SAFARI YA TRENI YA UMEME DOM - DAR, SHUHUDIA HESABU YA MASAA 4 KITUO HADI KITUO

  Рет қаралды 88,609

TRC RELI TV

TRC RELI TV

3 ай бұрын

Пікірлер: 240
@Mohagnito94
@Mohagnito94 2 ай бұрын
Huku Kenya, bado tunapulizwa na moshi ya treni ya Diesel. Hongera Tanzania. Napenda nchini yenu sana.
@faza4023
@faza4023 2 ай бұрын
Asante tunawapenda Kenya pia ndugu zetu
@AugustKisaka-qy7kl
@AugustKisaka-qy7kl 2 ай бұрын
Mungu amlazè mahali pema peonies amina ,alikuwa kiongozi shupavu alie fanya kwa vitendo na si kwa maneno matupu ,tutakukumbuka daima
@lucygodwin7590
@lucygodwin7590 3 ай бұрын
Asante sana Hayati Magufuli kwa maono yako na asante Mh Rais kwa kuendeleza. Hakika watanzania mapungufu hayakosekani ila tujivunie serikali yetu. Watu wa kigoma wanasubiri wa hamu
@user-bk7sk7hc9g
@user-bk7sk7hc9g 2 ай бұрын
Ni kweli kabisa madam
@malikkb6444
@malikkb6444 3 ай бұрын
Hongera Trc hongera Watanzania..Ni jambo la kujivunia 👏👏
@richardrichope3528
@richardrichope3528 3 ай бұрын
Tuna ku miss JPM 😢 we really miss you 😢
@festokemibala5832
@festokemibala5832 2 ай бұрын
Nammiss Yesu wangu aliyetenda miujiza ya kuwafufua wafu akiwemo Lazaro
@user-ub3xh7ug6c
@user-ub3xh7ug6c 2 ай бұрын
​@@festokemibala5832yes ulimuon ya kaisar mpe kaisar
@henryxavery1713
@henryxavery1713 2 ай бұрын
God bless Prophet.Amen
@user-ne5cg4vv1h
@user-ne5cg4vv1h 2 ай бұрын
Mmmmh😢
@user-ne5cg4vv1h
@user-ne5cg4vv1h 2 ай бұрын
​@@festokemibala5832ulikwepo??nyny ndio wanafik hupendi ndugu wanaoonekana kwa macho et unampenda MUNGU zaidi acha unafiki razaro umesoma JPM umemuona kwa macho yako 😢 pongeza hata hiyo injili bila miundo mbinu mizuri utahubilia wapi ?
@ellybrown5989
@ellybrown5989 2 ай бұрын
Hongereni,nawaona watumishi wa Mungu ndani ya Train,Lazima upako ufanyike ili Baraka ziwemo katika chombo hiki cha usafiri.🙏
@luganoessom1464
@luganoessom1464 2 ай бұрын
nimefurahi kumuona mtumishi wa mungu mwamposa😊😇
@peterally-zv2km
@peterally-zv2km 2 ай бұрын
Wote hao ni business man
@walterngowi5835
@walterngowi5835 Ай бұрын
Mtumish wa Mungu wapi tapel huyo hana lolote
@stevenmasangula2104
@stevenmasangula2104 2 ай бұрын
REST IN POWER JPM
@emmagodson3048
@emmagodson3048 2 ай бұрын
Tunamshukuru sana Mungu kwa kutupa Rais aliyekuwa na maono haya makubwa, watanzania hatutakusahau the late Maghuli RIP.
@Ndegejrtz
@Ndegejrtz 2 ай бұрын
Mjomba magu kaacha historia
@TitoRufizi-xb2ub
@TitoRufizi-xb2ub 2 ай бұрын
Hongera Magufuri bila wewe tungekuwa tunayashuhudia kwa wenzetu
@zanzibaryetu.2608
@zanzibaryetu.2608 2 ай бұрын
Hongera sana mama kwa kulikamilisha hili hakika watanzania tunajivunia sana kuwa na rais mtendaj kama wewe. Kazi iendeleee.
