No video

NAYCE MUSHI AMKATAA ZUCHU , AMKUBALI NANDY / SIJAWAHI KUSIKIA NYIMBO ZAKE NASIKIA NYIMBO ZA NANDY

  Рет қаралды 107,894

Manara TV

Manara TV

9 ай бұрын

NAYCE MUSHI AMKATAA ZUCHU , AMKUBALI NANDY / SIJAWAHI KUSIKIA NYIMBO ZAKE NASIKIA NYIMBO ZA NANDY TAZAMA FULL ENTERVIEW HAPA
#manaratv #niyce moshi #wasafifestival2023 #zuchu #nandy

Пікірлер: 190
@PaulHondi-hl8sz
@PaulHondi-hl8sz 9 ай бұрын
Namkubali sana Nayce anajijua afu ana mipaka yupo smart sana❤❤❤ team nandy tuko hapa tujipongezeee 👏👏👏👏
@stellahwilfred5762
@stellahwilfred5762 9 ай бұрын
Tumejaaaaa❤❤❤❤
@user-ng2ty9bm8k
@user-ng2ty9bm8k 9 ай бұрын
Hongera kwa wadada wote 2naojihudumia.❤❤❤❤
@ibumajaamillah3195
@ibumajaamillah3195 9 ай бұрын
Ni kweli usiopingika hata mim nampenda sana sana Nandy Huyo bint nakumbuka nilikuwa natoka Moshi kuelekea Dar nilipanda tilisho nilitokea tu kumpenda ila saiv Kamaekuwa kazuri kweli kweli aseee pesa nzuri bhn 🙌🙌
@lucyannastacia6385
@lucyannastacia6385 9 ай бұрын
Apo kwa mziki tunaendana kabisa Ila kazi nzuri nayce❤
@user-wh5zz5dk2g
@user-wh5zz5dk2g 9 ай бұрын
Wew mzuri ila mbona unaongea kwa maringo
@user-qo8eu1br6f
@user-qo8eu1br6f 9 ай бұрын
Nandy km Nandy 😍 ❤💞🔥🔥🔥💯
@mateusjoao5584
@mateusjoao5584 9 ай бұрын
Nakupenda kuliko uwezo ❤❤❤❤❤
@Dihekafi
@Dihekafi 9 ай бұрын
Team Nandy❤❤❤
@tukuswigaikasu5227
@tukuswigaikasu5227 9 ай бұрын
Huyu mtoto ana hekima ya kuongea sana. Haringi na ana adabu sana
@aishaabdul66
@aishaabdul66 9 ай бұрын
Sure
@MARIAMKEA
@MARIAMKEA 9 ай бұрын
Ata bila kusikiliza bado team Zuchu tunaingia trending
@zenahmugo1974
@zenahmugo1974 9 ай бұрын
Mwambie 😂😂😂
@kantai737
@kantai737 9 ай бұрын
Asitusumbue kabisa , 😊
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 9 ай бұрын
Ahahaaaaa😂😂😂😂
@user-pd8cm4sz7m
@user-pd8cm4sz7m 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@rosemaryphilipo3009
@rosemaryphilipo3009 9 ай бұрын
Kama mnaingiaga pekeenu endeleeni kuingia
@pascualemiliomartinezbaez3934
@pascualemiliomartinezbaez3934 9 ай бұрын
Nayce muxhi beatifull ❤
@LeonardGeorge-jj4bu
@LeonardGeorge-jj4bu 9 ай бұрын
I love this lady(Nayce)
@user-ug6df5kg7n
@user-ug6df5kg7n 9 ай бұрын
Mashallah uyu mtoto ni mrembo....chenye sifa kipewe sifa....ila asimdharau zuchu ni moto wakuotea mbaliii
@jacqueli18
@jacqueli18 9 ай бұрын
Nimemaliza degree na Sina Cha maana nachofanya hapa mtaani..hongera nice❤
@allyhussein3371
@allyhussein3371 7 ай бұрын
Don't give Up
@1961nungwi
@1961nungwi 7 ай бұрын
Watoto wa Kichagga nawapendea hapo: hawachagui kazi! Hata Hoyce Temu, aliyekuwa Miss Tanzania miaka ya nyuma, ambaye sasa ni Balozi wa Tanzania Geneva, Uswisi, alianzia kwenye U konda basi la Dar- Moshi-Arusha. Hii ni kwa mujibu wa Kitabu chake alichoandika miaka kadhaa iliyopita. Hongera Nayce Mushii🎉🎉
@njuka3515
@njuka3515 9 ай бұрын
Nakukubali
@kantai737
@kantai737 9 ай бұрын
Sasa huyu naye ni nani na anatoka wapi nkt, zuchu alimwambia anamkubali, nungunungu
@1961nungwi
@1961nungwi 7 ай бұрын
Mitandao ya Kijamii ipo na democrasia sana! Kila mtu anaweza kuongea, kwa hiyo ni kubaliana tuu!. Huwezi kumzuia!
