Walimu wa field, wasiruhusiwe kuazibu wanafunzi. Pole ni wazazi. Inauma sana .
@basharanasser15414 ай бұрын
Q
@SangioNgoo4 ай бұрын
Huyu mama anaonekana alikuwa hayuko karibu na mtoto wake ndiyo maana alikuwa anaogopa kumwambia ukweli. Hili ni tatizo kubwa la watanzania wengi. Wazazi wanakuwa wakali kwa watoto kiasi cha watoto kuogopa kusema wanapopata matatizo. Pili ni mama mzembe sana. Muda wote mtoto anatoa damu puani na mdomoni lakini hachukui hatua za dhararu. Serikali inabidi ikataze matumizi ya viboko shuleni. Hivi mtoto wa miaka 7 anapigwa kwa sababu gani? Kweli ujinga ni mama wa maovu yote. Mtoto amefariki kwa uzembe wa hali ya juu. Uzembe wa kuanzia kwa mama mtu, mwalimu, madaktari na serikali.
@annamussa1854 ай бұрын
Kabisa,me pia ni muhanga yani mama ni mkali hata kama unashida unabaki kimya tu yani wazazi punguzeni ukali imefika sehemu hata hamu na mama sina Yani Daaah!
@WinnieIkwisa-ts6bz4 ай бұрын
@@annamussa185 pole saaana
@florenciajacob54634 ай бұрын
Kabisa mzembee kabisa 😢😢😢
@user-br4tl7jv9j4 ай бұрын
Msilaumu upumbavu kisenge
@user-dn8rm7er1z4 ай бұрын
@@user-br4tl7jv9j wanadam wanakosa huruma jaman... mwenzao kafiwa na mtoto mnamhukumu kwa kiwango hivyo kweli??
@user-hj4sy9fy4g4 ай бұрын
Bora tuwahukumu wenyewe fasta! Huko mbele hakuna msaada!! Pole sana mzazi!
@DianaMacha-jf8gw4 ай бұрын
Viatu vya huyu mama havinitoshiiii😢😢😢
@umiy19714 ай бұрын
Mwalimu amefanya uhasidi wake ila hana uwezo wa kuumba wala kuondoa uhai wa Mtu , sio kila lengo la mwanaadamu Mungu analiitikia , tungekuwa sote tumeshakufa .
@PaulinaSemindu-ob3de4 ай бұрын
Pole Sana mama na apumzike kwa aman mwanangu 😭🙏
@kimarobeatus4 ай бұрын
Kwakweli
@vascombembela36324 ай бұрын
Poleni sana mtoto alicheleweshwa sana kufika hospitali! Ila walezi na walimu ni vizuri kuwa makini na watoto kwani wengine Wana changamoto kubwa za kiafya hivyo ukimgusa vibaya tu unasababisha matatizo.Inaumiza sana Mungu awe faraja kwa familia hii. Lakini funzo ni kwamba tuwe tunachukua hatua mapema kwa viashiria kama hivyo ambavyo ni hatari.
@user-eb4nq5du2q4 ай бұрын
Yan hiii kitu ilishamtokea mdogo wangu ila tulimbana sana aise mpaka kusema ukwel ilichukua muda sana naisi na walimu uwa wanawatishiagaa pia sheria imchukuliee hatua uyo mwalimu😢😢
@carolynendossi15944 ай бұрын
Kwanza waalimu wapimwe afya ya akili kabla ya kuajiriwa. Unamkuta mtu yupo na uchungu umekaa huko ndani yake miaka na miaka ana stress mia kidogo. Mtoto anafanya kosa dogo tu anapigwa kwa kiwango ambacho siyo sahihi. Bwana Yesu awe mfariji mkuu kwa huyu mama🙌🏻🙌🏻
@user-cd8ge8mx7p4 ай бұрын
Duuu pole sanaaaaa....pamoja uzembe wa Mama, nimelia sanaaa huyo mwalimu duuuu bac Mungu ndio atakujibu tuuuu
@user-fl3yl4or3e4 ай бұрын
Pole sana lakini mbona hukujiuliza baada yakuona mtoto anatoka damu mdomoni puani kwanini hujachukua hatua mapema dah walimu wengine
@user-ui4oh8gf8n4 ай бұрын
Mama Huna woga.damu zinatoka bila ya kumpeleka hospital. Wazazi wezangu tuwe na hofu.
