EXCLUSIVE: BILIONEA WA MPUNGA, MKULIMA ALIEITWA NA BILL GATE, GARI ZA KIFAHARI, JUMBA KIWANDA

  Рет қаралды 371,437

Millard Ayo

Millard Ayo

3 жыл бұрын

Leo naripoti kutokea Kiwandani Rapha Group Limeted hapa ni Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Mbeya, kuna watu wameweka pesa zao, akili, na kila kitu chao kwenye kilimo, nakukutanisha na Raphael Simon Ndelwa maarifa yake na maisha yake yeye ni Kilimo cha MPUNG na uzalishaji wa mchele yaani BILIONEA WA MPUNGA, Uwezo wake wa kukopesheka na BENKI NI BILIONI 3

Пікірлер: 645
@petermuganda7322
@petermuganda7322 3 жыл бұрын
Kama unaamini jamaa nijembe nimfano wakuigwa like hapa
@mustaphahamis2787
@mustaphahamis2787 3 жыл бұрын
💯💯💯 nakukubali saana Rafa
@AbilahSalumu-qx1cb
@AbilahSalumu-qx1cb 20 күн бұрын
Ongela Kazinzuri Kaka Kuuza Nnichi Zawenzetu Ukunyumbanikwenu Uwo Mchele Adi sikukuu Kwer Wa Tanzania Matumainiyameshalejea Unauzagari Unanunuwagari Niyagani
@mkwizoxsafarisadventures9750
@mkwizoxsafarisadventures9750 3 жыл бұрын
Huyu ndugu Raphael ni mzalendo halafu hapendi umaskini kivitendo...Mpaka kuwashika mikono wakulima wa kawaida kuwadhamini sio kitu rahisi kabisa... Mungu aweke hii spirit miongoni mwa vijana wa Tanzania pamoja na kwangu, ameeeni...💪
@renatuswilson1577
@renatuswilson1577 3 жыл бұрын
Vijana tuskate tamaa. Mungu niwetu chamsingi juhudi tu. Amen
@mgosimkome9242
@mgosimkome9242 3 жыл бұрын
Usilete story za Mungu kwenye mafanikio ya mtu, siri ya mafanikio huwa anayo Anaemiliki mali na watu msibeze elimu kwa kuona darasa la Saba kafanikiwa, akikuambia siri zake utakimbia. Usione mtu ana pesa ukatamani ukaanza kusema sijui na wewe unaweza kuwa hivyo, na sio kwamba vijana hawajishughulishi wanajitahidi Sana ili waondokane na umasikini ila ndo hivyo. Siri anaijua yeye wachache ndo wataelewa hii sms
@NTEMI-OBURUDANI
@NTEMI-OBURUDANI Жыл бұрын
Kijana unapotosha uma Mungu anasema fedha na sababu ni vyake anauma ameombae omeni nanyi mtapewa tafuteni nanyi mtaona bisheni mtafunguliwa so kwenye mafanikio Mungu kwanza mengine mtaongezwa
@ibrahimhumbotv
@ibrahimhumbotv 3 жыл бұрын
nimejifunza vitu vingi katika habari hii, thanx AYO TV , nawasihi vijana wezangu waisikilize hadi mwisho.
@deogratiaskambalile7729
@deogratiaskambalile7729 3 жыл бұрын
Nice motivation story
@josephmakau7322
@josephmakau7322 3 жыл бұрын
Wewe jamaa namimi nime msikia kaka
@hamidjuma2357
@hamidjuma2357 3 жыл бұрын
Pia kasema kweli tupu kwamba ukitaka kufika mbali jenga uaminifu ujanja ujanja haukufikishi mbali very true
@supervan3717
@supervan3717 3 жыл бұрын
Asanteni sana millardayo kwa kutupia jicho uyole kwenye kiwanda cha mhele kwa hakika kila aliepata nafasi ya kuangalia hii interview amejifunza jambo kubwa sana
@clemencejames7279
@clemencejames7279 3 жыл бұрын
Exellent
@arthurmwabulambo1201
@arthurmwabulambo1201 3 жыл бұрын
Mungu anavichagua vinyonge kuviabisha vikubwa ili asiwepo wa kujivuna. Inapendeza Rafael anapomtukuza Mungu ktk mafanikio yake. Na kwa ajili hiyo Mungu pia amemkweza. Kila ajishushae atakwezwa na vice versa. Barikiwa ndugu umekuwa mfano rahisi na wazi kabisa kuelewa na mzuri mno kwa vijana wote ktk Taifa hili. Play your part it can be done. Hongera sana Rafa.
