Our mission is to bring people together,entertain and educate people that's why we create content that does exactly that
Пікірлер: 467
@EmmanuelYohanaMbembela2 күн бұрын
Hakika huu ni nyakati za mwisho lazima tuwe makini sana na injili za siku hizi Mungu wa Mbinguni akutunze sana Mchungaji Hananja lazima kweli ya Mungu isemwe👏
@FabiolaAntony-up7ih9 күн бұрын
Asante Mungu kwa zawadi hii, mwalimu mkweli.neema ya Mungu ikulinde Hananja
@user-bn9iw1lw8f5 күн бұрын
Amina mtumishi
@saiditwalibu524412 күн бұрын
Huyu Mzee ukiwa na akili huru utamuelewa vzr sana,
@musajonas93975 күн бұрын
that's point
@mayungahima19874 күн бұрын
Mungu anaye watetezi waneno lake lisilogoshiwa, injiri ya Yesu halisi. Mungu akutunze vyema mch HANANJA.
@user-cg1hc7yt3v5 күн бұрын
Nakupenda sana mzee wangu unakili za kuzaliwa awakuwezi wachungaji wote tanzania apa
@Machozihussen-er8cp8 күн бұрын
Huyu mch ana mawe mazito sana 'majabali' powerful speech kuna kipindi utafurahi utacheka kuna kipindi anaisisimua akili INSHORT namuelewa sana
@user-zi9ug9tn6m5 күн бұрын
Mchungaji Hananja Mungu akutunze kwakweli,unaugusa moyo wangu ❤😢
@IsraelJackson-c6v8 сағат бұрын
Pastor HANANJA Mungu akubariki Sana... Uendelee kutumika vyema na kusimamia kweli ya Kristo Yesu kulingana na maandiko matakatifu.... ❤❤❤
@chandeyusufu957012 күн бұрын
Wallah baba nakukubali wewe ni msema kweli mwenye kuchukia na achukie mtumishi wa mungu itakuwaje ajichubue ao ndio welewale
@charlesyotham797713 күн бұрын
Huyu Baba anaongea kweli tupu mkijuwa kweli nayo kweli itakuweka huru
@Yassinseleman15 күн бұрын
Nilikua na role model wa kisiasa wawili tz lowassa na maalim seiph sasa na baba hananja ni role model wangu kwenye kusema kweli nakupenda baba
@RaymondMumba-k1l4 күн бұрын
Mungu akupe mwisho mwema Baba upo sahihi sana
@sarahkinyashi621314 күн бұрын
Ninachojua nikukupenda tu mchungaji wangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@fanuelkatoto891314 күн бұрын
Mungu akuzidishie hekima mtumishi ili tupate mafundisho yako yanayotujenga kiimani. 🙏🏽
@shiracque852414 күн бұрын
Ubarikiwe mwalimu BABA mchungaji
@injilinjeyakutazakanisa15 күн бұрын
Barikiwa, nakuelewa Mchungaji. Nadhani Elimu pia azingatiwe, isiwe wito tu! nadhani tatizo lingine ni hili. Serekali izingatie haya
@user-hb8iv7jz9c14 күн бұрын
Mungu akupe maisha marefu hananja.
@vieloontz9 күн бұрын
Viva mzee....huyu ni mchungaji sasa, Mungu akubariki sana
@eliaskabila110613 күн бұрын
Mchungaji Hananja unasema kweli kabisa Mungu akubariki sana uishi maisha marefu uendelee kutufunza
@@maalimhamad1297ww mwenyewe kafiri!! Tafuta hela punguza makasiriko! Kwanii asimsifie kama kaongea point. Acha udini Mungu ni mmoja
@user-ec4br4pd3o12 күн бұрын
Acha wivu@@maalimhamad1297
@brightonvictorkimsehyeon789212 күн бұрын
@@maalimhamad1297acha makasiriko mbwa ww rubbish
@stanleymwaselela184911 күн бұрын
@@maalimhamad1297haulazishwi kuja huku au kufuatilia page hii wewe ndio kafiri muda wote unafuatilia mambo ya mwanga tu wewe uchawi unakusumbua
@winfridmsuha13035 күн бұрын
Uyu mchungaji anajua sana ata akipewa mkoa au wilaya anaweza kuongoza vizuri
@user-wy4yn2xi3n11 күн бұрын
Mchungaji Hongera Sana upo Vizuri. Nimependa sana mahubiri yako ya MUNGU ni mazuri. Ameeeen MUNGU AKULINDE MIAKA MINGI.
