Ahsante sana muhubiri, mafunzo mazuri sana nmejifunza kuishi kwa ndoa na kuitinza ndoa yangu,nina Imani nitapoingia kwenye ndoa yangu hivi karibuni,nina Imani nitayazingatia mafunzo yako🙏🙏 Mwenyezi Mungu anijalie maarifa na uelewa zaidi 🙏🙏
@FainesKitinusa22 күн бұрын
Ubarikiwe kwa neno lenye kuponya ndoa zetu
@mokombapomobisaop69467 ай бұрын
Amen pastor Mmbaga, lakini hizi kanuni Saba ya faa uongeze zingine next time, very excellent teaching and may God bless you and bring more of this kind to marriage and church.
@CHRISTINEONESMO24 күн бұрын
Amen barikiwa umenifundisha kitu mtumishi wa Mungu
@graceb239821 күн бұрын
Amen pastor nabarikiwa nafundisho hii👍💐
@sarahezekiel3301 Жыл бұрын
Ikimpendeza Bwana I pray this servant of the most high weds me when my time comes 🙌🏿🙏🙏one of my favourite teacher .
@malikauli4670 Жыл бұрын
Mungu akuongoze
@EliaSimoni-ye6lv Жыл бұрын
Amen 🙏 ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@osorosamuel2023 Жыл бұрын
Powerful sermon but poor dressing, very unfortunate for our church
@user-pn2ob4vd4j7 ай бұрын
God bless you pastor. Thanks for your nice sermon
@user-go1zz5ml7j9 ай бұрын
Ahsante saana Pastor kwa ujumbe huu ❤
@JusterKendi-si9wo7 ай бұрын
Amen pastor, umeniguza sana hpo kwa kila ndoa iko na siri yake
@kasokihortense73133 ай бұрын
unarikiwe sana umenijenga Sanaa pokea salamu zangu kutoka Congo DRC n'a kushukuru
@JohnJohn-ql2kf8 ай бұрын
Ubarikiwe sana pastor
@Faith-zc1hs Жыл бұрын
Wooh thanks for the teaching nimejifunza mengi
@rachelissa115 Жыл бұрын
Ujumbe wa ndowa ni mzuri, Mungu akubariki sana, ila fundisha pia na jinsi ya kuvaa mavazi ya Heshima ndani ya nyumba ya Bwana na mtaani pia, wakristo tunapaswa kuwa tofauti, Neno Lina sema kuwa tusienende kwa kuifuatisha namna ya Dunia hii, kwa habari ya mwenendo na tabia na mavazi pia🥰
@ibrahimmalabeja3692 Жыл бұрын
Mchungaji yupo sahihi. Upendo tu hautoshi. Biblia husema hivi: "wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika" Soma-{Luka 11:28} Kwa hivyo Kila mshirika wa familia mmoja mmoja kusimamia sehemu yake na kuiwajibikia.
@ibrahimmalabeja3692 Жыл бұрын
Mchungaji yupo sahihi. Upendo tu hautoshi. Biblia husema hivi: "wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika" Soma-{Luka 11:28} Kwa hivyo Kila mshirika wa familia mmoja mmoja kusimamia sehemu yake na kuiwajibikia.
@user-ni3nw6mt8y8 ай бұрын
Endelea hivohivo mnekuelewa mngu akupe maisha malefu❤
@FfFf-yb9cp7 ай бұрын
Amina paster mungu akubariki sana na huu ujumbe .nasikia nimebarikiwa .mungu akufunulie zaidi ya hivi❤❤❤🎉
@lucasshirima2880 Жыл бұрын
Amina Baba...Nimekuelewa sana...Nimekusikiliza hadi Mwisho ...Hakika ni Mahubiri ya KPHD...umehubiri ukweli mtupu...Yohane 13:16...Kwa Maana hii Mungu aliupenda ULIMWENGU...
@user-ye7jv7sy3t9 ай бұрын
Uvaaji uo siomzuuri kwa mabest
@HarrisonMuriithi-bd2jo Жыл бұрын
Watumishi wa Mungu aliye juu,Bwana asifiwe.Ninaloitaji la kipekee la kuongea mambo ya kiroho na mchunga Mmbaga tafadhari mnisaidie na namba yake.Mimi ni Murithi Harrison kutoka Kenya.