@user-gn2tz9xd2m
@user-gn2tz9xd2m 3 ай бұрын
Magufull alikuwa na maono makubwa sana sana
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 ай бұрын
kwa kweli..ameacha alama mwenzetu huyu baba
@user-ne5cg4vv1h
@user-ne5cg4vv1h 2 ай бұрын
Hakika Sana 😢
@salimsaid9852
@salimsaid9852 3 ай бұрын
Hongereni TRC tunajivunia Watanzania tunapenda Miradi kama hii izunguke Tanzania nzima.
@goodluckharuna6284
@goodluckharuna6284 19 күн бұрын
Kiukwel ili ni jambo zuri tunamshukuru mwenyez mungu mbaka kufikia hapa ❤
@godwinsimba177
@godwinsimba177 2 ай бұрын
Hongereni sana. Kiwango ni cha kimataifa, kwa tuliosafiri nchi nyingine, na kutumia usafiri kama huu tunaona.
@k.kswitzerland4168
@k.kswitzerland4168 2 ай бұрын
Ni zaidi ya swiss
@deusdeditpeter8006
@deusdeditpeter8006 2 ай бұрын
Kazi ya mwamba jpm itukuzwe
@subatv4001
@subatv4001 3 ай бұрын
Kwa mda wa masaa manne from dom to dar 444k hapo ilikuwa inatembea kwa speed ya 111km/hr ikitembea full speed ya 160 km/hr itatumia masaa mawili tu Dar tu Dom..... Very impressive #Tanzania yangu maendeleo yetu
@JifunzeNenoLaMungu
@JifunzeNenoLaMungu 3 ай бұрын
Ukitoa dakika za kusimama stand Morogoro inaeza kua inatembea 120km/h
@Soon815
@Soon815 3 ай бұрын
Umbali dar to dom 742km
@JifunzeNenoLaMungu
@JifunzeNenoLaMungu 3 ай бұрын
​@@Soon815Hiyo umepata wapi!?
@drisayaambulatoryvetclinic1514
@drisayaambulatoryvetclinic1514 2 ай бұрын
Umbali inategemea na njia pia ndio maana kwa ndege unaweza kuta ni km 300​@@Soon815
@godichua4457
@godichua4457 2 ай бұрын
Magufuli ni mwanaume wa wanaume, sio huyo mlabata wenu c hata sisi tumeoa tunaona vile mama asivyokuwa na sauti kwenye jamii nyingi watu na akili zao timamu wanampa nchi mtoto wa kishua asiyejua njaa kama sio Magufuli sijui tungekuwa wapi
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 ай бұрын
Mitano tena haina jinsi, Hongereni wote mlio fanikisha zoezi hili hasa Kadogosa pia abarikwe Saaana
@godichua4457
@godichua4457 2 ай бұрын
Mitano kwa nani? Tunataka rais mwingine hatutaki kuongozwa na mtu asiyejua njaa hii nchi imewahi kuwa na marais wawili tu Magufuli na Nyerere kwahyo 2025 tunataka mtu kama Magufuli acha tulale njaa pweterea pwete tunataka maendeleo sio kula, kula tutakula hata mihogo na maji lakini iwe kubwa kama jina lake lilivyo kubwa Duniani
@mustafakhanjiwala5582
@mustafakhanjiwala5582 2 ай бұрын
Hongera Sana. We wish We Take TRC as Serious Business Asset and Build Better Future for Tanzanian and Tanzania.We Should Be Careful About How We will Manage this Great Railways Huduma for Raia Without Nepotism and Embezzlement of Funds Etc. Journey Has Just Begun. Ahsante.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 ай бұрын
hapo kwa kweli ndo mtihani,,,
@MikidadiSalim-xk9dc
@MikidadiSalim-xk9dc 13 күн бұрын
Mashallah
@jacksonmichael799
@jacksonmichael799 2 ай бұрын
JPM hakuwa mwanasiasa alikuwa kiongozi kweli kweli leo hayupo lkn sio siri iniater wa treni ya umeme ni yeye na wako wengi kweli leo wanasifu treni ya umeme lkn mwanzo walimpinga kweli JPM...Sisi vijana wa Tanzania tunasema WE ARE TEAM JPM FOREVER✊️.
