School met wangu Mh Magoti kwa sasa Mungu akusimamie katika kazi zako na hakika atabariki kazi ya mikono yako.School met wenzio wa Secondary wanakuombea. Twende kazi.
@kimchi-91Ай бұрын
Mh.Magoti yuko smart sana ,2035 tempe urais wa Tanzania 🇹🇿
@GibsonNtamamiloАй бұрын
Safi sana Speech imetulia sana. Simfahamu ila nimemkubali hapa hapa tu. Ila ipo siku nitakutana naye Mimi niko Kigoma Mjini.
@user-fj5qu1qy4uАй бұрын
DC magoti HONGERA sana mwenyezi mungu akuongezee hekma na busara akutangulie katika majukum Yako Amina
@ashrafrushaka2358Ай бұрын
Nskskskskdk
@JumaMatiko-zp5nmАй бұрын
Good speech.Hakika Mh.rais wetu amefanya vizuri kukuteua kaka wasaidie wananchi wetu hiyo ni imaani tosha kwetu wananchi na Mhe.@Samia Suluhu Hasani Rais.
@user-bp7nb7yp2oАй бұрын
Kaka big up umenigusa sana.maneno yk yaliflec
@user-dy8ss4ly8zАй бұрын
Hongera kwa speech nzur
@darweshk7342Ай бұрын
Mate km mate big up sn😊
@RenatusSylivesterАй бұрын
Mungu akusaidie ndg
@hassanngayaga3202Ай бұрын
Big up
@mgulusaidkiyangaАй бұрын
Mungu akuongoze kaka nimeanza kukujua kipindi cha magufuli hongela sanaaaa mama samia
@FelisterNdoghweАй бұрын
Ni sawa Rais akifanya kazi Kwa bidii.
@cloudngoko.2679Ай бұрын
Magoti ni kiongozi Nawaombea sana
@hamidabarraball3162Ай бұрын
Mmh!!!
@dayana5513storyАй бұрын
Mungu akamtangulie katika kaz yake
@jifunzehapa8643Ай бұрын
Ukisikiliza speech ya magoti na maneno yake utamkumbuka Magufuri
@jifunzehapa8643Ай бұрын
Huyu jamaa anaongea kama magufuri
@christinenyagiro6662Ай бұрын
Wewe ni mchwa mkubwa sana wala hutafika katika mauchawa kama haya. Masindikiza kunyanyasa wamasai na kumaluza ardhi ya Tanganyika kwa warabu.
@walidmgonja3644Ай бұрын
Acha uchoko wewe
@halimamasai2234Ай бұрын
We ni msenge sana eti wamasai
@user-gh2xf6st6qАй бұрын
Mtu wamanaa kabisaa
@user-rk9gr9yf3iАй бұрын
Uwe kama Makonda au kama Jerry Slaa hapo hapo tutakufahamu mchapa kazi sio maneno mengi vitendo hamna
@user-mq4yq6rw1wАй бұрын
Hongera sana Kaka magoti mwanayanga mwenzetu.
@MilloWamilonga-ft8irАй бұрын
Sasa utopolo inaingiaje hapo? Punguza kuwehuk kiakili.
