MAISHA YA DIAMOND NA WASAFI NDANI YA CARANTINI/CORONA NI TATIZO KUBWA

  Рет қаралды 1,009,997

Wasafi Media

Wasafi Media

4 жыл бұрын

#wasafi #carantini

Пікірлер: 865
@ndarogamba191
@ndarogamba191 4 жыл бұрын
Mnachonifurahisha ni kwamba mnatoa elimu kubwa sana ambayo hata Serikali haijatoa Kwa wananchi hususan ya kupima jotp Kwa vitendo na maelezo anayotoa Diamond!.Very creative guy ever...💪💪
@hamadharerimana8187
@hamadharerimana8187 4 жыл бұрын
this guy is a STAR AND VERY CREATIVE NA ANAKILI KUBWA SANA SASA NDO NIMELEWA KWANINI ANAFANIKIWA ZAIDI
@michaelalbert2512
@michaelalbert2512 4 жыл бұрын
chimchim vibe kwanini..? Narrate it.
@antfatsaid9314
@antfatsaid9314 4 жыл бұрын
Star hajuwi nguo za kuva casinos pole hlf uziliwe kuigia franca hawakujuwi show unafanya ndani sio kwny stade ya mpira
@nasibuabdalla1599
@nasibuabdalla1599 4 жыл бұрын
Nah
@nasibuabdalla1599
@nasibuabdalla1599 4 жыл бұрын
Nakubali wajina
@nabil_abbaady
@nabil_abbaady 4 жыл бұрын
Bc na ww fanikiwa
@kabumbaaldjimmy4943
@kabumbaaldjimmy4943 3 жыл бұрын
Kama uko shabike wake Diamond gonga like apa
@evaingram7499
@evaingram7499 4 жыл бұрын
natamani mungu akupe maisha marefu simba na corona boys wotee kama unaomba ivyo kwa wasafi gongs like tuendelee
@fardeennasser2963
@fardeennasser2963 4 жыл бұрын
Apewe Maisha marefu ili aendelee kuwapoteza watu wajiandae na moto ee? Acheni kufagiria mashoga kutoka WCB.
@Smartboy-wt1es
@Smartboy-wt1es 4 жыл бұрын
Diamond kwa biashara daaaa hii nayo kaigeuza kua fursa na kutengeneza hela kupitia youtube😀😀😀
@hellenodhiambo7175
@hellenodhiambo7175 Жыл бұрын
how loving ,caring and friendly is this man...we have nothing to say about this guy apart from supporting him...big up brother!!!!!!!!!!!!!!!!!
@zachmaselle6635
@zachmaselle6635 4 жыл бұрын
Give credit when it is due! Diamond is a big brain, thinks fast and has the entrepreneurial spirit. Actually, he has single-handedly changed the Bongo Flava brand and taken it to new heights. He invests in himself and others. He has tremendously changed the music video business in Tanzania for good and created a lot of opportunities for young Tanzanians. Remember when he started he used South Africans to must the game. Now he uses his own people. Kudos to him and the Wasafi brand for being that dynamic.
@babjithephotographer5602
@babjithephotographer5602 4 жыл бұрын
Its a team, he works with a very serious team
@sanchostylist...9719
@sanchostylist...9719 Жыл бұрын
I appreciate this Comment 2 years later...💯
@dominicmondia290
@dominicmondia290 4 жыл бұрын
SO CREATIVE THATS ONE ASPECT DIAMOND PLATINUMZ HAS...social life programme love it man
@vertexxentertainment1547
@vertexxentertainment1547 4 жыл бұрын
its kind of some awareness programme....yah it happens that of all entertainment media platforms this one is dope because which artist in AFRICA HAS COME UP WITH SUCH AN IDEA if not WASAFI MEDIA..keep up wasafi ..
@bernardmukinji3065
@bernardmukinji3065 3 жыл бұрын
Kama wew nishabiki wasimba gonga like👊🔥
@mwajumabulugu4115
@mwajumabulugu4115 4 жыл бұрын
Km unamini maneno ya juma lokole diamond kila anachofanya ni pesa gonga like
@prosperjohaness2089
@prosperjohaness2089 4 жыл бұрын
nani kasikia "yani mmoja wetu akionesha dalili za kuwa zombi mmh tunamchoresha"
@geofreyelphjr3710
@geofreyelphjr3710 4 жыл бұрын
Damn it🔥🔥Diamond Issa Creativity's
@martinaloo5444
@martinaloo5444 4 жыл бұрын
This guy is business minded. He uses every opportunity to improve his brand and fame. No wonder his new songs hit 2 million views in a single day.