@wellbrand3415
@wellbrand3415 2 ай бұрын
Safi kabisa. Mambo mazuri mnooo. Kila mtanzania awe mlinzi kwa mwenzie kutunza mazingira ya Treni yetu. Tupo vizuri aisee...
@janetkyara8004
@janetkyara8004 2 ай бұрын
nguo za wanadada zapendeza sana. stewardesses are truly smart, love them. this trip added to my bucket list😊
@RUBENNGAYA
@RUBENNGAYA 2 ай бұрын
Vituo viitwe MAGUFUL I STATION
@antonynjoka7318
@antonynjoka7318 2 ай бұрын
Congratulations Tanzania for your electric trains
@albertbunyinyiga7581
@albertbunyinyiga7581 3 ай бұрын
JPM SAMIA BIGUP
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 ай бұрын
haswaaaa
@edwinmaywa
@edwinmaywa 2 ай бұрын
Congratulations tanzania yenu naona nipoa kushinda yetu ya kenya ukiangalia interior design hizo viti sana sana
@queenesther2639
@queenesther2639 2 ай бұрын
Ww ipende nchi yako! Manung'uniko hayatakusaidia kitu! Na Kwa taarifa yako nchi yako ina muda mrefu Sana iko na train ya mwendo Kasi ñi ww Tu huijui
@edwinmaywa
@edwinmaywa 2 ай бұрын
@@queenesther2639 it's goood to say truth we are ahead of them but upande wa seat wametushinda kitizetu mbofu sana zinaangaliana, zao economy class ziko poa
@user-dd3ek5fh5g
@user-dd3ek5fh5g 2 ай бұрын
R.I.P JPM
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 2 ай бұрын
Mungu akupumzishe Kwa Amani JPM Asante Kwa naono yako na Mama samiha Ameyatekeleza
@richardchawenda5938
@richardchawenda5938 2 ай бұрын
Asante saana jpm
@mustaphabett5616
@mustaphabett5616 2 ай бұрын
More love from Nairobi capital city of kenya....congratulations 🎊 mama samia suluhu for the investment
@jafarisaidi4988
@jafarisaidi4988 3 ай бұрын
"RELI YETU MAENDELEO YETU TAIFA LETU" KAZI IENDELEE 👏
@shau78
@shau78 2 ай бұрын
mama yetu SSH pongezi nyingi kwako na watenda kazi wenzako. sitataja waliotangulia kwa sababu wewe ndie rais wangu kwa sasa. na unatosha kabisa mama. kabisa
@peterally-zv2km
@peterally-zv2km 2 ай бұрын
Hamna kitu hapo# bila Magufuli# Ni ujinga tu#
@anafisuleimani7083
@anafisuleimani7083 2 ай бұрын
Da ipo vzr sana hongereni sana serikali yetu ya jamuhuli ya muungano ya Tanzania
@fab7689
@fab7689 2 ай бұрын
GOD is Greatest. Amen
@vero57
@vero57 3 ай бұрын
Wafanyakazi wasafi kama wa wezetu wa uro star 👌👍🇹🇿👏👏👏😃
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l 2 ай бұрын
Mungu ibariki tanzania
@komuhsengo9796
@komuhsengo9796 3 ай бұрын
Ni kodi zetu na sio TRC tujipongeze wenyewe na aliyeibua na kiukweli tulichelewa,
@JifunzeNenoLaMungu
@JifunzeNenoLaMungu 3 ай бұрын
Very useful video, Jaribio jingine muonyeshe speed ya treni mbele kwenye dashboard inasomaje.. au kwa kutumia App ya simu inayoonyesha speed
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 3 ай бұрын
❤❤❤
@CarolineJoel-ch3cg
@CarolineJoel-ch3cg 2 ай бұрын
Asante JPM
@HawaMasoud-xw3ii
@HawaMasoud-xw3ii 2 ай бұрын
Ila wahudumu wabadilishe mavazi
@gervasonvenansi9204
@gervasonvenansi9204 2 ай бұрын
Magufuli peponi
@vero57
@vero57 3 ай бұрын
Hongera sana Tanzania 🇹🇿
@AntonyNdayanse
@AntonyNdayanse Ай бұрын
Hakika najivunia kuwa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 nakupenda sana nchi yangu.
