No video

MAISHA YA MWANAJESHI WA MAREKANI MWENYE ASILI YA TANZANIA DAVID MLAY "KULIPWA LAKI 1 KWA SAA"

  Рет қаралды 153,966

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 168
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 2 жыл бұрын
Na wabongo kwa kuwadanganya wenzao wasiyoijuwa Marekani, hawafikilii kuwa na sisi tupo huku na tunajuwa kila Siri za chini ya carpet 😂😂😂😭😭
@charlesstephen9668
@charlesstephen9668 2 жыл бұрын
Mshikaji tumepiga nae Azania Secondary School, Big up kijana endelea kupeperusha bendera
@beatbyrich2891
@beatbyrich2891 2 жыл бұрын
Anapeperusha bendera ya marekani
@charlesstephen9668
@charlesstephen9668 2 жыл бұрын
@@beatbyrich2891 True.. ila wandewa tunajua ukweli.
@michaelkessy1738
@michaelkessy1738 2 жыл бұрын
Mlimaliza lini? Mi nilimaliza pale 1999
@furahafrank8267
@furahafrank8267 2 жыл бұрын
Ndiyo maana naipenda sana Marekani hawana ubaguzi kwa mambo ya kazi ao hawaombi rushwa.
@hamisiismail2577
@hamisiismail2577 2 жыл бұрын
Njoo bongo sasa uone..utasikia sio mzawa..
@heavyduty2711
@heavyduty2711 2 жыл бұрын
Usilolijua ni km usiku wa giza
@sbr231
@sbr231 2 жыл бұрын
Tatizo ubaguzi wa rangi upo kwa kiasi kidg
@mwassamwassa7264
@mwassamwassa7264 2 жыл бұрын
Wengi hapa Tanzania wanaipenda America ila kwa unafiki wanajifanya kukandia sababu za udini na chuki binafsi
@hassanbinally7127
@hassanbinally7127 Жыл бұрын
Usilolijua
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 2 жыл бұрын
Asante SAAAANA MILIAD AYO. UNALETA VIDEOS ZINAZOFUNDISHIA RIKA ZOTE. VIJANA WA KITANZANIA WASIBWETEKE KTK AKILI NANFURSA ZILIZOKO NCHINI, WAWEZA ANZIA MAISHA POPOTE. KILEVI CHOCHOTE KIWE HARAMU NA MAOVU YA KIJINGA . WATAKUWA WAPUMBAVU BILA KUJUA. AKILI WAMEZALIWA NAO KIMBINGU.
@nuruworldinsight2957
@nuruworldinsight2957 2 жыл бұрын
Ukisikia analipwa kiasi hicho unaona ni PESA nyingi sana kwa vile unalinganisha na maisha ya kwetu huku. Kule States mzigo mkubwa maisha nayo yapo JUU pia !
@Vampx
@Vampx 2 жыл бұрын
$45 kwa saa ni kubwa sana hata kwa US, maisha yapo but ukiangalia mfano kazi za cashier unapata $25-30 kwa lisaa na mtu unaishi fleshi tuu yani... $45 ni kubwa sana asee...
@Kobe_254
@Kobe_254 2 жыл бұрын
@@Vampx kweli $45 ni pesa mingi sana na North Carolina maisha sio expensive kama mitaa tunaoishi huku Seattle WA.
@beatbyrich2891
@beatbyrich2891 2 жыл бұрын
Sahihi huyo anabaki na laki 5 huyo
@starlightofficial5214
@starlightofficial5214 2 жыл бұрын
Nyumba Marekani kupanga million 2 na kitu kwa mwezi so poa duuh!..! Bado hujala hujalipa bill za umeme, maji n.k kweli maisha yapo juu. Usipokuwa mbahili hutoboi.
@beatbyrich2891
@beatbyrich2891 2 жыл бұрын
Africa jeshi ni big deal ngumu kupata nafasi, nje ni kitu cha kujitolea sana haraka mno unapata nafas wanapenda uifanyie kazi nchi.