@Rabeccaedward-gr7wf
@Rabeccaedward-gr7wf 9 ай бұрын
Hongera ❤❤ dada
@ZakaboyMusa
@ZakaboyMusa 5 ай бұрын
But your so beautful nayce hongera sana.
@PrincessHellen-pg1oy
@PrincessHellen-pg1oy 9 ай бұрын
We hata kama humpendi na hupendi nyimbo zake usiseme hadharani Kuna leo na kesho yaani hapo tu umenichefua nayce
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 9 ай бұрын
Ahahaaaa team zuchu😂😂😂😂mumekuja juu😂😂😂😂zuchu anaimba bhana sema nayce hajawah kumskiliza TU ndo alivosema
@DorcusHosea-vx3tk
@DorcusHosea-vx3tk 9 ай бұрын
Mbna n wakawaida sana mdada jikubali Kila Mt mzur kwa nafas yakeee
@faithfaith-zr6gz
@faithfaith-zr6gz 9 ай бұрын
Sura na rangi kapewa, Ila mjanja anajua mavazi ya kusitiri shape yake.
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 9 ай бұрын
Madamu ni mweupe basi hapo mweusi wote wanamuona 😂😂😂😂😂 mzuri lazima watamsifu..
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 9 ай бұрын
@@faithfaith-zr6gzLakini nywele kakosa. Hakuna mtu kamili…
@user-eq8cu2yi5k
@user-eq8cu2yi5k 9 ай бұрын
Kabisa
@MariamBille
@MariamBille 9 ай бұрын
Aah! Tuachieni Zuchu wetu. 😂. Tuna tuzo. Tuna hits. Kalaleni tuuuuu
@tabiangonyani3526
@tabiangonyani3526 9 ай бұрын
😂😂
@user-ko4tl9tj5t
@user-ko4tl9tj5t 8 ай бұрын
Mm macho kwenye vidole tuu mbona rangi mbili
@PriscaCassian-xd6dw
@PriscaCassian-xd6dw 9 ай бұрын
Nandi hata mm namkubali sana
@user-ly6qc3nh7c
@user-ly6qc3nh7c 7 ай бұрын
Hongera sana mdogo Wang ❤❤❤❤❤
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 9 ай бұрын
Kweli nandy anaimba❤hata mm namkubali kweli❤lkn ww kibinti nikwambie zuchu anaimba tena anaimba hatariiii fanya umskilize uyo nandi anapgwa na chini na zuchu
@MtuSafi
@MtuSafi 9 ай бұрын
Zuchu muimbaji mzuri ila tatizo content zake chafu hazina maadili...Mm nyumbani kwangu siweki hzo nyimbo za zuchu labda watoto wangu wakazijulie mtaani ila sio nyumbani.
