This guy one day will be the Tanzania president mark my words Kiarie from Kenya
@user-mt3jc6no5w4 ай бұрын
I do agree with you ❤
@giftkalenge4185 ай бұрын
makonda jujuju ju zaidi unafaa kuwa waziri mkuu
@user-hs3ih2fe8g5 ай бұрын
Mungu nimwema impendeze mungu uwe raisi utukufu tunauona pambana kaka
@petersonmwenda39945 ай бұрын
😂 Tanzania mko na bahati sana,hapa Kenya hatuna mtetezi,huko Kenya maskini Hana haki...... Siku mja nitaishi Tanzania
@willsontigiti83635 ай бұрын
Pole makonda kwa kazi nakuombea kaka yangu
@loemamayor82874 ай бұрын
Mungu wa Mbingu na Nchi akusimamie Baba Makonda unafanya Kazi ya Mungu.
@user-zi1gp6dc2q5 ай бұрын
Aaaa kweli tunapigwa wananchi natunanyanyasika sana pia anaesema magufuri alikuwa anamtuma makonda kuuwa watu mna uhakika achen ushetan kumsakama makonda wawatu apige kazi
@user-gk9wq5pl6l5 ай бұрын
KATIBU MWENEZI KUNA HUTUBA YA KIONGOZI MKUU WA NCHI ANASEMA WATU WENYE KUINGUSHA SEPIKARI WACHOMOLEWE MMOJA MMOJA
@user-fj1ww1oz4b5 ай бұрын
aisee mungu mkubwa mama yetu kutuletea makondaa abarikiwe
@edwardsemwenda17515 ай бұрын
Gairo kuna kazi uje
@user-zk9ox3di4b5 ай бұрын
Ongezeko la watu angalieni
@user-dx9gf7vx1r5 ай бұрын
Hivi kweli hao Viongozi wanaitwa wataalam wanna wazazi kweli na hao wazazi wao wananyanyaswa
@user-dx9gf7vx1r5 ай бұрын
Mkonda Mungu akulinda. Watalam wa Ardhi ki ukweli hawa watu wanajiona miungu watu kwenye nafasi yao
@roselinemoshi50085 ай бұрын
Mwenye Enzi Mungu tuhurumie nchi yangu Tanzania 🇹🇿 😢😢😢
@martinabayyo99825 ай бұрын
Makonda Mungu akutangulie tenda haki tunananyanyaswa sana na baadhi ya viongozi
@mdemualphonce15595 ай бұрын
Umeanza vizuri sanga sada unaharibu
@Bizibaginajason5 ай бұрын
Adui wa binadamu ni binadamu mwenziwe.Mungu tout basi asaidie
@YefthaKornelio5 ай бұрын
Hongela kiongozi watu mzri san
@RamadhanMakau-ds6ju3 ай бұрын
Makonda hapa hapa mzee
@Zubaiba5 ай бұрын
Nakupenda sana makonda🎉🎉🎉🎉
@Monica-vq2iy5 ай бұрын
Makonda naomba kuuliza et kasimu majaliw yuko wap makamo wa rais yuko wap
@iddipazi51425 ай бұрын
Kumbe kenya na Tanzania sote ni ndugu yani jinsi mnavyo nyanyasika hamuna tafauti na sisi mungu tusaidie
@alexmatt95045 ай бұрын
Hii inaonyesha Wizara ya Ardhi ina matatizo
@user-zk6hl8fe1s2 ай бұрын
Jaman
@user-zk6hl8fe1s2 ай бұрын
Ok jaman
@user-kv1qr3gv9t5 ай бұрын
Makonda chapakaz baba tunaonewa sana
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv3 ай бұрын
Huyu ndiye mwamba sasa anafaa sana makonda hoyeeeeee nakupenda sana mi chadema lakini kazi unafanya mwamba tuna ona
@JibrilBangaАй бұрын
Bonsoir
@honhonhaule92325 ай бұрын
Safi sanaaa mh makondaaa
@user-mo2iv1xo1g4 ай бұрын
Poleni,Hii dunia mwanadam zake ni futi siti lakini viongozi nikufinyilia mwananchi.
@user-nr3my6cz5m4 ай бұрын
Makonda chapa KAZI from Lubumbashi drc mkongo
@atnasisarme15714 ай бұрын
❤❤❤😊😊😊😅😊
@masumbukosiyougomvi79005 ай бұрын
Mdogo wangu makonda, punguza, kwa mwendo huu inaonyesha tz tunasida saaaaana!
