MASANJA MKANDAMIZAJI ACHEKESHA WATU MSIBANI | MASANJA TV

  Рет қаралды 163,993

Masanja TV

Masanja TV

6 жыл бұрын

MASANJA MKANDAMIZAJI ACHEKESHA WATU MSIBANI | MASANJA TV
SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Gospel Updates:
👇 👇
/ @masanjatvgospel

Пікірлер: 81
@barakmazigo8945
@barakmazigo8945 4 жыл бұрын
Wachawi oyee, kama umeiskia hy masanja ameikandamiza gonga like
@kanaanimkisi5290
@kanaanimkisi5290 Жыл бұрын
Ubarikiwe Baba Askofu
@user-nx9oj8yk8q
@user-nx9oj8yk8q 5 ай бұрын
Amina
@TimotheoElias-lh5hy
@TimotheoElias-lh5hy 3 ай бұрын
Masanja we ni shida nimeamini
@bahatialex9524
@bahatialex9524 5 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtmishi wa Mungu nikweli kabisa
@stevenlukumay5517
@stevenlukumay5517 6 жыл бұрын
Mchungaji masanja mkandamizaji mwanwane kandamiza gospel ya jesus haleluya Mungu azidi kukulinda
@mesozimkombozi432
@mesozimkombozi432 6 жыл бұрын
Nakupenda sana masanja.
@nabiimdogotv8686
@nabiimdogotv8686 6 жыл бұрын
Kazi yako ni njema kamanda
@aidanmaganza5280
@aidanmaganza5280 6 жыл бұрын
Ahsante sana mchungaji Emanuel, mwenyezi Mungu akupe maisha marefu na utusaidie kuijua kweli. Nilikuwepo ktk msiba, ulisaidia wengi.
@rithamsacky4655
@rithamsacky4655 5 жыл бұрын
Yaan masanja eti kabeni mara mbili....
@GloryJohn-nm5wo
@GloryJohn-nm5wo 11 ай бұрын
Naona na mfiwa ancheka kasha sahau duu mung akupe nguv
@aliceamanya6457
@aliceamanya6457 6 жыл бұрын
Ubarikiwe masanja
@joylimo6689
@joylimo6689 2 жыл бұрын
Following from kenya nmeona mchungaji wangu chibinda
@vicemedicalhealthcareoffic2311
@vicemedicalhealthcareoffic2311 6 жыл бұрын
Umeokoka kwel hauna bwebwe na ulokole kwel big up 100%
@akutiboysolomon9418
@akutiboysolomon9418 6 жыл бұрын
Hongera mtumishi kwa kazi njema ,Lazima kieleweke tu
@nayigaagnes746
@nayigaagnes746 6 жыл бұрын
Asannte kwamaubiri mazuri masanja
@magolijames3101
@magolijames3101 3 жыл бұрын
Amen
@alphonsinedusabe3590
@alphonsinedusabe3590 5 жыл бұрын
Amen amen 🙏🙏🙏
@Pastorlenhardkyamba
@Pastorlenhardkyamba 5 жыл бұрын
KEEP UP BRO I REALLY LOVE YOU SIR.
@rehemabonza4529
@rehemabonza4529 5 жыл бұрын
Mungu ni bariki nipate makaz dar, nije usali mito ya baraka, amen.
@godhelpkimaro6742
@godhelpkimaro6742 5 жыл бұрын
Barikiwa Mtumishi
@francismacheta8127
@francismacheta8127 5 жыл бұрын
Wachawi oe. masanja big up!!