@eunicekiilu74853 күн бұрын
Aminaaaaaaaaàh 🙌 barikiwa cna mutumishi wa mungu
@Sifa-ol4lb9 күн бұрын
Nakuombea kwa mungu uwe na maisha maref sanaa nakupenda san BABA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@kevindakbm70065 күн бұрын
Deni lilipwe nnae mda humu vp umeskia
@user-zp5qj3ym5x12 күн бұрын
Mm ni muislamu ila uyu mzee namuelewa sana na pia napenda kumfuatilia kwenye vipindi vyake Mungu akueke mchunguji Ananja
@kilimaentertainment168711 күн бұрын
Mimi pia ni Islamic ila huyu ni mwislamu Mungu anentumia upande huo wasipotee yaani Yuko real real real hababaji safi sana
@fumotv79145 күн бұрын
@@kilimaentertainment1687ukiona mtu anawasema wengne ndo muislam? Kabla ulikua unamjua?
@shabbymakapane15 күн бұрын
🤣🤣🤣😭 👏👏👏 Haleluya Mchungaji HANANJA Sema Ukweli,
@user-kq7kn7gh6l16 күн бұрын
Mimi ni mmoja wa watu ninao fuatilia mafundisho yako kiukweli unacho kiongea nikweli kabisa kwani baadhi ya makanisa yamegeuka hayafuati bibblia Bali wamejipangia taratibu tofauti na maagizo ya mwenyezi mungu , lakini Sasa Kila kitu kitawekwa wazima mwenye akiri na afahamu,maana hata wenzetu wa dini nyingine wanapata kutu SEMA kuwa huu ukristo sio dini ,lakini mungu atawatawanya manabii feki kwa njia saba
@zengomikomangwa926416 күн бұрын
Nakuelewa sana Mch Hananja. Asiekuelewa hasikilizi vizuri. Hongera kwa kuwa muwazi.
@devotaminga93522 күн бұрын
Mungu anao watu Mungu anajivunia wewe akiangalia kanisa lilivyo kengeuka ila akikuangalia wewe anajivunia sanaa 🙌🙏
@rahabnkya827611 күн бұрын
PASTOR HANANJA ASANTE. KODI NI MUHIMU. CAKE, MAJI, MAFUTA, LESO CHUMVI, NKVIKO MADHABAHUNI GHARAMA VIMEOMBEWA KUAKISI UPONYAJI AU MALI UTAJIRI. TUNASHUKURU KWA MAELEZO YAKO PENGINE YANA UKWELI NDANI YAKE. KWAMBA HAMNA WIZI HAPO SIYO. AMEEN. 😊
@godfreymhina623613 күн бұрын
Mchg kwakweli BWANA akubaliki sana amekuweka kwa kusudi huo ndio ukweli, Mwenye kuelewa ataelewa lakini huo unaoeleza ndio ukweli kwenye kizazi cha ukaidi.
@wanguwangu343 күн бұрын
Hananja ni mtumishi halisi wa MUNGU, barikiwa sana
@devotaminga93522 күн бұрын
Mungu akutunze mwl mwema msema kweli wa nyakati za mwisho🙏🙌
@VenerandaKiwia2 күн бұрын
Asante kwa neno Baba Hananja Mungu azidi kukupa hekima
@IlhamMohamed-dh8ng5 сағат бұрын
Msema kwel ni mpenz wa MUNGU,Hakika MUNGU akutunze sn❤
@ChristinajosephkitunduКүн бұрын
Nakuelewa sana mtumish wa mungu hiyo kwel kabisa tufumbue macho jaman
@ramadhaninyangasa727513 күн бұрын
Ni katika wachungaji wachache sana!! Wakweli
@sifamushi174722 сағат бұрын
UMEPENDEZA SANA ❤ Mchungaji.
@alicemgalawe392411 күн бұрын
18:06 Wewe ndo mtumishi wa Mungu bwana Hananja18:28 aja maua kwako, nimekukubali, wape vidonge vyao, wakimeza au wakitema ni shauri yao
@foundationforcommunityhope732711 күн бұрын
Hongera Sana mtumishi...unasema ukweli kabisaaa.
@paulmnyanyi70393 күн бұрын
Huyu mzee yuko vzr sana. na wengi wetu wanapotoshwa kwasababu Hawasomi Neno la Mungu na kutotaka kujua.
@EVANSOUMA-k5h12 күн бұрын
Mungu akuzidishie roho mtakatifu Baba mchungaji
@georgemtewele765615 күн бұрын
Kama umesoma biblia toka mwanzo mpaka Ufunuo, hongera na Kama bado na huna mda komaa kiroho kwa kumsikiliza Hananja sugu wa imani isiyo goshiwa
@SadickMwakisyala-gj5qi8 сағат бұрын
Mungu akubariki sana umeongea point
@user-sw2nu4qd2x5 күн бұрын
Nakuombea sana mzeee udumu maanaa hawa masharu wanaaribia wenginee wenye witi
@DENISNDOGHWEКүн бұрын
mungu akutunze sana sana kwa elimu nzuri
@MeryTuliКүн бұрын
Mzee Hana masiara na ukweli❤❤❤❤❤❤
@hamisikamanda99336 күн бұрын
Vizuri havidumu tunajua,,, ila mungu tuachie huyu basi jamaniii Dah!!
