Mbunge alizwa na wanavyotendewa Uamsho

  Рет қаралды 24,265

Weyani Tv

Weyani Tv

3 жыл бұрын

Mbunge wa jimbo la Konde kisiwani Pemba kupitia chama cha ACT Wazalendo, Khatib Said Haji, amesema kwamba mahabusu wa Uamsho walioko gerezani Tanzania Bara wanazidi kutendewa dhuluma.

Пікірлер: 81
@jakuvuai1428
@jakuvuai1428 3 жыл бұрын
Nlikuja baada ya kusikia taarifa ya kifo chako, Allah akurehemu
@stonetown578
@stonetown578 3 жыл бұрын
Allah atawafanyia wepesi In sha Allah dua'a tu kwa wingi
@nassrakhalef3437
@nassrakhalef3437 3 жыл бұрын
Inna lillah wa inna lillah rajiwn Allah amsamehe madhambi Yake Ampe kauli thabit Amiin yaa Rabby.
@aliawam3471
@aliawam3471 3 жыл бұрын
Allah atawalipa mashehe wetu kwa dhulma walio fanyiwa
@abasamwame6583
@abasamwame6583 3 жыл бұрын
Laana za Allah ziwashukie waliwaseka rumande mashekhe zetu ,walaaniwe wao na familia zao ,awape nuhsi na mikosi wao na vizazi vyao ,awadhalilishe wao na vizazi vyao kila aliehusika
@aliabdalla9297
@aliabdalla9297 3 жыл бұрын
Amiin
@mudasina900
@mudasina900 3 жыл бұрын
Amiin Yaraby
@daatyabdul652
@daatyabdul652 3 жыл бұрын
Aaaamiiin
@fadhilikawambwa5159
@fadhilikawambwa5159 3 жыл бұрын
aminaaaaaaaaaaaaaaa.
@clausemsemwa297
@clausemsemwa297 3 жыл бұрын
Hawastahili hayo wanayofanyiwa
@is-hakabinruweikh3833
@is-hakabinruweikh3833 3 жыл бұрын
Inshaallah mbunge ww mungu atakulipa kila la kher
@ibnismail8831
@ibnismail8831 3 жыл бұрын
Mm nasema hv haina haja ya kuzid kuwepo kwenye muungano tuzd kumtgemea mung ipo sk atajib vilivo vetu...wallah inauma snaa jaman so mchezo😓😓
@amosmoses7800
@amosmoses7800 3 жыл бұрын
HiVi haKunA waBunGe waiSLamu isipoKuWa huYu mZee tu...NaMsiKiTikiA saNa. AnAjiKuTa yupo peKee aKiwaTeTea waBunGe weNgiNe wamEBaKi kimYa waKisuBiLi poSho zAo Za siKu
@MohamedOmar-sg8ts
@MohamedOmar-sg8ts 3 жыл бұрын
Kweli umesema mbunge InshAllah Allah ataleta kheri yake
@safiaothman1098
@safiaothman1098 3 жыл бұрын
Namwomba Allah awajaalie watoke Rumande, Aamiin.
