Naomba tafisili Mm leo nimeota ndgu zangu wananikimbia huku wananiambia bado kidogo tu unakufa kisha waakaaza kunicheka baada ya mda kidogo niaanz kusali na nimeamka ninanguvu sana ....
@damakatana4 ай бұрын
Inamanisha unamahadui waziwazi hukosi kujua kwamba Kuna watu hakupendi na wewe huna wabaya nao
@albertogeorge66323 жыл бұрын
Mm nimeota watu wengi wamezungukia jeneza alafu mmoja analiendesha na watu hao wanalisujudu hilo jeneza likiwa na maiti
@user-jz8sj5us1h2 жыл бұрын
Masha Allah
@mzulunatal80624 жыл бұрын
Shekh watu wanaangalia kwa lengo la kujifunza, na mmoja anapouliza swali wengine wanategemea wapate ilmu kupitia majibu yako, sasa unapotoa namba ili mtu akutafute kwa whatsap ndipo umjibu, hawa wengine wanakosa hyo ilmu.
@ayushsaeed10513 жыл бұрын
Nisha chukua number lkn ajanambia maana
@hubbyemmanuel32673 жыл бұрын
Hili kishee gan sijui libinafs Sana anashindwa kujib umu na akianza aelez mada anazunguka km chizi
@user-wx6rv5qt2t8 ай бұрын
Pesa
@hajingangila15584 жыл бұрын
Allah Akbaru!!
@karimkibwana79723 жыл бұрын
Allhamdulillah
@aminaissah26934 жыл бұрын
Subhana allha
@mhitihigefhgugihgigdrugduv93674 жыл бұрын
Iyo noma
@beautywithnay59744 жыл бұрын
Subuana Allah 😭😭
@salmadalaquimane23644 жыл бұрын
Thanks shekh Mie mara nying umuota mtume wetu kipenz nn maana yake
@kivindikimondo68534 жыл бұрын
Endapo umemuota mtume basi umemuona kweri sheikh
@salmadalaquimane23644 жыл бұрын
@@kivindikimondo6853 Alhamdulillah thank u
@khadijamgambo68742 жыл бұрын
Ma Shaa Allah niombee na mm nimuone
@salmakhamisi1144 Жыл бұрын
Mashaallah,Niambie sir ya mafanikio yko
@joycesirimwobole73358 ай бұрын
Go to the point
@rukiamwinyi24153 жыл бұрын
Assalam aleikum..mm naota naogea..namaiti..na watu hawamuoni..au nikitendea ..mara gafla nakutana najeneza..wanalia sana..mara kwa mara...
@aminalibondo75074 жыл бұрын
Shukrani
@nyumbayatibanadua7374 жыл бұрын
Ahsante
@sembokodedaughter44054 жыл бұрын
Amina
@ramadhaniissa53704 жыл бұрын
ALHAMDULILAH SHEHE WATEUKA TU UMESHIBA WEWE
@abusaeed90374 жыл бұрын
Ramadhani Issa hasad hiyo
@fatmamshangama98244 жыл бұрын
Hahaha sikushiba huko
@aminarashidy33744 жыл бұрын
Mashaalla
@aminahema97144 жыл бұрын
Huhu
@estherimbotsi75534 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@sophiasophia38254 жыл бұрын
Ni bora ungekuwa unajibu watu humu humu kila mtu apate faida
@softcoolupdate54723 жыл бұрын
Sheikh naomba unisaidie tafsiri ya ndoto hii, usiku wa jumamosi kuamkia jumapili nimeota naoga maji yaliyomo katika ndoo nikiwa na watu nisiowafahamu, allah akubariki na kukupa kheri
@jasminemohamedi52193 жыл бұрын
Mara nyingi mm huota nakimbizwa nakimbia naanguka naendelea kukumbia
@amossthedone19412 жыл бұрын
Ukiota kuna msiba arafu mm na lia sana lakin sijajua alie kufa ni nani ila niona tu jeneza je na hiyo ina mana gan Shee wangu asante
@user-md6vl2vq6g4 ай бұрын
Unaogea sana
@ramadhanishabani17384 жыл бұрын
Maelezo yanakuwa marefu kuliko point.
