Bonyeza neno SUBSCRIBE kisha bonyeza alama ya kengele ili uwe wamwanzo kupata video zetu mpya
Пікірлер: 455
@zuhrasherally28243 жыл бұрын
Crystal clear..ALLAHUMMA baarik..like father like son
@user-nx3xi9hb3t2 жыл бұрын
Namuomba ALLAH akuongoze ewe mtoto WA Sheikh Bachu
@yahyasix90253 жыл бұрын
Allah akupe barka zote. Hakika chema huzaa chema. Huo ndo ukweli kilichobakia labda mtu ajitoe mshipa w fahamu tu kubez kwnye kundi lake. Nawanasih waumini tuachane n makundi tuelekee mstari mmoja tu kw ajili y kupeleka mbele uislamu.
@just_this_way3 жыл бұрын
Ma Shaa Allah. Ustadhi umechangamka na kusema kweli kama mimi kipindi hicho nikiwa chuo kikuu.
@zubedasuleiman43223 жыл бұрын
Alhamdulillah leo nimejifunza Allah akuhifadhi shukran jazakallah khayran
@zuhrasherally28243 жыл бұрын
Sikiliza kuanzia dk 11..yaani very well said mash ALLAH
@mohamadmaulidngava15103 жыл бұрын
Alhaahu akbar Alhwaa Akihifadhi Mwalim wangu .
@mohammedmatumla5383 жыл бұрын
Jazaakallah khayraa Mu'allim, Na Allah akuhifadhi, mana isijekufikia hatua mtu akitwa kwa jina la kundi lake akajiona ni fakhaari na mwenye kujitukuza.
@babawawili31393 жыл бұрын
ALLAHU AQBAR SHUKRANI ALLAH AKUPE AFYA NASIHA UZIDI KUTUPA ELMU
@user-st4mi3jm9t3 жыл бұрын
وسئل- رحمه الله - : ما تقول فيمن تسمى بالسلفي والأثري ، هل هي تزكية؟ فأجاب سماحته : (إذا كان صادقا أنه أثري أو أنه سلفي لا بأس، مثل ما كان السلف يقول: فلان سلفي، فلان أثري، تزكية لا بد منها، تزكية واجبة).( التحفة المهدية لمن سأل عن معنى السلفية ص 35) وهي من محاضرة مسجلة بعنوان: "حق المسلم"، في 16/1/1413 بالطائف.) قاله ابن باز
@ebrahimadan36303 жыл бұрын
MashaAllah Jazaakallahu khayran
@user-st4mi3jm9t3 жыл бұрын
ولا شك أن التسمية الواضحة الجلية المميزة البينة هي أن نقول : أنا مسلم على الكتاب والسنة وعلى منهج سلفنا الصالح ، وهي أن تقول باختصار : (أنا سلفي) " .[مجلة الأصالة العدد التاسع شعبان/1416هـ ص 86 ـ90 ] شيخ الألباني رحمه الله
@@nassrajuma8140 eeeeeeee dadaweee ushamaliza kumhudumia mumeo au upo2 waongea na wanaume ela unajwa wajibu wako ww half mafuta hawez kumjibu mtu wa thanawiy maana mtoto Sanna hajawa bad uyo kielim Wal kiakili Wala kifikra
@user-st4mi3jm9t2 жыл бұрын
@@nassrajuma8140 huyo mpumbav2 hawez akajibw
@abdulqadirmasuo15502 жыл бұрын
@@user-st4mi3jm9t Kumtukana mwenzako ndio sifa waliokuwa nayo سلفنا الصالح ama?
