Huyu kajifunza kitu Kwa magufuli, makonda for president
@RoseMollel-wo3lsАй бұрын
Kabsa yaan
@kurumwagodfrey70522 ай бұрын
Na alaaaniwe yeyote anaemchukia makonda
@DEBORAHMASANJA-yz3go2 ай бұрын
Pop yes
@elizabethmalenga5221Ай бұрын
Amin.
@issambarak89312 ай бұрын
Anaemchukia makonda alaamiwe jamani, makonda mungu akulinde na hasadi zote
@user-xk7vy4gb6g2 ай бұрын
Aisee huyu Mwamba kwakweli Mungu amlinde, Mh Makonda anakila sababu za kupendwa na wananchi. Daaaah mama yetu akuongezee cheo wallah
@judiajudia37962 ай бұрын
baba kayatimba aswaaaah
@user-we3mp7be4c2 ай бұрын
Afisa ustawi hayupo huyo arudi darasani
@zacharialughano35412 ай бұрын
Mmh😢😂😢😂
@user-my4dr5oq6v2 ай бұрын
Cjaona chochote
@user-xk7vy4gb6g2 ай бұрын
@@user-my4dr5oq6v utaonaje na ww una wivu wa kichawi, fitina nyingi, husda kwa sana. Wale wenye husda mtabaki hivyo hivyo mnampango na shetani
@user-jz6wu1ed1h2 ай бұрын
Makonda wewe ni mtumishi wa Mungu, sifa na utukufu zikurudie wew Mungu wetu
@user-pq2sq7ov8w2 ай бұрын
Huwa natafuta kibaya Cha nakonda sikion hata kidogo lakn watu wengne hawampendi najiuliza wanachomchukia kakangu Kaka Mungu anakupenda fanya kazi Kaka tuko nyuma yako tunakuombea
@vickytango55912 ай бұрын
Mhe. MAKONDA wenye roho km hiyo ni wachache mno umewekeza duniani na mbinguni Mungu awe nawe jembe la kazi mema yakufuate popote uwe miaka mingi yenye amani teeeeeeeeeeele mnakupenda sana kakangu mzuri
@user-vt4vd5rh8u2 ай бұрын
Natamani uyu baba aje kuwa rais wa nchi jamani ni mwamuzi mzuri sana Mungu akulinde mheshimiwa
@khadjamhozya2 ай бұрын
Nchi sizani Kama atapewa
@joycehaule97172 ай бұрын
Makonda nakupenda kaka barikiwa mnoooo YESU NI MKUU SANA ANAKUPIGANIA SANA
@suleimanbalemba33482 ай бұрын
Makonda umeongea point mtoto atakiwi kujua mambo ya wazazi wake
@PaulinaSemindu-ob3de2 ай бұрын
Dume Zima limeona aibu sasa mdada wa watu kapata lak 8 kweli Mwenyez Mungu akikupa kilema hakunyimi mwendo
@AmaniJoseph-ij2id2 ай бұрын
AMINI NA KUMBUKA MANENO YANGU SIKU MOJA UTAKUJA KUWA RAIS WA NCHI HII AMEN
@EvangelistMiriamIdarus2 ай бұрын
100%🎉🎉🎉🎉
@EvangelistMiriamIdarus2 ай бұрын
100%🎉🎉🎉🎉
@BeatriceMuhomi-cz9crАй бұрын
Aameen🙏
@jokhajjАй бұрын
Amen
@dotnatajoseph26202 ай бұрын
Mwenyez mungu akulinde makonda mwenyezi mungu atakulinda wewe na familia yako
@user-ve3wu5jn1lАй бұрын
Mheshimiwa Makonda pole sana una kazi kubwa sana . Pole sana Mwenyezi Mungu akusimamie
@RuthRobert-vb8vz2 ай бұрын
Makonda umepewa kibari na mungu hii ndiyi ngao yako lsaya 54_17
@user-ie5on4xy9o2 ай бұрын
Kaka Makonda nakupenda sana Mungu akutunze
@VolvoMwamakula-ci2we2 ай бұрын
Makonda uyo jamaa hamna kitu mchunguzeni iyo kz kapewa na mjomba yake hana taaluma yoyote
@rabsonchisumo66402 ай бұрын
Achunguzwe nini Sheria aijaweka wazi nenda kule dawati la jinsia uone kwa nini saiz wanawake awakimbilii huko maelezo anaweza kuambulia elfu hamsini kwa mwezi mzima kama hauna kipatoa sahihi kwa kila siku elewa sawa
@mcutanorsonvanwillson2991Ай бұрын
Sasa ndo angetoa maelezo hayo,,anajikanyaga sana anashindwa kuongea kama kiongozi@@rabsonchisumo6640
@joycehaule97172 ай бұрын
Makonda wewe ni mtumishi wa Mungu aliye HAI kweli kweli
@AbshirMubaarack2 ай бұрын
Mheshimiwa Makonda nafurahia sana jnc uongozi wako ulivyo kwa kuckiliza kero za wananchi na kujarb kuzitatua.Ila naomba sn kiongozi, wananchi hawa waekewe ulinzi, maan kuna watu hawapendi kufichuliwa mabaya yao,wataweka kisasii daimaa.
