Ukiota Jeneza Na Yanayohusiana Na Hilo Jeneza Hizi Ndio Tafsiri Zake - Sheikh Khamis Suleyman

  Рет қаралды 95,950

MASJID MTORO ONLINE TV

MASJID MTORO ONLINE TV

4 жыл бұрын

Пікірлер: 192
@masungamanjano2421
@masungamanjano2421 4 жыл бұрын
Nenda.kwenye point Mr
@sariahamad5650
@sariahamad5650 4 жыл бұрын
mungu akupe maisha marefu na akujalie mwisho ulio mwema
@user-qj5sj7mf2w
@user-qj5sj7mf2w 6 ай бұрын
Nice
@yasalaam590
@yasalaam590 2 жыл бұрын
Shukran sheykh suleiman kama sijakosea jinanlako
@IlhaamMarshed
@IlhaamMarshed 4 жыл бұрын
Subhana Allah
@annmamakesymon1678
@annmamakesymon1678 Жыл бұрын
Asanti sana mwalimu niliota hivo nimeliona jeneza kumbe boss anania na mimi kwaukweli niliona hadi mienendo zake . Shukran sana
@salmakhamisi1144
@salmakhamisi1144 Жыл бұрын
Nia kivp yn
@dorismbise2927
@dorismbise2927 4 жыл бұрын
Shee jarbu kuingia kwenye pont unavyo sema mambo ya mtume wengne atuelewi thanks
@AmiraAhmed-zv6zp
@AmiraAhmed-zv6zp 4 жыл бұрын
MashaaAllah
@amossthedone1941
@amossthedone1941 2 жыл бұрын
Na ukiobta baba angu menifuta akiwa amekaa tu amenuna mm nikambia he bb umekuja nimekukumbuka sana yy hakujibu chochote ana ondoka zako
@suzanne9517
@suzanne9517 Жыл бұрын
Shukran
@fatumaamiri9404
@fatumaamiri9404 3 ай бұрын
Napenda tafsiri zako za ukwel
@saumuseif9189
@saumuseif9189 4 жыл бұрын
Subhanallah
@zainurukaya1939
@zainurukaya1939 Жыл бұрын
Shekh nashukuru kwa ilmu hii lakini unazama kwenye ushahidi zaidi kuliko mada unayokusudia
@bbb6nnn561
@bbb6nnn561 3 жыл бұрын
Amiiiiiin allah atuepushe na ndoto mbaya amiiin amiiin
@batulipondela1769
@batulipondela1769 3 жыл бұрын
Ukiota umebeba jeneza kichwani nahilo jeneza halina kitu maana yake nn
@tullysanga453
@tullysanga453 3 жыл бұрын
Sielewi hata kidogo
@hassaniilyasa6230
@hassaniilyasa6230 6 ай бұрын
assalaamu alaikim warahmatullaahi wabarakaatuh sheikh Mimi niliota djeneza mbili zinapita mbele yangu
@angelinasamuel_9951
@angelinasamuel_9951 4 жыл бұрын
Naomba tafisili Mm leo nimeota ndgu zangu wananikimbia huku wananiambia bado kidogo tu unakufa kisha waakaaza kunicheka baada ya mda kidogo niaanz kusali na nimeamka ninanguvu sana ....
@damakatana
@damakatana 4 ай бұрын
Inamanisha unamahadui waziwazi hukosi kujua kwamba Kuna watu hakupendi na wewe huna wabaya nao
@albertogeorge6632
@albertogeorge6632 3 жыл бұрын
Mm nimeota watu wengi wamezungukia jeneza alafu mmoja analiendesha na watu hao wanalisujudu hilo jeneza likiwa na maiti
@user-jz8sj5us1h
@user-jz8sj5us1h 2 жыл бұрын
Masha Allah
@mzulunatal8062
@mzulunatal8062 4 жыл бұрын
Shekh watu wanaangalia kwa lengo la kujifunza, na mmoja anapouliza swali wengine wanategemea wapate ilmu kupitia majibu yako, sasa unapotoa namba ili mtu akutafute kwa whatsap ndipo umjibu, hawa wengine wanakosa hyo ilmu.
