Huku Kenya, bado tunapulizwa na moshi ya treni ya Diesel. Hongera Tanzania. Napenda nchini yenu sana.
@faza40232 ай бұрын
Asante tunawapenda Kenya pia ndugu zetu
@AugustKisaka-qy7kl2 ай бұрын
Mungu amlazè mahali pema peonies amina ,alikuwa kiongozi shupavu alie fanya kwa vitendo na si kwa maneno matupu ,tutakukumbuka daima
@lucygodwin75903 ай бұрын
Asante sana Hayati Magufuli kwa maono yako na asante Mh Rais kwa kuendeleza. Hakika watanzania mapungufu hayakosekani ila tujivunie serikali yetu. Watu wa kigoma wanasubiri wa hamu
@user-bk7sk7hc9g2 ай бұрын
Ni kweli kabisa madam
@malikkb64443 ай бұрын
Hongera Trc hongera Watanzania..Ni jambo la kujivunia 👏👏
@richardrichope35283 ай бұрын
Tuna ku miss JPM 😢 we really miss you 😢
@festokemibala58322 ай бұрын
Nammiss Yesu wangu aliyetenda miujiza ya kuwafufua wafu akiwemo Lazaro
@user-ub3xh7ug6c2 ай бұрын
@@festokemibala5832yes ulimuon ya kaisar mpe kaisar
@henryxavery17132 ай бұрын
God bless Prophet.Amen
@user-ne5cg4vv1h2 ай бұрын
Mmmmh😢
@user-ne5cg4vv1h2 ай бұрын
@@festokemibala5832ulikwepo??nyny ndio wanafik hupendi ndugu wanaoonekana kwa macho et unampenda MUNGU zaidi acha unafiki razaro umesoma JPM umemuona kwa macho yako 😢 pongeza hata hiyo injili bila miundo mbinu mizuri utahubilia wapi ?
@ellybrown59892 ай бұрын
Hongereni,nawaona watumishi wa Mungu ndani ya Train,Lazima upako ufanyike ili Baraka ziwemo katika chombo hiki cha usafiri.🙏
@luganoessom14642 ай бұрын
nimefurahi kumuona mtumishi wa mungu mwamposa😊😇
@peterally-zv2km2 ай бұрын
Wote hao ni business man
@walterngowi5835Ай бұрын
Mtumish wa Mungu wapi tapel huyo hana lolote
@stevenmasangula21042 ай бұрын
REST IN POWER JPM
@emmagodson30482 ай бұрын
Tunamshukuru sana Mungu kwa kutupa Rais aliyekuwa na maono haya makubwa, watanzania hatutakusahau the late Maghuli RIP.
@Ndegejrtz2 ай бұрын
Mjomba magu kaacha historia
@TitoRufizi-xb2ub2 ай бұрын
Hongera Magufuri bila wewe tungekuwa tunayashuhudia kwa wenzetu
@zanzibaryetu.26082 ай бұрын
Hongera sana mama kwa kulikamilisha hili hakika watanzania tunajivunia sana kuwa na rais mtendaj kama wewe. Kazi iendeleee.
@user-gn2tz9xd2m3 ай бұрын
Magufull alikuwa na maono makubwa sana sana
@jedidahbintidaudi82412 ай бұрын
kwa kweli..ameacha alama mwenzetu huyu baba
@user-ne5cg4vv1h2 ай бұрын
Hakika Sana 😢
@salimsaid98523 ай бұрын
Hongereni TRC tunajivunia Watanzania tunapenda Miradi kama hii izunguke Tanzania nzima.
@goodluckharuna628419 күн бұрын
Kiukwel ili ni jambo zuri tunamshukuru mwenyez mungu mbaka kufikia hapa ❤
@godwinsimba1772 ай бұрын
Hongereni sana. Kiwango ni cha kimataifa, kwa tuliosafiri nchi nyingine, na kutumia usafiri kama huu tunaona.