@user-zm2zm7wy1t4 ай бұрын
Kama wew ni mzaz huwez kusema hivy cyo kwamba kila kitu utafany kama inavyostahil cyo kama hana woga kutoka damu kwenye viz ni hali ya kawaid ambayo mtu huwez kufkir kwa harakaharak kuw ni tatizo kubwa.
@shosemanjira90153 ай бұрын
Inauma machoz yamenitoka, hizo damui kwann wamuongezee nyingi ivyoo
@user-dn8rm7er1z4 ай бұрын
Pole sana Janet jaman... Mungu akutie nguvu kipenzi, kumbe nilipokuona kcmc ndio ulikua na jambo kubwa hivyo
@happinesslema72644 ай бұрын
La msingi ni kumtanguliza Mungu ktka kila jambo shetani ana mbinu nyingi sana !!!!! Shetani huwa anatafuta chanzo tu aweze kutimiza lengo lake !!!!Mungu ndiye ajuaye yaliyosirini!!!!!
@hellenjulius77904 ай бұрын
Hakika ni kumtanguliza mungu maana shetani yupo kazini
@bonita3294 ай бұрын
Inauma sana 💔ila huyu dada ni mzembe sana kwakweli 😢huyu angepeleka hospital siku hiyohiyo ... Mtoto katoka damu mdomoni na puani na sio kawaida yake bado tu ushutuki jamani😫😩na hii sheria ya kupiga watoto ipigwe marufuku Tanzania kote... Ni kheli kumpa mtoto adhabu lakini sio kumchapa mtoto wa watu ujui anamatatizo gani🤦🏽♀️
@omarymtegwa22994 ай бұрын
Eeeehe angekuwa mwanangu....huyo mwalimu serikali ingepata majibu ningemuuwa kwa mikono yangu
@user-df9vn1tc5o4 ай бұрын
Weeeeeee
@shakilamasoud29834 ай бұрын
Daa mtoto Kapotea bila hatia 😭😭💔💔
@jenipheraron35664 ай бұрын
Mama pia mzembe dah ila hawa waalimu sheria zichukuliwe
@user-df9vn1tc5o4 ай бұрын
Mama ana uzembe gani
@user-dx2zl1vo5s4 ай бұрын
Kwel hakua karbu na mtoto
@bennamush46164 ай бұрын
Siku tatu mtoto hayupo sawa anamwangalia tuu bila kumpeleka hospital
Bwana ametoa Bwana ametwaa jina lake Libarikiwe Ameen
@claudiajames20034 ай бұрын
Yani we Mwalimu unakuja shule na stress zako za vikoba na mikopo,unakuja kunipigia mtoto wangu kama hivi mpk unamjua,Wallahi hata polisi hufiki tutamalizana!
@StevenMremy4 ай бұрын
Mama mwenyewe nimzembe kwa maelezo yako ulikua umjali uyo mtoto siku tatu mtoto anatokwa damu usimpeleke hospitali kama vile ukumzaa 😢😢😢😢dah😢😢 RIP
@sueddelft90694 ай бұрын
Ni Kwli mama ni mpuuzi siku 3 unamuangalia tyuu
@rehemaomary34934 ай бұрын
Eti mtoto siku 3 damu zinamtoka yeye ana mwangalia tu. Mama nae kachangia kifo Cha mtoto wake Angempeleka mtoto hospital halafu mambo mengine yafuate
@fatumamakoye57114 ай бұрын
@@rehemaomary3493msiongee tu kiurahis nyie hv vitu vinaumiza amjui watu wanaishije mtu utakuta hana ata mia hospital zenyew ckuiz km huna ela unaonekan km mbwa tu
@user-cb3vw5fp8y4 ай бұрын
Na siku ya tatu ndo anaona mtoto majeraha siku zote hizo alikua hamuogeshi mtoto??
@ambroceharouna16124 ай бұрын
Fala San ilo Mama
@neemareuben3114 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢aiseeeee hii kitu skia kwa mtu km hiviii Pole sn mama😢😢
@christinefuraha15134 ай бұрын
Sio rahisi kupokea kama mzazi Hakika mtoto huyu alikuwa anachangamoto ambayo mama hakutambua mapema... saratani ya damu huweza mchukua mtu ghafla... Mwalimu alisimama katika nafasi ya kutoa adhabu ya fimbo kwa nia ya kujenga. Imekuwa tuu bahati mbaya kuambatana nyakati za hali ya ugonjwa... fimbo hizo angeweza kuwa amemchapa mzazi... Tuheshimu na kuwa na imani na wataaluma tulio nao... yapo mengi kujifunza tusitie chachu pasipo kuwa na uhalisia. Wanahabari mpate nafasi pia kuzungumza na wataaluma husika kwa ajili ya kuelimisha jamii na sio kujenga uchochezi usio na tija.
@shosemanjira90153 ай бұрын
Ile fimbo iligusa mships wa uti wa mgongo
@user-ej9sn1qq1p4 ай бұрын
Pole sana mama .wazazi tuendelee kujifunza tatizo linapotokea kufatilia kw karibu .
@sabamdekago4 ай бұрын
Mwalimu mkuu na mwalimu komo pamoja na DR wote walio simamia vipomo vya huyo mtoto wachunguzwe wawekwe chini ya ulinzi. Pls Waziri Wa Afya naomba ulifuatilie hili jambo hapo kuna janja janja zimetumika huyo mwalimu wa field ajulikane
@aishaalbalushaishabalush82913 ай бұрын
kwa serkal gani hiyo hadi wazir wa afya afatilie??😂😂😂😂
@ailenyanthony15504 ай бұрын
Alikuwa na tatizo la kiafya, fimbo tumepigwa sana tena zaidi ya 50, poleni ndg jamaa na marafiki roho ya marehemu ipumzike kwa amani
@sophyodago50624 ай бұрын
Acha ujinga wewe,, fimbo uuua watoto kichapo kikizidi au akipigwa pabaya
@Kabwela7764 ай бұрын
Kuma ya mama yako mbwa wewe wakapige fimbo mama zao ingekuwa Mimi ningemuua huyo mwalimu ningelipa watu wamchinje shetani huyo
@sophiakimaro51744 ай бұрын
Acha ujinga kuna sehemu hazitakiwi kupigwa.walimu wetu kuna maeneo walioyokuwa hawagusi kabisaa.
@victorhabonimana90554 ай бұрын
@@Kabwela776mbona na ww unafaa kupigwa unatukanaje ivo
@Kabwela7764 ай бұрын
@@victorhabonimana9055 unaongea hivyo sababu sio mtoto wako ndio kuuwawa siku akiuwawa mtoto wako au ndugu yako ndio utaelewa uchungu wake, huyo mwalimu Ningekuwa Karibu ningeshawishi watu kumvamia na kumpiga Hadi kumuuwa au ndugu ni kumvizia na kumkupiga risasi ya kichwa mbwa huyo
@AishaMohamed-wh9bs3 ай бұрын
Jamani walimuuuu me mwanangu amepigwa Kofi na mwalimu jichoni kidogo jicho litoke
@elizabethmassi73274 ай бұрын
leukemia damu inaisha haikai wanapewa hiyo damu iliyochuja ili isaidie kwenye huo upungufu wa damu na kuongeza plateletes kansa ya damu ina hivyo vyote anavyoelezewa na wataalam,kama alichapwa ni adhabu wengine walipitia ila bahati mbaya alikuwa na hiyo changamoto ya kansa ya damu kwa vyovyote huyo mtoto alikuwa anapata homa za hapa na pale ni vile mama mzembe
@ashurajengela39264 ай бұрын
Dah pamoja na uzembe wa mama ila hawa walimu hawa haki ya Mungu aniepushe tu ila nitakufa na mtu nitaenda jela kwa niaba ya uyo mwalimu 😢😢😢
@AishaHaji-jn7sg4 ай бұрын
Sasa muda wote kwanini asimpeleke hospital jamani huyu mama….!!😢😢Yaan mimi nikimuona wangu anamafua tu mbiooo hospital mtoto ana bleed toka katoka shule kweli jaman….sijaribu kulaumu Ila nasikitishwa tu Poleni sana familia kwa kumpoteza mtoto…Mungu akutie nguvu mpenzi wangu 😢
@Yusudav4 ай бұрын
Nilitaka kusema ivoivo..Asante kwa kuniwakilisha..Yaan huyu mama hakujiongeza kabisa
@beatricehenry67764 ай бұрын
Do maana Ni Mambo ya rohoni huyu mama alifungwa kote asijue la kufanya mzigo wa mwenzio Ni Kanda la Sufi pole dear wangu lisikie kwa mwenzio
@AishaHaji-jn7sg4 ай бұрын
@@beatricehenry6776 alifungwa na nani…?unataka kusema ni nguvu za giza….?
@stellashame75454 ай бұрын
Yani 😥
@selemanisalum76854 ай бұрын
Mtasumbuka sana huyo mtto kuna nguvu za jiza ila mwalimu ikikuwa chazo tu huyo katolewa kafara km sio baba yke mzazi alioko iringa au babu mana sasa ni hatari maisha ya sasa watu hawana uruma 😊
@clintonmsafi264 ай бұрын
Na wewe kama huna cha kuandika ukae kimya saw sas baba ake amuue ili iweje labla mwezetu ndo umemuua mtoto wetu umemtoa kafala et baba ake au babu yake hzo ndo akili zako ulizonazo
@fatihiyadossa3754 ай бұрын
@@clintonmsafi26kwakwel uyu aliesema katolewa kafara ameongea utopolo ambao Ata hauusiani na hichi inamaan Yuko Dunia ipi uyu ajui walimu wa field wanavouwa wanafunzi kila sku
@kekiplus1andonly4 ай бұрын
Baadhi ya walimu wa field wanakuaga na viherehere sana,tumewaona wengi. ni sheria ichukue mkondo wake ili kufundisha wengine
@fatihiyadossa3754 ай бұрын
Nikwel sikuna yule mwingine mwaka juzi nazani alimuuwa mwanafunzi mwanza alikuwa ni mwalimu wa field wamezidi sasa jmn
@elizabethmassi73274 ай бұрын
Kcmc wanasema mtoto alipimwa alikuwa na leukemia na hizo damu hadi fizi puani hizo uvimbe ni dalili za leukemia mume wangu alizipata zote hizo, huyu mama ni mzembe alikuwa hafuatilii mtoto wake
@berthajacob34333 ай бұрын
si uzembe bwana yaan n kutojua na isitoshe mtu akiugua at kichw imezoeleka anapew Pcm maisha yanasonga that's why akamwambia aweke maji kinywan na kutema..... kwenda hospital mpaka awee amezdiwa wabongo bwanaa weee ni atar!! but inategemea na uchumi piaa elimu.🤒🤒
@luciacosmas-nq8lv4 ай бұрын
Wazazi musiwe na ukali na watoto wekeni urafiki na watoto ili vitu vibaya vinavyo wapata waseme aisee nimeumia Rest in paradise Jonathan😢
@emmanuelmashauri4 ай бұрын
Kuanzia hao madoctor mpaka mwalimu mpumbavu huyo wakamatweee.. Inauma sana aisee 😢😢 huo ni uzembe kwa madactari hawako vzr wanatuua tu jmn daah😭😭😭
@hamidkololeki50094 ай бұрын
Usikurupuke madaktari wanafanya kaz kwa matakwa ya kitabibu na c kwa jnc unavyotaka ww
@anithiajohn92094 ай бұрын
Jmni mtot mdog wamekatil ndoto zake jamni wazazi na walezi tujitaid sana kutokupuuzia jambo tafadhar
@FlorenceMuthon4 ай бұрын
Pole mama,wazazi tusiwe wakali sana qw watoto dio watuabie ukwel na walimu wasilete tress qw watoto wetu
@Kabwela7764 ай бұрын
Mngemsaka huyo mwalimu na kumshushia kichapo Hadi kumuuwa au mama tafuta mtu mwenye bastola amvizie na ampigie risasi ya kichwa Na kumuuwa!
@hildakimaro-we6mb4 ай бұрын
Pamoja na hali ngumu ya maisha mama mzembe unaiyona damu unatulia kweliii😢😢😢poleni jamani
@user-xp6xw8fy8o4 ай бұрын
Yaaani Hawa walim wana bahati ninge zaa na yeye Adharani uni pigie mtoto wangu af uko hai mpka saivi wewe mwalimu oooh kama ungeishaji chimbia kaburi kwetu mbya nzuri aniii
@user-vn6so3on7z4 ай бұрын
😮😊😊jamani mtoto mdogo kwakweli dunia imekwisha
@achenikigava3 ай бұрын
Ila duniani kina mapito jamani. Jambo likiwa kwa mtu mwingine ni rahisi sana kusema ningekuwa mimi ningefanya hivi, kumbe lingekukuta huenda usingejua cha kufanya kwa haraka japo inaonekana mama alikuwa mzito kuchukua hatua za kwenda hospital saa nyingine kipato na madaktari nao siku hizi hawatibu mgonjwa bila hujalipa kiasi kilichotajwa yaani ni Mungu tu amebqki wa kutusaidia.
@jacklinakinabo64794 ай бұрын
Poleni,,,pumzika salama mtoto mzuri,.Nashindwa kuelewa ni fimbo tu jmn?? Au kuna jambo jingine nyuma ya pazia? Na kwann huyo mtoto alimwaga babu jmn, kuna nn na huyo babu au ndo mtoto alikua kamzoea sana
@user-df9vn1tc5o4 ай бұрын
Nguvu za Giza naiyoo!! Mwalimu ni kama daraja tuu
@hawaabdi62094 ай бұрын
Mama ana uzembe ila madaktar ndio wazembe zaid hyo ilikua n emergency kwa maelezo ya huyo mtoto tumbo kujaa mojakwamoja tumbon kulikua na shida kwahyo mtoto alitakiwa angizwe kwenye upasuaji yan hao madaktar nao wamechangia kifo cha mtoto pumbavu sana mxuuuu
@user-op8tz6vj3g4 ай бұрын
Pole sana mm jaman uyo mwalim achukuliwe atuwa za kisheria.
@RachelMethod-rt1qx4 ай бұрын
Pamoja na huyu mwalimu kupiga huyu mtoto, lakini pia kulikuwa na roho ya mauti unamuwinda huyu mtoto hyo imekuwa nisababu ya kifo chake, Mungu Awalinde watoto wetu
@pendomushi63514 ай бұрын
Huyo mwalimu Mungu anamuona kakatisha maisha na ndoto za mtoto mdogo jamani inauma Sana sijui alimkosea Nini kikubwa hvyo kiasi Cha kumpiga mpaka kumpelekea umauti 😢😢😢😢😢
@user-gs6dy8uc2r4 ай бұрын
Jamani Walimu wakumbuke wao ni walezi.kumchapa mwanafunzi kiasi kwa kumrekebish na cyoo kupiga km wanauwa heee.
@brunobalama60464 ай бұрын
jaman wazaz mjifunze kutokana na uzembe wa mzaz mwenzenu huyu ...hata kaama huna hela omba msaada kwa watu mungu atakusaidia kupitia ukarimu wa watu ..... nimejisikia vibaya sana mama umefanya uzembe mkubwa sana ....but all in all mungu amlaze mahala pema peponi huyu mtoto 🙏
@halimamusaamiri41874 ай бұрын
We mzazi mkali sanaa ndiyo maana ata mtoto ameshindwa kukueleza mzazi inabidi mtoto umkague mtoto kila anapurudi nyumba laki pole
@levinaedrmf3 ай бұрын
Pole sana mam ,ila jaman inatkiwa tukae karibu na watoto wetu
@nsiamasawe45784 ай бұрын
Hicho ni kifo cha mashaka madaktari walete udhibitisho. Kwa nini mtoto achapwe shule na atishwe kiasi cha kushindwa kumwambia mzazi?
@user-mw5xs2wx8n4 ай бұрын
Walimu Walimu Walimu jmn munashida gani walimu wasikuizi si mlisomea wenyewe hiyo fani lakini
@pendomkumbo82624 ай бұрын
Mwanamke mwenzangu wewe ni mzembe kabisa na hauko karibu na wanao
@maureenmuhenje9164 ай бұрын
ukweli kabisa hii mda yote no big noo
@pendomkumbo82624 ай бұрын
@@maureenmuhenje916 yaaan watoto wanakueleza hali ya mwenzao we unaendelea na shughuli zako ,Mara panadol Mara kuloweka kichwa kwenye maji wakati unajua iyo hali haijawahi mtokea mwanao? aiseeeeeeee ! Binafsi hunambii kitu kwa wanangu .....wao ni kipaumbele kuliko chochote kile haswa kwenye usalama Wa afya zao....hata siwezi lala fofofo bila kwenda kuwatizama mara mbili mbili vyumbani mwao,Sijui nawazaje aisee kwa huyu mwanamke mwenzangu.....ngoja nibaki nayo moyoni
@andrewmallya17044 ай бұрын
We unajiongelesha tu....mtoto mwenyewe alikua anaogopa kusema kwa hiyo mama wala hana kosa ata kama ingekua siku 3..inaonekana alitishwa asiseme
@maureenmuhenje9164 ай бұрын
@@andrewmallya1704 no hakuna kitu kama hiyo huyo mama n mzembe kwa kitu inaitwa damu hiyo n direct kwa daktari ama call ur neighbour akuangalie please kuna vitu zengine c zakunyamazia
@mariakalama30144 ай бұрын
I feel bad about the story but praying to god almighty and protect you and give you strength 🙏
@onyaluoma8484 ай бұрын
Pole Sana mama Jon ila usikubali kuzika mtoto hadi ukweli ujulikane, Yule mwalimu asshikwe mwanzo
@GodJakobTash-mu9zf4 ай бұрын
Dah kwa syle hii lazima nijeniue mtu akiamungu, pole mama.
@najmasalim-rg6ow4 ай бұрын
Daaah! Hivi hawa walim walio ajiriwa hawaon ukatil unaofanywa jamn
@robertmsukwa84664 ай бұрын
Binafisi mtoto wangu kupigwa na mwalimu kiasi cha kupoteza maisha hiyo nailipa kwa gharama yoyote na kwa njia yoyote ile siwezi lizika na upuuzi wa mwalimu mmoja asiyejua nini maana ya kuzaa lazima afe anajiona hiiiiiii😢 labda sio mimi
@tumainimgonja28264 ай бұрын
Waziri wa afya Tuma timu ya uchunguzi madaktari wamechangia kifo cha huyu mtoto naomba Tafadhali wote walio mhudumia wawekwe kwenye uchunguzi tunaomba hii haukubaliki madaktari wamechangi hili
@toptopress49094 ай бұрын
Mtoto ametokwa na damu siku zote izo anapelekwa dakika za mwisho, alafu unalaumu madaktari??
@emmymgana53714 ай бұрын
Mungu wangu jamaaaani 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 najaribu kuvaa viatu vyako dada havinitoshi cjui ni maumivu yaaina gani unayo pitia. Had nmelia wallah pole mama jonathani pole sana dada 😭😭😭
@ednagodson75404 ай бұрын
Siku ikifika wallah uzito unakuwepooo mama unakaa n mtoto unalala nae na dam zinatokaa au alikuwa ana kawaida ya kutoka dam Walim msichapee watotooo wengi waanaumwaaa ukute alishaaanza kuumwa zaman jaman uwiii😢😢
@neemarabani4 ай бұрын
Mungu naomba uwalinde watoto wetu. Nyumbani mabiti wanawatesa pasipo wazazi kujua mashuleni ndio Kama hivyo mtaani wanajisiwa na kulawitiwa EeMungu wetu wasaidie watoto wetu
@user-df9vn1tc5o4 ай бұрын
Okoka haya yataisha
@paulabelleghe4514 ай бұрын
Oh mtoto alikua na tatizo la kiafya,sema ndo siku ya balaa imemfika huyo mwl,Walimu acheni kuchapa watoto wengi wanamatatizo ya kiafya dah pole Sana mama Johna
@bennamush46164 ай бұрын
Hata mie nimeliwaza hilo
@user-dl1ju4ge3x4 ай бұрын
Mungu ailaze roho ya mtt huyo Mahali pema pepon😭😭😭😭inauma sana
@NicksonMganyizi3 ай бұрын
Jaman jaman.😢😢😢 Mungu ailaze roho mahali pema peponi inauma
@edvesterdamas30614 ай бұрын
Mama na wewe ulikuwa mzembe sana, ulishindwa kumuwahisha mtoto hospitali kweli 😢😢 Yani siku hiyo hiyo usingelala na huyo mtoto ndani. Wazazi wengine bana
@paulntalima69984 ай бұрын
Haya ndio matokea ya serikali ya CCM na sera mbaya ya elimu watanzania tuamke
@rehemaomary34934 ай бұрын
ACHA ujinga wewe Sasa Ccm Imeingiaje hapo. Ka senge na wewe.