@sifamtasha4291
@sifamtasha4291 9 ай бұрын
Hajui uimbaji huyu wala tones wala punch atamjuaje mwimbaji mzuri sasa? Labla angesema anampenda tu Nandy nasi kusema Nandy anaimba zaidi ya Zuchu
@IrenePhillip-nv2og
@IrenePhillip-nv2og 9 ай бұрын
iyo honey
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd 9 ай бұрын
Wanamlemaza uyu mtoto wanaomsifia jaman ona kanavoongea😮
@nancyg8664
@nancyg8664 9 ай бұрын
Acha wivu wewe
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd 9 ай бұрын
@@nancyg8664 wivu kwa kipi
@user-tu2lr5oq4b
@user-tu2lr5oq4b 9 ай бұрын
Nayce Looking very nice❤❤
@user-ts2ug6wy9f
@user-ts2ug6wy9f 9 ай бұрын
Mashallah❤❤❤
@user-hk3vr7wh5c
@user-hk3vr7wh5c 9 ай бұрын
Mh mbna sielew old song n diamond jmn na kina less wanyika rangi ya chungwa n za lin?
@user-wz8ig9xl8i
@user-wz8ig9xl8i 9 ай бұрын
Kwani yee zuchu anakukubali Ata kukujua akujui chogo refi kama treni
@neynicenkembo9513
@neynicenkembo9513 9 ай бұрын
😂😂😂
@faridayasmin-yi8vd
@faridayasmin-yi8vd 8 ай бұрын
😂😂😂
@neemapeter-vl7le
@neemapeter-vl7le 9 ай бұрын
Kazur ila vidole vyake sasaa utavipenda
@user-vx1pw5dq7k
@user-vx1pw5dq7k 9 ай бұрын
Jmn uyu konda tu watu wanachanganyikiwa ingekuwa anafanya kaz kwenye ndege sasa ingekuwaje
@hidayahamisi3383
@hidayahamisi3383 8 ай бұрын
Rangi yake ya vidole kama ndizi za kuchoma😅
@user-jn6ec7qv5p
@user-jn6ec7qv5p 9 ай бұрын
❤❤
@HabibuHoseni-sv8hd
@HabibuHoseni-sv8hd 9 ай бұрын
Uyu bint yupo smart afu mzuriii mnooo
@princessofficial2558
@princessofficial2558 7 ай бұрын
Nampend sn yani Nancy❤❤🇨🇩😍
@ZakaboyMusa
@ZakaboyMusa 5 ай бұрын
Wewe ni jasiri sister pambana achana na maneno ya watu sister sawa.
@mlawatvonline3720
@mlawatvonline3720 7 ай бұрын
Mashaallah
@provianapaul6634
@provianapaul6634 9 ай бұрын
Mko sure mnawaajua warembo nyinyi 😂😂
@EvodiusMtabihirwa-dp8pu
@EvodiusMtabihirwa-dp8pu 9 ай бұрын
Huyu nae ana maajabu Gani kwani yeye nani anamkubali🌝🌝
@JasminKalaghe-fp9ff
@JasminKalaghe-fp9ff 9 ай бұрын
Mbona nyimbo zake anasikiliza mbon mnafik kwer huy dada mwehu huyo
@mudasina6968
@mudasina6968 9 ай бұрын
Kila mtu na mapenzi yake ila unapompenda unaempenda hutakiwi kumdharau usie mpenda maana kama humpenzi wewe kuna msururo wa watu wanampenda haijalishi yuko vipi ?
