Munguakujarie Makonda Amin Mabaria Wasahuziafrika Tunapijasaruti Munguakuweke Duniani Amin🙏🙏🙏🙏♥️♥️♥️♥️♥️☝🏿☝🏿🤘🤘🤘🇿🇦🤘🇹🇿🙏🙏🙏☝🏿
@kutailass6671Ай бұрын
😂😂😂😂 kama kuna mtu hakuelewa mapema hii comment kama mimi, aseme tu ukweli😅
@OscarGregorymoshaАй бұрын
Makonda nakuombea Sana Bwana Yesu Akufunike kwa dam yake Majangili wasikuone
@joycemmassi5046Ай бұрын
Hongera sana Makonda kazi yako si bure, neno linasema " HERI WALIO WAPATANISHI MAANA HAO WATAITWA WANA WA MUNGU" Pambana baba Tunaiuimbea sana
@emmymshomi8893Ай бұрын
Elimu ina umuhimu mzeee yupo vizuri sana . Ukishindwa kujieleza nchii hii haki inapoteaa shwaaaa
@paullala93382 ай бұрын
Mungu ibarik tanzania, mungu ibarik afrika, mungu mbariki makonda
@abuushakiraddausiy8666Ай бұрын
Hivi mkuu wa mkoa wa dodoma yupooooo jamman mbona dododma twadhukumiwatuuu lakin kimyaaaaaaaaa
@hidayaswai3119Ай бұрын
My mentor. Mungu nipee nafasi niweze ku deal na watu wa aina hii
@RehemaMkumbo-of5joАй бұрын
Uko vzr,hakika yesu hata uacha mguu wako unaswe atakulinda kila uendako
@AzaeliMbiseАй бұрын
Makonda asante sana kwa kusimamia haki za watu vizuri.
@FundiKadegeАй бұрын
Makonda mungu akubariki chapa kazi tuko nawe
@AngelaZakeoАй бұрын
Rais ajae Paul makonda mungu atusaidie uishi miaka mingi watanzania tunapenda kusikilizwa kero zetu na zitatuliwe
@IsmailChuwa-hz2lsАй бұрын
Watanzania niwaambieni huyu kijana wetu makonda ni zaidi ya hakimu nawaambieni angalieni maamuzi yake huyu ni mungu amjalie azidi kuwasaidia waonewaji ameni
@EmmanuelMagai-z3xАй бұрын
❤Nakupnda ❤❤ makonda!! Chukua Fomu ya Urais
@user-mt3jc6no5wАй бұрын
Dah! Makonda unajua kuwanyosha ❤❤❤
@ismailchami358Ай бұрын
Mungu akubariki Kaka yangu Makonda
@MartinLabanАй бұрын
Naomba siku moja uwe mkuu wa inchi turudishe heshima tena Duniani
@samanyaswaiАй бұрын
Kweli Uongozi Ni Wito Huu Ndo Wito Sasa. Pambana Kiongoz MUNGU Yu Upande Wako.
@user-ml2jh2bw4qАй бұрын
Jpm hongera san
@SolomonElias-df4vkАй бұрын
Makonda mungu akurehem sana katika huongoz 25:02
@LightnessBoscoАй бұрын
Makonda MUNGU akuweke miaka mingi mno nimempenda huyu baba kuongea san tn kwa ujasili mno
@Gracedori19 күн бұрын
Secos toa kadi za wananchiiiiii, na waache kuchezea vichwa vya watu
@liverpoolfootballclub9985Ай бұрын
Kama kila mtendaji kila wizara serikalini wangefanya kazi zao fair and square. Makonda hangekua anasumbuliwa na wananchi wenye matatizo. Hii inaonyesha kwamba watendaji wamefail kwa kiwango kikubwa. Ni mungu na viongozi wenye kumwogopa mungu kama kina makonda ndiyo watakaowasaidia wananchi hawa
@songezaАй бұрын
RC pole kaza Buti uko vzuri dah ungewekwa wakati ule makamo ungekua rais dah nafasi Bado ipo
@ilynpayne7491Ай бұрын
Daah asee 😢😢 kusema kweli ina sikitisha 😢
@rehemanifasha5524Ай бұрын
Sana
@chire45742 ай бұрын
Iyo uwa inakuja najina ya kampuni halafu ww ndo unabadilisha
@IsackhamkaАй бұрын
acha tukupe utetezi wawa nyonge 😭😭😭😭👏
@IsmailChuwa-hz2lsАй бұрын
Huyu makonda ni nikama marehemu magifuli kabisa anafanya vizuri
@IsmailChuwa-hz2lsАй бұрын
Makonda mungu akubariki
@user-oy9wr2zc6x2 ай бұрын
Mtetezi wa haki za wanyonge Mungu akutunze.
