Baba umenifurahisha sana hongera kwa ubunifuu huu. Utaongeza chachu kwenye sector ya utalii. Hongera mno ndugu.
@williammsilu86172 жыл бұрын
This man is highly talented, the main problem in this country doesn't recognize and support highly talented people like this man. Tunawezaje kuwa na nchi y aviwanda bila kuwawezesha watu kama kina abubakari wajenge viwanda na wavisimamie? Inchi inashindwaje kuwekeza hata bilioni 10 wawaite watu kama Abubakari halafu wajenge VETA kubwa ya mfano Tanzania itakayo toa mafunzo ya vitendo ya kutengeneza na kubuni magari, helcopter, pikipiki, vifaa vya umeme, ulizi, udereva n.k. I mean the National Technical College (VETA) which is TYPICAL PRACTICAL which can accommodate more than 500 students at once.
@peterjoseph35562 жыл бұрын
'Loppo'oooo0'o
@peterjoseph35562 жыл бұрын
Ooo'o
@peterjoseph35562 жыл бұрын
Opopoooo'ooLoo'opo'ooo
@peterjoseph35562 жыл бұрын
Pooo9
@peterjoseph35562 жыл бұрын
Lo
@1964AliK2 жыл бұрын
Hongera sanaBwana Abuu. Allah akuzidishie ujuzi na akufungulie milango ya mafanikio zaidi. Zanzibar got talents.
@shamisalryam47752 жыл бұрын
Amiin yarabbil alamiin
@seifissa11892 жыл бұрын
Hongera sana abuu allah akufungulie zaidi
@fatmasaleh95162 жыл бұрын
Amiin yarabb
@cliffordmwangosi4269 ай бұрын
Wengi tulikua tunaamini haya mambo yanawezekana nchi za nje huko ila tunashukuru umetuheshimisha Tanzania Big up sana engineer
@muhammad_alhinai2 жыл бұрын
Masha Allah! 😍 Proud of you uncle Abuu! 👏🏻
@sarafiamakilika99752 жыл бұрын
Ushauri,usiuze hata kwa pesa ipo maana atakayeinunua ataifanyia biashara hasa ya utalii na hakika atarudisha zaidi ya faida yako. Fanya hivii tafuta mawasiliano na watu wanaohusika na watalii... Hakika utapata zaidi ussahau Mungu.
@shabbyofficial_2 жыл бұрын
Ila pia yeye bado atakua hajapoteza ikiwa atakua bado anatengeza akiuza.. Akiuza hii ananunua gari nyengine na kutengeza na kuuza
@shakilamasoud29832 жыл бұрын
Kwa sababu ni gari, watu wataona kitu kipya. Ila kiufupii huyu ni fundi wa nyumba na mbunifu kiujumla.
@fatumasaleh80482 жыл бұрын
Dah! Masha Allah Allah sw akujaalie mafanikio na utimize ndoto zako zote, hongera Sana broo
@alimambabazi36662 жыл бұрын
Congratulations brother may Almighty GOD continue to give you more talents 🫂
@hassanmpemba57472 жыл бұрын
Masha Allah mungu akikupa kipaji ukitumie big up brother
@salmaseif62842 жыл бұрын
Jamani huyu mtu apewe hongera yake tuacheni choyo hata km ulaya zipo gari km hii nyingi lkn kwa Tanzania hatujazoea kuona mtu akitengeneza, kwa hiyo apewe hongera yake amejitahidi.
@Asili2 жыл бұрын
Kutoka ZenjiTaxi hadi nyumba inayotembea ! Hongera kaka kwa bidii yako na moyo wa kujaribu.
@nurudaud39932 жыл бұрын
Mtu kama huyo ni Mali sana kwenye inchi yetu sema sasa hatuga habari na ujuzi wetu wataaza kusaport wazungu tulivo maboya😔
@zenaycechanzinho67022 жыл бұрын
Ndo watanzania tulivyo
@naghemsuya5218 Жыл бұрын
Mungu asiache ujuz wako ukaishia chini, hongera sna Sana mi naamin utafka mbal
@mtumishidoublek15042 жыл бұрын
DA, HONGERA SANA MTU WA MUNGU. kwenye vitabu vitakatifu hayo maarifa walipewa watu wachache sana kutengeneza vitu visivyowezekana, kwa mfano NUHU alipewa maono ya kitengeneza safina nchi kavu. Ndio sawa na huyu mzee kupewa maono ya kutengeneza nyumba inayotembea. HAKIKA HIKI NI KIPAJI AU KARAMA PEKEE KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU.