@simumbaken49025 ай бұрын
🙏
@emmanuelmwamlima10274 ай бұрын
Daaaah inchii yaan mpaka machozii😢😢
@josephjacob60544 ай бұрын
Muheshimiwa Malinda fanyakaz ukimtanguliza mungu nchi hii wachawi wengi mno
@user-xk9ec7ru6d4 ай бұрын
Ukwel makonda unastahili kuwa kiongoz wa inch hii sab unajuwa kutenda hak na kusmamia hak mungu akusmamie
@HappyNaboti3 күн бұрын
Hao wakikaa mafisoni kwao wanaonaga wanachi kama vijago tu
@susananyasani6526Ай бұрын
Maskini inauma Wananchi wengi hawajalipwa Fedha zao poleni sana Wananchi
@berthamakortha8387Ай бұрын
JAMANI EBU FANYENI CHOCHOTE KWA HAO WANAKUJA KUVUNJA NYUMBA ZA WATU PIGENI MAWEE NA KILA SILAHA INAUMA SANA NYIE
@user-tm4vr7jr5uАй бұрын
Boya kama huyo ndio mnafurahia na serikali ni ya ccm bado Makonda ni wa ccm sasa mabadiliko mtapata wapi kwendeni huko acheni uhuni huyo ni kujitamba tu
@pmanpjjp5 ай бұрын
Kuna watu wanajisahahuu sana kupewa madalaka kidogo wananyanyasa watu sio Viongozi Bora hata kidogo Awana sifa
@asnethfelician72683 ай бұрын
❤
@PeterGisiri4 күн бұрын
Kwenye hii nchi inawatu wawil tu wenye utu wanao dhamini wananchi na kujali dhamani ya wanaichi ni makondo na waziri mkuu majariw na ndo wana hadhi ya mmoja wao kuw rais wa nchi hii na mwingine awe mkamu wake
@user-zk6hl8fe1s2 ай бұрын
Ok ok
@user-fu9zd2dg5b5 ай бұрын
Mwenezi makonda babati
@user-bd2qf6fn7u4 ай бұрын
Kiongozi kama kiongozi ni busara sio umri❤
@Kanyawela5 ай бұрын
Miaka 60 bado migogoro ya ARIDHI eti tuna wataharamu CCm mmeshindwa kiri
@skjjsj18895 ай бұрын
Heee hee 😊😊
@Omarjumanne-zm9zh5 ай бұрын
Hats. Nzega kuna tabia ya kukwepesha ziara za viongozi
@user-ks7bs8yk3p5 ай бұрын
Hakuna serikali dhaifu ila kuna watu wachache ambao ni dhaifu wanaisababishia serikali kuonekana ni dhaifu mimi ni mmoja wa janga kama hili natamani kumuona samia kama wao wanaweza kuona malalamiko yangu kama sio uhuni
@user-ek7tp2fg8t5 ай бұрын
Jionee wenyewe mbaka sas selekari hinacho kifanya siy kabisa tunaungozi mubaya sana daaa mungu 😂😂😂😂😂😂😂
@AntonDeus-ds9ns5 ай бұрын
Makonda oyeeeeeee:
@Westetv4 ай бұрын
Sasa mheshimiwa makondanini maanayamikutaniyako maanasionichochote ulichomsaidia huyomzee wawatu nafamiliazake
@EliaHiluka-ep3tp5 ай бұрын
Makonda ushauri wangu ccm ikae pembeni kwanza wapewe zamu wengine
@shukurukihwelo30845 ай бұрын
Siasa tu hapa
@hamiduchingi26725 ай бұрын
Bro tatizo serikali inawataka viongozi wenye Elimu wezi kuliko wasiokuwa naelim naniwachapakazi tanzania hii aitaki waaminifu inataka watumishi wezi,matapeli,wazuluma , aiitaji watumishi waaminifu😂😂😂
@berthamakortha8387Ай бұрын
KWANINIIII UYO MTU ASIKAMATWEEE NA ALIPEEE JE VIONGOZIII WAKO WAPIIII?? NA WANAFANYA NINI. JAMANI HASAAAA WANANCHI KUSUMBILIWA HIVIIII???
