Рет қаралды 1,060
Uislamu unafundisha kwamba jini ni kiumbe kama vile mtu alivyo kiumbe. Jini waliumbwa kwa moto na mtu akaumbwa kwa udongo. Shetani ni sifa ambayo anaweza kuwa nayo mtu au jini akiwa ni muovu. Petro aliitwa shetani na Yesu katika Mathayo 16:23 na Yuda pia akaitwa katika Yohana 6:70. Kuna majini Waislamu na wakristo na kila dini.