#KANUNI

  Рет қаралды 375,861

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

Жыл бұрын

Пікірлер: 223
@InnocentDominoes-nc3kz
@InnocentDominoes-nc3kz 20 сағат бұрын
Mungu akubariki sana uishi miaka mingi.Amina
@mildredkhavayi6033
@mildredkhavayi6033 Жыл бұрын
Ahsante sana muhubiri, mafunzo mazuri sana nmejifunza kuishi kwa ndoa na kuitinza ndoa yangu,nina Imani nitapoingia kwenye ndoa yangu hivi karibuni,nina Imani nitayazingatia mafunzo yako🙏🙏 Mwenyezi Mungu anijalie maarifa na uelewa zaidi 🙏🙏
@FainesKitinusa
@FainesKitinusa 22 күн бұрын
Ubarikiwe kwa neno lenye kuponya ndoa zetu
@mokombapomobisaop6946
@mokombapomobisaop6946 7 ай бұрын
Amen pastor Mmbaga, lakini hizi kanuni Saba ya faa uongeze zingine next time, very excellent teaching and may God bless you and bring more of this kind to marriage and church.
@CHRISTINEONESMO
@CHRISTINEONESMO 24 күн бұрын
Amen barikiwa umenifundisha kitu mtumishi wa Mungu
@graceb2398
@graceb2398 21 күн бұрын
Amen pastor nabarikiwa nafundisho hii👍💐
@sarahezekiel3301
@sarahezekiel3301 Жыл бұрын
Ikimpendeza Bwana I pray this servant of the most high weds me when my time comes 🙌🏿🙏🙏one of my favourite teacher .
@malikauli4670
@malikauli4670 Жыл бұрын
Mungu akuongoze
@EliaSimoni-ye6lv
@EliaSimoni-ye6lv Жыл бұрын
Amen 🙏 ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@osorosamuel2023
@osorosamuel2023 Жыл бұрын
Powerful sermon but poor dressing, very unfortunate for our church
@user-pn2ob4vd4j
@user-pn2ob4vd4j 7 ай бұрын
God bless you pastor. Thanks for your nice sermon
@user-go1zz5ml7j
@user-go1zz5ml7j 9 ай бұрын
Ahsante saana Pastor kwa ujumbe huu ❤
@JusterKendi-si9wo
@JusterKendi-si9wo 7 ай бұрын
Amen pastor, umeniguza sana hpo kwa kila ndoa iko na siri yake
@kasokihortense7313
@kasokihortense7313 3 ай бұрын
unarikiwe sana umenijenga Sanaa pokea salamu zangu kutoka Congo DRC n'a kushukuru
@JohnJohn-ql2kf
@JohnJohn-ql2kf 8 ай бұрын
Ubarikiwe sana pastor
@Faith-zc1hs
@Faith-zc1hs Жыл бұрын
Wooh thanks for the teaching nimejifunza mengi
@rachelissa115
@rachelissa115 Жыл бұрын
Ujumbe wa ndowa ni mzuri, Mungu akubariki sana, ila fundisha pia na jinsi ya kuvaa mavazi ya Heshima ndani ya nyumba ya Bwana na mtaani pia, wakristo tunapaswa kuwa tofauti, Neno Lina sema kuwa tusienende kwa kuifuatisha namna ya Dunia hii, kwa habari ya mwenendo na tabia na mavazi pia🥰
@ibrahimmalabeja3692
@ibrahimmalabeja3692 Жыл бұрын
Mchungaji yupo sahihi. Upendo tu hautoshi. Biblia husema hivi: "wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika" Soma-{Luka 11:28} Kwa hivyo Kila mshirika wa familia mmoja mmoja kusimamia sehemu yake na kuiwajibikia.
@ibrahimmalabeja3692
@ibrahimmalabeja3692 Жыл бұрын
Mchungaji yupo sahihi. Upendo tu hautoshi. Biblia husema hivi: "wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika" Soma-{Luka 11:28} Kwa hivyo Kila mshirika wa familia mmoja mmoja kusimamia sehemu yake na kuiwajibikia.