@princesssway1396
@princesssway1396 4 жыл бұрын
Why u strees
@pamelamboma6725
@pamelamboma6725 4 жыл бұрын
Ana akili ya biashara na menejimenti iko STRONG na ndo star anavyotakiwa kuwa.
@netzclan9336
@netzclan9336 4 жыл бұрын
Baba lao 😎🤛cant wait for next nice 1 👌
@nafunabrenda4277
@nafunabrenda4277 4 жыл бұрын
True
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 4 жыл бұрын
Martin Aloo very true,
@collinschuwa8450
@collinschuwa8450 4 жыл бұрын
I am not decieving but i am prayin for him long lyf🙏🙏🙏🙏
@ains1122
@ains1122 4 жыл бұрын
It's a very educational movie, I like their idea, ina mafunzo mazuri kama kipindi,
@nassornaso7185
@nassornaso7185 4 жыл бұрын
Bonge moja la idea.. Chibu unajua kutumia brand yko big up bro ✊
@sofinajuma9284
@sofinajuma9284 4 жыл бұрын
hizi zinapimwa mdomon sio kwapan hii
@primesultan1150
@primesultan1150 4 жыл бұрын
Gonga like kama umeshajua Mond ni creativeness in mind he use every chance to prove his brand
@saganadiana2843
@saganadiana2843 4 жыл бұрын
Ongea kiswahili
@tumakhalifa3606
@tumakhalifa3606 4 жыл бұрын
Corona geng 😂😂this hurts and at the same time funny
@ladyhappinessenock6902
@ladyhappinessenock6902 4 жыл бұрын
Yani nimecheka😂😂🤦‍♀️maana ni Corona boys
@ririmungai2110
@ririmungai2110 4 жыл бұрын
😂😂😂
@gazamerlvaxmukwano5844
@gazamerlvaxmukwano5844 3 жыл бұрын
Ndivyo unavyo sema akika mungu ammpe maisha marefu azidi kusaidia wengine, akika huyo Diamond nampenda sana anapo saidia wajiwezi ila tu maomba wanao saidiwa na Diamond wasijee kumzarahu... Akika mungu akupenye kila unapo fanya
@cedricnitunga468
@cedricnitunga468 4 жыл бұрын
huyu jamaa ni content creator tosha!! duuuuh
@styvoll2004
@styvoll2004 4 жыл бұрын
This jamaa alianza tu right now the guy is a boss!! Man.. everything is possible.
@_dakika90
@_dakika90 4 жыл бұрын
T
@gatheewanjeri
@gatheewanjeri 4 жыл бұрын
Simba changing Corona to business.... Opportunistic Corona boy. Chapa like hehe
@zabibunduwimana4612
@zabibunduwimana4612 4 жыл бұрын
Mond nilijuwa ni duka la nguo na biyato kumbe ni kwako😂😂😂🙌🙌
@ramaccr7525
@ramaccr7525 4 жыл бұрын
Zabibu Nduwimana na mimi nilijua duka
@wambui4590
@wambui4590 4 жыл бұрын
Weeeee, nimestajaab
@salumkombo7163
@salumkombo7163 4 жыл бұрын
Zabibu Nduwimana hata Mimi nilijua dukan Loooh shikamooo mond
@halimamiss8878
@halimamiss8878 4 жыл бұрын
hata mm nilijua duka mmmh pesa jamani
@kkkkftbbhgft9118
@kkkkftbbhgft9118 4 жыл бұрын
Kwani hilo sio.duka?
@mektidissalvatory9683
@mektidissalvatory9683 4 жыл бұрын
Corona gang duuuuh Diamond umenishindaaaaa😂😂😂🤣🤣🤣
@doktamathew
@doktamathew 4 жыл бұрын
Hii karantini noma👌👌👌
@swalehthefinest
@swalehthefinest 4 жыл бұрын
Yaani angekua msanii mwengine angenyamaza tu ndani hzo siku 14 lakini Huyu ni kama opportunity kila tukio.. Shikamoo Siimba 🙏🙏
@ilovuguyssandimu6508
@ilovuguyssandimu6508 4 жыл бұрын
I salute u mondi frm 254
@elshaarawymuhabesh316
@elshaarawymuhabesh316 4 жыл бұрын
Corona boys, Corona gang... Hata Ukipost Unacheka Tuh Mi Ntaangalia Tuh...
