Huyu mzee ni Professor kweli tuache Elimu za kukalilishwa Elimu za kwenye makaratasi, huyu mzee anafaa kuwa naibu waziri, atafanya makubwa sana anamawazo chanya yenye kugusa maisha ya watu wa chini, hongera sana mheshimiwa
@jjborn87283 жыл бұрын
Mheshimiwa unastahili kuitwa Mheshimiwa Mara Sabin tu nakupenda sana kishimba naomba like elfu moja
@janegofrey31433 жыл бұрын
Asante
@musasabu69693 жыл бұрын
Anajuwa shida za watu hyu mzee
@asteriambwei33493 жыл бұрын
Kishimba unanifurahisha mnoooo ningekupa na namba yako ya cm ningekupigia uniambie nimpeleke wapi mwanangu kamaliza nimpeleke wapi màana naona ntapoteza hela yangu bure ?
@Locker69963 жыл бұрын
Professor Kishimba... very smart😄
@mariammwenda97193 жыл бұрын
We baba una akili kubwa sana, may Almighty God protect you
@fadhilisecha42683 жыл бұрын
Kashimba shikamoo! Unajua unachoongea. Hii ndo michango tunayoitaka sio kuanza kupakapaka mafuta nk. Tz inahitaji michango ya namna hii. Big up mzee wetu
@msafitv86633 жыл бұрын
Duuu ukisikiliza hii hotuba na ww ni muhanga wa ajira unaweza kutokwa na chozi, Asante Mbungu nadhani utakuwa unewafungua viongozi wengi hali ya wasomi huku mitaani
@fredricksteven20633 жыл бұрын
Huyu mbunge ni great thinker!!!
@novathpanga82163 жыл бұрын
Ndiyo wabunge wanao hitajika,kishimba yuko vizuri sana anaongea point🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@ramadhanimtetu72463 жыл бұрын
HAHAHAHAHAHAAA Huyu Mzee ni Hazina ya Taifa Nampenda sana Kwa Kujenga hoja
@fredymteule20923 жыл бұрын
I remember juzi kati nilikuwa maeneo ya UDSM CANTEEN vijana wapo smart wanakula chips yai na soda baadaye wanashushia na juice .. nilisikitika sana baada ya kuwauliza course gani wanachukua eti Degree ya Human Resources .. hahaha nikawaambia ivi mnajua baada ya chuo mtakosa hata mia tano ya chai ya asbh it’s better hili bumu uligawe mara mbili ili ujiwekeze ktk busness ili ukimaliza uendeleze business yako maana hakuna ajira mtaani daaaa waliniona mimi kama kichaa kuwa wao wanaconnection nyingi hapa mjini😂😂
@patrickzlee33453 жыл бұрын
.....
@enockmwakyelu1423 жыл бұрын
Nn
@enockmwakyelu1423 жыл бұрын
@@fredymteule2092 s Try)
@godwindiana62883 жыл бұрын
Tunaomba serikali imuongezee Ulinzi
@anthonykondobole39623 жыл бұрын
Daahh, mzee shikamoo, mungu akulinde na corona
@itNeza3 жыл бұрын
Imekua Corona tena 🤣😂
@gracejohn8863 жыл бұрын
😁😁😁😁
@anthonykondobole39623 жыл бұрын
@@itNeza Amna kamanda watu kama hawa huwa wanakubwa na matatzo haraka kulko wale wa ndio kila hoja
@emmanuelfwillo67213 жыл бұрын
Hawa ndio vipaji maalum kama ulikuwa hujui. wale wa makaratasi achana nayo. KISHIMBA Big Up
@stellamwasenga62053 жыл бұрын
safi sana mheshimiwa wewe unasemaga ukweli tu ila serikali imeweka pamba masikioni
@benderarulenge24772 жыл бұрын
Kishimba ana busara sana,Hana vijembe Wala malingalinga,ngombea uraisi mwaka 2025,kula yangu ipo
@eliasmtaki85183 жыл бұрын
Mtu wa akili za kawaida kumuelewa Mh Kishimba inabidi urudie kusikiliza mara 21.