@pcpoint1224
@pcpoint1224 2 жыл бұрын
Hapa bongo mpaka uingie jeshini uwe umeuza shamba, LA uwe kabila flani waloojaa huko ama baba mjomba Dada wawe wapo uko wakupikie uje upakue tu, hakika wabongo kwa mungu tutafika tumechoka sana
@cneamses3645
@cneamses3645 2 жыл бұрын
Inasikitisha sana, tunatamani maendeleo lakini kwa staili hii kufika tunakotaka kwenda itatuchukua miaka na miaka
@beatbyrich2891
@beatbyrich2891 2 жыл бұрын
Sana kuna muda unatamani jeshi ila unaona bora uende Kenya ukawe soldier.
@gregorypeterlazaro6626
@gregorypeterlazaro6626 2 жыл бұрын
God broo
@rubensaitoti6839
@rubensaitoti6839 2 жыл бұрын
Hongera sana kaka Mungu ni mwema
@simontamba1285
@simontamba1285 2 жыл бұрын
Big up mwanamsimbazi
@tanzaniaoman6423
@tanzaniaoman6423 2 жыл бұрын
Tunaisubiria kwa hamu Ayo tv chaguo langu🔥🔥🔥
@jacklinmasawe2697
@jacklinmasawe2697 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Mchaga mwezangu
@alexvenas2699
@alexvenas2699 2 жыл бұрын
Ayo umetisha
@mudighurayra
@mudighurayra 2 жыл бұрын
Kuna day jamaa alsema me namjua uyo anaitwa david mlay kuna watu walibisha Sana 😄😄
@agnettakamugisha4984
@agnettakamugisha4984 2 жыл бұрын
Mimi namjua tuko naye hapa Durham, North Carolina. Hata nyumbani kwangu amefika. Pia na make wake. Kijana mzuri sana. Kwenda vitani sio mchezo. Tumuombee arudi salama🙏🙏💪🏾❤️🇹🇿🇺🇲
@saloomidd1084
@saloomidd1084 2 жыл бұрын
@@agnettakamugisha4984 Kwani amepelekwa vitani sasa hivi?vita ya wapi?
@georgedeo3726
@georgedeo3726 2 жыл бұрын
Jamaa hakujua Kama nkamanda
@mdta8161
@mdta8161 2 жыл бұрын
Safi sana kaka
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 2 жыл бұрын
Kwaiyo kakataa kuwa live kwann Sasa?
@user-sq7pz9ex5g
@user-sq7pz9ex5g 2 жыл бұрын
Mashallah,Mimi Yani ndoto zangu NI kuishi MAREKANI Nina fani yangu ya ushonaji nikienda huko kushonea Shona nitatoboa one dey yes 💪,Acha Kwanza nipambane na waarabu safari moja huanzisha nyingne na Kwa sasa nipo km shagala Ila nashona Shona nguo za majirani hapa mtaani kwetu ALLAH 'HU AKBAR.
@robbywingle3323
@robbywingle3323 2 жыл бұрын
Jipe moyo
@rahmaabdulla4949
@rahmaabdulla4949 2 жыл бұрын
InshaAllah
@mwassamwassa7264
@mwassamwassa7264 2 жыл бұрын
Makafili wale bora uende saudia
@chrisswaller960
@chrisswaller960 2 жыл бұрын
Utafika tu my sista
@user-sq7pz9ex5g
@user-sq7pz9ex5g 2 жыл бұрын
@@robbywingle3323 Amin dear
@greyuliki8027
@greyuliki8027 2 жыл бұрын
Mbele ni mbele tu unaambiwa sio Bongo huku😎😎
@beatbyrich2891
@beatbyrich2891 2 жыл бұрын
Carolina-carolaina
@elibarikinelsonnsenga3949
@elibarikinelsonnsenga3949 2 жыл бұрын
Hongera sn kw kupambana.