@mdgy7188
@mdgy7188 4 жыл бұрын
Elshaarawy Muhabesh umetishaaaaaaaaaaaa sannaaaaaaa
@shabbyofficial_
@shabbyofficial_ 4 жыл бұрын
Elshaarawy Muhabesh 🤣🤣🤣🤣🤣💯
@rashfatyrashidi5499
@rashfatyrashidi5499 4 жыл бұрын
Elshaarawy Muhabesh penda sana simba
@douglassotengo5551
@douglassotengo5551 4 жыл бұрын
@@rashfatyrashidi5499 freshy
@djbensntz7981
@djbensntz7981 4 жыл бұрын
Wewe acha2 nita kesha hata naangalia😍😍😍
@josephhenry1274
@josephhenry1274 4 жыл бұрын
Ila MONDI dingi wewe mtamu kila kitu keep it up hii ndio Tanzanian Art ninayemtaka Fabulous and fabulous bro
@swahilibrotherhood
@swahilibrotherhood 4 жыл бұрын
Definition of the $uper$tar
@limimangolyo625
@limimangolyo625 4 жыл бұрын
Mtam sana mondi mungu amzidishie
@meshackmhalila6690
@meshackmhalila6690 4 жыл бұрын
Nakukubali ni muwazi chukua tahadhali chibuuu
@senorinamwaluma9658
@senorinamwaluma9658 4 жыл бұрын
Hahaaaaaa eti corona boy's you've made my day
@victorwilbard2585
@victorwilbard2585 4 жыл бұрын
Hii trick kali kweli ila imekaa poa kibiashara.Nasib Abdallah ameona akikaa mwezi mzima bila kuvuta utayari itamgharimu sana ameona bora abuni Karantini boys. Daah..
@twahabuiddy9612
@twahabuiddy9612 4 жыл бұрын
Allah karim yataisha mpeni pole sallam sk
@amranitz2897
@amranitz2897 4 жыл бұрын
Alie onaa hiloo duka la guoo hapo like
@jackleenmandary2632
@jackleenmandary2632 4 жыл бұрын
Sio duka ni kabati😂😂😂
@shabelbashil4855
@shabelbashil4855 4 жыл бұрын
Nibalaa kws duks kama hilo
@akibarahamadi5058
@akibarahamadi5058 4 жыл бұрын
akil kubwa simbaaaa anacheza na fursa uyu njo msani kubwa sasa simbaaaaa
@glorysilayo9810
@glorysilayo9810 4 жыл бұрын
Dude your good for I appreciate all of u
@queenwinnie256
@queenwinnie256 4 жыл бұрын
Corona boys, simbaaaa baba laoooo yatapita tu, corona yakupita kama magonjwa mengine,
@gunzelubona3806
@gunzelubona3806 4 жыл бұрын
Safi san kak
@nurumaulid2462
@nurumaulid2462 4 жыл бұрын
Diamond mtu imara wewe 🌠
@kbpfurniture4358
@kbpfurniture4358 4 жыл бұрын
Mm nilijua kipindi hiki haupo ... Nikajuwa mb zegu zitapona, kumbe ndo kwanza kumekucha...