@alimatambwe34024 жыл бұрын
Aswww Sheikh,mimi nimeshagaota nimekufa nawekwa kwenye jeneza napelekwa kaburini ile tu wanataka kumuweka ndani ya kaburi tu nikaamka nikaona watu wengi mbele yangu,nikashtuka,niliskia uoga na kutetemeka niliamka na kutawadha nakusali.
Shekhe mm nimeota nakunywa maji kume yale maji yanamavi
@nasrafazal35204 жыл бұрын
Hahahahahh mimi naona uongo uongo tu mwingi
@jumajembe35704 жыл бұрын
Sheigh Hamis vipi ndoto unamuota MTU mmoja Siku na mwezi tofautitofauti zaidi ya Mara 3 MTU uyouyo tafsiri yake ipi?
@nyumbayatibanadua7374 жыл бұрын
Njoo WhatsApp +255758678552
@amnajugbar7394 жыл бұрын
@@nyumbayatibanadua737 hata mm Nina shida hiyo
@fatimakassimkasifa92654 жыл бұрын
Swadkat
@mwakakashanga19693 жыл бұрын
Mi niliota jeneza linapaa angan
@ibrahimshirazi46794 жыл бұрын
Asalamualeikum Shehe wangu nimeota majeneza mengi ardhini yanatembea yanaelekea baharini isipokuwa moja tu likabaki nchikavu naomba unitafsrie
@marickzuberi43164 жыл бұрын
Hilo ni la kwako
@mariamibrahim39762 жыл бұрын
Daaah! Shehe upo silooo! Sana tuhurumie bando jamani😁
@user-jz8sj5us1h Жыл бұрын
😁😁😁
@otiliahaule51803 жыл бұрын
Shekhe mimi nimeota nimeona watu wamebeba jeneza huku wakilia na wakawa wanamsifia sana nawalipofika darajani wakaanza kutukana matusi huku wakisema tukipita hapa bila kutukana tutatumbukia mana pana majini nawalikua wanaenda kuzika makaburi ya watu maarufu je hii inamaana gani?
@saadahassan14374 жыл бұрын
Shekhee a alaikhum mm sijaelewa ukiota mtu analia yy na familia yake na watu wamebeba jeneza kwa mana aliyemo ndani anawahusu mana yake nn
@othmansongoro91214 жыл бұрын
upo
@husseinibrahim71653 жыл бұрын
Whaat
@amossthedone19412 жыл бұрын
Na ukiota kuna njia mbili mmoja nyembamba na nyingine pana ile barabara nyembamba una watu wengi lakini ile bara bara pana haina watu je nayo mana yako nn Shee wangu
@farhafarhan43934 жыл бұрын
Asalam Alaykum ostadhi mm niliota tupo matembezin na wifi yang gafra police waka mvamia nakumtia ping mikononi mm nikaanza kukimbia naenda mbele tena nikakutana tena napolic wengine wamemkamat mkaka ana lala mika sana anasema niacheni mama yake ana mtegemea cjui manake
@zainabzainab97244 жыл бұрын
Takbir.allahuakibar
@amossthedone19412 жыл бұрын
Wasalamu walekumu Shee wanngu namba unitafasirie hii ndoto. Nimeota kina mtu ameniletea samaki kwenye ndoo nyeupe sana na hao samaki mweupe sana nipo uliza walipo toka hao samaki wanna toka wapi akasema wanatoka bahari ya tisa je shee mana yake nn
@salumufaki2204 жыл бұрын
Sheikh ungejibu humuhu ili tupate faida na sisi wengine.....
@asharamadhan94114 жыл бұрын
sheikh m kuna ndoto naotaga naota eti nimeenda kutafuta chumba cha kupanga nikafnya usaf kama kawaida hili nihamie lakin cha kushangz sjamuona mama mwnye nyumb yan nimejiamuliya Mimi 2..........naotaga nafukiwa na watu wawili mwanamke na mwanaume
@user-bl8hr2cq3r10 ай бұрын
Asalaam alaikum warahmatullahi wa barakatuh, shukran jazakallah kheir kwa elimu nzuri, but nauliza jee kama umeota wewe ndo umelibeba hilo jeneza maana yake ni nini?
@florabrown50234 жыл бұрын
Mi niliota nimebeba jeneza lkin halina kitu nilikuwa natoa sehemu na nikawa nalipelaka offisini .ina maana gan?