@richardmwandali7722
@richardmwandali7722 3 жыл бұрын
Nimerudia mala 3 kusikiliza iyo story big up Sana sir Raphael
@nicholaskelion1180
@nicholaskelion1180 3 жыл бұрын
Mungu akutangulie Mkurugenzi,, mchango wako kwa Watanzania ni mkubwa, Mungu akupe zaidi ya hapo.
@africaendlesscruising
@africaendlesscruising 3 жыл бұрын
Huyu kijana hata kama ameishia Darasa la Saba kwa sasa ana elimu ya kiwango cha digrii ya Chuo Kikuu katika biashara na uongozi. Hata anavyoongea kwa kujiamini na ufasaha ni wazi biashara anaijua vilivyo. Hongera sana Bw Rafaeli...!!
@gradientlife
@gradientlife 3 жыл бұрын
This is guy is genius, akili yake kubwa sana. Very inspiring. @Raphael Ndelwa Hongera sana
@christianchando7041
@christianchando7041 3 жыл бұрын
Kweli nimeamini Akili si elimu. Huyu jamaa anajua kujieleza, anajibu maswali yote vizuri
@maalimjaffar5563
@maalimjaffar5563 3 жыл бұрын
Kweli usemavyo,,, kwasababu wasomi wengi wanatumia ufundi wa kupanga maneno matamu,lkn wenyewe wanakua na malengo yao ya siri,huyu jamaa anaongea kwa uwazi na kwaushahidi,,,hadanganyi.
@kawawamamaya8543
@kawawamamaya8543 3 жыл бұрын
Na sio msomi imagine
@fundamengo7970
@fundamengo7970 3 жыл бұрын
Sema shule sio akili lakini elimu ni Bora tofauti ni elimu ya aina gani elimu ya wazazi ni Bora Sana
@yusufumajinge59
@yusufumajinge59 3 жыл бұрын
Sasa ndiyo ujue busara na elimu ni vitu viwili tofauti kabisa.
@wisperfect5320
@wisperfect5320 3 жыл бұрын
Ukiwa na pesa lakizima uwe na confidence
@bernadlydia296
@bernadlydia296 3 жыл бұрын
Mungu huwainua wanaomtegemea na kumuamini, vijana tuna jambo kubwa sana la kujifunza kupitia kwa huyo kaka, Mungu akubariki Ayo tv kwa kazi nzuri ya kutuonyesha fursa vijana wenzenu.
@emmanuelsanga7583
@emmanuelsanga7583 3 жыл бұрын
Hakika kuna habari unaweza ukaiona ukaamini kweli suala la habari ni taaruma na sio wanaodhani wakiingia kwakumweka modo wake furani wakati wanashindwa kufata masharti sheria taratibu na kanuni za taaruma ni dhahiri hakustahiri kuwa mwanahabari ninamakunyanzi moyoni mwangu juu ya wanahabari wanaoifarakanisha habari na wadau ila basi tu wameniita mlawiti muuaaji mara 2 mvamizi tena kwa vichwa vikuubwa vya habari iweje hapo
@dorcasseruhere6875
@dorcasseruhere6875 3 жыл бұрын
Mingu akubariki na watu wako wote. Kama una watoto wasomeshe kwa kiwango cha juu. Nakupongeza Unaweza na Mungu awe nawe. Amina
@peterbillas9131
@peterbillas9131 Жыл бұрын
Jamaa nimemkubali saana na mungu na wazee wetu wambariki lakini akae mbali na bill na ma gmo hawa matajiri wa ulaya hawana lolote ni mashetani wanataka kukontro mazao duniani na kufanya biashara na nchi za nje ni tishio kwao mimi nakaa sauzi na mchele huku ni mbovu tunakula maplaastiki sizani kama watapenda kuona mchele mzuri hivi ni vita vyakiuchumi
@agreyaloyce432
@agreyaloyce432 3 жыл бұрын
I love that kila sentence Mungu yupo kwenye kichwa chake
@wafulatom104
@wafulatom104 2 жыл бұрын
Even me iam amazed at the way he begins with God in every thing. Nashukuru saana from Uganda
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana ndg. M.Ayo, wewe unatoa habari zinazoeleweka kwa anahitaji habari zenye mafundisho.
