SAKATA la MWALIMU ALIYEFUKUZWA KAZI AKADHULUMIWA STAHIKI ZAKE, AFISA UTUMISHI ABANANISHWA

  Рет қаралды 164,697

Wasafi Media

Wasafi Media

2 ай бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 302
@NdeshaPaul-uz9bw
@NdeshaPaul-uz9bw 2 ай бұрын
Mh. Makonda hongera sana naomba uwafundishe wakuu wote wa mikoa wachape kazi kama wewe. Pia wapende kutenda HAKI. Makonda utainua nchi hii mwanangu. Mtoto umebarikiwa na Mungu. Nakuombea sana baraka nyingi na afya njema.
@peninaalubisia5071
@peninaalubisia5071 Ай бұрын
Mh. Makonda Mungu aendelee KUKUBARIKI kwa yote unayoyafanya. Hongera sana Mama Samia kwakumchanguwa Mh. MAKONDO.
@DanielMarco-js1kz
@DanielMarco-js1kz 2 ай бұрын
Mwalimu anaongea vizuri. Proud to be a teacher!
@obsonjulius312
@obsonjulius312 Ай бұрын
Mwalimu ni msomi anajua
@beesmarttv3792
@beesmarttv3792 Ай бұрын
​@@obsonjulius312kabisa mwalimu ni msomi anajua anachoongea
@charlesmnuo3292
@charlesmnuo3292 2 ай бұрын
Hongera makonda kwa kazi nzuri unayoifanya hii ndiyo kuonyesha vyombo vya sheria vimewekwa mfukoni na wenye fedha
@rehemakaziri
@rehemakaziri 2 ай бұрын
Mungu tunakushukuru kwa ajili ya huyu baba,hongera sana muheshimiwa
@profs.a5412
@profs.a5412 2 ай бұрын
Huyuu jamaa mi naamini Mfumo ndio ulimfanya aonekane mtu mbayaa, Yani walimtumia vibayaa, ila kiuhalisia huyu jamaa nikiongozi kweli kweli , tena mtetea wanyonge
@AjiaMohamed-rt5pb
@AjiaMohamed-rt5pb 2 ай бұрын
Acha unanifiki mfumo gani wakati mfumo aliyo nao ni huo wa magu wa kuwasaidia wanyonge
@profs.a5412
@profs.a5412 2 ай бұрын
@@AjiaMohamed-rt5pb inatakiwa kuwa na akili kubwa ili uweze kunielewa , lasivyo hakuna utakacho ambuliaa🚶
@JosephzakayoPius
@JosephzakayoPius 2 ай бұрын
❤❤❤​@@AjiaMohamed-rt5pb
@JRN2612
@JRN2612 2 ай бұрын
​@@profs.a5412fact😂😂
@ChristopherChacha-fb4oc
@ChristopherChacha-fb4oc 2 ай бұрын
Mama naomba namba yako ili ni mwl Mwenzio Nina wazo juu yako
@RobertKilomba
@RobertKilomba 2 ай бұрын
Heko kwako makonda Mungu akulinde ukaweze kuwasaidia watanzania wenye Nia njema na inchi Yao, hatuna Cha kukulipa sisi ni kukuombea Mungu tu, Mimi binafsi nilikuchukia sana wakati ukiwa mkuu wa wa mkosa wa dar enzi za magufuli, kumbe wewe ni kiongozi safi namba hii, nilikutambua juzi mama alipokuteuwa kuwa katibu mkuu mwenezi ccm, nikaona your true colours, na sasa uko vizuri mkuu wa mkosa Arusha, keep it up 🤝🙏🙏❤️💚💙🤜🤛💪💪💪
@user-my5nb9jn2d
@user-my5nb9jn2d 2 ай бұрын
Yaani mm nashangaa sana.. Why mnamchukia mtu tu bila sababu yeyote mnafunga mshahara wake na alikuwa mtumishi wenu Ila Kitu nilichokiona hapo ni Wivu wa kusoma masters tu.. Wakajua ataongeza Elimu Atawapita kwa hiyo Ni Roho mbaya tu Ambayo Imesindikwa na kiongozi ikasambaa kwa wengine.. kumbe kuna watu wana matatizo jamani Duh😮😢
