NAYCE MUSHI AMKATAA ZUCHU , AMKUBALI NANDY / SIJAWAHI KUSIKIA NYIMBO ZAKE NASIKIA NYIMBO ZA NANDY TAZAMA FULL ENTERVIEW HAPA #manaratv #niyce moshi #wasafifestival2023 #zuchu #nandy
Пікірлер: 190
@PaulHondi-hl8sz9 ай бұрын
Namkubali sana Nayce anajijua afu ana mipaka yupo smart sana❤❤❤ team nandy tuko hapa tujipongezeee 👏👏👏👏
@stellahwilfred57629 ай бұрын
Tumejaaaaa❤❤❤❤
@user-ng2ty9bm8k9 ай бұрын
Hongera kwa wadada wote 2naojihudumia.❤❤❤❤
@ibumajaamillah31959 ай бұрын
Ni kweli usiopingika hata mim nampenda sana sana Nandy Huyo bint nakumbuka nilikuwa natoka Moshi kuelekea Dar nilipanda tilisho nilitokea tu kumpenda ila saiv Kamaekuwa kazuri kweli kweli aseee pesa nzuri bhn 🙌🙌
@lucyannastacia63859 ай бұрын
Apo kwa mziki tunaendana kabisa Ila kazi nzuri nayce❤
@user-wh5zz5dk2g9 ай бұрын
Wew mzuri ila mbona unaongea kwa maringo
@user-qo8eu1br6f9 ай бұрын
Nandy km Nandy 😍 ❤💞🔥🔥🔥💯
@mateusjoao55849 ай бұрын
Nakupenda kuliko uwezo ❤❤❤❤❤
@Dihekafi9 ай бұрын
Team Nandy❤❤❤
@tukuswigaikasu52279 ай бұрын
Huyu mtoto ana hekima ya kuongea sana. Haringi na ana adabu sana
@aishaabdul669 ай бұрын
Sure
@MARIAMKEA9 ай бұрын
Ata bila kusikiliza bado team Zuchu tunaingia trending
@zenahmugo19749 ай бұрын
Mwambie 😂😂😂
@kantai7379 ай бұрын
Asitusumbue kabisa , 😊
@nahlahassan-fd6le9 ай бұрын
Ahahaaaaa😂😂😂😂
@user-pd8cm4sz7m9 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@rosemaryphilipo30099 ай бұрын
Kama mnaingiaga pekeenu endeleeni kuingia
@pascualemiliomartinezbaez39349 ай бұрын
Nayce muxhi beatifull ❤
@LeonardGeorge-jj4bu9 ай бұрын
I love this lady(Nayce)
@user-ug6df5kg7n9 ай бұрын
Mashallah uyu mtoto ni mrembo....chenye sifa kipewe sifa....ila asimdharau zuchu ni moto wakuotea mbaliii
@jacqueli189 ай бұрын
Nimemaliza degree na Sina Cha maana nachofanya hapa mtaani..hongera nice❤
@allyhussein33717 ай бұрын
Don't give Up
@1961nungwi7 ай бұрын
Watoto wa Kichagga nawapendea hapo: hawachagui kazi! Hata Hoyce Temu, aliyekuwa Miss Tanzania miaka ya nyuma, ambaye sasa ni Balozi wa Tanzania Geneva, Uswisi, alianzia kwenye U konda basi la Dar- Moshi-Arusha. Hii ni kwa mujibu wa Kitabu chake alichoandika miaka kadhaa iliyopita. Hongera Nayce Mushii🎉🎉
@njuka35159 ай бұрын
Nakukubali
@kantai7379 ай бұрын
Sasa huyu naye ni nani na anatoka wapi nkt, zuchu alimwambia anamkubali, nungunungu
@1961nungwi7 ай бұрын
Mitandao ya Kijamii ipo na democrasia sana! Kila mtu anaweza kuongea, kwa hiyo ni kubaliana tuu!. Huwezi kumzuia!
@Rabeccaedward-gr7wf9 ай бұрын
Hongera ❤❤ dada
@ZakaboyMusa5 ай бұрын
But your so beautful nayce hongera sana.