@errydeo88653 жыл бұрын
saaaaana.Anachekesha lakini ni madini matupu.Hasa hilo la medical investment!
@paschazianestorymatunda64903 жыл бұрын
Huyu mtu ni potential sana
@rayprince82673 жыл бұрын
Hayo ndo matunda ya chama kimoja.point Le's
@princebuganzilut20473 жыл бұрын
Aise jamaa huyu ni kifimbo
@M7-Band3 жыл бұрын
Yaani huyu mzee nimemwelewa sana,anaelewa ground ikoje,na anaongea facts tupu
@khadijamisayo74763 жыл бұрын
anachekesha lakini anachoongea ni kweli kabisa
@marwakenene8473 жыл бұрын
Fine
@jorammpore96283 жыл бұрын
Huyu mheshimiwa anaongea vitu vya msingi sna 💪🏾💪🏾
@issamagota89453 жыл бұрын
Safisana mzee
@prosperkillas23983 жыл бұрын
Ameongea vizuri sana ili kuelewa anasemaje inahitaji utulivu wa hali ya juu Sana(kuku akila mayai yake huchomwa mdomo)........Haki chanzo chake ninini.
@newbornhaule16353 жыл бұрын
Mh kishimba wewe kweli msomi sana nafikiri hapo bungeni mpo wachache sana...
@avyalimanaathanassambuta65773 жыл бұрын
Mzee ni darasa la Saba tuu SEMA ANA AKILI SANA.
@yovithaobed55743 жыл бұрын
Hoja nzuri mheshimiwa mbunge wa kahama
@henryxavery17133 жыл бұрын
Mheshimiwa Kishimba,ulikuwa wapi siku zote 🤣🤣🤣🤣..
@fadhiliignusy37903 жыл бұрын
huyu mzee angekua waziri waelimu alafu apewe uhuru wakubadili mambo nazani tungefika mhali
@junioryasin53063 жыл бұрын
Kabsa
@KalimaxStudios3 жыл бұрын
Namini
@yohanamathias16663 жыл бұрын
Ukwel
@boniphacemihayo15913 жыл бұрын
Huuu ni kama walaka kwa mataifa na watu wote...nzuri sana hii
@amanmwakyoma22633 жыл бұрын
Hakika huyasemayo keep it up
@josehaule94253 жыл бұрын
Very wiser man, God bless you Mp
@emmanuelmanga34783 жыл бұрын
Good Kashimba
@abubakarsuleman19833 жыл бұрын
uyu mzee ni zaidi ya pro , na wapo wachache Tz, ni bonge la mtetezi , nafikiri ukimuweka pamoja marehemu ruge wangeweza kuwasha moto usiozimika.
@Bruno-ed1ps3 жыл бұрын
Ruge alikuwa genius
@bahatinzingula43093 жыл бұрын
Hongera sana Mh.Kishimba.Mawazo yako ni mazuri sana zaidi ya Prof.
@godlovemlinge22203 жыл бұрын
Kama ningefundishwa na mwalimu kama huyu mzee darasani, Walahi ningekuwa mbali sanaa
@henryxavery17133 жыл бұрын
Hongera Sana Mh:Humanness Kushona💪👏👏👏 Ni kweli Kabisa.