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 2 ай бұрын
Hiyo ya wivu watu wenye nafasi kama mkuu wa Shule nk wana hofu yakupoteza nafasi zao watu wa chini yao wanapokwenda kuongeza elimu hasa idara hiyo tajwa wanatengezewa kesi hadi inakubalika mahakani hata ya kubaka tu ili akomolewe bila kujali kuwa nae ana haki na anategemewa na watu ikiwemo familia yake kama walivyo wao Mungu huwa anawaumbua kwa unafiki wao
@tauredtv99
@tauredtv99 2 ай бұрын
Makonda aongezwe back up ya Aggrey Mwanri. Huyu katibu angesukumwa ndani😅😅😅
@Ryanzabron
@Ryanzabron 2 ай бұрын
😂😂😂😂 Hii imevunja mbavu
@LeylatVlogs
@LeylatVlogs 2 ай бұрын
Dada huyu ni kichwaa@mwalimu
@ceciliaonyango5367
@ceciliaonyango5367 2 ай бұрын
Sio arusha tu sehemu nyingi watu wanaubinafsi tu
@KeziaAmos-np9fu
@KeziaAmos-np9fu 2 ай бұрын
😂😂😂😂
@Kamkono
@Kamkono 2 ай бұрын
Da jamani! Mheshimiwa Paulo Makonda Mungu akulinde ndani na nje ya ofisi. Mungu husaidia wanyonge kupitia watu, wewe ni mtu mmoja wapo ambaye Mungu anakutumia kusaidia wanyonge.Haleluyaaa.
@BakariKawishe
@BakariKawishe 2 ай бұрын
Mwl anajieleza vizur sana na kwa hakika anafaa hata kua kiongozi
@RichWise671
@RichWise671 Ай бұрын
I'm very proud to be a teacher 💝
@MamaBambala
@MamaBambala 2 ай бұрын
Makonda mdogo wangu Mungu ailinde roho yako
@huldamichael4445
@huldamichael4445 2 ай бұрын
Sasa kama ni hivi watu wengi si wanaumizwa Sana!??maana sio watu wengi wanaweza au kujua huu mzunguko wote...daah
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 2 ай бұрын
Kweli kabisa
@asilahassan9965
@asilahassan9965 2 ай бұрын
Sadakta
@emmanuelbernard9552
@emmanuelbernard9552 2 ай бұрын
Nasubilia part 2 Makonda 🔥 🔥
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v Ай бұрын
HUYU MWALIMI ANA CONFIDENCE YA HALI YA JUU SANA VERY PERFECT,MAKONDA ANATAKA WATU STRAIGHT KAMA HAWA
@lightnessseifu5983
@lightnessseifu5983 Ай бұрын
Makonda mungu akulinde na akuongezee umri mrefu baba
@hasanirajabu3350
@hasanirajabu3350 2 ай бұрын
Makonda chapa kazi baba tunakuombea
@VictorLyimo-so9xr
@VictorLyimo-so9xr 2 ай бұрын
Rais ampe mama nafasi uongozi
@SaidMashaka
@SaidMashaka 2 ай бұрын
Big up sana makonda...tunakupenda sana❤❤
@LaurianKiyeyeu
@LaurianKiyeyeu 2 ай бұрын
Mungu akupe ujasiri,uvumilivu,bidii ya kazi na Maomo uendelee kusaidia jamii ndiyo tafsiri ya Dhamana ya Uongozi,yajayo kwako yana mungu mbele yako makonda
@aminabanka8203
@aminabanka8203 11 күн бұрын
Mwenyezi Mungu akulinde brother.