@menelus911mene52 ай бұрын
Duh!!!!! Mh Makonda wewe ni wa mungu tuuu Rais wangu mungu akupe Afya njema na akubariki sana Insha Allah
@LailaLaila-kg2qd2 ай бұрын
Mashaallah kakaangu makonda Mungu akubariki sana ❤❤❤❤❤
@ValenceKazoba2 ай бұрын
Mungu akulinde Makonda pia pambana sana
@aryanamendes87002 ай бұрын
Makonda kwenye hili na pongeza mno ubarikiwe mara mbili ya hili
@emmanuelbirindwahabamungu571520 күн бұрын
Roho ya Magufuli ime hama kwako baba Mungu akupe maisha marefu aku ongezeye miaka mingi duniani.
@AsteriaLushanga2 ай бұрын
Mungu akutunze Makonda uwe na roho ya hekima zaidi
@arya-star53Ай бұрын
Yani sijui nisemaje,nakupenda sana Kaka makonda Mungu akujaalie umri mrefu ili uendelee kuyatimiza yaliyomo makusudi yake kwa wanatanzania
@user-gp2ue2ny6n2 ай бұрын
Makonda the best leader🎉
@chikusangalala77592 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@fatmaabeid96682 ай бұрын
Mungu amlinde makonda 👏👏👏👏
@user-pf2cf4hp6w2 ай бұрын
Sema hamjui tuu uwezi jua jamaa anapitia nn siku wanaume tukisema tutoke tueleze mambo tunayopitia kwa wake zetuu watu watatukataaa
@user-dq9lf3vp8m2 ай бұрын
Hiyo kweli kabisa, jama kaongee alipopata matatizo mwanamke alimkimbia
@user-ir5mc7vk8b2 ай бұрын
Umejuaje wanaume wanisili Sana
@davidsika52922 ай бұрын
Huwezi kushindana na mwanamke akijitetea hasa akiwa public
@HadjiMbugi2 ай бұрын
Kabisa aiseeh ukiona mwanaume amefika mwisho Kuna jambo
@wamburasungura6812Ай бұрын
@@davidsika5292 basi achana na mkeo tunza mtoto wako kaka
@joycehaule97172 ай бұрын
Wanawake wa arusha wazurii wanaume wao km chokoraa khaa
@idinado-wk3lx2 ай бұрын
Kumbe nawe umeona sijuwi tatizo nini 😂😂😂😂😂😂😂
@zanishirima92572 ай бұрын
Watu wanajiita wadudu 😅 lazima waonekane kidudu dudu
@joyce557272 ай бұрын
Mimi kidogo niseme ivo 😁 tena wanapendwa sana na wasukuma
@user-ne5cg4vv1h2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Sina mbavu
@joycemkeka37692 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣kwakweli nimecheka kwa sauti eti wanajiita wadudu
@rosebeniel2 ай бұрын
Mungu akubariki baba
@ridhiwankanjoe20782 ай бұрын
Hahahahahahahaha kumbea arusha tunaoa kwa soda 😂😂😂😂😂😂
@filbertdamiani1012 ай бұрын
Kwanini watu wengine wanamnyooshea kidole makonda, wakati huyu jamaa ni mpenda haki!
@GeofreyKalo-ot3we2 ай бұрын
Wajinga na wadhurumaji Tu,
@najmasalim-rg6ow2 ай бұрын
Huwezi kua mzur wote huwez kua mbaya wote
@wazinzatv31522 ай бұрын
Vizuri ndo hupigwa vita
@ntangiregemfuruki54782 ай бұрын
Love you rc❤ Shida yako.kauli yako mfano kusema . Weee kitanzania nitusi. Wewe nimwamba sana.kasoro nihiyo tu.tunampenda mnoo.lakini turekebishe kauli tu.au Tamsin lake tu.love yoo makonda.hujui tuna kubiliv mno
@emanuelleopod39492 ай бұрын
Nani kaskia AJIRA ZA KUPEANA HIZO
@user-eu5ly2sk8w2 ай бұрын
Uko vizuri muheshimiwa mungu akulinde na akupe kibali cha kuwa rais wa tanzania.