@Regan_
@Regan_ 2 жыл бұрын
Interview bora zaidi ambayo nimewahi kuitazama. Mungu katika kila sentensi huyu mtu amebarikiwa sana.
@Guled3
@Guled3 Жыл бұрын
I like the attitude of this billionare for acknowledgement of Almighty Allah in his success.
@fredrickallan5437
@fredrickallan5437 Жыл бұрын
Safi sana mtanzania mwenzetu kwa mapambano mazuri, Mungu aendelee kukutunza na kusimama imara katika kampuni yako,ufike mbali zaidi ya hapo ulipo.
@adophndelwa4885
@adophndelwa4885 3 жыл бұрын
Big up professor keep grinding you deserve god will do the rest
@edwardemmanuel5552
@edwardemmanuel5552 3 жыл бұрын
Miladi Ayo habari zenu si kitoto hongereni sana
@evelyneokwiri6344
@evelyneokwiri6344 Жыл бұрын
I read his story 2yrs ago. He is a hard working man with humanity in him
@h.rukuba7464
@h.rukuba7464 3 жыл бұрын
Jamaaaa liko vizuri hongera Raphael serekali wasupport yeni Hawa jamaaa watusaidia tu create ajira mungu akubariki
@saidifadhil7397
@saidifadhil7397 3 жыл бұрын
Asante Ayo kwa kutuletea huyu jamaa ,nimejufunza sana mungu aendelee kuwapa nguvu ya kutuletea stori zenye mafunzo kama hii.
@hassanhusseinally9805
@hassanhusseinally9805 3 жыл бұрын
Masha Allah ukimueka mungu mbele kila kitu kinawezekana insha Allah keep it up Mr Rafael
@user-ux6eq4co6i
@user-ux6eq4co6i 3 жыл бұрын
Ongera sana nimefurai sana kumuona mtanzania km ulivyo wewe mungu akubariki mim niko oman naipenda sana tanzania mungu aibariki tanzania
@alikhamis6326
@alikhamis6326 3 жыл бұрын
Brother nimependa jinsi unavyojieleza vzr hongera kaka na ss tutajifunza kupitia jitihada zako mungu awe pamoja na ww pia nimependa kaka jinsi unavyotembea majendo yako
@TijoMediaCom
@TijoMediaCom 3 жыл бұрын
Mzee ukishakuwa na hela hakunaga kutetemeka, tutafute pesa tuu yaan
@Donrugi
@Donrugi 3 жыл бұрын
WOW NAJIKUTA NAFURAHI KAMA NI MIMI VILE. Hongera sana kwake wacha na sisi tupambane 🙏🏽
@hamisinjuga8573
@hamisinjuga8573 3 жыл бұрын
Dar jamaa namkubali sana napenda sana maendeleo Ila vizingiti vya wanadamu aisee wewe unapambana peke yako wao wanapambana na wewe aisee watu bwana
@Maggie-yx8pw
@Maggie-yx8pw 3 жыл бұрын
Big up Kaka Raphael ukimtanguliza Mungu hakika hakutupi Mkono.
