MAKONDA ATINGA NGORONGORO kwa WAMASAI, UKAGUZI MRADI wa MAJI, ni MSAADA KUTOKA UARABUNI,.

  Рет қаралды 13,864

HABARIMPYA TV

HABARIMPYA TV

Ай бұрын

Пікірлер: 86
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g Ай бұрын
Hongera sana Mh Makonda piga kazi Mungu akusimamie
@kadokemarco9966
@kadokemarco9966 Ай бұрын
Kumbe kweli Ngorongoro kuna waDubai😭😭😭😭😭
@Olengujati-uo6gx
@Olengujati-uo6gx Ай бұрын
Dubai ndogo ngorongoro
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle Ай бұрын
Kuweni makini Wana ngorongoro uchaguzi ukipita mtashughulikiwa kama ilivyopangwa shauri zenu
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 Ай бұрын
Mh sijui kilicho ndani ausili yawatu wa ngorongoro selikali hii Yani Hawa walabu wanataka nini kwani hio miladi yamaji selikalin umeshindwa kupeleka hayo maji mpaka mpigie makofi walabu Yani selikali ichimbiwe visima niajabu tanzaniayetu nitajili hatuwezi kuchimbiwa visima Yani Kuna kitu nyuma yapanzia Yani hapo ndo wameanza kutambulishwa bila wanangorongoro kujua ,mungu ilaze loho ya jpm mahali pazuli
@user-jf1sq7lk4g
@user-jf1sq7lk4g Ай бұрын
Hongera sana mh. Makonda
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 Ай бұрын
Kumbe wamasai siku hizi hawavai tena lubega na mashuka mekundu, bali kanzu nyeupe na vilemba. Hongera sana wamasai wa Ngorongoro, mmependeza sana!
@wilfredmaimu1958
@wilfredmaimu1958 Ай бұрын
Hongera sana mkuu
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 Ай бұрын
Tatizo waarabu ila wazungu na wachina si tatizo,kazi kweli kwwli
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 Ай бұрын
Ngoja nisiongee
@user-lu8ny2gu7t
@user-lu8ny2gu7t Ай бұрын
Sijuwi tumerogwa na nani nchi imeshindwa kupatia maji wanachi mpaka tusaidiwe na wawekezaji hakuna msaada usiokuwa na malengo
@BoisDonkoil-rk8lr
@BoisDonkoil-rk8lr Ай бұрын
Mwanzo chabure nchini ya jua sahau
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono Ай бұрын
Waarabu ni wakorofi sana wamewafukuza masai wetu ngorogoro
@DanielNdaluboneye-wc5st
@DanielNdaluboneye-wc5st Ай бұрын
Ndo nimeamini Ngorongoro imeuzwa.
@nahlaaasidee1848
@nahlaaasidee1848 Ай бұрын
Angekuwa mzungu usingesema... Ni maeneo mangapi yapo maeneo potential hpa Tz. Acha chuki.
@emmanuelaloyce932
@emmanuelaloyce932 Ай бұрын
Hata kama wanafanya uwekezaji ,waache kuwaondoa wenyeji. Waarabu ni wanafiki sanaa,kuja kwao kunajambo.mama samia naomba uwaachoe wnyeji wa ngorongoro mji wao.zipo sehem nyingi hasa za serikali zilizopo wazi. Msisumbue wananchi
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 Ай бұрын
Mnapandikiziwa chuki bila ya kujua.
@victorkisenha5933
@victorkisenha5933 Ай бұрын
Duh! Waarabu wa dubai kumbe wapo ngorongoro!