@JumaSiajaly-vt2un2 ай бұрын
Makonda akiwa raisi atakua km magufuli piga kazi baba namuona kua raisi wa miaka ijayo
@suzanbegas41392 ай бұрын
❤️❤️❤️
@tumainichanya32682 ай бұрын
Ila Mh ,Makonda kazi yako ni ngumu Sana ,Mungu akujalie akuinulie waombaji wa kukubebe kwenye maombi.
@user-lm5fu5tu5zАй бұрын
Daaah wanaume sisi huyu mama anaonekana anampenda sana mumewe sema hilo jamaa ni lilevi na kiburi sana Mama wa watu mzuri sana huyo na anaheshima nzuri tu mungu fundi sana watu wa hovyo anawapa wanawake wazuri sana na wenye upendo wa kweli sisi ambao tumetulia zetu ndio tunapata mijanamke ya hovyo.
@user-ii6gs2jg4gАй бұрын
Tena minyang'au ya kutosha
@joycehaule9717Ай бұрын
Wanaume wa Arsh wanakiburi mnoo acha kabisa yan ukiwa na mwanaume wa arsh ujipange
@NehemiaLuwela-ld9znАй бұрын
Uhakika
@user-xh3qf9xv9vАй бұрын
Kabisa mdogo wangu ,, Mwanamke mzuri sana ila nimegundua huyu mwamba anasikiliza dada zake,na dada zake wanawivu na wifi Yao ,kwa uzuri wanaona kama mwamba alivyokuwa jela ,Kuna fisi alikuwa anamla huyu demu,na mwamba dada zake wanaviela wanamdanganya mwamba ukimuacha huyu mwanamke tutakusaidia ,mwamba dhaifu, wanawake wengi wanaroho mbaya sana hapa duniani,Mungu atampa maisha mazuri huyu demu na mtoto wake
@eslammurad540Ай бұрын
Kabisa makonda akigombea urais kura yangu yake
@sawegasper96702 ай бұрын
High level of incompetence,what a shame😢
@happyhappy-ym2suАй бұрын
Mpaka nimetoa machozi...😢 dada Mungu akutie nguvu sana katika hatua zako za maisha. Najua ni kwa jinsi gani umepata maumivu kukataliwa mbele ya haraiki. Ila niamini mimi siku zote kisasi ni cha Mungu, huyu baba kufanikiwa kwenye kazi zake asahau kabisa mana hapo amepanda laana. Hakuna chozi la mwanamke ambalo linadondoka bure. MHE Makonda: Mungu akubariki mnoooo naiona roho ya magufuli ndani yako. Utunzwe na kulindwa na Mungu siku zote za maisha yako🙏
@MankaAlly2 ай бұрын
Aisee mpaka machozi yamenitoka Mungu akubariki sana muheshimiwa Makonda
@hidayaswai311923 күн бұрын
Makonda I wish nifanye kazi na wewe. Yaaani yaaani. Uuuwiii. Nahitaji boss aliyenyooka km wewe. Uuuwi jamanii.
@BeatriceAdolf-gj6lr2 ай бұрын
Hakuna ustawi wa jamii hapo,,wa mchongoo,,halijui kitu
@Octavinaelisa-fn6js2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@PureSoul-rf4xd2 ай бұрын
😅😅😅
@KalondaSongolo2 ай бұрын
😂😂😂😂
@mwajabuswedi22526 күн бұрын
Mh. Mungu akubariki sana kwa kazi nzuri unayofanya.
@joycehaule97172 ай бұрын
Mmoja katia ajira yakupeana hahahahahahahaa watu
@SophiaMwambalaswa2 ай бұрын
Makonda wewe hunaga baya bro mungu akupe umri mrefu maisha marefu kaka chapa kazi hayo ndo ulicho itiwa maua yako nakupa
@judithkirenga99772 ай бұрын
Arusha watu wanapeana kazi kindugu,Rushwa zimetawala Doh
@Ndu-wa.uroony2Ай бұрын
Kwenda huko kirenga mkubwa wewe?
@judithkirenga9977Ай бұрын
@@Ndu-wa.uroony2kula ushibe ndio utanielewa
@FatnaAlly-go7yt2 ай бұрын
Allah ajaalie mtende haki kwa uwezo wa allah ins
@user-ui4qg2kl4f2 ай бұрын
Huyo afisa ustawi yupo sawa, ila ni presha, ya kuitwa na mkuu wa mkoa.