@mubarakaibrahim571511 ай бұрын
Mashaa Allah. hawa masalafi wa Tanzania badhi yao wengi sana viongozi wakubwa ni mtihani .ALLAH awaongoze pia awafamishe khaqi maana ni wajanja ktk din wamebaki na maneno tu na sio vitendo
@hamisisaidi95253 ай бұрын
Nachokupendea tu huwa hutumii akili yako huwa una toa dalili, shukrani kwa ilo
@muslimmassoud26733 жыл бұрын
MashaAllah zakaAllah kheir
@ulfatis-haq60093 жыл бұрын
allah akuepushe na husda na akupe moyo wa kijasiri kuutetea uislam
@ibnuomar17702 жыл бұрын
Well said. Mashaa Allah
@mohammedkimanga89603 жыл бұрын
Shukrni sna sheikh tuko pamja kutoka Kenya 🇰🇪
@alwiahmed47792 жыл бұрын
Wallah sheikh ww kila video Zako nikiangalia nikukosowa watu nakukusowa mambo ya watu basi MASHALLAH ww watu onyesha ni msomi Sana TOO MUCH KNOW
@alihamisi12803 жыл бұрын
زادك الله علما وهدى وحرصا عليهما
@fareed_092 жыл бұрын
Bitiii
@salumusule86023 жыл бұрын
Mashaallah, vizury mwalim
@mohagurey22143 жыл бұрын
Safi sana shekhe wetu. Kichwa maji tu ndio hataelewa ulozumgumza
@Stanbul.Y3 жыл бұрын
MashaAllah tumekuelewa
@abbyknj99923 жыл бұрын
Vizur shekh dawa imeingia hiyo wapewape hii iwe dozi kunawengine wamesha anza kukejeli huku kwenye comment
@yusuphabdullah87903 жыл бұрын
Mashaallah umesema ukweli Allah akulipe
@mariammohd35153 жыл бұрын
Subhana Allah wewe mtoto sema kweli mungu akubarik uko sahihi hawa salary wa leo wanamashaka kusoma ukubwani kazi kweli kweli sheikh nakubali wanasumbua watu
@mahengomwenyewe42043 жыл бұрын
Marima unaunga mkono matusi kwa maswahaba maana wao walisoma ukubwani kama mnakosoa kosoeni ilo mnalilokosoa kwa hoja si kwa jazba na kuwakatisha watu tamaa hivi wapi imeandikwa kua kusoma ukubwani ni ila kielim ?? Unaunga mkono jazba Dada ?? Abu hurayra kasoma mtoto? mtume wako kasoma mtoto? Omar kasoma mtoto ?je hawa wazee wetu wa leo mama zetu wa leo tunowaambia waje misikitini wasome ni kazi bure nhe ?? Kweli nyie wahuni watupu mmekutana.
@mahengomwenyewe42043 жыл бұрын
Mtume صلى الله عليه وسلم Amesema kweli haiondoi elim kwa kuivua kwa watu lkn anaiondoa elim kwa kuwafisha wanazuoni had asipokua mwenye elim watu huwachukua viongozi wajinga kuwafanya ndio maulamaa wao. Mzee bachu kafariki Rahimahu llahu watu wanaokota okota matap tap eti mtu anapongeza maneno ya ujinga hayana mizani ya kielim yamebeba jazba anasema sema kweli sema kweli hajui zuri wala baya huyo anaepongeza . Allah lmustaan.
@user-st4mi3jm9t3 жыл бұрын
سئل الشيخ مقبل بن هادي الوادعي رحمه الله تعالى :- عن حكم الانتساب إلى السلفية والتسمي بها ؟ فأجاب بقوله : ( أمر طيب سواء انتسبت إلى السلفية أم السنة ..وهذه النسبة ليست كنسبة الحزبيين ..
@abdul_azeez_almaamir3 жыл бұрын
Shukran shaykh Allah akuhifadhil Ila nasaha zangu Kwak kama muislam Baadhi ya misamiati unayo itumia haiko Salama na Ina vunja Moyo Kwa namna moja au nyengine
@wachinendachionlinetv43383 жыл бұрын
Hakun cha kuvunja moyo kk. Huo ndio ukeli anaousem shekhe
@mahengomwenyewe42043 жыл бұрын
Zama hiz ukiweza kurekod tu bac unatupia wafuac utakutana nao uko uko
@mahengomwenyewe42043 жыл бұрын
@@wachinendachionlinetv4338 Sasa kusoma ukubwani ni aibu kwanini asikosoe kosa aloliona ?? Je hawa tunowaambia waje misikitini waje kusoma ni vip ?? Je mtume kasoma elim yake akiwa mtoto ?? Abu bakri je ? Omari je alikua mtoto ?? Abu hurayra je alikua mtoto ?? Je yeye bachu hana Darsa za wakubwa wanachukuliaje ?? Ni maneno ya kijahili si ya kielim kabisa jazba nyingi elim kidogo.
@abdul_azeez_almaamir3 жыл бұрын
@@wachinendachionlinetv4338 Ina maana kusema "huku kusoma ukubwani ni ulimbukeni" ww unasapoti hii ibara?? Iv ni maswahaba wangap wamejiliwa na uislamu nao ni watu wazima na wakawa ni katk maulamaa??
