Fursa kubwa hii. Kuishi Moro kufanya kazi Dar. Hali ya Hewa Moro ni poa na hakuna foreni. Hongera TRC, #Jomba_T👍😎🇹🇿
@fidelfidel-jz4iw19 күн бұрын
Kitu muhimu sanaa lazima ziwepo basi za mkoani kutoka Dodoma ziendane na ratiba ya SGR itakuwa babukubwa serikali itaona mabadiliko ya maendeleo makubwa
@kwisa489919 күн бұрын
Umewahi kufanya Biashara yoyote ya kueleweka ?
@HASASON19 күн бұрын
Sasa upeleke basi kutoka dodoma hapo na umesikia tarehe 25 wanafika mpaka dodoma?
@kwisa489919 күн бұрын
Hizi sit bila cover st tutalaumiana
@ernestsinje970018 күн бұрын
Moro kuzuri mazingira mazuri
@babajay344519 күн бұрын
Bora turudi tukakae zetu Moro dar nyumba ni gharama sana
@bonaventuralupogo214919 күн бұрын
kwamba mlikua hamjui kama kunatakiwa kuwe na barabara na hivo vingine
@akidamakida609219 күн бұрын
Just imagine.. I really dont understand!!
@HASASON19 күн бұрын
Hawa watu wanaweza ongea kitu ukashangaa kumbe hata heshima uliokua unawapa uliwapendelea
@charlesmwambinga435518 күн бұрын
Yaaa hakifiki hata 1B na huitaji hata stand hapo nyingine ni kuweka waiting bay na parking kubwa basi...min Buses za kuchukua watu kuwapeleka katikati ya Mji kila siku bajaji na pikipiki...mpaka lini ???😂😂😂
@zobakazizi763719 күн бұрын
Mkuu wa mkoa morogoro hukujua kwamba kunahitajika barabara za kuingia station zinahitajika? Barabara ni mbovu!
@edsonnelson446419 күн бұрын
Chondechonde nawaomba msije mkaibinaifisha yakaja yale ya waliowapa Wahindi hivi serikali zetu zikoje kila kitu kizuri ni uwekezaji. Muone aibu
@joshuachimwejo589216 күн бұрын
TRC tafadhali sana, nawaomba washaurini TARURA/TANROAD/MANISPAA YA MOROGORO waweke lami kipande cha barabara ya kutoka Station hadi barabara kuu ya Morogoro-Dodoma(Kihonda kwa Chambo). Kipande hicho kina vumbi kali sana. Mtu anatoka kwenye treni akiwa msafi, kufika kwa Chambo hatamaniki, huo sio ustaarabu tunaoutaka watanzania kwasasa.
@DeogratiasMadaraka-b9v18 күн бұрын
Nashauri siti cover ziwe rangi ta bendera ya jamuhuri itapkuwa unyama sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@nguruwekikwete163514 күн бұрын
Mpumbavu wewe
@magorymara551519 күн бұрын
Tunachowaomba tu ni kuwa wabunifu na wasafi usafi katika miundombinu yote kuanzia treni zenyewe majengo na kazalika
@babajay344519 күн бұрын
Safi sana
@MarryCharles-rc6ei17 күн бұрын
Soon tutasikia kapewa mwekezaji
@musicschool_tz701417 күн бұрын
ILA VICHWA MCHONGOKO MUVIWEKEE MCHONGOKO WAKE PALE MBELE KUNA KITU HAKIPO
@castosemiono715515 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@davidmalogo710019 күн бұрын
Magufuli aliona mbali sana chaajabu ninacho kiona kwenyetaalifa hizi magufuli hatajwi kabisa anatatwa Eva ,Yani watanganyika sio wajinga hata mfiche ya magu magu anaishi ndani ya mioyo ya watu ,Yani hata hamonaizi nimemwona kahojiwa hakutaja jina la mwazilishi ila kamtaja samia mbona mbona kama Kuna kitu kinafichwa kwa magufuli Yani nyie machawa ,,mungu atafanyatu miujiza nakuangamiza huyu utawala wa yezebeli
@NDEWARA19 күн бұрын
Pole 😅
@lifeonearth9419 күн бұрын
Magu alikuwa na maono sana
@elinamilyatuu733719 күн бұрын
Ukishampa kiongozi kura anawajibika kukuletea maendeleo...kwahyo labda useme serikali ya awamu ya tano sio kumtaja fulani na uache ujinga
@amirisaid634119 күн бұрын
Ben mwanantala yupo wapi siku hizi?
@Ambagaye18 күн бұрын
Swali zuri sana; hata mimi nam-miss Ben kwenye channel hii
@amirisaid634118 күн бұрын
@@Ambagaye 👍
@eddechriss266419 күн бұрын
Tuliongea toka mapema kabisa kuwa mnajenga stations lakini hamjengi miundo mbinu ya feeder mkajifanya hamuoni, ona sasa
@ShabaiSadick19 күн бұрын
Waziri mbarawa twambie vile vichwa viwili vya ujerumani viko wapi?