@bobllysalum5379
@bobllysalum5379 2 жыл бұрын
Milady tunaomba muendelezo wa hii story plz
@geeva99
@geeva99 2 жыл бұрын
Kwanini hamsemi kuwa anaimba wimbo wa kiumeni wenyehisia chanya, au mmelipwa na watu flani msipromote kazi za wasanii wa ukweli
@simontamba1285
@simontamba1285 2 жыл бұрын
HKikaa
@jumaamisi2518
@jumaamisi2518 2 жыл бұрын
Ukelen
@aronatv47
@aronatv47 2 жыл бұрын
Duuuh...!Bongo Mgambo hadi tutangaziwe kwenda mafunzo hiyo jeshi hadi ajira zitangzwe mchujwee Wenzetu wako mbali saana unaangalia panapo kufit ukifanikiwa Poaaa...
@furahajacob506
@furahajacob506 2 жыл бұрын
Xio mbaya...Kama,,,Ulixomea,,,Udocter...afu.. baadae,,,,docter...wa..magari...bravo..xana
@janethnaminga9316
@janethnaminga9316 2 жыл бұрын
Aza boy
@Kobe_254
@Kobe_254 2 жыл бұрын
Once a marine forever a marine..... VISA ya shule ni gani na ashakuwa citizen wa marekani... pambana though!! chunga tu wanawake..
@haysam6317
@haysam6317 2 жыл бұрын
hahaha jackson kwanini umesema chunga wanawake kaka
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 2 жыл бұрын
Millad 👍
@robinsonjohn3173
@robinsonjohn3173 2 жыл бұрын
inasikitisha mtoto wako kula kwajirani.
@ElvisJosephMiti
@ElvisJosephMiti 2 жыл бұрын
Jirani kunahaki
@lispamagu5810
@lispamagu5810 2 жыл бұрын
Tena kiswahili kizur sana wasanii sasa wa bongo
@tumainikomba9008
@tumainikomba9008 2 жыл бұрын
You know what ammmm...and then...mhn....Yan ni shida
@filbertrobert1141
@filbertrobert1141 2 жыл бұрын
Daaah! Big up sana boss
@richardngowi6285
@richardngowi6285 2 жыл бұрын
Big up sana munama
@mdta8161
@mdta8161 2 жыл бұрын
Wala Hana majigambo
@aronatv47
@aronatv47 2 жыл бұрын
Jaaamaa kiswahili Mbongo Kabisa kuna wabongo wakienda Mwaka tu Kiswahili kinabadilikaaaa
@jennytugara9470
@jennytugara9470 2 жыл бұрын
Jamani Kiswahili huwa akibadiliki ni Watu ndio wanaobadilika
@aronatv47
@aronatv47 2 жыл бұрын
@@jennytugara9470 Wewe wasem..
@jennytugara9470
@jennytugara9470 2 жыл бұрын
@@aronatv47 🙏🏾🙏🏾
@erastomedard3873
@erastomedard3873 2 жыл бұрын
Zao la udaktati kutoka Kam college,, brother Mli
@hendrylema5640
@hendrylema5640 2 жыл бұрын
Umeacha utwenyaji?
@stevenmnzavajoseph
@stevenmnzavajoseph 2 жыл бұрын
Karibu tukusaidie kuandika CV
@eliuskamwelwe1018
@eliuskamwelwe1018 2 жыл бұрын
Tanzania bila hongo huingii hata JKT
@DoctorPesandegeMgangaTibAsili
@DoctorPesandegeMgangaTibAsili 2 жыл бұрын
HUDUMA ZINAENDELEA KARIBUNI SANA 🤗 ⛰️🌳🌲🍀🌿📞✅⤵️
@ernestlaiza6084
@ernestlaiza6084 2 жыл бұрын
Gan
@victorjames3730
@victorjames3730 2 жыл бұрын
Kwann audio na na sio video?
@ipiscooking6814
@ipiscooking6814 2 жыл бұрын
Labda kwa usalama, huyu ni mjeshi wa taifa kubwa sana duniani! Wanatafutwa na maadui kwa udi na uvumba!