@k.kswitzerland41682 ай бұрын
Ni zaidi ya swiss
@deusdeditpeter80062 ай бұрын
Kazi ya mwamba jpm itukuzwe
@subatv40013 ай бұрын
Kwa mda wa masaa manne from dom to dar 444k hapo ilikuwa inatembea kwa speed ya 111km/hr ikitembea full speed ya 160 km/hr itatumia masaa mawili tu Dar tu Dom..... Very impressive #Tanzania yangu maendeleo yetu
@JifunzeNenoLaMungu3 ай бұрын
Ukitoa dakika za kusimama stand Morogoro inaeza kua inatembea 120km/h
@Soon8153 ай бұрын
Umbali dar to dom 742km
@JifunzeNenoLaMungu3 ай бұрын
@@Soon815Hiyo umepata wapi!?
@drisayaambulatoryvetclinic15142 ай бұрын
Umbali inategemea na njia pia ndio maana kwa ndege unaweza kuta ni km 300@@Soon815
@godichua44572 ай бұрын
Magufuli ni mwanaume wa wanaume, sio huyo mlabata wenu c hata sisi tumeoa tunaona vile mama asivyokuwa na sauti kwenye jamii nyingi watu na akili zao timamu wanampa nchi mtoto wa kishua asiyejua njaa kama sio Magufuli sijui tungekuwa wapi
@ndukulusudikucho_3 ай бұрын
Mitano tena haina jinsi, Hongereni wote mlio fanikisha zoezi hili hasa Kadogosa pia abarikwe Saaana
@godichua44572 ай бұрын
Mitano kwa nani? Tunataka rais mwingine hatutaki kuongozwa na mtu asiyejua njaa hii nchi imewahi kuwa na marais wawili tu Magufuli na Nyerere kwahyo 2025 tunataka mtu kama Magufuli acha tulale njaa pweterea pwete tunataka maendeleo sio kula, kula tutakula hata mihogo na maji lakini iwe kubwa kama jina lake lilivyo kubwa Duniani
@mustafakhanjiwala55822 ай бұрын
Hongera Sana. We wish We Take TRC as Serious Business Asset and Build Better Future for Tanzanian and Tanzania.We Should Be Careful About How We will Manage this Great Railways Huduma for Raia Without Nepotism and Embezzlement of Funds Etc. Journey Has Just Begun. Ahsante.
@jedidahbintidaudi82412 ай бұрын
hapo kwa kweli ndo mtihani,,,
@MikidadiSalim-xk9dc13 күн бұрын
Mashallah
@jacksonmichael7992 ай бұрын
JPM hakuwa mwanasiasa alikuwa kiongozi kweli kweli leo hayupo lkn sio siri iniater wa treni ya umeme ni yeye na wako wengi kweli leo wanasifu treni ya umeme lkn mwanzo walimpinga kweli JPM...Sisi vijana wa Tanzania tunasema WE ARE TEAM JPM FOREVER✊️.
@wellbrand34152 ай бұрын
Safi kabisa. Mambo mazuri mnooo. Kila mtanzania awe mlinzi kwa mwenzie kutunza mazingira ya Treni yetu. Tupo vizuri aisee...