@abdul_azeez_almaamir3 жыл бұрын
@@wachinendachionlinetv4338 Kupenda sana na kuchukia sana ni ktk sababu zinazo mfanya mtu kuzuilika kuiyona haki na hata akiiona anashindwa kuifuata hivyo kama tunaon na kwamb shykh hapa kapitikiwa haina haja ya kukaa kimya Kwa sababu Dini ni nasaha nae pia ni binaadamu anahitaji kufundishwa na kukumbushwa pia
@mustayoo3 жыл бұрын
Allah akuhifadhi sheikh.
@abutafawa3 жыл бұрын
Jazzak Allâhu Khayran akhui
@saidrubeya64153 жыл бұрын
Mashallah baba yako mtupu..allah arehem nassour bach.amen wanyooshee kwenye mjia ya mtume na allah..
@alidochi28893 жыл бұрын
Kidogo kidogo tutafahamiana insha'Allah
@seifmwafumo14183 жыл бұрын
Ha ha ha ha ha ha
@shukranathman40513 жыл бұрын
Safi sana Maa shaa Allah, well said. Hafahamu asotaka kufahamu...
@yustoedward2224 Жыл бұрын
Mashallah allah akuhifadhie
@uledihassan60652 жыл бұрын
صدفت ما قلت أنك عالم هذه الأمة
@my-vb2to3 жыл бұрын
Mashaallah sauti kama sheh nasoro bachu Allah amrehemu kweli ww ndie mrithi wake Allah akuongoze maisha yako yote
@criminal03mostwanted713 жыл бұрын
Ustadh wangu ni 🔥🔥🔥
@yahyaally98763 жыл бұрын
Kabisa kabisa, Sheikh tumeeewa zaidi ya kuelewa Allah atuongoze njia sahihi.
@yahyaally98763 жыл бұрын
Kabisa kabisa, Sheikh tumeeewa zaidi ya kuelewa Allah atuongoze njia sahihi.
@saidikhalifa85922 жыл бұрын
Alla hapendi huwezijuawewe upokwenye kundi gani🙏Alla ndiyemjuzi
@mireztv22173 жыл бұрын
Masha Allah sheikh dah hii imenizindua sheikh kuwa vikundi havifai katk dini lkn kufuata misingi ya walio tangulia ambao salaf saleh inafaa nimekupata vizur
@salehshaaban11703 жыл бұрын
MASHAA.ALLAH!!!!Wewe kweli umemfahamu na umemkubali..kuna waliomfahamu lakini hawataki kumkubali bado wameshikilia na mgawanyiko katika uislamu. ...Allah s.w atunusuru na migawanyiko katika uislamu 🙏
طالب الحق يكفيه دليل، وصاحب الهوى لا يكفيه ألف دليل، الجاهل يُعلّم وصاحب الهوى ليس لنا عليه سبيل. محمد ناصر الدين الألباني محمد ناصر tusha yako kauli mbovuuu umesoma wapi wew mpak unasem maneno kam hayo hata mashwahaba huoni ubora wao mpaka unafikia hatuwa yakusem hiii mijitu iliyo soma ukubwani
@kosemraul34193 жыл бұрын
Aameen. Maasha Allah. Kijana amesoma kisawasawa. Mungu akuhifadhi sheikh Muhammad.
@abdulhaleemsalim10593 жыл бұрын
Amesoma nn kutukana mashekh
@kosemraul34193 жыл бұрын
Matusi yako wapi hapa? Kuna tafauti baina ya elimu na matusi. So elewa kutafautisha.
@user-bl4fs8xe2d3 жыл бұрын
إنا لله وإنا إليه راجعون إذا أسند الأمر إلى غير أهله فانتظروا الساعة
@user-st4mi3jm9t3 жыл бұрын
معك حقاً
@khamisptrany93933 жыл бұрын
هؤلاء هم الرويبضة الذين يتحدثون في شأن العام
@ahmadsaid58453 жыл бұрын
M najua abu fulani kama hajasema abu mwenzake hakubali ataa ...ukweli ni ukweli tuh clazima utoke kwa abu fulani.....
