DUH! MAKONDA AFUNGUKA KUNUNUA KESI YA WAZEE WANAOSHIKILIWA NYUMBA ZAO na BENKI - "HAWADAIWI"

  Рет қаралды 65,486

Wasafi Media

Wasafi Media

2 ай бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 72
@user-ce2wi1ht8g
@user-ce2wi1ht8g Ай бұрын
Munguakujarie Makonda Amin Mabaria Wasahuziafrika Tunapijasaruti Munguakuweke Duniani Amin🙏🙏🙏🙏♥️♥️♥️♥️♥️☝🏿☝🏿🤘🤘🤘🇿🇦🤘🇹🇿🙏🙏🙏☝🏿
@kutailass6671
@kutailass6671 Ай бұрын
😂😂😂😂 kama kuna mtu hakuelewa mapema hii comment kama mimi, aseme tu ukweli😅
@OscarGregorymosha
@OscarGregorymosha Ай бұрын
Makonda nakuombea Sana Bwana Yesu Akufunike kwa dam yake Majangili wasikuone
@joycemmassi5046
@joycemmassi5046 Ай бұрын
Hongera sana Makonda kazi yako si bure, neno linasema " HERI WALIO WAPATANISHI MAANA HAO WATAITWA WANA WA MUNGU" Pambana baba Tunaiuimbea sana
@emmymshomi8893
@emmymshomi8893 Ай бұрын
Elimu ina umuhimu mzeee yupo vizuri sana . Ukishindwa kujieleza nchii hii haki inapoteaa shwaaaa
@paullala9338
@paullala9338 2 ай бұрын
Mungu ibarik tanzania, mungu ibarik afrika, mungu mbariki makonda
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 Ай бұрын
Hivi mkuu wa mkoa wa dodoma yupooooo jamman mbona dododma twadhukumiwatuuu lakin kimyaaaaaaaaa
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Ай бұрын
My mentor. Mungu nipee nafasi niweze ku deal na watu wa aina hii
@RehemaMkumbo-of5jo
@RehemaMkumbo-of5jo Ай бұрын
Uko vzr,hakika yesu hata uacha mguu wako unaswe atakulinda kila uendako
@AzaeliMbise
@AzaeliMbise Ай бұрын
Makonda asante sana kwa kusimamia haki za watu vizuri.
@FundiKadege
@FundiKadege Ай бұрын
Makonda mungu akubariki chapa kazi tuko nawe
@AngelaZakeo
@AngelaZakeo Ай бұрын
Rais ajae Paul makonda mungu atusaidie uishi miaka mingi watanzania tunapenda kusikilizwa kero zetu na zitatuliwe
@IsmailChuwa-hz2ls
@IsmailChuwa-hz2ls Ай бұрын
Watanzania niwaambieni huyu kijana wetu makonda ni zaidi ya hakimu nawaambieni angalieni maamuzi yake huyu ni mungu amjalie azidi kuwasaidia waonewaji ameni
@EmmanuelMagai-z3x
@EmmanuelMagai-z3x Ай бұрын
❤Nakupnda ❤❤ makonda!! Chukua Fomu ya Urais
@user-mt3jc6no5w
@user-mt3jc6no5w Ай бұрын
Dah! Makonda unajua kuwanyosha ❤❤❤
@ismailchami358
@ismailchami358 Ай бұрын
Mungu akubariki Kaka yangu Makonda
@MartinLaban
@MartinLaban Ай бұрын
Naomba siku moja uwe mkuu wa inchi turudishe heshima tena Duniani
@samanyaswai
@samanyaswai Ай бұрын
Kweli Uongozi Ni Wito Huu Ndo Wito Sasa. Pambana Kiongoz MUNGU Yu Upande Wako.