@yusufujamali4577
@yusufujamali4577 3 жыл бұрын
Usisahau huyu mbunge amefariki leo Innalillah wainna ilayhhi raajiun
@khamismaulid6839
@khamismaulid6839 3 жыл бұрын
Huo sio munganoooo huo ni upuzi wa hali ya juuu kabisa
@topaviator
@topaviator 3 жыл бұрын
System
@mrmdimi9406
@mrmdimi9406 3 жыл бұрын
Allah akurehemu ndg yetu
@user-oy8go8zs7e
@user-oy8go8zs7e 3 жыл бұрын
Mungu akulaze pema pepon
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 Жыл бұрын
Allah ambarik huyu kiongozi wetu
@khadijahaji6341
@khadijahaji6341 3 жыл бұрын
Innallah wainailahi
@sabraabdilnasir8826
@sabraabdilnasir8826 3 жыл бұрын
Mashaallah mbunge
@faridifriction8805
@faridifriction8805 3 жыл бұрын
Rest in peace champ, Allah akurehemu amiin🤲🤲
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 3 жыл бұрын
Innaalillah wainnaailayhi raajiuun Allah amuhifadhi.Yaa ALLAH tuletee mwingine atakaye tusemea huko bungeni katka haqqi.amiina
@halimanafoo2468
@halimanafoo2468 3 жыл бұрын
Mungu akupe kauli thabit
@ibrahimsalum4727
@ibrahimsalum4727 3 жыл бұрын
Mungu ndiya hakimu mkuu free mashekh free zanzibar haki itasimama inshallah
@habibasule2360
@habibasule2360 3 жыл бұрын
Aaamin
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 жыл бұрын
Ahhh Mungu ana mipango yake tulijuwa kama Maalim Seif Sharif Hamadi ataiwacha DUNIANI?? 😪 na alikuwa ameyapanga mengi MAZURI hakupanga MABAYA.. MUNGU AMRAHAMU. Mungu hafundishwi na mengi ya dhulma hapo Zanzibar pio maana Nchi taabu sana KUKAA SAWA HIYO AU TUU MUNGU ASHUSHE RAHMA ZAKE. AMIN
@pilichumu9331
@pilichumu9331 3 жыл бұрын
BC ukiona simbunge wa ccm huyo,uyoo mbunge wa act maana mbunge wa ccm hawez akasema ivyoo
@abdullaabdullahmpakanjia2336
@abdullaabdullahmpakanjia2336 3 жыл бұрын
Walowaweka ndani masheikh ninduguzetu waislamu wazanzibar hvo tusiwalaumu viongozi wakitanganyika
@khalfanamour7174
@khalfanamour7174 3 жыл бұрын
Allah akupe khatma njema mhe Khatib
@jamalmshenga1851
@jamalmshenga1851 3 жыл бұрын
AS HAABU L KAHFI, NI MIFANOWEE, MSIJALI JAMANI. WANAWAZIDISHIA UTUKUFU. WANAWAPOKONYA DHAMBI ZAO KWA MIKONO YAO WENYEWE, ALLAH AWAPE SUBRA PAMOJA NA SISI.
@arafatkombo5823
@arafatkombo5823 3 жыл бұрын
Ni kweli ila sio haki hii wanyo fanyiwa maskhe mama samia liangalie hili
@abdulrazaqmwandika8421
@abdulrazaqmwandika8421 3 жыл бұрын
Duuuh uliyasema haya leo yametimia allah akulipe kher
@is-hakabinruweikh3833
@is-hakabinruweikh3833 3 жыл бұрын
Mashaallah
@iamaly9239
@iamaly9239 3 жыл бұрын
Huyu ndio mtetezi wa wanyonge natamani kuuna Act 2025 achukuwe form ya kugombea uraisi
@musamusahshafi1496
@musamusahshafi1496 3 жыл бұрын
Nakuungamkono kuhusu wanavyofanyiwa dhuluma dhidi ya uamsho
@ShamisYussuf
@ShamisYussuf 16 күн бұрын
Alla amsamehe makosa yake almarhuum OBAMA
@muhammedabdulla2179
@muhammedabdulla2179 3 жыл бұрын
Rip Hatibu
@jumamshenga2666
@jumamshenga2666 3 жыл бұрын
Allahummaghfirlahu warhamahu waraudhahu wamaskanahufiljannat
@labuhamad641
@labuhamad641 3 жыл бұрын
Noma sana serekali inalaaana hio isioKwisha
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 3 жыл бұрын
Yaa الله mrehemu mjawako huyu, msamee makosa yake tunakuomba mlaze mahali pema.