@thamiyuucute7098
@thamiyuucute7098 4 жыл бұрын
Eee Mungu wanguu....tupe nasisi ela..zenye kheri...nguo km dukaniii😭😭😭😭😭😭
@sabrinabakari5908
@sabrinabakari5908 4 жыл бұрын
Thamiyuu Cute weweee mjinga umenichekesha
@thamiyuucute7098
@thamiyuucute7098 4 жыл бұрын
@@sabrinabakari5908 sawaa😑😐
@mariumpius9014
@mariumpius9014 4 жыл бұрын
Nikwel lakn 🤔
@musamsuya6033
@musamsuya6033 4 жыл бұрын
Thamiyuu Cute hizo nguo sio na wala usizitamani mungu alituambia usitamani mali ya mtu 🖤
@monicamassawe9397
@monicamassawe9397 4 жыл бұрын
Huyu kaka ni bonge la mjanja hauna cha salam kuwa na korona wala nn hapa wametumia fursa tuu waingize hela noma sana
@onlytecna9498
@onlytecna9498 4 жыл бұрын
Monica Massawe kweli kbx wametengeneza movie
@MosonVevo
@MosonVevo 4 жыл бұрын
Navyowajua watz hata mtu akifa wanaweza sema ni uongo ila siku likikukuta ndo utajua ni uongo au ukweli na utajua Kama ni fursa au sio
@ExplorewithHedy
@ExplorewithHedy 4 жыл бұрын
Very true Monica,cause doctors hawaend home kwa suspect wa ugonjwa cause it’s not safe for them what they do is to admit the patient Yan hawa kila kitu kwao fursa😅😅 no hate but ndo njia yao ya bread winning 😂😂
@aminakawawa5800
@aminakawawa5800 4 жыл бұрын
Kweli aisee ana akili huyu baba lao
@limimangolyo625
@limimangolyo625 4 жыл бұрын
Ana akili kinyama ndo maana anafanikiwa
@rukiasalim2512
@rukiasalim2512 4 жыл бұрын
Eeeeh nimesahau sasa mimi hata simsikilizi naangalia tu kwenye kabati la manguo na viatu nilifikiri duka la Esma tobaaaa corona umeleta balaa weweee
@omanatr8729
@omanatr8729 3 жыл бұрын
Allah nijarie na mimi nipate mme wa kuniowa na anijarie nipate watoto wakunieshim na kunijari
@graceannhendry6396
@graceannhendry6396 4 жыл бұрын
"Jamaa akianza kuwa zombi tunamchoresha"😂😂😂😂😂
@hadijasalimu1808
@hadijasalimu1808 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@limimangolyo625
@limimangolyo625 4 жыл бұрын
Jamaa in muelewa kweli
@zablonchesa1157
@zablonchesa1157 4 жыл бұрын
Nilifkiri hiyo simu alopiga itakua..."Halo,, Tanasha......"
@veronicasteven1731
@veronicasteven1731 4 жыл бұрын
Mwanaume akiwa karibu sanaaaaa na mama ake huna chako
@salmaalimusa547
@salmaalimusa547 4 жыл бұрын
@@veronicasteven1731 YaAni lkn ndo haizuiliki mumy
@rubyshamlaha2181
@rubyshamlaha2181 4 жыл бұрын
@@veronicasteven1731 mi napenda niishi ivo na mwanngu raha sn
@halimalawa3901
@halimalawa3901 4 жыл бұрын
@@rubyshamlaha2181 yaan wanawake wote tunataman kuish hvy na watoto wetu lkn hatutaman waume zet wawe hvy na mama zao😁😂😂😂😂😂dunia n kigeugeu🏃‍♂️
@farajajuddy3871
@farajajuddy3871 4 жыл бұрын
Hapo ndipo huwa namuekewa Nasib mpk basiii!mama kwanza bwanaaa!mahusiano tunakutana nayo tu lkn mama nilikuwa nae na nitakuwa nae mpk mwisho
@sixbertkigomakwetu7742
@sixbertkigomakwetu7742 4 жыл бұрын
Jaama nnachomkubali ni mpambanaji na anatumia fursa vizuri akiipata haipotezii beast simba
@lynnatasha6014
@lynnatasha6014 4 жыл бұрын
DIAMOND ni bingwa ,na atafanikiwa vyema.simba!!!!!
@alibell5246
@alibell5246 3 жыл бұрын
Wallah nilzani duka kumbe nyumban kwa simba duh hatar aiseee
@susanruo8087
@susanruo8087 4 жыл бұрын
Mmmmmh mbona quarantine yao ni raha 😂😂.... mpaka na guitar, na miziki.... Anyways, life is too short. Even with corona, life has to go on
@khadijaomar2723
@khadijaomar2723 4 жыл бұрын
😄😄😄
@fortunatedominic7845
@fortunatedominic7845 4 жыл бұрын
Sasa hilo guitar jmn litasababisha contamination na watu wa nyumbani....kwa sababu sasa anakutana na watu wa nyumbani. Au mi celewi jmn.