@mmakajunior30633 күн бұрын
Mungu nimwem mchugaji hananja nimuekawazi hiiimeenda❤🎉
@michaelkibiki330910 күн бұрын
Navutiwa sana na Huyu mchungaji anajitahidi sana kusema ukweli.Mungu ambariki sana
@VERONICASEGESELA4 күн бұрын
Injili ya kweli siku hizi haina wafuasi wengi na watu wengi wamepotea kwa kutokuzingatia maarifa ya neno la Mungu .asante Mchungaji kwa kukazia ukweli ulivyo
@Nicaonlinetv73245 күн бұрын
Ni mara chache sana kukuta post ina maoni ya aina moja. Comment zote zinaongea lugha moja kumkubali Mchungaji Hananja. Hakika lipo jambo la kujifunza hapa.
@devotaminga93522 күн бұрын
Harafu utashangaa jumbe kama hiziii zilizotawaliwa na ukweli hazipostiwi na media ila wale wapotoshaji wanapewa kipaumbele sanaa Mungu lisaidie kanisa lako mkumbuke huyu Baba umpe ulinzi🙏
@vailethudson27718 күн бұрын
hahahah Mungu sio shemeji yako,,,hakika nakuelewaga sana Mtumishi
@Malaikakisseto16 сағат бұрын
Kwakweli sio wewe tu hata mm nashangaa Sana watu wengine sijui wanatoa Imani wapi Wanawatii na kusikiliza wahubiri wa hovyo
@thomasraiton776012 күн бұрын
Na Kuna watu waliomba awafanyie muujiza akagoma kabisa
@felisterjoshuamollel39302 күн бұрын
😢😢madhabahu imegeuzwa duka watozwe kodi🎉
@luismchayano4796Күн бұрын
Mch. Umeongea vizuri sana. Lkn karibia makanisa yote yanafanya biasha inawezekana ikawa direct or indirect. Mfano minada kanisani ni biashara,kuchangisha michango mingi kanisani ni biashara, kulazimisha watu watoe sadaka kuanzia kiasi fulani ni biashara, au kuchonga masanduku yanayoruhusu kuingia kiasi fulani tu cha fedha ni biasha ili kipato kiwe kikubwa zaidi. Kwahiyo binafsi suala la biashara madhabahuni naona limekuwa la kawaida tu.
@farijala116 күн бұрын
Huyu Mzee Huwa anaongea Uhalisiawanamna Mafundisho halisi ya Dini. Haya anayosea Ndani ya Uislamu ni Hivyo na ninaamini hata kwenye Ukristo ni Hivyo,Sema hawakosekanagi wanaotafuta Upenyo wa Kuelekea namna vichwa vyao vinavyotaka.
@IlhamMohamed-dh8ng5 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ila ww Mzee unaongea facts sana aiseee
@edmundnkarangu13416 күн бұрын
Heavy point WALIPE KODI
@user-gv4jx2fp4uКүн бұрын
Nakuelewa sana ni kweli MUUJIZA NI KWA WASIOAMINI,NA NA JITIHADA NA KUFANYA KAZI KWA BIDII MAFANIKIO NI LAZIMA
@worth_monkey13 күн бұрын
mungu akuweke mchungaji umeongea fact sana asee wabongoo wanaburuzwaaa
@SalumSevingi13 күн бұрын
Mwenyz Mungu akulinde.
@fredybanda286115 күн бұрын
Exactly servant of God
@MzuandaMlali-x3r5 күн бұрын
Baba ni kweli kabisa
@KahimanoMutwa13 күн бұрын
This is my father now ❤
@charlesnyanhanga438216 күн бұрын
Hakika mchungaji yesu mwenyewe alilipa kodi
@WigesaNyerere11 күн бұрын
Mchungaji Mungu akusimamie daima,unasalisha kanisa gani na wapi me nahtaji kurudi kanisani,maana nishaa Acha nasalia ndani tu,ila unafundsha neno mpka nafrahi
@musajonas93975 күн бұрын
uko sawa ubarikiwe sana pastor watu wamependa kudanganywa ila nakuelewa sana Barikiwa
@user-sp5vr7uo4w13 күн бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji
@wilfredjohn482913 күн бұрын
Amen nimekuelewa Baba yangu Mungu akubariki 😂😂😂😂 dawa ya deni ni kulipa jaman kwakweli umeongea ukweli kabisa watumishi wa Mungu huubiri Neno la Mungu yohana 8:32 Mtaifahamu kweli na hiyo kweli itawaweka huru.....