@ayushsaeed1051
@ayushsaeed1051 3 жыл бұрын
Nisha chukua number lkn ajanambia maana
@hubbyemmanuel3267
@hubbyemmanuel3267 3 жыл бұрын
Hili kishee gan sijui libinafs Sana anashindwa kujib umu na akianza aelez mada anazunguka km chizi
@user-wx6rv5qt2t
@user-wx6rv5qt2t 8 ай бұрын
Pesa
@hajingangila1558
@hajingangila1558 4 жыл бұрын
Allah Akbaru!!
@karimkibwana7972
@karimkibwana7972 3 жыл бұрын
Allhamdulillah
@aminaissah2693
@aminaissah2693 4 жыл бұрын
Subhana allha
@mhitihigefhgugihgigdrugduv9367
@mhitihigefhgugihgigdrugduv9367 4 жыл бұрын
Iyo noma
@beautywithnay5974
@beautywithnay5974 4 жыл бұрын
Subuana Allah 😭😭
@salmadalaquimane2364
@salmadalaquimane2364 4 жыл бұрын
Thanks shekh Mie mara nying umuota mtume wetu kipenz nn maana yake
@kivindikimondo6853
@kivindikimondo6853 4 жыл бұрын
Endapo umemuota mtume basi umemuona kweri sheikh
@salmadalaquimane2364
@salmadalaquimane2364 4 жыл бұрын
@@kivindikimondo6853 Alhamdulillah thank u
@khadijamgambo6874
@khadijamgambo6874 2 жыл бұрын
Ma Shaa Allah niombee na mm nimuone
@salmakhamisi1144
@salmakhamisi1144 Жыл бұрын
Mashaallah,Niambie sir ya mafanikio yko
@joycesirimwobole7335
@joycesirimwobole7335 8 ай бұрын
Go to the point
@rukiamwinyi2415
@rukiamwinyi2415 3 жыл бұрын
Assalam aleikum..mm naota naogea..namaiti..na watu hawamuoni..au nikitendea ..mara gafla nakutana najeneza..wanalia sana..mara kwa mara...
@aminalibondo7507
@aminalibondo7507 4 жыл бұрын
Shukrani
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 4 жыл бұрын
Ahsante
@sembokodedaughter4405
@sembokodedaughter4405 4 жыл бұрын
Amina
@ramadhaniissa5370
@ramadhaniissa5370 4 жыл бұрын
ALHAMDULILAH SHEHE WATEUKA TU UMESHIBA WEWE
@abusaeed9037
@abusaeed9037 4 жыл бұрын
Ramadhani Issa hasad hiyo
@fatmamshangama9824
@fatmamshangama9824 4 жыл бұрын
Hahaha sikushiba huko
@aminarashidy3374
@aminarashidy3374 4 жыл бұрын
Mashaalla
@aminahema9714
@aminahema9714 4 жыл бұрын
Huhu
@estherimbotsi7553
@estherimbotsi7553 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@sophiasophia3825
@sophiasophia3825 4 жыл бұрын
Ni bora ungekuwa unajibu watu humu humu kila mtu apate faida
@softcoolupdate5472
@softcoolupdate5472 3 жыл бұрын
Sheikh naomba unisaidie tafsiri ya ndoto hii, usiku wa jumamosi kuamkia jumapili nimeota naoga maji yaliyomo katika ndoo nikiwa na watu nisiowafahamu, allah akubariki na kukupa kheri
@jasminemohamedi5219
@jasminemohamedi5219 3 жыл бұрын
Mara nyingi mm huota nakimbizwa nakimbia naanguka naendelea kukumbia
@amossthedone1941
@amossthedone1941 2 жыл бұрын
Ukiota kuna msiba arafu mm na lia sana lakin sijajua alie kufa ni nani ila niona tu jeneza je na hiyo ina mana gan Shee wangu asante
@user-md6vl2vq6g
@user-md6vl2vq6g 4 ай бұрын
Unaogea sana
@ramadhanishabani1738
@ramadhanishabani1738 4 жыл бұрын
Maelezo yanakuwa marefu kuliko point.