@rajabmartojr3302
@rajabmartojr3302 3 жыл бұрын
Respect broo Millard ayo And much more respect to mr Rafa group
@khadijaally3742
@khadijaally3742 2 жыл бұрын
Ayo we ni insperation ya kwanz then uncle mchele ur the best
@JamesKalisa-ht5xm
@JamesKalisa-ht5xm 2 ай бұрын
Nimekuelewa kaka
@prettyh7509
@prettyh7509 3 жыл бұрын
Mashallah nami nimeelimika kufanya kaz kwa bidii na kumtanguliza Muumba
@michaelmakaranga5877
@michaelmakaranga5877 Жыл бұрын
Nimefarijika sana🙏🙏🙏 Mungu Ahsante Kwa zawadi ya watu kama Hawa dunian
@benjaminsamwel5059
@benjaminsamwel5059 3 жыл бұрын
Mimi mtu wa uyole tunakua na tunaona mafanikio yako hongera sana unatumotivate
@maleojoseph5272
@maleojoseph5272 3 жыл бұрын
Am sorry to say this..but Bw Rafael ana ukakamavu, uzalendo, maono ,na msisitizo chanya kama ya Rais Magufuli
@kdpretoria780
@kdpretoria780 3 жыл бұрын
Ni matajiri wachache wanaoamini kuwa si huwezo wao bali ni uwepo wa Mungu katika kutenda miujiza wengi huamini ni uwezo wao ila huyu kamuweka sana mbele Mungu am proud of him.
@charlesrongo3615
@charlesrongo3615 3 жыл бұрын
Mungu akubariki niliwahi nunua kwako mchele n mzuri good package mchele mzuri safi ur my role modal
@rubebandihai6207
@rubebandihai6207 3 жыл бұрын
Kazi nzuri, lakini Bill Gate siyo mtu wa kuamini. Msiweke GMO tafadhali🙏🏽
@josaphatlukwaro2378
@josaphatlukwaro2378 3 ай бұрын
GMO Ninini ndugu
@kavishe2009
@kavishe2009 3 жыл бұрын
Nimeshangaa sana jinsi ulivyo na uwezo mkubwa wa kujieleza kuliko Profesa wa chuo kikuu.
@kawawamamaya8543
@kawawamamaya8543 3 жыл бұрын
Daaah 😁
@dannywiston6391
@dannywiston6391 3 жыл бұрын
Namjua jamaa yuko simple Sana na roho nzuri Sana, kazini kwake kajenga mpaka sehemu ya ibada
@marylubuv8202
@marylubuv8202 3 жыл бұрын
Kumbe aseeeeh ndo mana anabarikiwa
@hellenmawere9284
@hellenmawere9284 Жыл бұрын
Hakikaa amejua kumtafuta Mungu Kwa bidii zote. Nimejifunza kikubwa mno Leo.🙏 imebarikiwa mikono isiyotenda Kwa ulegevu + na juhudi + unyenyekevu. Mungu atusaidie sana asee.
@magrethelisha5460
@magrethelisha5460 3 жыл бұрын
Anatembea vizuri 😊 hongera sana Kaka👍
@hellenmroso6786
@hellenmroso6786 3 жыл бұрын
Mwendo wa pesa 😆😆😆
@immanuelkalleshi6153
@immanuelkalleshi6153 3 жыл бұрын
Mungu akupe nguvu zaidi na maarifa Na zaidi mm nimekuwa pamoja na ww kaka nimeona hekima na busara zako.Mungu akupe zaidi afya na hekima.
@yusufumajinge59
@yusufumajinge59 3 жыл бұрын
Busara na elimu ni vitu viwili tofauti kabisa.
@amaniomballa1855
@amaniomballa1855 3 жыл бұрын
Marafki sometimes wanakuwa Ni zaidi ya Ndugu Ni vema kumuheshimu kila mtu..ktk haya maishaa..
@alex_james8244
@alex_james8244 2 жыл бұрын
very good entrepreneur, you are smart in talking....inspirational man ever happened 2021
@Pihansmo1129
@Pihansmo1129 Жыл бұрын
Naomba namba zako Raphael tufanye biashara ya mchele
@gracerossiejohnny9887
@gracerossiejohnny9887 3 жыл бұрын
Mungu amlinde jmn...maana ukitafuta shida..ukikaa bure shida...mungu akulinde
@mwlpierre
@mwlpierre 3 жыл бұрын
What an Excellent patriotic investor!