@mussakiziyzi4082 жыл бұрын
Chakupendeza ni ununifu wa nquvu and very clean,huwez amin km ni local,ni RV moja kali sana, Biq up sana Abuu 👏
@mufidaabdul53872 жыл бұрын
Mashallah hichi kitu nimekiona kwenye mitandao uzunguni nimependa sn hyu brother kukifanya. ila mntakiwa watanzania musivunje tamaa mtu km huyu niwakuzibitiwa nakumpa support ili serekali kumundalia office malumu,👈lkn Leo hii Tanzania haijitasimin km ubunifu ndio unawaweza kkuza uchumi wetu kwadumisha viwanda vikubwa leo watu km hao mukiwazarau munakuta munasafir kwakwenda kunnua gari nyumba nchi zawatu Tena kwacost kubwa,👈 kweli nyiny hamujitasimin mamuzi yen yakkurupka tu bila yakujiengeza.👋
@jaysullman36972 жыл бұрын
Sasa hilo ndio lilo kuwepo maana apo kuna Ubaguzi uliota Magugu ndio maana tumekandamizwa sana kiuchumi kwa Wananchi na kupeana nafasi wenyewe wenye utawala wakati watu wa Vipaji wapo wengi sana Mashaa Allah Zanzibar💯😍 👍
@newahomwashiuya88582 жыл бұрын
Yes wanaita tiny house
@alimuhamed18302 жыл бұрын
Tukumbuke kua kunajamaa alibuni vespa na ilikua nzuri sanaa nasijui kua ilipata usajili
@vicentmlumba5912 жыл бұрын
Aseee umetishaa🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥 utafikir nyumba ilojengwa ardhini
@yusrakhaidally3452 жыл бұрын
Mashallah mungu akupe maisha malefu tuendele kuona mazuri inshallah
@Queen-be1uf2 жыл бұрын
Mashaallah. My advice dont sell it. Its beautiful. Rent it. Personally i will rent it when i come to zanzibar. I love it. You got talent brother. Proud of you
nimependa sana kazi yako na mawazo yako yako vizuri sana najua unamtazamo wa juu sana natamani sana tungeweza kuwasiliana na mimi
@annastevensteven95152 жыл бұрын
Honger kwa ubunifu brooo
@sebonikegobi62442 жыл бұрын
Hongera sana Mungu akupe maono zaidi kazi yako ni nzuri saaaaana hongera mnoooo natamani kuona hilo gari nyumba from Mlandizi
@hajjmohd36022 жыл бұрын
Masha Allah ni kipaji cha kuzaliwa na ni akili isio na mipaka ama kwel " MAARIFA YA MTU HAYATEGEMEANI NA DARASA ALILO"
@najashrk37382 жыл бұрын
Broo kumbe zile disc unanunuwa dukani kwangu ilikuwa unafanyakazihii dah please broo Haroub unadisc moja ya ofa nafkiri ukiona comment yangu utanitambu..bonge moja laakili mawazo mubashara kabisa waaaaaaawo very amazing 👏 👏👏👌👌
@zuleikhakhamis33032 жыл бұрын
ubarikiwe
@najashrk37382 жыл бұрын
@@zuleikhakhamis3303 asant dada
@princessmamy60572 жыл бұрын
Mashaallah
@najashrk37382 жыл бұрын
@@princessmamy6057 baaraka Allah fiq
@munnamattaka32202 жыл бұрын
Me love what i see na nliamin Tanzania hakunaga hivi vitu kumbe dah!!! Kuna vitu kama hivi we missed yaan he's mastermind an hii n gold as he say kwa Tanzania ain't no hustle dared to do what he did👏👏👏👏💪💪💪💪 classic and financial balance hakuna Kodi, bili ya maji wala umeme it's mafuta ya gari na location unayotaka lala😍🔥🔥🔥🔥💯
@edwinalexander1170 Жыл бұрын
Huyu mtu ni mbunifu sana hongera sana sana kwani umedesign kazi nzuri sana
@binloufy4542 жыл бұрын
ZANZIBAAAAAAAAR TALENTED MAA SHA ALLAH
@abrahamdismas15802 жыл бұрын
Safi sanaa hongera sna bro
@fatmabhai28122 жыл бұрын
Mashaallah Kaka ..umri twawil ,hongera Sana mungu azidi kukupa uelewa na ubunifu zaidi.