@alimatambwe3402
@alimatambwe3402 4 жыл бұрын
Aswww Sheikh,mimi nimeshagaota nimekufa nawekwa kwenye jeneza napelekwa kaburini ile tu wanataka kumuweka ndani ya kaburi tu nikaamka nikaona watu wengi mbele yangu,nikashtuka,niliskia uoga na kutetemeka niliamka na kutawadha nakusali.
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 4 жыл бұрын
Wasiliana nami kwa maelezo zaidi: Kupiga simu: +255765893020 +255685496336 WhatsApp +255758678552
@faudhia11haji66
@faudhia11haji66 4 жыл бұрын
Shekhe mm nimeota nakunywa maji kume yale maji yanamavi
@nasrafazal3520
@nasrafazal3520 4 жыл бұрын
Hahahahahh mimi naona uongo uongo tu mwingi
@jumajembe3570
@jumajembe3570 4 жыл бұрын
Sheigh Hamis vipi ndoto unamuota MTU mmoja Siku na mwezi tofautitofauti zaidi ya Mara 3 MTU uyouyo tafsiri yake ipi?
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 4 жыл бұрын
Njoo WhatsApp +255758678552
@amnajugbar739
@amnajugbar739 4 жыл бұрын
@@nyumbayatibanadua737 hata mm Nina shida hiyo
@fatimakassimkasifa9265
@fatimakassimkasifa9265 4 жыл бұрын
Swadkat
@mwakakashanga1969
@mwakakashanga1969 3 жыл бұрын
Mi niliota jeneza linapaa angan
@ibrahimshirazi4679
@ibrahimshirazi4679 4 жыл бұрын
Asalamualeikum Shehe wangu nimeota majeneza mengi ardhini yanatembea yanaelekea baharini isipokuwa moja tu likabaki nchikavu naomba unitafsrie
@marickzuberi4316
@marickzuberi4316 4 жыл бұрын
Hilo ni la kwako
@mariamibrahim3976
@mariamibrahim3976 2 жыл бұрын
Daaah! Shehe upo silooo! Sana tuhurumie bando jamani😁
@user-jz8sj5us1h
@user-jz8sj5us1h Жыл бұрын
😁😁😁
@otiliahaule5180
@otiliahaule5180 3 жыл бұрын
Shekhe mimi nimeota nimeona watu wamebeba jeneza huku wakilia na wakawa wanamsifia sana nawalipofika darajani wakaanza kutukana matusi huku wakisema tukipita hapa bila kutukana tutatumbukia mana pana majini nawalikua wanaenda kuzika makaburi ya watu maarufu je hii inamaana gani?
@saadahassan1437
@saadahassan1437 4 жыл бұрын
Shekhee a alaikhum mm sijaelewa ukiota mtu analia yy na familia yake na watu wamebeba jeneza kwa mana aliyemo ndani anawahusu mana yake nn
@othmansongoro9121
@othmansongoro9121 4 жыл бұрын
upo
@husseinibrahim7165
@husseinibrahim7165 3 жыл бұрын
Whaat
@amossthedone1941
@amossthedone1941 2 жыл бұрын
Na ukiota kuna njia mbili mmoja nyembamba na nyingine pana ile barabara nyembamba una watu wengi lakini ile bara bara pana haina watu je nayo mana yako nn Shee wangu
@farhafarhan4393
@farhafarhan4393 4 жыл бұрын
Asalam Alaykum ostadhi mm niliota tupo matembezin na wifi yang gafra police waka mvamia nakumtia ping mikononi mm nikaanza kukimbia naenda mbele tena nikakutana tena napolic wengine wamemkamat mkaka ana lala mika sana anasema niacheni mama yake ana mtegemea cjui manake
@zainabzainab9724
@zainabzainab9724 4 жыл бұрын
Takbir.allahuakibar
@amossthedone1941
@amossthedone1941 2 жыл бұрын
Wasalamu walekumu Shee wanngu namba unitafasirie hii ndoto. Nimeota kina mtu ameniletea samaki kwenye ndoo nyeupe sana na hao samaki mweupe sana nipo uliza walipo toka hao samaki wanna toka wapi akasema wanatoka bahari ya tisa je shee mana yake nn
@salumufaki220
@salumufaki220 4 жыл бұрын
Sheikh ungejibu humuhu ili tupate faida na sisi wengine.....