@shukurukihwelo30845 ай бұрын
Sanga sawa hicho kidonda chawengi
@YusuphNyumbu5 ай бұрын
Ki ukweli baadhi ya viongozi wanaoteliwa na Mh rais hawatekelezi maelekezo ya mh wanafanya wananchi kuchukia chama na serikali yake awe makini nao.pongezi kwako mwenezi wetu kwa kuyana madudu
@kennychungu88875 ай бұрын
Nikweli huku mbarali Kuna tatizo wakulima tuna tatizo
@pmanpjjp5 ай бұрын
Katiba mama izi gatiwe wasitimie vyeo kama fimbo yakuwapigia manyonge
@Clement-px8eg5 ай бұрын
😢mnafikiiii
@naturelle10975 ай бұрын
Wanaudhi mnooo😤😤
@martinsokoi3975 ай бұрын
Kwa Nini Marais wote hawajafanya hivyo Samia samiawatu wanatezwa
@RoseKimishabhalemi-oz9bn5 ай бұрын
Unasema serikali imeona eneo ni la mhimu mwananchi hawana umhimu?
@michaelnziku50715 ай бұрын
Makonda kaza Buti mungu yupo poja na wewe
@user-ek7tp2fg8t5 ай бұрын
Apo unamwambia mama samia
@martinsokoi3975 ай бұрын
Arusha DC kivesi na kishimbo wamenyaganywa mashamba,na
@jumannemagawa50955 ай бұрын
Kaacha mziki kawa bondia? Mbona mnachekesha?
@GwisuMachibya-vr1uf5 ай бұрын
.amonda tunakwitaji tabora tarafa ya bunge wilayani zeng
Hawa viongozi wanakigombanisha chama kwa wananchi hii ni treason ni mapinduzi haya ya kukiondoa chama madarakani serikali inakata tawi chama kinayolikalia kitaanguka tu kama hakitatenda haki kwa wapiga kura
Haa hivi nilisikiaga mama hataki Mabango" she ayaone huku😂watu Wana shida mpaka duh😮
@gfydfdf88695 ай бұрын
Dada mwongo anaongea sana,,,,rafiki yake shetani jehanamu inakusubili mtailipa machozi watu,huonionefu,makonda tetea watu, Mungu atakubariki makonda,endelea kukutete haki ya wanyonge.. 9:29
@makongoronyerere15645 ай бұрын
Kila saa mueshimiw jibu swali mkundu ww
@HABONAJOHNKAZAMASO3 күн бұрын
Majambaz mkowa wakigoma
@Omarjumanne-zm9zh5 ай бұрын
Siasa za rushwa
@DeusSalibinus3 ай бұрын
Makonda sikumo gombeya
@chesconkwera20054 ай бұрын
Mchanganyo na siasa zisizo na tija
@user-du6su6mh1h5 ай бұрын
Gombea Uraisi makonda wewe ni mtetezi
@HassanMakinda-w8xАй бұрын
O
@petermboje58395 ай бұрын
Mafuta ni yako wewe wa ccm mbona unaongea pumba unahurumia usafiri ni wako
@evaemil8565 ай бұрын
Msiyatupe mabango yenu bado tunadai haki na kule Marangu Makonda maaskari wamevunja nyumba ya mama mmoja kisa wifi kadai ivunjwe kajionee mwenyewe.
@user-qh6jf8db1f5 ай бұрын
ww ni jembe
@robertkiarie21544 ай бұрын
This guy one day will be the Tanzania president mark my words Kiarie from Kenya
@emmanuelmwamlima10274 ай бұрын
Daaaah inchii yaan mpaka machozii😢😢
@PeterGisiri4 күн бұрын
Kwenye hii nchi inawatu wawil tu wenye utu wanao dhamini wananchi na kujali dhamani ya wanaichi ni makondo na waziri mkuu majariw na ndo wana hadhi ya mmoja wao kuw rais wa nchi hii na mwingine awe mkamu wake
@Kanyawela5 ай бұрын
Miaka 60 bado migogoro ya ARIDHI eti tuna wataharamu CCm mmeshindwa kiri
@AlexMgimwa-pm2piАй бұрын
makonda chapa kazi tuko nawe
@robertkiarie21544 ай бұрын
This guy one day will be the Tanzania president mark my words Kiarie from Kenya