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 9 ай бұрын
Kanazarau kale hukaoni kanavyoongea ss nasi mapenzi yetu yapo kwa zuchu ❤khalasi
@fainajaffary4070
@fainajaffary4070 9 ай бұрын
@@mohammadoman8963 sema.mapenz yako usitujumlishe wengine mm mwenyewe nampenda Nandy😀😀😀
@RakaPk
@RakaPk 9 ай бұрын
Nikweli kabisa
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 9 ай бұрын
​@@mohammadoman8963😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@brendashow4787
@brendashow4787 9 ай бұрын
Nimetoka kwenye page yake ya TikTok mbona kaimba sasa Shika by Zuchu??? We acha kutuchanganya buana we shabiki yake na Zuchu nivile una nja unataka trend 😂
@user-bs1pc4nx9z
@user-bs1pc4nx9z 6 ай бұрын
Naombeni namb za nayc
@njuka3515
@njuka3515 9 ай бұрын
Uko Sahil kabisa pigs kazi Tafu ya pesa
@user-yc4vm5vd1f
@user-yc4vm5vd1f 8 ай бұрын
❤❤❤
@goodluckmagod2280
@goodluckmagod2280 9 ай бұрын
😊
@user-mz9ng6ur6c
@user-mz9ng6ur6c 9 ай бұрын
Nimekupenda dada yangu onger
@jippejaphety7273
@jippejaphety7273 8 ай бұрын
❤❤❤❤
@naomimbilinyi2085
@naomimbilinyi2085 7 ай бұрын
@Joyce-qf5px
@Joyce-qf5px 9 ай бұрын
Kwwli mtu hapendwi nawote na wewe ivo ivo wapo ambao hawakukubali ivo ivo
@user-ts6fh4si3m
@user-ts6fh4si3m 8 ай бұрын
Sisi watu kasikazini Huwa tuna Tabia ya ukabila,asingeweza mkubali zuchu wakati ndugu yake nandy wa kasikazini nawaza tu😂😂msinitukane ila ukweli ndo tulivyo
@user-he3me7co9y
@user-he3me7co9y 8 ай бұрын
Hata ujakosea na wapare walivyo wabinafsi eti ampende zuchu thubutuu,
@rosemilingi7860
@rosemilingi7860 8 ай бұрын
Nikweli kbs
@mariamibrahim6738
@mariamibrahim6738 9 ай бұрын
Shiiiii
@marinteldaisy855
@marinteldaisy855 9 ай бұрын
Comment section ur bitter its just a preference that she prefers Nandy than zuchu😅you know the bitter thing with Tz pple is that,they think Zuchu is everyones taste😂😂 relax not everyone listerns to kwikwi😂😂
@beyondintrusion1663
@beyondintrusion1663 9 ай бұрын
nyimbo za mapenzi zimepitwa na wakati sasa kwikwi waliimbiwa watoto ww mtu mzima ulikuwa unataka kuzielewa
@sylviaalphonce1137
@sylviaalphonce1137 8 ай бұрын
😃😃😃
@Essycutie
@Essycutie 7 ай бұрын
Nice comment from Kenya
@beyondintrusion1663
@beyondintrusion1663 9 ай бұрын
Ongea vizuri ww 😂 😂
@RosemaryMaruba
@RosemaryMaruba 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂 kama mtu nyimbozake hazieleweki tunasema tu
@user-db4ol7tx5j
@user-db4ol7tx5j 9 ай бұрын
😂😂😂😂wabongo mniache🙌❤️
@berthasamuel4507
@berthasamuel4507 9 ай бұрын
Chapati
@svt3
@svt3 9 ай бұрын
MTANGAZAJI ACHA USHAMBA NA ZHARAU LWA WAGENI, KUWA NA ELIMU KUHUSI KAZI YAKO SHULE GANI ULISOMEA UTANGAZAJI UKAAMBIA UMHOJI MGENI UNAVAA SUNGLASSES 🤔🤔🤔🤔 Ama ndio kuajiriwa bila elimu ya kazi ufanyayo usijaribu tena kuhoji mtu ndani ya nyumba ukuvaa SUNGLASSES it's extremely wrong unprofessional, disrespect to your guests, uncivilised act
@sirajshelali6209
@sirajshelali6209 9 ай бұрын
Aisee bora umesema! Kinaonekana ni kishamba sana😅
@QueenMishy
@QueenMishy 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@sharlharl5890
@sharlharl5890 9 ай бұрын
Nyie wote washenzi
@user-qw3fj1zw6p
@user-qw3fj1zw6p 8 ай бұрын
Kikubwa kipende ukipendacho ...ulazimixhwi ilauxionexhe kamaumpndimtufrani....