@janetkyara80042 ай бұрын
nguo za wanadada zapendeza sana. stewardesses are truly smart, love them. this trip added to my bucket list😊
@RUBENNGAYA2 ай бұрын
Vituo viitwe MAGUFUL I STATION
@antonynjoka73182 ай бұрын
Congratulations Tanzania for your electric trains
@albertbunyinyiga75813 ай бұрын
JPM SAMIA BIGUP
@jedidahbintidaudi82412 ай бұрын
haswaaaa
@edwinmaywa2 ай бұрын
Congratulations tanzania yenu naona nipoa kushinda yetu ya kenya ukiangalia interior design hizo viti sana sana
@queenesther26392 ай бұрын
Ww ipende nchi yako! Manung'uniko hayatakusaidia kitu! Na Kwa taarifa yako nchi yako ina muda mrefu Sana iko na train ya mwendo Kasi ñi ww Tu huijui
@edwinmaywa2 ай бұрын
@@queenesther2639 it's goood to say truth we are ahead of them but upande wa seat wametushinda kitizetu mbofu sana zinaangaliana, zao economy class ziko poa
@user-dd3ek5fh5g2 ай бұрын
R.I.P JPM
@tinnahagustinolyelu42472 ай бұрын
Mungu akupumzishe Kwa Amani JPM Asante Kwa naono yako na Mama samiha Ameyatekeleza
@richardchawenda59382 ай бұрын
Asante saana jpm
@mustaphabett56162 ай бұрын
More love from Nairobi capital city of kenya....congratulations 🎊 mama samia suluhu for the investment
@jafarisaidi49883 ай бұрын
"RELI YETU MAENDELEO YETU TAIFA LETU" KAZI IENDELEE 👏
@shau782 ай бұрын
mama yetu SSH pongezi nyingi kwako na watenda kazi wenzako. sitataja waliotangulia kwa sababu wewe ndie rais wangu kwa sasa. na unatosha kabisa mama. kabisa
@peterally-zv2km2 ай бұрын
Hamna kitu hapo# bila Magufuli# Ni ujinga tu#
@anafisuleimani70832 ай бұрын
Da ipo vzr sana hongereni sana serikali yetu ya jamuhuli ya muungano ya Tanzania
@fab76892 ай бұрын
GOD is Greatest. Amen
@vero573 ай бұрын
Wafanyakazi wasafi kama wa wezetu wa uro star 👌👍🇹🇿👏👏👏😃
@user-wk2bg8zf3l2 ай бұрын
Mungu ibariki tanzania
@komuhsengo97963 ай бұрын
Ni kodi zetu na sio TRC tujipongeze wenyewe na aliyeibua na kiukweli tulichelewa,
@JifunzeNenoLaMungu3 ай бұрын
Very useful video, Jaribio jingine muonyeshe speed ya treni mbele kwenye dashboard inasomaje.. au kwa kutumia App ya simu inayoonyesha speed
@exaverysimon10643 ай бұрын
❤❤❤
@CarolineJoel-ch3cg2 ай бұрын
Asante JPM
@HawaMasoud-xw3ii2 ай бұрын
Ila wahudumu wabadilishe mavazi
@gervasonvenansi92042 ай бұрын
Magufuli peponi
@vero573 ай бұрын
Hongera sana Tanzania 🇹🇿
@AntonyNdayanseАй бұрын
Hakika najivunia kuwa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 nakupenda sana nchi yangu.
@mashakabundala99552 ай бұрын
Hongera sana serikali ya jamhuri ya watu wa Tanzania 🇹🇿
@saidimwanyiro51473 ай бұрын
Hongera mama samia
@godichua44572 ай бұрын
Kafanya nn? Hii yote ni miradi ya Magufuli
@yudahwa-ta-seti60755 күн бұрын
Kudos
@adammbuba72302 ай бұрын
Safi saaaanaaaa
@KelvinWambura2 ай бұрын
Spending unafakima Mama Samia hongera Kwa kusimamia show to the end
@petromwakyalabag94842 ай бұрын
Hongera kwa tulipofikia ila bado tunahitaji treni bora na za kisasa sio hizo za kizamani
@godichua44572 ай бұрын
Hizi behewa zinanunuliwa used Korea zinakarqbatiwa sisi watanzania kwakuwa hatujawahi kuona kitu kama hiki tunajiona tumapaaaaata..! Hapo Amna kitu tumepigwa alafu hii ni teknolojia ya zamani sana kwa wenzetu wengi tu hamjui mnachelekelea kama mataahira
@user-wk2bg8zf3l2 ай бұрын
ipo vizuri
@osoromageta33813 ай бұрын
Niseme ukweli Magu angekuwepo mpka leo mengi yangeshakamilika but sio mbaya mama naye anajitahid japo kwamwendo wa chini sana
@marymwaya96853 ай бұрын
Mmefaidi jamani❤
@user-ch8it5jr8m2 ай бұрын
Big Up JPM lion of africa for the all time nobody's like u
@godichua44572 ай бұрын
Hata mabasi ya mwendo kasi yalianzaga kistaarabu Hivi sote tuliona baada ya muda mfupi baadaye utaanza kusikia hii treni haifanyi Kazi mara safari zitaanza kuahirishwa bila sababu taambia linafanyiwa matengenezo yangu macho c tupo wabongo hawana maana yoyote
@JamesJastin-bg1rx29 күн бұрын
Eti huyu mwamposa nayeye nabii😢😢😢
@ernestsinje97003 ай бұрын
Hunger Tanzania 🇹🇿
@HassaniMzee2 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu Mwamposa mtu wa watu
@SweetberthOscar2 ай бұрын
So nkitaka kwenda dar ni kama naenda chooni tu kazi mzuri Tanzania ya mama 🎉🎉🎉
@RebeccaMagabe-uu8xg2 ай бұрын
RIP Magufuli through service we remember you.