@user-ni3nw6mt8y
@user-ni3nw6mt8y 8 ай бұрын
Endelea hivohivo mnekuelewa mngu akupe maisha malefu❤
@FfFf-yb9cp
@FfFf-yb9cp 7 ай бұрын
Amina paster mungu akubariki sana na huu ujumbe .nasikia nimebarikiwa .mungu akufunulie zaidi ya hivi❤❤❤🎉
@lucasshirima2880
@lucasshirima2880 Жыл бұрын
Amina Baba...Nimekuelewa sana...Nimekusikiliza hadi Mwisho ...Hakika ni Mahubiri ya KPHD...umehubiri ukweli mtupu...Yohane 13:16...Kwa Maana hii Mungu aliupenda ULIMWENGU...
@user-ye7jv7sy3t
@user-ye7jv7sy3t 9 ай бұрын
Uvaaji uo siomzuuri kwa mabest
@HarrisonMuriithi-bd2jo
@HarrisonMuriithi-bd2jo Жыл бұрын
Watumishi wa Mungu aliye juu,Bwana asifiwe.Ninaloitaji la kipekee la kuongea mambo ya kiroho na mchunga Mmbaga tafadhari mnisaidie na namba yake.Mimi ni Murithi Harrison kutoka Kenya.
@matildamwakatuma1206
@matildamwakatuma1206 7 ай бұрын
Amen Pastor Mmbaga kwa somo zuri tumesoma vema
@denisrukangula2227
@denisrukangula2227 7 ай бұрын
Mimi naweza kukupinga Kwa hivyo VITU viwili. Kama hautavielezea kibiblia Msingi wa ndoa kibiblia Ni Moja kwa mwanamke 1-utii Mbili kwa mwanaume 2-upendo kwa mwanaume Hivyo vitu vikikosa kwa wanandoa lazima ndoa ife mapeeeema Sasa utakuja Kufundisha Nini maana ya utii na namna Gani utii unavyoweza kunisaidia ndoa au kuiangusha ndoa nk
@zubedamae-ro1jx
@zubedamae-ro1jx 7 ай бұрын
Be blessed mtumishi umenifunze na nimejua mengi na kukumbuka mengi Mungu azidi kukupa hekma zaidi
@user-pp5lm7cr5r
@user-pp5lm7cr5r 6 ай бұрын
Amina Sana mungu akubariki
@alice-sd1sv
@alice-sd1sv 7 ай бұрын
Wow I'm being blessed with your advice and preaching,be blessed
@user-ef2om7ep1z
@user-ef2om7ep1z 10 ай бұрын
Yani wewe mtumishi pastor ufike mbali....nakuelewa sana na unaeleweka sana...barikiwa sana unatubariki sana...
@user-pe3cc3oq2i
@user-pe3cc3oq2i 7 ай бұрын
Ahsante Sanaa pastor nimebarikiwa sanaa🎉
@cerealisfelician3807
@cerealisfelician3807 Жыл бұрын
Nashukuru Sana pastor kwa mafunzo haya
@RachealMndambi-kv9sd
@RachealMndambi-kv9sd 9 ай бұрын
Pr. Mungu akubarik sana.Songa Mbele Mungu Akutie Nguvu
@sauud2some471
@sauud2some471 Жыл бұрын
Mungu alibariki mutumishi wa Mungu ❤❤❤
@cosmaskabila3058
@cosmaskabila3058 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji
@moniquenimbabazi4528
@moniquenimbabazi4528 Жыл бұрын
Asant kwa somo tunakusikiliza kwa neno na lina tujenga Nakuomba uwe unafundisha pia mwenendo ya nje maana niyamaana sana maana wao wake wamevaa vya kidunia na mapodozi yohovyo Maana ninyi ndo Wachugaji wakutwelekeza
@florencekanze
@florencekanze 6 ай бұрын
Asante Sana pastor kunakitunimepokea kwakweli🎁
@DrChief-xw8ei
@DrChief-xw8ei 11 ай бұрын
Mch.Mbaga unanibariki Sana Mungu akutumie vema
@RehemaEmanueli-so2kv
@RehemaEmanueli-so2kv 6 ай бұрын
Mungu akubark pasta Kwa ujumbe mzuri sana nimebarikiwa sana
@zamalisaide3209
@zamalisaide3209 9 ай бұрын
Asanteee kw somo mungu akujalie pastor
@mercykassile363
@mercykassile363 Ай бұрын
Somo zuri sana limenijenga
@ernestmhilya960
@ernestmhilya960 Жыл бұрын
Great massage
@treziambukwa8978
@treziambukwa8978 8 ай бұрын
Be blessed pastor
@user-ws6ws7md7b
@user-ws6ws7md7b 3 ай бұрын
Pastar mungu akubariki kwa ushauri wako
@alundalubuku9021
@alundalubuku9021 Жыл бұрын
Barikiwe mchunga kwa some mzuri ya ndoa.
