Hongera sana Mh Makonda piga kazi Mungu akusimamie
@kadokemarco9966Ай бұрын
Kumbe kweli Ngorongoro kuna waDubai😭😭😭😭😭
@Olengujati-uo6gxАй бұрын
Dubai ndogo ngorongoro
@nelsonnyamleАй бұрын
Kuweni makini Wana ngorongoro uchaguzi ukipita mtashughulikiwa kama ilivyopangwa shauri zenu
@davidmalogo7100Ай бұрын
Mh sijui kilicho ndani ausili yawatu wa ngorongoro selikali hii Yani Hawa walabu wanataka nini kwani hio miladi yamaji selikalin umeshindwa kupeleka hayo maji mpaka mpigie makofi walabu Yani selikali ichimbiwe visima niajabu tanzaniayetu nitajili hatuwezi kuchimbiwa visima Yani Kuna kitu nyuma yapanzia Yani hapo ndo wameanza kutambulishwa bila wanangorongoro kujua ,mungu ilaze loho ya jpm mahali pazuli
@user-jf1sq7lk4gАй бұрын
Hongera sana mh. Makonda
@sylvestercameo6263Ай бұрын
Kumbe wamasai siku hizi hawavai tena lubega na mashuka mekundu, bali kanzu nyeupe na vilemba. Hongera sana wamasai wa Ngorongoro, mmependeza sana!
@wilfredmaimu1958Ай бұрын
Hongera sana mkuu
@hadijamandanje6189Ай бұрын
Tatizo waarabu ila wazungu na wachina si tatizo,kazi kweli kwwli
@zobakazizi7637Ай бұрын
Ngoja nisiongee
@user-lu8ny2gu7tАй бұрын
Sijuwi tumerogwa na nani nchi imeshindwa kupatia maji wanachi mpaka tusaidiwe na wawekezaji hakuna msaada usiokuwa na malengo
@BoisDonkoil-rk8lrАй бұрын
Mwanzo chabure nchini ya jua sahau
@m.m.tvmbebamaonoАй бұрын
Waarabu ni wakorofi sana wamewafukuza masai wetu ngorogoro
@DanielNdaluboneye-wc5stАй бұрын
Ndo nimeamini Ngorongoro imeuzwa.
@nahlaaasidee1848Ай бұрын
Angekuwa mzungu usingesema... Ni maeneo mangapi yapo maeneo potential hpa Tz. Acha chuki.
@emmanuelaloyce932Ай бұрын
Hata kama wanafanya uwekezaji ,waache kuwaondoa wenyeji. Waarabu ni wanafiki sanaa,kuja kwao kunajambo.mama samia naomba uwaachoe wnyeji wa ngorongoro mji wao.zipo sehem nyingi hasa za serikali zilizopo wazi. Msisumbue wananchi
@rayisadesigns2646Ай бұрын
Mnapandikiziwa chuki bila ya kujua.
@victorkisenha5933Ай бұрын
Duh! Waarabu wa dubai kumbe wapo ngorongoro!
@rahplenyengerahplenyenge722Ай бұрын
Nadhani wasiojua Ngorongoro imeuzwa na Mama mmejionea wenyewe wasrabu hao hapi ccm wanatafuta Kura maana Ngorongoro ishachukuliwa Mwarabu
@FunnyHikingWaterfall-wv7dcАй бұрын
Nilijua umepumuzika kupika sipana kumbe Bado zinaenderea sipana
@johnmalembo6464Ай бұрын
Haya yote wa tz tunaweza kuyafanya bila msaada wa mataifa mengine
@dilludillu2747Ай бұрын
Wamechukua port wamehamia Ngorongoro
@MaxmillianNdyamkama-nl3dgАй бұрын
Miaka sitini mnaagaika namaji tena kwa misaada, wezenu wanaagaika natecknologia
@BoisDonkoil-rk8lrАй бұрын
Hapa akili kichwani kwa wote sio wananchi sio waarabu sio mweshimiwa Paul Makonda,kila mtu anajiuliza nijinsi gani ______????
@masoudsalumАй бұрын
Ngorongoro kwa wamasai au kwa waarabu wamasai wapo msomera
@sebastiansalamba313Ай бұрын
Hawa wanaocheza sio kwa mapenzi yao wame....... Uwiiiiiii arabun ndani nchi
@saidiathuman-og6bcАй бұрын
Makonda leo kunakitu ndani yako kinakuumiza hapo lakin dah? Ndioivyo tena ila kiukweli inaumiza saana
@salama1113Ай бұрын
Siamini kama hawa wamasai
@user-pv2jh5wb1oАй бұрын
Sasa maji ya Nini wakat watu wamehamishwa
@sebastiansalamba313Ай бұрын
Kumbe kweli inchi imee......Leo ndio ni eamini
@justardzelphine6526Ай бұрын
Duh! Tumekwisha!, ngorongoro imeuzwa!