@susanruo8087
@susanruo8087 4 жыл бұрын
@@fortunatedominic7845 yaani hawa jamaa waacha masiara na hii virus. Hii sasa ni quarantine ama ni vacation jameni 😕😕
@maujanjatv24h41
@maujanjatv24h41 4 жыл бұрын
Susan Ruo ulitaka wakakae kimya kama mcbani wanasubili maiti..!!??
@maggiewambui8768
@maggiewambui8768 4 жыл бұрын
Yaani siku tisa simbaaa bila mwanamke,,,,itavunja rekodi hii
@fatmaaly3056
@fatmaaly3056 4 жыл бұрын
😆😆😆😆
@mariasixmund7964
@mariasixmund7964 4 жыл бұрын
😁😁😁😁
@mu-crzymahez9229
@mu-crzymahez9229 4 жыл бұрын
kun watu tangu wazaliw
@lenamedia6208
@lenamedia6208 4 жыл бұрын
Hahahhaha
@barakajuma719
@barakajuma719 4 жыл бұрын
Maggie wambui duuh
@mazootboy006
@mazootboy006 4 жыл бұрын
Kamaa du anakuwa zombi...hehehe my pain killer umeweza...natunga wimboo nayoo hio
@mussataliye7815
@mussataliye7815 4 жыл бұрын
Kama umesikia corona gang gonga like apo
@christabella2329
@christabella2329 4 жыл бұрын
Yani konde gang
@gmtkasbusinesses4120
@gmtkasbusinesses4120 3 жыл бұрын
Pasisbs
@oscarmick8027
@oscarmick8027 4 жыл бұрын
Corona boys kama umeskia like hapa
@mulyungi1
@mulyungi1 4 жыл бұрын
Very funny
@ilovuguyssandimu6508
@ilovuguyssandimu6508 4 жыл бұрын
Haaa
@sethyotham7265
@sethyotham7265 4 жыл бұрын
Diamond platnum..pamojasana
@sundayandrew5007
@sundayandrew5007 4 жыл бұрын
Sasa hilo gitaa akija nalo si itabidi nae akae karantini
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 4 жыл бұрын
All the best Abdul,,, love you mdogo wangu👍👏👏👏
@jonhsoncrispo2462
@jonhsoncrispo2462 4 жыл бұрын
Kama umeona mondi akizima taa juu ya bili ya umeme ngonga like
@sittianya5749
@sittianya5749 4 жыл бұрын
acha ufala aogope bili ya umeme apo umelipa ww
@5facts60
@5facts60 4 жыл бұрын
Kwani kiwanda hicho kiwe Na bill ya Umeme hapa luku tu
@xclassic4068
@xclassic4068 4 жыл бұрын
I wanna be in this Quarantine too 😭😂😂😂 trap house 🏠 food drinks and strictly invites ONLY
@mutalemwagabrie9791
@mutalemwagabrie9791 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mutalemwagabrie9791
@mutalemwagabrie9791 4 жыл бұрын
Also to me😂😂😂😂😂
@masoudjuma8153
@masoudjuma8153 4 жыл бұрын
kama umesikia chafya boy gonga like hapa
@dokta_suley
@dokta_suley 4 жыл бұрын
tujuanee kama una mkubali simbaaaaaaaa
@fatimamohammed2332
@fatimamohammed2332 4 жыл бұрын
hahahahaah mama dangote anataka apimwe korona hahaaha
@idrissatuppa3997
@idrissatuppa3997 4 жыл бұрын
Hiv hawa kwenye ile hesabu ya watu 22 wapo au ndy wamejipa wenyewe.quarantine yao.
@fatmarashim6353
@fatmarashim6353 4 жыл бұрын
Mungu awasimamie musiwe na Mr Corona 😢🙏
@yusufmwangichannel6692
@yusufmwangichannel6692 4 жыл бұрын
Hapa ni movie tu imetengenezwa tu ili watu waingize hela lakini hakuna cha Corona wala Karantini
@sarahhamisi2070
@sarahhamisi2070 4 жыл бұрын
mond pima vizur/ twakupenda" ujue usitufanye tukaliaaaaa mungu mlinde/,huyu kiumbe
@yusuphally131
@yusuphally131 4 жыл бұрын
Sarah Hamisi amen 🙏🙏
@praxedadominic9864
@praxedadominic9864 4 жыл бұрын
Amen
@hadijalukasmdeg9987
@hadijalukasmdeg9987 4 жыл бұрын
mimi sina ushabiki na daimond ila kwa hili tatizo la dunia mungu awanusuru timu yote mrudi salama bado tunahitaji uwepo wenu
@franklinemoi8516
@franklinemoi8516 4 жыл бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏
@promaxemweli
@promaxemweli 4 жыл бұрын
You yourself too can keep distance from each other, Either of you might be carrying the virus and is yet to show the symptoms but can spread.