@asharamadhan9411
@asharamadhan9411 4 жыл бұрын
sheikh m kuna ndoto naotaga naota eti nimeenda kutafuta chumba cha kupanga nikafnya usaf kama kawaida hili nihamie lakin cha kushangz sjamuona mama mwnye nyumb yan nimejiamuliya Mimi 2..........naotaga nafukiwa na watu wawili mwanamke na mwanaume
@user-bl8hr2cq3r
@user-bl8hr2cq3r 10 ай бұрын
Asalaam alaikum warahmatullahi wa barakatuh, shukran jazakallah kheir kwa elimu nzuri, but nauliza jee kama umeota wewe ndo umelibeba hilo jeneza maana yake ni nini?
@florabrown5023
@florabrown5023 4 жыл бұрын
Mi niliota nimebeba jeneza lkin halina kitu nilikuwa natoa sehemu na nikawa nalipelaka offisini .ina maana gan?
@manja7684
@manja7684 4 жыл бұрын
Mitume walikua mara nyengine walikua wakiongea na mola wao kwa njia hio njozi (ilham) jee na sisi ni Mitume? Au lengo kuuza dawa
@rizikihassan9752
@rizikihassan9752 4 жыл бұрын
Makame Moh'd ,duhh watu wengine mafala sana ,ndo tuseme hujaelewa au ujinga tu unaleta ,uwe mtu ww si kukufuru huko
@annaboniface1936
@annaboniface1936 2 жыл бұрын
Shekhe me nimeota ndoto inajiludia kuna mtu ananizka akiwa kwenye Hali ya kawaida Tu wala ana uzuni lakn akanitoa kwenye kaburi na kuniweka kaburi lingine
@user-wp2mw1sp7h
@user-wp2mw1sp7h 3 ай бұрын
Mimi nimeota nataka kuwingiya kwenye jeneza lkn sikuwingiya nikaondoka mbio nikasema siingi kwani miye nimekufa
@noreenmillicient8101
@noreenmillicient8101 4 жыл бұрын
Zimfikie wapi huko😱😱
@emmyyahya8358
@emmyyahya8358 4 жыл бұрын
Allah Akbar
@aminangombe8815
@aminangombe8815 Жыл бұрын
Maelexo mengi
@fatumasalim6569
@fatumasalim6569 4 жыл бұрын
Asalaam aleykum shekh mm naota Niko shule yan kila siku lazm nipate ndoto Niko shule hii inamaan gan
@najmamohamed6060
@najmamohamed6060 4 жыл бұрын
Mm pia uota hii ndoto sana tena nanishakua mama
@catherinemwende7
@catherinemwende7 4 жыл бұрын
Spirit of stagnation ; omba sana
@subirasaid5455
@subirasaid5455 3 жыл бұрын
Assalam Alaykum warahmatullah wabarakatuh mume wangu kaota Mama yake amefariki na akasema Azikiwe pahali Fulani sasa yeye alienda kumuarifu Baba yake lkn huyo Baba yake ameshafariki lkn yy kwenye hiyo ndoto ilimjia kama Baba yake yuko hai na alimjuilisha na wakaenda pamoja kwenye msiba walipofika walikuta maiti inasaliwa yy akaenda kutia udhu aliporudi alikuta maiti ishasaliwa na yy hakuwahi kumswalia na walibeba jeneza watu watatu yy , Kaka yake na Baba yake na wakaondoka kwenda kuzika wakati wanaenda kuzika wakajikuta wako peke Yao wamepotea na watu wote hawapo yy akasema mama kasema tumzike pahali Fulani nyie mumekataa sasa tumrudishe kaka yake akakataa akasema tuombe tuombe tumzike hapa yeye akasema turudi tukamzike huko alikosema lkn wakawa wanabishana akazinduka. Sasa Sheikh naomba utuambie ina maana gani? Wabillah Taufiq
@maryamtz4114
@maryamtz4114 4 жыл бұрын
Ukihota unarihaa hinamanishann
@albertogeorge6632
@albertogeorge6632 3 жыл бұрын
Nani zuri kweli
@yasalaam590
@yasalaam590 2 жыл бұрын
Ya sheykh jee kwamfano ukiota umeingia mwwnyewe kaburini?nini maanae
@rayadulla9742
@rayadulla9742 3 жыл бұрын
Mimi nimeota dadaangu amefariki na wakati ameshafariki zamani nikaliona kaburi lake linachimbwa mbele ya msikiti na mimi nikawa nalia kwa uchungu alafu nijanyamaza akaja mtu akanichekesha nijacheka nikazinduka kwenye ndoto maana yke nini...??