@David_keyan
@David_keyan 9 ай бұрын
Niseme ukweli toka naice afanyiwe interview hii ndio interview bora na kali imetulia,mtangazaji ana mpangilio mzuri wa maswali haichoshwi kusikiliza hongera manara tv naona tv yenu kuwa kubwa mnapindua meza
@sifatiiman
@sifatiiman 9 ай бұрын
watasubili sana kwa miladayo
@Neema-lh8pi
@Neema-lh8pi 9 ай бұрын
Sasa unabana nn sauti ongea vizur
@batulnyange2723
@batulnyange2723 9 ай бұрын
😅😅
@aminabashir1167
@aminabashir1167 9 ай бұрын
😂😂😂😂
@1961nungwi
@1961nungwi 7 ай бұрын
Anaongea vizuri sana ipo clear!
@iam_brenda3924
@iam_brenda3924 9 ай бұрын
Anavyojichetuaa sasa 😢 mbn alianzag vizury tu
@nancyg8664
@nancyg8664 9 ай бұрын
Inachosha kuelezea stor moja mara 10
@user-de3vn9vv3n
@user-de3vn9vv3n 9 ай бұрын
Sawa wamkubal Nandy,ila mwenzio anaingiza hela hat aimbe utopoloo.....Mm sin msanii ambae simkubali
@user-ef6tl6fy1g
@user-ef6tl6fy1g 9 ай бұрын
Kuto kuisikiliza wewe unatusumbuwa Nini tim zuchu kichogo chako kwendraaaaaaaa
@rahmamambo2597
@rahmamambo2597 7 ай бұрын
Nayce umefanya cha maana daaa nakupongeza
@vero57
@vero57 9 ай бұрын
Sasa mbona unavaa, sun glasses wakati una interview mtu??? Sio poa kabisa 😮😮
@nancyg8664
@nancyg8664 9 ай бұрын
😆🖐
@user-up1tb7sj2f
@user-up1tb7sj2f 9 ай бұрын
Si unaona anaemuoji anawaka kama jua🎉🎉🎉
@1961nungwi
@1961nungwi 7 ай бұрын
Hajafundishwa atequettes za uandishi na uongeaji mbele ya watu, Sasa atajuaje?
@user-gp3le3vr1v
@user-gp3le3vr1v 8 ай бұрын
Amna aliyekuona Super star Tulia Fanya kazii
@sefuehango5231
@sefuehango5231 6 ай бұрын
Siyo amna, ni hamna. Jifunze kuandika kwanza
@AgnesMichael-gs7ix
@AgnesMichael-gs7ix 9 ай бұрын
Kichwa kirefu kama bas unalofanyia kazi tulia chakula ya madereva wa moshi ww
@NaomiSolomon-cj7hr
@NaomiSolomon-cj7hr 9 ай бұрын
Jiangalie kwenye kioo ndo utoe kasolo Kwa mwenzake we ni mfuasi wa ibilisi kabisa
@sifatiiman
@sifatiiman 9 ай бұрын
bila shaka unasura baya ndio mana makasiliko mingi
@sifatiiman
@sifatiiman 9 ай бұрын
bila shaka unasura baya ndio mana makasiliko mingi
@autoimmunesecurity2140
@autoimmunesecurity2140 8 ай бұрын
Ana ukabila huyu. Eti hajawahi kusikia nyimbo za zzzz uongo.
@fbr5113
@fbr5113 9 ай бұрын
MKABILA HUYO NA AMESHAPOTEZA MASHABIKI KWA AUBAGUZI WAKE YAANI HUJUI NYIMBO ZA ZUCHU HATA SUKARI ALIICHEZAGA MUHESHIMIWA SPIKA🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt 9 ай бұрын
Yeye aimbi
@MsAggie5
@MsAggie5 9 ай бұрын
Na wewe unampenda Zuchu Kwa sababu ya ukabila au udini? Kila mtu na chaguo lake
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 9 ай бұрын
Kwanza hata kwenye gari analofanyia kazi zinapigwa,eti hajawahi kusikia?, mm,anavyojishebeduwa ,wachaga hawapo hivyo wewe,husiwatie aibu
@sifatiiman
@sifatiiman 9 ай бұрын
kwani lazima kumjua huyo kinga'ang'awenu?