@user-ml2jh2bw4q
@user-ml2jh2bw4q Ай бұрын
Jpm hongera san
@SolomonElias-df4vk
@SolomonElias-df4vk Ай бұрын
Makonda mungu akurehem sana katika huongoz 25:02
@LightnessBosco
@LightnessBosco Ай бұрын
Makonda MUNGU akuweke miaka mingi mno nimempenda huyu baba kuongea san tn kwa ujasili mno
@Gracedori
@Gracedori 19 күн бұрын
Secos toa kadi za wananchiiiiii, na waache kuchezea vichwa vya watu
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 Ай бұрын
Kama kila mtendaji kila wizara serikalini wangefanya kazi zao fair and square. Makonda hangekua anasumbuliwa na wananchi wenye matatizo. Hii inaonyesha kwamba watendaji wamefail kwa kiwango kikubwa. Ni mungu na viongozi wenye kumwogopa mungu kama kina makonda ndiyo watakaowasaidia wananchi hawa
@songeza
@songeza Ай бұрын
RC pole kaza Buti uko vzuri dah ungewekwa wakati ule makamo ungekua rais dah nafasi Bado ipo
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Ай бұрын
Daah asee 😢😢 kusema kweli ina sikitisha 😢
@rehemanifasha5524
@rehemanifasha5524 Ай бұрын
Sana
@chire4574
@chire4574 2 ай бұрын
Iyo uwa inakuja najina ya kampuni halafu ww ndo unabadilisha
@Isackhamka
@Isackhamka Ай бұрын
acha tukupe utetezi wawa nyonge 😭😭😭😭👏
@IsmailChuwa-hz2ls
@IsmailChuwa-hz2ls Ай бұрын
Huyu makonda ni nikama marehemu magifuli kabisa anafanya vizuri
@IsmailChuwa-hz2ls
@IsmailChuwa-hz2ls Ай бұрын
Makonda mungu akubariki
@user-oy9wr2zc6x
@user-oy9wr2zc6x 2 ай бұрын
Mtetezi wa haki za wanyonge Mungu akutunze.
@deocharles9840
@deocharles9840 Ай бұрын
Kazikazin tumepata mtu,Asante Mungu
@susananyasani6526
@susananyasani6526 2 ай бұрын
Mheshimiwa Makonda huwo ni Wizi wa Fedha kutoka kwa Wananchi wanyonge asante
@musicheals1545
@musicheals1545 Ай бұрын
nonsense, mna mute nini sasa hiyo sauti
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 2 ай бұрын
Inamaana kapun ya matreckta ilichujua mkopo mkubwa wa matrakta kupitia viwanja vya watu masikini uwiiiiii kwahiyo TIB walimpatia huyo huyo Hujeee pesa nyingi kupitia hati za wanachama wa sacos jamani hii inch😢😢😢😢😢😢😢
@bukharyally
@bukharyally 2 ай бұрын
Mheshimiwa makonda pole ila wengi wanaumiuzwa sana
@MussaissaBukagile
@MussaissaBukagile Ай бұрын
Ongereni mkoa wa Arusha kwa kumpata kiongozi bora
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 22 күн бұрын
Mh. Kazi ipo .makonda tukuombee sana
@user-ml2jh2bw4q
@user-ml2jh2bw4q Ай бұрын
Kaka Mimi nakupenda san mungu akupe maisha marefu kaka makonda mungu akulidee
@user-pg6tt7ue7f
@user-pg6tt7ue7f 14 күн бұрын
Why your not presida aka Rais heshima kwako kaka
@sylvanjosam3402
@sylvanjosam3402 Ай бұрын
Wazee wa hivo ukienda nawo mahakmani wanakuacha ndani 😂
@user-pg6tt7ue7f
@user-pg6tt7ue7f 14 күн бұрын
Not true.... Km ni sakos lazima wote waliope wote ...