@angeljoyce6836
@angeljoyce6836 4 жыл бұрын
Asnte mchungaji uko vizuri
@fredricknduneh2018
@fredricknduneh2018 5 жыл бұрын
I do love your sermons. Be blessed pastor masanja
@mwakasamuelnyiro6559
@mwakasamuelnyiro6559 6 жыл бұрын
Amen. Nimebarikiwa sana na ujumbe wako mtumishi. More blessing
@dawillygene
@dawillygene 5 жыл бұрын
Nakupenda saaana mtumishi
@mesozimkombozi432
@mesozimkombozi432 6 жыл бұрын
Kweli masanja wew ni bonge la mchekeshaji kwa mara ya kwanza nimekuona mwaka 2005 kwenye tv ulikuwa umevaa kimasai na fimbo begani ukiwa unaongea kilugha na mwengine akawa anatafsiri. nilicheka sana. tangu hapo nilikupenda sana na hujawahi niangusha kila comed yako nacheka sana. mungu akubariki kwa kipaji chako. Nakupenda sana tena sana masanjaasss
@saimonmgeta5239
@saimonmgeta5239 6 жыл бұрын
Hahahaaaa Uwiiii Eti Un logecable generation
@devybernardlaizer7713
@devybernardlaizer7713 5 жыл бұрын
Amen mtumishi
@happygasper3695
@happygasper3695 6 жыл бұрын
ubarikiwe mtumishi street pastor.. walawi 19:27
@filberthabashi3366
@filberthabashi3366 6 жыл бұрын
Happy Gasper i like
@fredricjames774
@fredricjames774 4 жыл бұрын
Wachawi oyeeeee
@happynessmkuyu545
@happynessmkuyu545 6 жыл бұрын
umenibariki sana kaka masanja
@bushashasamsong7788
@bushashasamsong7788 6 жыл бұрын
Unrogekable generation
@OmanOman-iv6si
@OmanOman-iv6si 6 жыл бұрын
Amina mtumishi wa mungu
@thiagoneligwa2190
@thiagoneligwa2190 6 жыл бұрын
ameeeeeeeennnnnnn
@tumemanyema3523
@tumemanyema3523 5 жыл бұрын
Nijambo jema kubadirika kumfuata Yesu muweza wa yote
@johnyjecma466
@johnyjecma466 4 жыл бұрын
hahaaaaa et wachawiiiiii oyeeeeeeeeee
@abelinhojohnson342
@abelinhojohnson342 5 жыл бұрын
Ahahahhaahah wachaw hoyeee!
@zeoneshiru3319
@zeoneshiru3319 6 жыл бұрын
Nichukie Uumwe
@carolinamushi5555
@carolinamushi5555 6 жыл бұрын
Aliokoka ni Huyo aliewekwa kwenye sandaku nyie watu mnafikiri kuokoka ni ni jambo tu la kuhama dini nyingine na kwenda nyingine wikovu ni kila Siku ya maisha yako uishiyo hapa Duniani nikwa namna gani unawagali watu unampenda Mungu unaishi vizuri kwa nasfsi yako bila kujidanganya mwenyewe, na kuwadanyanya wengine, kuujua Ukweli wa nafsi yako, na kumtafuta Mungu kila Siku, ktk sala, maxingira, watu wanakuzunguka nk. Na sio kuokoka na unahukumu kila Siku wengine kujiona wewe mwema kuliko wote, kuitangaza kila Siku nimeokoka huo ni ufarisayo.
@sheckycobb5240
@sheckycobb5240 5 жыл бұрын
Carolina Mushi acha ujinga wewe. kuokoka ni ukiwa hai
@jevasonkimaro4535
@jevasonkimaro4535 5 жыл бұрын
Carolina Mushi , we umelogwa fata maandiko
@samuelmbugh9505
@samuelmbugh9505 5 жыл бұрын
Biblia inasema aaminie na kubatizwa ataokoka marko16:16 sasa ukifa utaaminije ukimkiri yesu kwa kinywa chako na kuamini utaokoka sasa utamkirije ukiwe umewekwa kwenye jeneza
@leonarddamian
@leonarddamian 4 жыл бұрын
Mbwa ukishamjua jina akusumbui tena.
@sophiamwakila3300
@sophiamwakila3300 5 жыл бұрын
Hapa kweli Masanja ulihubiri ni Kiburi tu watu hatubadiliki
@rosemarymashauri8628
@rosemarymashauri8628 6 жыл бұрын
eti kabeni mara mbili zaidi ya mwanzo ha ha ha ha
@modestaabeli3389
@modestaabeli3389 6 жыл бұрын
Asante mtumishi wa bwana
@barakakiyalo3900
@barakakiyalo3900 5 жыл бұрын
Manina mtumishi wamungu ubarikiwe
@jibrildavis5664
@jibrildavis5664 2 жыл бұрын
Nichukiye uhumwe 🤣
@mwinjilisti.wayesu6196
@mwinjilisti.wayesu6196 6 жыл бұрын
calolini mushi kuokoka ni lazima usijidanganye kuokoka nikusema ukweli ,,...upendi kukemewa dhambi nilazima ukemewe
@carolinamushi5555
@carolinamushi5555 6 жыл бұрын
Ukweli ukweli ni jambo mmoja unatakiwa uwe nalo makini sana Kwanza wewe unaweza kujidanganya mbele ya Mungu huku ulibaki kukemea wengine maana usipojiamgalia kwa jicho la uwazi na nafsi yako utakua mnafiki mbele ya Mungu na kujifanya mkweli mbele ya watu.