@rahplenyengerahplenyenge722
@rahplenyengerahplenyenge722 Ай бұрын
Nadhani wasiojua Ngorongoro imeuzwa na Mama mmejionea wenyewe wasrabu hao hapi ccm wanatafuta Kura maana Ngorongoro ishachukuliwa Mwarabu
@FunnyHikingWaterfall-wv7dc
@FunnyHikingWaterfall-wv7dc Ай бұрын
Nilijua umepumuzika kupika sipana kumbe Bado zinaenderea sipana
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 Ай бұрын
Haya yote wa tz tunaweza kuyafanya bila msaada wa mataifa mengine
@dilludillu2747
@dilludillu2747 Ай бұрын
Wamechukua port wamehamia Ngorongoro
@MaxmillianNdyamkama-nl3dg
@MaxmillianNdyamkama-nl3dg Ай бұрын
Miaka sitini mnaagaika namaji tena kwa misaada, wezenu wanaagaika natecknologia
@BoisDonkoil-rk8lr
@BoisDonkoil-rk8lr Ай бұрын
Hapa akili kichwani kwa wote sio wananchi sio waarabu sio mweshimiwa Paul Makonda,kila mtu anajiuliza nijinsi gani ______????
@masoudsalum
@masoudsalum Ай бұрын
Ngorongoro kwa wamasai au kwa waarabu wamasai wapo msomera
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 Ай бұрын
Hawa wanaocheza sio kwa mapenzi yao wame....... Uwiiiiiii arabun ndani nchi
@saidiathuman-og6bc
@saidiathuman-og6bc Ай бұрын
Makonda leo kunakitu ndani yako kinakuumiza hapo lakin dah? Ndioivyo tena ila kiukweli inaumiza saana
@salama1113
@salama1113 Ай бұрын
Siamini kama hawa wamasai
@user-pv2jh5wb1o
@user-pv2jh5wb1o Ай бұрын
Sasa maji ya Nini wakat watu wamehamishwa
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 Ай бұрын
Kumbe kweli inchi imee......Leo ndio ni eamini
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 Ай бұрын
Duh! Tumekwisha!, ngorongoro imeuzwa!
@philipjoseph5931
@philipjoseph5931 Ай бұрын
Waarabu ndiyo wamefilisi tembo wetu wakati wa Biashara ya Utumwa, waliua tembo wetu wakachukua na mababu zetu wakiwabebesha meno ya tembo wakiwa wamefungwa minyororo, Je wamekuja tena kumalizia hata kidogo kilichobaki?
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono Ай бұрын
REST IN PEACE 😮😢 NGORONGORO umeuzwa kwa wageni wenyeji wanagukuzwa kwama vakimbizi katika nchi yao TUTAKUKUMBUKA JPm 😢
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 Ай бұрын
Kwani. Mafisiyemu yanapeleka wapi kodi zetu mpk. Yalete waarabu kuchimba kisima utumwa wa pili umeingia tanganyika masai wanarukaruka tu kama swala hawajitambui
@melkiorykweka438
@melkiorykweka438 Ай бұрын
Hawa waarabu wanafanya nini humo ngorongoro???? au ndio wameshauziwa kweli?
@user-gy5gu1mn4x
@user-gy5gu1mn4x Ай бұрын
Nchi ya kirabu 😂😂
@vladimirputn1809
@vladimirputn1809 Ай бұрын
Waarabu sio wabaya Kama marekani naulaya marekani nimashetani
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 Ай бұрын
😂😂😂 wazungu hivyo visima wasingewachimbia bure bure wangewatilia na ushoga juu... mammaee 😂😂😂😂 majamaa mashenzi sana yale 😂😂😂
@user-ym6hd7xh3g
@user-ym6hd7xh3g Ай бұрын
Tangu mwanzo wa dunia haijawa hivyo Waliotia maksai wazee wetu si waarabu Tangu wamekaa nchi hii walifanya nini? Afadhali wazungu walijenga shule kujenga barabara,reli hayo ya kuvaa ngata kichwani si yalitesa ndugu zetu tuu au unaongea vile huna kitu kichwani.Unafikiri tumesahau tabia zso za kikatili. Usitufanye mazuzu
@evelynmwaimu-vd9jo
@evelynmwaimu-vd9jo Ай бұрын
Mhhhh!!!!