@mashakabundala9955
@mashakabundala9955 2 ай бұрын
Hongera sana serikali ya jamhuri ya watu wa Tanzania 🇹🇿
@saidimwanyiro5147
@saidimwanyiro5147 3 ай бұрын
Hongera mama samia
@godichua4457
@godichua4457 2 ай бұрын
Kafanya nn? Hii yote ni miradi ya Magufuli
@yudahwa-ta-seti6075
@yudahwa-ta-seti6075 5 күн бұрын
Kudos
@adammbuba7230
@adammbuba7230 2 ай бұрын
Safi saaaanaaaa
@KelvinWambura
@KelvinWambura 2 ай бұрын
Spending unafakima Mama Samia hongera Kwa kusimamia show to the end
@petromwakyalabag9484
@petromwakyalabag9484 2 ай бұрын
Hongera kwa tulipofikia ila bado tunahitaji treni bora na za kisasa sio hizo za kizamani
@godichua4457
@godichua4457 2 ай бұрын
Hizi behewa zinanunuliwa used Korea zinakarqbatiwa sisi watanzania kwakuwa hatujawahi kuona kitu kama hiki tunajiona tumapaaaaata..! Hapo Amna kitu tumepigwa alafu hii ni teknolojia ya zamani sana kwa wenzetu wengi tu hamjui mnachelekelea kama mataahira
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l 2 ай бұрын
ipo vizuri
@osoromageta3381
@osoromageta3381 3 ай бұрын
Niseme ukweli Magu angekuwepo mpka leo mengi yangeshakamilika but sio mbaya mama naye anajitahid japo kwamwendo wa chini sana
@marymwaya9685
@marymwaya9685 3 ай бұрын
Mmefaidi jamani❤
@user-ch8it5jr8m
@user-ch8it5jr8m 2 ай бұрын
Big Up JPM lion of africa for the all time nobody's like u
@godichua4457
@godichua4457 2 ай бұрын
Hata mabasi ya mwendo kasi yalianzaga kistaarabu Hivi sote tuliona baada ya muda mfupi baadaye utaanza kusikia hii treni haifanyi Kazi mara safari zitaanza kuahirishwa bila sababu taambia linafanyiwa matengenezo yangu macho c tupo wabongo hawana maana yoyote
@JamesJastin-bg1rx
@JamesJastin-bg1rx 29 күн бұрын
Eti huyu mwamposa nayeye nabii😢😢😢
@ernestsinje9700
@ernestsinje9700 3 ай бұрын
Hunger Tanzania 🇹🇿
@HassaniMzee
@HassaniMzee 2 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu Mwamposa mtu wa watu
@SweetberthOscar
@SweetberthOscar 2 ай бұрын
So nkitaka kwenda dar ni kama naenda chooni tu kazi mzuri Tanzania ya mama 🎉🎉🎉
@RebeccaMagabe-uu8xg
@RebeccaMagabe-uu8xg 2 ай бұрын
RIP Magufuli through service we remember you.
@tsindaalpha7583
@tsindaalpha7583 3 ай бұрын
2:23 🥰😘🤩😍
@Village_man_HD
@Village_man_HD 2 ай бұрын
😢 kama nawona magufiri ivi anatest... 😭
@emmanueljohn4018
@emmanueljohn4018 2 ай бұрын
MBONA RAHA AISEE JAMANI ICHI NDIO NATAKA TANZANIA TUMECHELEWA SANA PIGA KAZI TWENDE
@Kabwela776
@Kabwela776 3 ай бұрын
Hila watanzania wasipokuwa wastaarabu hizo treni zitakuwa kama mavi uchafu, abiria wengine wataanza kuwashika matako wahudumu Na kuongea nao kwa lugha chafu , muhimu kuwe na police Na jela arrest kwenye train kwa abiria asiye mstaarabu Na wasiuze pombe kwenye train
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 3 ай бұрын
Q😂😂😂😂😂😂😂😂
@goodmorningafrica6409
@goodmorningafrica6409 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@jeremiapeter683
@jeremiapeter683 2 ай бұрын
Ni kweli tahadhari ni Muhimu Sana
@salumumakombo
@salumumakombo 2 ай бұрын
😅😅😅 kabwelaaa Sina mbavu
@emmanuelmasanja6040
@emmanuelmasanja6040 2 ай бұрын
Kuna kikosi Cha polisi relief,huwa kipo miaka yote
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 3 ай бұрын
Iko hivi mnyonge mnyongeni ila haki yake mpenzi,rest in peace JPM
@omarteethomar1533
@omarteethomar1533 2 ай бұрын
Idea ya project mpaka kufika karibia wakandarasi ilianza Awamu ya Kikwete hivyo naye haki yake apewe.