@PrincessHellen-pg1oy9 ай бұрын
We hata kama humpendi na hupendi nyimbo zake usiseme hadharani Kuna leo na kesho yaani hapo tu umenichefua nayce
@nahlahassan-fd6le9 ай бұрын
Ahahaaaa team zuchu😂😂😂😂mumekuja juu😂😂😂😂zuchu anaimba bhana sema nayce hajawah kumskiliza TU ndo alivosema
@DorcusHosea-vx3tk9 ай бұрын
Mbna n wakawaida sana mdada jikubali Kila Mt mzur kwa nafas yakeee
@faithfaith-zr6gz9 ай бұрын
Sura na rangi kapewa, Ila mjanja anajua mavazi ya kusitiri shape yake.
@awatifalghanim11069 ай бұрын
Madamu ni mweupe basi hapo mweusi wote wanamuona 😂😂😂😂😂 mzuri lazima watamsifu..
@awatifalghanim11069 ай бұрын
@@faithfaith-zr6gzLakini nywele kakosa. Hakuna mtu kamili…
Kweli nandy anaimba❤hata mm namkubali kweli❤lkn ww kibinti nikwambie zuchu anaimba tena anaimba hatariiii fanya umskilize uyo nandi anapgwa na chini na zuchu
@MtuSafi9 ай бұрын
Zuchu muimbaji mzuri ila tatizo content zake chafu hazina maadili...Mm nyumbani kwangu siweki hzo nyimbo za zuchu labda watoto wangu wakazijulie mtaani ila sio nyumbani.
@sifamtasha42919 ай бұрын
Hajui uimbaji huyu wala tones wala punch atamjuaje mwimbaji mzuri sasa? Labla angesema anampenda tu Nandy nasi kusema Nandy anaimba zaidi ya Zuchu
@IrenePhillip-nv2og9 ай бұрын
iyo honey
@SekelaJakson-ls7dd9 ай бұрын
Wanamlemaza uyu mtoto wanaomsifia jaman ona kanavoongea😮
@nancyg86649 ай бұрын
Acha wivu wewe
@SekelaJakson-ls7dd9 ай бұрын
@@nancyg8664 wivu kwa kipi
@user-tu2lr5oq4b9 ай бұрын
Nayce Looking very nice❤❤
@user-ts2ug6wy9f9 ай бұрын
Mashallah❤❤❤
@user-hk3vr7wh5c9 ай бұрын
Mh mbna sielew old song n diamond jmn na kina less wanyika rangi ya chungwa n za lin?
@user-wz8ig9xl8i9 ай бұрын
Kwani yee zuchu anakukubali Ata kukujua akujui chogo refi kama treni
@neynicenkembo95139 ай бұрын
😂😂😂
@faridayasmin-yi8vd8 ай бұрын
😂😂😂
@neemapeter-vl7le9 ай бұрын
Kazur ila vidole vyake sasaa utavipenda
@user-vx1pw5dq7k9 ай бұрын
Jmn uyu konda tu watu wanachanganyikiwa ingekuwa anafanya kaz kwenye ndege sasa ingekuwaje
@hidayahamisi33838 ай бұрын
Rangi yake ya vidole kama ndizi za kuchoma😅
@user-jn6ec7qv5p9 ай бұрын
❤❤
@HabibuHoseni-sv8hd9 ай бұрын
Uyu bint yupo smart afu mzuriii mnooo
@princessofficial25587 ай бұрын
Nampend sn yani Nancy❤❤🇨🇩😍
@ZakaboyMusa5 ай бұрын
Wewe ni jasiri sister pambana achana na maneno ya watu sister sawa.
@mlawatvonline37207 ай бұрын
Mashaallah
@provianapaul66349 ай бұрын
Mko sure mnawaajua warembo nyinyi 😂😂
@EvodiusMtabihirwa-dp8pu9 ай бұрын
Huyu nae ana maajabu Gani kwani yeye nani anamkubali🌝🌝
@JasminKalaghe-fp9ff9 ай бұрын
Mbona nyimbo zake anasikiliza mbon mnafik kwer huy dada mwehu huyo
@mudasina69689 ай бұрын
Kila mtu na mapenzi yake ila unapompenda unaempenda hutakiwi kumdharau usie mpenda maana kama humpenzi wewe kuna msururo wa watu wanampenda haijalishi yuko vipi ?
