi kufanya Biashara yoyote ya kueleweka ?
@HASASON
@HASASON 19 күн бұрын
Sasa upeleke basi kutoka dodoma hapo na umesikia tarehe 25 wanafika mpaka dodoma?
@kwisa4899
@kwisa4899 19 күн бұрын
Hizi sit bila cover st tutalaumiana
@ernestsinje9700
@ernestsinje9700 18 күн бұрын
Moro kuzuri mazingira mazuri
@babajay3445
@babajay3445 19 күн бұрын
Bora turudi tukakae zetu Moro dar nyumba ni gharama sana
@bonaventuralupogo2149
@bonaventuralupogo2149 19 күн бұрын
kwamba mlikua hamjui kama kunatakiwa kuwe na barabara na hivo vingine
@akidamakida6092
@akidamakida6092 19 күн бұрын
Just imagine.. I really dont understand!!
@HASASON
@HASASON 19 күн бұрын
Hawa watu wanaweza ongea kitu ukashangaa kumbe hata heshima uliokua unawapa uliwapendelea
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 18 күн бұрын
Yaaa hakifiki hata 1B na huitaji hata stand hapo nyingine ni kuweka waiting bay na parking kubwa basi...min Buses za kuchukua watu kuwapeleka katikati ya Mji kila siku bajaji na pikipiki...mpaka lini ???😂😂😂
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 19 күн бұрын
Mkuu wa mkoa morogoro hukujua kwamba kunahitajika barabara za kuingia station zinahitajika? Barabara ni mbovu!
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 19 күн бұрын
Chondechonde nawaomba msije mkaibinaifisha yakaja yale ya waliowapa Wahindi hivi serikali zetu zikoje kila kitu kizuri ni uwekezaji. Muone aibu
@joshuachimwejo5892
@joshuachimwejo5892 16 күн бұрын
TRC tafadhali sana, nawaomba washaurini TARURA/TANROAD/MANISPAA YA MOROGORO waweke lami kipande cha barabara ya kutoka Station hadi barabara kuu ya Morogoro-Dodoma(Kihonda kwa Chambo). Kipande hicho kina vumbi kali sana. Mtu anatoka kwenye treni akiwa msafi, kufika kwa Chambo hatamaniki, huo sio ustaarabu tunaoutaka watanzania kwasasa.
@DeogratiasMadaraka-b9v
@DeogratiasMadaraka-b9v 18 күн бұрын
Nashauri siti cover ziwe rangi ta bendera ya jamuhuri itapkuwa unyama sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@nguruwekikwete1635
@nguruwekikwete1635 14 күн бұрын
Mpumbavu wewe
@magorymara5515
@magorymara5515 19 күн бұрын
Tunachowaomba tu ni kuwa wabunifu na wasafi usafi katika miundombinu yote kuanzia treni zenyewe majengo na kazalika
@babajay3445
@babajay3445 19 күн бұрын
Safi sana
@MarryCharles-rc6ei
@MarryCharles-rc6ei 17 күн бұрын
Soon tutasikia kapewa mwekezaji
@musicschool_tz7014
@musicschool_tz7014 17 күн бұрын
ILA VICHWA MCHONGOKO MUVIWEKEE MCHONGOKO WAKE PALE MBELE KUNA KITU HAKIPO
@castosemiono7155
@castosemiono7155 15 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 19 күн бұрын
Magufuli aliona mbali sana chaajabu ninacho kiona kwenyetaalifa hizi magufuli hatajwi kabisa anatatwa Eva ,Yani watanganyika sio wajinga hata mfiche ya magu magu anaishi ndani ya mioyo ya watu ,Yani hata hamonaizi nimemwona kahojiwa hakutaja jina la mwazilishi ila kamtaja samia mbona mbona kama Kuna kitu kinafichwa kwa magufuli Yani nyie machawa ,,mungu atafanyatu miujiza nakuangamiza huyu utawala wa yezebeli
@NDEWARA
@NDEWARA 19 күн бұрын
Pole 😅
@lifeonearth94
@lifeonearth94 19 күн бұрын
Magu alikuwa na maono sana
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 19 күн бұрын
Ukishampa kiongozi kura anawajibika kukuletea maendeleo...kwahyo labda useme serikali ya awamu ya tano sio kumtaja fulani na uache ujinga
@amirisaid6341
@amirisaid6341 19 күн бұрын
Ben mwanantala yupo wapi siku hizi?
@Ambagaye
@Ambagaye 18 күн бұрын
Swali zuri sana; hata mimi nam-miss Ben kwenye channel hii
@amirisaid6341
@amirisaid6341 18 күн бұрын
@@Ambagaye 👍
@eddechriss2664
@eddechriss2664 19 күн бұрын
Tuliongea toka mapema kabisa kuwa mnajenga stations lakini hamjengi miundo mbinu ya feeder mkajifanya hamuoni, ona sasa
@ShabaiSadick
@ShabaiSadick 19 күн бұрын
Waziri mbarawa twambie vile vichwa viwili vya ujerumani viko wapi?
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 64 МЛН
Little girl's dream of a giant teddy bear is about to come true #shorts
00:32
Fabiosa Animated
Рет қаралды 4,7 МЛН
Station Tour : Station Mpya ya TRC Dar kama Airport ndogo
10:50
TRC YASAFIRISHA ABIRIA ELFU 40 KWA TRENI YA KISASA SGR DAR-MORO
5:38