@felicianholle30103 жыл бұрын
Hoja ya mh.Kishimba ni nzuri na inahitaji fikra big up mbunge
@opportunities27673 жыл бұрын
My best MP of all time... big up
@munampinda18883 жыл бұрын
The Best Kishimba
@danielkyando67263 жыл бұрын
Aiseeeee ur so creative mzee mawazo mazito ya kujenga
@theophilmalaba40483 жыл бұрын
Excellent
@soloartist_ivanvespalusind16093 жыл бұрын
Spika wetu naye ni Genius. Walio faulu watangazwe kwa pamoja, kusiwe na second selection
@kassimmurji28723 жыл бұрын
Mheshimiwa unahofu namungu na mungu hakuachi atakulinda atakutetea na hatakuangusha kwa hoja zako zakutetea umaskini
@trickyjosia43263 жыл бұрын
Kweli nimeamini walio ishia darasa la saba wana akili sana kwahiyo jaribuni kusikiliza michango yao na kulifanyia kazi
@msafitv86633 жыл бұрын
Huyu Mbunge anaongea madini tupu
@timbukwa97713 жыл бұрын
Nakupenda sana Kishimba my Icon!!
@gipsonmwankobela28252 жыл бұрын
mbunge mwenye free mind ideas saf sana
@rockyvlogs22143 жыл бұрын
Mzee wangu Kishimba duh 🙌🙌
@emmanuelmuhando10523 жыл бұрын
Mnzee kwanzia umengia bungeni Leo nimekuelewa kwaniniii wanakuita professor 💪🏿💪🏽💪🏽💪🏽💪🏿💪🏿💪💪💪🏿💪🏿🔥🔥🔥
@paschazianestorymatunda64903 жыл бұрын
Nimekupenda sana mbunge wa kahama
@ahmedyusuphkasili21152 жыл бұрын
Uko vizuri kishimba
@sebamgalula26323 жыл бұрын
Genious, 😊😊😊
@plasidodavid14873 жыл бұрын
Genius 👏👏
@ama77423 жыл бұрын
Anatema nondooo🔥🔥👌
@MrMandevu213 жыл бұрын
Respect mzee wangu
@ambakisyemwanjemba57873 жыл бұрын
Nampenda Sana kishimba wewe ndio mbunge wangu kwa Sasa.
@magorimagori92643 жыл бұрын
Hahaaahaahaaaaa..mzee namwelewa sana anacho pambania...anatamani tutoke kwenye nadharia twende kwenye vitendo upande wa elimu
@hawwahawwa95903 жыл бұрын
Wewe baba mungu akupee uhaii mkubwaa Maan nimepitiwa maishaa ya kijijini😭😭😭🙆♀️🙆♀️
@magongwematinde57733 жыл бұрын
Hii speech nimewasha feni lakini bado najipepea na shati. Dah
@saxannjo61733 жыл бұрын
Huwa naEnjoy sana kumsikiliza huyu PROFESOR
@masundelwa3 жыл бұрын
mh raisi naomba huyu mzee umpe cheo Cha UWAZIRI
@stephanomwashilindi5743 жыл бұрын
Mzee upovizuri Sana
@michaelmedard57093 жыл бұрын
Off course
@KalimaxStudios3 жыл бұрын
Apewe na ulinzi Kabisa
@julihanjosephyjs63613 жыл бұрын
Nampenda huyu ,ndugai kazi unayo
@eligiusvitalis35043 жыл бұрын
Great thinker
@awesomevibes58473 жыл бұрын
Namna iyo.... Ni upuuz unaenda shule unarudishwa kisa viatu ni vya blue au vyeupe..
@monicakalinga82583 жыл бұрын
Shikamoo baba unajuua sana Professor
@hemedshalua20023 жыл бұрын
Genius
@yonakatoto40673 жыл бұрын
Daah namkubari sana
@mbarikiahamadjuma68243 жыл бұрын
Nakupa hongera kishimba, umetoa hoja/mchango mzuri na wakujenga
@titus_maridhia3 жыл бұрын
Huyu angesoma angekuwa mjinga sana.
@rwelamira3 жыл бұрын
Very practical
@starlonejadamskp82243 жыл бұрын
Mheshmiwa hongera sana 🇹🇿🤝
@neemasalema15463 жыл бұрын
Nimemuelewa sana huyu Baba ukweli anafaa kuitwa Mheshimiwa
@godfreygeofrey78043 жыл бұрын
Huyu mzee atakuwa ni darasa la saba kwenye vyeti lakini kichwani ana PHD sasa mtasubili sana nyie mnaotaka vyeti. Shikamoo Mr Kishimba.
