Hakika makonda ana sehemu ya ucha mungu ndani ya moyo wake.
@ezekielmatondane7142 ай бұрын
Nimeanza kumona magufuli
@neemanziku54032 ай бұрын
Tumuombee Sana Makonda watanzania weng hawapendi ukweli Mung mulinde Makonda wetu
@ombendaud59382 ай бұрын
Hakika Mungu pamoja na uovu wowote uliopo duniani bado Mungu unawatu wako wanaosema haki yako na wokovu wako.Barikiwa sana Mama yng na baba hakika Mungu mimi umenipendelea
@kikosikaziupdate2 ай бұрын
Amen, waovu hawana furaha hata wakidhurumu
@user-sm7gj4mn5n2 ай бұрын
Kaka Makonda mimi Sina chama ila mimi napenda haki mungu wa mbingu na nchi akubariki sana sana hii nchi watu wanaonewa sana ila najua wewe umeleta tumaini tena baada Magufuli hata ukifa damu yako itanena
@geraldsenkondo43342 ай бұрын
Mbarikiwa hapa unamke aisee punguza uchungu farijika Kwa huyu mama. Ni mke kweli kweli.
@UAMSHOTV2 ай бұрын
Mama mchungaji Mungu akubariki Sana Sana, wewe ni Nuru ya Mungu duniani
@geraldsenkondo43342 ай бұрын
Hii kichwa makonda kwa kweli imetulia sana. Mungu amlinde tu.
@mercyzakariah2 ай бұрын
Makonda tuna muombea sana, huyu ndie anae tufariji, baada ya kuondokewa na chuma magufuli,, najua maadui wanajipanga juu yake lakini safarihii hatuta kubali makonda apotezwe.. milion 68 ya wa tz tunajua magufuli, aliuliwa..
@user-iv7mn4qd4q2 ай бұрын
MUNGU awatunze watumishi wetu woote
@paschalfausitine71082 ай бұрын
Mungu akulinde makonda , 2030,, wewe ndie RAIS wa jamhuri ya ,mungano wa , Tanzania,,,wazirri, wako ,ni mbarikiwa ,mwakipesile
@SamweliMwalindu2 ай бұрын
kweli kabisa hakiba a
@NardhisMhagama-sy3eq2 ай бұрын
Kutokuwa na akili kwasababu Leo wapo kesho wakiwa hawapo huko maofisini
@FrankMushi-cs5js2 ай бұрын
Cjakuelewa hapo unamsema makonda au unamsema nanii? Nyoshaa maelezo vizurii mama mchungaji cjakupataa badoo