@deocharles9840Ай бұрын
Kazikazin tumepata mtu,Asante Mungu
@susananyasani65262 ай бұрын
Mheshimiwa Makonda huwo ni Wizi wa Fedha kutoka kwa Wananchi wanyonge asante
@musicheals1545Ай бұрын
nonsense, mna mute nini sasa hiyo sauti
@ilakozasembumende19752 ай бұрын
Inamaana kapun ya matreckta ilichujua mkopo mkubwa wa matrakta kupitia viwanja vya watu masikini uwiiiiii kwahiyo TIB walimpatia huyo huyo Hujeee pesa nyingi kupitia hati za wanachama wa sacos jamani hii inch😢😢😢😢😢😢😢
@bukharyally2 ай бұрын
Mheshimiwa makonda pole ila wengi wanaumiuzwa sana
@MussaissaBukagileАй бұрын
Ongereni mkoa wa Arusha kwa kumpata kiongozi bora
@suzanamwangingo299522 күн бұрын
Mh. Kazi ipo .makonda tukuombee sana
@user-ml2jh2bw4qАй бұрын
Kaka Mimi nakupenda san mungu akupe maisha marefu kaka makonda mungu akulidee
@user-pg6tt7ue7f14 күн бұрын
Why your not presida aka Rais heshima kwako kaka
@sylvanjosam3402Ай бұрын
Wazee wa hivo ukienda nawo mahakmani wanakuacha ndani 😂
@user-pg6tt7ue7f14 күн бұрын
Not true.... Km ni sakos lazima wote waliope wote ...
@nicksonmusa34572 ай бұрын
Veepee tena hiyoo sautii wasafii mnaficha nn
@mwanaidimussaАй бұрын
Bando letu cjuiii yapojeeee haya
@alexsambia3046Ай бұрын
Mzee mngu akujalie umri mrefuu zaidi nimekupnda bure
@ilakozasembumende19752 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@user-wc8rm2yo9mАй бұрын
Data zangu zote zinaishia kwa makonda from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡
@bukharyally2 ай бұрын
T.i.b.amkamate sacos .wazee hawana kesi
@joojombi234115 күн бұрын
Sauti mbna mchoko jmny
@abdulrahmansalim9773Ай бұрын
🤔🤔🤔🤔🤔
@Ladha_ya_MashairiАй бұрын
Wasaf mnazingua saut vp wazeee mnatunyima raha
@MartinLabanАй бұрын
Bando mi sitakubali kuishiwa kwa kumsikiliza makonda
@OfficialTadeo2 ай бұрын
Mama huyu mtu apewe uwazili tu
@samuelmiryango3524Ай бұрын
Tatizo makonda uwezikuwa rais mabebero watakuuwa maana hawampendi mtu kama wew
@RajabuHussein-to7jzАй бұрын
Natamani makonda Aje morogoro
@husseinidd57512 ай бұрын
Afisa ushirika yuko vyema,Anajiamini
@VailettyShigerla-fw2sgАй бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@VailettyShigerla-fw2sgАй бұрын
Makoda oyeeeee
@chriskudilla53552 ай бұрын
Piga kazi mkuu
@ryangratius623Ай бұрын
Huyo dada anacheka tu
@user-vw4te9qr3iАй бұрын
Naona chawa wa makonda yupo pembeni
@martinamahenge44762 ай бұрын
Blood hell 😅😅😅
@monicachacha455Ай бұрын
makonda chapa kazi
@ShabanKarim-tv3vnАй бұрын
Wewe unasitahili kuwa raisi waici
@OmbeniZavalla19 күн бұрын
.
@PartySekemiАй бұрын
Mheshimiwa rais wa mkoa Fanya mambo watu wakanyagane si wameona yesu
@eliathomas8446Ай бұрын
Roho mbaya tuu kwani wewe inakuhusu nn?
@AminaTanzaniaАй бұрын
Makonda ndoo mangufuri wa piri anawanyoosha wajanjawajanja
@jamesk2212Ай бұрын
Maana ya rc kwa kefu nini
@emmailakozimana8257Ай бұрын
Regional Commissioner
@user-ds2qj3oi7k2 ай бұрын
Kikubwa nikufunga TAWI hakuna watalamu wanaojua kazi hiyo. Naa pia wazee warudishwe haki zao. Hawo watalamu wanafanya biashara Hela za watu kwa riba kwa watu wengine kwa mkataba wa miaka kazaa.
@Christophermagesa1985Ай бұрын
Wasafi nyie ni wajinga yaan mnakata badhii ya maneno!