@nassrajuma81403 жыл бұрын
@@hassan4k7 jite salafy halafu hna amali ta moja ukaone kasheshe
@nassrajuma81403 жыл бұрын
@@hassan4k7 ww akhy hujafaham uthaymin kasema fuata njia ya salafy na ucjiite salafy...au hujui kiarabu akhy
@ahmedlao72733 жыл бұрын
Mtukufu sheikh mohamed bachu : nnavyo fahamu mimi ni kwamba TABLIGH ni harakati sio kikundi na pia TABLIGH haina msikiti maalum miskit mingi hufanywa tabligh.
@sultanismaili3 жыл бұрын
Allah anataka tuishike kamba yake(Quraan) na tusizozane.
@hashimiddi47893 жыл бұрын
Allah akubariki
@hamadali50622 жыл бұрын
Mashallah Allah sheikh. Hivjo umesoma hadithi za mtume katika vitabu vja maibadhi? Jee umesoma tafsiri ya qoraan kutoka kwe masheikh wa kiibadhi? Soma kwanza kwa kutaka kujuwa na kutaka ukweli Kisha wahukumu. Nakuomba sana sheikh usifanye haraka wala hasira. Soma kwanza vitabu vjao ni katika kutaka ukweli. Usiyahukumu madhehebu bila kuyajuwa unaweza Kuja kukosea. Allah atuongoze wote waislamu.
@husseinyussuf88273 жыл бұрын
Mashaallah
@iddyayoub43183 жыл бұрын
Mashallah tunashkuru ahk
@heyysean86612 жыл бұрын
mashaallah amiin
@zahormbwana6903 жыл бұрын
Allah akibar
@abdulkarimkaniki88003 жыл бұрын
Kunakujua kusoma na kuna kuelewa kilicho kusudiwa kwenye maudhui ,Hivi dogo umeelewa hiyo karatasi ulioshika ? Umenipashaka ulipo jiapiza kuwa kamasio hivyo ulivyoelewa utaacha kusoma ! Ushauri Elimu haipohivyo ndiosababu wanachuoni na masalaf humalizia na taamko WALLAHU A'ALAM Allah akuongoze
@thabitisimba11433 жыл бұрын
masha Allaha
@thabitisimba11433 жыл бұрын
hata mujitahida hawakuwahi kujiapiza juu ya kutoa fatawa BALI walisema Allah ndio mjuzi na MILANGO ya kuwafanyia usurubu ipo wazi maana wao si wakamilifu
@AbasijumaKuzacha-zw3lz2 күн бұрын
Acha ujuaji ww panda mimbari na ww tuone
@abuumuaadh4653 жыл бұрын
ما هكذا يا سعد تورد الابل
@Yu-jr9uf2 жыл бұрын
Kwa maoni yangu makundi mengi yanakua na misingi yao ambae wanakua wameamini ni sahihi, sasa kundi na kundi likishatofautiana msimamo ndo tabu inapoanzia!! Tukubaliane khitilafu zipo katika dini na elimu ipo kwa Allah na wala hatuna ruhusa ya kufarikiana!!.Kujiegemeza moja kwa moja katika kikundi flani kinaeza kikakutia ugumu kuikubali haki kutoka upande mwingne ikikudhihirikia na hakika tunakubaliana kwamba asiekosea na mkamilifu ni Allah pekee.
@jiongezeemaarifa1496 Жыл бұрын
صدقت
@shamsuddin45822 жыл бұрын
Jazakallah
@abuuirfan95233 жыл бұрын
Mijisalafi ndio nini tumia lugha nzuri shekhe
@abubakarihussen88522 жыл бұрын
Dah kweli ww shekhe nimdogo kiumli lkn upoe wako ni mkubwa pia elimu ya malehe babaako bado tunaiyona inasogea hakika upo sawa sawa atakae pinga niwale wenye vikundi inshaallah allaha akuripe heri zaid
@abuusalafy79562 жыл бұрын
Kubali kuwa wew nimtu wabidaah sugu
@omaraliy61443 жыл бұрын
hili jamaa lina mattzo sana
@jacksonswai80903 жыл бұрын
Wallah nimependa hoja yake kuwa kikundu chao kipo karibu na haki, n kwel kabisa kila mmoja hakosi changamoto
@herimbarushimana932811 күн бұрын
Masha Allah. Allah azidi kukupanulia kifuwa chako ili elimu unao iongezeke. Naomba mwenye yuko na number za sheikh anipe please.
