Рет қаралды 15,177
Shirika la ugavi wa umeme nchini (TANESCO) limeshauriwa kutumia nguzo mbadala za zege badala ya nguzo za miti ili kuokoa fedha nyingi na kuongeza tija katika utoaji huduma kwa wananchi.
Je nguzo hizi zitakuwa mwarobaini wa changamoto ya kukatika umeme kutokana na ubovu wa nguzo?
Ungana na Faraja Sendegeya.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz