MAMA ALIA MTOTO WAKE KUUAWA NA MWALIMU WA 'FIELD' MOSHI KWA FIMBO "WAMEFUMUA KICHWA"

  Рет қаралды 116,197

Millard Ayo

Millard Ayo

4 ай бұрын

Пікірлер: 512
@dennishyera5448
@dennishyera5448 4 ай бұрын
Walimu wa field, wasiruhusiwe kuazibu wanafunzi. Pole ni wazazi. Inauma sana .
@basharanasser1541
@basharanasser1541 4 ай бұрын
Q
@SangioNgoo
@SangioNgoo 4 ай бұрын
Huyu mama anaonekana alikuwa hayuko karibu na mtoto wake ndiyo maana alikuwa anaogopa kumwambia ukweli. Hili ni tatizo kubwa la watanzania wengi. Wazazi wanakuwa wakali kwa watoto kiasi cha watoto kuogopa kusema wanapopata matatizo. Pili ni mama mzembe sana. Muda wote mtoto anatoa damu puani na mdomoni lakini hachukui hatua za dhararu. Serikali inabidi ikataze matumizi ya viboko shuleni. Hivi mtoto wa miaka 7 anapigwa kwa sababu gani? Kweli ujinga ni mama wa maovu yote. Mtoto amefariki kwa uzembe wa hali ya juu. Uzembe wa kuanzia kwa mama mtu, mwalimu, madaktari na serikali.
@annamussa185
@annamussa185 4 ай бұрын
Kabisa,me pia ni muhanga yani mama ni mkali hata kama unashida unabaki kimya tu yani wazazi punguzeni ukali imefika sehemu hata hamu na mama sina Yani Daaah!
@WinnieIkwisa-ts6bz
@WinnieIkwisa-ts6bz 4 ай бұрын
@@annamussa185 pole saaana
@florenciajacob5463
@florenciajacob5463 4 ай бұрын
Kabisa mzembee kabisa 😢😢😢
@user-br4tl7jv9j
@user-br4tl7jv9j 4 ай бұрын
Msilaumu upumbavu kisenge
@user-dn8rm7er1z
@user-dn8rm7er1z 4 ай бұрын
@@user-br4tl7jv9j wanadam wanakosa huruma jaman... mwenzao kafiwa na mtoto mnamhukumu kwa kiwango hivyo kweli??
@user-hj4sy9fy4g
@user-hj4sy9fy4g 4 ай бұрын
Bora tuwahukumu wenyewe fasta! Huko mbele hakuna msaada!! Pole sana mzazi!
@DianaMacha-jf8gw
@DianaMacha-jf8gw 4 ай бұрын
Viatu vya huyu mama havinitoshiiii😢😢😢
@umiy1971
@umiy1971 4 ай бұрын
Mwalimu amefanya uhasidi wake ila hana uwezo wa kuumba wala kuondoa uhai wa Mtu , sio kila lengo la mwanaadamu Mungu analiitikia , tungekuwa sote tumeshakufa .
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 4 ай бұрын
Pole Sana mama na apumzike kwa aman mwanangu 😭🙏
@kimarobeatus
@kimarobeatus 4 ай бұрын
Kwakweli
@vascombembela3632
@vascombembela3632 4 ай бұрын
Poleni sana mtoto alicheleweshwa sana kufika hospitali! Ila walezi na walimu ni vizuri kuwa makini na watoto kwani wengine Wana changamoto kubwa za kiafya hivyo ukimgusa vibaya tu unasababisha matatizo.Inaumiza sana Mungu awe faraja kwa familia hii. Lakini funzo ni kwamba tuwe tunachukua hatua mapema kwa viashiria kama hivyo ambavyo ni hatari.
@user-eb4nq5du2q
@user-eb4nq5du2q 4 ай бұрын
Yan hiii kitu ilishamtokea mdogo wangu ila tulimbana sana aise mpaka kusema ukwel ilichukua muda sana naisi na walimu uwa wanawatishiagaa pia sheria imchukuliee hatua uyo mwalimu😢😢
@carolynendossi1594
@carolynendossi1594 4 ай бұрын
Kwanza waalimu wapimwe afya ya akili kabla ya kuajiriwa. Unamkuta mtu yupo na uchungu umekaa huko ndani yake miaka na miaka ana stress mia kidogo. Mtoto anafanya kosa dogo tu anapigwa kwa kiwango ambacho siyo sahihi. Bwana Yesu awe mfariji mkuu kwa huyu mama🙌🏻🙌🏻
@user-cd8ge8mx7p
@user-cd8ge8mx7p 4 ай бұрын
Duuu pole sanaaaaa....pamoja uzembe wa Mama, nimelia sanaaa huyo mwalimu duuuu bac Mungu ndio atakujibu tuuuu
@user-fl3yl4or3e
@user-fl3yl4or3e 4 ай бұрын
Pole sana lakini mbona hukujiuliza baada yakuona mtoto anatoka damu mdomoni puani kwanini hujachukua hatua mapema dah walimu wengine
@user-ui4oh8gf8n
@user-ui4oh8gf8n 4 ай бұрын
Mama Huna woga.damu zinatoka bila ya kumpeleka hospital. Wazazi wezangu tuwe na hofu.
@user-zm2zm7wy1t
@user-zm2zm7wy1t 4 ай бұрын
Kama wew ni mzaz huwez kusema hivy cyo kwamba kila kitu utafany kama inavyostahil cyo kama hana woga kutoka damu kwenye viz ni hali ya kawaid ambayo mtu huwez kufkir kwa harakaharak kuw ni tatizo kubwa.
@shosemanjira9015
@shosemanjira9015 3 ай бұрын
Inauma machoz yamenitoka, hizo damui kwann wamuongezee nyingi ivyoo
@user-dn8rm7er1z
@user-dn8rm7er1z 4 ай бұрын
Pole sana Janet jaman... Mungu akutie nguvu kipenzi, kumbe nilipokuona kcmc ndio ulikua na jambo kubwa hivyo
@happinesslema7264
@happinesslema7264 4 ай бұрын
La msingi ni kumtanguliza Mungu ktka kila jambo shetani ana mbinu nyingi sana !!!!! Shetani huwa anatafuta chanzo tu aweze kutimiza lengo lake !!!!Mungu ndiye ajuaye yaliyosirini!!!!!
@hellenjulius7790
@hellenjulius7790 4 ай бұрын
Hakika ni kumtanguliza mungu maana shetani yupo kazini
@bonita329
@bonita329 4 ай бұрын
Inauma sana 💔ila huyu dada ni mzembe sana kwakweli 😢huyu angepeleka hospital siku hiyohiyo ... Mtoto katoka damu mdomoni na puani na sio kawaida yake bado tu ushutuki jamani😫😩na hii sheria ya kupiga watoto ipigwe marufuku Tanzania kote... Ni kheli kumpa mtoto adhabu lakini sio kumchapa mtoto wa watu ujui anamatatizo gani🤦🏽‍♀️
@omarymtegwa2299
@omarymtegwa2299 4 ай бұрын
Eeeehe angekuwa mwanangu....huyo mwalimu serikali ingepata majibu ningemuuwa kwa mikono yangu
@user-df9vn1tc5o
@user-df9vn1tc5o 4 ай бұрын
Weeeeeee
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 4 ай бұрын
Daa mtoto Kapotea bila hatia 😭😭💔💔
@jenipheraron3566
@jenipheraron3566 4 ай бұрын
Mama pia mzembe dah ila hawa waalimu sheria zichukuliwe
@user-df9vn1tc5o
@user-df9vn1tc5o 4 ай бұрын
Mama ana uzembe gani
@user-dx2zl1vo5s
@user-dx2zl1vo5s 4 ай бұрын
Kwel hakua karbu na mtoto
@bennamush4616
@bennamush4616 4 ай бұрын
Siku tatu mtoto hayupo sawa anamwangalia tuu bila kumpeleka hospital
@rodjeje5479
@rodjeje5479 4 ай бұрын
​@@bennamush4616hapana alimpeleka hospital usiku saaana
@paulpastory1193
@paulpastory1193 4 ай бұрын
Bwana ametoa Bwana ametwaa jina lake Libarikiwe Ameen
@claudiajames2003
@claudiajames2003 4 ай бұрын
Yani we Mwalimu unakuja shule na stress zako za vikoba na mikopo,unakuja kunipigia mtoto wangu kama hivi mpk unamjua,Wallahi hata polisi hufiki tutamalizana!
@StevenMremy
@StevenMremy 4 ай бұрын
Mama mwenyewe nimzembe kwa maelezo yako ulikua umjali uyo mtoto siku tatu mtoto anatokwa damu usimpeleke hospitali kama vile ukumzaa 😢😢😢😢dah😢😢 RIP
@sueddelft9069
@sueddelft9069 4 ай бұрын
Ni Kwli mama ni mpuuzi siku 3 unamuangalia tyuu
@rehemaomary3493
@rehemaomary3493 4 ай бұрын
Eti mtoto siku 3 damu zinamtoka yeye ana mwangalia tu. Mama nae kachangia kifo Cha mtoto wake Angempeleka mtoto hospital halafu mambo mengine yafuate
@fatumamakoye5711
@fatumamakoye5711 4 ай бұрын
​@@rehemaomary3493msiongee tu kiurahis nyie hv vitu vinaumiza amjui watu wanaishije mtu utakuta hana ata mia hospital zenyew ckuiz km huna ela unaonekan km mbwa tu
@user-cb3vw5fp8y
@user-cb3vw5fp8y 4 ай бұрын
Na siku ya tatu ndo anaona mtoto majeraha siku zote hizo alikua hamuogeshi mtoto??
@ambroceharouna1612
@ambroceharouna1612 4 ай бұрын
Fala San ilo Mama
@neemareuben311
@neemareuben311 4 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢aiseeeee hii kitu skia kwa mtu km hiviii Pole sn mama😢😢
@christinefuraha1513
@christinefuraha1513 4 ай бұрын
Sio rahisi kupokea kama mzazi Hakika mtoto huyu alikuwa anachangamoto ambayo mama hakutambua mapema... saratani ya damu huweza mchukua mtu ghafla... Mwalimu alisimama katika nafasi ya kutoa adhabu ya fimbo kwa nia ya kujenga. Imekuwa tuu bahati mbaya kuambatana nyakati za hali ya ugonjwa... fimbo hizo angeweza kuwa amemchapa mzazi... Tuheshimu na kuwa na imani na wataaluma tulio nao... yapo mengi kujifunza tusitie chachu pasipo kuwa na uhalisia. Wanahabari mpate nafasi pia kuzungumza na wataaluma husika kwa ajili ya kuelimisha jamii na sio kujenga uchochezi usio na tija.
@shosemanjira9015
@shosemanjira9015 3 ай бұрын
Ile fimbo iligusa mships wa uti wa mgongo
@user-ej9sn1qq1p
@user-ej9sn1qq1p 4 ай бұрын
Pole sana mama .wazazi tuendelee kujifunza tatizo linapotokea kufatilia kw karibu .
@sabamdekago
@sabamdekago 4 ай бұрын
Mwalimu mkuu na mwalimu komo pamoja na DR wote walio simamia vipomo vya huyo mtoto wachunguzwe wawekwe chini ya ulinzi. Pls Waziri Wa Afya naomba ulifuatilie hili jambo hapo kuna janja janja zimetumika huyo mwalimu wa field ajulikane
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 3 ай бұрын
kwa serkal gani hiyo hadi wazir wa afya afatilie??😂😂😂😂
@ailenyanthony1550
@ailenyanthony1550 4 ай бұрын
Alikuwa na tatizo la kiafya, fimbo tumepigwa sana tena zaidi ya 50, poleni ndg jamaa na marafiki roho ya marehemu ipumzike kwa amani
@sophyodago5062
@sophyodago5062 4 ай бұрын
Acha ujinga wewe,, fimbo uuua watoto kichapo kikizidi au akipigwa pabaya
@Kabwela776
@Kabwela776 4 ай бұрын
Kuma ya mama yako mbwa wewe wakapige fimbo mama zao ingekuwa Mimi ningemuua huyo mwalimu ningelipa watu wamchinje shetani huyo
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 4 ай бұрын
Acha ujinga kuna sehemu hazitakiwi kupigwa.walimu wetu kuna maeneo walioyokuwa hawagusi kabisaa.
@victorhabonimana9055
@victorhabonimana9055 4 ай бұрын
​@@Kabwela776mbona na ww unafaa kupigwa unatukanaje ivo
@Kabwela776
@Kabwela776 4 ай бұрын
@@victorhabonimana9055 unaongea hivyo sababu sio mtoto wako ndio kuuwawa siku akiuwawa mtoto wako au ndugu yako ndio utaelewa uchungu wake, huyo mwalimu Ningekuwa Karibu ningeshawishi watu kumvamia na kumpiga Hadi kumuuwa au ndugu ni kumvizia na kumkupiga risasi ya kichwa mbwa huyo
@AishaMohamed-wh9bs
@AishaMohamed-wh9bs 3 ай бұрын
Jamani walimuuuu me mwanangu amepigwa Kofi na mwalimu jichoni kidogo jicho litoke
@elizabethmassi7327
@elizabethmassi7327 4 ай бұрын
leukemia damu inaisha haikai wanapewa hiyo damu iliyochuja ili isaidie kwenye huo upungufu wa damu na kuongeza plateletes kansa ya damu ina hivyo vyote anavyoelezewa na wataalam,kama alichapwa ni adhabu wengine walipitia ila bahati mbaya alikuwa na hiyo changamoto ya kansa ya damu kwa vyovyote huyo mtoto alikuwa anapata homa za hapa na pale ni vile mama mzembe
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 4 ай бұрын
Dah pamoja na uzembe wa mama ila hawa walimu hawa haki ya Mungu aniepushe tu ila nitakufa na mtu nitaenda jela kwa niaba ya uyo mwalimu 😢😢😢
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 4 ай бұрын
Sasa muda wote kwanini asimpeleke hospital jamani huyu mama….!!😢😢Yaan mimi nikimuona wangu anamafua tu mbiooo hospital mtoto ana bleed toka katoka shule kweli jaman….sijaribu kulaumu Ila nasikitishwa tu Poleni sana familia kwa kumpoteza mtoto…Mungu akutie nguvu mpenzi wangu 😢
@Yusudav
@Yusudav 4 ай бұрын
Nilitaka kusema ivoivo..Asante kwa kuniwakilisha..Yaan huyu mama hakujiongeza kabisa
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 4 ай бұрын
Do maana Ni Mambo ya rohoni huyu mama alifungwa kote asijue la kufanya mzigo wa mwenzio Ni Kanda la Sufi pole dear wangu lisikie kwa mwenzio
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 4 ай бұрын
@@beatricehenry6776 alifungwa na nani…?unataka kusema ni nguvu za giza….?
@stellashame7545
@stellashame7545 4 ай бұрын
Yani 😥
@selemanisalum7685
@selemanisalum7685 4 ай бұрын
Mtasumbuka sana huyo mtto kuna nguvu za jiza ila mwalimu ikikuwa chazo tu huyo katolewa kafara km sio baba yke mzazi alioko iringa au babu mana sasa ni hatari maisha ya sasa watu hawana uruma 😊
@clintonmsafi26
@clintonmsafi26 4 ай бұрын
Na wewe kama huna cha kuandika ukae kimya saw sas baba ake amuue ili iweje labla mwezetu ndo umemuua mtoto wetu umemtoa kafala et baba ake au babu yake hzo ndo akili zako ulizonazo
@fatihiyadossa375
@fatihiyadossa375 4 ай бұрын
​@@clintonmsafi26kwakwel uyu aliesema katolewa kafara ameongea utopolo ambao Ata hauusiani na hichi inamaan Yuko Dunia ipi uyu ajui walimu wa field wanavouwa wanafunzi kila sku
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 ай бұрын
Baadhi ya walimu wa field wanakuaga na viherehere sana,tumewaona wengi. ni sheria ichukue mkondo wake ili kufundisha wengine
@fatihiyadossa375
@fatihiyadossa375 4 ай бұрын
Nikwel sikuna yule mwingine mwaka juzi nazani alimuuwa mwanafunzi mwanza alikuwa ni mwalimu wa field wamezidi sasa jmn
@elizabethmassi7327
@elizabethmassi7327 4 ай бұрын
Kcmc wanasema mtoto alipimwa alikuwa na leukemia na hizo damu hadi fizi puani hizo uvimbe ni dalili za leukemia mume wangu alizipata zote hizo, huyu mama ni mzembe alikuwa hafuatilii mtoto wake
@berthajacob3433
@berthajacob3433 3 ай бұрын
si uzembe bwana yaan n kutojua na isitoshe mtu akiugua at kichw imezoeleka anapew Pcm maisha yanasonga that's why akamwambia aweke maji kinywan na kutema..... kwenda hospital mpaka awee amezdiwa wabongo bwanaa weee ni atar!! but inategemea na uchumi piaa elimu.🤒🤒
@luciacosmas-nq8lv
@luciacosmas-nq8lv 4 ай бұрын
Wazazi musiwe na ukali na watoto wekeni urafiki na watoto ili vitu vibaya vinavyo wapata waseme aisee nimeumia Rest in paradise Jonathan😢
@emmanuelmashauri
@emmanuelmashauri 4 ай бұрын
Kuanzia hao madoctor mpaka mwalimu mpumbavu huyo wakamatweee.. Inauma sana aisee 😢😢 huo ni uzembe kwa madactari hawako vzr wanatuua tu jmn daah😭😭😭
@hamidkololeki5009
@hamidkololeki5009 4 ай бұрын
Usikurupuke madaktari wanafanya kaz kwa matakwa ya kitabibu na c kwa jnc unavyotaka ww
@anithiajohn9209
@anithiajohn9209 4 ай бұрын
Jmni mtot mdog wamekatil ndoto zake jamni wazazi na walezi tujitaid sana kutokupuuzia jambo tafadhar
@FlorenceMuthon
@FlorenceMuthon 4 ай бұрын
Pole mama,wazazi tusiwe wakali sana qw watoto dio watuabie ukwel na walimu wasilete tress qw watoto wetu
@Kabwela776
@Kabwela776 4 ай бұрын
Mngemsaka huyo mwalimu na kumshushia kichapo Hadi kumuuwa au mama tafuta mtu mwenye bastola amvizie na ampigie risasi ya kichwa Na kumuuwa!
@hildakimaro-we6mb
@hildakimaro-we6mb 4 ай бұрын
Pamoja na hali ngumu ya maisha mama mzembe unaiyona damu unatulia kweliii😢😢😢poleni jamani
@user-xp6xw8fy8o
@user-xp6xw8fy8o 4 ай бұрын
Yaaani Hawa walim wana bahati ninge zaa na yeye Adharani uni pigie mtoto wangu af uko hai mpka saivi wewe mwalimu oooh kama ungeishaji chimbia kaburi kwetu mbya nzuri aniii
@user-vn6so3on7z
@user-vn6so3on7z 4 ай бұрын
😮😊😊jamani mtoto mdogo kwakweli dunia imekwisha
@achenikigava
@achenikigava 3 ай бұрын
Ila duniani kina mapito jamani. Jambo likiwa kwa mtu mwingine ni rahisi sana kusema ningekuwa mimi ningefanya hivi, kumbe lingekukuta huenda usingejua cha kufanya kwa haraka japo inaonekana mama alikuwa mzito kuchukua hatua za kwenda hospital saa nyingine kipato na madaktari nao siku hizi hawatibu mgonjwa bila hujalipa kiasi kilichotajwa yaani ni Mungu tu amebqki wa kutusaidia.
@jacklinakinabo6479
@jacklinakinabo6479 4 ай бұрын
Poleni,,,pumzika salama mtoto mzuri,.Nashindwa kuelewa ni fimbo tu jmn?? Au kuna jambo jingine nyuma ya pazia? Na kwann huyo mtoto alimwaga babu jmn, kuna nn na huyo babu au ndo mtoto alikua kamzoea sana
@user-df9vn1tc5o
@user-df9vn1tc5o 4 ай бұрын
Nguvu za Giza naiyoo!! Mwalimu ni kama daraja tuu
@hawaabdi6209
@hawaabdi6209 4 ай бұрын
Mama ana uzembe ila madaktar ndio wazembe zaid hyo ilikua n emergency kwa maelezo ya huyo mtoto tumbo kujaa mojakwamoja tumbon kulikua na shida kwahyo mtoto alitakiwa angizwe kwenye upasuaji yan hao madaktar nao wamechangia kifo cha mtoto pumbavu sana mxuuuu
@user-op8tz6vj3g
@user-op8tz6vj3g 4 ай бұрын
Pole sana mm jaman uyo mwalim achukuliwe atuwa za kisheria.
@RachelMethod-rt1qx
@RachelMethod-rt1qx 4 ай бұрын
Pamoja na huyu mwalimu kupiga huyu mtoto, lakini pia kulikuwa na roho ya mauti unamuwinda huyu mtoto hyo imekuwa nisababu ya kifo chake, Mungu Awalinde watoto wetu
@pendomushi6351
@pendomushi6351 4 ай бұрын
Huyo mwalimu Mungu anamuona kakatisha maisha na ndoto za mtoto mdogo jamani inauma Sana sijui alimkosea Nini kikubwa hvyo kiasi Cha kumpiga mpaka kumpelekea umauti 😢😢😢😢😢
@user-gs6dy8uc2r
@user-gs6dy8uc2r 4 ай бұрын
Jamani Walimu wakumbuke wao ni walezi.kumchapa mwanafunzi kiasi kwa kumrekebish na cyoo kupiga km wanauwa heee.
@brunobalama6046
@brunobalama6046 4 ай бұрын
jaman wazaz mjifunze kutokana na uzembe wa mzaz mwenzenu huyu ...hata kaama huna hela omba msaada kwa watu mungu atakusaidia kupitia ukarimu wa watu ..... nimejisikia vibaya sana mama umefanya uzembe mkubwa sana ....but all in all mungu amlaze mahala pema peponi huyu mtoto 🙏
@halimamusaamiri4187
@halimamusaamiri4187 4 ай бұрын
We mzazi mkali sanaa ndiyo maana ata mtoto ameshindwa kukueleza mzazi inabidi mtoto umkague mtoto kila anapurudi nyumba laki pole
@levinaedrmf
@levinaedrmf 3 ай бұрын
Pole sana mam ,ila jaman inatkiwa tukae karibu na watoto wetu
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 4 ай бұрын
Hicho ni kifo cha mashaka madaktari walete udhibitisho. Kwa nini mtoto achapwe shule na atishwe kiasi cha kushindwa kumwambia mzazi?
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n 4 ай бұрын
Walimu Walimu Walimu jmn munashida gani walimu wasikuizi si mlisomea wenyewe hiyo fani lakini
@pendomkumbo8262
@pendomkumbo8262 4 ай бұрын
Mwanamke mwenzangu wewe ni mzembe kabisa na hauko karibu na wanao
@maureenmuhenje916
@maureenmuhenje916 4 ай бұрын
ukweli kabisa hii mda yote no big noo
@pendomkumbo8262
@pendomkumbo8262 4 ай бұрын
@@maureenmuhenje916 yaaan watoto wanakueleza hali ya mwenzao we unaendelea na shughuli zako ,Mara panadol Mara kuloweka kichwa kwenye maji wakati unajua iyo hali haijawahi mtokea mwanao? aiseeeeeeee ! Binafsi hunambii kitu kwa wanangu .....wao ni kipaumbele kuliko chochote kile haswa kwenye usalama Wa afya zao....hata siwezi lala fofofo bila kwenda kuwatizama mara mbili mbili vyumbani mwao,Sijui nawazaje aisee kwa huyu mwanamke mwenzangu.....ngoja nibaki nayo moyoni
@andrewmallya1704
@andrewmallya1704 4 ай бұрын
We unajiongelesha tu....mtoto mwenyewe alikua anaogopa kusema kwa hiyo mama wala hana kosa ata kama ingekua siku 3..inaonekana alitishwa asiseme
@maureenmuhenje916
@maureenmuhenje916 4 ай бұрын
@@andrewmallya1704 no hakuna kitu kama hiyo huyo mama n mzembe kwa kitu inaitwa damu hiyo n direct kwa daktari ama call ur neighbour akuangalie please kuna vitu zengine c zakunyamazia
@mariakalama3014
@mariakalama3014 4 ай бұрын
I feel bad about the story but praying to god almighty and protect you and give you strength 🙏
@onyaluoma848
@onyaluoma848 4 ай бұрын
Pole Sana mama Jon ila usikubali kuzika mtoto hadi ukweli ujulikane, Yule mwalimu asshikwe mwanzo
@GodJakobTash-mu9zf
@GodJakobTash-mu9zf 4 ай бұрын
Dah kwa syle hii lazima nijeniue mtu akiamungu, pole mama.