@user-kn3os5vu8k
@user-kn3os5vu8k 8 ай бұрын
Hatujali
@Rolinejames-tg2mc
@Rolinejames-tg2mc 9 ай бұрын
Kwan akimkataa anamuongezee kitu gani
@beatricesanga7856
@beatricesanga7856 9 ай бұрын
Punguza maringo yatakupunguzia cv zako
@user-rj8us3cx9k
@user-rj8us3cx9k 8 ай бұрын
Na Kako na maringo kweli aka kanajikuta Nan sjui
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd 9 ай бұрын
😂😂 utu ya juzi bint sio ya zaman
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 9 ай бұрын
Eee hafatilii vizuri nyimbo huyu anasema tu😂😂😂😂😂😂
@AbigigaelHenry-tq6jp
@AbigigaelHenry-tq6jp 9 ай бұрын
bi dada ehhhhhh super star my foot aliekwambia we superstar kakudanganya hataufaniii ehhh bidada ka kwakutulia tena kunywa maji ya baridi Eti Diamond platnum funga bakuri hilo
@user-lm8xw7hi3t
@user-lm8xw7hi3t 9 ай бұрын
Sasa yeye mchaga atamkubalije zuchu
@user-xc2kr1cb7d
@user-xc2kr1cb7d 9 ай бұрын
Ata mm namkubali nandy Sana huyo zuchu Na chapati zke apelekee watoto wa chekechea
@sylviaalphonce1137
@sylviaalphonce1137 8 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@joojombi2341
@joojombi2341 8 ай бұрын
Huyo alokurikodi ni mpuuzi elimu ndogo na mjinga kwakweli
@wahidamaulid9527
@wahidamaulid9527 9 ай бұрын
yeye kama nani
@lucymtuka3199
@lucymtuka3199 9 ай бұрын
Hata usopozosikoliza ila habari unazo
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 9 ай бұрын
😂😂😂😂mpeni huyo hajui zuchu wetu tunampenda
@kafedhayaa7389
@kafedhayaa7389 9 ай бұрын
Tafuta kazi airport
@jeffyasin2977
@jeffyasin2977 9 ай бұрын
Hana sifa ya kuwa air hostes
@user-vx1pw5dq7k
@user-vx1pw5dq7k 9 ай бұрын
Aka sinikatoto kafupiii kangekuwa kalefu sasa tusinge pumua 😢
@MaryMmole-en9qz
@MaryMmole-en9qz 8 ай бұрын
Yani mh
@user-ms9lt1mt9t
@user-ms9lt1mt9t 9 ай бұрын
Kichogo km tv ya chogo😅
@mkasihamad7225
@mkasihamad7225 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-rj8us3cx9k
@user-rj8us3cx9k 8 ай бұрын
Huringi nan kasema??cjui Unajikuta nan vile huijui kesho yako ww ooohhh
@aminabashir1167
@aminabashir1167 9 ай бұрын
Umkatae zuchu kwani zuchu anakujua wewe
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 9 ай бұрын
Naona Kama kwa mkao wako umefeli hapo kwenye interview wacha kupiga piga makofi kwenye mwili wako haipendezi lazima utuliye Kama huyo anokufanyia interview.
@asiamohd5516
@asiamohd5516 9 ай бұрын
Si kila mtu na mapenzi yake
@solangebagal149
@solangebagal149 9 ай бұрын
ss sin ukweli ❤❤❤ team mm nayaNaya ❤
@azizaissa4010
@azizaissa4010 9 ай бұрын
Wala hashitui😅😅😅
@sifatiiman
@sifatiiman 9 ай бұрын
tukuone unae shitua😮😂😂
@GracieTyno
@GracieTyno 9 ай бұрын
Una wivu na sura lako la kiume😂😂😂😂😂
@QueenMishy
@QueenMishy 9 ай бұрын
​@@GracieTynokumekuchaaa😂😂😂😂😂
@HajjShaban
@HajjShaban 8 ай бұрын
Nandy mkali
@lilianemeena768
@lilianemeena768 9 ай бұрын
mbna kila cku namwona na pete kwan ameolewa?
