MAKALA: NGUZO ZA UMEME ZA ZEGE NJIA MBADALA YA KUOKOA MITI NA KUONDOA HASARA KWA TANESCO

  Рет қаралды 15,177

Azam TV

Azam TV

3 жыл бұрын

Shirika la ugavi wa umeme nchini (TANESCO) limeshauriwa kutumia nguzo mbadala za zege badala ya nguzo za miti ili kuokoa fedha nyingi na kuongeza tija katika utoaji huduma kwa wananchi.
Je nguzo hizi zitakuwa mwarobaini wa changamoto ya kukatika umeme kutokana na ubovu wa nguzo?
Ungana na Faraja Sendegeya.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Пікірлер: 29
@pericykiko6198
@pericykiko6198 3 жыл бұрын
Weeeeee nakuona Eng Mrema hongera sana
@alfinmbilinyi1326
@alfinmbilinyi1326 3 жыл бұрын
Waziri mchapa kazi mungu akubariki Sana kalimani.Huyu Ni waziri mzalendo kabisa.hongera Sana waziri.
@ezekielndaraba7221
@ezekielndaraba7221 3 жыл бұрын
Hii ni kazi nzuri Sana hongera waziri
@rashidsalum1214
@rashidsalum1214 3 жыл бұрын
Wakat wakurejeshea udongo baada ya kusimika nguzo nashauri muwe mnatumia tamping road ili kushindilia kwa uimara zaid na si vipande vya miti.
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 2 жыл бұрын
Kazi Ziendelee
@TIMEFRAHISHA
@TIMEFRAHISHA 3 жыл бұрын
Kwa hili nawapa hongera Tanesco
@zaidyabdalah3691
@zaidyabdalah3691 3 жыл бұрын
Hizo nguzo za zege ni bora zile za moto zinaoza haraka, big up
@waluohopaulo2116
@waluohopaulo2116 3 жыл бұрын
Hayo wazalendo wapewe glove ya kufanya kazi
@mohamedrashid9035
@mohamedrashid9035 3 жыл бұрын
Hongera sana waziri wa nishati Kalimani huyo ndio marubani wa nguzo za miti hiyo ndio Tanzania mpya nchi nzima na miti itatumika kwa mahitaji mengine kujenga nyumba 🏡
@MARK-nh4hx
@MARK-nh4hx 3 жыл бұрын
5:50 Kennedy harun ana accent ya kijaluo kumbe wajaka wanawakilisha..lol
@kamanda007
@kamanda007 3 жыл бұрын
Nimefanya research hizo machine zinapatikana nyingi sana alibaba na bei sio mbaya sana, kama kweli TANESCO wanahitaji hizo nguzo basi hii ni fursa kubwa sana kwa watanzania, search concrete electric poles making machine utaziona
@erickzephania1030
@erickzephania1030 3 жыл бұрын
Safiii sanaaa
@edwinitamba6637
@edwinitamba6637 3 жыл бұрын
Safi sana, huku Korea ya Kusini ndizo wanazotumia na wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa
@Mrkigoma
@Mrkigoma 3 жыл бұрын
Nice good work
@erasmioisso1083
@erasmioisso1083 2 жыл бұрын
Tanesico hapa mkojuu
@mwitawakimara3649
@mwitawakimara3649 3 жыл бұрын
Ongeleni kwa kazi nzuri
@Derevamkongwe6864
@Derevamkongwe6864 3 жыл бұрын
Hatutouwana kweli na hizo nguzo zenu jinsi munazozifukia, Kwanini mungekuwa hamuzifukii na zege tu moja kwa moja kama kweli zinadumu kwa muda wa miaka 60?
@kamanda007
@kamanda007 3 жыл бұрын
Wee Harun hiyo kiswahili yako nimechoka
@mimiinvestments8406
@mimiinvestments8406 Ай бұрын
Kiwanda hiki kinaweza kutengeneza nguo za watu binafsi kwa order maalumu?
@edenbaraka7533
@edenbaraka7533 3 жыл бұрын
Nguzo hamshindilii na zege mnategemea nin
@saimonmanyerezi7169
@saimonmanyerezi7169 2 жыл бұрын
Haina shida sijawahi ona nguzo zinaanguka hadi zikagusa udongo.Kwakuwa zinakuwa zimeshikana pamoja ikitokea moja inahitilafu zile zilizo pembeni yake huishika isiendi chini
@alfinmbilinyi1326
@alfinmbilinyi1326 3 жыл бұрын
Haya ndiyo tunayo yataka Tanzania sio huyu kaiba billion kiasi Fulani tunataka maendeleo ya nchi umeme kila mtaa lami kila kitongoji na maji kila kona.si kazi iendelee harafu wengine pesa wanajengea swimming pools hiyo Ni hatari kwa taifa.
@samwelshepa8443
@samwelshepa8443 3 жыл бұрын
Huu ni mwanzo wa ubunifu. Shida masoko ya bidhaa za nje hunyanyasa kazi za wabunifu wetu na badala yake wafanyabiashara wenye kuitawala serikali huleta vya kwa tozo ndogo za kodi ama bila hata kodi. swali je, ubunifu na miradi au huu mradi utakuwa ni wa kuendelea ili mazingira yetu yapone ama ndio mwanzo wa mwisho?
@alihu3752
@alihu3752 3 жыл бұрын
Hawa mabwa mipango yao sio ya u hapa kazi wao wanasubili vifungu wamezoea
@phillipmatola6964
@phillipmatola6964 3 жыл бұрын
Mmmh huyu jamaa ni mjaluo nini?? Mbona anabaatisha kuongea kiswahili
@MARK-nh4hx
@MARK-nh4hx 3 жыл бұрын
Kenya mpaka tuwakilishe...
@shinipapaya846
@shinipapaya846 3 жыл бұрын
Mtanikumbuka kwa mazuri=Magufuli Maisha mabovu kwa kila mtanzania=...........naomba ndugu zangu wazalendo mnisaidie kujaza jibu lake hapo mimi naogopa na inaumaga hiyo mwee🤣
@kshdbzjnxksksw6567
@kshdbzjnxksksw6567 3 жыл бұрын
Sasa hayupo maisha yashakua mazuri kwakweli wabongo wizi washukran nahamna utu wakumuangalia mtu kwamazuri yake mnaona mapungufu tu
@alihu3752
@alihu3752 3 жыл бұрын
Kazi ipigwe ilikubadili mfumo wa nguza miti ni nguzo zinazokaa miaka mia
MSHIKEMSHIKE VIWANJANI - AZAM TV 15/07/2024
53:52
Azam TV
Рет қаралды 2,3 М.
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 17 МЛН
That's how money comes into our family
00:14
Mamasoboliha
Рет қаралды 11 МЛН
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 51 МЛН
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 99 МЛН
Rais MAGUFULI Alivyowabana TANESCO, Nusura AWATUMBUE!
27:53
Global TV Online
Рет қаралды 302 М.
KILIMO CHA MITI
28:06
Kilimo Biashara
Рет қаралды 33 М.
HOTUBA YA J K NYERERE MBEYA MWAKA 1969
49:55
TZ TRENDING
Рет қаралды 242 М.
TUJENGE PAMOJA | Fahamu kuhusu bustani na Mazingiria ya nje
28:09
The Builders Home Tz
Рет қаралды 16 М.
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 17 МЛН