@tsindaalpha75833 ай бұрын
2:23 🥰😘🤩😍
@Village_man_HD2 ай бұрын
😢 kama nawona magufiri ivi anatest... 😭
@emmanueljohn40182 ай бұрын
MBONA RAHA AISEE JAMANI ICHI NDIO NATAKA TANZANIA TUMECHELEWA SANA PIGA KAZI TWENDE
@Kabwela7763 ай бұрын
Hila watanzania wasipokuwa wastaarabu hizo treni zitakuwa kama mavi uchafu, abiria wengine wataanza kuwashika matako wahudumu Na kuongea nao kwa lugha chafu , muhimu kuwe na police Na jela arrest kwenye train kwa abiria asiye mstaarabu Na wasiuze pombe kwenye train
@lucasmhagama81663 ай бұрын
Q😂😂😂😂😂😂😂😂
@goodmorningafrica64092 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@jeremiapeter6832 ай бұрын
Ni kweli tahadhari ni Muhimu Sana
@salumumakombo2 ай бұрын
😅😅😅 kabwelaaa Sina mbavu
@emmanuelmasanja60402 ай бұрын
Kuna kikosi Cha polisi relief,huwa kipo miaka yote
@gasparlubaga58663 ай бұрын
Iko hivi mnyonge mnyongeni ila haki yake mpenzi,rest in peace JPM
@omarteethomar15332 ай бұрын
Idea ya project mpaka kufika karibia wakandarasi ilianza Awamu ya Kikwete hivyo naye haki yake apewe.
@rayyanothumanmohammed82612 ай бұрын
Aise nauli bei gan
@fredyjeremia70742 ай бұрын
RIP MAGU,,,MUNGU AMEKUPENDA ZAIDI..Mzee mwenye udhubutu.
@crershawmafia10092 ай бұрын
Management ndio tatizo.Project zote huanza ki smart ila baada ya mwaka ni vichekesho, seats na carpet zitachanika kwenye mabehewa ac zitakufa mtawekewa mafeni😂 na lugha chafu za wahudumu kwa abiria...Hii ndio Tanzania tuupe muda nafasi.
@jedidahbintidaudi82412 ай бұрын
hii ndo kilio kwa kweli..yaani kazi sana.. watu hatujali..kama ya mwendokasi ikaaribika mmh
@omarybakunda25543 ай бұрын
Naomba muajiri na wahudumu wa kiume tafadhali
@edwardmaguluko65413 ай бұрын
Acha kupangia watu wewe
@josephatn50403 ай бұрын
Wapo!
@aminata37023 ай бұрын
Acha ubaguzi wewe.Kwaiy kuona wanawake unaumia au
@ephraimkabeya96482 ай бұрын
Yupo sahihi, Kukiwepo jinsia ke na me ni nzuri zaidi. Kuna dhalula anaweza kuipata mwanaume akiwa safarini akaona aibu kumwambia mwanamke. Wakiwepo wote hata wachache tu ni nzuri zaidi
@giftgondwe16742 ай бұрын
😂😂😂vip kuna ma apple au sio mmeanza sanaaa mapema sana
@AliBakar-sx7lu3 ай бұрын
Tunataka speed 160km kwa Lisaa hapo bado sana
@bigowillythomaskayanda77633 ай бұрын
Hayo ni majaribio kaka, usijali itakuwa inakwenda hiyohiyo speed ya 160, kwa saa.
@nashonjoel202 ай бұрын
Hongera sana Mama Samia kukamilisha Mradi kwa hatua ya Dar Dodoma, tunakuombea ukamilike mpaka Mwanza na Kigoma.