@saidabdala4980
@saidabdala4980 3 жыл бұрын
UNAJUWA hebu tukinukushe wazanzibar. Halafu tuwone.. watajibu tu hawa vifaranga wa MAGUFULI
@samiraali1632
@samiraali1632 3 жыл бұрын
Hee jamani, serikali muogopeni Allan kesho mtakwenda kuulizwa mtajibu nini? Nyie kuwaeka waja wa mungu ndani bila ya sababu kama wana makosa si muwahukumu basi ijulikanee
@peterkisanga8089
@peterkisanga8089 3 жыл бұрын
RIP Amina!
@sabraabdilnasir8826
@sabraabdilnasir8826 3 жыл бұрын
Umeongea mbunge allah akulipe kwa hili tumefurahia kwa kuliongelea machungu ila mungu yupo na sifa yake nimudilifu someni viongozi juzi rumemzika magufuli hatujatarajia kwa hafla tu basi nasi tukonyuma madaraka yasiwalevye na huwo uongozi isiwe nisehemu yakuzulumu wa nyonge hapa sote niwapita njia nawakumbushia
@muhamedmsomally4175
@muhamedmsomally4175 3 жыл бұрын
Good
@senseiamazing1823
@senseiamazing1823 3 жыл бұрын
Rest in peace our brother
@clausemsemwa297
@clausemsemwa297 3 жыл бұрын
Huyu bwana alikua na HEKMA SANA
@user-mb2ob6kg8z
@user-mb2ob6kg8z 3 жыл бұрын
mbunge msema kweli
@zubeirsalum128
@zubeirsalum128 3 жыл бұрын
Allahuma ghufirlahu waarhamahu waaskinahu filjannat
@mwanakhamiskhamis3115
@mwanakhamiskhamis3115 3 жыл бұрын
Amin Amin Amin
@KhamisHaroub-uj5ci
@KhamisHaroub-uj5ci 2 ай бұрын
Hakuna marefu yasoncha
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
RIP
@mtindikoja8837
@mtindikoja8837 Жыл бұрын
Chema hakidumu
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 жыл бұрын
Alafu Kikwete anafunga Ramadhan yeye ndio aliye amrisha waletwe bara, Waislam Tanzania huteswa na Waislam wenzao, maana wakiwa na vyeo wanaona hawastahili ndio wanaamua kulipa Fadhila
@kramsjunior4447
@kramsjunior4447 3 жыл бұрын
R.I.P
@mwalimumbukuzi7273
@mwalimumbukuzi7273 3 жыл бұрын
Huyu mbunge kila uchao ye anatetea uamsho na kuangalia maslahi mapana ya taifa. Ukweli ni mzalendo
@seakodammam2285
@seakodammam2285 3 жыл бұрын
Sikazi utaskia siku moja hakimu asema hawa hata kama wengekutwa na kosa ilikuwa watakiwa kukaa gezani miaka 10 na sasa washatumikia 8 kwa mujibu ya kifungu No 112 nawaachia huru. Ili wasipate kushtakiwa 😀😀😀
@mohamediidd7579
@mohamediidd7579 3 жыл бұрын
Allah ampe kauli thabiti
@ibrahimjuma10
@ibrahimjuma10 3 жыл бұрын
Wanahc wataishmilele ipo cku dhulma hii wanaoifanya makafir haya itafika cku yao
@abdulbogoyo1243
@abdulbogoyo1243 3 жыл бұрын
MWENYEZI MUNGU AKAMUADHIBU KISAWASAWA KILA YULE AMBAE ALIKUWA NI 7BU YA WATU KUKOSA HAKI ZAO.
@aliabdalla9297
@aliabdalla9297 3 жыл бұрын
Amiin
@SA-xj8hc
@SA-xj8hc 3 жыл бұрын
Mahabusu miaka 8! . UK kwa kosa la Ugaidi ni siku 28 maximum na makosa mengine ni 24 hours maximum. Nguvu kazi mnaisweka mahabusu hivyo?! Siasa za mawazo finyu Tz kweli zitakwisha?