@rayyanothumanmohammed8261
@rayyanothumanmohammed8261 2 ай бұрын
Aise nauli bei gan
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 2 ай бұрын
RIP MAGU,,,MUNGU AMEKUPENDA ZAIDI..Mzee mwenye udhubutu.
@crershawmafia1009
@crershawmafia1009 2 ай бұрын
Management ndio tatizo.Project zote huanza ki smart ila baada ya mwaka ni vichekesho, seats na carpet zitachanika kwenye mabehewa ac zitakufa mtawekewa mafeni😂 na lugha chafu za wahudumu kwa abiria...Hii ndio Tanzania tuupe muda nafasi.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 ай бұрын
hii ndo kilio kwa kweli..yaani kazi sana.. watu hatujali..kama ya mwendokasi ikaaribika mmh
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 3 ай бұрын
Naomba muajiri na wahudumu wa kiume tafadhali
@edwardmaguluko6541
@edwardmaguluko6541 3 ай бұрын
Acha kupangia watu wewe
@josephatn5040
@josephatn5040 3 ай бұрын
Wapo!
@aminata3702
@aminata3702 3 ай бұрын
Acha ubaguzi wewe.Kwaiy kuona wanawake unaumia au
@ephraimkabeya9648
@ephraimkabeya9648 2 ай бұрын
Yupo sahihi, Kukiwepo jinsia ke na me ni nzuri zaidi. Kuna dhalula anaweza kuipata mwanaume akiwa safarini akaona aibu kumwambia mwanamke. Wakiwepo wote hata wachache tu ni nzuri zaidi
@giftgondwe1674
@giftgondwe1674 2 ай бұрын
😂😂😂vip kuna ma apple au sio mmeanza sanaaa mapema sana
@AliBakar-sx7lu
@AliBakar-sx7lu 3 ай бұрын
Tunataka speed 160km kwa Lisaa hapo bado sana
@bigowillythomaskayanda7763
@bigowillythomaskayanda7763 3 ай бұрын
Hayo ni majaribio kaka, usijali itakuwa inakwenda hiyohiyo speed ya 160, kwa saa.
@nashonjoel20
@nashonjoel20 2 ай бұрын
Hongera sana Mama Samia kukamilisha Mradi kwa hatua ya Dar Dodoma, tunakuombea ukamilike mpaka Mwanza na Kigoma.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 ай бұрын
kajitaidi mno mama huyu..kuhakikisha amalizie alichoanzisha boss/kaka// na Rais wake John Magufuli
@kingnyamafutv8646
@kingnyamafutv8646 2 ай бұрын
Tuna msgukuru MUNGU pia RAISI magufuri na mama samia
@butotanto
@butotanto 3 ай бұрын
Kweli kuna haja ya kula safari ya 4 hours, thats why waafrica tunavitambi
@kelvinmakala5338
@kelvinmakala5338 2 ай бұрын
Hahaha mbona bites t hizo jmn
@IddrisaLubange
@IddrisaLubange 3 ай бұрын
Asante mama umeundeleza mwingi baada ya kuupiga Big up
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 2 ай бұрын
Yani yangekuwa yanawezekana jpm angeluhusiwa tunamungu achungilietu kaziyake aliyo isimamia mana asingekuwa yeye tusingekuwa na leli hii mungu ilaze pemaloho ya kiongozieazo shupavu aliejitoa muhanga amen
@user-oz5jm6uk8v
@user-oz5jm6uk8v 2 ай бұрын
RIP Magufuri tulikupenda MUNGU amekupenda zaidi
@Pendo941
@Pendo941 2 ай бұрын
Bei ianzie laki 1
@user-si6xh4gh1v
@user-si6xh4gh1v 3 ай бұрын
Ugandan when are we getting ours
@leaderonduty9939
@leaderonduty9939 2 ай бұрын
Magufuli akumbukwe
@shairaniabdi
@shairaniabdi 2 ай бұрын
bei ya nauli nauliza jaman dar to dom
@danrappergangamaa1190
@danrappergangamaa1190 2 ай бұрын
Naona jinsi kampuni linavyoenda kufeli kama mwendo kasi nao ilikuwa hivi hivi😅 binafsisheni shirika binafsi kwa huduma bora
@handenitakuru6696
@handenitakuru6696 2 ай бұрын
Nauli Dar -Dodoma bei gani?