@deoluma1706
@deoluma1706 2 ай бұрын
Safi sana makonda. Namkubali sana asee. Utumish kuna uonevu wa Hali ya juu sana kwa walimu
@joachimkalungwana8654
@joachimkalungwana8654 2 ай бұрын
Safiiiiii saaaanaaaa Mh Makonda
@zwinaalhabsi664
@zwinaalhabsi664 2 ай бұрын
Safi sana kaka makonda
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 2 ай бұрын
Mh Makonda 🔥🔥🔥🔥🔥
@batholomewjohn913
@batholomewjohn913 13 күн бұрын
Hongera Mkuu wa mkoa wa Arusha unaweza
@habiolivier8315
@habiolivier8315 2 ай бұрын
you have wisdom leadership let useful mocking next president
@ttss7716
@ttss7716 2 ай бұрын
Huyu mwishimiwa mungu amuweke mpaka nimelia walahi 😢😢😢
@konradkapinga6744
@konradkapinga6744 2 ай бұрын
Daaaadek tunyooshe Brother
@user-uv5jf6he8r
@user-uv5jf6he8r 2 ай бұрын
Mwogopeni Mungu watumishi nyie mkuu wa mkoa Asante sana kwako
@user-ov6kd3jz6c
@user-ov6kd3jz6c 2 ай бұрын
Hongera makonda MUNGU akulinde
@sosthenesmutarubukwa5901
@sosthenesmutarubukwa5901 2 ай бұрын
Kwa Muktadha huu Uongozi katika Utumishi wa Umma utakuwa Mgumu. Kwa sababu wakati mwingine Watumishi wanavuruga utumishi wa Umma kupitia Pesonal Anbitions badala ya Kanuni za Utumishi wa Umma.
@eliamwankenja7087
@eliamwankenja7087 2 ай бұрын
Mungu akubaliki
@nyungwajunior1301
@nyungwajunior1301 2 ай бұрын
Huyu jamaa anapiga kazi bhana
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 2 ай бұрын
SAFI SANA MAKONDA MAMA SAMIA ALITUMWA NA MUNGU KUKUCHAGUA. ASANTE MUNGU MLINDE MAKONDA.
@user-cj4cv3jo6p
@user-cj4cv3jo6p 2 ай бұрын
Mungu akulinde Rc a
@RamadhaniAlly-n5u
@RamadhaniAlly-n5u 18 күн бұрын
Hongera mtetezi wa wanyonge
@samwelnevele7796
@samwelnevele7796 2 ай бұрын
Kaka makonda wenye changamoto kama hii ni wengi naomba wasaidiwe na mungu akulinde sana
@mussaharun7257
@mussaharun7257 2 ай бұрын
Mwalimu Mtulivu sana
@musampanda3643
@musampanda3643 2 ай бұрын
Madame leo kamwaga mchele
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 2 ай бұрын
Viongozi wengi wa nchi hii wanaogopa watumishi wasomi.wanaogopa kupokonywa nafasi kwakua wengi wamepachikwa tu kwa hizo nafasi
@NOVATISIYAME-iz9qw
@NOVATISIYAME-iz9qw 2 ай бұрын
Dar Paulo mungu pekee ndio anaweza kukilipa
@samsonsike1262
@samsonsike1262 Ай бұрын
We need leaders like makonda even at high level, big up Mr MAGU the sec
@ConstanciovictorVictor-tp5zu
@ConstanciovictorVictor-tp5zu 16 күн бұрын
Deus esteja com tigo meu irmão makonda❤
@ChristopherChacha-fb4oc
@ChristopherChacha-fb4oc 2 ай бұрын
Pole mama
@afidhuOmary
@afidhuOmary 2 ай бұрын
Makonda hongera xan kwa kazi nzur unayo fanya kama kuna uwezekano wakulete kagera
@lulusenzia4807
@lulusenzia4807 2 ай бұрын
Mungu akufikishe mbali Makonda nimependa nchi yetu hii longolongo nyingi
@user-du1nm7et9q
@user-du1nm7et9q 2 ай бұрын
Guys makonda, ni mtu alieshushwa, ajazaliwa hongera mama samia kwa kwa kichwa hiki na umejua pakukiweka muse na maisha marefu❤
@leilathydidy6058
@leilathydidy6058 2 ай бұрын
Ndio yan me huyu baba wanaomchukia nina washangaa sana kiukweli, yuko vzuri mno kiongozi
@user-vk7xm5ru9r
@user-vk7xm5ru9r 2 ай бұрын
Nakukubali sana mheshimiwa mungu akulinde sana .
@castroshayo3498
@castroshayo3498 Ай бұрын
Motosach International
@BienvenueBisimwa-rn9rn
@BienvenueBisimwa-rn9rn 19 күн бұрын
Mungu akulinde Makonda
@kalumunakalumuna7403
@kalumunakalumuna7403 2 ай бұрын
Makonda Mungu akubariki Sana
@tumainiezekia5873
@tumainiezekia5873 10 күн бұрын
Daaah mam honger unaongea vzr ❤😊
@gadielshedaffa3333
@gadielshedaffa3333 Ай бұрын
Nchi hii mioyo ya watu imekuwa ya kishetani! Uzalendo umeondoka! Mungu awarehemu wengi hawajui walitendalo! Dhambi nia aibu kwa watu wote! Mungu awainue watu kama makonda!