@omarikakozi33632 жыл бұрын
Elimu ya kuzaliwa kabisa sio kila kitu, wazungu ata sisi tunaweza naomba serikali imshike mkono
@sophiaabdallah78212 жыл бұрын
Daaah very fantastic man may Allah give u more energy to do more than this 😍
@NasraSaidi-mc6gf Жыл бұрын
❤❤ hongera broo
@afandechanel15072 жыл бұрын
Ongera sana kwa kazi nzuri nime sikia una sema kama una ujuzi mwingi kwa nini usi andiki kitabu tu ila watakao kuja nyuma weweze kujifunza
@nassirahmed22752 жыл бұрын
Maashallah Tumevutiwa sana na Mr abuu na yupo tayari kupokea wanaotakakujifunza kwake ila mbona haikuwekwa wazi kuwa anapatkana znz sehemu gani wala nma ya kuwa na nawasiliano nae
@mecksaloon812 жыл бұрын
Hongera kwa ubunifu Mungu akuinue zaidi.
@saidwayawaya53562 жыл бұрын
Allah akufanyie wepesi kwa kila jambo.
@malikshafii29682 жыл бұрын
Alot of Appreciate to him talented man
@mtumishidoublek15042 жыл бұрын
Natamani siku moja serikali iwaweke chini watu kawa huyu Atilist watano wafunguliwe chuo cha vipaji, naamini Tanzania itakuwa the Best country of the countries.
@mrjohn44462 жыл бұрын
Aweke na angle cameras za nnje na kwa dereva Ili watu watakaokuwa ndani waweze kujua kinachoendelea nnje bila ya kutumia simu kuwasiliana
@nassorhaji26372 жыл бұрын
Wazo Zuri sana hilo
@nasralukanga17122 жыл бұрын
Khaa naic iko pw bro we ni njiniaz w Tanzania tunatak vipaji Kam nyie kwenye inchiet n sio wannje mashaalah
@lovenoor9882 жыл бұрын
Hongera sana kaka M/Mungu akufikishe unapo hitaji 🌹🤗
@John-vn4pp2 жыл бұрын
Hongera sana. Namshauri tu aongeze tairi za nyuma angalau ziwe mbili mbili
@abrahamdismas15802 жыл бұрын
Hta mim nimeliona ili
@jaysullman36972 жыл бұрын
Sawa sawa ni kweli kabisa kiukweli Wazanzibar tupo vizuri bc tunakandamizwa vipaji vyetu kwa Mfumo wa Utawala mbaya tulionao!
@buyondeboston55712 жыл бұрын
Courage sana maître mungu azidi kukuonza na kukupa maono yaku vumbuza zaidi yaiyo uliyo nacho mukuu🙏🙏🙏
@auroxenterprises80032 жыл бұрын
Mashaaaalllah allah akubarik broo safi sana
@khamisshee51312 жыл бұрын
MASHAALLAH 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@abdulwahababdulkadir99652 жыл бұрын
Thanks mr abuu,nimependa sana kazi yako boss wangu ,keep it up
@aminaaman94392 жыл бұрын
Mashallah sasa mr Abuu njoo unipose tuishi zetu tu😃😃😃
@worldbeautyfitness2 жыл бұрын
Congratulations Mr. that's a dream of mine for for very long time I hope one day am going to fulfill it too..God bless
@rehemaabdallah37122 жыл бұрын
Hongera sana boss wangu abuu
@shijamahona44912 жыл бұрын
Hongera sana kiongozi Naomba MUNGU azidi kukulinda na kukuongezea maalifa zaidi
@abdallahlugendo32212 жыл бұрын
Good idea for a wonderful time to come visit us in life enjoy 🌎 is very impressive for you to be able and to have you as a great opportunity
@venturebown69832 жыл бұрын
Wish niwepo hapo Zanzibar...Ila nko Tanzania Arusha mjin 💥💥
@godfreygeraz95562 жыл бұрын
Hongera sana Mungu akutunze jamn serikali mchukueni atengeneze mengi utalii utazid sana
@ilynpayne74912 жыл бұрын
Very creative aisee huyu jamaa ana Akili mnoo
@williammsilu86172 жыл бұрын
They can even call it AN ENTREPRENEURSHIP VILLAGE OR NATIONAL TECHNOLOGY CENTRE
@malikzafarani1722 жыл бұрын
Mashaallah katisha sana..wenzetu huku arabuni wana hayo magari
@Kevinhb_2 жыл бұрын
Good stuff I’m from Australia
@mwakahassan76852 жыл бұрын
Maa shaa Allah Allah awazidishie atuhifadh husda za kila aina
@khayraatabdool22862 жыл бұрын