@mohammadoman89639 ай бұрын
Kanazarau kale hukaoni kanavyoongea ss nasi mapenzi yetu yapo kwa zuchu ❤khalasi
@fainajaffary40709 ай бұрын
@@mohammadoman8963 sema.mapenz yako usitujumlishe wengine mm mwenyewe nampenda Nandy😀😀😀
@RakaPk9 ай бұрын
Nikweli kabisa
@nahlahassan-fd6le9 ай бұрын
@@mohammadoman8963😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@brendashow47879 ай бұрын
Nimetoka kwenye page yake ya TikTok mbona kaimba sasa Shika by Zuchu??? We acha kutuchanganya buana we shabiki yake na Zuchu nivile una nja unataka trend 😂
@user-bs1pc4nx9z6 ай бұрын
Naombeni namb za nayc
@njuka35159 ай бұрын
Uko Sahil kabisa pigs kazi Tafu ya pesa
@user-yc4vm5vd1f8 ай бұрын
❤❤❤
@goodluckmagod22809 ай бұрын
😊
@user-mz9ng6ur6c9 ай бұрын
Nimekupenda dada yangu onger
@jippejaphety72738 ай бұрын
❤❤❤❤
@naomimbilinyi20857 ай бұрын
❤
@Joyce-qf5px9 ай бұрын
Kwwli mtu hapendwi nawote na wewe ivo ivo wapo ambao hawakukubali ivo ivo
@user-ts6fh4si3m8 ай бұрын
Sisi watu kasikazini Huwa tuna Tabia ya ukabila,asingeweza mkubali zuchu wakati ndugu yake nandy wa kasikazini nawaza tu😂😂msinitukane ila ukweli ndo tulivyo
@user-he3me7co9y8 ай бұрын
Hata ujakosea na wapare walivyo wabinafsi eti ampende zuchu thubutuu,
@rosemilingi78608 ай бұрын
Nikweli kbs
@mariamibrahim67389 ай бұрын
Shiiiii
@marinteldaisy8559 ай бұрын
Comment section ur bitter its just a preference that she prefers Nandy than zuchu😅you know the bitter thing with Tz pple is that,they think Zuchu is everyones taste😂😂 relax not everyone listerns to kwikwi😂😂
@beyondintrusion16639 ай бұрын
nyimbo za mapenzi zimepitwa na wakati sasa kwikwi waliimbiwa watoto ww mtu mzima ulikuwa unataka kuzielewa
@sylviaalphonce11378 ай бұрын
😃😃😃
@Essycutie7 ай бұрын
Nice comment from Kenya
@beyondintrusion16639 ай бұрын
Ongea vizuri ww 😂 😂
@RosemaryMaruba9 ай бұрын
😂😂😂😂😂 kama mtu nyimbozake hazieleweki tunasema tu
@user-db4ol7tx5j9 ай бұрын
😂😂😂😂wabongo mniache🙌❤️
@berthasamuel45079 ай бұрын
Chapati
@svt39 ай бұрын
MTANGAZAJI ACHA USHAMBA NA ZHARAU LWA WAGENI, KUWA NA ELIMU KUHUSI KAZI YAKO SHULE GANI ULISOMEA UTANGAZAJI UKAAMBIA UMHOJI MGENI UNAVAA SUNGLASSES 🤔🤔🤔🤔 Ama ndio kuajiriwa bila elimu ya kazi ufanyayo usijaribu tena kuhoji mtu ndani ya nyumba ukuvaa SUNGLASSES it's extremely wrong unprofessional, disrespect to your guests, uncivilised act
Niseme ukweli toka naice afanyiwe interview hii ndio interview bora na kali imetulia,mtangazaji ana mpangilio mzuri wa maswali haichoshwi kusikiliza hongera manara tv naona tv yenu kuwa kubwa mnapindua meza
@sifatiiman9 ай бұрын
watasubili sana kwa miladayo
@Neema-lh8pi9 ай бұрын
Sasa unabana nn sauti ongea vizur
@batulnyange27239 ай бұрын
😅😅
@aminabashir11679 ай бұрын
😂😂😂😂
@1961nungwi7 ай бұрын
Anaongea vizuri sana ipo clear!