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 4 ай бұрын
Daaah! Hivi hawa walim walio ajiriwa hawaon ukatil unaofanywa jamn
@robertmsukwa8466
@robertmsukwa8466 4 ай бұрын
Binafisi mtoto wangu kupigwa na mwalimu kiasi cha kupoteza maisha hiyo nailipa kwa gharama yoyote na kwa njia yoyote ile siwezi lizika na upuuzi wa mwalimu mmoja asiyejua nini maana ya kuzaa lazima afe anajiona hiiiiiii😢 labda sio mimi
@tumainimgonja2826
@tumainimgonja2826 4 ай бұрын
Waziri wa afya Tuma timu ya uchunguzi madaktari wamechangia kifo cha huyu mtoto naomba Tafadhali wote walio mhudumia wawekwe kwenye uchunguzi tunaomba hii haukubaliki madaktari wamechangi hili
@toptopress4909
@toptopress4909 4 ай бұрын
Mtoto ametokwa na damu siku zote izo anapelekwa dakika za mwisho, alafu unalaumu madaktari??
@emmymgana5371
@emmymgana5371 4 ай бұрын
Mungu wangu jamaaaani 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 najaribu kuvaa viatu vyako dada havinitoshi cjui ni maumivu yaaina gani unayo pitia. Had nmelia wallah pole mama jonathani pole sana dada 😭😭😭
@ednagodson7540
@ednagodson7540 4 ай бұрын
Siku ikifika wallah uzito unakuwepooo mama unakaa n mtoto unalala nae na dam zinatokaa au alikuwa ana kawaida ya kutoka dam Walim msichapee watotooo wengi waanaumwaaa ukute alishaaanza kuumwa zaman jaman uwiii😢😢
@neemarabani
@neemarabani 4 ай бұрын
Mungu naomba uwalinde watoto wetu. Nyumbani mabiti wanawatesa pasipo wazazi kujua mashuleni ndio Kama hivyo mtaani wanajisiwa na kulawitiwa EeMungu wetu wasaidie watoto wetu
@user-df9vn1tc5o
@user-df9vn1tc5o 4 ай бұрын
Okoka haya yataisha
@paulabelleghe451
@paulabelleghe451 4 ай бұрын
Oh mtoto alikua na tatizo la kiafya,sema ndo siku ya balaa imemfika huyo mwl,Walimu acheni kuchapa watoto wengi wanamatatizo ya kiafya dah pole Sana mama Johna
@bennamush4616
@bennamush4616 4 ай бұрын
Hata mie nimeliwaza hilo
@user-dl1ju4ge3x
@user-dl1ju4ge3x 4 ай бұрын
Mungu ailaze roho ya mtt huyo Mahali pema pepon😭😭😭😭inauma sana
@NicksonMganyizi
@NicksonMganyizi 3 ай бұрын
Jaman jaman.😢😢😢 Mungu ailaze roho mahali pema peponi inauma
@edvesterdamas3061
@edvesterdamas3061 4 ай бұрын
Mama na wewe ulikuwa mzembe sana, ulishindwa kumuwahisha mtoto hospitali kweli 😢😢 Yani siku hiyo hiyo usingelala na huyo mtoto ndani. Wazazi wengine bana
@paulntalima6998
@paulntalima6998 4 ай бұрын
Haya ndio matokea ya serikali ya CCM na sera mbaya ya elimu watanzania tuamke
@rehemaomary3493
@rehemaomary3493 4 ай бұрын
ACHA ujinga wewe Sasa Ccm Imeingiaje hapo. Ka senge na wewe.
@didimeandrewngowi
@didimeandrewngowi 4 ай бұрын
Mwalimu wa field?? Ni mwalimu gani huyo?? Ni mzazi kweli anauwa mtoto wa watu kwa ushenzi wake, serikali vyombo vya haki za binadamu analieni uonevu huu, sisi wananchi tunataka kujua hatma ya huyu mwalimu asiyejua maana ya taaluma anayojifunza achukuliwe hatua stahiki. HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI TU.LAKINI SHERIA ICHUKUWE MKONDO WAKE.