@ibrahimkitela82333 жыл бұрын
Na limu nazo, kila mwanafunzi aende na limu na zikifika zingine zinauzwa
@saimonmakoye50093 жыл бұрын
Ndaaaa mzeee wangu kila unachongea point tuuuu hongera sana
@rajaburamadhani29862 жыл бұрын
sawakabisa👏👏👏💪💪
@fredrickmathias72423 жыл бұрын
Niceeee
@sebamgalula26323 жыл бұрын
🌿 analokula huyu mzee hailimwi nchiii😆😀😀😀
@uledimtumwa24063 жыл бұрын
Mh!!! Ati wa ugausigeli kesha enda 😂😂😂😂 Ndugai mkuda sana.
@salumukimanzchana9873 жыл бұрын
Hongera sana kwa hoja zinazoendana na uasilia was mtanzania, hizi ndo huja za msingi na zenye kueleweka
@aristidestibaijukasebastia52253 жыл бұрын
Mungu akubariki Mh Kishimba
@chumanondochuma80123 жыл бұрын
Inabidi ugombee uraisi mzee na ukabidhiwe nchi
@agkimedicallaboratory3 жыл бұрын
Nimekuelewa sana
@dr_godfrey3 жыл бұрын
tunao watu wenye mawazo mazuri sana hongera kishimba nakuelewa sana piga gaz
@jeremiahzacharia76553 жыл бұрын
Huyu Mzee shikamoo.
@vannyemmanuel58663 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 we mzee una jua kumaliza MB zetu yani toka nimeanza kuku sikiliza hauchoshi
@Commentsplus3 жыл бұрын
Kishimbaaaaa
@mujwahuzikyabwishukuru29172 жыл бұрын
PROFESSOR KAMILI.
@musasabu69693 жыл бұрын
Ukimskliza huyu mh.had inatia huzuni sana anaongea point sana
@chrismassawe3263 жыл бұрын
Mbunge makini sana
@lujenjejr36283 жыл бұрын
😂😂😂😂 Mwamba ni Muafrika kamili
@mediacare67442 жыл бұрын
Tanzania hamtaki viatu vyeusi? 😂 😂
@bakarikissiga62883 жыл бұрын
Jamaa anaumiza akili sana kufikiria mbali plus comedy lakin ndo message sent
@davidmagundu22853 жыл бұрын
Mheshimiwa shkamoo! Umeongea madini sn!
@mrmhenipm3 жыл бұрын
Huyu mzee ana hoja nzuri sana ,,lakini cha ajabu watabaki kusikiliza na kugonga meza tu ,,,mengi ameongea mazuri.
@lucaseben49143 жыл бұрын
Mh aisee?
@kenedykihaga54163 жыл бұрын
Ulongite hilooo myaaaa
@kingcharlz29653 жыл бұрын
Alongite unofu myaa
@gasperswai69633 жыл бұрын
Mhe kishimba yupo sahihi saaana kwanini nchi yetu wasiianzeshe competitively base ili tuweze kujua knowledges za watoto wetu at early stage, ni muhimu saana. Mzee yupo vzr
@idefonsiwilla77473 жыл бұрын
Safi sana Mkuu
@daudpaulo28672 жыл бұрын
Atusaidie juu ya machinga
@leverimlaki56673 жыл бұрын
Huyu mzee huwa anaongea vitu nyeti sana ambavyo wenye PHD hawawazi hivyo. Huyu mzee kweli anawaza tofauti kabisa.
@hamisimbatyan5875 Жыл бұрын
Huyu mzee kichwa sana.
@frankmailu9433 жыл бұрын
Mh.kishimba nimekuelewa sana
@lucaschisamalo28523 жыл бұрын
Huyu mzee ndo mbunge hayo ndomambo yakuzungumza bungeni siyo kusifusifu Safi Sana mzee