@salummajigamajiga28702 жыл бұрын
Mashaalla
@jumanneissa82263 жыл бұрын
Umejeruhiwa kijana
@teosmokerx1x6643 жыл бұрын
Mashallah
@iddyhussein96543 жыл бұрын
سبحان الله جزاك الله خيرا
@harithzulfikar15753 жыл бұрын
Sheikh ALLHAMDULILLAH jee ulishawahi kwenda tabligh Mimi naomba number zaako sheikh manaa tabligh inakufundiaha sunna na maamrisho ya ALLAH hakuna zaidi nakuwakumbusha ndugu waislamu hakuna ziada sheikh Wala Hawa kuingili
@abrahamansaidi86313 жыл бұрын
Yale majibu uliyojibiwaga ukakimbia nahisi now umeengeza elimu uwezo unao utaweza kuzuia moto
@al-akhsalimoo.95193 жыл бұрын
mashaAllah
@mahengomwenyewe42043 жыл бұрын
Kwenye elim kuna kipindi cha baleghe ya elim hua unajipa moyo kila ufanyalo utaongea utafanya alaf balee ikiisha akili inakaa sawa unaanza kuchambua sasa lipi la sawa lipi uliboronga
@user-st4mi3jm9t3 жыл бұрын
يقول شيخ الإسلام ابن تيمية رحمه الله : : ( ولا عيب على من أظهر مذهب السلف وانتسب إليه واعتزى إليه، بل يجب قبول ذلك منه بالاتفاق؛ ما تقول يا جاهل فإن مذهب السلف لا يكون إلا حقاً،
@thabitisimba11433 жыл бұрын
huwezi kujifunga kwa sheikh moja kisha ukatoa msimamo wako kama kweli we ni mtu wa elm
@shabanimataka84182 жыл бұрын
auwez kuwa muislam wa sawa ukiwa unapenda dunia na unachukia kufa
@abbassaleh95493 жыл бұрын
Naona anajizonga tu ah tofautisha usalaf na wasalaf
@musseleng.21243 жыл бұрын
Haahahahaa...wewe nae unajizonga.
@mustafaismail56223 жыл бұрын
Hapo nakupongeza
@abdillahismail82873 жыл бұрын
Hapo kweli kija.a migogoro.imezid kwa vikundi ila juwa raddi inakuja huko wenzio weshapat sas na ww utaipat ila jitahid ukweli hubaki ukweli
@jumamahmoud927111 ай бұрын
Aaa walijaribu kumraddi lkn washakimbia wenyewe
@KijukuuMtemi4 ай бұрын
Ndo Kwanza Leo uongee ukweli huku kwetu chwaka mpaka watu wamegawana miskiti
@abuujuhaima55883 жыл бұрын
Tuambie ww uko upande gani akhiy tuambie
@AbuuKhayraat3 жыл бұрын
Comments Ziwache Watu Wasome
@allymohamed24463 жыл бұрын
كلمة الحق أريد بها الباطل
@binarytanzania2 жыл бұрын
Swali langu ni moja tu mtume alivosema vitatokea vikundi 74 katika umma wangu na kikundi kimoja ndio kitaenda peponi alimaanisha nini kama wew unasema ni haram kutengeneza vikundi ?
@jumamahmoud927111 ай бұрын
Kikundi hiko kimetajwa ndani ya kur an ni kikundi cha mtume na maswahaba zake na kila moja atakae fuata hao(mtume na maswahaba)kwaio ukishakua unamfuata mtume na wema waliotangulia basi unaingia apo
@AbuuKhayraat3 жыл бұрын
خالف .... تعرف.... Nenda Kinyume... Ujulikanwe
@cassimshearer79163 жыл бұрын
Maswahaba walisoma ukubwani shekhe. Kauli yako kusema kusoma ukubwani ni ulimbukeni ifute unawavunja moyo na wengine.