@nicksonmusa3457
@nicksonmusa3457 2 ай бұрын
Veepee tena hiyoo sautii wasafii mnaficha nn
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa Ай бұрын
Bando letu cjuiii yapojeeee haya
@alexsambia3046
@alexsambia3046 Ай бұрын
Mzee mngu akujalie umri mrefuu zaidi nimekupnda bure
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 2 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@user-wc8rm2yo9m
@user-wc8rm2yo9m Ай бұрын
Data zangu zote zinaishia kwa makonda from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡
@bukharyally
@bukharyally 2 ай бұрын
T.i.b.amkamate sacos .wazee hawana kesi
@joojombi2341
@joojombi2341 15 күн бұрын
Sauti mbna mchoko jmny
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 Ай бұрын
🤔🤔🤔🤔🤔
@Ladha_ya_Mashairi
@Ladha_ya_Mashairi Ай бұрын
Wasaf mnazingua saut vp wazeee mnatunyima raha
@MartinLaban
@MartinLaban Ай бұрын
Bando mi sitakubali kuishiwa kwa kumsikiliza makonda
@OfficialTadeo
@OfficialTadeo 2 ай бұрын
Mama huyu mtu apewe uwazili tu
@samuelmiryango3524
@samuelmiryango3524 Ай бұрын
Tatizo makonda uwezikuwa rais mabebero watakuuwa maana hawampendi mtu kama wew
@RajabuHussein-to7jz
@RajabuHussein-to7jz Ай бұрын
Natamani makonda Aje morogoro
@husseinidd5751
@husseinidd5751 2 ай бұрын
Afisa ushirika yuko vyema,Anajiamini
@VailettyShigerla-fw2sg
@VailettyShigerla-fw2sg Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@VailettyShigerla-fw2sg
@VailettyShigerla-fw2sg Ай бұрын
Makoda oyeeeee
@chriskudilla5355
@chriskudilla5355 2 ай бұрын
Piga kazi mkuu
@ryangratius623
@ryangratius623 Ай бұрын
Huyo dada anacheka tu
@user-vw4te9qr3i
@user-vw4te9qr3i Ай бұрын
Naona chawa wa makonda yupo pembeni
@martinamahenge4476
@martinamahenge4476 2 ай бұрын
Blood hell 😅😅😅
@monicachacha455
@monicachacha455 Ай бұрын
makonda chapa kazi
@ShabanKarim-tv3vn
@ShabanKarim-tv3vn Ай бұрын
Wewe unasitahili kuwa raisi waici
@OmbeniZavalla
@OmbeniZavalla 19 күн бұрын
.
@PartySekemi
@PartySekemi Ай бұрын
Mheshimiwa rais wa mkoa Fanya mambo watu wakanyagane si wameona yesu
@eliathomas8446
@eliathomas8446 Ай бұрын
Roho mbaya tuu kwani wewe inakuhusu nn?
@AminaTanzania
@AminaTanzania Ай бұрын
Makonda ndoo mangufuri wa piri anawanyoosha wajanjawajanja
@jamesk2212
@jamesk2212 Ай бұрын
Maana ya rc kwa kefu nini
@emmailakozimana8257
@emmailakozimana8257 Ай бұрын
Regional Commissioner
@user-ds2qj3oi7k
@user-ds2qj3oi7k 2 ай бұрын
Kikubwa nikufunga TAWI hakuna watalamu wanaojua kazi hiyo. Naa pia wazee warudishwe haki zao. Hawo watalamu wanafanya biashara Hela za watu kwa riba kwa watu wengine kwa mkataba wa miaka kazaa.
@Christophermagesa1985
@Christophermagesa1985 Ай бұрын
Wasafi nyie ni wajinga yaan mnakata badhii ya maneno!
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 175 МЛН
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 5 МЛН
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 65 МЛН
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 22 МЛН
24 podcast: Sme v kaviarni - Guma na tupej ceruzke
1:29:11
Televízia JOJ
Рет қаралды 43 М.
Diwani ALIEZUILIWA kuongoza awasha moto kwa MAKONDA Kasulu
23:28
Habari Digital
Рет қаралды 22 М.
RC HAPI 'amtumbua' Daktari Hadharani "una matatizo nilishakwambia"
22:48
Global TV Online
Рет қаралды 726 М.
настоящий чемпион
0:59
QorabogTV
Рет қаралды 6 МЛН
Горилла Показала Малыша 😍
0:23
ДоброShorts
Рет қаралды 2,6 МЛН
Детство злой тётки 😂 #shorts
0:31
Julia Fun
Рет қаралды 4,5 МЛН
Дымок или Симбочка?? 🤔 #симба #симбочка #mydeerfriendnokotan
0:19
Симбочка Пимпочка
Рет қаралды 2,7 МЛН
Роналду совсем другой! 😱
0:45
КиноСклад
Рет қаралды 9 МЛН