@remiusmayeye7557
@remiusmayeye7557 4 жыл бұрын
Diamond please hold on please cause I want to become asinger in future and sing with u course ur the most special and good ❤️ singer in Tanzania so the I worship won't let u guys have corona please trust me I pray for u guys to the end
@iddiadam857
@iddiadam857 4 жыл бұрын
Hizo thermometer mnanikumbusha nilipokuwa semester ya kwanza nikisoma heat na simple harmonic. Zinaitwa thermocouple. Mngetumia pyrometer ni nzuri haihitaji kugusa mwili.
@jescagabriel6070
@jescagabriel6070 4 жыл бұрын
Nomaaaa sanaaa
@emmyyahya8358
@emmyyahya8358 4 жыл бұрын
Ety mmoja wenu akionyesha dalili km zombi mnamcholesha 😂😂😂😂😂 fala sana
@chrissymahunja5248
@chrissymahunja5248 4 жыл бұрын
Hahahahahahaha ulivo ierezea imenijia muvi ya BRAD PIT WORLD WAR Z walivo kua wanacholeshana
@aminaramdan3283
@aminaramdan3283 4 жыл бұрын
Mie nilijua ni duka la nguo na viatu.kumbe kwa baba lao home kwake 😷
@user-bv8ql2qs6x
@user-bv8ql2qs6x 11 ай бұрын
Mmmhh huyu Simba kweli
@mamumiyaskitchenvlogs5858
@mamumiyaskitchenvlogs5858 2 жыл бұрын
Mama's boy MashaAllah Naseeb n her mom feels me with ma boys So free this is what we call building good relations with our kids
@melkiorgodfrey6980
@melkiorgodfrey6980 4 жыл бұрын
Mmmhhh Mondi Dermark Dortmund.... Apa umetuchota mzee😁😁😁😁
@neemamkumbo2584
@neemamkumbo2584 4 жыл бұрын
Bonge la mchoto aiseee
@bigbossmanbossman6946
@bigbossmanbossman6946 4 жыл бұрын
Hii ni deal kutoka (WHO) diamond anapiga hela
@mufasamufas6023
@mufasamufas6023 4 жыл бұрын
Sio deal lakini diamond kwake kila kitu kwake ni issue ya kupiga hela Mondi ni mfanyabiashara
@revokatuspriscus6891
@revokatuspriscus6891 4 жыл бұрын
Sure
@marywambia2476
@marywambia2476 4 жыл бұрын
😂😂😂😂👍All the Best guys❤️
@rwehumbizajonathan8689
@rwehumbizajonathan8689 4 жыл бұрын
Daaaah, Hawa jamaa creative sana..mpaka janga wanalipigia hela. Maamae sana. 🤣🤣🤣
@lareineminah1353
@lareineminah1353 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 37.2 eheee siniliwambiya lukamba bhana🤣
@tettiancaroll
@tettiancaroll 4 жыл бұрын
Simba anaitana corona boys😂😂😂😂😂😂
@lionelly5718
@lionelly5718 3 жыл бұрын
Simba God bless u ,,,😍😍😍😍
@kercidezkasiem6889
@kercidezkasiem6889 4 жыл бұрын
Man said corona boys and corona gang legend
@elshaarawymuhabesh316
@elshaarawymuhabesh316 3 жыл бұрын
Im here after corona run away☺😂 .... Whos with me...
@sayunmartin588
@sayunmartin588 4 жыл бұрын
Mbona atariiii✨✨
@seaboymohamedi101
@seaboymohamedi101 4 жыл бұрын
Mmesikia kwamba corona ilienda sumbawanga ikakuta amna m2 😂😂😂nabongo navyo ijua corona itaondoka kwakusemwa2 wabongo wambea na bd corona ijakutana na mijoolo na mia 40 vile michungu itaondoka2 ila gong like twende saw tz
@abdillahahil6231
@abdillahahil6231 4 жыл бұрын
Mbavu khaah
@umojaafrika2447
@umojaafrika2447 4 жыл бұрын
"Korona geng !" Nimecheka kutoka Ufaransa !
