Рет қаралды 85
Katika tukio la kusikitisha na lenye uchungu, mtoto wa kike, binti Asiimwe mwenye albino ameuawa na kukatwa viungo vyake kwa imani zinazoaminika za kishirikina.
Hili ni tendo la kikatili na la kinyama ambalo linapaswa kulaaniwa na kukemewa vikali. Tunapaswa kushikamana na kulinda haki za watu wenye albino na kupinga imani potofu zinazohatarisha maisha yao.
Tafadhali jiunge nasi katika kupinga mauaji haya na kuhamasisha haki na usawa kwa watu wole.
#HakiZaWatu WenyeUalbino #PingaUkatili #HakiNaUsawa