Ikiwa hukuangalia sehem ya kwanza bonyeza hapa • UFANYE NINI PALE UNAPO...
Пікірлер: 71
@froline5209 Жыл бұрын
Asante mchungaji nimepata jambo la kufanya katika somo hili la ndoto.
@setholivier48624 жыл бұрын
God bless you cameraman and all staff members.
@graceesiabia53793 жыл бұрын
I'm not a seventh day Adventist but I feel and appreciate the work of God through the holy spirit in mchungaji.
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Blessings to you Grace
@imanimatumaini24583 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga Mimi past zamani nilikua naota lakinisasa sioti
@peninadunda63483 жыл бұрын
Amina mungu akubariki sana pastor
@leahwainaina43967 ай бұрын
Karibu sana
@rehabokaya22322 жыл бұрын
Amina Amina mchungaji asante kwa mahubiri hayo umenisaidia sana be blessed
@bahatijohn48773 жыл бұрын
Yaan wasabato adi raha unarusiwa kabisa kuuliza maswali adi raha mweee
@shafiihamis23443 жыл бұрын
Ameen ubarikiwe Sana mtumishi wa mungu
@user-dh7yg6dl5e3 ай бұрын
Baba shikamoo asante kwa mafundisho mazuli
@nellyn28094 жыл бұрын
Mafunzo mazuri sana am blessed.Ubarikiwe muhubiri
@vanenyanchwa47844 жыл бұрын
nifanyeje,kuna rafiki nilisoma naye high school my deskmate nashinda kumuota tangu tutoke high school akinitembeza kwa maji nimeomba lakini bado namuotanga
@user-bx5nc8ge6r8 ай бұрын
Alléluia 👋🙏🙏nashukuru sana mtumishi wa mungu
@rahelfrancis78174 жыл бұрын
Amina barikiwa pastor
@watwegopnina64804 жыл бұрын
Amina mchungaji, Mungu akubariki sana
@NyamariFaith-qu1jm7 ай бұрын
Thanks pastor for powerful teaching,but I always dream am in school doing exam but I can't always understand the question
@arnoldtagaya49812 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe Mchungaji nimebarikiwa sana na somo hili la ndoto nimekuelewa sana. Naitwa Arnold Tagaya niko Dar
@marymungai8894 жыл бұрын
Amen mafunzo mazuri..ubarikiwe mtumishi
@patriciamatunduru97064 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana mtumishi Wa Bwana!
@mrwandamrwanda37512 жыл бұрын
Mungu mwema akubariki sana kwa neno
@esternaftari45534 жыл бұрын
Ni kweli mchungaj ubarikiwe sana
@eugeniamsilikale86873 жыл бұрын
Amina
@upendoeliudi51964 жыл бұрын
Aminaa barikiwa sana
@edinaclemence89774 жыл бұрын
Amina. Mtumishi wa Mungu nimesikiliza somo hili na nilikuwa na ushindani mkubwa maana inaniusu.Ni mwaka wa 16 sasa naota niko shule nawakati shule sikumaliza niliachia kidato cha pili baada ya kukosa ada. Kwa hiyo maisha yangu nimeishi hivyo uchumi wangu unapanda na kushuka. Nikumbuke ktk maombi Mtumishi.
@elpidiusezekiel27294 жыл бұрын
Niliwah kusikliza moja ya mafundisho yake alisema asa kuhusu iyo ndoto ya kurudi shule na wakati ulishamaliza zaman, akasema kuna maroho yanakupeleka tena kwenye hari ya awali tena uliyokuwa nayo mfno umasikini au tahabu na maangaiko ivo yakupasa kuomba ili Mungu akunusuru na kila mipango ya adui, na mimi nilikuwa muhanga wa ndoto iyo tena ilikuwa inajirudia na nikaw naharibikiwa sana lakini Mungu alinitetea nilipojua nakuanza kuomba.
@estermshomi61394 жыл бұрын
Pr, asante sanaa kwa mafundish haya, yamenigusa
@keniyakeniya83813 жыл бұрын
Lakini mchungaji mimi huota mala nyingi Sana lakini kila siku siikumbuki yani the more I try to remember the more I forget ..na Hilo Jambo limekua likinisumbua Sana sijui nifanyeje
@nippermshana92604 жыл бұрын
Barikiwa Sana pr.
@otiliahaule51804 жыл бұрын
Asante pastor kwasomo la ndoto
@perisbosibori22493 жыл бұрын
God bless you so much pastor. I'm so blessed with your preaching.
@samsonkasaki45494 жыл бұрын
Ubarikiwe pastor!
