Prof Kishimba ule mpango wako wa bangi kuazao la bishara iliishiwapi?
@stevenmahinda65710 күн бұрын
Sheria nyingii za faini hazitekelezeki so inatengeneza mazingira ya rushwa...ni afadhali kwa mfanyabiashara kutoa rushwa ya 50,000 kuliko million 15
@BlazeSunshine-je1zt9 күн бұрын
Safi mbonge wetu mungu akusimamie
@hamudshabani780110 күн бұрын
Unajua nchi hii wafanyabishara wanashughulika sana kuhakikisha wanajenga uchumi wao binafsi na ili mitaji izidi kukua wachangie pato kwa umma lakn ubaya unakuja serikali inatumia nguvu nying sana kuwabana wafanya biashara wadogo na wa kati huku pesa hizo zikikusanywa zinaenda kupotelea mikononi mwa serikali yenye dhamana ya kusitawisha nchi. Si bora na wao wakwepe kodi.
@simbawateranga702010 күн бұрын
Mil'15 watafunga wengi ndy maana wafanyaBiashara wametangaza Kugoma
@margarethpolepole74386 күн бұрын
Unasema ukweli Mbunge Kishimba uko wazi hali ni mbaya sanaaaa kwenye mahospitalini
@user-jn3jh7yp3w10 күн бұрын
Asante Sana kishimba, Chloroquine ndyo Dawa halisi ya malaria,huu mpango wa mseto ni mpango wa kutupunguza tu watanzania
@dottomatola590510 күн бұрын
Khasante mbunge wangu mitano tena
@lawrencegwerino16564 күн бұрын
Hayo mawazo yako kishimba ni ya kipuzi. Ukisha waruhusu madoctor wataanzania wataiba dawa nakuziuza kwenye hospital zao..
@smallscaleminingsupplies96709 күн бұрын
Huyu mzee anasema ukweli hii sheria itasababisha TRA wote wakae mtaani wawe wanakagua risiti ili wapige watu fine na kukusanya rushwa
@user-ku4xq4nd9v10 күн бұрын
Tunaogopa hata kufanya biashara
@joycemkeka376910 күн бұрын
Sema baba japo ukweli unauma waambie tu mana nikweli kabisa mtu kama hanapesa anafia kitandani bila matibabu na akifa ndugu watalipa bili yote wakati mtu akutibiwa nyie nchi hii Ina waywa damu sana
@titus_maridhia10 күн бұрын
Genius
@GodfreyOsward10 күн бұрын
Shamba la serikali ni walipa kodi wake. Serikali inachukua kingi na kuchukua kingi ni kutumia nguvu. Hilo chimboko la kutotoa listi
@ibrahimbaila776410 күн бұрын
Nilisema ata ile sheria ya mimba wangekua wanashikwa wanawake .