@filomenambilinyi5471
@filomenambilinyi5471 3 жыл бұрын
Hongera sana ndelwa ubarikiwe na yesu mpaka ushangae.
@severinmbanza4950
@severinmbanza4950 Жыл бұрын
Kuna kitu nimekinukuu kwa Raphael, ni ukiamka sa mbili au sa tatu huwez kufanikiwa kwenye haya maisha kamwe❤
@marylyimo7546
@marylyimo7546 3 жыл бұрын
Hongera sana Raphar unaonekana hunamajivuno umejibu maswali vizuri sana, MUNGU akulinde na watu wenyenia mbaya.
@juhudijotham6741
@juhudijotham6741 3 жыл бұрын
Big up Sana Mr Ndelwa ,pambana ufikie ndoto yako, Mungu akupe ulinzi Hakika.
@farijanibakari9018
@farijanibakari9018 2 жыл бұрын
Safi sana
@anselmokidaboma9328
@anselmokidaboma9328 3 жыл бұрын
The guy is Soo Bright, kweli subira yavuta heri.Tz inahitaji watu Kama hawa 2 kila mkoa Tz itakuwa imenoga mno
@oliverkyando9897
@oliverkyando9897 3 жыл бұрын
Kweli umetoka mbali sana ,Tena unaroho ya huruma ulikuwa unatugawia hata sisi wakiwango cha chini unatupatia debe moja tunadunduliza maisha yanaenda, Ndio maana Mungu hajakuacha
@getrudeambilinyi4505
@getrudeambilinyi4505 3 жыл бұрын
Hongera sana mjomba wangu namuomba Mungu azidi kukulinda na kukufanikisha zaidi
@wafulatom104
@wafulatom104 2 жыл бұрын
Iam so inspired by this determined person to uplift mtu wa chini
@monicaluziro1288
@monicaluziro1288 3 ай бұрын
Nimejifunza kitu hapa, kwamba boss wetu amesafiri. Yaani wafanyakazi wote mnakua sawa kabisa kama ni vumbi vumbi juingia kazini wa kwanza kutoka wa mwisho.
@emmanuelsanga7583
@emmanuelsanga7583 3 жыл бұрын
Mimi sishangai saaana kwakuwa rapha namjua na nimpambanaji ambae natamani siku moja hata mimi nije niyafikie ayafanyayo maana nikitafakari nikiwa tandiboy nishapakia maharage yake saaana kwenye tank nikitoka malawi - dar nimempakilia kuleta uyole alikuwa na stoo maeneo ulipo mzani kyela road hapo kat leo ni habari ya mjini sijui hata kama naweza kuongea nae japo bro hana dharau anaiheahimu hela na utu hongera saana rapha pia kuna bro mmoja anaitwa mligo wa njombe madobole au kona kwa sasa ni marehemu nimekuwa nae kwa karibu mnno nikiwa malawi pale baadae najua alikuw akifanya kaz na rafa
@selekiwande64
@selekiwande64 3 жыл бұрын
Mwamba anachokitu cha ziada ndio kimemfikisha alipo Kitu uaminifu kujiamni, na Ana nyota yakupendwa kuaminiw kujituma na anandoto kubwa pia anamoyo wakusaidia wengine na ndiomaana anazid kupata baraka za mungu
@fideahyera2599
@fideahyera2599 2 жыл бұрын
Hongera Sana. Nimependa namna unaongea. Nimejifunza Mambo mengi
@katigeneralenterprises2348
@katigeneralenterprises2348 3 жыл бұрын
Rapher group yuko vizuri sana hasahasa kwenye mahusiano (lugha)na wakulima na wafanyabiashara wa mazao wote anastahili kupewa zaidi na zaidi kwani ni msaada kwa wengi ukifika ofisini kwake huwezi amini ni milioner
@agnessmkoma1761
@agnessmkoma1761 2 жыл бұрын
Mr. Raphael.... uko smart akilini..... very smart... yaan unaongea vizur we baba.... uko na furaha wakati wote, unaongea kwa sauti ya ujasiri Sana......nimetambua juhudi zako baba...... endelea na safari, Mungu akawe kiongoz wako
@abochejuniorhutingwa223
@abochejuniorhutingwa223 3 жыл бұрын
Hongera sana kk Raphael Mungu akufanyie sawasawa na maombi yako
@gipsonmmehwa1637
@gipsonmmehwa1637 3 жыл бұрын
NMERUDIA KUSIKILIZA MARA 3,HABARI IMENITIA MOYO SANA KATIKA MAPAMBANO YANGU
@agnesndetaramo7209
@agnesndetaramo7209 3 жыл бұрын
Nipo botswana kaka nakula Mchele wa Raphael kazi nzuri Sana nimejifunza mnoo kupitia huyu kaka Raphael
@yusuphadmin1005
@yusuphadmin1005 2 жыл бұрын
😂😂😂 ya kwer hayoooooo
@yusuphadmin1005
@yusuphadmin1005 2 жыл бұрын
mmmh wewe😂😂
@SHUFEJOGROUP
@SHUFEJOGROUP 2 жыл бұрын
Hongera sana Mr Raphael, mungu akujaalie zaid kuna kitu nimejifunza kwako.