@wemakingdaily14622 ай бұрын
Sipenda alivyomdhalilisha
@AngelRimoy2 ай бұрын
Kutokujiamini 2
@rabsonchisumo66402 ай бұрын
Umeona eeh Sheria aijasema ila inaangalia kipato chako kwa unaingizaje kama hauna kazi ni ungaunga kina cha chini huwa wanakadiria elfu 50
@josephinelauwo49472 ай бұрын
Makonda hajabisha ila ametaka ajibu kisomi kwamba kifungu flan no.fln kwa mujib wa sheria ndio aseme
@SophiaNguaАй бұрын
Elisante huba lilipo kuwa tamu alitoa siri ya shamba😂😂😂😂 huba limeisha anamkana
@jacqueli18Ай бұрын
Mapenzi yana siri sana.... imagine huyu mama anamlilia huyo mwanaume 😢😢😢😢😢😢
@warakawayohana28962 ай бұрын
😂😂😂huyu jamaa wa ustawi ni shida
@user-th8bo9lu8n2 ай бұрын
Sio shida tu aibu 😅😅😅
@uwembatvonline2 ай бұрын
Ni presha
@TimothbenardToyibahoraАй бұрын
Ni balaa kubwa sana😂😂😂
@TimothbenardToyibahoraАй бұрын
Huyu jamaA wa ustawi arudi shule, tena arudi form 4F
@lubavacastory18312 ай бұрын
Ukiona mwanamke kamuita mwanaume aliyemzalisha Jina tofauti na Jina lake au baba flani au Mme wangu...Jua apo tatizo lipo Kwa mwanamke....Mwanamke anayempenda mwanaume aliyemzalisha hawezi kumuita ..(HUYU BABA)
@Marlin-pb1ruАй бұрын
We huna akili nini hujasikia huyo shetani na yeye alivyosema mimi siwezi kuishi na huyu mwanamke si bora haya yeye kasema baba...unajua maumivu ya kutelekezwa na mtoto wewe wanaume wakiachiwa watoto wanapiga kelele mpak mbingu zinatingishika na sisi mjue sio mawe tuna mioyo na tunaumia pia huwezi kumpenda mtu aliyekuacha na mtoto na ndugu zake wanakufukuza nyumbani huwezi broo put your self in her shoes ndo uongee unless na wewe ni shetani kama yeye...
@saidmwangasamaАй бұрын
Mm Huwa nikitazama p makonda Huwa nalia sana jisi anavyo juwa kufaliji nakuombea maisha marefu ❤
@familytalks12 ай бұрын
Point mtoto atakiwi kuambiwa mabaya ma wazazi. mama pambana mtaji ndo huo sasa.
@user-my5nb9jn2d2 ай бұрын
Mwamba hajasikilizwa.. Ndivyo wanaume tunavyoangamia mbele ya macho ya Watu.. Ameshutumiwa moja kwa moja bila kujitetea. 😢
@user-lm5fu5tu5zАй бұрын
Anitetee na nini wakati amefanya upumbavu mkubwa hv huyo mwanamke unavyomuona anaweza kuwa tofauti na anachokisema.
Kama mtu huna elimu na kitu, achana nacho ustuletee aibu mkutanoni! Unakaa tu unatulia!
@getrudajustineАй бұрын
MuNGu Mwenyezi akulinde kaka kwa utendaji wako wa kazi kwa wananchi.Nakuombe heri na baraka tele juu yako,Roho Mtakatifu akuzidishie Hekima uendelee kusaidia wananchi ambao ni Taifa la MuNGu.BARIKIWA KATIKA KAZI ZAKO ZOTE UZIFANYAZO.
@manasecharles8942 ай бұрын
Ee Mungu tusaidie siku moja Makonda aje kuwa Rais wetu🙏🙏🙏🙏
@emmanuelbirindwahabamungu571520 күн бұрын
Hakika Mungu wa Tanzania ni Mungu mzima Tanzania mume barikiwa Na viongozi Toka kwa Mungu.