@anthonylongolongo9863
@anthonylongolongo9863 2 ай бұрын
Daaah! samahan san broo (MAKONDA) mwanzo niliona kama unakosea lakin kumbe unapiga kazi sana. MUNGU akutie nguvu na kukulinda pia
@sjosephmashany-eu6rf
@sjosephmashany-eu6rf 27 күн бұрын
Mungu aendelee kukuweka
@Oscar-qs7tn
@Oscar-qs7tn 2 ай бұрын
Kweli mwalimu ni mwalimu akili mingi Sana lazima nioe mwalimu anitoe ujinga
@sebastianthadeus5270
@sebastianthadeus5270 2 ай бұрын
Hawo watu wanapambana na mama msomi bila kujua wamlipe Hela zake
@Filmz639
@Filmz639 2 ай бұрын
Part 2 hii apa kzfaq.info/get/bejne/jp53l6-puKi8f3k.htmlsi=C-JkpYYJLT_W388M
@babalao910
@babalao910 2 ай бұрын
Mama Samia👍👍👍👍 Kwa kutuletea nakonda
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA 2 ай бұрын
Makonda umecheza kama Vinicios Jr. Welldone Mr. RC
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 2 ай бұрын
😂😂😂😂
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 2 ай бұрын
MUNGU AKUPE AFYA njema Mzee MAKONDA. AMEEN
@BEmmanuel-zt1kn
@BEmmanuel-zt1kn 2 ай бұрын
Pole san mma
@rehemambilinyi3523
@rehemambilinyi3523 2 ай бұрын
Mungu akulinde mh.makonda na viongozi wengine waige
@RaseduOfficial
@RaseduOfficial 2 ай бұрын
Asante mm ni ras edu KZfaq
@beesmarttv3792
@beesmarttv3792 Ай бұрын
Mama anaongea vizur sana na yupo very straight
@scollantandu2350
@scollantandu2350 2 ай бұрын
Baba piga kazi safi sana ♥️
@thomasgabriel588
@thomasgabriel588 2 ай бұрын
Chezea mwalimu weww
@dottolucas3721
@dottolucas3721 2 ай бұрын
Yaani hata hiyo CWT nao kwa sasa ni Shidaaaaaa
@user-rw8yu7xt4c
@user-rw8yu7xt4c 2 ай бұрын
Mungu akubariki sana Mheshimiwa makonda
@davidmnzava4280
@davidmnzava4280 2 ай бұрын
Kazi Zur sana , watu Wana shida hawana connection
@MkandyaDaudi
@MkandyaDaudi 2 ай бұрын
Dkt samia rais wa jamhuri apa una kiongoz sio siri
@dennisungonella205
@dennisungonella205 Ай бұрын
Makonda anafanya kazi nzuri sana, uonevu ni mkubwa sana
@ShedrackKapande-qh8pv
@ShedrackKapande-qh8pv 10 күн бұрын
Jaman halimashaur zetu acheni ukiritimba mtaumbuka.CWT mnaboa badala ya kuwatetea walimu,mnawakandamiza.CHAKUHAWATA piga hatua.
@user-so9fo5tv3j
@user-so9fo5tv3j 2 ай бұрын
Isaidie HAKI itande, itapakae kila upande (Quran 4:135)
@ISAACWairegi
@ISAACWairegi Ай бұрын
Mimi ni Mkenya lakini ni napendezwa na jinsi Mhesh Makonda anavyo shugurikia Mtanzania wa kawaida, endelea tu na huo MOYO.