@RehemaMuhagama-es3bj
@RehemaMuhagama-es3bj Жыл бұрын
Mungu akubarik sana mchungaj
@elizabethyaadzomboelizabeth
@elizabethyaadzomboelizabeth Жыл бұрын
Ubarikiwee mchungaji
@ScolaMujaki
@ScolaMujaki 3 ай бұрын
Barikiwa Pastor
@user-iz8vi4ty9d
@user-iz8vi4ty9d 7 ай бұрын
Your sermon is very encouraging paster
@fredrickasoya7987
@fredrickasoya7987 Жыл бұрын
Hello mchungaji! Mahubiri mazuri ya Mibaraka I'll Hawa wanadada wamejipodoa Sana huku Kenya huwa tunawafurusha hadi wavae kulingana na kanuni za kanisa
@RAHELIDARABE
@RAHELIDARABE 11 ай бұрын
Nimeipenda pastor unanibariki sana ila wanaume hawapendi criticism na wakikataa tunawaachia afu yakiharibika ndo wanajirudi
@virginianduhia691
@virginianduhia691 10 ай бұрын
Rafiki mpendwa hii ni arusi ,so Kila mtu ni msabato
@user-ys5ux2fr6v
@user-ys5ux2fr6v 10 ай бұрын
Mungu akubariki san baba mungu azidi kuku2mia kadri awezavyo
@magrethclement500
@magrethclement500 9 ай бұрын
Amen MUNGU akubariki
@christinapeter7131
@christinapeter7131 Жыл бұрын
Barikiwa sana mchungaji maana hayo usemayo ni laivu bila chenga
@sindanosamson5144
@sindanosamson5144 Жыл бұрын
Mahubiri mazur Ahsante
@IRENEMasisi-hm1cb
@IRENEMasisi-hm1cb Ай бұрын
asante mungu Kwa ajili ya plaster unaponya ndoa zetu
@TammyNickolas
@TammyNickolas 2 ай бұрын
Unanibariki sana paster
@timothymuthomi1618
@timothymuthomi1618 Жыл бұрын
It powerful sermon but actually do they dress in diceits way . their dressing codes are alarming as an adventists The outward appearance portrays the inward character.