@matildamwakatuma12067 ай бұрын
Amen Pastor Mmbaga kwa somo zuri tumesoma vema
@denisrukangula22277 ай бұрын
Mimi naweza kukupinga Kwa hivyo VITU viwili. Kama hautavielezea kibiblia Msingi wa ndoa kibiblia Ni Moja kwa mwanamke 1-utii Mbili kwa mwanaume 2-upendo kwa mwanaume Hivyo vitu vikikosa kwa wanandoa lazima ndoa ife mapeeeema Sasa utakuja Kufundisha Nini maana ya utii na namna Gani utii unavyoweza kunisaidia ndoa au kuiangusha ndoa nk
@zubedamae-ro1jx7 ай бұрын
Be blessed mtumishi umenifunze na nimejua mengi na kukumbuka mengi Mungu azidi kukupa hekma zaidi
@user-pp5lm7cr5r6 ай бұрын
Amina Sana mungu akubariki
@alice-sd1sv7 ай бұрын
Wow I'm being blessed with your advice and preaching,be blessed
@user-ef2om7ep1z10 ай бұрын
Yani wewe mtumishi pastor ufike mbali....nakuelewa sana na unaeleweka sana...barikiwa sana unatubariki sana...
@user-pe3cc3oq2i7 ай бұрын
Ahsante Sanaa pastor nimebarikiwa sanaa🎉
@cerealisfelician3807 Жыл бұрын
Nashukuru Sana pastor kwa mafunzo haya
@RachealMndambi-kv9sd9 ай бұрын
Pr. Mungu akubarik sana.Songa Mbele Mungu Akutie Nguvu
@sauud2some471 Жыл бұрын
Mungu alibariki mutumishi wa Mungu ❤❤❤
@cosmaskabila3058 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji
@moniquenimbabazi4528 Жыл бұрын
Asant kwa somo tunakusikiliza kwa neno na lina tujenga Nakuomba uwe unafundisha pia mwenendo ya nje maana niyamaana sana maana wao wake wamevaa vya kidunia na mapodozi yohovyo Maana ninyi ndo Wachugaji wakutwelekeza
@florencekanze6 ай бұрын
Asante Sana pastor kunakitunimepokea kwakweli🎁
@DrChief-xw8ei11 ай бұрын
Mch.Mbaga unanibariki Sana Mungu akutumie vema
@RehemaEmanueli-so2kv6 ай бұрын
Mungu akubark pasta Kwa ujumbe mzuri sana nimebarikiwa sana
@zamalisaide32099 ай бұрын
Asanteee kw somo mungu akujalie pastor
@mercykassile363Ай бұрын
Somo zuri sana limenijenga
@ernestmhilya960 Жыл бұрын
Great massage
@treziambukwa89788 ай бұрын
Be blessed pastor
@user-ws6ws7md7b3 ай бұрын
Pastar mungu akubariki kwa ushauri wako
@alundalubuku9021 Жыл бұрын
Barikiwe mchunga kwa some mzuri ya ndoa.
@RehemaMuhagama-es3bj Жыл бұрын
Mungu akubarik sana mchungaj
@elizabethyaadzomboelizabeth Жыл бұрын
Ubarikiwee mchungaji
@ScolaMujaki3 ай бұрын
Barikiwa Pastor
@user-iz8vi4ty9d7 ай бұрын
Your sermon is very encouraging paster
@fredrickasoya7987 Жыл бұрын
Hello mchungaji! Mahubiri mazuri ya Mibaraka I'll Hawa wanadada wamejipodoa Sana huku Kenya huwa tunawafurusha hadi wavae kulingana na kanuni za kanisa
@RAHELIDARABE11 ай бұрын
Nimeipenda pastor unanibariki sana ila wanaume hawapendi criticism na wakikataa tunawaachia afu yakiharibika ndo wanajirudi
@virginianduhia69110 ай бұрын
Rafiki mpendwa hii ni arusi ,so Kila mtu ni msabato
@user-ys5ux2fr6v10 ай бұрын
Mungu akubariki san baba mungu azidi kuku2mia kadri awezavyo
@magrethclement5009 ай бұрын
Amen MUNGU akubariki
@christinapeter7131 Жыл бұрын
Barikiwa sana mchungaji maana hayo usemayo ni laivu bila chenga
@sindanosamson5144 Жыл бұрын
Mahubiri mazur Ahsante
@IRENEMasisi-hm1cbАй бұрын
asante mungu Kwa ajili ya plaster unaponya ndoa zetu
@TammyNickolas2 ай бұрын
Unanibariki sana paster
@timothymuthomi1618 Жыл бұрын
It powerful sermon but actually do they dress in diceits way . their dressing codes are alarming as an adventists The outward appearance portrays the inward character.