@mohammedkitumbi4970
@mohammedkitumbi4970 2 жыл бұрын
Muulize alishawahi kurudi likizo nyumbani?
@smoothcriminal6269
@smoothcriminal6269 2 жыл бұрын
Eti David Minja halafu mnaandika David Mlay
@mohammediomary5537
@mohammediomary5537 2 жыл бұрын
Hizo and siyo poa
@TheBestPhone7918
@TheBestPhone7918 2 жыл бұрын
🤝🏽🙏🏼
@owlbig
@owlbig 2 жыл бұрын
Tuwekeyeee
@godwinchristian5252
@godwinchristian5252 2 жыл бұрын
Wachagga kila mahali wamepenya kila mahali mpaka kuzimu wapo hawa jamaa ni hatari 🤣🤣
@augustuss4503
@augustuss4503 2 жыл бұрын
Hata sisi wanyasa sio wachaga tu 😂
@jaymandy8136
@jaymandy8136 2 жыл бұрын
😂😆😆😆😆😆😆😆
@godwinchristian5252
@godwinchristian5252 2 жыл бұрын
@@jaymandy8136 🤣🤣🤣 wachagga wanajijua before wazaliwe akili sana hao jamaa nilienda somali mogadisho nikakutana na jamaa anauza butcher ya nyama ya ngamia venye alisikia tukiongea kiswahili na yeye akatuongesha waaa me ni mtzn kwetu ni rombo 🤣🤣tukamuuliza vp huogopi vita? Akatujibu umasikini ni mmbaya kuliko vita 🤣🤣 yule bwashe akalitulea sana mpaka tunaondoka somali
@magazimahushi6417
@magazimahushi6417 2 жыл бұрын
Daa jamaa mzalendo wa kweli
@immanuelyantony5491
@immanuelyantony5491 2 жыл бұрын
Waafrika wanaoichuikia marekani wana akilli za utumwa
@ladislausngoyinde4384
@ladislausngoyinde4384 4 ай бұрын
Kabisa
@victoravelin575
@victoravelin575 2 жыл бұрын
Mtangazajii anasema mwezii ya 7
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 2 жыл бұрын
Ivi bongo ushamba utaisha lini?, Kwahy mzungu akitoka ulaya akaja bongo kufanya kazi akiimba nyimbo za kwao akapost waandishi wa Habar WA ulaya watamshobokea namaintervews 😂😂😂 kweli hii ichi imelogwa kwani MTU kuimba nyimbo za kwao niajabu?
@allijuma1074
@allijuma1074 2 жыл бұрын
Hapo huoni mshamba ni wewe sasa?
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 2 жыл бұрын
@@allijuma1074 mshamba nini wewe unaesaport utumbo, bongo zozo anakujaga Tz ushaona akirudi kwao England wandish wanamfuta na makamera ushamba nchi hii sijui utaisha lini
@saloomidd1084
@saloomidd1084 2 жыл бұрын
Uko sahihi kaka mimi nimekuelewa,inahitaji tafakari za mbali sana mtu kukuelewa. Wabongo tumejidharau sana yaani sijui kwa nini yaani mtu aliyeenda kusota ughaibuni anaonekana amefanya maajabu makubwa
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 2 жыл бұрын
@@saloomidd1084 maqin✌️
@hassanbinally7127
@hassanbinally7127 Жыл бұрын
Mnaaongea swala la ubaguzi hamuelewi Sera ya mmarakani
@focuserick6162
@focuserick6162 2 жыл бұрын
Wenzetu wako mbali sana sana dah!!
@michaeldoroleo4864
@michaeldoroleo4864 2 жыл бұрын
marekani sijui kukoje yaani jamaa kawa black amerikani kabisa.