@RuthRobert-vb8vz2 ай бұрын
Makonda umepewa kibari na Mungu lsaya 54 -1
@emanueldavid1241Ай бұрын
Mungu akubariki sana baba kwa kazi hii nakufuata nikiwa Congo RDC,,,Pia Mungu akulinde mukuu wamukuwa
@user-qu1mq2ik2eАй бұрын
Kiongozi shupavu mungu akuongezee hekima na maisha marefu
@allykomsonde78132 ай бұрын
Huyu waustawi wa jamii amesoma lakini hajasomea kazi anayoifanya nakubwa zaidi shahiri shahiri haipendi hiikazi anafanya kwakua kunamchirizi wa pesa
@othumanlorenzo2602 ай бұрын
hapana yeye hilo sio eneo lake hilo ni jambo la mahakama yeye eneo lake lingine kabisa haoa basi tu ana mabana kkwa sababu jamaa ni mstaarab
Aki Mheshimiwa njoo Kenya utuongoze jinsi hii. I wish we has such leaders here in Kenya! 🙏
@LarryBrian-j2d8 сағат бұрын
The guy is perfect big up
@user-ls2nq2eq3lАй бұрын
Daaaaah 😭😭😭 wanawake tunapitia changamoto Sana😭😭eee Mungu tulinde wamama wote.
@DaudiMasai25 күн бұрын
Jamani makonda nakubali sana watokee viongozi kama wa 5 Tanzania itakuwa nchi kweli
@WardaKangezi2 ай бұрын
Safi sana kaka ungekua rais wanyonge tungepona
@faharikhamisi30912 ай бұрын
Bado kwangu naomba mungu akupe nafasi kubwa zaidi hii ndogo,mama samia angalia hili jembe
@josephinebuxay33922 ай бұрын
Mh. Makonda Mungu akulinde akuepushe na kila kibaya, uwe Rais wa nchi, kweli unangalia haki.
@Fanikiwa3 күн бұрын
Makondo Anafaa kugombea ulaisi kwakweli mungu Amaulipe mema
@MaryMatunda-p1f14 күн бұрын
Makonda kijanana mwema wa mama $amia huna baya kaka yetu, mikono ya Mungu ii juu yako kwa kweliii!!!
@mwanduelizabeth22822 ай бұрын
Mungu akulinde Makonda akukinge na kila Hila za adui na akukinge na Maadui waliopanga kukuangusha.
@RomwardWMАй бұрын
Makonda MUNGU akuzidishie maisha marefu.
@mscantraah82102 ай бұрын
Yes very good huyo ndio anajuwa haki ya raiya very good god bless you 🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻💪🏻💪🏻 na kuombea sana
@ZuhuraHamadi-py4cu2 ай бұрын
😭😭nimejikuta Nalia, hata mm nilikataliwa na babawatoto wangu hivi hivi ,nikiwa na watototo wangu mapacha wamwaka 1 na miez 7,nilisikia aibu na uchungu sitasahau,Mbele ya usuluhishi km hiv alisema hivyo hivyo hanihitaji hataki kuishi namimi tena ila atalea watoto tuu,😢🙏Asante mungu mpk leo nimesimama nimungu tuu,
@neemaneychricious64932 ай бұрын
poleee sana dear
@user-xo3vy7lx5sАй бұрын
Safi sana muheshimiwa Paul Makonda Kwa kuwajibika wanaume mjifunze mnapowaacha wanawake mliowazalisha mnawatesa watoto, na MUNGU hapendi kabisa,watoto wanateseka sana
@DativaMbowe21 күн бұрын
Pole mwanamke mwenzangu 😢😢😢 mtu kukukataa mbele yauma dah!!
@nurusulley32762 ай бұрын
Makonda anafaa sana
@Dinadin-nx6fo28 күн бұрын
👏👏👏👏👏 kazi nzuri
@user-jf6cr3ce9iАй бұрын
Mungu akulinde siku moja uwee rais
@user-bp2cc9eo6g2 ай бұрын
MWENYEZI MUNGU ainyooshe nakuisafisha njia yako kadri itakavyo MPENDEZA
@annejacobilkiuyoni29712 ай бұрын
KABISAAA MUNGU AMSAFISHIE
@joycemkeka37692 ай бұрын
Amina 🙏
@issakamangila41432 ай бұрын
Jamaa ame umbuka ile mbaya 😢😢
@ElishaKasambo-yu5jt2 сағат бұрын
Mungu akubariki
@VERONICALAIZER-vt3uiАй бұрын
Huyu dada anaonekana ana hekima sana Mungu aiongeze hiyo hela upate maisha
@muyasaidy2 ай бұрын
Makonda nakuamini Una imani
@waviwangotv1924Ай бұрын
Aisee Hakuna Afisa maendeleo ya Jamii hapa..Yani Bure kabisa..Na hawa ukiwakuta ofisin ndio wanapindisha pindisha tu Sheria