@didimeandrewngowi4 ай бұрын
Mwalimu wa field?? Ni mwalimu gani huyo?? Ni mzazi kweli anauwa mtoto wa watu kwa ushenzi wake, serikali vyombo vya haki za binadamu analieni uonevu huu, sisi wananchi tunataka kujua hatma ya huyu mwalimu asiyejua maana ya taaluma anayojifunza achukuliwe hatua stahiki. HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI TU.LAKINI SHERIA ICHUKUWE MKONDO WAKE.
@elizabethdamas-zp9xl4 ай бұрын
jamni mi naona kwa sas maji yameshamwagika tusimlaumu uyu mama sababu maumivu aliyo nayo kwa sasa sidhan kama kuna mtu anaweza akavaa kiatu chake ,Mungu tu amtie nguvu na cha msingi tusiache kwaombea watoto wetu Mungu awalinde popote wanapokua shetan halalagi tukumbuke ilo anaweza kumtumia kiumbe chcht kile kufnya tukio na kikubwa zaid naona fimbo in zikatazwe kwa sas mashuleni aiseh maana aiseh swala la mtt kufa ni jambo jingne duh 😢😢😢😢😢😢
@carolynemokono87824 ай бұрын
Pole sana mum.Mungu akushikilie na neema yake
@user-yv7xg4em4s4 ай бұрын
Ila mama wewe mzembe damu zilimtoka hivo hata hospital usimpleke
@florenciajacob54634 ай бұрын
Kabisa my dear😢😢
@user-tt1nm9xs4n4 ай бұрын
Uon maisha yake magumu
@Carolina-sm5zt4 ай бұрын
Hospitalini ni hela tena utakuta hata bima ya Afya huna na ndani pesa hamna
@toptopress49094 ай бұрын
Hatakama hospitalini ni hela, mpeleke tu.
@frankchuwa49624 ай бұрын
Wewe hujui mazingira ya huyo mama,yeye hali yake ni duni sana elewa hata pesa ya kumpeleka hospital hakuwa nao. Tatizo ni huyo mwalimu kwa nn hajachukuliwa hatua na wanajaribu kumlinda huyo mtuhumiwa.Pia kwa nn Madoctor walimfanyia postmortem wakati ndugu wa huyo mtoto hawakuwepo? Kwa nn mnalichukulia kwa wepesi sana hili jambo au kwa vile ni mtoto wa maskini?
@merabubirakashekwa3504 ай бұрын
😨 sijui kama naweza kuandika chochote cha maana kwa Sasa 😭😭😭💔💔💔. Kweli Hii ni issue ya kushughulikia kwa wepesi hivi? Kweli? I’m hurt to the maximum. Wananchi wakichafukwa wakajichukulia sheria mkononi wanaonekana wavunjifu wa sheria. Katika hali kama hii na miyeyusho hii , unategemea mtu afanyeje?
@esterabonga79474 ай бұрын
Wazazi waki Afrika tuwe na bidii zakuwafatia watoto sana nakuwaoji kwa undani pale tatizo linapo tokea na unapo muona mwanaona ayupo kwenye hali yake ya kawaida. Ila pole sana kwa familia
@user-zv9td4ni4n3 ай бұрын
Jaman jmnn,kama mtu hana wito asivamie Kazi,huu ni ukatili Jmn😭😭😭😭😭
@HanifaOman-oo4pl4 ай бұрын
Inalillahi wainailahi rajuun. ..pole mama Allah.akupe subra
@Kabwela7764 ай бұрын
Daah roho imeniuma sana yaani nchi haina serikali naona watu waanze kuchukua sheria mkononi yaani huyo shetani amedhulumu maisha ya mtoto , Na viongozi wako kimya 💔💔💔💔💔💔💔💔
@umiy19714 ай бұрын
Unamchapa mtoto hadi anatumbuka damu kwa ndani ? Huyu hakuwa mwalimu alikuwa ni jambazi na Muuwaji
@rehemadaudi43904 ай бұрын
Maisha yanatufanya tunashindwa kuwa na. Makini na watoto wamama tijitahidi na Mungu atisaindie
@Carolina-sm5zt4 ай бұрын
Mungu ailaze Roho yake mahali pema