@godfreymsendo5812
@godfreymsendo5812 Жыл бұрын
Nimependa sana jinsi anavyomtanguliza MUNGU Kwa Kila jambo lake..... Am inspired to him
@leverimlaki5667
@leverimlaki5667 3 жыл бұрын
Safi sana ndugu. Wewe ni mfano wa kuigwa katika biashara
@inomaxsemu7765
@inomaxsemu7765 3 жыл бұрын
Hizi ndio habari tunazoziitaji sio zile za nani kamshika tako nani... Binafsi amenipa motisha sanaa kama kijana, na kilichonifurahisha anaamini nguvu ya juhudi.. Big up sanaa
@paulmhando2661
@paulmhando2661 3 жыл бұрын
Kwa kweli mimi nimefurahishwa sana na huyu Kaka, Mungu akubariki na kukuongezea Hekima kaka Raphael. Unagusa maisha ya watu wengi sana. Ni mnyenyekevu na una maono makubwa. Mungu akujalie uhai na afya njema ili uyafikie. Hizi ndio interview vijana tunahitaji. Ahsante sana timu nzima ya Ayo TV.
@jetridakyekaka8117
@jetridakyekaka8117 Жыл бұрын
Nimevutiwa sana na Billionaire Raphael, hakika wewe ni mtu ambaye Mungu alikuinua kwa kusudi maalum kama alivyomuinua Musa ili awatoe wana wa ISRAEL utumwani.Mungu ameziona juhudi zako za kuwasaidia wakulima wadogo. MUNGU akuinue zaidi na zaidi ili hatimaye ndoto zako za kuwa Billionaire Mkubwa wa Kimataifa zifikiwe.
@khadeejaalmahri6217
@khadeejaalmahri6217 3 жыл бұрын
Big up kaka umejibu vizuri swali LA sangoma kama ulivyosema ukweli wavivu hawakosi sababu Mara watasema kafanikiwa sababu ya sangoma Mara watadai hela ya kukopa ilimradi hamshushe mtu
@kulwamachugu936
@kulwamachugu936 3 жыл бұрын
Amina kaka MUNGU akisema ndio hakuna wakusema hapana, Nakuombea kwa MUNGU akutendee Yale yote unayohitaji sawasawa na mapenzi yake mwenyewe
@kennethngoleka517
@kennethngoleka517 3 жыл бұрын
Hongera sana brother nimeona kuna kitu nilichojifunza hapo inatakiwa kufanya kazi kwa bidii,ushirikishaji,na maarifa makubwa na bila kushindwa changamoto ni moja ya kujifunza,hongera bro.
@jamsonkanyiki6038
@jamsonkanyiki6038 3 жыл бұрын
Big up. big boss. salute kwako pamoja na watendaji wako wote. Kazi iendelee
@rubensaitoti6839
@rubensaitoti6839 3 жыл бұрын
Duuu kweli nimeami kwamba kujituma kwako ndo mafanikiyo yako
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 3 жыл бұрын
Siyo elimu? 🤣 🤣
@jameskitheka5702
@jameskitheka5702 3 жыл бұрын
Millard Ayo uwa namkubali..much love from Kenya
@johnmwakipesile9046
@johnmwakipesile9046 3 жыл бұрын
Hongera sana My Big Boss umetufungulia milango vijana wako wa Raphael Group nasi tunatembea vifua Mbele
@eliastephen2776
@eliastephen2776 3 жыл бұрын
Mchele mnauzaje kwa gunia la kilo 100?