@elizabethdamas-zp9xl
@elizabethdamas-zp9xl 4 ай бұрын
jamni mi naona kwa sas maji yameshamwagika tusimlaumu uyu mama sababu maumivu aliyo nayo kwa sasa sidhan kama kuna mtu anaweza akavaa kiatu chake ,Mungu tu amtie nguvu na cha msingi tusiache kwaombea watoto wetu Mungu awalinde popote wanapokua shetan halalagi tukumbuke ilo anaweza kumtumia kiumbe chcht kile kufnya tukio na kikubwa zaid naona fimbo in zikatazwe kwa sas mashuleni aiseh maana aiseh swala la mtt kufa ni jambo jingne duh 😢😢😢😢😢😢
@carolynemokono8782
@carolynemokono8782 4 ай бұрын
Pole sana mum.Mungu akushikilie na neema yake
@user-yv7xg4em4s
@user-yv7xg4em4s 4 ай бұрын
Ila mama wewe mzembe damu zilimtoka hivo hata hospital usimpleke
@florenciajacob5463
@florenciajacob5463 4 ай бұрын
Kabisa my dear😢😢
@user-tt1nm9xs4n
@user-tt1nm9xs4n 4 ай бұрын
Uon maisha yake magumu
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 4 ай бұрын
Hospitalini ni hela tena utakuta hata bima ya Afya huna na ndani pesa hamna
@toptopress4909
@toptopress4909 4 ай бұрын
Hatakama hospitalini ni hela, mpeleke tu.
@frankchuwa4962
@frankchuwa4962 4 ай бұрын
Wewe hujui mazingira ya huyo mama,yeye hali yake ni duni sana elewa hata pesa ya kumpeleka hospital hakuwa nao. Tatizo ni huyo mwalimu kwa nn hajachukuliwa hatua na wanajaribu kumlinda huyo mtuhumiwa.Pia kwa nn Madoctor walimfanyia postmortem wakati ndugu wa huyo mtoto hawakuwepo? Kwa nn mnalichukulia kwa wepesi sana hili jambo au kwa vile ni mtoto wa maskini?
@merabubirakashekwa350
@merabubirakashekwa350 4 ай бұрын
😨 sijui kama naweza kuandika chochote cha maana kwa Sasa 😭😭😭💔💔💔. Kweli Hii ni issue ya kushughulikia kwa wepesi hivi? Kweli? I’m hurt to the maximum. Wananchi wakichafukwa wakajichukulia sheria mkononi wanaonekana wavunjifu wa sheria. Katika hali kama hii na miyeyusho hii , unategemea mtu afanyeje?
@esterabonga7947
@esterabonga7947 4 ай бұрын
Wazazi waki Afrika tuwe na bidii zakuwafatia watoto sana nakuwaoji kwa undani pale tatizo linapo tokea na unapo muona mwanaona ayupo kwenye hali yake ya kawaida. Ila pole sana kwa familia
@user-zv9td4ni4n
@user-zv9td4ni4n 3 ай бұрын
Jaman jmnn,kama mtu hana wito asivamie Kazi,huu ni ukatili Jmn😭😭😭😭😭
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 4 ай бұрын
Inalillahi wainailahi rajuun. ..pole mama Allah.akupe subra
@Kabwela776
@Kabwela776 4 ай бұрын
Daah roho imeniuma sana yaani nchi haina serikali naona watu waanze kuchukua sheria mkononi yaani huyo shetani amedhulumu maisha ya mtoto , Na viongozi wako kimya 💔💔💔💔💔💔💔💔
@umiy1971
@umiy1971 4 ай бұрын
Unamchapa mtoto hadi anatumbuka damu kwa ndani ? Huyu hakuwa mwalimu alikuwa ni jambazi na Muuwaji
@rehemadaudi4390
@rehemadaudi4390 4 ай бұрын
Maisha yanatufanya tunashindwa kuwa na. Makini na watoto wamama tijitahidi na Mungu atisaindie
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 4 ай бұрын
Mungu ailaze Roho yake mahali pema
@MaryNikodem
@MaryNikodem 3 ай бұрын
Pole sana dad's angu mungu hakutangurie
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 4 ай бұрын
Innalilliah wainnaillaih rajiuun😭😭😭😭😭
@hassankongolilo8408
@hassankongolilo8408 4 ай бұрын
fimbo ziwe marufuku shuleni. mbona wenzetu nchi zilizoendelea hawachapani. huu utumwa wa kuhalalisha kuchapana mpka lini jamani. sisi ni wanadamu sio ng'ombe. afrika kweli hatujitambui pumbaff
@user-yv7xg4em4s
@user-yv7xg4em4s 4 ай бұрын
Ila sidhani kama anamepigwa atoke damu hivo kweli.mwal hawezi kupiga hivo.wewe mama mzembe
@ziggertv3185
@ziggertv3185 4 ай бұрын
Kumbeka kagusa uti wa mgongo na watoto wengine wanamatatizo na piah kuna sehemu za kuchap
@joycekalago532