@LinosJohn-dp9xi14 күн бұрын
Hananjaa umesahau ndio maaana yesu alipindua meza za watu kwenye masinagogi yao
@nkundechindwa96542 күн бұрын
Nakuoenda bure mchungaji Hananja yaani ni kweli tupu usemayo
@jacquelinelukambuzi508511 күн бұрын
Umeongea vizuri sana mchungaji Mungu akutunze
@user-vy9en5ly1z8 күн бұрын
MCHUNGAJI asemaye Kweli ni Hananja tu.
@panduafricangiant490216 күн бұрын
Hakuna miujiza katika mafanikio lakini kuna bahati katika juhudi pale mtaji unapokutana na fursa iyo ndo miujiza katika dunia halisi ila hii ya kisubiri kukemea mapepo utasubiri mafanikio mpaka unazeeka
@Ayyub_Semtawa14 күн бұрын
Kijana una akili sana...,busara na hekima ya hali ya juu..Taifa lingekua na Vijana wengi wenye ukomavu wa uelewa huu..tungefika mbali sana Kiuchumi..ki hisia na kiimani
@funniestAxel10 күн бұрын
hili jibu linaonesha uhalisia wa kilicho ndani ya kichwa, keep it up billionaire
@HappyCrescentMoon-oy1yp6 күн бұрын
Nakubari sana huyu mzee
@ZamdaNdale12 сағат бұрын
Mungu akupe miaka yakuishi
@user-ho7ci2fq1c12 күн бұрын
Exactly Man of GooD
@mu_tv5616 күн бұрын
Ningekua mkristo, kanisa la huyu mzee ndio ningelitumia kuabudu kwakwel, uyu ni mtu wa Mungu
@fideschacky15 күн бұрын
Hana kanisa huyu,anasali kkkt,ila yuko vizuri kwakweli
@upendogreutert19915 күн бұрын
@@fideschackyalikuwa Mchungaji wa KKKT Ila kwa sasa amestaafu anatoaga tu Ushauri sehemu mbalimbali
@sarahgaula222015 күн бұрын
😂
@user-pl3pc4wk9i14 күн бұрын
Kanisa siyo kigezo kikubwa ni nawewe ujue biblia karibu ujifunza biblia
@maalimhamad129712 күн бұрын
Wewe pia kafiri kama yeye wewe dini gani unatamani uwe na kafiri kama huyo na anauzuri gani mtu anamkfuru Allah wewe unasema mtu mzuri jieleweni mjue dini zenu
@camillasiwa650613 күн бұрын
big up mchungaji...tuko pamoja sanaaaaa....waambie hao wajinga wanaoliwa sadaka zao
@phanuelemmanuel47438 күн бұрын
Mungu ni mwema siku zote ubarikiwe Sana Tena Sana mtumishi WA mungu barikiwa Sana 🙏🙏🙏🙏🙏 hata muimbaji MUNISHI aliyaimba yote haya wimbo unatwa MAKANISA
@agnesandrew274212 күн бұрын
Barikiwa baba mchungaji ❤❤
@LaurenciaZacharia2 күн бұрын
Nakuelewa Sana mchungaji
@rehemakaijage136413 күн бұрын
Mchungaji, unapatikana wapi? Natamani Semina / Ibada zako, ILI nifurahi, nicheke, niongeze hekima zitokanazo na NENO LA MUNGU UNALOFUNDISHA.
@philipedward60906 күн бұрын
Anastahili kuwa Askofu mkuu wa makanisa yote Tanzania 🇹🇿, Yaani RC, K.K.K.T, ANGLICAN, TAG, EAGT, PAG, FPCT Yote weka ndani ya HANANJA 💪🏾
@user-mw5xs2wx8n13 күн бұрын
Dah afazali umesema bb mkorogo wa mwafula ni nyoko😂
@winfridalazaro2967 күн бұрын
Mungu aliyeziumba mbingu na nchi akulinde,aitunze afya Yako na azidi kukupa maarifa zaidi Ili watu wa Mungu wapone
@Kuminamoja199516 күн бұрын
Kweli kabisa Hananja 🎉🎉
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur15 күн бұрын
Wafanyabiashara wa Tanzania uku wanakimbia kulipa kodi
@user-ec4br4pd3o12 күн бұрын
❤❤❤mungu akubariki mchungaji
@evelynesuleyman77572 күн бұрын
Nampendaga sana huyu baba😂
@wanguwangu343 күн бұрын
Labda nimwambie kuwa huyu Kiboko wa wachawi siyo mtumishi wa Mungu Bali mtumishi wa shetani
@imanimwandosya3708 күн бұрын
Mchungaji wewe ni mwalimu mzuri sana unatufungua akili wengi,