@mosamossile9113
@mosamossile9113 2 жыл бұрын
Miaka 30 USA unajiunga na jeshi, Sasa Nenda bongo Nchi Yenye Rushwa
@joharishabani2893
@joharishabani2893 2 жыл бұрын
Miaka 23 mwisho
@abisaimuhanji3687
@abisaimuhanji3687 2 жыл бұрын
Hata Tanzania unajiunga Jeshi inategemea una taaluma ipi ndugu usikate tamaa kwa hilo.
@mosamossile9113
@mosamossile9113 2 жыл бұрын
@@abisaimuhanji3687 Uko ndo home mzee najuwa tabia za uko zote japo sipo uko asaiv, Tanzania hapana mzee
@stevegenius01
@stevegenius01 2 жыл бұрын
@@joharishabani2893 mwisho ni miaka 35 kwa Navy, marine ni 30
@modestajamada3496
@modestajamada3496 2 жыл бұрын
😂😂
@samkoka3
@samkoka3 2 жыл бұрын
Minja au mlay
@halimajamaniamekuwamndeme9617
@halimajamaniamekuwamndeme9617 2 жыл бұрын
Mlay
@immanuelyantony5491
@immanuelyantony5491 2 жыл бұрын
Waandish wetu wana majina makubwa lkn tasaluma ni sifuri
@sachygoran3233
@sachygoran3233 2 жыл бұрын
Kawaida tuuuu
@ninja_ape
@ninja_ape 2 жыл бұрын
Marine? Come on specialist 🤣🤣
@jacklinmasawe2697
@jacklinmasawe2697 2 жыл бұрын
Hapa Bongo ukitaka kupata kazi ya jeshi labda uwe na refa
@DoctorPesandegeMgangaTibAsili
@DoctorPesandegeMgangaTibAsili 2 жыл бұрын
NIPIGIE NIKUSADIE NIPIGIE KAWAIDA
@gynae8407
@gynae8407 2 жыл бұрын
Dav unapika story
@sagaryajonas302
@sagaryajonas302 2 жыл бұрын
Brother ninapenda jeshi sana niunganishee please marekani basi
@Africana255
@Africana255 2 жыл бұрын
Ahahaha ... Kijana fanya kazi zilizopo ndan ya mazingira uliopo ..uanajeshi haupatikan KZfaq.
@lastkinglastking3326
@lastkinglastking3326 2 жыл бұрын
@@Africana255 👏👏👏👏 umeeleweka kiongozi wangu KZfaq sio Dunia inayo hitaji jeshi
@unjubinunuki7174
@unjubinunuki7174 2 жыл бұрын
marekani tu?? twende congo ni rahisi zaidi..
@franklinassey6600
@franklinassey6600 2 жыл бұрын
Watu wanaunganishwa kifala hivo KZfaq kwan hana ndugu yeye😂😂
@sbr231
@sbr231 2 жыл бұрын
Najiunga jeshini chapu
@ElvisJosephMiti
@ElvisJosephMiti 2 жыл бұрын
Ndo maana wamerikani wameendelea. Hawana ubaguzi wa uwezo wa mtu kitaruma. Huku utasikia huyu ni mgeni. Vikwazo kíbao. Unajuta!
@princebarcher3055
@princebarcher3055 2 жыл бұрын
😂😂😂
@dottomwambembe3525
@dottomwambembe3525 2 жыл бұрын
Mhhh
@albertngonyani7664
@albertngonyani7664 2 жыл бұрын
Miladiayo nasi atupigie pasi bongo ngumu
@augustkisaka7969
@augustkisaka7969 2 жыл бұрын
Ongera jombiii
@albertngonyani7664
@albertngonyani7664 2 жыл бұрын
Na weza kupata nafasi
@SwahiliFilmTz
@SwahiliFilmTz 2 жыл бұрын
JINSI YA KUPATA GB 7 BURE 👇 . kzfaq.info/get/bejne/hr2nqLWfzMeUp2g.html
@hilalymshana8385
@hilalymshana8385 2 жыл бұрын
Son u not tell true
@josephmakor2989
@josephmakor2989 2 жыл бұрын
Sasa hii habari inatija gani nasisi watanzania
@saloomidd1084
@saloomidd1084 2 жыл бұрын
hata mimi nimeshangaa kuweka maisha personal ya mtu ina umuhimu gani kwa jamii
@mudrickabdallah7251
@mudrickabdallah7251 2 жыл бұрын
Mwaka aliojiunga yeye.. Ndio mwaka walionikataa mimi jeshini Tanzania kisa tu wanasema miaka yangu ilizidi 4 weeks.. Wkt nilikua na 20 Only dah
@mudrickabdallah7251
@mudrickabdallah7251 2 жыл бұрын
@@erickgeneration yani ni jkt tu ndugu yangu!!! Nilikua ktk usaili wa mkoa yan wamenifanyia mambo kama ayo!