@farhafarhan4393
@farhafarhan4393 4 жыл бұрын
J.3 niliota mdada mmo1 ana itwa Vero tulikuwa tuna heshimiana sana amefalik gafra leo nimeota shilole kafalik kwaku rushwa gorofan atacjui manaake nn
@hamisaadam6588
@hamisaadam6588 4 жыл бұрын
Unakumbushwa kufanya ibada mm naota maiti kila cku leo nmeota mtoto wangu na mume wangu wame fariki nandoto ilikua ndefu sanaaaa
@ishankhadad5950
@ishankhadad5950 4 жыл бұрын
Mimi maranyingi nikiota jeneza basi haifiki wiki sehemu niloiyota inàpita jeneza lazma kutokee msjb
@bbb6nnn561
@bbb6nnn561 3 жыл бұрын
Au ndohivyo jumla ya jeneza
@NaimaBanzi-jt5kh
@NaimaBanzi-jt5kh 11 ай бұрын
Shekh nmeota baba mkwe wangu kafa tena yupo kwenye jeneza wanaenda kumzika alishakufa nini maana yake
@bbb6nnn561
@bbb6nnn561 3 жыл бұрын
Lakin hiz njoz nyengine utaogopa ata kusikiliza kumbe hazina maana mbya
@guwileguwileyasini758
@guwileguwileyasini758 4 жыл бұрын
مشا الله مشا ألله مشا ألله. كك. شكرن💘
@robertmapilya9839
@robertmapilya9839 4 жыл бұрын
jamani mm nimeota nimekufa halafu mengine siyakumbuki
@najjahhassan6261
@najjahhassan6261 2 жыл бұрын
Ukiota jeneza mbili ziko hapo na moja yatona maji manake nini??
@annatkenneth2598
@annatkenneth2598 2 жыл бұрын
Mm nimeota jeneza na liona linaelea baharini maji mengi kweli linaelea nini maana yake
@faridaiddi104
@faridaiddi104 4 жыл бұрын
Ukiota umesmamisha Hice na dereva kasimama na unamjua dereva Na konda alivo fungua mlango ukaliona jeneza na ukamjibu konda Basi cipandi garilko limejaa na wakaondoka bila ya kuongea chochote wakaendlea na sfriyao mbele Inamaana gani
@farhafarhan4393
@farhafarhan4393 4 жыл бұрын
Mbona cjajibiwa au unajib kwaku juana
@richtoz8456
@richtoz8456 3 жыл бұрын
Mimi nimeota jeneza yani alifariki ni baba yangu Mdogo yupo Canada ila maiti wameileta burundi imefunikwa kitamba ceupe kina maandishi ya kiarabu tuko msibani pakaja butoto bu tatu kudai nikasikia sauti inasema mimi nipewe ile pesa Ndio niwape mimi
@ummybabe1600
@ummybabe1600 4 жыл бұрын
Sheikh you speak too much, just go straight to the point. Sisi wengine tuko kazini kwa warabu tunajificha kumtumia cmu.
