Iyo gari ya kwanza ameipataje tambueni wanangu hili ni tangazo la magari kama nawewe kama umegundua ilo gonga like hapa 😂😂😂
@ndukulusudikucho_15 күн бұрын
Mwenyezi Mungu anijaalie moyo mzuri wa waja wema kama Hawa
@charlesibiga442910 күн бұрын
Mungu akubariki mtumishi nimepanda jitihada zako Mungu apanue uchumi wako 1NYAKATI:4:9-10; nakuombea hiyo biashara yako ikue.
@JudicaMboyeКүн бұрын
Dada up Safi aixee mungu atakubariki sana naomba KAZI dada nipo mbagala aixee
@MartinSilungwe-ws2se5 күн бұрын
Nice dada uondokweri❤
@kakawamashariki897818 күн бұрын
Hongeraa.. dada kwa historia fupi ya mwanzo wa ndoto yako, pia ubunifu wa mauzo. Vipi! Kuhusu mkopo kwa utanguliz wa 50% kama wafanyavyo wengineo. Salaam toka Mwanza 🐟
@denisjoel159215 күн бұрын
Uko vzr Dada unaonekana roho mbaya huna be bless
@salummindu68215 күн бұрын
Dada yupo na akili nyingi sana ya kibiashara hongera dada
Unaweza kujiuliza huo utajiri ameupata wapi kwa miaka michache Na haingii akilini anavyosema jinsi alivyopata utajiri basi kila mtu angekuwa tajiri, kuna mambo mengi ya kishetani uwa wanafanya na hawasemi mfano ujambazi kuuwa watu ! Kwenye utajiri wengi wana historia zako wakisema siku ukweli unaweza kuzimia au ukawakimbia matajiri, kama utajiri ingekuwa kama like walking in the park watu wengi sana wangekuwa matajiri, matajiri wamefanya mambo mengi ya dhuluma, ukatili Na kuuwa kwa aina tofauti tofauti, kwanza kama kama unayo hofu ya Mungu huwezi kuwa tajiri labda ushinde bahati nasibu ya mabillioni!
@lailatbakar582914 күн бұрын
Hata kwenye kitabu cha mafanikio kuna kurasa hazisomwi kwa sauti
@dicksonkilupa225813 күн бұрын
Jina kabwela haliruhusu kupata pesa ndo maana unashangaa
@Nick1669712 күн бұрын
Uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo,
@YoshuaSeverino11 күн бұрын
Hizo ni roho za umaskini, pesa ni ya Mungu, huyo mama amejitafuta na amejipata.
@YoshuaSeverino11 күн бұрын
Fedha na dhahabu ni mali ya Bwana, kwa mawazo yako hata kizazi chako kitakuwa masikini, pia biblia inasema umaskini siyo baraka bali ni laana, kwa hiyo una laana.
@winifridakasibu290010 күн бұрын
Dada nimkupenda bure mpatiepo mwanangu kakazi uko amemariza chuo yupo tu bado ananitegemea
@user-id7lc7tk4d14 күн бұрын
Facebook anatumia jina gani tuwe tunafatilia magari
@barakamwasenga214313 күн бұрын
Naomba mawasiliano yake huyu mama
@andreamwangu264719 күн бұрын
Contacts please
@user-ti1ol3ti9j17 күн бұрын
Lishangazi pesa acawivu 😮😮😮😮
@hellendaniel380916 күн бұрын
Steve ni balozi sio kuwa kahongwa😂😂😂😂vijana wa hovyo nyie
@EMMANUELNGWENDESHA12 күн бұрын
Nitumie contact za huyo mama
@EzekielMateru15 күн бұрын
Una ast bei rahis au corona ileven
@francomwacha226217 күн бұрын
Office iko mseneo gani?
@MlokoziMjeruman-yf4uu15 күн бұрын
Nikuelekeze ilipo ofcn
@reubenjoas602916 күн бұрын
Steve hayuko sawa?
@user-ce7dl4qc2t16 күн бұрын
Mashaallah umetia hijabu
@haimanlivingstoned127820 күн бұрын
Li shangazi
@MartinSiame-zi9nz17 күн бұрын
Nitafute probox DX ya mil 8
@hellendaniel380916 күн бұрын
Mke wa mtu huyu wewe. Ni mwl alieacha kazi. Wee endelea kushoboka
@hellendaniel380916 күн бұрын
Hakuna mwnamke wa kimeru mjinga
@GeorgeAkasha-zx2rj15 күн бұрын
@@hellendaniel3809Ndo umedanganywa hivi,wapo wajinga kama ww.