@PhionaAbdallah-uv5fl
@PhionaAbdallah-uv5fl 10 ай бұрын
Pr ubarikiwe sana mafundisho mazuri
@dicksonkarithi5637
@dicksonkarithi5637 7 ай бұрын
You are so interesting sir. Thank you for your teaching. My family will prosper. Dicken from Kenya
@JusterKendi-si9wo
@JusterKendi-si9wo 7 ай бұрын
Very true darling
@user-cl3gq1xp8r
@user-cl3gq1xp8r 10 ай бұрын
Ubarikiwe Sana pastor ...lakini washauri kuhusu mavazi ya kikristo
@user-wl9bz1pt9c
@user-wl9bz1pt9c 5 ай бұрын
Pastor Barikiwa sana
@anzurunimmj9462
@anzurunimmj9462 9 ай бұрын
❤❤ Mungu atubariki na kutuzidishia hekima na maarifa kweli.❤❤
@elienew3788
@elienew3788 Жыл бұрын
Amina mra hii nimejifunza kitu hapa
@graceakech1826
@graceakech1826 7 ай бұрын
Powerful message
@tumaininestory4037
@tumaininestory4037 Жыл бұрын
Aminaa Asante sana kwa ujumbe mzuri
@user-hw5yr5wb2s
@user-hw5yr5wb2s 10 ай бұрын
Hakika mchungaji uko vizuri saana
@matireke556
@matireke556 Жыл бұрын
Amina pastor mmbaga
@user-xl8nb4we4s
@user-xl8nb4we4s 11 ай бұрын
Amen mtumish❤❤❤ 3:36
@user-xk4wf2xp4d
@user-xk4wf2xp4d 10 ай бұрын
Barikiwa sana pr
@user-up6yf7vy4c
@user-up6yf7vy4c 10 ай бұрын
Hakika mtumishi umefungua ufahamu wa akili yangu barikiwa pr Mbaga
@samuelkusina3755
@samuelkusina3755 11 ай бұрын
Pastor uko vizuri
@user-kn7sr9sm6i
@user-kn7sr9sm6i 8 ай бұрын
Nimejifunza mengi. Sana ubarikiwe pasta
@user-jq6on6pw3c
@user-jq6on6pw3c 6 ай бұрын
Asante pastor
@pastmutokabijiramungu9513
@pastmutokabijiramungu9513 Жыл бұрын
Barikiwa sana
@evoski3
@evoski3 10 ай бұрын
Thank you Pastor Mmbaga. Beautiful sermon. Needed this. Shukran.
@innocentkabeya2498
@innocentkabeya2498 Жыл бұрын
You don't get into marriage because your friends are getting married, but you get into marriage because you have found love and you are ready to commit. We have so many divorce cases these days because people think they are in competition with their age mates.....My dear, Life is never a race, things happen at different times for different people....Think before you say yes.
@josephinesanita4904
@josephinesanita4904 Жыл бұрын
Mm ombi langu ni utakuja unifungishe ndoa panapo majaliwa ya mungu nmependa ushauri wako pr
@THERESIANDIMI-te6rm
@THERESIANDIMI-te6rm Жыл бұрын
Maubili yako mchungajiNimebalikiwa sana nimejifunza kitu
@mawandayalughatv
@mawandayalughatv 11 ай бұрын
Asantemtumishi
@user-bd9dv7mj9m
@user-bd9dv7mj9m 10 ай бұрын
Mungu awabark
@hellenngwilla550
@hellenngwilla550 Жыл бұрын
Mafundisho mazuri sana Mungu akubariki Mchungaji
@stephenmpembwa6627
@stephenmpembwa6627 Жыл бұрын
Ahsante sana kwa somo zuri pastor
@jackmasiko2583
@jackmasiko2583 9 ай бұрын
Mwenye namba ya cm ya hyu mchungaji jaman naiomba naitafta Sana jaman
@rachelstephano4529
@rachelstephano4529 Жыл бұрын
😂😂, mvua itanyesha leo.
@modesterstephanokusekwa1432
@modesterstephanokusekwa1432 6 ай бұрын
Aminaa
@taizcitynam-nu8hk
@taizcitynam-nu8hk Жыл бұрын
powerful message
@Allan-rg2bp
@Allan-rg2bp 11 ай бұрын
Powerful message.thanks
@betrs5285
@betrs5285 11 ай бұрын
Nimejifunza God bless you , japo sina ndoa😭😭😭
@user-dn7dp3ll9u
@user-dn7dp3ll9u Жыл бұрын
Nakukubari Sana pasta
@happyelly8575
@happyelly8575 Жыл бұрын
Asante sana mchungaji kwa hekima hii kubwa.