@zainabzainab9724
@zainabzainab9724 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣ungekuwa karibu ningekupa mkono.cz mm ht of time yaisha.
@ashirafuswahibu0018
@ashirafuswahibu0018 4 жыл бұрын
😀😀😀Atari kweli kweli jameni
@aminahema9714
@aminahema9714 4 жыл бұрын
Huhuhu thezea mwarabu akuone umeshika cmu
@faridaiddi104
@faridaiddi104 4 жыл бұрын
Hahaha nimwendo wa headphone my dear cio lzma uanglie Sura ya muongeaji Ila umenichkesha maana ukweli mtupu Ila Pole mpenxi
@ummybabe1600
@ummybabe1600 4 жыл бұрын
@@faridaiddi104 headphones c shida ila shida ni cmu utaiweka wapi ndio usikize kama nguo n madera ya warabu hayana hata mfuko.
@nahyanhareb4053
@nahyanhareb4053 4 жыл бұрын
Assalam allaikum sheikh.mi lkua napenda Sana kumuota mamangu amekufa mara nyingi Sana mpka nlikua nawasiwasi .lakini Kuna cku nlikuja muelezea rafki yangu Kua napenda kumuota mamangu amekufa kwnn Na labda inamaana Gani lakini alisema hajui maana yake .Na toka cku iyo nlipomwelezea Uyo rafki yangu kuusu ndoto iyo BC ikawa mwisho wa kuota mpka leo cjamuota Tena mama amefarki .Sheikh nieleze Ina maana Gani ndoto iyo
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 4 жыл бұрын
Njoo WhatsApp +255758678552
@fatmaabdallah8743
@fatmaabdallah8743 4 жыл бұрын
@@nyumbayatibanadua737 sheikh si.ujibu tu kwa faida ya wote
@hubaamuj5129
@hubaamuj5129 4 жыл бұрын
@@fatmaabdallah8743 kweli shekh... Khery ajibu humuhumu!
@zakhiamohamed2178
@zakhiamohamed2178 4 жыл бұрын
Si ututafsiriye tupate faida
@maryamtz4114
@maryamtz4114 4 жыл бұрын
@@zakhiamohamed2178 ukihota unaria hinamanisha nn
@sityjuma3049
@sityjuma3049 2 жыл бұрын
Nimeota namsalia maiti
@bbb6nnn561
@bbb6nnn561 3 жыл бұрын
Ukiota sanda
@saadaalmamary8397
@saadaalmamary8397 4 жыл бұрын
Kama hukumbuki ulichooota
@ummusaid1254
@ummusaid1254 4 жыл бұрын
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh shekhe mimi nimeota nakatwa nyama mwilini na mkwe wangu akizila maana yake naomba nijulishe
@abdoulyousoufsaloom8601
@abdoulyousoufsaloom8601 4 жыл бұрын
Anakusengenya hiyo ndo maana yake
@mamsmariam6670
@mamsmariam6670 3 жыл бұрын
Nimeota naliona jeneza limebebwa kwenye gari limefunikwa shuka jekundu mini maana yake
@mbarakatv633
@mbarakatv633 4 жыл бұрын
Sijaelewa ulamaa mnafiki ni we we ulioota au ninani
@manja7684
@manja7684 4 жыл бұрын
Subhana llah unamwita ulamaa huyo jamaa ! Hata aya zinampelekesha
@seifzongo320
@seifzongo320 4 жыл бұрын
Tatizo unaongea sana kabdla ya kutafsiri
@emmyyahya8358
@emmyyahya8358 4 жыл бұрын
Peleka mbele km utaki kuskiliza kila kitu mie naona vzr kwa sababu anatoa maelekezo na mifano
@sosomsangalufu2077
@sosomsangalufu2077 4 жыл бұрын
Anatakiwa atafsiri kwanza na kisha atoe mifano hiyo ili kukazia tafsiri yake
@rizikisebe890
@rizikisebe890 4 жыл бұрын
Naukiota maiti amebebwa kwenye jeneza na maiti ni mzima inamanisha nini
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 4 жыл бұрын
Njoo WhatsApp: +255758678552 Au piga simu namba: +255765893020
@mohamediali4038
@mohamediali4038 4 жыл бұрын
Mmjawapo wewe unaiharibu dini muogope MUNGU
@rizikisebe890
@rizikisebe890 4 жыл бұрын
@@mohamediali4038 shukran
@evaasenga6351
@evaasenga6351 3 жыл бұрын
Nimeota watu wamelileta jeneza nyumban kwangu wakaliweka aebulen Mimi nikasema nitaishije na jeneza nikaanza kuomba jeneza likapotea
@mamakealizecha9391
@mamakealizecha9391 4 жыл бұрын
Asalam Alaikum,Sheikh mm napenda kuota mama alifariki lkn kwenye ndoto sikosi kumuota akiwa hali ya uzima.nayo hiyo ina maanisha nn mana simalizi wiki..