@joycekalago532 4 ай бұрын
Angekua mwanangu pangetakata nawaambia ukweli kwa sababu ametumwa kufanya kaz na sio kuumiza mpaka kuua watoto wa watu,nina watoto we aalim kama klmtaona hii comment yangu nawaomba sana kwa wanangu mkome kabisaa
@user-br4tl7jv9j
@user-br4tl7jv9j 4 ай бұрын
Yan mama alikuwa anamlaza tu mtoto na dam zinatoka hashtuki? Mm mtaa mzima ungejua aiseh 😢😢
@florafaustine4637
@florafaustine4637 4 ай бұрын
Yaani hata Mimi nilikuwa nawaza hivo hivo😢
@frankmoshi5294
@frankmoshi5294 4 ай бұрын
Mtaa ndo unatibia
@stevennenelwa3192
@stevennenelwa3192 4 ай бұрын
Binafc sielew hapa kuna shida gn mtt alikua na shida gan shida ni fimbo za mwalim au kulikua na shida nygne kwa mtt
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 4 ай бұрын
Walimu kila mwaka wanaua watoto x bukoba x Lindi moshi n x2 sasa, serkali, Iko wp,hilo bunge lina kaz gan Dodoma,
@tuikezeezra1315
@tuikezeezra1315 4 ай бұрын
Hivi Walimu walioko Field huwa Wana mashetani au shida nini!! Sasa huyo mtoto mdogo kakosea nini mpaka kupigwa hivo!!!🤔🤔🤔
@petermanala6138
@petermanala6138 4 ай бұрын
Na kama anamfundisha haelew angemuacha Kwan wake
@user-is4xo4pp8v
@user-is4xo4pp8v 4 ай бұрын
Pole sana Mama jamani, hawa waalimu jamani. Nataman hadi mtu asome ualimu wachunguzwe. Na huyo mwalimu akamatwe
@vickyshayo7880
@vickyshayo7880 4 ай бұрын
Nimeumia sana hadi machozi. Naona Ini limepasuka kwa kipigo cha mwalimu huyo mwalimu achukuliwe hatua
@user-ud4hu6xe1c
@user-ud4hu6xe1c 4 ай бұрын
Dahhh wazazi sisi Mungu atusamehe, kweli mwanao damu zinamtoka puani nyingi alafu unamwangalia tuu kweli ww mama😢😢😢
@consomatogaudence136
@consomatogaudence136 4 ай бұрын
Hata mimi hapo nimeshangaa muda mwingine maroho maana cdhani kama ni fimbo tu jamn
@user-nl4bq6qc5v
@user-nl4bq6qc5v 4 ай бұрын
Kwa ni uchungu mtoto amekufa lakini kweli kwa maelezo hayo ni kwamba hiyo mtoto alikuwa mgonjwa haikujulikana tu.
@YoungQasaf
@YoungQasaf 4 ай бұрын
Mama wa mtoto Pole sana na jamii Pole yetu mana mtoto ni kioo cha jamii
@valentinanduku8718
@valentinanduku8718 4 ай бұрын
Kupoteza mtoto kwa hiyo njia inauma sana kwa kweli waalimu musiadhibu watoto kama mtoto amekosa julisha mzazi
@hellenmassawe7284
@hellenmassawe7284 4 ай бұрын
Yaniii wewe dada kwe kweli sijui
@andrewjuma2485
@andrewjuma2485 4 ай бұрын
Inauma sana
@honestandakidemi2332
@honestandakidemi2332 4 ай бұрын
Mungu akupe NGUVU mama,da nmelia sana
@faridkasim7816
@faridkasim7816 4 ай бұрын
Uyu mwalim amazake amaza nisingejali selekali walanini yeye anaenda kuzikwa mimi nanda kufungwa pumbavuzake,
@hamidkololeki5009
@hamidkololeki5009 4 ай бұрын
acha mihemkooo
@user-nb6cd7rx6v
@user-nb6cd7rx6v 4 ай бұрын
Pole Sana mama😊
@elsonmachaobed6450
@elsonmachaobed6450 2 ай бұрын
Hawa walimu kila siku wanaona haya matukio au kuyasikia kupitia vyombo vya habari kwa nini hawajifunzi tu.
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
@uwezawamungumkuu.amaniafrika 4 ай бұрын
Shinda nini jamani?. Kwanini tuue watoto wetu?. Uyo mwalimu anataka nini?. Pole sana mama.
@princejames7438
@princejames7438 4 ай бұрын
Jaman jaman yaan hadi hapo uchunguzi ufanyike ni uchunguzi gani huo oneni hata huruma basi serikali iko wap haki ya Mama na mtoto iko wap Muogopeni hata Mungu basi😭😭😭😭😭😭
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 157 МЛН
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 15 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 6 МЛН
HOUSE GIRL EP 59 || love story💞💕
22:09
BUSATI TV
Рет қаралды 28 М.
HOUSE GIRL EP 58 || love story💞💕
24:43
BUSATI TV
Рет қаралды 67 М.
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 157 МЛН