MBOLEA ZOTE KWENYE MAHINDI

  Рет қаралды 28,705

AGALUS  TV

AGALUS TV

3 жыл бұрын

👉Mahindi ni kilimo kinacholimwa kwa wingi. Mashamba mengi kwa sasa rutuba za asili zimepungua kama si kupotea kabisa.
👉 Kuna ulazima wa kurudisha virutubisho vilivyopo kwenye udongo ili tuweze pata mazao bora
👉Video hii itakusaidia kujua namna ya kugundua upungufu wa madini mbalimbali katika mimea yako na jinsi ya kutumia mbolea kulingana na aina ya upungufu husika
👇👇👇👇👇👇👇👇?
• MBOLEA ZOTE KWENYE MA...

Пікірлер: 147
@feruzioscar3483
@feruzioscar3483 6 ай бұрын
Asante kwa somo zuri Swali langu ni moja tu. Chokaa inatakiwa kuwekwa kiasi gani kwa kila mmea.??
@AGALUSTV
@AGALUSTV 6 ай бұрын
Kifuniko cha maji AU soda
@feruzioscar3483
@feruzioscar3483 6 ай бұрын
@@AGALUSTVasante sana kwa ufafanuzi mzuri.🤝 kitu kingine ambacho ningependa kufahamu ni ainagani yachokaa inayofaa zaidi au ni chokaa yaaina yoyote?
@user-tu3yf8et5m
@user-tu3yf8et5m 7 ай бұрын
Naomba kuuliza baada ya kupanda mahind ni baada ya siku ngap naweka urea
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 ай бұрын
Fuatilila video hii apa itakusaidia saana kzfaq.info/get/bejne/d-CTo6STtM-3cY0.html
@evaristliheye1608
@evaristliheye1608 2 жыл бұрын
Nashukuru unafundisha vizuri na ni wakati muafaka asante.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
, barikiwa
@issambowe4896
@issambowe4896 3 жыл бұрын
Asante kwa somo la mbea
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Pa 1
@jumaramadhan9999
@jumaramadhan9999 Жыл бұрын
Nimeelewa
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Tupo pamoja ndugu
@abdusaleh8542
@abdusaleh8542 Жыл бұрын
Shukrn
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Tupo pamoja
@francismua7825
@francismua7825 3 жыл бұрын
Cool
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@simaikassim1202
@simaikassim1202 2 жыл бұрын
Poa nzuri sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
🤝🙏pa 1
@jamiladeus2396
@jamiladeus2396 3 жыл бұрын
Organic manure is the best
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Exactly
@saliminikitete4417
@saliminikitete4417 Жыл бұрын
Asante kaka nakufatilia sana tuko p1
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Ubarikiwe
@habibumohammed2046
@habibumohammed2046 Жыл бұрын
Wakigoma tz nimbegu ip Bora ya mahind kwa ukanda wetu
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Apo ndugu inabidi uwasiliane na mtaalam w kulimo aliyekaribu nawe ushaur zaidi 🙏🏿
@mussabinford9872
@mussabinford9872 8 ай бұрын
Unapo tumia Npk wkt wa kupandia kunahaja ya kutumia Npk tena wakati wa kukuzia??