@manja76844 жыл бұрын
Mitume walikua mara nyengine walikua wakiongea na mola wao kwa njia hio njozi (ilham) jee na sisi ni Mitume? Au lengo kuuza dawa
@rizikihassan97524 жыл бұрын
Makame Moh'd ,duhh watu wengine mafala sana ,ndo tuseme hujaelewa au ujinga tu unaleta ,uwe mtu ww si kukufuru huko
@annaboniface19362 жыл бұрын
Shekhe me nimeota ndoto inajiludia kuna mtu ananizka akiwa kwenye Hali ya kawaida Tu wala ana uzuni lakn akanitoa kwenye kaburi na kuniweka kaburi lingine
Asalaam aleykum shekh mm naota Niko shule yan kila siku lazm nipate ndoto Niko shule hii inamaan gan
@najmamohamed60604 жыл бұрын
Mm pia uota hii ndoto sana tena nanishakua mama
@catherinemwende74 жыл бұрын
Spirit of stagnation ; omba sana
@subirasaid54553 жыл бұрын
Assalam Alaykum warahmatullah wabarakatuh mume wangu kaota Mama yake amefariki na akasema Azikiwe pahali Fulani sasa yeye alienda kumuarifu Baba yake lkn huyo Baba yake ameshafariki lkn yy kwenye hiyo ndoto ilimjia kama Baba yake yuko hai na alimjuilisha na wakaenda pamoja kwenye msiba walipofika walikuta maiti inasaliwa yy akaenda kutia udhu aliporudi alikuta maiti ishasaliwa na yy hakuwahi kumswalia na walibeba jeneza watu watatu yy , Kaka yake na Baba yake na wakaondoka kwenda kuzika wakati wanaenda kuzika wakajikuta wako peke Yao wamepotea na watu wote hawapo yy akasema mama kasema tumzike pahali Fulani nyie mumekataa sasa tumrudishe kaka yake akakataa akasema tuombe tuombe tumzike hapa yeye akasema turudi tukamzike huko alikosema lkn wakawa wanabishana akazinduka. Sasa Sheikh naomba utuambie ina maana gani? Wabillah Taufiq
@maryamtz41144 жыл бұрын
Ukihota unarihaa hinamanishann
@albertogeorge66323 жыл бұрын
Nani zuri kweli
@yasalaam5902 жыл бұрын
Ya sheykh jee kwamfano ukiota umeingia mwwnyewe kaburini?nini maanae
@rayadulla97423 жыл бұрын
Mimi nimeota dadaangu amefariki na wakati ameshafariki zamani nikaliona kaburi lake linachimbwa mbele ya msikiti na mimi nikawa nalia kwa uchungu alafu nijanyamaza akaja mtu akanichekesha nijacheka nikazinduka kwenye ndoto maana yke nini...??
@farhafarhan43934 жыл бұрын
J.3 niliota mdada mmo1 ana itwa Vero tulikuwa tuna heshimiana sana amefalik gafra leo nimeota shilole kafalik kwaku rushwa gorofan atacjui manaake nn
@hamisaadam65884 жыл бұрын
Unakumbushwa kufanya ibada mm naota maiti kila cku leo nmeota mtoto wangu na mume wangu wame fariki nandoto ilikua ndefu sanaaaa
@ishankhadad59504 жыл бұрын
Mimi maranyingi nikiota jeneza basi haifiki wiki sehemu niloiyota inàpita jeneza lazma kutokee msjb
@bbb6nnn5613 жыл бұрын
Au ndohivyo jumla ya jeneza
@NaimaBanzi-jt5kh11 ай бұрын
Shekh nmeota baba mkwe wangu kafa tena yupo kwenye jeneza wanaenda kumzika alishakufa nini maana yake
@bbb6nnn5613 жыл бұрын
Lakin hiz njoz nyengine utaogopa ata kusikiliza kumbe hazina maana mbya
@guwileguwileyasini7584 жыл бұрын
مشا الله مشا ألله مشا ألله. كك. شكرن💘
@robertmapilya98394 жыл бұрын
jamani mm nimeota nimekufa halafu mengine siyakumbuki
@najjahhassan62612 жыл бұрын
Ukiota jeneza mbili ziko hapo na moja yatona maji manake nini??