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 4 жыл бұрын
Njoo WhatsApp: +255758678552 Au piga simu namba: +255685496336
@mamakealizecha9391
@mamakealizecha9391 4 жыл бұрын
@@nyumbayatibanadua737 Ok sawa
@jabilishekusa2202
@jabilishekusa2202 4 жыл бұрын
SHEIKHE nimeota naongea Na rafikiangu baada ya wiki rafikiangu akafa jee nini maanayake
@fahadsanad4163
@fahadsanad4163 3 жыл бұрын
Nikeota leo saa tatu ya subuhi kwa sababu hua ninaamka saa nne mchana jeneza yabrown kubwa sana na ina msalaba tena kuna mziki ndani
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 4 жыл бұрын
Sijuwi nijibu nini
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 4 жыл бұрын
Swadakta
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 4 жыл бұрын
Shukran
@jasminemohamedi5219
@jasminemohamedi5219 3 жыл бұрын
Nakimbia lakini sins mwendo
@khadijahhemed8910
@khadijahhemed8910 2 жыл бұрын
Ukiota makaburi jee inalienable nini
@khadijahhemed8910
@khadijahhemed8910 2 жыл бұрын
Ukiota makaburi sehemu mrefu kidogo I kuwa nini na wewe unayapita Nijar ya bars bars na yako mikono wa kulia
@amirlehao8945
@amirlehao8945 4 жыл бұрын
A. Alykum sherkh mimi huwa naota kufanya mtihani lakin nakuwa nakosa majibu kwenye huo mtihani ko najikuta muda umeisha sijajaza kitu,,kingine huwa naona meno yametoka nimebaki na mapengo hii maana yake nini ama mwenye kujua please
@faridaiddi104
@faridaiddi104 4 жыл бұрын
Jitaidi kupambna na unachokipgania maana kila ukitka kufanya mamboyko yaendemble unajkta ynaenda tofauti na Jitaidi kusali na sio kila mipango yako umwambie mtu
@hamismwendo7359
@hamismwendo7359 4 жыл бұрын
ishanlla
@amirlehao8945
@amirlehao8945 4 жыл бұрын
@@faridaiddi104 nashukuru saaana
@bnussrahlimsantah3730
@bnussrahlimsantah3730 4 жыл бұрын
Duh
@harunakamgisha7661
@harunakamgisha7661 3 жыл бұрын
We nae unaongea mengi jmn
@AbdulmajidHyder
@AbdulmajidHyder 4 жыл бұрын
Eeeeeh basi tutalala sana ili tuweze kuota sanaaaaaaaaa.......