@philipjoseph5931Ай бұрын
Waarabu ndiyo wamefilisi tembo wetu wakati wa Biashara ya Utumwa, waliua tembo wetu wakachukua na mababu zetu wakiwabebesha meno ya tembo wakiwa wamefungwa minyororo, Je wamekuja tena kumalizia hata kidogo kilichobaki?
@m.m.tvmbebamaonoАй бұрын
REST IN PEACE 😮😢 NGORONGORO umeuzwa kwa wageni wenyeji wanagukuzwa kwama vakimbizi katika nchi yao TUTAKUKUMBUKA JPm 😢
@rebekakulwa6159Ай бұрын
Kwani. Mafisiyemu yanapeleka wapi kodi zetu mpk. Yalete waarabu kuchimba kisima utumwa wa pili umeingia tanganyika masai wanarukaruka tu kama swala hawajitambui
@melkiorykweka438Ай бұрын
Hawa waarabu wanafanya nini humo ngorongoro???? au ndio wameshauziwa kweli?
@user-gy5gu1mn4xАй бұрын
Nchi ya kirabu 😂😂
@vladimirputn1809Ай бұрын
Waarabu sio wabaya Kama marekani naulaya marekani nimashetani
@rayisadesigns2646Ай бұрын
😂😂😂 wazungu hivyo visima wasingewachimbia bure bure wangewatilia na ushoga juu... mammaee 😂😂😂😂 majamaa mashenzi sana yale 😂😂😂
@user-ym6hd7xh3gАй бұрын
Tangu mwanzo wa dunia haijawa hivyo Waliotia maksai wazee wetu si waarabu Tangu wamekaa nchi hii walifanya nini? Afadhali wazungu walijenga shule kujenga barabara,reli hayo ya kuvaa ngata kichwani si yalitesa ndugu zetu tuu au unaongea vile huna kitu kichwani.Unafikiri tumesahau tabia zso za kikatili. Usitufanye mazuzu
@evelynmwaimu-vd9joАй бұрын
Mhhhh!!!!
@muhsinikoki4060Ай бұрын
hakiamungu masai mnaruka nini badala yakulia jaman mmepigwa
@user-wr3jp6tg4pАй бұрын
Shida ya watu wanaishikimazoeya lini mtabalika Na vipi mtapata maendeleo Bila kubadilika
@carolthomas9243Ай бұрын
Unajua watu hawajuwi huwa wanakurupuka kutoa taarifa ambazo sio sawa ngorongoro wanapoamishwa ni kreta tu sehemu ya bonde la ufa sehemu nyingine wamasai wapo na kazi inaendelea sababu ya kuwahamisha ni ongezeko na shughuli za kibinadamu kreta inasababisha huoto wa asili kupotea na kusabaisha hualibifu mkubwa wa mazingila ya hifadhi hiyo
@SAIDIMUKSIN-iy2opАй бұрын
Masai wa kiarabu
@dullayomwinyi3359Ай бұрын
Hao waarabu wanafanya nn nchini kwetu wamasai wameteseka ajili yao watoke nchini kwetu
@froma3732Ай бұрын
Wazungu pia wapo nchi nzima mpaka kwenye Hoteli ya Ramada hebu fatilia tuwandoshe hao wa Ramada bila Shaka utanielewa
@rayisadesigns2646Ай бұрын
@@froma3732tena wanawaletea na ushoga lakini hawasemi wamekaa kimya
@ayububakari9942Ай бұрын
@@froma3732 HIYO RAMADA HOTEL YA WAZUNGU SI ILE HOTEL YA MASHOGA ?!!
@froma3732Ай бұрын
@@ayububakari9942 Ndio hiyo hiyo lkn wao huwa hawaoni Wazungu Wakiharibu nchii ni kasumba wameekewa na Mkaburu kuwa Waarabu wabaya
@user-tx6dh6ii3mАй бұрын
Hao waarabu jamani mtakuja kujuta hapo staki
@nabukyeKanefuАй бұрын
Ishudogo serikali inashidwa kufafa hamunakitu hapo
@YangaNewsАй бұрын
Sasa hao waarabu wanafanya nn huko
@simongwandu7392Ай бұрын
Waarabu ni hatari
@ndukulusudikucho_Ай бұрын
Wazungu Ni wazuri sio?