@raghadmubarak5534 жыл бұрын
Kweli mtumishi yalinikuta hayo ya ndoto nikapuzia nayakatimia
@enocktvonline8465 Жыл бұрын
Hili somo nimelitafuta sana nijue maana yake kwa mfano wa mtumishi serikalini Nimepata jibu
@dibogodibogo93584 жыл бұрын
Mchungaji, ubarikiwe kwa mafundisho yako. Mm nilikuwa nikiota Mara kwa Mara kwamba nasifiwa Sana na Kaka yangu ambaye ni marehemu. Wakati akiwa hai hakuwahi kunisifia katika Jambo lolote. Pia nimewahi Kuota binti ya Kaka yangu, na Kaka yangu wamekufa kwa siku moja, na hawa wote ni marehemu, tena walikufa kwa nyakati tofauti tofauti. nisaidie kujua hizi ndoto Zina maana gani.
@lennybaabrah67524 жыл бұрын
Amen Amen,Ubarikiwe sana Pastor.
@hono12323 жыл бұрын
Bando lako dogo
@imgracesamwel39993 жыл бұрын
Mchungaji mungu akubariki umefundisha somo limenijenga amen
@paulineditutu62084 жыл бұрын
Bjr pasteur , sois beni
@gracej8764 жыл бұрын
Barikiwa pastor
@vanenyanchwa47844 жыл бұрын
kudos God bless you pastor David
@leahwainaina43967 ай бұрын
Amen
@cyrusmagonya26703 жыл бұрын
Asante pr kwa mafunzo, Sasa Nina hakika mingi za ndoto zangu ni ugali
@janetkahada52064 жыл бұрын
amen amen
@Itsjona13 жыл бұрын
Asante sana Pastor
@jackynyakundi17403 жыл бұрын
Asante sana mchungaji. Mungu akubariki sana🙇🏽♀️
@zipporahnyanchoka42913 жыл бұрын
Amen,following from 254
@cathshuma16214 жыл бұрын
Ameeen
@simonkaumba7030 Жыл бұрын
Hallo my pastor how are you doing mchungaji napendezwa Sana Nahuduma zako,Sasa nikuombe kama ikiwezikana niyapate Aya masomo kwanjiya ya Gmail ?
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Mpigie huyu +255 67 388 8226
@vanishMekubo7 ай бұрын
Pastor naulisa niseme unaopewa alafu uyo menye anaombewa anataja wenye wanamlonga ama wanamsumbua ambo sasa utasema aje
@Estherm3092 жыл бұрын
Amen Amen Amen Amen Amen
@monniekevin93033 жыл бұрын
Amen amen 🙏
@beatriceamissi51444 жыл бұрын
Amena
@mrsdeborahurio4 жыл бұрын
Niliwahi kuota ndoto moja inayofanana na aliyoota kijana wangu ucku huohuo.....! KM SI MUNGU NISEME SASA!
@mrsdeborahurio4 жыл бұрын
0785650008 NJOO
@dilurai42043 жыл бұрын
Amen,
@peninahAlphonce173 жыл бұрын
Kuna ndoto niliota zaidi ya Mara 3, iliniangaisha kujua maana yake, but sikuona niulize yeyote! Baada ya kuskiza hii video na kuifatillia ndio najua ndoto huwa zatafsiriwa!! Na mimi nishasahau niliota nini
@ziadaziada16133 жыл бұрын
Mchungaji nakuomba unisaidie Mimi nikiota ndoto yaan inakuw ni ya kutisha lakini sikumbuki hata zikiwa nzuri sizikumbuki sasa tatizo nini mchungaji
@nicholausjoseph61763 жыл бұрын
Mchungaji mimi nakufatilia kwenye mahubiri tv ila kila nikitaka kudownload zinakataaa nifanye nini
@wisdomdeus1039 Жыл бұрын
Kuota unakemea inamaana fan?
@johnmtey12323 жыл бұрын
Una Roho mtakatifu
@keniyakeniya83813 жыл бұрын
Lakini mchungaji mimi huota mala nyingi Sana lakini kila siku siikumbuki yani the more I try to remember the more I forget ..na Hilo Jambo limekua likinisumbua Sana sijui nifanyeje
@halimaelizabethamuli2542 жыл бұрын
Amen
@josephkivunge75014 жыл бұрын
Amina
@loycep77854 жыл бұрын
Asante pastor mafundidho haya yamenijenga na kunibariki maana watu wengi huniuliza mara kwa mara niwatafasilie ndoto lkn huwa najibu kama ulivyofundisha barikiwa pastor