Duuh sheikh wang hyo njoz ya nyoka me inanitawala sana
@nyumbayatibanadua7374 жыл бұрын
Pole sana akhuy
@jasminali59214 жыл бұрын
جزك الله خير
@omaryngozy20164 жыл бұрын
Jasmin Ali ,together
@aminajuma56644 жыл бұрын
Asantee xna sheikh
@dotomzungu78554 жыл бұрын
Daaah sawa sawa kabisa asante kk
@sabrinaluckson47973 жыл бұрын
Naota sana nang'atwa na nyoka wadogo wadogo kidole gumba...iki cha mwisho kikubwa huu mwaka wa pili nikilala tu
@abudimuddy5174 жыл бұрын
Kwanini usiisome wazi hiyo dua hapa hapa kwa KZfaq waislamu wakaiskia ?
@jasminali59214 жыл бұрын
Shukrani sana shekh
@nyumbayatibanadua7374 жыл бұрын
Ahsant sana bi jasmin ali
@dotomzungu78554 жыл бұрын
Thnk you
@halimomar16173 жыл бұрын
Shehe mm n Moga sana wa nyoka na huwa stk hata kumskia mna huwa nakosa usingz na nakuwa moga vbya naomba unijbu
@munezerolyna47873 жыл бұрын
Mara nyingi ndoto ya nyoka uja ndotoni kukuonesha kuwa kuna mtu unasogeleyana naye ndoto iyo mara nyingi inatujuza kuna watu wenye malengo yasiyo kuwa mazuri.
@munezerolyna47873 жыл бұрын
Mara nyingi inakuwa inatujuza kuwa kuna watu ambawo tuko nawo ambawo tunaongeya nawo awo tunajuwana nawo kuwa siyo wazuri kwetu
@nasranassor23334 жыл бұрын
Mara nyingi huota naua nyoka wa rangi ya brown
@winniedorah7784 жыл бұрын
Hiyo umemshinda adui zako
@sasa-py8jz4 жыл бұрын
Slm alykm na je ukiota mtoto wako ameanguka kwenye shimo refu na liko na maji tena badae atolewe na awe amevaa nguo nyeupe hii inamaanisha nn nisaidieni
@nyumbayatibanadua7374 жыл бұрын
Njoo WhatsApp +255758678552
@dotomzungu78554 жыл бұрын
Majanga hayo
@sasa-py8jz4 жыл бұрын
Nyumba ya Tiba na Dua sawa
@elianeniragira16774 жыл бұрын
Nauliza ukiota uko Mumavi
@kadogoomushadi54094 жыл бұрын
Sheikh miminimeota nyoka weusi wawili wanavimeno vikali vimetokea kwannje nilivokimbiya nyoka mmoja karuka kwajuu akanitoboa najinolake kidole cha shahada nadam zikatokaa sanaaa namaumivu makali samaa lakini kilamuda ukienda namaumivu yakapungua biladawa nadam ikaacha kutoka nisaidie kwamaana niponakhofu. Hatakijani kikinigusa nahisi ninyokatu
@AmiraAhmed-zv6zp4 жыл бұрын
MashaaAllah
@ozairsaid83044 жыл бұрын
Shekhe wng naomba unisaidie mwanangu anapata ndoto ya kuruka hewan Tangu mwanzo hawez kuruka vizur mpk sasa anaweza kuruka kabsa
@khadijaahmada25444 жыл бұрын
Kheri uote mimi ilinitokea nko macho naongea na simu kama saa saba usiku ghafla niliskia sauti ya mamangu ikiniita kwa nje wakat mamangu alikua hayupo siku hio. Kwa hofu na woga wangu sikuitikia ghfla ile sauti ikageuka ya kiume tena ya kungunguruma mithil ya rad baada yako yule mtu nkamuhisi yupo chumbani alisimama pemben ya kitanda na kunishika kidole cha mguu apo apo nilipoteza faham nikahis kama npo usingizin ghfla kitanda kilipasuka kati na chini kulikua kuna nyoka anatoka kwenye shimo refu anataka kunimeza sura yangu..kilichosaidia ni kwamba pale katika ile ndoto nilikua nasoma aya flan ila nliposhtuka siijuia ile aya nshaisahau..
@KhadijaAbdulySuleiman-su9nr Жыл бұрын
Makubwa
@damakatana Жыл бұрын
Je naeza kupata wapi unisaidie
@mkuuali94692 жыл бұрын
Assalam alaykum?mm huwa naota nyoka lkn tuko wawili mimi yule nyoka hanidhuru lkn yule mwenzangu ndio yuwafukuzwa nahuyo nyoka kila nkiota mwenzangu ndio yuwafukuzwa na nyoka nini maana yke plz.