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
Hapana hupaswi
@charleskyalo3421
@charleskyalo3421 Жыл бұрын
Niko Kenya mbolea Gani,choka uwekwa chin ama juu
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Katika hii Video zimeelezwa vizuri ifuatilie utaelewa tu
@user-fc7wz9ww2g
@user-fc7wz9ww2g Жыл бұрын
@@AGALUSTV mbegu gani nzuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Mbegu hutofautiana na eneo unalotaka kupanda ndugu
@user-ls2dc5ho6g
@user-ls2dc5ho6g 5 ай бұрын
Shamba langu mahindi Yana miezi miwili na yanarangi ya njano pia ni mafupi sana je nifsnyeje? Udongo wake ni kichanga
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 ай бұрын
Pole Sana ndugu apo KUlikua hakuna mbolea. AU kama mvua ilikua kubwa basi mbolea ilipotea Bure. Kama mbelewele bado kutoka waweza weka mbolea ya Chumvi Chumvi Chukua SA, UREA NA CAN CHANGANYA ZOTE. KISHA WEKA ILA KAMA UNYEVU, UNYEVU UPO SAWA TUMIA IVYO ILI IYAYUKE KWA HARAKA
@HappyFamily-qz9up
@HappyFamily-qz9up 10 ай бұрын
Kaka nipo songea pia mbegu gani ya mpunga nzuri yenye mavuno mengi nipande
@AGALUSTV
@AGALUSTV 10 ай бұрын
Apo Muone bwana shamba aliye karibu na eneo la shamba lako akupa Elimu zaidi
@user-wo7if5dw4f
@user-wo7if5dw4f 9 ай бұрын
Je mbolea unaweza weka endapo mazao yamesharibika, na je majivu au chokaa unaweka chini kwenye mizizi
@AGALUSTV
@AGALUSTV 9 ай бұрын
Utegemea yameharibika vp .na uweke mbolea za aina gani
@evakayombo7195
@evakayombo7195 7 ай бұрын
Naomba kujua kama SA nikichanganya na urea kwa kukuzia ina hatar au?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 ай бұрын
Ni nzuri japo ni kutumia gharama kubwa bila msingi
@jumaheri4431
@jumaheri4431 2 жыл бұрын
Umeongelea kiasi na umbali. Ni kiasi gani na umbali gani
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Okay
@mwampwanimathias4804
@mwampwanimathias4804 Жыл бұрын
Iyo chokaa unaweka kias gan kwenye mmea Yan kipimo
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Kifuniko 1 cha soda
@mussabinford9872
@mussabinford9872 8 ай бұрын
Unapokua umetumia npk kupandi kunaurazima wa kuttumia Npk tena wakt wa kukuzia??
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
Hapana ndugu
@MukurasiKalweta
@MukurasiKalweta 5 ай бұрын
Vp nikiona mahindi yamekuwa njano nikatumia mbolea za maji km booster, au Yara je haziwezi saidia?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 ай бұрын
Apo tutafute booster ya kupandia inayo LISHA miziz
@damasimwaipaja3137
@damasimwaipaja3137 8 ай бұрын
habari, asaante Kwa elim hii, swali ni kuhusu mbolea ya can umeitaja kuwa inatumika kukuzia lakini pia Kwa matunda, je naweza kuiunga mala mbili. pia wAkati wa kukuzia ni muhind ukiwa urefu upi? asaante sana.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
Mbolea ya CAN ni kwa MATUNDA.kama kuweka weka mara 1.ila UREA ndyo tunaweka mara mbili.yaaani katika Jani la 6 utaweka urea na kabla ya kutoa mbelewe una weza weka urea TENA ila unachanya na CAN. Utachanya TU KAMA mahindi yako hayajakua vizuri
@damasimwaipaja3137
@damasimwaipaja3137 8 ай бұрын
Asaante
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@atupakisyerighton2629
@atupakisyerighton2629 3 жыл бұрын
How to use fertilize when planting seed is it necessary to mix two kind of fertilize to meet triple nutrients for better growth of plants
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
No it's not good to do so. Each fertilizer has it's function . However you can do it after 1 to 2 month after: planting your maize, here mix fertilizer for growth and fruits bt not during seedling stage I m I claer?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
No it's not good to do so. Each fertilizer has it's function . However you can do it after 1 to 2 month after: planting your maize, here mix fertilizer for growth and fruits bt not during seedling stage I m I claer?
@annaernest7211
@annaernest7211 3 жыл бұрын
Absolutely
@trexphovy5832
@trexphovy5832 3 жыл бұрын
Somehow
@mosesnjoroge3301
@mosesnjoroge3301 7 ай бұрын
KUHANDA unatakiwa data kuwasa ama mahidi
@ShabanMohammed-nr2fn
@ShabanMohammed-nr2fn 5 ай бұрын
Swali liko namna ya kuweka mbolea ya kwanza yani dap baaada ya kuweka dap yulea naweka baada ya muda gan na can nayewe naweka baada muda gan
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 ай бұрын
Fuatilia video hii apa Aina zote 3za mbolea na Muda wake kzfaq.info/get/bejne/d-CTo6STtM-3cY0.html
@MohamedHassan-zs4jx
@MohamedHassan-zs4jx 3 жыл бұрын
Mm nimewa mbole ya SA lkn kwa bahati mbaya kuna bazi ya miche ime nyauka nnitumie njia gani ili niweze kurudisha ile miche kwenye ubora?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Apo ni kuomba mvua au maji kwa wingi angalau kupunguza nguvu ya mbolea bt kwa siku nyingine usiweke mbolea karibu na shina
@aishamtaula1959
@aishamtaula1959 9 ай бұрын
Cokaaaunawekaumbari gani au majibu naomba namba yasimu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 9 ай бұрын
Apo hatujakupata vizuri. Iyo umbali wa nini?