@MaryNikodem3 ай бұрын
Pole sana dad's angu mungu hakutangurie
@SalamaNauthar4 ай бұрын
Innalilliah wainnaillaih rajiuun😭😭😭😭😭
@hassankongolilo84084 ай бұрын
fimbo ziwe marufuku shuleni. mbona wenzetu nchi zilizoendelea hawachapani. huu utumwa wa kuhalalisha kuchapana mpka lini jamani. sisi ni wanadamu sio ng'ombe. afrika kweli hatujitambui pumbaff
@user-yv7xg4em4s4 ай бұрын
Ila sidhani kama anamepigwa atoke damu hivo kweli.mwal hawezi kupiga hivo.wewe mama mzembe
@ziggertv31854 ай бұрын
Kumbeka kagusa uti wa mgongo na watoto wengine wanamatatizo na piah kuna sehemu za kuchap
@joycekalago5324 ай бұрын
Angekua mwanangu pangetakata nawaambia ukweli kwa sababu ametumwa kufanya kaz na sio kuumiza mpaka kuua watoto wa watu,nina watoto we aalim kama klmtaona hii comment yangu nawaomba sana kwa wanangu mkome kabisaa
@user-br4tl7jv9j4 ай бұрын
Yan mama alikuwa anamlaza tu mtoto na dam zinatoka hashtuki? Mm mtaa mzima ungejua aiseh 😢😢
@florafaustine46374 ай бұрын
Yaani hata Mimi nilikuwa nawaza hivo hivo😢
@frankmoshi52944 ай бұрын
Mtaa ndo unatibia
@stevennenelwa31924 ай бұрын
Binafc sielew hapa kuna shida gn mtt alikua na shida gan shida ni fimbo za mwalim au kulikua na shida nygne kwa mtt
@HamisMghuna-fj3vz4 ай бұрын
Walimu kila mwaka wanaua watoto x bukoba x Lindi moshi n x2 sasa, serkali, Iko wp,hilo bunge lina kaz gan Dodoma,
@tuikezeezra13154 ай бұрын
Hivi Walimu walioko Field huwa Wana mashetani au shida nini!! Sasa huyo mtoto mdogo kakosea nini mpaka kupigwa hivo!!!🤔🤔🤔
@petermanala61384 ай бұрын
Na kama anamfundisha haelew angemuacha Kwan wake
@user-is4xo4pp8v4 ай бұрын
Pole sana Mama jamani, hawa waalimu jamani. Nataman hadi mtu asome ualimu wachunguzwe. Na huyo mwalimu akamatwe
@vickyshayo78804 ай бұрын
Nimeumia sana hadi machozi. Naona Ini limepasuka kwa kipigo cha mwalimu huyo mwalimu achukuliwe hatua
@user-ud4hu6xe1c4 ай бұрын
Dahhh wazazi sisi Mungu atusamehe, kweli mwanao damu zinamtoka puani nyingi alafu unamwangalia tuu kweli ww mama😢😢😢
@consomatogaudence1364 ай бұрын
Hata mimi hapo nimeshangaa muda mwingine maroho maana cdhani kama ni fimbo tu jamn
@user-nl4bq6qc5v4 ай бұрын
Kwa ni uchungu mtoto amekufa lakini kweli kwa maelezo hayo ni kwamba hiyo mtoto alikuwa mgonjwa haikujulikana tu.
@YoungQasaf4 ай бұрын
Mama wa mtoto Pole sana na jamii Pole yetu mana mtoto ni kioo cha jamii
@valentinanduku87184 ай бұрын
Kupoteza mtoto kwa hiyo njia inauma sana kwa kweli waalimu musiadhibu watoto kama mtoto amekosa julisha mzazi
Hawa walimu kila siku wanaona haya matukio au kuyasikia kupitia vyombo vya habari kwa nini hawajifunzi tu.
@uwezawamungumkuu.amaniafrika4 ай бұрын
Shinda nini jamani?. Kwanini tuue watoto wetu?. Uyo mwalimu anataka nini?. Pole sana mama.
@princejames74384 ай бұрын
Jaman jaman yaan hadi hapo uchunguzi ufanyike ni uchunguzi gani huo oneni hata huruma basi serikali iko wap haki ya Mama na mtoto iko wap Muogopeni hata Mungu basi😭😭😭😭😭😭