@assiakwinnj4910
@assiakwinnj4910 4 жыл бұрын
Mmejitenga au mmetengwa NA serikal
@anuarguni8492
@anuarguni8492 4 жыл бұрын
Jamn wamejiteng ili kama walikuw n ugonjwa wasisambaze
@debbycharles2862
@debbycharles2862 4 жыл бұрын
Mungu awasaidie mdikutwe na virusi Inshaalah 🙏🙏nawaombea
@emmyyahya8358
@emmyyahya8358 4 жыл бұрын
Chiz wew 😂😂😂😂😂
@sumaiyyaurassa9995
@sumaiyyaurassa9995 4 жыл бұрын
Nakupenda
@Mwita._v
@Mwita._v 3 жыл бұрын
Diamond anasoma temperature na amevaa sunglasses 😂😂🎃
@njikumkenji3676
@njikumkenji3676 4 жыл бұрын
Nakubali wcb 4 life
@kgmillionaire
@kgmillionaire 4 жыл бұрын
Thank you for the story 👌👌👌👏👏
@abduljvo5549
@abduljvo5549 4 жыл бұрын
Yani mmoja wetu akionesha dalili tu kama mmmh!! Ebana anakuwa zombie.. tunamchoresha
@soduxrashol2480
@soduxrashol2480 4 жыл бұрын
😂😂
@gullaalex6590
@gullaalex6590 4 жыл бұрын
😂😂😂 Jaman
@saudaclaris7095
@saudaclaris7095 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@saidymohammedy57
@saidymohammedy57 4 жыл бұрын
😂😂
@metrineemali6896
@metrineemali6896 4 жыл бұрын
Mna shida moja tu!!! Hamjawai like comment yeyote...... Fans am I saying the truth?
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
Diamond show us your home one day please. Ipo so so amazing jamani
@paulgilbert4869
@paulgilbert4869 4 жыл бұрын
Watu weusi dio taifa la mwenyezi mungu ngozinyeusi ni ngumu lakini hungonjwa unashika mungu atushidie shida hii na dada lili za corona ni zipi niambien nijue vizuri sana baba lao
@mayaaymaan5980
@mayaaymaan5980 4 жыл бұрын
Huku nikikuwatch love bado na soma na comment yani ata nikikereka sijue kabadili wasichana just love u Diamond ila settle down insha Allah na zari km bdo inawezekana ila sahau kbs mobeto nice time keratin 😌😌iko saw hiyo keratin
@zuhenambelenje6370
@zuhenambelenje6370 4 жыл бұрын
Mimi mwenyewe nilijua Duka kumbe mkabati wa Simba..somchezoo
@frolentfelix2059
@frolentfelix2059 4 жыл бұрын
Mond we noma kuwa na mziki mpya basi ukahuite karantini
@ruthurassa2230
@ruthurassa2230 4 жыл бұрын
Hata Mimi nilijua duka la nguo kumbe ni za mnyama Simba mwenyewe😂😂😂😂 hatari sanaaa
@brendaatieno905
@brendaatieno905 4 жыл бұрын
Diamond😘😘
@dangotetv9461
@dangotetv9461 4 жыл бұрын
Kumbe dyemondi ni deleva hatalee
@zenamadhan2517
@zenamadhan2517 4 жыл бұрын
Mungu angemjaalia uyu kijana kutafuta umasikini yy n familia yke..ana talent tafauti tafauti
@zenamadhan2517
@zenamadhan2517 4 жыл бұрын
Mungu kaamjalia kutafuta umasikini na kuenua familia yke..mungu awazidishie bidii
@chiefmahucha6847
@chiefmahucha6847 4 жыл бұрын
@@zenamadhan2517 sijakuelewa hapa mam. ... Nieleweshe tafadhali...