@user-fc7wz9ww2g
@user-fc7wz9ww2g Жыл бұрын
Nahitaji kulima nyanya chungu
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Karibu Sana ktk kilimo je unahitaji kufaham nini kwenye nyanya chungu
@isdorangairo7160
@isdorangairo7160 Жыл бұрын
Naweza kuchanganya asa. na can kwenye mmea unaoanza kuweka mbelewelle? Na kwavipimo vipi kwa Kila mbolea?
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Unaweza weka ila nusu ya mbolea nzima iwe SA. Yaaani kama Unatumia sado 2 za CAN basi sado 1 iwe SA. Pia angalia Hali ya majani y mimea yako yaaani kama Yana unjano c ya kijani Sana bas ongeza SA
@nestoryjamhuri8864
@nestoryjamhuri8864 Жыл бұрын
Je ugonjwa wa watoto wa mhindi kubabuka kama wapikwa
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Apo bado hatujakupata ndugu. Waweza elekeza zaidi
@ibrahimuad2193
@ibrahimuad2193 3 жыл бұрын
Unaongea kwa kirefu mno kwa jambo moja...sorry lakini
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Pa 1
@albertmjengwa3608
@albertmjengwa3608 Жыл бұрын
Hayo majivu nayo unaweka kwa kipimo na umbali ule ule Toka mmea kama mbolea za kisasa?
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Kiganja cha mkono
@margaretmkangala7774
@margaretmkangala7774 3 жыл бұрын
Ahsante, majivu yanawekwa.kiasi gani?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Mara nyingi ni gao au kiganja 1 cha mkono
@davidntwale4028
@davidntwale4028 3 жыл бұрын
Habari, Je ni mbolea ipi bora zaidi kwa kupandia kati ya samadi ya kuku au DAP?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Zote 2 changanya
@paulmatondo6285
@paulmatondo6285 2 жыл бұрын
Inatakiwa kutumia mbengu ngan
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Mbegu zipi nyingi ila hutofautiana eneo 1 na lingine waweza muona mtaalam w kilimo ktk eneo lako
@desmondsomi3980
@desmondsomi3980 Жыл бұрын
kama shamba lilikuwa pori nikafyeka na kupandia samadi ya kuku bado ntahitaji mbolea huko mbeleni au inatosha?!
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Inatosha tu ladba ya matunda baadae
@yusuphjulius1638
@yusuphjulius1638 2 жыл бұрын
Ukipandia mbolea ya samadi ya ng'ombe kuna sababu ya kutumia mbolea hzo za kiwandan?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Hutegemea na msimu w upandaji mahindi ktk eneo lako pia hutegemea na rutuba y eneo la shamba
@sylvesterfrancis6826
@sylvesterfrancis6826 3 жыл бұрын
Kati ya mbolea ya Urea, NPK na SA ipi ni mbolea nzuri kwa kukuzia mahindi?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Mimi nakushauri UREA ni bonge la mbolea
@evakayombo7195
@evakayombo7195 7 ай бұрын
​@@AGALUSTVna je ukichanganya urea na sa?
@rajumisomia1841
@rajumisomia1841 Жыл бұрын
Vp mbolea ya ng'ombe nikiweka kuna haja ya kuweka za dukani?