@johnmwakipesile9046
@johnmwakipesile9046 3 жыл бұрын
@@eliastephen2776 grade 1 @1750 kwa kilo 1 na grade 2 @ 1350 kwa kilo
@husseinmambo6739
@husseinmambo6739 3 жыл бұрын
Na grade unaijuaje
@johnmwakipesile9046
@johnmwakipesile9046 3 жыл бұрын
@@husseinmambo6739 kutokana na package grade 1 tumeiweka kwenye mfuko wenye nembo na grade 2 ipo kawaida haina nembo
@user-jh8sb9ms8w
@user-jh8sb9ms8w 14 күн бұрын
​@@johnmwakipesile9046Naomba namba yako ya Sim nikuulize kuhusu mchele 🙏
@getrudewillson308
@getrudewillson308 3 жыл бұрын
Kiukweli kaanza viizuli namuombea kwa MUNGU wetu amalize vizuli zaidi nami naomba kazi.
@fatmakombo7584
@fatmakombo7584 3 жыл бұрын
Mungu aibariki Tanzania mungu mlinde mamma yetu raisi wetu nä shari za kila kitu Kaka mungu azidi kukubariki kwani unaitanzania tanzania kwa kuwasaidia vijana
@danielamosi2553
@danielamosi2553 3 жыл бұрын
Mafanikio hayahusiani na elimu..hongera sana wasomi wengi wanayo njaa wape mchele wakale
@davidmwita9472
@davidmwita9472 3 жыл бұрын
nikweli unachosema ila dunia inabadilika enzi hizo sw lakini sasahivi sizani
@coletashirima2193
@coletashirima2193 3 жыл бұрын
Hahah
@isikesamike
@isikesamike 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@josephineasende9140
@josephineasende9140 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 3 жыл бұрын
Hivi ndio vitu vya kuweka kwenye Chanel sasa
@RaymondMahundi
@RaymondMahundi 9 ай бұрын
Raphael brother keep going..naufaham moyo wako wewe ni mtu napo sema mtu na maanisha.hongera brother 🙏🙏
@fadhilahussein3581
@fadhilahussein3581 3 жыл бұрын
Mungu akitaka Kupa hakuletey barua
@juliussaibulujuliussaibulu5740
@juliussaibulujuliussaibulu5740 3 жыл бұрын
Maisha ni bidii ya mtu big up sana brother kwa bidii yako.
@otmarmkali8883
@otmarmkali8883 3 жыл бұрын
Maelezo yamenyooka ila huyo muhindi kaku push sn. Hongera
@agustinocharles2650
@agustinocharles2650 3 жыл бұрын
Brother God bless you
@ellyhelela6261
@ellyhelela6261 3 жыл бұрын
Hongera ndugu yangu. Nakuomba uelewe kama utaweza kuwa huyo Bill Gate, sio binadamu mwenye ubinadamu, kwa kuwa MUNGU amekuinua hivyo na kwa imani yako kuwa atakuinua zaidi na zaidi, na iwe hivyo kuinuliwa na MUNGU na sio Bill Gate. Kama ukimpotezea utakuwa umemshukuru MUNGU, MUNGU anapenda tumshukuru.
@christianajoseph2939
@christianajoseph2939 3 жыл бұрын
Rafael,ubariliwe na bwana...ila jina lako pia linabaraka zoteeee ,mojawapo la majina ya bwana wa majeshi..Rafael💪💪💪
@alexedward7709
@alexedward7709 3 жыл бұрын
Umeeleweka vizuri. Asante sana.