@jedidahbintidaudi82412 ай бұрын
kajitaidi mno mama huyu..kuhakikisha amalizie alichoanzisha boss/kaka// na Rais wake John Magufuli
@kingnyamafutv86462 ай бұрын
Tuna msgukuru MUNGU pia RAISI magufuri na mama samia
@butotanto3 ай бұрын
Kweli kuna haja ya kula safari ya 4 hours, thats why waafrica tunavitambi
@kelvinmakala53382 ай бұрын
Hahaha mbona bites t hizo jmn
@IddrisaLubange3 ай бұрын
Asante mama umeundeleza mwingi baada ya kuupiga Big up
@davidmalogo71002 ай бұрын
Yani yangekuwa yanawezekana jpm angeluhusiwa tunamungu achungilietu kaziyake aliyo isimamia mana asingekuwa yeye tusingekuwa na leli hii mungu ilaze pemaloho ya kiongozieazo shupavu aliejitoa muhanga amen
@user-oz5jm6uk8v2 ай бұрын
RIP Magufuri tulikupenda MUNGU amekupenda zaidi
@Pendo9412 ай бұрын
Bei ianzie laki 1
@user-si6xh4gh1v3 ай бұрын
Ugandan when are we getting ours
@leaderonduty99392 ай бұрын
Magufuli akumbukwe
@shairaniabdi2 ай бұрын
bei ya nauli nauliza jaman dar to dom
@danrappergangamaa11902 ай бұрын
Naona jinsi kampuni linavyoenda kufeli kama mwendo kasi nao ilikuwa hivi hivi😅 binafsisheni shirika binafsi kwa huduma bora
@handenitakuru66962 ай бұрын
Nauli Dar -Dodoma bei gani?
@walterandrew73792 ай бұрын
Nadhani hatua hii ya majaribio hailengi kutest speed, hatua ya ku test speed haijafika.
@JmlangwaChristinaАй бұрын
Usafi jamani, maana watu wengine ustarabu 0
@African5112 ай бұрын
Nayaona mabasi yatakapoterekezwa na wenye mabasi
@samsonmpashe33372 ай бұрын
Hakika, aliyethubutu aenziwe na tena anastahili mnara na maua yake
@rithadonatus81102 ай бұрын
Nauli sh ngapi
@aishamsemwa-zu3eo2 ай бұрын
Watujibu sasa jamani, nauli sh ngap
@rashdiyange77582 ай бұрын
ATA IVO.NIME PENDA JAPO TREN YA UMEME LAKIN MWENDO MZUR SAAA MIMWENDO YA KASI SIO MZUR MASAA MANE DAR DODOMA MAZUR SAN
@francetrading85943 ай бұрын
Mitano tena na mitano tena
@josephatjordan21503 ай бұрын
Usharidhika tayari
@francetrading85943 ай бұрын
Saa tafanyaje japo mtaani Kuna njaa kali,,tumpe kumi tena,,Kama mamb yanaonekana.
@johnmboma7712 ай бұрын
Nauli shingapi Dar to Dodoma
@hallin95612 ай бұрын
Kwa iyo safari ya Dom to dar kwa public bus kawaida uwa inachukua masaa mangapi wajuvi
@aboudasilver65412 ай бұрын
PONGEZI za wengi ni Kwa baba mbona mama hamumpongezi Alie malizia KAZI 😂😂
@SarahKihulweАй бұрын
Nauli zikoje
@upgo61122 ай бұрын
Kwa kifupi speed hiyo Bado kabisa ..dar ,Dodoma iwe masaaa2
@lordmasali34102 ай бұрын
Kongole gvt of Tz
@antonydangote58792 ай бұрын
Saluti magufuli 😢 haupo tena ila tunayaishi uliyoyaacha
@user-wc8eb6nk6l2 ай бұрын
Magufuli popote ulipo tunakukumbuka sana ,il huku mambo yamerudi vilevile japo mama anajitahidi ila wanamuangusha
@josephjohn21142 ай бұрын
Na wale wa kupanda na kuku na bata na magimbi tunaruhusiwa?