@mselemhaji1969
@mselemhaji1969 3 жыл бұрын
Mulioiweka juu ni mikafiri mibaguzi kishenzi Sasà watalifikiriaje swala la waislam wakati wao lengo Lao ni kudidimiza uisilamu
@mohdmaalim8452
@mohdmaalim8452 3 жыл бұрын
Inshaalllah Allah atakulipa kwa kuitumia vizuri nafasi yako na kupaza sauti kutetea wanyonge.
@abdullaabdullahmpakanjia2336
@abdullaabdullahmpakanjia2336 3 жыл бұрын
Kwahyo walowaweka ndani ni makafiri ama ninduguzenu waislamu
@fugameza6011
@fugameza6011 3 жыл бұрын
Tatizo nadhani nyie wabunge ( watu) mnao piga keleleee kwa masheikh wa uwamsho hao walizuiliwa na ccm na tuna piga keleleee waachiwe na nanii sasa wakati wapo njiya rahisi tuwaondowe kwa hiyari kwa nguvu vyenginevyo gitaa kwa mbuzi hachezi jengine ccm wakisema kitu walio wapa jina wapinzani hicho kitu kiyama kitakuja hawafanyi hata kiwe na maslahi trillion %
@topaviator
@topaviator 3 жыл бұрын
Hufahamiki
@Munyama675
@Munyama675 3 жыл бұрын
Hao UAMSHO ni wajinga. Wasitolewe na ikiwezekana watoswe kwenye kemikali. Walikuwa wanasambaza chuki sana za kidini. Kikwete alifanya la maana sana
@abdumodest5898
@abdumodest5898 3 жыл бұрын
Laana ikukute ww kabla yao
@khadijahaji6341
@khadijahaji6341 3 жыл бұрын
Hasbia llah mungu akuhukumu kwa makosa yako inshallah na ramadhani hii
@eddybrizzy76
@eddybrizzy76 3 жыл бұрын
acha ujinga wako ww Hanisi wa Kiume Nakuombea Dua Wazee wako wafikwe na la kufikwa lolote ili na ww uone uchungu wa dunia...
@aliymaulid8941
@aliymaulid8941 3 жыл бұрын
M/Mungu akuongoze au akuangamize
@ashajoj4211
@ashajoj4211 3 жыл бұрын
Mungu akuhukumu kwa kauli yko hii
@truthspeaker2062
@truthspeaker2062 3 жыл бұрын
Mshahara wa dhulma ni mauti. Endeleeni ivo ivo madhal sote tutakufa tutakutana uwanjani . Hv kuwaachia wale watu wakarudi kumaliza uhai wao uliobakia na familia zao ndio itafanya tanzania izame ama itakuwa vp. Ipo siri si bure . Ngoja mufe mashetani nyie mnanijuwa mnaokwamisha hii kesi .
@muhammedkhamis1407
@muhammedkhamis1407 3 жыл бұрын
Inauma Sana Inaumiza Sana Inasikitisha Sana Mpaka Leo Miyaka 8 Wanakunya Ujigerezani Allah Atawalipa Hapa Hapa Duniyani Kila Aliye Wazulimu Mashekhe Wetu Hata Kwa Kuchangia Neno Tu Kabla Yakufa Yeye Insha Allah 🤲🤲😭😭
MBUNGE KHATIB AICHANACHANA BAKWATA, AULIZA MASWALI MATATU MAZITO
11:07
Mwananchi Digital
Рет қаралды 167 М.
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 34 МЛН
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 11 МЛН
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1,1 МЛН
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 43 МЛН
Vituko vingine vya Mbunge BWEGE bungeni leo, “tutaandamana”
13:54
Uamsho wako wapi? Balozi Seif
1:49
Salma Said
Рет қаралды 13 М.
Mbunge wa nungwi afikisha salam 3 muhimu kwa watu wa nungwi mbele ya rais
9:16
Celebrations in Kenya as Court drives last nail on Ruto
9:33
Rogers Kakasungura
Рет қаралды 34 М.
Mazishi ya Mbunge wa Konde Khatib Said Haji kijiji kwao Micheweni-Pemba
3:00
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 34 МЛН