@muhsinikoki4060
@muhsinikoki4060 Ай бұрын
hakiamungu masai mnaruka nini badala yakulia jaman mmepigwa
@user-wr3jp6tg4p
@user-wr3jp6tg4p Ай бұрын
Shida ya watu wanaishikimazoeya lini mtabalika Na vipi mtapata maendeleo Bila kubadilika
@carolthomas9243
@carolthomas9243 Ай бұрын
Unajua watu hawajuwi huwa wanakurupuka kutoa taarifa ambazo sio sawa ngorongoro wanapoamishwa ni kreta tu sehemu ya bonde la ufa sehemu nyingine wamasai wapo na kazi inaendelea sababu ya kuwahamisha ni ongezeko na shughuli za kibinadamu kreta inasababisha huoto wa asili kupotea na kusabaisha hualibifu mkubwa wa mazingila ya hifadhi hiyo
@SAIDIMUKSIN-iy2op
@SAIDIMUKSIN-iy2op Ай бұрын
Masai wa kiarabu
@dullayomwinyi3359
@dullayomwinyi3359 Ай бұрын
Hao waarabu wanafanya nn nchini kwetu wamasai wameteseka ajili yao watoke nchini kwetu
@froma3732
@froma3732 Ай бұрын
Wazungu pia wapo nchi nzima mpaka kwenye Hoteli ya Ramada hebu fatilia tuwandoshe hao wa Ramada bila Shaka utanielewa
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 Ай бұрын
​@@froma3732tena wanawaletea na ushoga lakini hawasemi wamekaa kimya
@ayububakari9942
@ayububakari9942 Ай бұрын
​@@froma3732 HIYO RAMADA HOTEL YA WAZUNGU SI ILE HOTEL YA MASHOGA ?!!
@froma3732
@froma3732 Ай бұрын
@@ayububakari9942 Ndio hiyo hiyo lkn wao huwa hawaoni Wazungu Wakiharibu nchii ni kasumba wameekewa na Mkaburu kuwa Waarabu wabaya
@user-tx6dh6ii3m
@user-tx6dh6ii3m Ай бұрын
Hao waarabu jamani mtakuja kujuta hapo staki
@nabukyeKanefu
@nabukyeKanefu Ай бұрын
Ishudogo serikali inashidwa kufafa hamunakitu hapo
@YangaNews
@YangaNews Ай бұрын
Sasa hao waarabu wanafanya nn huko
@simongwandu7392
@simongwandu7392 Ай бұрын
Waarabu ni hatari
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Ай бұрын
Wazungu Ni wazuri sio?
@modyworldmody4297
@modyworldmody4297 Ай бұрын
Wazungu Wana leta ushoga
@simongwandu7392
@simongwandu7392 Ай бұрын
@@modyworldmody4297 wote wanahusika scandal ya Loliondo itafute Wazungu hawakututoboa miguu
@user-ce3eo4lu1k
@user-ce3eo4lu1k Ай бұрын
Ina maana viongozi waserikali hawapo ngorongoro isipokua wapo waarab
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 Ай бұрын
Waarabu wamingia tanganyika tumerudi utumwani chadema waliambiwa ngorongoro hakuna usalama makonda katia timu na waarabu
@joscamwoshezi2986
@joscamwoshezi2986 Ай бұрын
Waarabu kwani wanatofauti gani na wazungu au waafrika wanaopewa uwezekezaji karika kutuletea maendeleo
@halimamasai2234
@halimamasai2234 Ай бұрын
Wazungu wanaleta ushoga
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 Ай бұрын
Tena wazungu hivyo visima wasingetoa bure bure... wangeleta na ushoga juu
@MonayLai
@MonayLai Ай бұрын
Hiyo ni kuwafumba macho tuu wanangorongoro hizo hela ni zenu wenyewe wanawapoza tuu muone wamewasaidia
@HashimYahaya-hd3zm
@HashimYahaya-hd3zm Ай бұрын
Wamarekani mbona amuwasemi
@ayubumoha6313
@ayubumoha6313 Ай бұрын
Jamaa mpambanaji alipoa kidogo
@MaxmillianNdyamkama-nl3dg
@MaxmillianNdyamkama-nl3dg Ай бұрын
Wanawalagai hao
@elioimer8423
@elioimer8423 Ай бұрын
Ngorongoro ya wapi hiyo. Mbona sielewi kitu. Tumeambiwa hakuna miradi yeyote inayoendelezwa na serikali. Sio shule , sio maji , na miradi yote mingine ya maendeleo imesitishwa. Sasa hii ni Ngorongoro ya wapi?