@iam_brenda39249 ай бұрын
Anavyojichetuaa sasa 😢 mbn alianzag vizury tu
@nancyg86649 ай бұрын
Inachosha kuelezea stor moja mara 10
@user-de3vn9vv3n9 ай бұрын
Sawa wamkubal Nandy,ila mwenzio anaingiza hela hat aimbe utopoloo.....Mm sin msanii ambae simkubali
@user-ef6tl6fy1g9 ай бұрын
Kuto kuisikiliza wewe unatusumbuwa Nini tim zuchu kichogo chako kwendraaaaaaaa
@rahmamambo25977 ай бұрын
Nayce umefanya cha maana daaa nakupongeza
@vero579 ай бұрын
Sasa mbona unavaa, sun glasses wakati una interview mtu??? Sio poa kabisa 😮😮
@nancyg86649 ай бұрын
😆🖐
@user-up1tb7sj2f9 ай бұрын
Si unaona anaemuoji anawaka kama jua🎉🎉🎉
@1961nungwi7 ай бұрын
Hajafundishwa atequettes za uandishi na uongeaji mbele ya watu, Sasa atajuaje?
@user-gp3le3vr1v8 ай бұрын
Amna aliyekuona Super star Tulia Fanya kazii
@sefuehango52316 ай бұрын
Siyo amna, ni hamna. Jifunze kuandika kwanza
@AgnesMichael-gs7ix9 ай бұрын
Kichwa kirefu kama bas unalofanyia kazi tulia chakula ya madereva wa moshi ww
@NaomiSolomon-cj7hr9 ай бұрын
Jiangalie kwenye kioo ndo utoe kasolo Kwa mwenzake we ni mfuasi wa ibilisi kabisa
@sifatiiman9 ай бұрын
bila shaka unasura baya ndio mana makasiliko mingi
@sifatiiman9 ай бұрын
bila shaka unasura baya ndio mana makasiliko mingi
@autoimmunesecurity21408 ай бұрын
Ana ukabila huyu. Eti hajawahi kusikia nyimbo za zzzz uongo.
@fbr51139 ай бұрын
MKABILA HUYO NA AMESHAPOTEZA MASHABIKI KWA AUBAGUZI WAKE YAANI HUJUI NYIMBO ZA ZUCHU HATA SUKARI ALIICHEZAGA MUHESHIMIWA SPIKA🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@HadijaZabroni-pu1lt9 ай бұрын
Yeye aimbi
@MsAggie59 ай бұрын
Na wewe unampenda Zuchu Kwa sababu ya ukabila au udini? Kila mtu na chaguo lake
@israelkisaila84019 ай бұрын
Kwanza hata kwenye gari analofanyia kazi zinapigwa,eti hajawahi kusikia?, mm,anavyojishebeduwa ,wachaga hawapo hivyo wewe,husiwatie aibu
@sifatiiman9 ай бұрын
kwani lazima kumjua huyo kinga'ang'awenu?
@user-kn3os5vu8k8 ай бұрын
Hatujali
@Rolinejames-tg2mc9 ай бұрын
Kwan akimkataa anamuongezee kitu gani
@beatricesanga78569 ай бұрын
Punguza maringo yatakupunguzia cv zako
@user-rj8us3cx9k8 ай бұрын
Na Kako na maringo kweli aka kanajikuta Nan sjui
@SekelaJakson-ls7dd9 ай бұрын
😂😂 utu ya juzi bint sio ya zaman
@nahlahassan-fd6le9 ай бұрын
Eee hafatilii vizuri nyimbo huyu anasema tu😂😂😂😂😂😂
@AbigigaelHenry-tq6jp9 ай бұрын
bi dada ehhhhhh super star my foot aliekwambia we superstar kakudanganya hataufaniii ehhh bidada ka kwakutulia tena kunywa maji ya baridi Eti Diamond platnum funga bakuri hilo
@user-lm8xw7hi3t9 ай бұрын
Sasa yeye mchaga atamkubalije zuchu
@user-xc2kr1cb7d9 ай бұрын
Ata mm namkubali nandy Sana huyo zuchu Na chapati zke apelekee watoto wa chekechea
@sylviaalphonce11378 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@joojombi23418 ай бұрын
Huyo alokurikodi ni mpuuzi elimu ndogo na mjinga kwakweli
@wahidamaulid95279 ай бұрын
yeye kama nani
@lucymtuka31999 ай бұрын
Hata usopozosikoliza ila habari unazo
@mohammadoman89639 ай бұрын
😂😂😂😂mpeni huyo hajui zuchu wetu tunampenda
@kafedhayaa73899 ай бұрын
Tafuta kazi airport
@jeffyasin29779 ай бұрын
Hana sifa ya kuwa air hostes
@user-vx1pw5dq7k9 ай бұрын
Aka sinikatoto kafupiii kangekuwa kalefu sasa tusinge pumua 😢
@MaryMmole-en9qz8 ай бұрын
Yani mh
@user-ms9lt1mt9t9 ай бұрын
Kichogo km tv ya chogo😅
@mkasihamad72259 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-rj8us3cx9k8 ай бұрын
Huringi nan kasema??cjui Unajikuta nan vile huijui kesho yako ww ooohhh
@aminabashir11679 ай бұрын
Umkatae zuchu kwani zuchu anakujua wewe
@awatifalghanim11069 ай бұрын
Naona Kama kwa mkao wako umefeli hapo kwenye interview wacha kupiga piga makofi kwenye mwili wako haipendezi lazima utuliye Kama huyo anokufanyia interview.