@swalhabaiki5999
@swalhabaiki5999 2 жыл бұрын
Assalam Alaikum warahmatullhy wabarakatuh...mimi nmeota majeneza kila njia ninayotaka kupita kunatokea watu wamebeba jeneza mpaka ikawa wamenizingira sioni njia tena...nini maana yake
@husnamohammed8374
@husnamohammed8374 2 жыл бұрын
Maalim unaongea sn lkn
@hadijakabona955
@hadijakabona955 4 жыл бұрын
Ukiota wapanda mlima inaashilia nn
@namlamohamed7704
@namlamohamed7704 4 жыл бұрын
hutumizi swala ndio maana yake
@hadijakabona955
@hadijakabona955 4 жыл бұрын
@@namlamohamed7704 mie mbona swala zote natimiza
@thamiyuucute7098
@thamiyuucute7098 4 жыл бұрын
Jamani mimi naota sana naingiliana yani naseksi namtu...tena week hii naota sana naingiliwa namwanamke..juzi tuu nimemuota wolper tunafanya sex😭😭😭😭😭najiuliza hemu msaada wenu waislamu wenzangu
@ssmmasoud8556
@ssmmasoud8556 4 жыл бұрын
Una tatizo kubw. Uko wapi
@nasramohammed6716
@nasramohammed6716 4 жыл бұрын
Una majini wewe
@faridaiddi104
@faridaiddi104 4 жыл бұрын
Pole unajini mchafu na mgombanishi
@thamiyuucute7098
@thamiyuucute7098 4 жыл бұрын
Kwetu zanzibar
@thamiyuucute7098
@thamiyuucute7098 4 жыл бұрын
@@ssmmasoud8556 Zanzibar kwetu
@saadahassan1437
@saadahassan1437 4 жыл бұрын
Alafu mm niliota napita chumba lkn ndani kuna maiti nyingi adi nikitembea naziruka ruka na km ni wahindi wanavyowaeka wakitaka kuwachoma wameveshwa nguo nyeupe je ina mana gani
@fadiashami6381
@fadiashami6381 4 жыл бұрын
Asslaam
@mwajumafund7344
@mwajumafund7344 4 жыл бұрын
Naukiota unapaa je nivip
@allymido8903
@allymido8903 4 жыл бұрын
Na mtu akiota anakoshwa yn yy ni maiti anakoswa ilihali kafa na janaba maana yk nini
Mambo Ambayo Siolazima Kwenye Swala - Sheikh. Othman Khamisi
14:27
MASJID MTORO ONLINE TV
Рет қаралды 44 М.
Khó thế mà cũng làm được || How did the police do that? #shorts
01:00
He sees meat everywhere 😄🥩
00:11
AngLova
Рет қаралды 11 МЛН
When You Get Ran Over By A Car...
00:15
Jojo Sim
Рет қаралды 23 МЛН
ndoto ya Kifo Cha Mtoto  ina Mambo 8 Muhimu Kuyajua
15:07
MTAVASSY TV TANZANIA
Рет қаралды 13 М.
Namna ya Kutibu Majeraha ya Ukewenza - Ukht Khadija Idd
57:38
Kalamutz
Рет қаралды 100 М.
Aliyeona nguo /mavazi Ndotoni Skh :Jafari Mtavassy
30:17
MTAVASSY TV TANZANIA
Рет қаралды 40 М.
Ndoto Ukiiota Bahari Basi Jiandae Na Haya - Sheikh Khamis Suleyman
20:03
MASJID MTORO ONLINE TV
Рет қаралды 110 М.
USIKU WA KWANZA NDANI YA KABRI //SHEIKH OTHMAN MAALIM
1:04:39
arkas online tv
Рет қаралды 357 М.
SHEIKH: HUSSEIN HASSAN ( NYUNDO ) | KISA CHA UMMU SALAMA | WATU WEMA BADO WAPO
34:26
HII NDIO SULUHISHO LA NDOA YAKO - SHEIKH. OTHMAN MICHAEL
31:16
MASJID MTORO ONLINE TV
Рет қаралды 47 М.
Sheikh KISHKI - {1/2} - MAJINI NIVIUMBE AINAGANI ?
42:36
shining noor
Рет қаралды 77 М.
Khó thế mà cũng làm được || How did the police do that? #shorts
01:00