@annatkenneth25982 жыл бұрын
Mm nimeota jeneza na liona linaelea baharini maji mengi kweli linaelea nini maana yake
@faridaiddi1044 жыл бұрын
Ukiota umesmamisha Hice na dereva kasimama na unamjua dereva Na konda alivo fungua mlango ukaliona jeneza na ukamjibu konda Basi cipandi garilko limejaa na wakaondoka bila ya kuongea chochote wakaendlea na sfriyao mbele Inamaana gani
@farhafarhan43934 жыл бұрын
Mbona cjajibiwa au unajib kwaku juana
@richtoz84563 жыл бұрын
Mimi nimeota jeneza yani alifariki ni baba yangu Mdogo yupo Canada ila maiti wameileta burundi imefunikwa kitamba ceupe kina maandishi ya kiarabu tuko msibani pakaja butoto bu tatu kudai nikasikia sauti inasema mimi nipewe ile pesa Ndio niwape mimi
@ummybabe16004 жыл бұрын
Sheikh you speak too much, just go straight to the point. Sisi wengine tuko kazini kwa warabu tunajificha kumtumia cmu.
@zainabzainab97244 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣ungekuwa karibu ningekupa mkono.cz mm ht of time yaisha.
@ashirafuswahibu00184 жыл бұрын
😀😀😀Atari kweli kweli jameni
@aminahema97144 жыл бұрын
Huhuhu thezea mwarabu akuone umeshika cmu
@faridaiddi1044 жыл бұрын
Hahaha nimwendo wa headphone my dear cio lzma uanglie Sura ya muongeaji Ila umenichkesha maana ukweli mtupu Ila Pole mpenxi
@ummybabe16004 жыл бұрын
@@faridaiddi104 headphones c shida ila shida ni cmu utaiweka wapi ndio usikize kama nguo n madera ya warabu hayana hata mfuko.
@nahyanhareb40534 жыл бұрын
Assalam allaikum sheikh.mi lkua napenda Sana kumuota mamangu amekufa mara nyingi Sana mpka nlikua nawasiwasi .lakini Kuna cku nlikuja muelezea rafki yangu Kua napenda kumuota mamangu amekufa kwnn Na labda inamaana Gani lakini alisema hajui maana yake .Na toka cku iyo nlipomwelezea Uyo rafki yangu kuusu ndoto iyo BC ikawa mwisho wa kuota mpka leo cjamuota Tena mama amefarki .Sheikh nieleze Ina maana Gani ndoto iyo
@nyumbayatibanadua7374 жыл бұрын
Njoo WhatsApp +255758678552
@fatmaabdallah87434 жыл бұрын
@@nyumbayatibanadua737 sheikh si.ujibu tu kwa faida ya wote
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh shekhe mimi nimeota nakatwa nyama mwilini na mkwe wangu akizila maana yake naomba nijulishe
@abdoulyousoufsaloom86014 жыл бұрын
Anakusengenya hiyo ndo maana yake
@mamsmariam66703 жыл бұрын
Nimeota naliona jeneza limebebwa kwenye gari limefunikwa shuka jekundu mini maana yake
@mbarakatv6334 жыл бұрын
Sijaelewa ulamaa mnafiki ni we we ulioota au ninani
@manja76844 жыл бұрын
Subhana llah unamwita ulamaa huyo jamaa ! Hata aya zinampelekesha
@seifzongo3204 жыл бұрын
Tatizo unaongea sana kabdla ya kutafsiri
@emmyyahya83584 жыл бұрын
Peleka mbele km utaki kuskiliza kila kitu mie naona vzr kwa sababu anatoa maelekezo na mifano
@sosomsangalufu20774 жыл бұрын
Anatakiwa atafsiri kwanza na kisha atoe mifano hiyo ili kukazia tafsiri yake
@rizikisebe8904 жыл бұрын
Naukiota maiti amebebwa kwenye jeneza na maiti ni mzima inamanisha nini
@nyumbayatibanadua7374 жыл бұрын
Njoo WhatsApp: +255758678552 Au piga simu namba: +255765893020
@mohamediali40384 жыл бұрын
Mmjawapo wewe unaiharibu dini muogope MUNGU
@rizikisebe8904 жыл бұрын
@@mohamediali4038 shukran
@evaasenga63513 жыл бұрын
Nimeota watu wamelileta jeneza nyumban kwangu wakaliweka aebulen Mimi nikasema nitaishije na jeneza nikaanza kuomba jeneza likapotea
@mamakealizecha93914 жыл бұрын
Asalam Alaikum,Sheikh mm napenda kuota mama alifariki lkn kwenye ndoto sikosi kumuota akiwa hali ya uzima.nayo hiyo ina maanisha nn mana simalizi wiki..