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 3 жыл бұрын
Huyu baba ame ishia darasa la saba ila ana akili kuliko mawaziri wenye degree zao 🤣🤣
@mnyongeiddi2454
@mnyongeiddi2454 3 жыл бұрын
Degree ni akili ya makaratas siyo ya maisha ndugu hata usiogope
@zuhuramuhanga5400
@zuhuramuhanga5400 3 жыл бұрын
Biashara cyo lazima usome ni maarifa na bidii
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 3 жыл бұрын
Maisha ya hapa bongo ni juhudi zako tu unatoka cha msingi ufanye vitu na ubunifu vya kitu. Kaka kajitahidi mno
@MarcoMchele
@MarcoMchele 4 ай бұрын
Maisha sio degree
@williamgilbert-rx4zv
@williamgilbert-rx4zv 4 ай бұрын
Degree cio maaaan kwamba ww unaaakili sana bali n kujua jinsi ya kupambania fursa hiyo ndio ishu
@aloycemwakatala2796
@aloycemwakatala2796 Жыл бұрын
Anaitwa Mzee wa miondoko, kwakweli huyu brother naongea kutoka moyoni Mwenyezi Mungu amuongezee, huyu brother hana hiyana na mtu yoyote, amesha saidia watu mbalimbali bila kujali kabila wala jinsia pasipo shaka hata wewe unayesoma hii sms amekusaidia na kama siyo wewe basi ndugu yako au rafiki yako zaidi kama utakuwa unaishi uyole mbeya hivyo vinakuhusu.
@hassanmpemba5747
@hassanmpemba5747 3 жыл бұрын
Hongera brother piga kazi achana na maneno ya wavivu waliokosa kazi ya kufanya kwani na mimi natamani nifike ulipofika wewe
@gilbertfuria5817
@gilbertfuria5817 3 жыл бұрын
Huyu jamaa ni smart na Ana uzalendo flani
@luganomwaigomole8849
@luganomwaigomole8849 3 жыл бұрын
Nimekubali Sana brother.. nimejifunza mengi kaka.. TANZANIA FUNGUKA...
@hassanmasoud2113
@hassanmasoud2113 3 жыл бұрын
🍒💪pga kaz brother
@1000Brain
@1000Brain Жыл бұрын
Kama umegundua huyu ni kiongozi makini sana. Muda wote anatumia neno "sisi", " tuna, tume" hiyo ni ishara ya uongozi bora
@winniewairimu3822
@winniewairimu3822 3 жыл бұрын
Ninasonga mbele sirudi nyuma tena umenitia moyo wa la7 mwenzangu,tamanio langu ni nafaka biashara,nani amemskia kama Mimi anaongea kama Godbless Lema gonga like happ
@lydiampayo597
@lydiampayo597 2 жыл бұрын
Sio Michele tuu,Hadi karanga Big up Sana. Umeifanya mbeya izidi kujulikana Zaid,home sweet home 🥰💯
@jhonchege7258
@jhonchege7258 3 жыл бұрын
Mungu ni mwema wakati wote 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@tatutumbi4640
@tatutumbi4640 Жыл бұрын
Hongera sana. Mungu Azidi Kukutangulia. Umewafungua Vijana Macho. Hongera Ayo.
@buye5436
@buye5436 3 жыл бұрын
Anamwamini Mungu and that's good.
@alextercisio5477
@alextercisio5477 3 жыл бұрын
Wow cograts heko kwako bundah ...cheers from kenya
@consoafrica1350
@consoafrica1350 2 жыл бұрын
Such an inspiration🍾🍾
@justokweka2340
@justokweka2340 3 жыл бұрын
Mr Rapha uko powa Sana bro daaaah nimejifunza Mengi Sana
@chekakids
@chekakids 2 жыл бұрын
I am enjoying it!!! Loving this video, Thanks for the great videos! I like❤️❤️❤️!!!
100❤️
00:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 17 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 42 МЛН
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,3 МЛН
Dakika 30 za Mtanzania Hallen aliyetajwa FORBES kuwa Bilionea ajae
32:50
EXCLUSIVE: MASHAMBA YA MSTAAFU MIZENGO PINDA NI GUMZO!
26:20
Global TV Online
Рет қаралды 304 М.
100❤️
00:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 17 МЛН