@user-mz4mf4wj1y
@user-mz4mf4wj1y 2 ай бұрын
Jamani huyu Mwl amepata majanga kama yangu. Makonda unanisaidiaje mimi nipo Dodoma Arusha mna bahati muombeeni sana Makonda
@HamisiPawa
@HamisiPawa 2 ай бұрын
Ila bongo watumishi miungu watu wango wengi vbya mno
@idybwoytz8485
@idybwoytz8485 2 ай бұрын
Makonda jeshiiiiiii Njoo Dar Charamila muremviii nendaaa Arusha 😂😂😂😂
@ommary75
@ommary75 2 ай бұрын
Ndio umeandika nn hapo
@user-qk2wu5wm1f
@user-qk2wu5wm1f 2 ай бұрын
😅😅😅
@rodgersabraham9837
@rodgersabraham9837 5 күн бұрын
the spirit of Magufuli is him
@geophureysamsoni5033
@geophureysamsoni5033 2 ай бұрын
Kuwa na nchi yenye watu waonezi kama ningerisoma mimi nikuwafunga
@user-jn2qj5wf6c
@user-jn2qj5wf6c Ай бұрын
Mkuu Hawa spana wamezoea piga viboko😂😂
@victorcephas3618
@victorcephas3618 2 ай бұрын
Nasubiria part 2
@CalmAlpineSkiing-xf4gv
@CalmAlpineSkiing-xf4gv 2 ай бұрын
Asante Makonda Mungu Linda watumishi wanaotetea wanyonge
@herilello4
@herilello4 2 ай бұрын
Makonda Ni Gifted from the GOD
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 Ай бұрын
Amen
@joseygaudence4922
@joseygaudence4922 Ай бұрын
Hapo kwenda kuchukua file ndio msala unapoanzia miguu itakuwa haiendi na mdomo lazima uwe mchungu 😂😂😂😂Mnadhurumu watu sana
@fatemafatema4780
@fatemafatema4780 Ай бұрын
Mimi unanifurahisha sana sana muheshimiwa mmmm😂😂😂 ina maneno mazuri sana ya kufurahisha sana yaani hahaha hatari wape spaner haooo😅😅
@obsonjulius312
@obsonjulius312 Ай бұрын
Mheshimiwa sasa, tunaomba ukimaliza kazi jiji, wakupeleke Mbeya, ukawapelekee moto, kuna mazoea zoea sana kule.
@josephmtikile-yf3pq
@josephmtikile-yf3pq Ай бұрын
Hii nchi ngumu sana Yan ata Ajira zinatolewa Kwa kujuana
@loice123faida8
@loice123faida8 Ай бұрын
Kama Kenya ingekuwa na mtu kama huyu ingepona sana MUNGU atusaidie
@johnkapesula122
@johnkapesula122 2 ай бұрын
Laaah aisee...
@PrudenceMwakyoma-oz5ic
@PrudenceMwakyoma-oz5ic 2 ай бұрын
Makonda Mungu akusaidie. Ufanyakazi vizuri ivyo ivyo
@masikitikomwakyonde1259
@masikitikomwakyonde1259 2 ай бұрын
Aisee pole mwl siku zote mti wenye matunda ndo hupigwa mawe
@user-mz8rt9ip2s
@user-mz8rt9ip2s 2 ай бұрын
Mungu akulinde njoo zanziba baba yamejaa
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 2 ай бұрын
hivi kwanini mikuwa mnamchukia makonda? kazi kubwa sana anaifanya ,mungu akuongoze
@katibampya8442
@katibampya8442 2 ай бұрын
Mwendelezo wa hii napata wapi??? @global tv
@user-om7yw4pr9p
@user-om7yw4pr9p 2 ай бұрын
Mungu alikuchagua uwe kiongozi nakuli unatenda yanayo mpendeza mungu ubarkiwe sana namungu akulinde sana
@mankambise2000
@mankambise2000 18 күн бұрын
Huyu mwalimu anajieleza vizuri sana
@NeyluluPaulo-yy9rx
@NeyluluPaulo-yy9rx Ай бұрын
Jambo hili linanihusu hata mimi hadi leo sijapata stahiki zangu PSSSF
@viviandavid9974
@viviandavid9974 2 ай бұрын
Nimeipenda sana
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v Ай бұрын
MAKONDA SIO MDHALILISHAJI KWA WANAWAKE NI MKWELI PALIPO NA HAKI
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 34 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 106 МЛН
🔴LIVE: SPORTS COURT NDANI YA WASAFI FM- 31JULY,2024
Wasafi Media
Рет қаралды 448
MAKONDA AAMURU OCD BUGURUNI APANGIWE KAZI NYINGINE, WANANCHI WASHANGILIA
11:59
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
0:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 7 МЛН
Ой не могу 🤣❤️
0:33
Dragon Нургелды 🐉
Рет қаралды 1,9 МЛН
Choices for your loved ones❤️
0:15
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 16 МЛН