@nabil_abbaady
@nabil_abbaady 4 жыл бұрын
Daniel Abor ....km umeskia deleva gonga like
@joycejoyce6442
@joycejoyce6442 4 жыл бұрын
@@nabil_abbaady 😂😂😂😂😂
@kingmichael3592
@kingmichael3592 4 жыл бұрын
Raha ya karantine hakuna kuchepuka
@annickniyokwizera1414
@annickniyokwizera1414 4 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆
@annickniyokwizera1414
@annickniyokwizera1414 4 жыл бұрын
😆😆😆😆
@leilaosmond1956
@leilaosmond1956 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@briankenyan1799
@briankenyan1799 3 жыл бұрын
😂
@dicksonjohnbosco6477
@dicksonjohnbosco6477 4 жыл бұрын
Wcb akili Mingi 😝😝
@amshlynebaby8495
@amshlynebaby8495 4 жыл бұрын
nampenda mondi jamani😍
@yousefeshaq9401
@yousefeshaq9401 4 жыл бұрын
When Luoland is busy naming there children Corona Atieno. Coronaviruses Oketch... Wasafi are making money
@danneismail5442
@danneismail5442 4 жыл бұрын
Not funny
@brendaa.5222
@brendaa.5222 4 жыл бұрын
Like seriously, must you mention names nkt mcheeeew
@sarmamchaga3079
@sarmamchaga3079 4 жыл бұрын
Yousef Eshaq pw mond nakukubali sana
@othinielkamyola7269
@othinielkamyola7269 4 жыл бұрын
YAAP! HIO NDOO AKIRI,TUMIA CHANGAMOTO KUWA FURUSA WASAFI WAPO VIZURIII TUSIKALIE KULALAMIKA TU
@danielkiarie9847
@danielkiarie9847 4 жыл бұрын
Daaaa! Nlidhani n duka la nguo kube nyumba jamani mungu tulimkosea wap kabariki wengine......... Shukuru
@josephabel7654
@josephabel7654 4 жыл бұрын
Nipe chengine😂😂😂
@Bantushine_film
@Bantushine_film 4 жыл бұрын
Dah diamond anajuwa kazi ya u doctor na kupima wagojwa
@jojininga1666
@jojininga1666 4 жыл бұрын
Kwadaimondo arivyojiwekeza ata asipoimba hanakulabata mpaka kufa nafiliziki
@captenndunga6199
@captenndunga6199 4 жыл бұрын
Usiongopewe kama pesa haiingii inatoka tuu kuisha ni fasta kulingana na matumizi mtu aliyozoea.. ukipewa wewe utatumia mpaka kufa kwa kua unatumia alfu 5 kwa siku ila kwe yeye anaetumi milion kwa siku kufulia ni fasta tuu kama pesa haizunguki.
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 4 жыл бұрын
Mmmmmh HANAKULABATA!!!
@pelusiemanueli6926
@pelusiemanueli6926 4 жыл бұрын
Kama umeona mod. Amevaa Ereni gonga like twende saw
@nawihadj6674
@nawihadj6674 4 жыл бұрын
Sina nyundo ningegonga dear
MAISHA YA DIAMOND NA WASAFI NDANI YA CARANTINI/CORONA NI TATIZO KUBWA
17:26
Luck Decides My Future Again 🍀🍀🍀 #katebrush #shorts
00:19
Kate Brush
Рет қаралды 8 МЛН
Can teeth really be exchanged for gifts#joker #shorts
00:45
Untitled Joker
Рет қаралды 18 МЛН
MEU IRMÃO FICOU FAMOSO
00:52
Matheus Kriwat
Рет қаралды 33 МЛН
PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30
31:59
EXCLUSIVE TOUR INSIDE DIAMOND PLATINUMZ PRIVATE JET
2:21
DIRECTOR RAHMAN
Рет қаралды 47 М.
Ndaro na Leonardo Waoneshana Ubabe Jukwaani, Ona hapa nani mkali?
21:33
Mbosso - Sele Behind The Scene Part 1
45:29
Mbosso
Рет қаралды 198 М.
КАРМАНЧИК 2 СЕЗОН 7 СЕРИЯ ФИНАЛ
21:37
Inter Production
Рет қаралды 222 М.
Все мы немного НИКА!
0:17
Привет, Я Ника!
Рет қаралды 1,5 МЛН
"Қателігім Олжаспен азаматтық некеге тұрғаным”
41:03
QosLike / ҚосЛайк / Косылайық
Рет қаралды 283 М.