@happyhamza18954 жыл бұрын
Nimeota joka Jana nyoka anavichwa viwili alafu anakimbiza baada ya Apo nikawa napaa mda,baada ya Apo akaningia akanipanda kwenye nguo nikavua nguo zote nikamuona akauwawa na mtu mwingine.
@rashidimustapha29154 жыл бұрын
Utachukuliwa mume
@mbisicharlesmbisi44923 жыл бұрын
Patricia muli. Mm niliota ivi kunadada ninaye mjua alipitia kwangu akaniomba nimzindikiche nikawa nachindwa lakini akanisihi basi tukatoka nilikuwa Na mtoto natembea naye Na mchika mkono Sasa Yule dada alikuwa mbele Na Mimi nyuma Na mtoto Wangu tulienda kiasi kidogo Ilikuwa kwenye Kona mtoto Wangu animbia amendungwa Na mwiba nikainama ili kumtoa mwiba alafu kuinuka Yule dada tulikuwa naye sikumwona nilimwona mwanamke mwingine alitokea kwa ile Kona Kama jini akiwa amejifunga lezo tu hakuwa Na nguo ingine akanichika mkono akaniuma mziba wa damu akaanza kunywa damu uku napiga Duru apo Sasa nikachituka usingizini Nini maana take ?
@leilajumap18914 жыл бұрын
Mimi naotaga nakula kitu alfu nashituka gafra ila nikistuka nakuta kile kitu kinatelemka kwenye kolomeo kinaenda tumbon maana yake ninini sheh
@rashidimustapha29154 жыл бұрын
Duh,
@fahadkhalfan20794 жыл бұрын
Unalishwa sihri (uchawi) tafuta tiba haraka ndugu kabla hujaanza kuumwa
@farhafarhan43934 жыл бұрын
Asalam Alaykum shekhe mm niliota tupo matembezin na wifi yang gafra police waka mvamia nakumtia ping mikononi mm nikaanza kukimbia naenda mbele tena nikakutana tena napolic wengine wamemkamat mkaka. Ana lalamika niacheni mm nimalizie mtihani wakidato cha6
@mariamkingazi64164 жыл бұрын
Ubaya huo umewapata lkn ww umepona
@puritylobun53132 жыл бұрын
Na ukiota ukiendesha gari maana Yake nini?
@khalila.matingas24484 жыл бұрын
Nimekuwa nikiota naachwa na ndege mara mbili mfululizo wiki iliyopita, nini maana yake
@kimnajim87244 жыл бұрын
Sheikh mm nimeota naandamwa na boko/kiboko maana yake nini
@farhafarhan43934 жыл бұрын
Yan mpka sasahivi sielewi mana yake naomba unisadie
@hamisaadam65884 жыл бұрын
Nimeota ndoto nyoka watatu mmoja nimkubwa sana unene kama ndoo kubwa ya mafuta arafu ana miguu miwili mwingine nimdogo ila unene wake kama ndoo ndogo ya mafuta mwingine ni mdogo sana na nmwembamba
@asajileshem82354 жыл бұрын
Nini hatima yake shekhe
@aminahmohammad58664 жыл бұрын
Shekhe mi naota mara mara sio kila siku naota nyoka but huyo nyoka hanifanyi kitu hua anakaa tu na mimi tene ni wale nyoka wakubwa kama chatu maana yake ni nini?
@farhafarhan43934 жыл бұрын
Leo tena nimeota msanii mkubwa kafalik kwaku rushwa gorofan
@hamisaadam65884 жыл бұрын
Mm nawaotaga sana ila nikiota inakua kwel ila nikimuota mtu hafi yeye anakufa mwingine kwamfano nikimuota wema basi atakufa mtu mwingine ila atakua maarufu haijalishi nimsanii au mwana siasa chamsingi awe maarufu tu
@suleimanshaban21404 жыл бұрын
Shekh,,, mtu akiota amemshika NJIWA MWEUPE na watu wanampenda yule njiwa wataka wampate wao.... inamaana gani???? Naomba jibu
@fahadkhalfan20794 жыл бұрын
Njiwa ni neema na rangi yake kuwa ni nyeupe pia ni wema na watu kumtaka wao ina maana ya hasadi kwa hyo aliyeota ndoto hiyo km ni ww au mwengine bas ajue kuna heri kubwa anabashiriwa.