@irenemuniku2225
@irenemuniku2225 9 ай бұрын
Rozari hiyo
@enocksilungwepondajr9707
@enocksilungwepondajr9707 9 ай бұрын
Kwani Hana.....!?
@asiamohd5516
@asiamohd5516 9 ай бұрын
Jmn maajabu mbona Pete tunavaaga sana tu si ni maamuzi tu
@hamisaabdulhamid529
@hamisaabdulhamid529 9 ай бұрын
Unasauti nyingie tafazali
@GMD820
@GMD820 9 ай бұрын
😂jmn hamisa wewe😂😂
@aminabashir1167
@aminabashir1167 9 ай бұрын
😂😂
@anethjoseph4542
@anethjoseph4542 9 ай бұрын
Dada mrembo ila una darksport nyingi
@jescajulius8048
@jescajulius8048 9 ай бұрын
aaaaah we ziko wapi hizo dark stop
@user-he3sf4ey5c
@user-he3sf4ey5c 9 ай бұрын
Tafuta era dad
@saumumasha4900
@saumumasha4900 9 ай бұрын
Mrembo gni uyu 🤔🤔🤔🤔🤔
@rahmamct
@rahmamct 9 ай бұрын
Mrembo wa mabas
@sifatiiman
@sifatiiman 9 ай бұрын
wewe na msura wako huo kaa kimya sura kama uvungu wa pumbu 😂😂😂hebu ona aibu bas doooooh😂😂
@QueenMishy
@QueenMishy 9 ай бұрын
​@@sifatiimandaaah 😂😂😂😂
@mkasihamad7225
@mkasihamad7225 9 ай бұрын
​@@sifatiiman😂😂😂😂😂😂😂😂
@sifatiiman
@sifatiiman 9 ай бұрын
@@QueenMishy 😂😂😂😂😂nilienda kumtizama bahati nzuri kajipost kwenye chaneli yake uchwara 😄😄🤣🤣
@salamajuma1513
@salamajuma1513 8 ай бұрын
Hujataka kusikiliz n hano uzur
@user-up9wi9co4w
@user-up9wi9co4w 9 ай бұрын
7. Gv
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 9 ай бұрын
Hakuna kz mbaya
@MsAggie5
@MsAggie5 9 ай бұрын
Mno!
@Fx_expertmoneymaker001
@Fx_expertmoneymaker001 9 ай бұрын
​@@MsAggie5 amesema hakuna kazi mbaya, sasa mno ni ya nn.. 😂😂
@dianamonyo1960
@dianamonyo1960 9 ай бұрын
We acha dharau, hujui wimbo wa zuchu ata mmoja😏
@sifatiiman
@sifatiiman 9 ай бұрын
kwan ni lazima ajue? anaimba nini huyo kinga'ang'awenu?
@dianamonyo1960
@dianamonyo1960 9 ай бұрын
@@sifatiiman tafuteni Jina lingine ilo tumeshalizoea ukiona ana ng'ang'ania jua na yy kang'ang'aniwa sikuizi hakuna mwanaume anae taka kugandwa upo
@congratulationmayunga3833
@congratulationmayunga3833 8 ай бұрын
Nayce aligoma kusema ukondakta akasema anafanya kazi kampuni ya tlisho😂😂😂
@user-kc3nl6sg8r
@user-kc3nl6sg8r 9 ай бұрын
nakumbal
NAYCE  alivyoachana na MR MWANYA Utacheka 😂😂😂😂
2:49
MrMwanya TV
Рет қаралды 83 М.
Comfortable 🤣 #comedy #funny
00:34
Micky Makeover
Рет қаралды 10 МЛН
ТЫ С ДРУГОМ В ДЕТСТВЕ😂#shorts
01:00
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 5 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 72 МЛН
Comfortable 🤣 #comedy #funny
00:34
Micky Makeover
Рет қаралды 10 МЛН