@user-mq4yq6rw1wАй бұрын
@@MilloWamilonga-ft8ir acha kutukana huu ukweli nitakutrack changia cio matusi
@MilloWamilonga-ft8irАй бұрын
@@user-mq4yq6rw1w kwenda zako wewe shoga uliyepuvuka, kuma ya kibuyu zwazwa wewe
@MilloWamilonga-ft8irАй бұрын
@@user-mq4yq6rw1w halafu wewe shoga la kikenya unachangia kitu gani humu wewe pimbi
@apollokwilabya7682Ай бұрын
Sina uhakika na comment ya kuwa anakesha akisoma mafile, that need to be confirmed 😮
@kajugaa4537Ай бұрын
Huyu alikuwa Ikulu ndo alikuwa anamwandikia Rais speach kwa hiyo razima awe na hotuba nzuri
@WinifridaMaduga-su1jtАй бұрын
Mmmh
@jitabojilala6162Ай бұрын
Mhmmm kuamini ni ngumu kwa sababu unayoyatamka ni tofauti na yanayoonekana kwa wananchi yamkini Rais yupo sawa je nyie mnaomzunguka mnamsaidia? Mbona mnaiba sana? Report ya CAG kuna upotevu wa mabilion wamepiga lakini hawachukuliwi hatua
@judyngowi391Ай бұрын
Mbona mkateua marehemu sasa kama mnakesha
@christinenyagiro6662Ай бұрын
Kutuuza ndiyo kunamfanya kukosa usingizi siku moja the story will be retold
@dorothmsuya1686Ай бұрын
Ukimnyooshea Samia kidole kimoja Vincent vinakuelekea wewe mwenyewe! Mind me! Kila mchimba shimo hutumbukia mwenyewe! TUNASIMAMA NA MAMA!❤❤❤
@@dorothmsuya1686Huyo ni mama yako been getting kweli
@gregory6165Ай бұрын
yuko online kama anachat je? we uliasume yupo online anafanya kazi?
@claveryrwego7550Ай бұрын
NChi yetu chini MAMA SAMIA RAIS WETU MPENDWA ITAFANIKIWA SANA KIMAENDELEO TUMUAMINI NA MITAMO TENA NI MAMA YEYE NI CHAGUO LA MWENYEZI MUNGU IKIBIDI TUBADILI KATIBA AONGOZE MIAKA ISHIRINI MWENYEZI MUNGU MLINDE RAIS WETU MAMA SAMIA.
@joscamwoshezi2986Ай бұрын
Inaleta maana sana kama unacho ongea umekifanyia utafiti.Wewe unayesema Rais kauza nchi kwa Waarabu, unaudhibitisho? Kama huoni maendeleo uanayofanyika inawezekana hauko sawa kichwani. Mashule,barabara,hospital,madaraja,ndege,meli sgr na mengine mengi. Tunajivunia uongozi wa rais wetu na waliomtangulia
@malickmgongolwa6978Ай бұрын
😅
@cloudngoko.2679Ай бұрын
Magoti piga kazi.
@AminaKova-ig3miАй бұрын
Mkuu wa mkoa vipi ameruhusu pwani kubomolewa kote so sad🤨
@sskondopoleani9616Ай бұрын
Usilo lijua litakusumbua. RC hana UWEZO wa KURUHUSU Pwani KUBOMOLEWA
@AminaKova-ig3miАй бұрын
@@sskondopoleani9616 acha kabisa kusema iivo mimi nimiongoni mwa nyumba yangu niloimlza january hii na imebolewa mwezi huu ni majonzi mengi ninayo nalia sanaaa
@joshuasamson9618Ай бұрын
magoti muongo sana Anakeshaje na mafaili huyo mke wa mtu Ana mme wake Aache uongo wake ni muongo
Hivi hii mitaara yetu ya elimu ina tija katika taifa retu kwanini tusi ige nchi zinazo enderea zenye mitaara bora za kujiari na kuajiriwa hio ndio itakua nzuri rakini mitaara yetu ni A kuajiriwa sio A kujiari bado sana
@FahadAbubakariАй бұрын
Inaanzia mbali hii nchi ilikuaga ya kijamaa kwa miaka mingi sana na hata ilipotoka kwenye ujamaa ni kama ililazimishwa ndo maana mtu huamini kuajiriwa tena serikalini ni heshma na jambo la ushindi bila kuangalia atalipwa mshahara bei gani na akistaafu angojee mafao ya kikotoo ambayo miaka the thelasini ya utumishi unapewa milioni sabini ulijiriwa ukiwa kijana unatoka mzee unakuta hukubaliani na kustaafu unaishia kupata kiharusi na kisukari kwa mawazo maana unabaini muda ulienda hela ndogo unajiingiza kwenye biashara Mara uibiwe ndo mana tz hakuna mstaafu mwenye furaha ni wachache mnoo ustaafu ni umaskini ndo mana mizee kama mkuchika hadi Leo inapambana kukaa kazini ivyo ni kubadili mitazamo kwanza ili vitu viwe tofauti