@PhionaAbdallah-uv5fl10 ай бұрын
Pr ubarikiwe sana mafundisho mazuri
@dicksonkarithi56377 ай бұрын
You are so interesting sir. Thank you for your teaching. My family will prosper. Dicken from Kenya
@JusterKendi-si9wo7 ай бұрын
Very true darling
@user-cl3gq1xp8r10 ай бұрын
Ubarikiwe Sana pastor ...lakini washauri kuhusu mavazi ya kikristo
@user-wl9bz1pt9c5 ай бұрын
Pastor Barikiwa sana
@anzurunimmj94629 ай бұрын
❤❤ Mungu atubariki na kutuzidishia hekima na maarifa kweli.❤❤
@elienew3788 Жыл бұрын
Amina mra hii nimejifunza kitu hapa
@graceakech18267 ай бұрын
Powerful message
@tumaininestory4037 Жыл бұрын
Aminaa Asante sana kwa ujumbe mzuri
@user-hw5yr5wb2s10 ай бұрын
Hakika mchungaji uko vizuri saana
@matireke556 Жыл бұрын
Amina pastor mmbaga
@user-xl8nb4we4s11 ай бұрын
Amen mtumish❤❤❤ 3:36
@user-xk4wf2xp4d10 ай бұрын
Barikiwa sana pr
@user-up6yf7vy4c10 ай бұрын
Hakika mtumishi umefungua ufahamu wa akili yangu barikiwa pr Mbaga
@samuelkusina375511 ай бұрын
Pastor uko vizuri
@user-kn7sr9sm6i8 ай бұрын
Nimejifunza mengi. Sana ubarikiwe pasta
@user-jq6on6pw3c6 ай бұрын
Asante pastor
@pastmutokabijiramungu9513 Жыл бұрын
Barikiwa sana
@evoski310 ай бұрын
Thank you Pastor Mmbaga. Beautiful sermon. Needed this. Shukran.
@innocentkabeya2498 Жыл бұрын
You don't get into marriage because your friends are getting married, but you get into marriage because you have found love and you are ready to commit. We have so many divorce cases these days because people think they are in competition with their age mates.....My dear, Life is never a race, things happen at different times for different people....Think before you say yes.
@josephinesanita4904 Жыл бұрын
Mm ombi langu ni utakuja unifungishe ndoa panapo majaliwa ya mungu nmependa ushauri wako pr
@THERESIANDIMI-te6rm Жыл бұрын
Maubili yako mchungajiNimebalikiwa sana nimejifunza kitu
@mawandayalughatv11 ай бұрын
Asantemtumishi
@user-bd9dv7mj9m10 ай бұрын
Mungu awabark
@hellenngwilla550 Жыл бұрын
Mafundisho mazuri sana Mungu akubariki Mchungaji
@stephenmpembwa6627 Жыл бұрын
Ahsante sana kwa somo zuri pastor
@jackmasiko25839 ай бұрын
Mwenye namba ya cm ya hyu mchungaji jaman naiomba naitafta Sana jaman
@rachelstephano4529 Жыл бұрын
😂😂, mvua itanyesha leo.
@modesterstephanokusekwa14326 ай бұрын
Aminaa
@taizcitynam-nu8hk Жыл бұрын
powerful message
@Allan-rg2bp11 ай бұрын
Powerful message.thanks
@betrs528511 ай бұрын
Nimejifunza God bless you , japo sina ndoa😭😭😭
@user-dn7dp3ll9u Жыл бұрын
Nakukubari Sana pasta
@happyelly8575 Жыл бұрын
Asante sana mchungaji kwa hekima hii kubwa.
@user-zz8hk3dw2z10 ай бұрын
Nimebarikiwa sana na mafundisho ya ndoa
@marcelinebyamungu346311 күн бұрын
Amina Amina
@shaniachanceline2751 Жыл бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏
@user-dx6rz7iu7k6 ай бұрын
Mung akubalik ❤
@stivenmika592111 ай бұрын
Amina sana kwa somo
@nyancheraann4976 Жыл бұрын
Amina 🙏🙏🙏
@mujumbemtiifu1908 Жыл бұрын
Pastor nimebarikiwa sana namahubiri hayo,ila nimevunjwa miguu nahào cjajua ni washiriki au laah
@eliadaroswe5025 Жыл бұрын
Amina pastor somo zuri. Ila wamevaa ovyo sana jamani😢😢😢
@virginianduhia69110 ай бұрын
Si Kila mtu ni msabato
@lucasshirima2880 Жыл бұрын
Amina sana ...Show off...Ndoa ni Siri na Ndoa ni Fumbo la Mwenyezi Mungu
@florencebosire1352 Жыл бұрын
Amen 🙏
@RAHELIDARABE11 ай бұрын
Wachungaji washachoka maana waumimi wa siku hizi hawaambiliki kuhusu kujipodoa yaacheni magugu na ngano vikue pamoja Bwana wa mavuno mwenyewe atashughulikia
@kombeonaumishenaritv642 Жыл бұрын
Kwene marashi umerahisisha lugha na kauli hiyo TU utawaingiza wengi jehanamu kabisaaa sawa kama biblia ninayosoma kuhusu marashi ni tofauti au shule yangu ni ndogo MUNGU aniongezee elimu zaidi