@Veni584
@Veni584 Ай бұрын
Ya uarabuni
@VitalisMmassi-oh4jb
@VitalisMmassi-oh4jb Ай бұрын
Ngorongoro pamekua uwarabuni
@leylasaid9641
@leylasaid9641 Ай бұрын
WAZUNGU WAPO WANGAPI NA WANAMILIKI VINGAPI MBONA HAMUONI MNAWAONA WAARABU?WAZUNGU WAJANJA WALIPANDIKIZIA CHUKI KWA WAARABU NDO KINACHOENDELEA.
@modyworldmody4297
@modyworldmody4297 Ай бұрын
Wazungu wanateta ushoga
@MonayLai
@MonayLai Ай бұрын
hawa wamechukua mali zetu nyingi sana wanajichotea tuu
@samwellenasi7817
@samwellenasi7817 Ай бұрын
Warabu niwamasai au
@abednego3876
@abednego3876 Ай бұрын
Eeh utumwa mtupu
@user-vv4wo5fu9t
@user-vv4wo5fu9t Ай бұрын
Ndio makonda lakini hao warabu sio kabisa hawawezi kutuletea tena ukoloni uku wakitawala nchi kama yao hiyo hawezekani wananchi tunatabika warabu wanatutawala na kuchukuwa aridh zetu uku watanzania tunatabika wanatuibia na kupeleka kwao hii awezekani...tena acha kumpamba wewe makonda hao ni wezi tuu kama wezi wengine yasikutishe hayo mavazi ya ushoga hao wezi tuu ndugu yangu makonda kivipi wapewe aridh ktk mbunga zetu hapa kuna nini nyuma ya Pazia?
@leylasaid9641
@leylasaid9641 Ай бұрын
WALA SIO MAMA WAPO TANGIA UTAWALA WA AWALI KABLA YA MAMA
@kibwetere1418
@kibwetere1418 Ай бұрын
Waarabu wanawapenda sana wanangorongoro
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 Ай бұрын
Nilikuwa najuwa ni utani kumbe mama kaleta waarabu ngorongoro dah😢😢
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 Ай бұрын
Wapo na wataendelea kuwepo kamahutaki kufaaaaaaaaaa
@user-us5xl4zu3r
@user-us5xl4zu3r Ай бұрын
Hivi kumbe Waraabu ni kweli wapo Ngorongoro.
@HusseinKarumna
@HusseinKarumna Ай бұрын
Wapo Kariakoo pia
@zully756
@zully756 Ай бұрын
Wapo bongo kote
@mrafm7285
@mrafm7285 Ай бұрын
Waarabu oyeee hawataki ushoga Wala usenge misaada Yao Haina masharti ushoga isipokua Kuna chuki tu binafsi tu dhidi Yao lkn huo ndio ukweli mtake msitake
@MaxmillianNdyamkama-nl3dg
@MaxmillianNdyamkama-nl3dg Ай бұрын
Ngorgr ni inchi ya waarabu,
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s Ай бұрын
Hawa waarabu mbona wako wengi nchi hii, hivi sisi watanzania ni maskini?
@ayububakari9942
@ayububakari9942 Ай бұрын
MIE NASHANGAA HATA WAZUNGU NA WACHINA WAMEKUWA WENGI..
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 Ай бұрын
Wamesaidia kidogo sana wanachokuwa Tanganyika hao waarabu ni kikubwa sana mmh
#MAKONDA" MAJONZI YAMETAWALA ARUSHAV WATU WAVAMIA OFISI ZA MKOA
29:56
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 9 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 35 МЛН
小天使太有爱心了#天使#小丑#家庭#搞笑
00:32
家庭搞笑日记
Рет қаралды 23 МЛН
Harley Quinn's plan for revenge!!!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 7 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 9 МЛН