@kabysamiami4224
@kabysamiami4224 2 жыл бұрын
Kila nchi ina utaratibu wake
@mrjaula7769
@mrjaula7769 2 жыл бұрын
Kuua kashauwa watu wangapi ?? 😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@aronatv47
@aronatv47 2 жыл бұрын
Haaaaahaaaaaa.. !
@lifeonearth94
@lifeonearth94 2 жыл бұрын
Watanzania ni watu washamba sana
@jennytugara9470
@jennytugara9470 2 жыл бұрын
Ehee ushamba wetu nini hasa ndugu yetu? Maisha ni kupambana
@lifeonearth94
@lifeonearth94 2 жыл бұрын
@@jennytugara9470 Wanashobokea sana watu wa nje, wakat kule wao its like nothing
@jennytugara9470
@jennytugara9470 2 жыл бұрын
@@lifeonearth94 nashanga hata mimi kuna mpk Professors wamefundisha miaka hawajawahi kuhojiwa sasa mwanajeshi kuwa Marekani ni News Wow!!!!
@serafinamalecela4728
@serafinamalecela4728 2 жыл бұрын
Sawa mzungu
@sumadashsumadash7342
@sumadashsumadash7342 2 жыл бұрын
Mpaka hapo Mshamba ni ww! Huyo mwamba kutangazwa kumetokana na sababu flani aloifanya ikatrend Online akiwa na Sare za jeshi la USA ikiwa na maana yakwamba asingelikiuwa ametrend kwa style ile huenda hata jina lake tusingelijua. Acha kudharau kazi za watu aisee, huo ushamba umekusomeka kwako ww kwa kujiweka kwenye uzungu wakat ni mwafrica mwenzetu tu
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 2 жыл бұрын
Mkipewa kazi tuu nyie ndo wasaliti, yaani hata JPM ukamsliti pia, #NONSENSE
@ahuriladaniel9849
@ahuriladaniel9849 2 жыл бұрын
Ungempa kazi wewe😆😆😆 nonsense
@bushiridems
@bushiridems 2 жыл бұрын
Mbona tulisikia alifariki huyo kzfaq.info/get/bejne/Zsx3edF3x9a8ips.html
@hemajosephat9871
@hemajosephat9871 2 жыл бұрын
Infantry ni wanajeshi wanapigana on land (ardhini). Air force (Navy) na Marine sio Infantry.
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 2 жыл бұрын
Mjuaji umetokea au na ww n mwanajeshi huko
@stn4873
@stn4873 2 жыл бұрын
Wewe ni mjinga. Na hujui lolote kuhusu USA MARINE.
@stn4873
@stn4873 2 жыл бұрын
Narudi tena ww ni mjinga, mjinga sio tusi bali ni kukosa kujua mambo, ww ni mjinga narudia. Haya chukua shule hii... Vyombo vya ulinzi na usalama ambavyo ni known USA ni vifuatavyo. USA AMRY USA MARINE (divers,infantry,Snipers wote wapo humu) USA NAVY USA AIR FORCE USA COST GUARD USA NATIONAL GUARD USA SECRETE SERVISE. FBI CIA POLICE DEPARTMENT.