@nyumbayatibanadua7374 жыл бұрын
Njoo WhatsApp: +255758678552 Au piga simu namba: +255685496336
@mamakealizecha93914 жыл бұрын
@@nyumbayatibanadua737 Ok sawa
@jabilishekusa22024 жыл бұрын
SHEIKHE nimeota naongea Na rafikiangu baada ya wiki rafikiangu akafa jee nini maanayake
@fahadsanad41633 жыл бұрын
Nikeota leo saa tatu ya subuhi kwa sababu hua ninaamka saa nne mchana jeneza yabrown kubwa sana na ina msalaba tena kuna mziki ndani
@mutwalesylvie74434 жыл бұрын
Sijuwi nijibu nini
@fatmakhanii16764 жыл бұрын
Swadakta
@nyumbayatibanadua7374 жыл бұрын
Shukran
@jasminemohamedi52193 жыл бұрын
Nakimbia lakini sins mwendo
@khadijahhemed89102 жыл бұрын
Ukiota makaburi jee inalienable nini
@khadijahhemed89102 жыл бұрын
Ukiota makaburi sehemu mrefu kidogo I kuwa nini na wewe unayapita Nijar ya bars bars na yako mikono wa kulia
@amirlehao89454 жыл бұрын
A. Alykum sherkh mimi huwa naota kufanya mtihani lakin nakuwa nakosa majibu kwenye huo mtihani ko najikuta muda umeisha sijajaza kitu,,kingine huwa naona meno yametoka nimebaki na mapengo hii maana yake nini ama mwenye kujua please
@faridaiddi1044 жыл бұрын
Jitaidi kupambna na unachokipgania maana kila ukitka kufanya mamboyko yaendemble unajkta ynaenda tofauti na Jitaidi kusali na sio kila mipango yako umwambie mtu
@hamismwendo73594 жыл бұрын
ishanlla
@amirlehao89454 жыл бұрын
@@faridaiddi104 nashukuru saaana
@bnussrahlimsantah37304 жыл бұрын
Duh
@harunakamgisha76613 жыл бұрын
We nae unaongea mengi jmn
@AbdulmajidHyder4 жыл бұрын
Eeeeeh basi tutalala sana ili tuweze kuota sanaaaaaaaaa.......
@swalhabaiki59992 жыл бұрын
Assalam Alaikum warahmatullhy wabarakatuh...mimi nmeota majeneza kila njia ninayotaka kupita kunatokea watu wamebeba jeneza mpaka ikawa wamenizingira sioni njia tena...nini maana yake
@husnamohammed83742 жыл бұрын
Maalim unaongea sn lkn
@hadijakabona9554 жыл бұрын
Ukiota wapanda mlima inaashilia nn
@namlamohamed77044 жыл бұрын
hutumizi swala ndio maana yake
@hadijakabona9554 жыл бұрын
@@namlamohamed7704 mie mbona swala zote natimiza
@thamiyuucute70984 жыл бұрын
Jamani mimi naota sana naingiliana yani naseksi namtu...tena week hii naota sana naingiliwa namwanamke..juzi tuu nimemuota wolper tunafanya sex😭😭😭😭😭najiuliza hemu msaada wenu waislamu wenzangu
@ssmmasoud85564 жыл бұрын
Una tatizo kubw. Uko wapi
@nasramohammed67164 жыл бұрын
Una majini wewe
@faridaiddi1044 жыл бұрын
Pole unajini mchafu na mgombanishi
@thamiyuucute70984 жыл бұрын
Kwetu zanzibar
@thamiyuucute70984 жыл бұрын
@@ssmmasoud8556 Zanzibar kwetu
@saadahassan14374 жыл бұрын
Alafu mm niliota napita chumba lkn ndani kuna maiti nyingi adi nikitembea naziruka ruka na km ni wahindi wanavyowaeka wakitaka kuwachoma wameveshwa nguo nyeupe je ina mana gani
@fadiashami63814 жыл бұрын
Asslaam
@mwajumafund73444 жыл бұрын
Naukiota unapaa je nivip
@allymido89034 жыл бұрын
Na mtu akiota anakoshwa yn yy ni maiti anakoswa ilihali kafa na janaba maana yk nini