@user-zz8hk3dw2z
@user-zz8hk3dw2z 10 ай бұрын
Nimebarikiwa sana na mafundisho ya ndoa
@marcelinebyamungu3463
@marcelinebyamungu3463 11 күн бұрын
Amina Amina
@shaniachanceline2751
@shaniachanceline2751 Жыл бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏
@user-dx6rz7iu7k
@user-dx6rz7iu7k 6 ай бұрын
Mung akubalik ❤
@stivenmika5921
@stivenmika5921 11 ай бұрын
Amina sana kwa somo
@nyancheraann4976
@nyancheraann4976 Жыл бұрын
Amina 🙏🙏🙏
@mujumbemtiifu1908
@mujumbemtiifu1908 Жыл бұрын
Pastor nimebarikiwa sana namahubiri hayo,ila nimevunjwa miguu nahào cjajua ni washiriki au laah
@eliadaroswe5025
@eliadaroswe5025 Жыл бұрын
Amina pastor somo zuri. Ila wamevaa ovyo sana jamani😢😢😢
@virginianduhia691
@virginianduhia691 10 ай бұрын
Si Kila mtu ni msabato
@lucasshirima2880
@lucasshirima2880 Жыл бұрын
Amina sana ...Show off...Ndoa ni Siri na Ndoa ni Fumbo la Mwenyezi Mungu
@florencebosire1352
@florencebosire1352 Жыл бұрын
Amen 🙏
@RAHELIDARABE
@RAHELIDARABE 11 ай бұрын
Wachungaji washachoka maana waumimi wa siku hizi hawaambiliki kuhusu kujipodoa yaacheni magugu na ngano vikue pamoja Bwana wa mavuno mwenyewe atashughulikia
@kombeonaumishenaritv642
@kombeonaumishenaritv642 Жыл бұрын
Kwene marashi umerahisisha lugha na kauli hiyo TU utawaingiza wengi jehanamu kabisaaa sawa kama biblia ninayosoma kuhusu marashi ni tofauti au shule yangu ni ndogo MUNGU aniongezee elimu zaidi
@anzurunimmj9462
@anzurunimmj9462 9 ай бұрын
Amina ❤❤
@InnocentDominoes-nc3kz
@InnocentDominoes-nc3kz 20 сағат бұрын
17:47
@feminakidiavai5849
@feminakidiavai5849 8 ай бұрын
Amen mafunzo mazuri ya kujenga ndoa
@user-vk9pb5rx9i
@user-vk9pb5rx9i 7 ай бұрын
A. Hj😮😊😮😊
@hildamkongwa2156
@hildamkongwa2156 9 ай бұрын
Naipenda sana
@esthersimuli9952
@esthersimuli9952 Жыл бұрын
Amina
@TALIGU_ONLINE_TV
@TALIGU_ONLINE_TV 8 ай бұрын
Eeeee,Mungu tusaidie tujue hiyo
VIZUIZI VIKUBWA VYA BARAKA MAISHANI MWAKO
47:46
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 194 М.
HUWEZI KUFANIKIWA KIMAISHA BILA  MATATU HAYA....
50:09
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 1 МЛН
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 37 МЛН
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 77 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 158 МЛН
Makosa kumi (10) wanawake ufanya katika ndoa
13:33
Chris Mauki
Рет қаралды 248 М.
MWANAMKE AKIELEWA HILI,NDOA ITAKUWA SAFIIII!!!
19:54
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 116 М.
#LIVE; Pr David Mbaga. Ndoa yenye Furaha.
17:39
Sanga Richa
Рет қаралды 2,4 М.
Mwanamke Hakuwahi Kuwa Single (Mpweke) | Pr. Peter John.
16:37
Hope Channel Tanzania
Рет қаралды 48 М.
SILAHA KUBWA YA KUVUNJA MADHABAHU || PR DAVID MMBAGA
56:10
Ikwabe Injili tv
Рет қаралды 15 М.
Hizi hapa dakika 15 tu! za Kufurahi na Mch. Hananja. UDSM CCT.
15:29
UDSM CCT MEDIA
Рет қаралды 898 М.
USHAURI MUHIMU SANA WA YESU KUHUSU MAOMBI. PR. DAVID MMBAGA
46:26
VITA INAPOKUWA NGUMU | PR. DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)
1:07:27
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 52 М.
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 37 МЛН