Maa Shaa Allah Hongera sana Kaka Mungu Akubariki
@hannansdeliciousfood42612 жыл бұрын
MaashaaAllah vipaji km hivi ni vya kushughulikiwa....but serikali haitoi support yyt
@domowalidomo49222 жыл бұрын
Abuu Shala Allah akuzidishie uko vizuri sana hongera sana
@kisalaTV2 жыл бұрын
Kaka utajiri umeushika. Biashara hiyo kaka . hongera sana
@Frankmwesiga2 жыл бұрын
Mungu akubariki mzee wewe ni mkarimu sana
@Mpakauseme2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana hivyo ndivyo wenzetu wanavyo tupiga magoli ya visigino
@jayloo46992 жыл бұрын
Kama umewaona waliokimbia camera gonga like
@kennyrogers47342 жыл бұрын
Safi sana pongezi kwako kaka
@OmanOman-ky2oo2 жыл бұрын
Mashaallah Allah akupe afya njema 🥰🥰🥰
@kinglee67773 ай бұрын
Hongera sana mwamba naona hapo omar na juma wameikimbia camera
@priscajohn60902 жыл бұрын
Hongera sana' haya wenyepesa zenu wakina Diamond,kiba,harmonize Mumuunge mkono kwa kununua magari hayo
@manallayusuf49512 жыл бұрын
Mashallah safi sana abuu good job
@lauraabass10772 жыл бұрын
Mashallah mashallah mashallah. Namuomba mhe Rais akuzingatie, upo juu kaka. Yarrab mlinde na umzidishie ujuzi mjakazi wako huyu
@seattlebz2 жыл бұрын
Mashallah may Allah bless you and protect you from evil eyes
@mercybeibee19612 жыл бұрын
Amen 🙏
@lauraabass10772 жыл бұрын
Amiin
@bonnysure87062 жыл бұрын
Watu wangu ukishindwa kujenga nunua hili dinga mbona ni geto kabisa lakn wangeweka Shamba pia watu walime🤔🤔
@mamlee79832 жыл бұрын
Hili gari linashawishi uzinzi ila hongera kwake Mr.Aboo🤣🤣🤣🤣
@hassanhd64802 жыл бұрын
Hayo ndio unayo yapenda
@makamemassoud3143 Жыл бұрын
Daha kazi nzur sana naitaji Kuna mwanafunzi wako na mimi
@hannansdeliciousfood42612 жыл бұрын
MashaaAllah maashaaAllah Allah akutangulie ufike mbali....
@faizanassor94002 жыл бұрын
Mashllallah zanzibar kuna vipaji
@lidriclidric42472 жыл бұрын
jamaa amejitahidi sana 🤝🤝🙏🙏
@florahmushi7482 жыл бұрын
Jamaa genius sana weka na kamba za kuanikia nguo nakuja kulichukua
@frankrowland28842 жыл бұрын
Kazi nzur sana,sio mgunduzi maana hayo magar yapo alichofanya ni modification tu
@leilahmohamed22252 жыл бұрын
Ebu nawew modify tuone ...muache roho mbaya
@husnaali77082 жыл бұрын
hongera kaka ni shilingi ngapi nataka moja tafadhali
@sabunitv21212 жыл бұрын
Jmn hata Kama tunapuuzia Ila Ni Muda Sasa serikali za Afrika ziangalie kwa jicho la tatu vipaji hivi....taratibu twaweza kugundua na processing za madini kuunda injin yetu wenyewe ili tupumue angalau🌺🙏
@maryamkharusy45182 жыл бұрын
Very talented and creative
@user-gs1xl8nu1s2 ай бұрын
Umetisha sana baba angu
@mohdsaad27362 жыл бұрын
Ma sha Allah na hawa ndio watu ambao wanapaswa kupewa kipao mbele ili kuendeleza vitu kama hv hapa nchin
@johannahakim84702 жыл бұрын
Masha ALLAH, Mungu akuzidishiye
@fababindawood83632 жыл бұрын
Huyuu mwamba ni noma sana Masha Allah amefanya kitu kizuri tena safii kabisa
@johnbernad39902 жыл бұрын
Safi sana kuwa na nyumba inayotembea
@nassortwahir50892 жыл бұрын
Congratulations 👌
@lisajonsony92462 жыл бұрын
Nice nikirudi tz nitakuja kukodisha
@habibadaudi82422 жыл бұрын
Hongera sn Kwa ubunifu Kwa Tanzania hicho ni kitu kikubwa sn japo huku Dubai tunaona ni kawaida tu maana ndo watu wengi huuzia kwenye magari ya ayna tofauti tofauti
@fettyfay23342 жыл бұрын
Safi saana.. uchumi unavyokua.. itabidi tunatembelea magali kama haya selfcontained. Hakuna kulipa kodi tena. Hii inajitosheleza. Dalali akasome.