@asiamohd55169 ай бұрын
Si kila mtu na mapenzi yake
@solangebagal1499 ай бұрын
ss sin ukweli ❤❤❤ team mm nayaNaya ❤
@azizaissa40109 ай бұрын
Wala hashitui😅😅😅
@sifatiiman9 ай бұрын
tukuone unae shitua😮😂😂
@GracieTyno9 ай бұрын
Una wivu na sura lako la kiume😂😂😂😂😂
@QueenMishy9 ай бұрын
@@GracieTynokumekuchaaa😂😂😂😂😂
@HajjShaban8 ай бұрын
Nandy mkali
@lilianemeena7689 ай бұрын
mbna kila cku namwona na pete kwan ameolewa?
@irenemuniku22259 ай бұрын
Rozari hiyo
@enocksilungwepondajr97079 ай бұрын
Kwani Hana.....!?
@asiamohd55169 ай бұрын
Jmn maajabu mbona Pete tunavaaga sana tu si ni maamuzi tu
@hamisaabdulhamid5299 ай бұрын
Unasauti nyingie tafazali
@GMD8209 ай бұрын
😂jmn hamisa wewe😂😂
@aminabashir11679 ай бұрын
😂😂
@anethjoseph45429 ай бұрын
Dada mrembo ila una darksport nyingi
@jescajulius80489 ай бұрын
aaaaah we ziko wapi hizo dark stop
@user-he3sf4ey5c9 ай бұрын
Tafuta era dad
@saumumasha49009 ай бұрын
Mrembo gni uyu 🤔🤔🤔🤔🤔
@rahmamct9 ай бұрын
Mrembo wa mabas
@sifatiiman9 ай бұрын
wewe na msura wako huo kaa kimya sura kama uvungu wa pumbu 😂😂😂hebu ona aibu bas doooooh😂😂
@QueenMishy9 ай бұрын
@@sifatiimandaaah 😂😂😂😂
@mkasihamad72259 ай бұрын
@@sifatiiman😂😂😂😂😂😂😂😂
@sifatiiman9 ай бұрын
@@QueenMishy 😂😂😂😂😂nilienda kumtizama bahati nzuri kajipost kwenye chaneli yake uchwara 😄😄🤣🤣
@salamajuma15138 ай бұрын
Hujataka kusikiliz n hano uzur
@user-up9wi9co4w9 ай бұрын
7. Gv
@jamilajamila45729 ай бұрын
Hakuna kz mbaya
@MsAggie59 ай бұрын
Mno!
@Fx_expertmoneymaker0019 ай бұрын
@@MsAggie5 amesema hakuna kazi mbaya, sasa mno ni ya nn.. 😂😂
@dianamonyo19609 ай бұрын
We acha dharau, hujui wimbo wa zuchu ata mmoja😏
@sifatiiman9 ай бұрын
kwan ni lazima ajue? anaimba nini huyo kinga'ang'awenu?
@dianamonyo19609 ай бұрын
@@sifatiiman tafuteni Jina lingine ilo tumeshalizoea ukiona ana ng'ang'ania jua na yy kang'ang'aniwa sikuizi hakuna mwanaume anae taka kugandwa upo
@congratulationmayunga38338 ай бұрын
Nayce aligoma kusema ukondakta akasema anafanya kazi kampuni ya tlisho😂😂😂