Рет қаралды 28,705
👉Mahindi ni kilimo kinacholimwa kwa wingi. Mashamba mengi kwa sasa rutuba za asili zimepungua kama si kupotea kabisa.
👉 Kuna ulazima wa kurudisha virutubisho vilivyopo kwenye udongo ili tuweze pata mazao bora
👉Video hii itakusaidia kujua namna ya kugundua upungufu wa madini mbalimbali katika mimea yako na jinsi ya kutumia mbolea kulingana na aina ya upungufu husika
👇👇👇👇👇👇👇👇?
• MBOLEA ZOTE KWENYE MA...