@carolinamushi5555
@carolinamushi5555 6 жыл бұрын
Unakumbuka yule Mafarisayo alienda mbele ya Mungu na myahudi? Mafarisayo a kaanza kusali ee Mungu mimi sio kama huku hapa mdhambi, nafunga natoa sadaka nasali sana nk. Lakini yule myahudi akasema ee Mungu nihurumie mimi ni mdhambi nimekukosea sana, Mungu alipendezwa na Huyo myahudi, ujue wakati mwingine sisi wanadamu tunajiona kama Huyo Mafarisayo, hata tunapituliza kujiona tupo sawa na Mungu, lazima tu jaribu kuwa wanyenyekevu na kujiona tu sisi tupo kwa huruma ya Mungu. Mungu haukumu kama binadamu wahukumuvyo.
@thiagoneligwa2190
@thiagoneligwa2190 6 жыл бұрын
your talking now.......
@rosemarymashauri8628
@rosemarymashauri8628 6 жыл бұрын
ha ha ha ha jamani mahubiri mazuri tujitathimini
@sethstiven3393
@sethstiven3393 6 жыл бұрын
Rosemary Mashauri wap mama
@eliyaleonard137
@eliyaleonard137 6 жыл бұрын
hahahahahaaaaaaa. nimeche mbavuzinauma eti wachawi oyee.
@neemakaluwa5856
@neemakaluwa5856 6 жыл бұрын
Eliya Leonard 😂😂😂😂Yaan masanja!!
@lameckathanas2704
@lameckathanas2704 6 жыл бұрын
Halafu watu wakajisahau wakaitikia oyeee😂😂😂😂
@chandrnyoeliakim1006
@chandrnyoeliakim1006 5 жыл бұрын
hahaha nichukie uumwe
@veronicakalondji2375
@veronicakalondji2375 6 жыл бұрын
Amen🙏🏾🙏🏾
@faidoninyondomidia1454
@faidoninyondomidia1454 5 жыл бұрын
Ubalikiwe kaka
@alfrednjambilo909
@alfrednjambilo909 6 жыл бұрын
hahah daah
@kadzofaith5456
@kadzofaith5456 6 жыл бұрын
Ameen
@zakayomtweve684
@zakayomtweve684 5 жыл бұрын
Widaligha
@akwirinaprotas2493
@akwirinaprotas2493 4 жыл бұрын
Kadzo Faith
@furahafedrick8501
@furahafedrick8501 6 жыл бұрын
Carolina cyo lazima ukoment waachie waelewa wakoment
@victamnyamwezi2785
@victamnyamwezi2785 5 жыл бұрын
Kwakweli ni heri atulie
@mbwanalau57
@mbwanalau57 6 жыл бұрын
Upo vizuri mana napenda kukufatilia mchungaji barikiwa
@shaddyjames7511
@shaddyjames7511 3 жыл бұрын
Amina
@carolinamushi5555
@carolinamushi5555 6 жыл бұрын
Aliokoka ni Huyo aliewekwa kwenye sandaku nyie watu mnafikiri kuokoka ni ni jambo tu la kuhama dini nyingine na kwenda nyingine wikovu ni kila Siku ya maisha yako uishiyo hapa Duniani nikwa namna gani unawagali watu unampenda Mungu unaishi vizuri kwa nasfsi yako bila kujidanganya mwenyewe, na kuwadanyanya wengine, kuujua Ukweli wa nafsi yako, na kumtafuta Mungu kila Siku, ktk sala, maxingira, watu wanakuzunguka nk. Na sio kuokoka na unahukumu kila Siku wengine kujiona wewe mwema kuliko wote, kuitangaza kila Siku nimeokoka huo ni ufarisayo.
@benny924
@benny924 6 жыл бұрын
Carolina Mushi kwa sababu wewe ni ibirisi ndio maana hata ulichoandika hakisomeki mwambie aokoke babaako
@carolinamushi5555
@carolinamushi5555 6 жыл бұрын
Wewe ndio ibilis huwezi kuhukumu maisha ya mtu hapo Tayari umenihukumu hujui maisha yangu, jaribu kumuona Mungu kwa mwenzako, maana tumeumbwa kwa mfano na sura ya Mungu, kwenye mamlaka na kuhukumu yetu wanadam ni Mungu pekee yake, na sisi wote ni Watoto wa Mungu bila kujali dini kabila nchi sura au rangi, na Mungu anatupenda ndio maana anatuvutua kila mara tumerudi, wewe unafikiri kuwa mlokole umefika mbinguni huendaunaishi kila Siku kunyoshea watu video hujui ukinyosha kidole kimoja kwa mwenzako vinne vina kurudia wewe?