@mariammohd35153 жыл бұрын
Wewe umesoma wapi huyu mungu alosema wasomesheni watoto kakosea umesoma wapi sisi hatuwezi kua sawa sawa naswahaba huyu kazungumza kwa maisha yetu acha kibri cha nafsi hii dini ukweli usemwe tu hats ukinuna kaka
@sleimanwtwaha99833 жыл бұрын
@@mariammohd3515 dada mariyamu unakosea kusema hivyo kuna baadhi ya maulamaa wamesoma ukubwani
@cassimshearer79163 жыл бұрын
Nimesima baharini@ Mariam
@hudhaifamsafiri8731Ай бұрын
SWADAKTA❤❤
@abdulkadirshekhuna47083 жыл бұрын
Hamna kikundi kinacho itwa kikundi Cha tabliikh mama ya tabliiq shee unfahamu mengine Allah atufahamishe
@allymnimbo43043 жыл бұрын
Uzuri wa jina sio kigezo cha kupatia kwa yale yanayofanyika
@mohammedsalim9743 жыл бұрын
Akhi upo sahihi na haya maneno ni ya ukweli mtupu na yoyote yaliomgusa bax moyo wke lazma utajirudi na kubadilika.. Ila mtu akiweka mapenzi ya sheikh zao bc wataumia kisha wtatoa maneno machafu kam wlivo zoea kutoka kwa masheikh zao
@neemafatu78852 жыл бұрын
Yaani inashangaza sana. Mtu kama unafuata qur an na SUNNA za mtume na mtu aogope kufanya bid aa basi..sasa utakuta watu wa SUNNA pia wanajigawa ooh mara salafi mara vile . Akerekwaaaa!
@AbuuKhayraat3 жыл бұрын
🔨 *RADD: NA UBAINIFU JUU YA BATILI WANAYOIENEZA MAHIZBIY KWA SHEIKH MUHAMAAD BIN SWAALEH AL'UTHEIMIIN ALLAAH AMREHEMU.* ---------------------------------------- Mmoja katika Mahizbiy Ameandika makala akinukuu maneno ya Sheikh ibin Utheimiin yaliyoko katika kitabu Sharhul Arbaiina annawawiyyah hadithi ya 28 ukurasa wa (308). na pia katika Silsilatul baabi maftuuhu kanda nambari (75). akitahadharisha Makundi yaliyo zuka na katika hayo akataja Masalafiy pia wawekwe pembeni ! (Lakini uhakika nikwamba maneno hayo Sheikh alikuja kuyavunja mwenyewe kama tutakavyoona katika makala hii). * - kisha akaunganisha Hizbi huyo na maneno yake aliyo yaanzisha yeye mwenyewe huku Tanzania kuwa eti hiyo ndio dalili ya *Salafiyah jadida* kama anavyoeneza yeye , na lengo lake nikutaka kuleta fitna katika safu ya daawatu ssalafiyah na kutaka kupindisha haki . Nahii ndio hali ya watu washubha kufata Mambo walioteleza ulamaa ili kuwafitini wasiojuwa ! kama alivyosema Allaah mtukufu: (...فَأَمَّا الَّذِينَ فِي قُلُوبِهِمْ زَيْغٌ فَيَتَّبِعُونَ مَا تَشَابَهَ مِنْهُ ابْتِغَاءَ الْفِتْنَةِ وَابْتِغَاءَ تَأْوِيلِهِ ۗ وَمَا يَعْلَمُ تَأْوِيلَهُ إِلَّا اللَّهُ ۗ وَالرَّاسِخُونَ فِي الْعِلْمِ يَقُولُونَ آمَنَّا بِهِ كُلٌّ مِّنْ عِندِ رَبِّنَا ۗ وَمَا يَذَّكَّرُ إِلَّا أُولُو الْأَلْبَابِ ) ...Ama wale ambao nyoyoni mwao umo upotevu wanafuata zile (Aya) za mifano (Shubhaati) kwa kutafuta fitna, na kutafuta (kupotosha) maana yake; na wala hapana ajuaye maana yake ila Allaah. Na wale wenye msingi madhubuti katika ilimu husema: Sisi tumeziamini, zote zimetoka kwa Mola wetu Mlezi. Lakini hawakumbuki hayo isipo kuwa wenye akili. آل عمران: 7. Suuratu Al' imraan aya ya 7. Lakini ukweli nikwamba sheikh ibin Utheimiin yeye nikatika Ulamaa ambao walikuwa nimasalafiy na wanalingania Daawatu ssalafiyah ! Tofauti na wanavyo tangaza na kueneza mahizbiy miongoni mwa Maqutbiyyah na Assuruuriyyah na Maikhwaani. قال العلامة الشيخ محمد بن