THE CLASSIC MKANDAMIZAJI PT 1:KUJA MJINI NA NDOTO ZA KUA RAPPER/BYSER ALINIPA HASIRA/NILIFELI

  Рет қаралды 25,518

KuviFacts

KuviFacts

7 ай бұрын

Masanja Mkandamizaji ni muigizaji na mchekeshaji mwenye mafanikio makubwa,alikuja mjini akiwa na ndoto za kua rapper mkubwa na kufanikiwa,lakini safari yake ilikua na mambo mengi na mwishoe kuwa muigizaji,nni kilitokea?hii ndio hadithi yake

Пікірлер: 24
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo 6 ай бұрын
Arudi tena jamani he is so amaizing💥💥💥💥
@rahimchardluck
@rahimchardluck 7 ай бұрын
hii interview nzuri jamani....watu wako jamaica 😀😀😀😀😀😀 nimependa jamaa anaongea yeye yani hii sasa ndio interview..mwamba tangia kakaribishwa anafunguka mpaka mwisho yani iko bieeeee
@user-ti7nf4jc8g
@user-ti7nf4jc8g 3 ай бұрын
Masanja nakupa big up sana unaongea kweli wa maisha yako toka
@mosesoballaonlinetv2579
@mosesoballaonlinetv2579 6 ай бұрын
Dah! Ila Masanja eti pigo la mwisho la Getril dah nmecheka sana😅😅😅
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 7 ай бұрын
Leo mmenifurisha mnoooo,,,mapicha picha hakuna kabisa
@adamkapolo8817
@adamkapolo8817 6 ай бұрын
2008 alikuwa tayari star na ze comedy ilikuepo tayari unaongelea 2003 huko
@zenahussein2242
@zenahussein2242 7 ай бұрын
Atakuua huyo na mikono yake huyoo 😂😂😂
@malickkasuga4805
@malickkasuga4805 7 ай бұрын
Kumbe Jabil ndoulinibania BSS 2005 Bilcanas
@chambertalkshow9437
@chambertalkshow9437 6 ай бұрын
Noma sana 😅
@selemanimsangi7805
@selemanimsangi7805 7 ай бұрын
Daah! Mbona fupi sana pia nilitaka kujua ile ngoma ya nakataa Ugali kwanini hakutoa video,pia kuna ile nyingine inaitwa Wadogo zangu aliwashirikisha Joti na Mpoki
@malickkasuga4805
@malickkasuga4805 7 ай бұрын
Hii ni part 1 part 2 ishapanda itafutee
@frankngoloka5416
@frankngoloka5416 6 ай бұрын
Masanja umetisha
@jacobsadock3530
@jacobsadock3530 6 ай бұрын
Masanja kanichekesha sn, Yani kipindi kimekuwa kifupi, umenikumbusha dar West tabata,
@a-zproduction8143
@a-zproduction8143 5 ай бұрын
Amazing sana ila please Kuvi boresha sound system please 🙏
@KuviFacts
@KuviFacts 5 ай бұрын
Ok ndugu japo naona iko fresh lakini tutafanyia kazi maoni ndugu
@a-zproduction8143
@a-zproduction8143 5 ай бұрын
@@KuviFacts ndio ifanyie kazi maana inasound kama umerecord sauti Ina noise halafu uichuje kwa kutumia Adobe Audition Sasa Kuna namna itasound kama Ivo Sasa Kaka lkn bonge la kipindi Mzee keep it up Bro.❤
@dinyoabeli9028
@dinyoabeli9028 6 ай бұрын
Mwendelezo plz
@stuartikonko1941
@stuartikonko1941 6 ай бұрын
Cyo 2008 kala katoka bss ya Kwanza ilikuwa 2006 kwo itakuwa nyuma ya mwaka huo
@AfricanAlphaBeats
@AfricanAlphaBeats 5 ай бұрын
Sound mbov
@abednego3876
@abednego3876 6 ай бұрын
Mpo kwenye pipa au drum 😅
@samirmswahili
@samirmswahili 6 ай бұрын
Kuvichaka
@immabahatiimmabahati2373
@immabahatiimmabahati2373 6 ай бұрын
Rudi tena
@niggahoodthemc9156
@niggahoodthemc9156 7 ай бұрын
✊🏿👮🏿‍♂️
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo 6 ай бұрын
Arudi tena jamani he is so amaizing💥💥💥💥
Heartwarming moment as priest rescues ceremony with kindness #shorts
00:33
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 36 МЛН
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 13 МЛН
Happy 4th of July 😂
00:12
Alyssa's Ways
Рет қаралды 63 МЛН
ТАМАЕВ УНИЧТОЖИЛ CLS ВЕНГАЛБИ! Конфликт с Ахмедом?!
25:37
MASANJA MKANDAMIZAJI ASIMULIA HISTORIA YAKE | ATOA SOMO KWA VIJANA
13:59
Heartwarming moment as priest rescues ceremony with kindness #shorts
00:33
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 36 МЛН