@modyworldmody4297Ай бұрын
Wazungu Wana leta ushoga
@simongwandu7392Ай бұрын
@@modyworldmody4297 wote wanahusika scandal ya Loliondo itafute Wazungu hawakututoboa miguu
@user-ce3eo4lu1kАй бұрын
Ina maana viongozi waserikali hawapo ngorongoro isipokua wapo waarab
@rebekakulwa6159Ай бұрын
Waarabu wamingia tanganyika tumerudi utumwani chadema waliambiwa ngorongoro hakuna usalama makonda katia timu na waarabu
@joscamwoshezi2986Ай бұрын
Waarabu kwani wanatofauti gani na wazungu au waafrika wanaopewa uwezekezaji karika kutuletea maendeleo
@halimamasai2234Ай бұрын
Wazungu wanaleta ushoga
@rayisadesigns2646Ай бұрын
Tena wazungu hivyo visima wasingetoa bure bure... wangeleta na ushoga juu
@MonayLaiАй бұрын
Hiyo ni kuwafumba macho tuu wanangorongoro hizo hela ni zenu wenyewe wanawapoza tuu muone wamewasaidia
@HashimYahaya-hd3zmАй бұрын
Wamarekani mbona amuwasemi
@ayubumoha6313Ай бұрын
Jamaa mpambanaji alipoa kidogo
@MaxmillianNdyamkama-nl3dgАй бұрын
Wanawalagai hao
@elioimer8423Ай бұрын
Ngorongoro ya wapi hiyo. Mbona sielewi kitu. Tumeambiwa hakuna miradi yeyote inayoendelezwa na serikali. Sio shule , sio maji , na miradi yote mingine ya maendeleo imesitishwa. Sasa hii ni Ngorongoro ya wapi?
@Veni584Ай бұрын
Ya uarabuni
@VitalisMmassi-oh4jbАй бұрын
Ngorongoro pamekua uwarabuni
@leylasaid9641Ай бұрын
WAZUNGU WAPO WANGAPI NA WANAMILIKI VINGAPI MBONA HAMUONI MNAWAONA WAARABU?WAZUNGU WAJANJA WALIPANDIKIZIA CHUKI KWA WAARABU NDO KINACHOENDELEA.
@modyworldmody4297Ай бұрын
Wazungu wanateta ushoga
@MonayLaiАй бұрын
hawa wamechukua mali zetu nyingi sana wanajichotea tuu
@samwellenasi7817Ай бұрын
Warabu niwamasai au
@abednego3876Ай бұрын
Eeh utumwa mtupu
@user-vv4wo5fu9tАй бұрын
Ndio makonda lakini hao warabu sio kabisa hawawezi kutuletea tena ukoloni uku wakitawala nchi kama yao hiyo hawezekani wananchi tunatabika warabu wanatutawala na kuchukuwa aridh zetu uku watanzania tunatabika wanatuibia na kupeleka kwao hii awezekani...tena acha kumpamba wewe makonda hao ni wezi tuu kama wezi wengine yasikutishe hayo mavazi ya ushoga hao wezi tuu ndugu yangu makonda kivipi wapewe aridh ktk mbunga zetu hapa kuna nini nyuma ya Pazia?
@leylasaid9641Ай бұрын
WALA SIO MAMA WAPO TANGIA UTAWALA WA AWALI KABLA YA MAMA
@kibwetere1418Ай бұрын
Waarabu wanawapenda sana wanangorongoro
@lulanjamd3886Ай бұрын
Nilikuwa najuwa ni utani kumbe mama kaleta waarabu ngorongoro dah😢😢
@salehesalehe2967Ай бұрын
Wapo na wataendelea kuwepo kamahutaki kufaaaaaaaaaa
@user-us5xl4zu3rАй бұрын
Hivi kumbe Waraabu ni kweli wapo Ngorongoro.
@HusseinKarumnaАй бұрын
Wapo Kariakoo pia
@zully756Ай бұрын
Wapo bongo kote
@mrafm7285Ай бұрын
Waarabu oyeee hawataki ushoga Wala usenge misaada Yao Haina masharti ushoga isipokua Kuna chuki tu binafsi tu dhidi Yao lkn huo ndio ukweli mtake msitake
@MaxmillianNdyamkama-nl3dgАй бұрын
Ngorgr ni inchi ya waarabu,
@user-ze6lx9ng6sАй бұрын
Hawa waarabu mbona wako wengi nchi hii, hivi sisi watanzania ni maskini?
@ayububakari9942Ай бұрын
MIE NASHANGAA HATA WAZUNGU NA WACHINA WAMEKUWA WENGI..
@hildandumbalo5827Ай бұрын
Wamesaidia kidogo sana wanachokuwa Tanganyika hao waarabu ni kikubwa sana mmh