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Utaweka ya kuku zia na y matunda kw za dukani
@HappyFamily-qz9up
@HappyFamily-qz9up 10 ай бұрын
Niko tabora nipande mbegu gani ya mahindi yenye mavuno mengi
@AGALUSTV
@AGALUSTV 10 ай бұрын
Apo Muone bwana shamba aliye karibu na eneo la shamba lako akupa Elimu zaidi
@changaonlinetv4656
@changaonlinetv4656 3 жыл бұрын
naweka mbolea wakati gani tangu kuota kwa mahindi?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Jani la 6 adi la 7 au urefu wa kwenye magot au futi 2 adi 3
@dororosamajaliwa5054
@dororosamajaliwa5054 3 жыл бұрын
Kwa maeneo ya Tanga mjini ni mbolea gani inafaa kwa kukuzia mahindi?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Urea
@shabanngonwe4642
@shabanngonwe4642 3 жыл бұрын
Unaweka mbolea Mara ngapi na kwa interval kabla kuvuna?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Mbolea gani ndugu unazungumzia
@mbungeabraham3849
@mbungeabraham3849 Жыл бұрын
Mbona ujaonyesha jinsi ya kuweka mbores
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
OK 🙏🏿🤝✍️
@davidntwale4028
@davidntwale4028 3 жыл бұрын
Habari, katika kila hatua yaani kupanda, kukuza na kuzaa mbolea ipi ni bora ?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Japo sasa ivi kuna mbolea nyingi kila kampuni inatangaza biashara yake. Bt kwa ufupi kupandia ni DAP, kukuzia UREA, na Matunda ni CAN kwa mahindi. Kwa maeneo mengi Tanzania lakini Pia kumbuka utumiaji wa mbolea hutofautiana kat ya eneo 1 na lingine hasa kwenye mbolea ya kupandia maana kuna eneo wanatumia DAP, Minjingu au NPK Japo kwa ufupi nafikiri umepata picha kidogo🙏🙏🙏
@davidntwale4028
@davidntwale4028 3 жыл бұрын
Asante sana kwa maelezo mazuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Nakushukuru kufuatilia channel hii . naomba usisahau kusubscribe na kuruhusu notification ili upewe taarifa kw video vingine Karibu sana ndugu🙏🙏🙏
@evakayombo7195
@evakayombo7195 7 ай бұрын
​@@AGALUSTVnaomba kujua kaz ya SA
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 ай бұрын
Kutengeneza rangi ya kijani kw majani. Hivyo chakula ktk mmea utegemea rangi ra kijani. Ivyo ukuaji uwa vizuri kwa UFUPI urea na SA ufanya Kaz y ukuaji. Japo urea ukuza zaidi mahindi
@ndalizintilongwa6752
@ndalizintilongwa6752 3 жыл бұрын
Aina gani ya MBEGU NITUMIE ILI nipate faida kwenye mahindi ya kuchoma.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Mbegu hutegemea na eneo uliopo maana mbegu zinatengenezwa kulingana na ukanda
@michaelluziga8045
@michaelluziga8045 3 жыл бұрын
Mazara ya mahindi kukauka majani ni yapi?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Yawezekana ni upungufu wa madini. Majani yanasaidia mmea kutengeneza chakula kwa iyo mmea uwa dhaifu
@nassercrewalkindi7899
@nassercrewalkindi7899 3 жыл бұрын
Je kwa marangapi naweza kuweka mbolea kwenye mahindi mbolea Kama Urea , je na yang’ombe na yenyewe marangapi mpaka nikivuna ,pia naweza kuchanganya ? Ya asili na Urea au inatosha moja wapo?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Mbolea ya samadi ni wkt w kupanda tu. Ila urea unaweza weka Mara 2 yaani muhindi unapofika urefu w futi 2 ivi au usawa wa kwenye magoti Kisha baadae kabla y kutoa mbelewele utachanganya urea na matunda (CAN) . Nafikiri nimejibu ndugu yangu
@nassercrewalkindi7899
@nassercrewalkindi7899 3 жыл бұрын
AGALUS TV Asante kwakunifahamisha , nakushukuru
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Pa 1
@evakayombo7195
@evakayombo7195 7 ай бұрын
Je nikichanganya SA na Urea kwa kukuzia inafaa?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 ай бұрын
Kama mahindi si ya kijani. Unaweza weka na SA lakini kaama ni kijani vizuri. Tumia urea tu kukuzia
@pascalkapingu236
@pascalkapingu236 3 жыл бұрын
Nina nyanya zinakauka shina tatizo lake Nini Ila nimeipenda sana elimu hii
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Kata shina 1 lililo athirika na angalia ndani ya shina kama kuna rangi ya kahawia yaweza kua dalili ya mnyauko pia chek dalili zingine kwenye majani 🙏
@bornifacecharles2
@bornifacecharles2 Жыл бұрын
Mtaalu naomba kuuliza Je Dap inafaa kukuzia mahindi kama huna UREA?