@walterandrew7379
@walterandrew7379 2 ай бұрын
Nadhani hatua hii ya majaribio hailengi kutest speed, hatua ya ku test speed haijafika.
@JmlangwaChristina
@JmlangwaChristina Ай бұрын
Usafi jamani, maana watu wengine ustarabu 0
@African511
@African511 2 ай бұрын
Nayaona mabasi yatakapoterekezwa na wenye mabasi
@samsonmpashe3337
@samsonmpashe3337 2 ай бұрын
Hakika, aliyethubutu aenziwe na tena anastahili mnara na maua yake
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 2 ай бұрын
Nauli sh ngapi
@aishamsemwa-zu3eo
@aishamsemwa-zu3eo 2 ай бұрын
Watujibu sasa jamani, nauli sh ngap
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 2 ай бұрын
ATA IVO.NIME PENDA JAPO TREN YA UMEME LAKIN MWENDO MZUR SAAA MIMWENDO YA KASI SIO MZUR MASAA MANE DAR DODOMA MAZUR SAN
@francetrading8594
@francetrading8594 3 ай бұрын
Mitano tena na mitano tena
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 3 ай бұрын
Usharidhika tayari
@francetrading8594
@francetrading8594 3 ай бұрын
Saa tafanyaje japo mtaani Kuna njaa kali,,tumpe kumi tena,,Kama mamb yanaonekana.
@johnmboma771
@johnmboma771 2 ай бұрын
Nauli shingapi Dar to Dodoma
@hallin9561
@hallin9561 2 ай бұрын
Kwa iyo safari ya Dom to dar kwa public bus kawaida uwa inachukua masaa mangapi wajuvi
@aboudasilver6541
@aboudasilver6541 2 ай бұрын
PONGEZI za wengi ni Kwa baba mbona mama hamumpongezi Alie malizia KAZI 😂😂
@SarahKihulwe
@SarahKihulwe Ай бұрын
Nauli zikoje
@upgo6112
@upgo6112 2 ай бұрын
Kwa kifupi speed hiyo Bado kabisa ..dar ,Dodoma iwe masaaa2
@lordmasali3410
@lordmasali3410 2 ай бұрын
Kongole gvt of Tz
@antonydangote5879
@antonydangote5879 2 ай бұрын
Saluti magufuli 😢 haupo tena ila tunayaishi uliyoyaacha
@user-wc8eb6nk6l
@user-wc8eb6nk6l 2 ай бұрын
Magufuli popote ulipo tunakukumbuka sana ,il huku mambo yamerudi vilevile japo mama anajitahidi ila wanamuangusha
@josephjohn2114
@josephjohn2114 2 ай бұрын
Na wale wa kupanda na kuku na bata na magimbi tunaruhusiwa?
Little girl's dream of a giant teddy bear is about to come true #shorts
00:32
Fabiosa Animated
Рет қаралды 4,7 МЛН
Каха и суп
00:39
К-Media
Рет қаралды 6 МЛН
ТАМАЕВ УНИЧТОЖИЛ CLS ВЕНГАЛБИ! Конфликт с Ахмедом?!
25:37
Station Tour : Station Mpya ya TRC Dar kama Airport ndogo
10:50
MADEREVA WA TRENI KICHWA MCHONGOKO WAIVA
6:44
TRC RELI TV
Рет қаралды 20 М.
#EXCLUSIVE: KWA MARA YA KWANZA ROMA AFUNGUKA YOTE KUHUSU RC MAKONDA
53:33