صالح العثيمين رحمه الله تعالى " Kasema Mwanachuoni huyo Sheikh Muhamad bin Swaaleh Al'utheimiin Allaah Mtukufu Amrehwmu: فأهل السنة والجماعة هم السلف معتقداً حتى المتأخر إلى يوم القيامة إذا كان على طريق النبي صلى الله عليه وسلم وأصحابه فإنه سلفي " . Na (sivinginevyo nikwamba) Ahlussunnati waljamaa Hao ndio Salaf wa kiakida , hata walio (kuja) kwakuchelewa mpaka siku ya kiyama , ikiwa wanafata njia ya Mtume swala na salamu zimuendee na maswahaba wake Basi huyo ni Salafiyyun (yani nisalafiy). شرح العقيدة الواسطية (1/45) (التحفة المهدية ص 26) . Sharhul aqiidatil waasitwiyyah (1/45).Attuhfatul Mahdiyyah ukurasa 26. وقال في شرح العقيدة السفارينية الشريط الأول ما نصه : Na kasema katika Aqiidatu Assafaariiniyyah Kanda Upande wa kwanza : maneno ambayo yakohivi ⤵️ من هم أهل الأثر ؟ هم الذين اتبعوا الأثار ، اتبعوا الكتاب والسنة وأقوال الصحابة رضي الله عنهم وهذا لا يتأتى في أي فرقة من الفرق إلا على السلفيين الذين التزموا طريق السلف . Nikina nani Hao Ahlul athari ? (kisha akajibu akasema) Hao niwale waliofata Aathaar Waliofata Kitabu na Sunnah na kauli za Maswahaba radhi za Allaah ziwaendee , Na hili haliji sawasawa kwenye kundi katika makundi isipo kuwa (linaenda sambamba na ) Masalafiy (Akawaita kundi) Ambao Wamejilazimisha na njia ya Wema (waliotangulia). وقال أيضا:في شرح العقيدة السفارينية. Na akasema tena vilevile katika Sharhu ya Al'aqiidatu ssafaariniya. هل يمكن أن تكون السلفية في وقتنا الحاضر؟ Je inawwzekana Kukawa na usalafiy katika wakati wetu huu wa sasa? نعم يمكن ، ونقول : هي سلفية عقيدة ،بل عقيدة وعمل في الواقع ، وهم بالنسبة لمن بعدهم سلف. (Kisha akajibu suali hili yeye mwenyewe akasema) Ndio inawezekana , na tunasema :Huu ni usalafiy wa Kiakida (sio kutangulia) bali Aqiida na Matendo kwahakika mambo yalivyo na wao kwakunasibiana na wa baada yao Nisalaf. شرح العقيدة السفارنية ص 19-20. Sharhul Aqiidati Assafaariiniyyah (19-20). Huo ndio msimamo Alio kuwa nao Sheikh ibin utheimiin Na juhudi yake katika kulingania daawatu ssalafiyyah Ambayo nikundi la Mtume na Maswahaba na walio wafuata hao mpaka siku ya mwisho. Mkusanyaji: Al'akh *Abul Hassan Khalfan Ma'aba Mohamad.* ._._._._._._._._._._._._._._._._📌 +255672234798 الكتاب والسنة على فهم سلفنا الصالح. 📮 *Tunawapeleka watu kwenye njia ya haki, kitabu na sunna kwa ufahamu wa wema walio tangulia* 📚
@ahmadsaid58453 жыл бұрын
Hamna atakae soma notes hzo...weka audio au vdeo tumsikie mwenyewe uthaymin akisema au tupe jina lakitabu...ila hapo cc tunaona ni ideas zako tuh
@AbuuKhayraat3 жыл бұрын
@@ahmadsaid5845 Yametajwa Marejeo Kwa Hiyo Ni Juu Yako Kwenda Kurejea
@androidhms81843 жыл бұрын
100%❤️
@myonlineteacheracademy8207 Жыл бұрын
Naaam madhhabu ya sawa ni Assalaf
@muhsinchinkola29753 жыл бұрын
Hahahahahaha Mtihan mkubwa
@ahmedjuma26742 жыл бұрын
Mm najua kuwa alietengeneza kikundi cha kisalaf ila kuna wanao futa uislmu kwa njia ya usalafi
@nassrajuma81403 жыл бұрын
Duh umesema kweli kma. ni uongo masheikh ztu wakisalafy wengalikuradd kma othaman maali ila wamepoaaaa
@salhacker77283 жыл бұрын
Sub hana llah. Akhy nilikua nakusikiliza sana ila kwa hili bora hata ungesema nikushauri kuliko haya unayo yasema.