@stn4873
@stn4873 2 жыл бұрын
Alafu kuna USA RESERVE nilisahau hapo kidogo.
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 2 жыл бұрын
Emu katafute hela achana na jeshi
@Sospetermwageni
@Sospetermwageni 2 жыл бұрын
Huyu ndiye mtu wa kwanza kugundua umeme 👇👇 kzfaq.info/get/bejne/eKuSqbSXuODZZXU.html
@dativamlay6769
@dativamlay6769 2 жыл бұрын
Buraza
@ramadhanichilumba3610
@ramadhanichilumba3610 2 жыл бұрын
Huyu jamaa atakuwa shabiki wa simba aiseee
@bashaakumaarpandan9021
@bashaakumaarpandan9021 2 жыл бұрын
Mswahili akipata matako yalia mbwata
@annasolomon9855
@annasolomon9855 2 жыл бұрын
Mmh Sasa hapo amefanya Nini? We fala na roho ya wivu ya kimaskini
@serafinamalecela4728
@serafinamalecela4728 2 жыл бұрын
Acha wivu
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 2 жыл бұрын
Tena acha uongo, huwezi kuajiliwa jeshini na hukuzaliwa USA hata Europe, nawala huja kaa USA tangu mdogo. Tunajua kikosi chenu mlienda USA.,ili mmsaliti JPM.
@aristarikomakoye6694
@aristarikomakoye6694 2 жыл бұрын
Acha kupotosha
@abdibilali4186
@abdibilali4186 2 жыл бұрын
acha uongo Mzee au nikuunganishe na mwingine ambae pia ni mzaliw wa Bongo
@unclepwechnov1381
@unclepwechnov1381 2 жыл бұрын
Pumbavu SUKUMA GANG unaandika usichokijua, inaonekana tokea uzaliwe haujawahi kusafiri. Mtu ashajifia mwenyewe, nenda ukazikwe naye. Hatred, jealousy and foolishness ni kuelekea kuwa mchawi.
@planethakunamatata5254
@planethakunamatata5254 2 жыл бұрын
Bro.... Kiukweli jaribu kutafuta ufahamu kabla ya kutanguliza hisia. Mimi mwenyewe ni shabiki wa Magufuli lakini hapa umekosea. Nahisi hufahamu unachoandika. Jeshi la Marekani linaajiri watu wengi hata walioingia Marekani kwa viza za uanafunzi. Nafahamu hivyo tangu mwaka 2009 nikiwa Marekani.
@rockcitynative9985
@rockcitynative9985 2 жыл бұрын
Kalale pamoja naye kaburini huko!
GARI NYUMBA LILILO NA SEBULE, JIKO NA CHOO CHA NDANI ZANZIBAR
19:34
Unveiling my winning secret to defeating Maxim!😎| Free Fire Official
00:14
Garena Free Fire Global
Рет қаралды 6 МЛН
КАКУЮ ДВЕРЬ ВЫБРАТЬ? 😂 #Shorts
00:45
НУБАСТЕР
Рет қаралды 3,2 МЛН
الذرة أنقذت حياتي🌽😱
00:27
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 18 МЛН
Prank vs Prank #shorts
00:28
Mr DegrEE
Рет қаралды 8 МЛН
Kujiunga na jeshi Jeshi la Marekani | Taratibu na faida zake
12:29
KERO ZA JULIUS NYERERE AIRPORT na @EllyDavid  #zanzibar
17:32
Witness Vlog
Рет қаралды 5 М.
UPUUZI WA WADADA MTANDAONI | USA ARMY | NIMEOA MAREKANI
1:02:45
Official Dating Assistance
Рет қаралды 3,2 М.
LUKUVI NGORONGORO  AUSEMA UJUMBE ALIOAGIZWA NA RAIS SAMIA
5:54
Mwananchi Digital
Рет қаралды 52 М.
Unveiling my winning secret to defeating Maxim!😎| Free Fire Official
00:14
Garena Free Fire Global
Рет қаралды 6 МЛН