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Ni NPK ingawa nahisi ulinipigia tukaongea ndugu
@anordgodfrey1092
@anordgodfrey1092 Жыл бұрын
Kwahiyo can na npk ipi inatakiwa kuanza
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
NPK
@anordgodfrey1092
@anordgodfrey1092 Жыл бұрын
@@AGALUSTV okay Asante unaweza kupandia hiyohiyo npk au
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Hutegemea na Aina ya udongo. Mara nyingi utumika kukuzia
@anordgodfrey1092
@anordgodfrey1092 Жыл бұрын
@@AGALUSTV ila hata ukipandia dapu halafu ukaweka can napenyew inaweza kusaidia?
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
DAP yakupandia na Can ni ya matunda
@margaretmkangala7774
@margaretmkangala7774 3 жыл бұрын
Udongo unapimwaje?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Kuna wataalam wana vituo vyao vya kupima udongo kitaalam kwa bei nafuu. Wasiliana na Afisa kilimo wa eneo uliopo atakwambia wapi kuna kituo cha kupima udongo
@victorsalvation-wo5pi
@victorsalvation-wo5pi 8 ай бұрын
@@AGALUSTV naomba kujua umbali wa kuweka mbolea kutoka kwenye mmea.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
Sm 5
@chuseramaa5665
@chuseramaa5665 Жыл бұрын
Kaka naweza kuchanganya mbolea zote mbili npk na can
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Yaaah unaweza ila zingatia size ya mahindi yako
@chuseramaa5665
@chuseramaa5665 Жыл бұрын
@@AGALUSTV mbegu ni tari sasa jua kali mvua haijanyesha na yapo kimo cha kalibia kutoa mbelewele
@chuseramaa5665
@chuseramaa5665 Жыл бұрын
@@AGALUSTV je niweke mbolea gani
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Weka mbolea tu
@chuseramaa5665
@chuseramaa5665 Жыл бұрын
Aina gani
@goldtvtz2739
@goldtvtz2739 2 жыл бұрын
Kama nimepanda bila kutumia mbolea kwa shamba ambalo nimefyeka pori ,,je ni hatua gani natakiwa kufanya na hasa kwa muda gani baada ya kupanda .?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Kuweka za kukuzia mimea ikifika hatua y magot au Jani la sita
@SalsabeelLtd
@SalsabeelLtd 2 жыл бұрын
Kisha nikiweka ya kukuzia naweza kuweka kwa ajil ya Matunda ambayo ni can?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Yes ni nzuri sana🙏🏿🤝
@dianamalya4566
@dianamalya4566 Жыл бұрын
Samahani boostar kwenye mahindi ninasaidia nn
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Ni mbolea ya maji
@rehemahramadhani3428
@rehemahramadhani3428 3 жыл бұрын
nahitaj. namb. yak. ya. cm
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
0765467484
JE! MAHINDI YANAHITAJI MBOLEA MARA NGAPI?
11:29
MINJA KILIMO
Рет қаралды 19 М.
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 23 МЛН
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 65 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 9 МЛН
EXCLUSIVE: MASHAMBA YA MSTAAFU MIZENGO PINDA NI GUMZO!
26:20
Global TV Online
Рет қаралды 304 М.
MSIMU WA MAVUNO YA MAHINDI MPANDA
8:41
PHINU MEDIA
Рет қаралды 7 М.
KILIMO CHA MAHINDI
28:53
Kilimo Biashara
Рет қаралды 48 М.
JINSI YA KUUA WADUDU  KWENYE MAHINDI
13:35
AGALUS TV
Рет қаралды 16 М.
MAMBO YA KUZINGATIA KWA KILIMO BORA CHA VITUNGUU MAJI 2021
7:40
MKULIMA SMART TV
Рет қаралды 71 М.
FAHAMU MATUMIZI SAHIHI YA MBOLEA YA MAJI  KWENYE MAZAO YAKO.
6:55