@salhacker77283 жыл бұрын
Ndugu yangu achana na hyo mada inakushusha hadhi. Pambana na maswala mengine UNAYO YAWEZA unao wakusudia wakikurudishia tutakupoteza kabisa. Endelea kusoma Akhy shaur zako kama huta fata ushauri wangu
@adambandari89083 жыл бұрын
Kwani wanaojiita Masalafii hawafuati maswahaba? Makundi yote yatapotea Ila moja tu!!!Sasa wewe mbona unakataza makundi na Hali Mtume SAW amesema yatakuwepo?jipange dogo!
Mtume (SAW) alisema yatatokea makundi tofauti ila moja ndilo litaingia peponi , na hakusema mufate makundi.
@kalifkhalifa1063 жыл бұрын
Nilivyomfaham mim sheikh apo anaelezea kuwa haifai kujinajisibisha n kuni kujita ww sunni au salaf , inafaa tujue wanaojiita sunni au salafi wanafanya mamb yepi kwenye dini mpaka wao wanajiita hivyo.
@kalifkhalifa1063 жыл бұрын
Au ibadhi
@abdulkareemseif18923 жыл бұрын
@@kalifkhalifa106 yeye kakosea .mtume katuambia Ni kundi moja tu ndo tukifate baada ya makundi 72 Sasa nilile liitakalo kwenda na mwenendo wake .na wanazuoni wakalitafsiri nilile liitakalo fuata quran na sunna kwa ufahamu wa maswahaba kwa iyo wewe ukifuata huo mfumo ndo utakua ktk Hilo kundi nalo Ni la wema wote waliotangulia na ndio ikapatikana salafy swaleh .yani wema waliotangulia ..Sasa Kuna kosa wewe kusema mm sitafuata isipokua Cha wema waliotangulia na wewe ukawa ktk hao
@salimmgangq64253 жыл бұрын
Nikweli shekhe bachu kikundi hicho kipo kina Kufurisha kilashekhe asie endana na upande wao Wana dharau na kukuona kua wao ndio watu wa peponi na wengine wote ni watu wa bidaa washirina Yaani wanadharau Sana hawa jamaa
@abrahamansaidi86313 жыл бұрын
Acha ushabiki unajua maana ya kukufurahisha Mcheni Allah na huyo shekh yuwaona comment zenu amche Allah
@mahamoudduchi33183 жыл бұрын
@@abrahamansaidi8631 ushabiki gani wakati anazungumza ukweli jamaa Wana matatizo sana kila shekhe kwao wao sie wala asisikilizwe huu mbn mthn dah!!
@abrahamansaidi86313 жыл бұрын
@@mahamoudduchi3318 ndio hakuna kuwasikiliza ahlulbidaa Unawasikiliza wa nini na ushabainikiwa na haq na watu wake Hako kajamaa ni mahzbi wazi wazi na wanaomsapoti wamo humo humo na ahlulbidaa sufiya wafata bendera wamo humo
@adammakeo93662 жыл бұрын
Duh
@omaratik18392 жыл бұрын
Wallaah sioni kwamba Kuna Tafauti kubwa Wewe sheikh's Mohammed au akina Abdallah Humeid na sheikh Qassim Mafuta Ni Vitu vidogo Sana Alhamdulilah Nyote na sote Hakuna Mkamilifu ni Mngu Lakini Wallaah Tuko njia ya Haki .
@mahengomwenyewe42043 жыл бұрын
Hivi ilo kundi la maswahaba maulamaa hawakuliita jina ??
@AbuuKhayraat3 жыл бұрын
Kama Umekusudia Haqq Usifute Comments
@omarimasanga3 жыл бұрын
Kuna comments amefuta?🤔
@user-rt1bz7lk4s11 ай бұрын
Mbona sasa kitugani kilichokufanya kubadilikaa?
@salaamahmed24853 жыл бұрын
Maasha'Allah💚💚
@user-st4mi3jm9t3 жыл бұрын
نعم صدق رسول الله وينطق فيها الرويبضة أنت لا تصح للدعوة كيف تعلم الصحابة رضوان الله عليهم تعلموا وهم كبار