@elizabethmassawe5917
@elizabethmassawe5917 6 жыл бұрын
Carolina Mushi baada ya kufa ni hukumu Mdada usidhani kufa ndio uwokovu. Jiandalie ungali una pumua Mae...
@lightm2225
@lightm2225 6 жыл бұрын
Barikiwa. Mtumishi hapo umenena
@carolinamushi5555
@carolinamushi5555 6 жыл бұрын
Aliokoka ni Huyo aliewekwa kwenye sandaku nyie watu mnafikiri kuokoka ni ni jambo tu la kuhama dini nyingine na kwenda nyingine wikovu ni kila Siku ya maisha yako uishiyo hapa Duniani nikwa namna gani unawagali watu unampenda Mungu unaishi vizuri kwa nasfsi yako bila kujidanganya mwenyewe, na kuwadanyanya wengine, kuujua Ukweli wa nafsi yako, na kumtafuta Mungu kila Siku, ktk sala, maxingira, watu wanakuzunguka nk. Na sio kuokoka na unahukumu kila Siku wengine kujiona wewe mwema kuliko wote, kuitangaza kila Siku nimeokoka huo ni ufarisayo.
@carolinamushi5555
@carolinamushi5555 6 жыл бұрын
Aliokoka ni Huyo aliewekwa kwenye sandaku nyie watu mnafikiri kuokoka ni ni jambo tu la kuhama dini nyingine na kwenda nyingine wikovu ni kila Siku ya maisha yako uishiyo hapa Duniani nikwa namna gani unawagali watu unampenda Mungu unaishi vizuri kwa nasfsi yako bila kujidanganya mwenyewe, na kuwadanyanya wengine, kuujua Ukweli wa nafsi yako, na kumtafuta Mungu kila Siku, ktk sala, maxingira, watu wanakuzunguka nk. Na sio kuokoka na unahukumu kila Siku wengine kujiona wewe mwema kuliko wote, kuitangaza kila Siku nimeokoka huo ni ufarisayo.
@carolinamushi5555
@carolinamushi5555 6 жыл бұрын
Aliokoka ni Huyo aliewekwa kwenye sandaku nyie watu mnafikiri kuokoka ni ni jambo tu la kuhama dini nyingine na kwenda nyingine wikovu ni kila Siku ya maisha yako uishiyo hapa Duniani nikwa namna gani unawagali watu unampenda Mungu unaishi vizuri kwa nasfsi yako bila kujidanganya mwenyewe, na kuwadanyanya wengine, kuujua Ukweli wa nafsi yako, na kumtafuta Mungu kila Siku, ktk sala, maxingira, watu wanakuzunguka nk. Na sio kuokoka na unahukumu kila Siku wengine kujiona wewe mwema kuliko wote, kuitangaza kila Siku nimeokoka huo ni ufarisayo.
@betherichoir2823
@betherichoir2823 6 жыл бұрын
Carolina Mushi ujielewi wewe alafu nini kinakuuma wewe pambana na Hali yako utaki kukemewa Zambia alafu wazinzi waga mnasumbua nyie
@emanuelmponzi3446
@emanuelmponzi3446 6 жыл бұрын
Carolina Mushi sio kweli kuokoka ni kukiri kwa kinywa chako kwamba ni bwana na mokozi wa maisha yako maiti hawez kukirii
MASANJA MKANDAMIZAJI AWEKA WAZI UWOGA WAKE MSIBANI | MASANJA TV
18:26
That's how money comes into our family
00:14
Mamasoboliha
Рет қаралды 8 МЛН
The day of the sea 🌊 🤣❤️ #demariki
00:22
Demariki
Рет қаралды 106 МЛН
cheki masiala ya masanja akiwa anaombea chakula
1:26
Trick boy 46
Рет қаралды 943
HUWEZI KUFANIKIWA KIMAISHA BILA  MATATU HAYA....
50:09
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 1 МЛН
MASANJA JAMANI! Kwenye MSIBA wa MAMA MC PILIPILI Awavunja WATU MBAVU...
6:33
Hizi hapa dakika 15 tu! za Kufurahi na Mch. Hananja. UDSM CCT.
15:29
UDSM CCT MEDIA
Рет қаралды 882 М.
Такие сладости мама точно разрешит
0:22
Даша Боровик
Рет қаралды 4,4 МЛН
КАКОЙ ЛОГОТИП ЛУЧШЕ? #Shorts #Глент
0:32
ГЛЕНТ
Рет қаралды 3,1 МЛН
Многие думали что Фёдору конец!
1:00
МИНУС БАЛЛ
Рет қаралды 2,2 МЛН
ToRung short film: 🎁special gift❤️
0:49
ToRung
Рет қаралды 17 МЛН